21
ISSN 0856 - 3861 Na. 1225 RAJAB 1437, IJUMAA ,  APRILI 15-21, 2016 BEI TShs 800/=, Kshs 50/= Sauti ya Waislamu www.annuurpapers.co.tz au facebook:[email protected]  AHLU SUNNA WAL JAMAA HAJJ AND UMR A TRUST Wazanzibari hawakukataa SUK Tukiparamia ovyo agenda ya ugaidi tutaan gamia sote Waislamu waliotoweka Bukoba haijulikani waliko Ulinzi katika uwanja wa ndege wa Brussels, baada ya shambulio la kigaidi. RAIS mstaafu wa Zanzibar, Mh. Amani Abeid Karume (kushoto) akiwa na Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seif Sharif Hamad. -  Uk. 7  ASALAM ALAYK UM WAR AHMA TULLAH WABARAKA T . TAASISYAAHLUSUNNAWALJAMAAINAKUTANGAZIENI WAISLAM IBADA YA UMRA  KATIKA MWEZI MTUKUFU WA RAJAB, KUSALI IJUMAA MOJA MADINA NA MOJA MAKKA, NA KUFANYA IBADA YA UMRA KA TIKA USIKU MTUKUFU WA MIIRAJ. KUONDOKA TANZANIA NI TAREHE 27/04/2016 NA KURUDI NI TAREHE 07/05/2016. GHARAMA ZOTE , NDEGE , HOTELI YA NYOTA NNE NA USAFIRI WA NDANI YA SAUDIA, NI DOLLAR 1,700 TU. TAFADHALI WAHI KULIPIA NA KULETA PASPORT YAKO NA MAPEMA. USAJILI, MWISHO NO TAREHE 15/04/2016.  TUKIMBILIE KHERI KUJIPENDEKEZA KWA MOLA WETU MKARIMU. KWA SIMU WASILIANA KWA NAMBA 0765462022 - 0777468018 - 0784863539 - 0655462022. SAFARI YA UMRA MWEZI WA RAJAB

ANNUUR 1225

Embed Size (px)

Citation preview

Page 1: ANNUUR 1225

8/18/2019 ANNUUR 1225

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1225 1/20

ISSN 0856 - 3861 Na. 1225 RAJAB 1437, IJUMAA ,  APRILI 15-21, 2016 BEI TShs 800/=, Kshs 50/=

Sauti ya Waislamu

www.annuurpapers.co.tz au facebook:[email protected] AHLU SUNNA WAL JAMAA HAJJ AND UMRA TRUS

Wazanzibari hawakukataa SUK

Tukiparamia ovyo agenda ya ugaidi tutaangamia sote

Waislamu waliotoweka

Bukoba haijulikani waliko

Ulinzi katika uwanja wa ndege wa Brussels, baada ya shambulio la kigaidi.

RAIS mstaafu wa Zanzibar, Mh. Amani Abeid Karume (kushoto) akiwa naKatibu Mkuu wa CUF, Maalim Seif Sharif Hamad. - Uk. 7

 ASALAM ALAYKUM WARAHMATULLAH WABARAKA

TAASIS YA AHLU SUNNA WALJAMAA INAKUTANGAZIEN

WAISLAM IBADA YA UMRA  KATIKA MWEZI MTUKUFU W

RAJAB, KUSALI IJUMAA MOJA MADINA NA MOJ

MAKKA, NA KUFANYA IBADA YA UMRA KATIKA USIK

MTUKUFU WA MIIRAJ. KUONDOKA TANZANIA N

TAREHE 27/04/2016 NA KURUDI NI TAREHE 07/05/2016

GHARAMA ZOTE , NDEGE , HOTELI YA NYOTA NN

NA USAFIRI WA NDANI YA SAUDIA, NI DOLLAR 1,700 TU

TAFADHALI WAHI KULIPIA NA KULETA PASPORT YAK

NA MAPEMA. USAJILI, MWISHO NO TAREHE 15/04/201

TUKIMBILIE KHERI KUJIPENDEKEZA KWA MOL

WETU MKARIMU. KWA SIMU WASILIANA KWA NAMB0765462022 - 0777468018 - 0784863539 - 065546202

SAFARI YA UMRA MWEZI WA RAJAB

Page 2: ANNUUR 1225

8/18/2019 ANNUUR 1225

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1225 2/20

2  AN-NUU

RAJAB 1437, IJUMAA APRIL I 15-21, 201Mafundisho ya Qur'an/Uwanja wa Maarifa

Fethullah-Gulen

Jee Unajua?

MASUALA1.Sura ya ngapi na aya ya ngapi isemayo ‘Ameumbwa kwa maji yatokayo kwa

kuchupa’ Jawabu : 86 :62.Sura ya ngapi na aya ya ngapi isemayo ‘Hakika Mola wako Mlezi yupo kweny

mavizio anawavizia’ Jawabu : 89 :143.Sura ya ngapi na aya ya ngapi isemayo ‘Juu yao utakuwa Moto ulio fungiwa k

upande.’ Jawabu : 90 :204.Sura ya ngapi na aya ya ngapi isemayo ‘ Hakika pamoja na uzito upo wepesi.’

 Jawabu :94 :65.Sura ya ngapi na ni aya ya ngapi isemayo ‘Na hatukumtuma kabla yako Mtum

yeyote ila tulimfunulia ya kwamba hapana mungu isipo kuwa Mimi. Basi niabudunMimi tu.’ Jawabu : 21 :25

6.Wakati gani Sayyidna Khalid bin Walid alisilimu? Jawabu : Vita vya Uhud7.Ilikuwa wakati gani Mtume Muhammad (SAW) aliwasili Madina ikiwa ni

Hijjra? Jawabu : Rabi u Awal8.Mtu yupi ambaye aliuliwa na Mtume (SAW) kwenye vita? Jawabu : Ubi bin

Khalf9.Wakati wa kiongozi yupi ndipo Waislamu walitengeneza pesa zao za kutumia

 Jawabu : Maamun10.Sahaba yupi ndio aliowa mwanzo kuzikwa katika Makaburi ya Baqii? Jawab

Uthman Ibn Mazoon

JAWABU CHEMSHA BONGO NAMBA: 46

CHEMSHA BONGO: 47Weka duara kwenye jawabu ilio sawa. Jawabu kamili wiki ijay

MASUALA 1.1. Hii ni aya ya ngapi na ipo katika Sura ipi? “Ewe Nabii! Mtakapo wapa talawanawake, basi wapeni talaka katika wakati wa eda zao. Na fanyeni hisabu ya edNa mcheni Mwenyezi Mungu, Mola wenu Mlezi. Msiwatoe katika nyumba zao, wawasitoke wenyewe, ila wakifanya jambo la uchafu ulio wazi. Hiyo ndiyo mipaka yMwenyezi Mungu, msiikiuke. Na mwenye kuikiuka mipaka ya Mwenyezi Mung

 basi amejidhulumu nafsi yake. Hujui; labda Mwenyezi Mungu ataleta jambo jengi baada ya haya.”2. Hii ni aya ya ngapi na ipo katika Sura ipi? ” Sema: Hakika hapana yeyote awezakunilinda na Mwenyezi Mun gu, wala sitapata pa kukimbilia isipo kuwa kwake Yeye tu3. Taja jina la Sahaba aliokuwa kitandani anasumbuliwa na maradhi na kumuambMtume (SAW) anaisabilia mali yake yote kuuendeleza Uislamu na Mtume (SAWakamwambia utoe Thuluthi tu yaani 1/3 ya mali yake.4. Watu wa Mtume Saleh AS walikuwa na kivutio gani katika maisha yao?5. Nani alikuwa Mjukuu wa Mtume Nuh AS, Issa, Aad, Lut?6. Watu wa Mtume Hud AS walipigwa na kimbunga kwa siku ngapi 7, 8 au 97. Mtume yupi alikuwa na mali nyingi sana?8. Dhikri ipi ilio bora kuitamka mara kwa mara?9. Mtume Muhammad (SAW) alihiji mara ngapi? 10, 11, 1.10. Qur’an imeteremshwa kwa lugha gani?

"MWENYEZI Mungundiye mjuzi zaidi wamahali atakapouwekaujumbe wake”. [Al –An-Aam 124]

Wiki iliyopita, tulitoasehemu ya pili yaufafanuzi wa aya hiikama ilivyoandikwa namfasiri. Leo tunaangaliasehemu ya tatu aya hiiya 124 ya Suratul An-aam.

Kuzaliwa na kukuliakwa Mtume wetu(s.a.w.) katika mji waMakkah, kuna hekimanyingi sana. Vile vile,kwa upande wa ujumbekwani ni jambo lenyekujulikana kwambaMakkah Al-Mukarrahinakizunguka kitovucha ardhi na Al-Kaabani kitovu cha ardhi namoyo wa ulimwengu.

Lau pangetakwakwa dini yoyote yaulimwengu mzimakuwepo katika ardhiingekuwa Makkah Al-Mukarrama – mahaliambapo alizaliwa naakakulia hapo Mtume(s.a.w) ndiyo mahali

 bora sana kwa dinihiyo, kisha hivi siinaisifu Qur’an tukufukwamba hiyo Makkah“Ni mama wa vitongojivyote?” Ndiyo hakikahiyo Makka ni mamawa miji na vijiji nakufanyakazi kamamlezi wa Mtume(s.a.w.) wakati wautoto wake, baliilimpa chakula kamaunavyotoa chakulamfuko wa uzazi wamama kumpa mtoto watumboni.

Kwa hakikaMtume Mussa (a.s.)hakuupokea ujumbe

wake kwenda kwawana wa Israelkutoka “msituni”

 bali kutoka katikaardhi iliyobarikiwaTaur Sinaa. Na kamaalivyotoa sauti ardhihii kwa dini ya Mussana kama alivyoupokeaMussa (a.s.) ujumbewake wa kwanzakwenda kwa wana waIsrael kutoka katikaardhi hii kufuatana nakiwango chao. Kamahivyo, hakukuwa kwaujumbe wa Qur’an,wa ulimwengu mzimawenye kuenea katikawakati na mahali

kuchimbuka isipokuwakutoka katika mjiambao inapatikanahapo Al-Kaaba na hivyondivyo ilivyo kuwa.

Na upande mwinginewa masuala ni kwambaMakkah ilikuwa nimji wa kimkakati kwanjia nyingi sana kwasababu ilikuwa nimakutano ya madolamengi wakati huo.Ilikuwa kama ufukweambao unapigwa namawimbi ambayoyanavunjika juu

yake kama ambavyoilikuwa Makkah naMadina ni tandiko laustaarabu mbalimbaliwa zamani mfano waustaarabu wa Sabaa, naHadharamaut na Sanaana panasemwa kwambamsari ambayealikuwa anatokaMadina akielekeaHadharamaut, alikuwaanasari katika vivulivikubwa na hapatina jua mpaka anakaHadharamaut na

ikayasifu kwa pepoya ardhi au pepo yaAdeni? Na ehee nikama hivyo Makkahna Madina zilikuwa namatandiko mawili yamfano wa ustaraabuhuu wa zamani kamaambavyo zilikuwa juuya uhusiano na mjiwa Byzati huko Romana mji wa Saasanidaahuko Iran. Na kwahakika ulikutanautamaduni wa Romakupitia mji wa Antioch

pamoja na utamaduniwa Misri ya zamani‘Antajatiy’ au Atajibtmji wa Elexandria wakihistoria. Ilikuwa Romawakati huo inahesabiwandiyo nguvu kubwa nakwa hakika ilishuka suratA-Roume katika haki yanguvu kubwa kuzaliwaulianzisha ufalme waSaasanidae utawala wakehuko Yemen kwa kipindimaalumu. Na ulosimamamara nyingi kuwashakizawatu wa Yemen dhidiya wa watu wa Makkah.Na hakukuwa kuja kwa

 jeshi la watu wa ndovukuelekea Makkah,kwa ajili ya kuibomoaisipokuwa ni matokeo ya

mashakizo ya Wassasaniisipokuwa MwenyeziMungu mtukufuhakuruhusu kupatwa mjiwa Makkah na madharayoyote na aliibakishakuwa ni mji wa amani.

Kwa msingi huo,kunawezekana kusemakwa kwa mtizamo huukwamba kisiwa chaWaarabu, kilikuwa niardhi yenye kuwianana kumtoa mjumbe waUislamu wa ulimwenguwote.

Mji wa Makkahulikuwa wakati huo ni

kituo muhimu sana cha biashara wanakwendakwenye mji huowafanyabiasharakutoka miji ya nchimbalimbali kwa ajiliya kuingiza na kutoana ulikuwa mji waMakkah unafaa kwa

 biashara wakati wakaskazi na kusi na kamalilivyokuja hilo ndaniya Qur’an kwa hakikamisafara ya biasharailikuwa inakwendaSham na Yemen kutokaMakkah kwendaMadina. Walishindana

na wafanyabiasharawa Kiyahudi, ambaowalikuwa wanahodhi

 biashara huko Madinana baada ya mudawafanyabiashara waKiyahudi walishindwakushindana nao. Na haliinatuonyesha kwambawafanyabiashara waMakkah, walikuwakutokana na kushirikikwao katika biasharaya kimataifa juu yakuyaelewa mazingiraya kijamii na ya jamii yamadola makubwa.

Suratul An-aam 124

1. Katika bara la Afrika Wahandisi sio watu wenye fedha na kuwa matajiri, tajiri wa pduniani anaongoza anaitwa Carlos Slim mkaazi wa Mexico akiwa na utajiri wa $ 60

 billion, mwengine ni Je Bezor akiwa na utajiri wa Dolari za Kimarekani Bilioni 52.8 ndio muanzilishi wa e-company platform ya Amazon, mwengine ni Michael Bloombemwenye utajiri wa Dolari za Kimarekani Bilioni 43.4: hp://interestingengineerincom/10-richest-engineers-world/2. Sio watu wengi ambao hutumia mkono wa kushoto kwa kazi zao ikiwa kuandikau kufanya kazi nyenginezo, Rais Bill Clinton na Baraca Obama ni kati ya Marais wMarekani wanaotumia mono wa kushoto. Aidha Rais wa 20 wa Marekani James AGareld, Rais wa 31 Herbert Hoover, Rais Harr S. Truman wa 33, Rais wa 38 GeraFord na Rais wa 41 George H. W. Bush hao wote wakiwa walipata kushikilia Urais wMarekani wote wakitumia mkono wa kushoto: hp://www.infoplease.com/askedleft-handed-presidents.html3. Wanasayansi maarufu ambao wakitumia mkono wa kushoto ni Curie, Marmtaaalamu alioigundua Uranium, d’Oresme, Nicole mwanahesabati, EinsteiAlbery mwana zikia, Pauling, Linius, Pamlow, Iwan, Piccard, August: hp://wwwanythinglefthanded.co.uk/being-lh/famous/professions.html#doctors4. Nefertiti ni malikia alioishi nchi ya Msiri inaaminika kuwa alikuja akawa ni mtawana alikuwa ni mrembo wa kupindukia. Aidha wanawake wa kimambo leo kuja nkudai haki na umbele wa usawa na wanaume ukweli wake unaanzia kwa Nefertialioishi kabla ya kuzaliwa kwa Mtume Issa AS 1550 hadi 1292 BC: hp://www.historcom/topics/ancient-history/nefertiti na hp://www.kingtutone.com/queens/nefertit5. Inasemekana kuwa kasuki anaanzia kila kitu chake kutokea mguu wa kushoto: hpwww.anythinglefthanded.co.uk/being-lh/lh-info/myths.html#46. Unapotembea barabarani kuwa ukijua kuwa kuna watu 10 kati ya wengi unawaonkuwa wanatumia mkono wa kushoto: hp://www.his.com/~pshapiro/left.handed.htm7. Inasemekana mtawala wa Ujerumani Hitler alikuwa pocho na alikataliwa kujiunna somo la Sanaa. Aidha Hitler alikuwa ni mtu wa matumizi: hp://historytv.co.zshows/hunting-hitler/articles/10-things-you-didnt-know-about-hitler8. Mkate ni moja ya chakula kinachopendwa na kuliwa kwa wingi duniani kotmikate inakisiwa kuwa imeanza kutengenezwa kwa njia kama hizi tuzitumiazo hisasa kama miaka 30,000 iliopita: hp://www.history.com/news/hungry-history/a-brihistory-of-bread9. Zeng Jinlian ni mwanamke aliopata kuonekana kama mwanamama alio mrekuliko wote, bibi huyu wa Kichina alikuw ana urefu wa Futi nane na nukta 1.75 inchalizaliwa mwaka wa 1964 na kufariki mwaka wa 1982 akiwa na umri wa miaka 1hp://www.therichest.com/expensive-lifestyle/lifestyle/the-10-tallest-women-whoever-lived/?view=all10. Nchi inayoongoza duniani kwa ubunifu wa Taknoloji na ubunifu, namba mmojanchi ya Finland ikifwatiwa na nchi ya Japan na Marekani inashikilia namba ya 3: hps

 

 V M T N T U  J I T 86 :6 12 U U

I A A O H B R B A 5 :6 R M T

T A I O I I E N R 2 :115 A A H

 A M F U Y bin U H I 45 B R M

 V U B R A K S A K 94 :6 I A A

 Y N A J B H  A S B 16 :5 U B N

 A Y S A B  A L H I 56 :9 A U Ibn

U A R D A L E A N 90 :20 W B M

H T A I T F M M Z 236 A A A

U T H D O I K K I 67 :8 L K Z

D H L N U F A A Y 21 :25 A A O

 J R M U N R S D A 5 :12 L R O

N B N B L F W I D 89 :14 I I N

S A J W I S L S K T Y M 65 :1

 A A D E S U A U I A H A 8

 A D A R S L I B A R N B 12

D T S T A E L H R I T U 34 :12

Ibn H I Y I I A A A M G S 2 :8

 A A M U B M H N B G B T 3 :7

B M F L N A A A U A R A 72 :22

I U A K B N I L H S F N 1

 W D H J A I L L E D V I 3

 A I M H T B A A B R E M 10

Q L Q G U R L H R T D A 11

 A Y A F T A L E R Y C Z 3 :24

S A S D A H A R E U E U 32

 W S W S F I H A W I W R 7 :8

 A S E A V M E C U O X I 6 :6

Page 3: ANNUUR 1225

8/18/2019 ANNUUR 1225

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1225 3/20

3  AN-NUU

RAJAB 1437, IJUMAA APRIL I 15-21, 201Habari

AMIR wa Mihadhara

kupitia Taasisi ya Al-malid, Mkoani Kagera,Ustadhi Abdallah Juma,ametoweka katikamazingira ya kutatanishana hajulikana alipo, tokeaFebruari 2, 2016.

Amir Juma, ametowekasambamba na muuminimwingine aliyetajwakwa majina ya UstadhiIssa Abdallah, ambaye nimuumini wa kawaida, mjinihumo ambaye ni dereva wapikipiki (Boda boda).

Chanzo chetu cha habarikutoka Kagera zimeeleza

kuwa, juhudi za kuwapataWaislamu hao kwa njiaya kawaida, zimegongamwamba baada ya kutoataarifa kwa Jeshi la Polisi nakukosa ushirikiano.

Hata hivyo, nduguwa Waislamu haowamelazimikakumwandikia barua Waziriwa Mambo ya Ndani juu yamkasa uliowakumba nduguzao wakitegemea kupatamsaada kutoka kwa Wazirihuo.

Hata hivyo, taarifazinaeleza kuwa pamoja na

 juhudi hizo, lakini badohakuna majibu yoyotewaliyoyapata kutoka kwaWaziri, jambo ambalolimezidi kuwatia shakazaidi wakijiuliza wapi sasawakimbilie.

Taarifa kutoka MjiniKagera, zinaeleza kuwaWaislamu hao walitowekawakiwa wanatokaMsikitini, ambapo Ust.Abdallah, kabla ya kukanyumbani kwake alikuwaakizungumza na jirani yakena baada ya kuagana naealivamiwa na watu wasio julikana.

Ust. Abdallah, alilazimikakupiga kelele za kutakamsaada kwa jirani yakehuyo akisema, “Njoounisaidie, nimevamiwa”na jirani alipotokaaliona Ustadh Abdallahanaingizwa katika garikisha liliondoka nahaikufahamika mara mojagari na watu hao walikuwawametoka wapi.

Kwa upande wa Ust.Issa, yeye inasemekanaalikamatiwa nyumbani

Waislamu waliotoweka Bukoba haijulikani walikoNa Mwandishi Wetu

kwake siku hiyo hiyo.Taarifa zimeeleza kuwa

siku iliyofatia ya Februari 3,2016, ndugu wa Waislamuhao walikwenda kutoataarifa kituo cha Polisi,Mjini humo pamoja na

WAZIRI wa Mambo ya Ndani, Mhe. Charles Kitwanga.

 MKUU wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Ernest Mangu.

kutaka kujua kama ni Polisiwalio wakamata.

 Jibu la Polisi lilikuwakwamba wao (Polisi)hawahusiki na kumatwakwa watu hao.

Baada ya muda kupita

kwa kuwatafuta kilamahala bila mafanikio,huku wakidai kukosaushirikiano wa kutoshakutoka kwa Jeshi la Polisi,ndugu wa Waislamu haondipo walipolazimikakumuandikia barua Waziriwa Mambo ya Ndaniya Nchi, Mh. CharlesKitwangi, wakimuelezakilio chao hicho na nakalaya barua hiyo zikielekezwakwa Kamanda wa Jeshi laPolisi nchini (IGP), Mkuuwa Mkoa wa Kagera, RPCpamoja na OCD, Bukoba.

Katika hali ya kutopatataarifa yoyote naushirikiano kutoka Polisi,

umejengeka wasiwasikwamba huenda Waislamuhao walikamatwa kwatuhuma za ugaidi.

Na hiyo ni kwa sababuhakuna namna unavyowezkuhusisha tukio hilo namambo ya siasa, ujambaziau uhalifu unaofahamika.

Lakini hata ikiwa ni kwatuhuma za ugaidi, badoWaislamu wanajiuliza,kwa nini hawajakishwamahakamani kamainavyofanyika kwawatuhumiwa wengine?

Nini kimewasibuWaislamu hao, wapo wapina nini majaaliwa yao?

Kwa mujibu wa taarifaza mpasha habari wetuBukoba, jambo jinginelinalowashangazaWaislamu ni kwamba,kufuatia kupotea watu haoSerikali ya Mtaa iliitishakikao kujadili kadhia hiyona Polisi walipewa taarifana kualikwa kuhudhuria,lakini hawakuka.

Yote hii inajenga wasiwas

kwamba huenda Polisiwanajua nini kinaendeleakwa sababu kwa majukumuyao na kwa wito wanaoutokila siku kutaka ushirikianokutoka kwa wananchi,ilikuwa wao ndio wawewa mwanzo kuitisha kikaohicho.

Hadi tunakwendamitamboni, juhudi zakupata taarifa kutokangazi za kipolisi na serikaliambapo inadaiwa jambohili kukishwa, zilikuwahazijafanikiwa.

Page 4: ANNUUR 1225

8/18/2019 ANNUUR 1225

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1225 4/20

4  AN-NUU

RAJAB 1437, IJUMAA APRIL I 15-21, 201Tahariri/Makala

AN-NUUR S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786

Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM.www.annuurpapers.co.t E-mail: [email protected]

Ofsi zetu zipo: Manzese Tip TopUsangi House, barabara ya Morogoro, D'Salaam

KATIKA kukolezapropaganda juu yaugaidi, vyombo vyausalama vya nchi zaMagharibi vinasema kuwamtandao wa magaidiwa IS ni mkubwa naupo makini sana kiasikwamba inakuwa vigumukuwakamata mpaka palewanapofanya tukio.

Inaelezwa kuwakwa jinsi magaidi haowalivyojipanga, wanawezakusari kutoka Brusselshadi miji ya Ufaransa,Sweden na kwinginekoUlaya bila ya kujulikana. Nakatika kukoleza hoja hiyowakasema kuwa kutokanana msako unaoendelea baada ya tukio la Brussels,amekamatwa gaidiambaye alikuwa amepangashambulio la kigaidiMumbai mwaka 2008.(Tazama: Terrorist linked to group behind 2008 Mumbaiaacks arrested in Europe posing as refugee.)

Kwamba eti gaidihuyo aliyetajwa kwa jina la MuhammadGhani Usman, alikuwaamekimbilia na kujichaUlaya kama mkimbizi hadialipokamatwa wiki hii.Na kwamba eti kwa mudaaliokuwa Ulaya, alikuwaakipanga mashambulizi yakigaidi kwa jina la IslamicState.

Katika ulimwengu waleo, kutokana na kiwango

cha utaalamu na tekinolojiailipokia, huna jambo la siriunaloweza kufanya katikasimu yako au laptop yakolisijulikane na ‘watu wenyekazi zao’. Sasa taarifa kamahizi, ni kama alivyosemaProfesa Chossudovsky,kwamba ni ile propagandaya ndani. Wanaotoa habarihizo wanajua kwambawanasema uwongo. Nikatika kupiga porojoili kuwaaminisha watukwamba kitisho cha ugaidikipo na ni kikubwa.

Wiki hii Fox News ,walifanya mahojianona msomi Dr. SebastianGorka. Huyu anatajwakwa sifa ya “Americanexpert on counterinsurgencyand counterterrorism. Ufupi, mtaalamu wamambo ya kupambana naugaidi. Na ndio maanaakaandika kitabu akikipa jina, “Defeating Jihad: TheWinnable War”. Kwambakuishinda Jihad, ni jambolinalowezekana.

Swali la mjadala lilikuwaIS wanapata wapi pesaza kununulia silaha nakuendeshea mamboyao. Mtaalamu huyo wacounterinsurgency andcounterterrorism, akasemakuwa IS wana uwezo wakukusanya jumla ya Dolamilioni 4 kwa siku kamamapato yao na kwambasehemu kubwa ya pesa hizoinatokana na ulanguzi wa

Propagandamafuta.

Swali likaja: Kwa niniMarekani na NATOhawazuii ulanguzi huo.Kwa nini hawazipi kibanonchi zinazonunua mafutahayo. Dr. Sebastiankatika kujibu akasemakuwa inakuwa vigumukwa sababu kila mtuanataka mafuta nakwamba hawa ni magaidi,ukijitokeza waziwazikuzuiya ‘ulanguzi’wao, wanakuambia,“ukitukwamisha keshotutakujia kukupiga.”

Ilimuradi mtaalamuhuyo ambaye amepatakusomesha na anaendeleakusomesha, katika vyuombalimbali vikiwemo TheInstitute of World Politics,College of InternationalSecurity Aairs, West Point,National CounterterrorismCenter, School of Advanced Military Studies na GeorgeC. Marshall European Center for Security Studies; alikuwaakijitafuna na kutoamaelezo yasiyo na kichwawala miguu. Anajitafunakwa sababu ndani yanafsi yake anajua kwambaanayosema ni uwongo.Anajua wapi IS wanapatasilaha na nani wanaporana kununua mafuta kwaulanguzi katika maeneoyanayokaliwa na IS.

IS hawana viwanda vyasilaha, wapi watanunuasilaha kama Marekani

na NATO wamewekavyeto, wasiuziwe. Mbonawaliweza kumkwamishaSaddam Husseinalipowekewa vikwazo.Hakuna dawa wala chakulakinachoingia mpaka kwaidhini ya Baraza la Usalamala UN! Mbona waliwezakumzuiya Saddam kuuzamafuta yake mwenyewepopote duniani, na hataangetafuta mtu wa kumpa bure asingempata. Leowanashindwaje kuzuiyahuo wanaoita ulanguziwa mafuta unaoipatia ISmamilioni ya Dola kwasiku!

Wakati MuammarGadda alipowekewavikwazo kutokana nakadhia ya Pan Am Flight103, Lockerbie, Scotland,21 Desemba, 1988, hakunandege ya abiria iliyokuwaikiingia Libya. Ithubutu,itunguliwe. Leo Washingtonna NATO wanashindwavipi kuzuiya ndege namalori ya shehena za silahazinazopelekwa kwa IS kamakweli wanapambana naIS! Leo wanashindwa vipikuzuiya meli na maloriyanayotumika katikaulanguzi wa mafuta kuingiamaeneo ya IS?

Sasa haya ni mambona taarifa ambazotunapozipokea katikavyombo vya habari, tuwe nauoni mpana na wa ndani wakuzitizama. Tusipumbazwe.

UISLAMU ni mfumokamili wa maisha. Nimfumo pekee ambaohumkomboa mwanadamu

kutokana na minyororoya utumwa dhidi yamwanadamu mwenzake.Na kwa maana hiyo,Uislamu haupo kibinafsi,bali kijamii zaidi.

Kwa bahati mbayakabisa, katika ulimwenguwa leo, Muislamuatakayejitahidi kuishi kwakufuata sunnah ya MtumeMuhammad (saw), atapewasifa nyingi ambazo siyoza Kiislam. Ataitwa gaidi,siasa kali na mfano wahayo. Lengo afedhehekeaone kweli Uislamu ni diniisiyofaa. Ndio maana wengikatika Waislamu wanabakikama watazamaji wakitaraji

dini hii ya kweli mbele yaAllah, ifanye kazi kimiujiza.Ifanye kazi na kukubalikana watu pasi na jitihadazozote za kibinadamuzinazotegemea vipajivya watu na hali halisiya mazingira ya mahalina wakati husika. Lakinitambua kwamba iwapokuna mtu anakiri Uislamuutasimama wenyewetu, huyu mtu amekoseambali sana kukiri. Huyumtu hajauelewa Uislamu.Uislamu wenyeweunajinadi kwambaunawakiana vema namaumbile. Uislamu nidini ya maumbile (tra).Kila chenye kuzaliwa,

huzaliwa katika tra, yaaniUislamu. Uislamu ni diniambayo inatambua nakuthamini vipaji na jitihadaza makusudi za wenye dini(walioikubali).

Hatukatai uwepo wamiujiza kama ambavyowatu wengine wanaamini,lakini hoja hapa ni namnamiujiza hiyo inavyowezakufanya kazi. Labdamiujiza hii tuipe jina lanusra au msaada wa Allah.Mwenyezi Mungu anasemakatika Qur-an kwamba;“Na wale wanaojitahidikwa ajili yetu, kwa yakinitutawaongoza kwenye njiazetu”. [29:69]. Vipi kuhusuwale wasiofanya jitihadayoyote?

Kwahiyo, ni wazikwamba hatuwezikupata kwa wakati hichotunachokitaka ila mpaka jitihada za dhati zifanyike.Lakini kwa kuwa kuuendeaUislamu ni jambo tukufu,tutarajie kukumbana namitihani mbali mbali.Siyo jambo jepesi kamaanavyoweza kudhani mtu.Namna pekee ambayoitatupa dira vipi tuamueni lini tukie malengo, nikwanza tutambue lengola kuumbwa kwetu. Bilakutambua lengo, hatuwezikupata msukumo wowotewa kujituma, matokeo yaketunaona kana kwamba, jambo la dini linawahusu

Uislamu utasimama kwa juhudi zetuNa Juma Jumanne viongozi wa dini. Tunaona

nafasi na jukumu pekeekwetu ni kuswali tu, japoswala za “mishikaki”, kutoasadaka, zaka, kufungaRamadhani na kuhiji.

Ukitambua lengo lakuumbwa, una nafasikubwa sana ya kuletamabadiliko katika jamii.Utaweza kujua kwamba,yote yanayofanywakinyume na Uislamu niuovu. Mwenyezi Mungualiyetuumba, ametuumbianafsi kisha akazifahamishauovu wake na wema wake.Haya maovu yanayofanyikaleo, siyo kwamba watuhawajui, isipokuwa nikatika namna ya kukwepamajukumu. Allah mtukufuanasema; “Na kwa nafsi(roho), na aliyeitengeneza.Kisha akaifahamisha uovuwake na wema wake. Bilashaka amefaulu aliyeitakasa(nafsi yake) na bila shakaameikhasiri aliyeiviza (nafsi

yake)”. [Qur-an: 91:7-10].Uislamu leo haupigihatua kwa sababu,makatazo mengi kamasiyo yote yamekuwa ndiosheria. Yaani tunaogeleakatika haramu leo kwaanuani ya dharura. Lakinipamoja na uwepo wadharura, mwenye dharuraanaonekana na wala hahitajikujieleza. Tumeingizamengi ambayo siyo katikadharura. Mathalani, sualala riba leo linaonekana kitucha kawaida mno. Wengitunaamini kwamba, mtuakipata ajira serikalini kwamfano, ndio amejikomboakiuchumi kwa kiasikikubwa. Kinyume namatarajio na uelewawetu, hawa watu ndiowanaoongoza kwa mikopoya riba. Dharura iko wapihapa!!? Upo safarini jangwani umeshikwa nanjaa vibaya karibu ya kufa.Unaka mahali unakutawatu wanakula kitimotona hakuna chakula kingineisipokuwa hicho tu.Unakaa unakula mpakaunavimbiwa unasemadharura!? Wewe ni mlaji tuwa nguruwe kama walivyowalaji wengine.

Hali hii tuliyonayoWaislamu sisi, kamahatujabadilika hatutakialengo. Hatuoneshikukwerwa na mfumo huuusiokuwa wa Allah ukifanyakazi na kutoa miongozokatika jamii. Tumesahau

nafasi na jukumu letu kamaWaislamu. Hili ni jamboambalo liko wazi na sisi nimashuhuda kwalo.

Kwa hali hiyo, bilakuzitakasa nafsi zetuhata kufaulu ni vigumu.Hatuwezi kusimamishaUislamu kiujanja ujanja.Nia njema wala haziwezikubadili ovu kuwa jema.Kununulia watu pombe(kwa nia njema), kwambawakupigie kura kwa mfano,ili uje utetee Uislamu nizaidi ya kutwanga majikwenye kinu. Hakunadharura ya namna hiyo nausitaraji malipo isipokuwakwa kadiri ya ulichokifanya.

Nafsi sa, inayomkhofu

Allah ndiyo yenye nafasiya kufaulu kukia kwenyelengo kwa haraka zaidikuliko nafsi isiyomkhofuAllah. Na tusikirikwamba, Mwenyezi Mungatatutakasia nafsi zetu bilaya sisi kufanya hima. AllahMtukufu anasema; “HakikMwenyezi Mungu habadilyaliyoko kwa watu mpakawabadili wao yaliyomokatika nafsi zao”. [Qur-an:13:11].

Mwenyezi Munguametaka binadamu akiekilele cha wema kwa juhudi yake aliyofanya,kwa kutumia uwezo(kipaji) chake na kwakuvumilia misukosukombalimbali katika hiyo jitihada ya kusimamishanjia ya Mwenyezi Mungu.Kwenye safari hii ndefuaweze kuyashinda maovuyeye mwenyewe na awezekuyaondoa ama kuyakememaovu katika jamii

inayomzunguka.Na katika jitihada hii yakuwaita watu kwenye hakimuitaji (mlinganiaji) naatambue mapema kwamba jambo hili linamchukizasana shetani na washirikawake. Kwa hiyo basi, mtuhuyu atarajie kukumbanana misukosuko mbalimbalSubira ndiyo nyezo pekeeya kumuwezesha kuhimilimisukosuko hiyo, naawe tayari kukipokeakitakachomtokea kamakuteswa, kuuawa,kufungwa na mfano wahayo. Allah anasema;“ Je, watu wanadhaniwataachwa (wasitiwekatika misukosuko)kwa kuwa wanasema

“tumeamini?” Basi ndiowasijaribiwe (wasipatemitihani)? Hapana; bilashaka tuliwatia katika taabwale waliokuwa kabla yao,na kwa yakini MwenyeziMungu atawatambulishawale walio wakweli naatawatambulisha (walewalio) waongo. [Qur-an:29:2-3].

Mitihani ndiyo kipimocha kuweza kubaini upimchele na ipi pumba!Kwahiyo, Waislamutunaona kwamba ile dhanaya miujiza haina nafasikabisa katika kusimamishadini ya Allah Mtukufu. Nimsaada ambao haupatikanila kwa sisi kushikamana nsababu (asbaab).

Nimalizie tu kwakusema kwamba, kilammoja na acheze vizurikwenye nafasi yake. Subiranidhamu, hekima, busarana jitihada zichukuenafasi yake ili tuwezekusimamisha Uislamukatika jamii. Huu Uislamuwa majina tusiupe nafasi.Tabia zetu huko mitaanizisaidie kututambulishakwamba sisi ni Waislamu.Na tuonyeshe kwambatunakerwa, tunaumizwa namfumo huu usiokuwa waAllah Mtukufu.

(Juma Jumanne, KateshMANYARA (SIMU: +255789 151 059, +255 659 789468).

Page 5: ANNUUR 1225

8/18/2019 ANNUUR 1225

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1225 5/20

5  AN-NUU

RAJAB 1437, IJUMAA APRIL I 15-21, 201HABARI ZA KIMATAIFA

MAAFISA wa polisi nchiniIraq wamesema wameonandege za kijeshi za Marekanizikiwateremeshia shehena zasilaha magaidi wa ISIS katikamkoa wa Al Anbar.

Katika mkanda wa videouliosambazwa na mtandao wa al-Maalomah Jumapili, askari hao waIraq wamesikika wakisema ndegeya Marekani ilionekana saa kumialfajiri siku ya Ijumaa katika kisiwacha Hadisah mkoani Al Anbar,ikiwateremshia shehena ya silahamagaidi wa ISIS/Daesh.

Askari mmoja amesikika akisemakuwa ndege hiyo ya Marekaniilivuruga mawasiliano ya polisikatika kisiwa cha Hadisah, ilikuwazuia kuwasiliana na makaoyao makuu.

Asa wa polisi ambaye niMuiraqi alisikika akisema, garila ISIS liliwasili eneo hilo dakikachache baadaye na kuchukua silahahizo.

Hivi karibuni tovuti yamoonofalabama.org ilichua kuwa,Marekani imetoa msaada wa tanielfu tatu za silaha kwa magaidi waAl Qaeda na washirika wao nchiniSyria.

Katika ripoti hiyo ambayoni muendelezo wa kuchuliwa

habari za msaada wa Marekanikwa makundi ya kigaidi, tovutiya moonofalabama.org imechua,“Marekani, kupitia shirika lake lakijasusi la CIA, inaendelea kutoamsaada wa maelfu ya tani za silahakwa Al Qaeda na makundi mengineya kigaidi Syria.”

Ripoti hiyo ilidokeza kuwa,silaha hizo zimekuwa zikiwakiamagaidi hasa wa mtandao wa AlQaeda nchini Syria kupitia bandariya Aqaba ya nchini Jordan.

Sehemu ya silaha hizozimeelezwa kuwa zimetengenezwana mashirika ya eneo la Masharikimwa Ulaya.

Ripoti hiyo imetoa mfano kuwaNovemba 3 mwaka 2015, kontena zasilaha na mabomu ziliwasili katikaBandari ya Aqaba kutoka Bulgaria

kwa ajili ya kutumwa kwa magaidiwaliopo nchini Syria.Kati ya silaha zilizonunuliwa

na Marekani kwa ajili ya magaidiwa Syria ni pamoja na bunduki,mabomu ya kupigia vifaru namakombora ya masafa mafupi.

Aidha ripoti hiyo imechua kuwtarehe Desemba 3 mwaka jana,tani 1000 za silaha kutoka Romaniaziliingia Uturuki na kukishiwamagaidi nchini Syria.

Kwa muda mrefu sasa serikaliya Syria imekuwa ikisisitiza kuwamagaidi nchini humo wanapatamisaada ya kifedha na kisilahakutoka kwa nchi za Magharibi hasMarekani na washirika wake katikaeneo hilo, ambao wanatajwa kuwani Saudi Arabia, Qatar, Uturuki nautawala wa Israel.

SILAHA nzito za ISIS.

UKARABATI na upanuziwa eneo linalozungukaKaaba ‘Mataf’unaendelea vizuri naunatarajiwa kukamilikana kufunguliwa katikakipindi cha mwezi waMtukufu wa Ramadhani.

Maelezo hayoyametolewa na Mwenyekitwa Kamati ya Ufundi naUsimamizi wa Upanuzi waMsikiti wa Makka, FaialFuad Wafa, katika mkutanwa Kamati.

Alisema kwamba

sehemu zote za ghorofakatika mzunguko huonazo zitakamilika kbala yakufanyika kwa Ibada yaHijja.

Mradi wa upanuzi waMataf utaongeza uwezowake wa kuchukuaMahujaji kwa pamojakutoka watu 40,000 hadikukia Mahujaji 130,000kwa saa.

Upanuzi mzungukowa K’aaba waendelea

Kuchukua Mahujaji 130,000 kwa sa

BAADA ya vuta nikuvutehatimaye Msikiti wa kihistoriauliopo katika mji wa Cordobanchini Hispania, (The GreatMosque of Córdoba), ambaoulifanywa Kanisa sasaumerejeshwa kwa Waislamu.Unatambulika tena kwa jina lakela asili la Msikiti kama ilivyokuwaawali badala ya Kanisa.

Msikiti huo uliporwa na Wakristo baada ya kuanguka kwa utawala waWaislamu waliokuwa wakiitawalaAndalus kwa karibu karne nane.

Tangu mwaka 2006 KanisaKatoliki lilikuwa limejipa Msikitihuo ambao unatambulika naUNESCO kutokana na matatizo yakisheria.

Msikiti huo katika ramani

Msikiti wa Cordoba uliogeuzwaKanisa warejeshwa kwa Waislamu

ulikuwa umetolewa jina lake nakuwekwa jina la Kanisa. Ramanizote za kitalii neno ‘Msikiti’ lilikuwalimeondolewa.

Baada ya mivutano ya mudamrefu juu ya Msikiti huokutambulika kama Kanisa badalaya Msikiti, hali iliyochukuamuda wa miaka miwili nchiniHispania, mwishowe Msikiti huoumerejeshewa jina lake halisi.Umerudishwa na kutambulika kwaasili yake ya mwanzo kama Msikiti.

Hatua hiyo imekuja baada yakusainiwa saini zaidi ya 400,000 namijadala ya kisiasa kufanyika.

 Jengo la Msikiti huo limekuwalinawavutia watalii wengi kutokamaeneo mbalimbali duniani nahuingiza kitita cha pesa dola milioni9 kwa Hispania.ahbaaburblogspot.

SEHEMU ya ndani ya Masjid Córdoba.

Marekani yanaswa ikiwapa silaha magaidi wa ISIS/al Qaeda, IraqNdege yaonekana ikishusha shehena Al-Anbar 

SHIRIKA la Afya Duniani(WHO) limesema idadi yawatu wanaokadiriwa kuishina ugonjwa wa kisukariimeongezeka mara nne zaidindani ya miaka 35 iliyopita.

Shirika hilo limesema idadiya watu wazima wanaoishi nakisukari imeongezeka kukiawatu milioni 422 mwaka wa2014 ikilinganishwa na watumilioni 108 mwaka wa 1980.Ongezeko hilo linadaiwakusababishwa na namna watuwanavyokula, kuishi pamoja namfumo wao wa mazoezi kuwamdogo.

Katika ripoti yake ya kwanza juu ya ugonjwa huo wa kisukari,Shirika hilo limesema mwaka wa2012 ugonjwa huo uliripotiwakusababisha vifo vya watu

milioni 1.5 duniani, huku vifovinavyotokana na kupanda kwaviwango vya sukari mwilinivinavyofungamanishwa nakisukari vikiripotiwa kukiawatu milioni 2.2 mwaka huo huowa 2012.

"Ugonjwa wa kisukari nimoja ya magonjwa yanaouawatu wengi duniani kwasasa," alisema EtienneKrug, anayeongoza kitengokinachoshughulika na ugonjwahuo WHO.

Aidha imeelezwa kuwaeneo lililoathirika sana kwakuwa na kesi milioni 131 zaugonjwa huo mwaka 2014 ni

eneo la Pasiki ya Magharibi,linalojumilisha mataifa kama Japan na China. Eneo la pili niKusini Mashariki mwa Asialinalojumuisha maeneo yaliyo naidadi kubwa ya watu kama Indiana Indonesia ambako kuna kesimilioni 96 za ugonjwa huo.

Ulaya na Amerika wanashikanafasi za tatu na nne katikaorodha hiyo wakiwa na kesimilioni 64 na milioni 62 zaugonjwa wa kisukari.

Ugonjwa huo umegawanyikakatika aina mbili. Hakuna njiaya kukwepa aina ya kwanzaambapo inatokea pale kongoshoau Pancrease kwa lugha yakiingereza, linaposhindwakutengeneza homoni ya insuliniinayodhibiti viwango vya sukarikwenye damu.

Aina ya pili ya ugonjwahuo inafungamanishwa nauzito kupita kiasi, namna mtuanavyoishi na hii inawezakuepukika kwa watu wazima nawatoto kuzingatia lishe bora nakufanya mazoezi.

WHO linapendekeza watuwazima kuanzia miaka 18 hadi65 kufanya mazoezi angalaudakika 150 kwa wiki ikiwani pamoja na shughuli zakimwili kama vile kukimbia nakutembea. DW.

Ugonjwa wa kisukariwaongezeka duniani

Page 6: ANNUUR 1225

8/18/2019 ANNUUR 1225

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1225 6/20

6  AN-NUU

RAJAB 1437, IJUMAA APRIL I 15-21, 201Hoja ya Juma Kilaghai

KUSHINDWA kupata ujauzitoni tatizo linaloongezeka na

kukua kila siku katika jamiiza kisasa. Kwa sababu hiimabilioni ya pesa hutumiwakila mwaka duniani katikajitihada za kutafuta ujauzito.Kitu ambacho hakijaelewekakwa watu wengi ni kwambatatizo la kushindwa kupataujauzito linaweza kuondolewana mwili wenyewe almraditu mwili ujengewe mazingirasahihi.

Kushindwa kupata ujauzito,kama yalivyo matatizo mengineya kiafya, ni dalili kuwa kunakitu hakiko sawa ndani ya mwili.

 Japokuwa kupata ujauzitoni mchakato wa kawaida

kwa mwili wa mwanamkealiyepevuka, mwili wenyeweunaweza ukauzuia mchakatohuo iwapo unahisi kwambaujauzito utakaopatikanahautakuwa salama.

Kitendo cha mwanamkekutaka ujauzito na asiupate,huzaa maumivu makali sana.Kwa bahati nzuri mara nyingini rahisi kupata ujauzito iwapomhusika ataupa mwili wakelishe stahiki, atausaidia kwa viinilishe (nutritional supplements) naatabadili mtindo wa maisha.

Sababu za kushindwakupata ujauzito ni nyingi sana.Hii ndiyo sababu matibabu

ya kawaida aghalabu hutoamatokeo ambayo yanatofautianasana kati ya mtu na mtu. Ukwelini kwamba hakuna namnayoyote ile ambayo matibabuhayo yanaweza yakagusasababu zote zinazowezakuhusika. Dawa za kupaliliauzazi na homoni bandia, ikiwani pamoja na zile zinazotolewakwa ajili ya uzazi wa mpango,kuna wakati zinaweza kuletaunafuu, lakini pia kuna wakatizinaweza kusababisha hali ikawambaya zaidi, ikiwa ni pamojana kupunguza uwezekano wakupata ujauzito huko baadaye.

Kushindwa kupata ujauzitokunaweza kusababishwa na

mambo mengi sana. Miongonimwa hayo ni: uwiano usio sahihiwa homoni; ugonjwa wa kukuakuliko kawaida kwa mifukoya mayai kunakoambatana nauwepo wa mikusanyiko midogomidogo ya vimiminika (polycystovarian syndrome); ugonjwawa uoto wa tishu za kizazinje ya kizazi (Endometriosis); mzunguko wa hedhi usiozalishayai linaloweza kutungwa mimba(Anovulatory Cycle); kuzibakwa mirija ya uzazi; Kuwepokwa kipindi cha siku chache tukuliko inavyotakiwa baina yakuzaliwa kwa yai na kuingia

Kupata au kukosa ujauzito unaoutaka…Kunakutegemea zaidi wewe mwenyewe!

kwa kipindi kingine cha hedhi(short luteal phase); kukosekana

kwa homoni ya kuchochea nakupevusha uzalishaji wa mayai(lutenizing hormone); na kuwepokwa kiasi kikubwa cha homoniinayohusika na mchakato wakuzalishwa maziwa (prolactin).

Katika tatizo la kushindwakupata ujauzito, mara nyingilishe duni ina mchangomkubwa sana. Mabadilikochanya katika lishe na katikamtindo wa maisha aghalabuhutosha kurekebisha tatizohili. Faida ya ziada ya kutumianjia hii ni kwamba husaidiapia kukabiliana na matatizomengine ya kisiha ikiwa nipamoja na kuwa na uzito wa

mwili uliozidi, kujisikia uchovumwingi, ongezeko la sukarikwenye damu, magonjwa yangozi na kukosa usingizi.

Ili kujirejeshea uwezo wakupata ujauzito mwanamkemwenye tatizo hilo anawezakufuata utaratibu ufuataoambao hujumuisha hatuakadhaa. Utaratibu huu piani msaada mkubwa kwawanawake wanaokabiliwana hali ya kujisikia kuumwakabla ya kuingia kwenye hedhi(Pre-menstrual Syndrome auPMS kwa kifupi), wanawakewanaokabiliwa na chango lahedhi (cramping) , wanawake

wanaokabiliwa na kutokwa nadamu nyingi sana ya hedhi,wanawake wanaokabiliwana uchovu na wanawakewanaokabiliwa na matatizomengine yanayohusiana nahomoni kutokuwa katikautaratibu unaotakiwa.

Hatua ya kwanza inahusuLishe. Hii ndiyo hatua muhimukuliko zote. Katika ulimwenguwa leo idadi kubwa ya watuinakabliwa na utapiamlopamoja na kwamba wana uzitomkubwa kuliko unavyotakiwa.Ukweli wa mambo ni kwambamwili hauwezi kuruhusumimba kutungwa, au kamaimeshatungwa kuendelea

kuwepo, iwapo mazingira yamsingi yanayohitaji kutunzaujauzito hayapo. Ili kuongezauwezekano wa kupata ujauzito,mwili unahitaji kiasi chakutosha cha vyakula ambavyoni maligha muhimu katikauzalishaji wa homoni nakuepuka vyakula ambavyohuchochea kinga za mwilikuamka tayari kwa mapambano.Ni muhimu kwa mwanamkeanayetaka kuongeza uwezekanowa kupata ujauzito akachukuahatua zifuatazo kuhusu lisheyake:

1. Aondoe nafaka zote

zilizochakatwa, vyakula vyamakopo na maboksi, sukarina wanga; na badala yakeaongeze ulaji wa mboga mboga,matunda, viazi vitamu, maboga,magimbi, ndizi, na muhogo.

2. Aongeze ulaji wamafuta sahihi kutoka vyanzombalimbali kama nazi, zaituni,siagi, samli, nyama inayotokanana mifugo ya machungani,mayai ya kienyeji, maparachichina njugu mbichi.

3. Apate kiasi cha kutoshacha protini hususan kutokakatika nyama ya mifugoya machungani, mayai yakienyeji na njugu mbichi. Hii

ni muhimu pia hata mimbainapotunga kwa sababu kiasi chakutosha cha protini kinawezakupunguza baadhi ya matatizoyanayojitokeza wakati waujauzito;

4. Ale kiasi kikubwacha mboga mboga kama vilekabichi, leuce, spinachi, broccoli,cauliower , kale, nakadhalika.

5. Anywe maji ya kutosha– kiasi cha kutosha cha maji nimuhimu kwa majukumu mengisana ya kisiha mwilini ikiwa nipamoja na uwezo wa kupataujauzito.

6. Ahakikishe kwambakwa kipindi chote homoni

ya insulin iko katika kiwangosahihi. Hata kama hana kisukaricha ukubwani, ni muhimuakatambua kuwa ulaji wa kiasikikubwa cha wanga, hasa uleuliochakatwa hupelekea kwenyetatizo la insulin kushindwakufanya kazi yake (insulinresistance).

Hatua hizi za kilishwezilizotajwa hapa zitaongezauwezo wa insulin kufanyakazi yake, kitendo ambachokitasaidia katika uzalishajiwa homoni zingine na mwilikufanya kazi katika welediunaotakiwa.

Kwa baadhi ya wanawake,hatua za kilishe pekeezinatosheleza kuichocheamiili yao kushika ujauzito.Ni muhimu kwa wanawakehawa kuendelea na hatua hiziza kilishe hata wanapopataujauzito, kwa sababu lishe sahihni muhimu katika hatua zaukuaji wa mtoto ambaye badohajazaliwa.

Hatua ya pili inahusu mtindowa maisha. Uvutaji wa sigara,unywaji wa pombe, madawaya kulevya; na mengine ikiwani pamoja na baadhi ya yale yakifamasia na baadhi ya yale yakiasili, na unywaji mkubwa wavinywaji vyenye kiasi kikubwacha caeine ni tabia zinazowezakuwa kikwazo kikubwa katikasuala la kupata uja uzito. Tabianyingine zinazoweza kuwa

kikwazo cha kupata ujauzito nipamoja na: Kutopata usingiziwa kutosha. Kukabiliana nakemikali hatarishi mara kwamara. Kukosa mazoezi (aukufanya mazoezi kupita kiasi);na Kukabiliwa na kiasi kikubwacha msongo. Kwa bahati nzurini rahisi kubadili tabia nyingizinazoweza kuwa kikwazocha kupata ujauzito. Mamboya kawaida yanayohusiana namtindo wa maisha ambayoyanaweza kurahisishaupatikanaji wa ujauzito nipamoja na:

Kupata kiasi cha kutoshacha usingizi. Usingizi una

nafasi kubwa katika uzalishajiwa baadhi ya homoni. Tatizimebainisha kwambawanawake wenye viwangovidogo vya homoni za melatoninna serotonin , hupata kipindikifupi zaidi cha baina ya yaikuzaliwa na kuingia katikamzunguko mwingine wa hedhiHii ina maana kuwa fursa yaoya kupata ujauzito inakuwaimeminywa. Ukosefu wausingizi pia hushusha uwezowa mwili kuratibu kwa usahihihomoni za adrenalin, cortisol nainsulin na hivyo hali inayofanyakupata ujauzito kuwa kitendokigumu sana.

Kupunguza mazingira yakukumbana na kiasi kikubwacha kemikali hatarishi. Kemikalhizi zinapatikana kwenye chupana mifuko ya plastiki na kwenykiasi kikubwa cha vipodozi na bidhaa nyingine za usa wamwili.

Kufanya mazoezi kwakiwango sahihi. Kufanyamazoezi ya kutosha hurahisishaupatikanaji wa ujauzito. Hatahivyo Kiasi cha mazoezi kikizidkinaweza kuleta matokeo yaliyokinyume chake. Kiasi kikubwa

Inaendelea Uk.

Page 7: ANNUUR 1225

8/18/2019 ANNUUR 1225

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1225 7/20

7  AN-NUU

RAJAB 1437, IJUMAA APRIL I 15-21, 201Kalamu ya Ghassani

Na Mohammed Ghassani

TAKRIBANI wiki tatuzilizopita, nilimtabiria Dk.Ali Mohamed Shein kuwaataiishi miaka yake hii mitanokwenye Ikulu ya Mnazi Mmojakwa mateso makubwa nafsinimwake. Nilitumia taswiraya mtu ajitazamaye kioonina kuuona uhalisia kuhusuyeye, huku mwenyewe akitakakuwaaminisha wengine kuwayu mtu tafauti. Hata mwezimmoja bado haujatimia, tayarikioo kimeanza kumuambiaukweli huo Dk. Shein. Naye,kama utabiri unavyosema,ameanza kugombana nachokwa kuja nje akipiga makelelehuku nje.

“Mimi ni Rais wa Serikaliya Mapinduzi ya Zanzibarna Mwenyekiti wa Baraza laMapinduzi. Nimechaguliwa naumma miye. Kwa kishindo!”

Ndiyo muakisiko wa hotubayake ya hivi karibuni kwenye

 jengo la Baraza la Wawakilishimjini Unguja, ambapo miongoni

mwa mengi yanayoashiriamwangwi wa ugomvi wake huona kioo, ni pale anapotamkakuwa wananchi wa Zanzibarwameamua kuukataa muundowa Serikali ya Umoja waKitaifa (SUK) kwa kukipaushindi wa kishindo Chamachake cha Mapinduzi (CCM)tarehe 20 Machi 2016. Sitakinikumbushie kile kilichosemwana msaidizi wake mkuu, BaloziSeif Ali Iddi, wiki moja tu kablaya hapo, kuwa “Serikali yaUmoja wa Kitaifa itaendeleakuwapo”, lakini nakumbushakuwa matokeo anayoyatajaMheshimiwa Rais Dk. Shein

kuwa yaliukataa muundo waSUK ni yale ambayo binafsinayaita “Miujiza ya Jechailiyomgeuza chura kuwa Mwana

 Mfalme”.Kwa kila hali, hayo hayakuwa

matokeo yaliyowasilishawala kuwakilisha sauti yaWazanzibari. Vyombo vyahabari vya ndani na njevilivyopata nafasi ya kuyaripotimatukio ya Machi 20 vilioneshavituo vingi vya kura koteUnguja na Pemba, vikiwavitupu. Mitandao ya kijamiipia ilijaa picha za wapigakura wakionesha kile hasawalichokuwa wakikifanya

Wazanzibari hawakuikataa SUKkwenye vyumba vya kura. Kunawaliopewa karatasi zaidi ya mojaza kura – kama mke wa nduguyangu ambaye pia ni mwalimuwa skuli moja ya wilaya yaMagharibi, lakini wakaishiakuziandika “Allah Akbar” –Mungu Mkubwa. Huyu alirudinyumbani akilia akimuambiamumewe kuwa anajihisiameisaliti Zanzibar kwa kuamuakwenda kupiga kura kwa kuwatu analinda kibarua chake. Kunawaliotuma vidio zinazooneshawakimpelekea ujumbe JechaSalim Jecha, Mwenyekiti waTume ya Uchaguzi (ZEC), kwakumuandikia: “Jecha, tambuakuwa dhuluma haidumu!” Nahao si kidogo.

Alimradi, kwa mara yakwanza kwenye siasa zaZanzibar, teknolojia yamawasiliano ya kisasa ikatumika

kuiumbua ZEC, Jecha naCCM kwa pamoja. Uchaguziwaliouitisha kwa mbwembwena hamasa za kuwakomoawapinzani wao, ukamalizikakwa hizaya kubwa. Kuna ambaowanahoji kwamba lau CCMilijuwa haya yangelitokea, basiwasingeliruhusu matangazo yamoja kwa moja ya televishenina redio kutoka vituo vya kurawala wapigakura kuingia nasimu za mkononi.

Mtumiaji mmoja wa mtandao,ambaye kwa hakika ni mwana-CCM aliyekwenda kupiga kurakwa hiyari yake, aliniandikia

hivi:“Nimeondoka nyumbanikwangu Mwembenjugu saa8:00 mchana kwenda kupigakura kituo cha KidongoChekundu na saa 8:30 nikawanisharejea nyumbani. Hiiunajuwa maana yake ni nini,Mohammed?” Nikamjibu sijui.Akaniambia: “Inamaanishakuwa hata sisi wana-CCMtumegomea uchaguzi huu. HapaMwembenjugu, Sogea, Kwahani,Kidongo Chekundu pote hapani CCM watupu. Lakini vituovilikuwa vitupu.”

Ndiyo maana wengine

tukasema matokeoyaliyotangazwa na Jechana kumpa Dk. Shein kura299,982 sawa na asilimia91.4 ya kura zinazoitwahalali, ulikuwa mchezo wamazingaombwe. Kwa hivyo,Dk. Shein anafahamu ka kuwaWazanzibari hawajaukataamuundo wa Serikali ya Umojawa Kitaifa. Na walisema hayokatika uchaguzi 25 Oktoba2015. Kama ni kukataa, basiwatakuwa wamekataa waleambao hawautambui msamiatiwa kukataliwa na umma kwa

njia za amani, wakaja kuitisha“uchaguzi wa marudio waMachi 20”.

Ni kijembe kwake kusemakuwa Wazanzibari wameukataamfumo huo, ilhali hata hiyoKatiba anayoapa kuilindainautambua muundo huo tuwa serikali ya Zanzibar. Ukwelikuwa amemteua Balozi SeifAli Iddi kuwa makamu wapili, unatumia mantiki kuwakulitakiwa awepo makamu wakwanza, maana huwezi kuwana wa pili bila ya kuwa na wakwanza.

Nakumbuka siku ile ya tarehe25 Oktoba 2015 pale BungiMiembe Mingi, wilaya ya KusiniUnguja, mara baada ya kupiga

kura yake, waandishi wa habariwalimuuliza Dk. Shein kwa ninialikuwa anaamini Wazanzibariwangelikuwa na sababu zakumchagua tena kuwa rais wao,naye akataja sababu kadhaa,lakini kubwa yote akasemani mafanikio yake kwenye

kuiongoza Serikali ya Umojawa Kitaifa. Akajisia kuwahata mataifa ya nje yanakuja

Zanzibar kujifunza namnaWazanzibari walivyowezakuijenga na kuiendesha serikalihiyo. Akamalizia kuwa chochotkizuri ambacho alikuwaamekifanya kwenye miaka ilemitano ya awali ya uongoziwake, kilitokana na mashirikianya pande zote mbili, CUF naCCM, na hivyo hivyo kama nikukosea, basi wamekosea kwapamoja. Leo hii ni ajabu kwambkiongozi ambaye hadi miezimitano nyuma alijisia na kujipheshima kwa SUK, anauvunjamuundo huo wa serikali (nakudai kuwa umekataliwa!).

Ukweli ni kuwa Dk.Shein anafahamu ka kuwaWazanzibari hawajaamuakuyakataa Maridhiano yao.Hawajaamua kuivunja Katibayao. Hawajaamua kuirejeshanchi yao kwenye zama za ujahil(wa siasa za chuki na uhasama)

RAIS mstaafu wa Zanzibar, Amani Abeid Karume (kushoto) akiwana Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seif Sharif Hamad.

NI TAASISI YA KIDINI ILIYOANZISHWA NA KUSAJILIWA KISHERIAMWAKA 2014 MKOANI MOROGORO KWA LENGO LA KUIHAMASISHA JAMII YA WAISLAMU KUIKUMBUKA NA KUITEKELEZA NGUZO YATATU YA ZAKKA.

PAMOJA NA HAYO TAUZAMO KUPITIA UTOAJI ZAKKA INALENGAKUIUNGANISHA JAMII KUWA KITU KIMOJA, KUFUFUA UCHUMI WAKIISLAMU ULIOKUFA NA KUIFANYA QUR’AN NDIYO MUONGOZOSAHIHI KWA UMMA.

TAYARI TAUZAMO IMEFANIKIWA KUWA NA BAYTUL MALLILIYOKO MTAA WA SIMU KATIKA KATA YA MJI MPYA MANISPAA

YA MOROGORO PAMOJA NA KUFUNGUA AKAUNTI KATIKA BANK YA

KCB TAWI LA MOROGORO NAMBA 3301064116.

ILI KUWEZA KUFIKIA MALENGO HAYO NA MENGINE, TAASISIINAHITAJI UUNGAJI MKONO KWA HALI NA MALI KUTOKA KWENYETAASISI NA VIKUNDI MBALIMBALI.

UNAWEZA KUFIKA OFISINI MAKAO MAKUU MTAA WA SIMU KATAYA MJI MPYA MANISPAA YA MOROGORO AU WASILIANA NASI KWA

SIMU NAMBARI 0686240494 AU 0717337919

TANGAZO HILI NI KWA HISANI YA MWENYEKITI WA TAUZAMO

SHEIKH SALEH HUSSEIN SANGA (BWAWANI).

TAASISI YA UKUMBUSHO WA ZAKKA

MOROGORO (TAUZAMO)

Page 8: ANNUUR 1225

8/18/2019 ANNUUR 1225

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1225 8/20

8  AN-NUU

RAJAB 1437, IJUMAA APRIL I 15-21, 201Makala

Na Nizar Visram

TAREHE 21 na 22 Machi mwakahuu Rais Obama wa Marekanialifanya ziara ya kihistorianchini Cuba. Ya kihistoria kwa

sababu hii ilikuwa ziara yakwanza ya rais wa Marekaninchini Cuba tangu miaka 88iliyopita. Mara ya mwishoilikuwa mwaka 1928 wakati raiswa Marekani alipotembeleanchi hiyo.

Ziara hii ya Obama inafuatiatangazo lake mnamo Disemba2014 kuwa anakusudiakuanzisha uhusiano wakidiplomasia na Cuba. Baadaya hapo Obama alikutana usokwa uso na Rais Raul Castrowa Cuba wakati wa mkutanowa marais wa nchi za Amerikauliofanyika nchini Panamamnamo April 2015. Na mwezi

uliofuata Marekani ikaiondoaCuba kutoka orodha ya kileinachokiita “nchi za kigaidi”.Kisha Cuba ikafungua ubaloziwake nchini Marekani mwezi

 Julai 2015 na mwezi uliofuataMarekani ikafungua ubaloziwake mji mkuu wa Cuba(Havana). Huu ndio mchakatouliopelekea Obama kuizuri Cubahivi majuzi na kudai anatakakufungua ukurasa mpya wakiraki badala ya kuendeleana vita baridi. Akasemaanataka kumaliza uhasamauliokuwepo tangu Mapinduziya tarehe 1 January 1959 nakuanza uhusiano mpya bainaya Marekani na Cuba. Obamaalichukua muda wa dakika38 akizungumza na baadhi yaraia wa Cuba. Alitumia mudamwingi akijaribu kuwaelimishamaana ya demokrasia nahaki za binadamu kama“inavyotekelezwa” nchiniMarekani . Alisahau kuwanchini Marekani theluthi mojaya watoto wanaishi maisha yaufukara, kuwa jumla ya raiamilioni 48 wanaishi na njaa,kuwa miongoni mwa nchi ‘tajiri’duniani Marekani inashikanafasi ya mwisho katika utoajiwa elimu kwa watoto. Ni kwasababu asilimia 95 ya mapato

‘Mpende mkeo’, kwa hisani ya watu wa Marekani!Ziara ya Obama nchini Cuba – lengo lake Nini?Hakuna tunachoweza kuiga kutoka kwa Castro?

yote nchini yanaingia mifukonimwa matajiri ambao idadi yaoni asilimia moja tu ya raia wote.Akasema nchini Marekani kilaraia ana haki ya kutoa mawazoyake na kuikosoa serikali.Alisahau kuwa kuna raia kamaEdward Snowden ambaye yukomachoni na Chelsea Manningtayari amehukumiwa kifungo,kwa sababu wamechuauhalifu wa kivita na ujasusiunaofanywa duniani na utawalawa Marekani.

Obama pia alitoa somokuhusu umuhimu wa kufuatasheria ili mtu asipoteze uhuruwake bila ya kuhukumiwamahakamani. Alisahau kuwaserikali yake imeyakaliakimabavu maeneo yaGuantanamo ambayo ni maliya Cuba. Siyo tu inakataakuirudisha, bali inatumiamaeneo hayo kama gereza lakuwafungia mamia ya watuwasiokishwa mahakamaniwala kufunguliwa mashitaka.Alipochaguliwa aliahidi kuwaatawaachia lakini hajatimizaahadi hiyo.

Raul Castro nayeakakumbusha kuwa haki za

 binadamu na demokrasia sikupiga kura tu kila baada yamiaka minne (kumchaua Trump

au Clinton), bali ni pamojana haki ya kijamii, kiuchumi,kitamaduni, ya kufanya kazi,ya matibabu, elimu, hifadhiya jamii, kutokubaguliwa, nakadhalika. Akasema nchiniCuba uhalifu mkubwa wa hakiza binadamu unafanywa naMarekani huko Guantanamo.

Gereza hili katika ardhi yaCuba limekuwepo kwa muda wamiaka 15. Tayari wafungwa tisawamekufa na wengine wengiwamegoma kula. Mwaka 2008Obama alipokuwa akigombeaurais aliahidi kuwa atalifungagereza hilo kwa vile “linaiaibisha

Marekani ulimwenguni”. Sasaanasema hawezi kulifunga kwasababu bunge lake (Congress)linakataa na linataka wafungwawaendelee kuteswa gerezani bilaya kufuata taratibu za kisheriana kikatiba. Hiyo ni Marekaniinayotaka kuifundisha Cubamaana ya haki za binadamu!

Wakati Obama alipokuwaakifundisha somo la demokrasiana haki za binadamu,waandishi walioambatana nayewalimuuliza Rais Raul Castrokwanini anaendelea kuwawekandani “wafungwa wa kisiasa”.

Mara moja Castro akajibu, “nipemajina ya hao wafungwa naminitawaachilia leo hii.”

Labda hao waandishiwalikuwa hawajasoma ripotiya asasi ya kimataifa yahaki za binadamu (AmnestyInternational) ambayo ilisemakuwa Cuba haina mfungwa wakisiasa hata mmoja. Wa mwishoalifunguliwa mnamo Septembamwaka jana. Pengine waandishiwangeelekeza suali lao kwaObama. Kwani nchini Marekanikuna wafungwa wa kisiasa.Kwa mfano, tovuti ya Jerico

Movement ina picha na maelezoya wafungwa hao zaidi ya 50.Maarufu kati yao ni MumiaAbu Jamal ambaye anauguaugonjwa wa manjano (HepatitisC) lakini gereza linakataakumpa matibabu, hivyo huendaakafa gerezani. Mwengine nialiyekuwa akiitwa Rap Brown,ambaye sasa anajiita Imam JamilAl-Amin. Hawa wamewekwandani kwa sababu za kisiasa.

Obama aliwataka wananchiwa Cuba wasahau jinsi nchiyao ilivyokuwa ikishambuliwana Marekani tangu Mapinduziya 1959. Shirika la kijasusi

la Marekani (CIA) lilifanyamajaribio kadha ya kuiangushaserikali ya Cuba na kumuuaRais Fidel Castro (wakati ule)na wenzake. Jaribio kubwa nilile la “ghuba ya nguruwe” (Bayof Pigs) mnamo 1961 wakatiwananchi wengi wa Cubawaiuawa wakiilinda nchi yao.

Obama alitaka Wacubawasahau kuwa mwaka 1976ndege yao ya abiria (Cubanade Aviación) iliripuliwa kutokaangani na abiria 78 wa kimataifawalikufa. Magaidi waliotendauharamia huo walipewa hifadhinchini Marekani . Anatakawasahau kuwa CIA walitegamabomu katika migahawana hoteli nchini Cuba mnamomiaka ya 1990. AnatakaWacuba wasahau kuwa tangu1960 Marekani imeiwekeaCuba vikwazo kamili. Wakatihuo waraka kutoka ikulu yaMarekani ilisema lengo nikuizuia Cuba kufanya biasharana nchi za nje ili wananchi wakewateseke na njaa na ukosefuwa mahitaji ya lazima kamadawa na vipuli. Waraka ulisema“wananchi hao watakapobanwana njaa, ndipo watalazimika

kuipindua serikali yao.”Mbinu zote hizo ziligonga

mwamba. Leo Obama anasematusahau yaliyopita wakativikwazo vingali vinaendelea.Na mbinu zao ziligongamwamba kwa sababu Cubainatoa matibabu kwa raia wote

 bila ya malipo. Cuba inaongozakatika uwiano wa madaktari nawananchi, yaani kwa kila raia1,000 kuna madaktari 6.7. Ninchi chache duniani zinawezakudai takwimu ya aina hii.

 Jarida mashuhuri la matibabuduniani (Lancet Journal) 

linasema kama mafanikioya Cuba yangeigwa na nchizinazoendelea, basi afya yawatu duniani ingekia kiwangocha juu. Kwa mfano, Cubaimevumbua dawa inayotibusaratani. Wana dawa za ainanyingi ambazo zinawezakuuzwa nchini Marekani kamakusingekuwa na vikwazo.

Cuba pia inatoa elimu bilaya malipo hadi ngazi ya chuokikuu. Inaongoza dunianikwa kiwango cha bajetikinachoelekezwa katika sektaya elimu. Ina vyuo vikuu 22vinavyofundisha madaktari.

Kabla ya mapinduzi ya 1959vilikuwepo vitatu tu.

Nchini Cuba wanawakewanawazidi wanaume katikaidadi ya majaji, mawakili,wanasayansi, wanateknolojiana kadhalika. Asilimia 48 yawabunge ni wanawake. Piawanawake wanapewa likizoya miezi tisa wanapojifungua,wakilipwa mshahara kamili.Baada ya hapo miezi mitatuhulipwa robo tatu ya mshaharaKwa mujibu wa shirika la afyaduniani (WHO), nchini Cubaumri wa wastani kwa wanawakni miaka 80 na kwa wanaume n

miaka 77.Si ajabu rais mstaafu wa Cuba

Fidel Castro, aliandika makalaakisema: “TunamshukuruNdugu Obama kwakututembelea, lakini Cuba ninchi inayojitegemea - hatuhitajisadaka kutoka ubeberu.”

 Je, sisi Watanzaniatunathubutu kusema hayo? Aututaendelea tu na matangazoya redio kuhusu malariayanayoletwa kwa “hisani yaMarekani?”. Hata matangazo yaredio pia mpaka tufadhiliwe?

(0713-562181 nizar1941@

Page 9: ANNUUR 1225

8/18/2019 ANNUUR 1225

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1225 9/20

9  AN-NUU

RAJAB 1437, IJUMAA APRIL I 15-21, 201Hoja ya Juma Kilaghai

Kupata au kukosa ujauzito unaoutaka…Inatoka Uk. 6

cha mazoezi kikifanywakila wakati kitausababishamwili ushindwe kuzalisha na

kupevusha mayai kwa ajiliya kurutubishwa wakati wakutunga ujauzito.

Kupunguza uzito wa mwilikwa kiasi kikubwa huchocheautungaji wa ujauzito. Hata hivyotati zinaonyesha kuwa na kiasikidogo cha mafuta (chini ya 15-18%) kunaweza kupelekea mwilikuingia katika mzunguko wahedhi usiozalisha yai linalowezakutungwa mimba.

Kupunguza msongo. Pamojana ugumu wa kitendo hiki,kupunguza msongo ni muhimusana kwa mama anayetafutaujauzito. Zungumza na daktari

wako kuona iwapo dawazozote unazotumia zinawezakukupunguzia uwezekano wakupata ujauzito.

Hatua ya tatu inahusumatumizi ya viini lishe. Viinilishe vifuatavyo vinachagizawepesi wa kupata ujauzito:Vitamin D- Tati za hivikaribuni kabisa zinaonyeshauhusiano kati ya upungufu wa

Vitamin D na kushindwa kupataujauzito na kutupa mimba paleinapotunga.

Vitamin C– Tati zinaonyesha

kuwa vitamin C ni nzurikwa matatizo ya kushindwakupata mtoto kwa wanawakena wanaume pia. Inashauriwakutumia kiasi cha miligramu2,000 kila siku.

Folate– Folate ni vitaminmuhimu sana kwa masualayanayohusiana na ujauzitona makuzi ya mtoto tumboni.Inashauriwa kutumia folatemiezi kadhaa kabla ya kutafutaujauzito na pale ujauzitounapopatikana kuendelea nayokwa miezi kadhaa ya mwanzo.Wanawake wanaotafuta ujauzitowanashauriwa kutumia walau

microgramu 2,000 kwa siku.Zinc- Madini ya zinc nimuhimu sana kwa wanawake nawanaume wanaotafuta mtoto.Kwa upande wa wanaumehusaidia sana katika kuzalishambegu za kiume zilizo nyingina bora na kwa upande wawanawake husaidia sana katikakupevusha mayai. Ni vizurisana madini haya yakatumiwa

pamoja na vitamin za kundi la b,yaani vitamin b mbalimbali.

Selenium– Madini ya seleniumhusaidia katika kuulinda

mwili dhidi ya vioksidishaji(free radicals) na hufanya kaziya kutoa ulinzi kwa mbeguza mwanamme na yai lamwanamke. Madini ya seleniumhujulikana pia kuwa yanasaidiakatika mgawanyo wa seli nainaaminika kuwa yanawezayakazuia utupaji wa mimba.

B-Vitamins– Upungufuwa vitamin za kundi la

 b (B vitamins) ni jambola kawaida kwa yeyoteanayekula kiasi kikubwa chavyakula vilivyochakatwa(processed), nafaka na sukariza aina mbalimbali. Kuongeza

kiwango cha vitamin za kundila b kwenye lishe kunawezakuongeza kiwango cha homoniya kuchochea na kupevushauzalishaji wa mayai na hivyokuongeza uwezekano wa kupataujauzito.

(Juma Killaghai ni mtaalamwa lishe, ni mtaalam wa stadiza tiba na ni Mkemia Mtaftiwa bidhaa zinazotokana na

viumbe hai (Organic NaturalProducts Research Chemist).Kwa mawasiliano piga:0754281131/0655281131

Juma Killaghai ana kibali chWizara ya Afya na Ustawi waJamii kwa ajili ya kutoa elimuinayohusu masuala ya siha; napia ana leseni ya Baraza la TibaMbadala na Tiba Asilia kwaajili ya kutoa tiba asilia.)

 HAIIBA TIMAMU TE ACHAI YA A JABU K WA A JILI YA KUK  ABILIANA NA

SHINIKIZO LA DAMU (HYPERTENSION/HIGH

BLOOD PRESSURE)

UGONJWA WA MOYO

KIHARUSI

JONGO (GOUT)

MAUMIVU YA VIUNGO (RHEUMATISM)

MAUMIVU SUGU YA KICHWA

BAWASIR (PILES/HEMORRHOIDS)

MAGONJWA YA INI

SARATANI MBALIMBALI

UOTO/UVIMBE MBALIMBALI KATIKA VIUNGO

VYA UZAZI VYA MWANAMKE (FIBROIDS,

POLYPS NA CYSTS)

KUSHINDWA KUZUIA MKOJO (URINARYINCONTINENCE)

ATHARI ZA KISUKARI CHA UKUBWANI

PUMU

UPUNGUFU WA KINGA ZA MWILI

KASI YA KUZEEKA

MATATIZO YA MFUMO WA MZUNGUKO WA

DAMU

MKAKAMO WA NGOZI;

UDHAIFU WA MACHO

KUPOTEZA KUMBUKUMBU

KASI NDOGO YA KUPONA MAJERAHA

MAKOVU KWENYE MAPAFU

UGONJWA WA NGOZI KUCHUJA RANGI,

YAANI, VITILIGO

HAIIBA TIMAMU TEA

INAPATIKANA

HERBAL IMPACT

MOSQUE STREET, NO. 1574/144

(MKABALA NA MSIKITI WA

SUNNI), KITUMBINI, DAR ES

SALAAM

TUTEMBELEE AU TUPIGIE SIMU

NAMBA:

0754281131/0655281131/06862

81131/0779281131TATIZO LANGU LA KUHISI KAMA SINDANO ZINACHOMA KWENYE NYAYO

NA GANZI LIMEONDOKA BAADA YA KUTUMIA HAIIBA TIMAMU TEA

Na. Seif Abdallah

Kwa muda mrefu nilikuwa nakabiliwa na tatizo la hisia za kuchomwa

chomwa na sindano kwenye nyayo pamoja na ganzi. Pamoja na kujaribu

matibabu ya aina tofauti tofauti kwa muda mrefu hali hii iliendelea. Siku

moja jamaa yangu mmoja alinipa namba za simu na kunishauri niwasiliane

na wahusika huenda wangeweza kunisaidia. Niliwapigia wahusika simu

wakaniambia nitembelee ofisi zao zilizoko mtaa wa Mosque, kitumbini jijini

Dar es Salaam. Nilipofika waliniambia tatizo langu lilikuwa linahusu zaidi

mishipa ya fahamu na mzunguko wa damu. Walinipatia chai ya Timam na

kunipa ushauri wa lishe. Nilishangaa sana kuwa ndani ya siku tatu zile

sindano na ganzi vilitoweka na hadi leo ile hali sijaisikia tena!

https://www.facebook.com/Herbal-Impact-157972014402705/

Page 10: ANNUUR 1225

8/18/2019 ANNUUR 1225

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1225 10/20

10  AN-NUU

RAJAB 1437, IJUMAA APRIL I 15-21, 201

GAMBA la kitabu Kwaheri Uhuru, Kwaheri Ukoloni.

Makala

WAKATI Dk. Harith Ghassanyanaandika kitabu chake, ”KwaheriUkoloni Kwaheri Uhuru,” sikumoja usiku alinipigia simukutoka Washington. Wakati ule

mimi naishi Tanga. Dk. Ghassanyakaniuliza kuhusu AbdallahKassim Hanga aliyewahi kuwaWaziri baada ya Mapinduziya Zanzibar. Nadhani katikamazungumzo yetu siku zanyuma nilipata kumweleza kuwanilimfahamu Hanga katika utotowangu.

Baada ya kumpa kisa hikisikumaliza akanikatisha nakuniambia angependa anirekodikatika kinasa sauti ili atumiemaelezo yangu kwenye kitabu.Hapa chini ndiyo niliyosemakuhusu Hanga na ndivyo yalivyokatika kitabu:

”Mimi nikiishi na baba yangumtaa wa Somali, namba 22. Klabuya mwanzo maarufu ya Kilwa Jazz

Band ilikuwa kwenye nyumba yamama yake Abdu Kigunya. Mbeleya nyumba yao ikika kama saatisa, kumi, laasiri, wazee walikuwawanaweka jamvi pale, wanacheza bao. Sasa hivi ukienda pamejengwamajumba ya maghorofa.

“Hanga akija pale mtaa waGogo, kona na Mtaa wa Mchikichi,nyumba ya kona barazani wazeewametandika majamvi wanacheza bao. Mimi nilimjuwa Hangakwa sababu nikimuona kwenyemagazeti. Na wakati ule mawaziriwakitembeya na yale magari meusiyakiitwa “Humber.” Sikumbukikumuona Hanga kuja pale na gari.

“Basi ikapita, Mapinduzi Ungujayakatokea sisi wadogo, hatujui ninikinachotokea. Mwaka 1967 nadhani,

pale Mnazi Mmoja, Dar es Salaam,Anatoglou Hall, tukicheza mpirawa miguu pale. Mambo yalianzaMnazi Mmoja katika mkutanowa hadhara. Hanga katolewa jelaUkonga kaletwa pale kuadhiriwa naNyerere. Sisi ni watoto, mambo yalena nyimbo zile lazima tujumuike.Hanga akaletwa pale. NamuonaHanga mimi kwa macho yangu yakitoto na miwani yake ile.

“Hanga alikuwa mwembambana mrefu na alikuwa na thick hair.Alikuwa mtu mwenye kupendeza.Kaja pale na uso ulionyong’onyea.Lakini sisi hatujui kinachotendeka.Watoto wa Kiswahili miaka 14, 15,16, ni wadogo. Hatujui kinatendekanini. Lakini mimi najua kuwa yule

 Yaliyotokea kifo cha Abdallah Kassim Hanga

Na Mohamed Said

PICHA hii iliyochukuliwa tarehe 16 Januari 1968 inamuonesha Mwalimu Jul ius Nyerer e akihutubia mkutano wa kumuumbua Abdullah Kassim Hanga (aliyekaa baina ya maaskari wawili) nahiyo inaaminika kuwa siku ya mwisho Hanga kuonekana hadharani.

pale Hanga namuona kuwa nimfungwa.

“Hanga miwani iko puani usoumemparama kama jiwe la kiama,madevu yamemjaa. Anaadhiriwa! Jua la saa sita mchana linampigavizuri. Kwa pale kukaa na

kajiinamia nilijuwa kuwa mambo simazuri. Nyerere pale anazungumzana wote wanasikiliza. Nyerereunajua. Nyerere alikuwa ni orator(mzungumzaji mzuri).

“Na kuna kumuuwa mtukiungwana. Nakumbuka incident

moja Nyerere anamuonyesha kidolHanga anasema “hili, hili, hili.Hana lolote. Hakuna lolote anawezkufanya huyu. Afadhali huyu

mwenzake [Babu].” Ukitizamakwenye Tanganyika Standard,wakati ule bado halikuchukuliwa nserikali, wakati ule mhariri ni yuleMuingereza, Brandon Grimshaw.

“Utakuta full page. Mimi kwa jicho langu nimeona kwa sababu baba yangu mimi akinunua lilegazeti. Picha ya Hanga iko mbelena madevu na miwani yake ile. Simimi tu, watu wengi wanakumbukhiki kisa. Mimi baba yangu rakizake walikuwa Jaha Ubwa, Twala…Wakitembeleana zamani wakati wapasaka. Baba yangu alikuwa membwa band ya Black Birds ya BwanaAlly Sykes.

“Nadhani kule ndo walikofanyauraki na hawa jamaa waZanzibar. Picha yangu mimi ya

Mzanzibari, wakija kule nyumbaniunamuamkia na suala lilikuwa“wewe umeshahitimu wewe.”Na ile ”sophistication” ya wakezao wakija nao pale, yale mavazi,mabuibui, uturi ule, vile vyakulawakiandaa nyumbani pale.

“Hii ndo picha yangu yaMzanzibari. Palikuwa na pichapale ukutani ya marehemu fatherwangu na kina Jaha Ubwa. Ilepicha ikapotea pale ukutani. Ikawahaionekani tena. Lakini palikuwamzee akizungumza habari za akinaTwala alikuwa akinong’ona. Nahismzee alikuwa ana khofu. Ile ni daliya woga. Kitu kibaya kimetendeka

“Lakini lazima aulize. Vipimkewe. Watoto vipi? Lakinihawezi kusema kwa sauti. Siku

nilipokuja kukutana na Ali Nabwaaliponielezeya habari za Zanzibar,nikamwambia mimi baba yangualikuwa ana masikilizano na akinaTwala na yeye akaanza ku open upsasa. Nikasema duu! Alipotoka jelaAli Nabwa alikuja pale mtaa waNarung’ombe na Sikukuu.

 “Pale palikuwa na barazamaarufu sana ya Saigon FootballClub. Nabwa alikuwa anakujapale. Tukitoka tukikaa pembenitukizungumza chamber. Nilijua baadaye sana kuwa kumbe alikuwametoka jela. Pale ndo nilipoanzakuwaona Wazanzibari kwa suranyingine sasa. Kumbe zile bashashzinadanganya?

“Kuwa Hanga ndiye aliyekuwakinara wa Mapinduzi ya Zanzibarhili si jambo lenye utata tena. Ikiwahivyo ndivyo Hanga hatowezakuutua mzigo wa roho zilizopoteakatika mapinduzi hayo. IkiwaHanga atalaumiwa kwa vifovya maelfu ya Wazanzibari nanialaumiwe kwa mauti yaliomkaHanga tena kwa kuuliwa kikatilikwani hapana neno zaidi ya hilolinaloweza kutosheleza kuelezea jinsi Hanga alivyouliwa.

“Kichekesho kikubwa nikuwa wale waliopoteza roho nakutangulia mbele ya haki yaoyalikuwa yamekwisha. Lakinikwa wale wajane na mayatimawaliobakia nyuma na kuhangaika,kifo cha Hanga na wenzake katika

Inaendelea Uk. 1

Page 11: ANNUUR 1225

8/18/2019 ANNUUR 1225

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1225 11/20

11  AN-NUU

RAJAB 1437, IJUMAA APRIL I 15-21, 20111 AN-NUU

Makala

Inaendelea Uk. 1

WAKATI najiandaa kuandikamakala ya wiki hii, nilipokeasimu kutoka kwa mtualiyejitambulisha kuwaanapiga kutoka Bukoba.Pamoja na mengi aliyoongea,lakini la msingi ni kuwa kuna

Waislamu wenzao wawiliwametoweka toka mweziFebruari mwaka huu mpakahivi sasa hawajulikani walipo.Wametembea vituo vyotevya polisi mkoani Kagera,hakuna maelezo ya maanawanayopewa. Wameandikabarua kwa Kamanda wa PolisiMkoa wa Kageara (RPC),hakuna jibu. Wameandikakwa Waziri wa Mambo yaNdani, kimyaa! Ilimuradiwamefka mahali hawajuila kufanya. Hawajui kamawaumini wenzao hao wapohai au wamekufa. Na kamawapo hai, wapo wapi. Kama

wamekamatwa na Polisi, kwanini hawafkishwi mahakamanikama watuhumiwa wengine. Lakama wamekufa, wameuliwana nani, kwa nini wameuliwana kwa kosa gani.

Nikiri kwamba sijafanya juhudi za kutosha kuhakikitaarifa hizo. Lakini katika hali yaulimwengu wa sasa hivi wa Vitadhidi ya ugaidi, wasiwasi ulioponi kuwa huenda watu haowamehusishwa na tuhuma zaugaidi. Ila kama nilivyotanguliakusema, bado suala hili linahitajikufuatiliwa kwa undani zaidikujua hasa nini kimewasibuwatu hao.

Hivi sasa kule Brussels na

katika vyombo vya habari vyaMagharibi, kila kukicha, zilehabari za lile tukio lililoitwa lakigaidi, zinageuzwa geuzwakama chapati. Hivi sasawamekuja na ‘stori’ kwambawaliolipua walikuwa piawamepanga wakitoka Brusselswakalipue tena Paris. Marautasikia, polisi wamemkamatakijana aliyekuwa kavaa heti naamekiri kwamba anahusika.

“Terror suspect Abrini admitshe was 'man in hat' at Brusselsairport”, ndivyo vyombovya habari vilivyoandikavikinukuu Idara za Usalamaambapo inadaiwa kuwa

Mohamed Abrini amekiri kuwayeye ni "the man in the hat",akiongozana na Salah Abdeslamanayedaiwa kubeba mkobauliokuwa na bomu.

Hata hivyo, kila taasisi zakiusalama zinavyoligeuzageuza

 jambo hili katika kushadidiakuwa wahusika ni magaidi waIS, ndivyo wanavyojichanganyana kuzua maswali mengi yasiyona majibu.

“Intelligence Accounts Raise More Questions on Originsof Brussels, Paris Aacks”,anaandika Alex Lantierakionyesha kuwa kumekuwa na

 Amesema kweli Prof. Michel Chossudovsky…

Tukiparamia ovyo agenda

 ya ugaidi tutaangamia soteTutajikuta ni ‘territorial’ ya US/NATOSuala hapa sio Uislam wala Waislamu

Na Omar Msangi

kujichanganya kwa makacherokwa kutoa kauli ambazozinadhihirisha wazi kuwa kunamkono wa NATO katika IS.Mwandishi anatoa mfano wataarifa zilizochapishwa katikagazeti la

New York Times, zikiwa nakichwa cha habari: “How ISIS

built the machinery of terror underEurope’s gaze.”

Katika Makala hiyo anasemakuwa, japo New York Times,walikusudia kuonyesha kuwakulikuwa na uzembe ndaniya taasisi za kikachero, lakininyaraka zinazonukuliwazinaonesha kuwa wanaodaiwa

kuwa ni magaidi wanauhusiano wa karibu sanana vyombo vya usalama naisingewezekana kufanya lolote

 bila ya kuruhusiwa au kupewamaelekezo

Kwa upande mwingine, sasalinapigwa debe kuwa ziandaliwsheria na taratibu ngumu zaidi

za kiusalama katika viwanja vyandege.“Brussels airport bombings brin

new security measures in U.S.”Ndivyo baadhi ya magazeti

yalivyoripoti wiki hii na ikatajwkuwa moja ya njia hizo ni kuwana mbwa wengi wa kunusa.Kwa viwanja vikubwa vyandege kuwe na mbwa kama500 hivi. Hapa ujue kuwa kamaitaamuliwa kuwekwe mashineza aina fulani za ukaguzi,hakuna atakayeruhusiwakuwa na kiwanja cha ndege

 bila ya kuwa nayo. Na tendaya kutengeneza mashinehizo, watapewa mabeberu nawatakuuzia kwa bei yoyotewanayotaka. Ukishindwakuiweka, ndege zinafungiwazisitue kwenye uwanja wenu.

“Is it time to set up checkpointsoutside airports?” Wenginewakaripotiwa wakihoji nakujenga hoja kuwa badala yawatu kukaguliwa wanapoingiandani ya viwanja vya ndege,

 basi wakaguliwe hata kabla yakukaribia viwanja hivyo. Kwamfano kwa uwanja wa ndege wkimataifa wa Julius Nyerere, bapawe na vizuizi vya ukaguzi,Vingunguti au Gongo la Mboto

Ukizitizama habari zotehizi, lengo lake ni moja tu.Kuendeleza propaganda watu

wapate kuamini kuwa kulikuwana tukio baya la kigaidi ambapo‘magaidi hatari’ walilipua

 bomu likauwa watu. Hilo ndiolengo, wala sio kuwa wanaotoahabari hizo, wanaamini hichowanachosema.

Mwaka juzi 2014 katikamkutano wa kimataifa wamwaka chini ya “InternationalRosa Luxemburg Conference,Berlin” , mada kuu ilikuwa juuya vita dhidi ya ugaidi ambapoProfesa Michel Chossudovskyaliwasilisha mada aliyoipaanuwani: ‘America’s Long War

 Against Humanity’.Huyu Michel Chossudovsky,

ni Profesa wa uchumi, katikaChuo Kikuu cha Oawa, Canad(School of Political Studies). Katikmada yake, Prof. Chossudovskyalizungumzia mambo makubwmatatu. Moja alisema na kutoavielelezo kuwa wanaoitwamagadi hivi leo hawatokanina Waislamu wala Uislamu.Hao ni watu wanaoandaliwana mabeberu ndani ya NATOkatika kuyaendea malengo yaoya ubeberu ambayo, kubwa nikukia ‘New World Order’. Katikmalengo ya muda mfupi na yakati, kuna kudhibiti mafuta naraslimali za Mashariki ya Kati.

Page 12: ANNUUR 1225

8/18/2019 ANNUUR 1225

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1225 12/20

12  AN-NUU

RAJAB 1437, IJUMAA APRIL I 15-21, 20112

TUNAPOSEMA wanyamakatika elimu ya uhai, hukusudiawanyama wakubwa ambaotumewazoea ikiwa tembo, chui,simba, ng’ombe na wengineo.

Lakini wadudu wa aina yotezile, iwe nyuki, sisimizi naohuchanganywa katika jamii yawanyama. Aidha, ndege wakila aina nao hutajwa kuwa niwanyama pamoja na aina zoteza samaki.

Wanyama zaidi ya 30wametajwa katika Qur’ankwa mpangilio maalumu.Kuna wanyama wenginewanatajwa kwa kurejea majinayao kutokana na istilahi yaKiarabu kuwa pana. Kwa hio

Wanyama waliotajwa katika Qur’an

Safu ya Ben Rijal

KATIKA makala zifwatazo nitajaribu kuwaangalia wanyamawaliotajwa katika Qur’an. Aidha nitajaribu kuwachambuakatika nyanja za kisanyansi. Katika elimu ya uhai (biology)

miti na wanyama huchukuliwa kuwa ni viumbe hai na wenginehuwaweka wanyama, miti na viumbe vidogo visivyonekana kwamacho yetu ila kwa msada wa darubuni maalumu, kwa hio baadaya kuwa na mgawanyiko kwenye makundi mawili huwa katikamakundi matatu.

"Hakika katika mbingu na ardhi ziko ishara kwa waumini". [45:3]"Na katika umbo lenu na katika wanyama alio watawanya zimoishara kwa watu wenye yakini". [45:4]

mnyama mmoja huitwa kwamajina mengi tu. Nitazitaja

 baadhi ya aya ambazo wanyamawametajwa katika kitabukitukufu cha Qu’ran.

 “Na tukakutilieni kivuli kwamawingu na tukakuteremshieniManna na Salwa;tukakwambieni: Kuleni vituvizuri hivi tulivyo kuruzukuni.

Nao hawakutudhulumu Sisilakini walikuwa wanajidhulumnafsi zao (Baqarah 2:57).

Mbu ametajwa kama

ifwatavyo “Hakika MwenyeziMungu haoni haya kutoamfano hata wa mbu na uliowa zaidi yake. Ama wale walioamini hujua ya kwamba hiyoni haki iliyo toka kwa Molawao Mlezi, lakini wale waliokufuru husema: Ni nini analokusudia Mwenyezi Mungukwa mfano huu? Kwa mfanohuu huwapoteza wengi nahuwaongoa wengi; lakinihawapotezi ila wale wapotovu.(Baqarah 2:26).

Mbu amelezewa katikaQur’an na ni mmoja kati yawanyama ambao huuwawanadamu kwa idadi kubwakatika mwaka hasa katika

 bara la Afrika. Baadhi yatakwimu zionyeshao wanyamambalimbali wanavyochukuamaisha ya watu kila mwakaikiwa mbu ni kati ya walewanaochangia vifo vingi. Mbwmwitu huuwa watu khamsinikwa mwaka, papa anauwawatu wasiopungua alfu kwamwaka, mbwa watu 50, kibokowatu 400, mamba watu 1,000,Nge watu 3,000, Nyoka watu

Inaendelea Uk. 1

KATIKA makala zetu ya Mitiduniani na maisha yetu, leotutazungumzia Mpira. Hakika

mpira umechukua maisha yetumakubwa ya kila siku hasatutapochukulia mfano mdogotu, mipira ikawa haizalishwiina maana na usafri wamagari na mabasi utafkanukta utakuwa hauko. Mpirani mmoja ya nyezo kubwa yamaisha ya mwanadamu namti huu hauliwi ila ni mmojakati ya miti ya biashara yenyekutoa kipato kwa wakulima nakuchangia kipato na kukuwakwa uchumi wa nchi.

 Jina la mti wa mpirakitaalamu huitwa Heveabrasiliensis ukiwa katika jamii yaEuphorbiaceae. Majina ya mpira

kutokana na lugha mbalimbali,watu wa Spain huita kwamajina yafwatayo Goma,Caucho au Haule, KiengerezaRubber, Kifaransa Havee, Kitaliana huitwa ka jina laGomma, Kijarumani Gummibam ,Kiswidish Gummi , Kidachowao huita Rubberen, Wapolishhuita Gumma , Warumania huitaCaucius , Waturuki huita Kaucuk. Ukweli kila mwenye lugha yakeana jina lake.

Wataalamu wa mimeana namna inavyopatikanana kuenea kwake,wanatufahamisha kuwa mti wa

Miti Duniyani na maisha yetu- Mpira

Utomvu unakusanywa kutengeneza mpira

mpira ulianza kuonekana nakujulikana kwa mara ya kwanzkatika misitu ya Amazon na

 baada ya mti huu kuonekanakuwa na faida kubwa kibiasharnchini humo Brazil ikaanzakuenea katika maeneombalimbali ikiwa Blem naManaus katika miaka ya 1839.

Kama miaka 3,600iliopita watu wa maeneohayo walikuwa weledi wakuvuna utomvu wa mpira nakutengeneza bidhaa za raba,watu hao waliweza kutengenezmpira na kuchezea. Kutokanana mafanikio hayo yaliopatikankatika mwaka wa 1873 majaribiyalifanyika ya kuotesha mipiranje ya maeneo yake ya asili kwahivyo ilichukuliwa miche 12

na kupelekewa kupandishwahuko Kew nchini Uiengerezaambapo kuna bustani maarufuijulikanayo Royal Botanic Garden

 baada ya hapo ikapelekwa Indikupandishwa lakini majaribiohayo hayakufanikiwa. Miti hioiliopandishwa huko yote ikafa.

Henry Wickham aliiba mbegza mipira zikazo 7,000 katiya hizo 2,000 alizipeleka SriLanka (Ceylon) na kama mbegu22 akazituma kwenye Bustaniya mimea ya Singapore. Baadaya hapo ikatumwa katikanchi ya Malaya na kwa sasa

Itaendelea Uk. 1

Page 13: ANNUUR 1225

8/18/2019 ANNUUR 1225

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1225 13/20

13  AN-NUU

RAJAB 1437, IJUMAA APRIL I 15-21, 201Makala

Tukiparamia ovyo agenda

 ya ugaidi tutaangamia sote

Inatoka Uk. 11

Hiyo ni pamoja na kuzifanyanchi, zikome kuwa nchi, baliziwe kama ‘mikoa’ na manispaazinazopokea amri kutokaWashington/NATO. Anaelezakuwa hao wanaoitwa IslamicState (IS) ni vikosi vya wauwaji

ambao baadhi yao walikuwawahalifu katika nchi za Kiarabuna hasa Saudi Arabia, wakapewamafunzo wakiwa jela na kishakutumwa kazi. Anasema, ndiohao waliotumwa Libya, na baadaya kumaliza kazi kwa Gadda,wakapelekwa Syria.

 Jambo la pili alilosema nikuwa Marekani na NATO,wanajitahidi sana kujengaumoja na mshikamano waWakristo na walimwengu wote,waone kuwa wana jukumula pamoja la kupambana namagaidi. Kwamba yanapotokeamashambulizi ya kigaidi,watu wakauliwa na ukasemamuhusika ni fulani, unaita hasiraza watu kumwendea. Kwa hiyo,kwa lolote utakalomfanyia,unakuwa na ridhaa ya watu. Auukiwatuma wengine wafanyehayo unayofanya dhidi yawatuhumiwa, nao watafanya

 bila ya huruma. Lakini akasemana kusisitiza kuwa:

“Terrorists are not the productof the Muslim world”, ila ni jambolinalopikwa “to create Anti-TerrorLaws that demonize Muslims andcreate Islamophobia.”

Hapa akakumbusha jambomoja muhimu. Akasema kuwawala Wakristo au Mabudhana watu wa dini nyingine,wasichekelee au wakasema

‘shauri lao Waislamu’, kwasababu kubwa mbili. Mojawakumbuke kuwa Cuba na nchiza Latin America ziliandamwakupitia "Operation Mongoose (TheCuban Project)” na “OperationNorthwoods” na wale sioWaislamu. Lakini kwa vilemabeberu walikuwa na agendazao pale, wakawapachikaugaidi Cuba, Panama, Ecuador,Chile, El Salvador, Argentina,Guatemala n.k. Lakini lapili akasema kuwa hivi sasawanaoandamwa ni Waarabuna Waislamu kwa sababuwamekalia mafuta na gesi katikaardhi zao-Mashariki ya Kati,

Nigeria, Sudan, Somalia naAfrika ya Kaskazini. Ingekuwarasilimali hiyo ipo kwa Mabudhaau Wahindu, basi kibanokingekuwa kwao. Lakini pia nikwamba inapoandamwa nchi nakufanywa kikaragosi (territorialya mabeberu), madhara ni kwawatu wote wa nchi ile.

PropagandaKatika ile mada yake

kuu, Prof. Chossudovsky,akazungumzia propaganda.Akasema kuwa propagandainayopigwa juu ya ugaidi ipokatika ngazi tatu. Ya kwanza niile aliyoiita ‘Internal Propaganda’

au Propaganda From Within’.Akasema, hawa ni wale maasawa ngazi za juu wa serikali navyombo vya usalama, ambaohukaa wakatunga uwongo wakuwapaka matope Waislamu,wakaufanyia kazi, kisha ikawakana kwamba wanauamini.Alitoa mfano wa Usama BinLaden, kwamba alikuwa mtuwao na kwamba siku moja kablaya Septemba 11, 2001, UsamaBin Laden alilazwa katika

hospitali ya kijeshi, Rawalpindi,Pakistan, akiwa na matatizo yago na kwamba hiyo ni hospitaliambapo kila wakati wapowanajeshi wa Marekani. Lakiniikapigwa propaganda kuwakahusika kupanga Septemba11 na kwamba Marekani haijuialipo inasaka mpaka ilipoandaa‘igizo’ la kutangaza kifo cha BinLaden tarehe 1 Mei, 2011.

Kwa mujibu wa taarifa yahabari ya CBS News (CBSEvening News) ya tarehe 28

 Januari, 2002, mpasha habariBarry Petersen akiwa Rawalpindianasema kuwa, wafanyakaziwa hospitali ya kijeshi yaRawalpindi katika kitengocha go (urology department)waliondolewa akaletwa OsamaBin Laden katika ulinzi mkaliwa wanajeshi, wakaletwamadaktari wengine akafanyiwa‘Dialysis’ kutokana na matatizoyake ya go. Baada ya hapoMarekani ikaendelea kudaikuwa inamsaka kwa udi nauvumba Osama! (Tazama: FALSE FLAG: Bin Laden ReceivedDialysis Treatment On 9/10/01;Suers Numerous Ailments. Na“Bin Laden Underwent Dialysis InPakistan September 10.”)

Anasema, propaganda kamahiyo, ndiyo inayowawezesha

mabeberu na viranja wa vitadhidi ya ugaidi kuweka “AntiTerror Laws that demonize

 Muslims” na zinazowawezeshakufanya uhalifu dhidi ya

 binadamu (crime againsthumanity) na wasihojiwe na mtuyeyote.

Hapa kuna jambo mojala kuliweka sawa ambalolilitajwa katika semina hiyo.Wakati NATO wanafanyakazi ya kutoa mafunzo

kwa magaidi, hapa ndipowanaweza wakajikuta baadhiya Waislamu wanatumbukiakatika matatizo. Wapo watuhupewa mafunzo wakijuawanatumwa kazi gani. Hao nipamoja na askari wa kukodiwana wale wanaotengenezwawakiwa ni wahalifu magerezani.Lakini wapo ambao huzolewakwa kupumbazwa kwambawanakwenda kupigania Dini

 bila kujua kwamba ‘Global Jihad’ ya hivi sasa ina mkono waNATO na Israel.

Watu wa namna hii, huwezikuwapa nembo ya ugaidi. Sanaunaweza kusema ni wajingatu, maadhura, wasiojielewa.Ukiwachukulia kwamba nimagaidi wa kweli na ukawekamikakati ya kupambana nao,utakuwa tu nawewe unatumiwakama wanavyotumiwa wao namwisho wa yote, ni nyinyi nyotekufanya nchi yenu kugeuzwakuwa “territorial” ya Marekanina NATO.

Ngazi nyingine yapropaganda ni katika vyombovya habari. Prof. Chossudovskyanasema kuwa hivi sasa wahaririwengi washajua kwamba:

“The so called war on terrorismis to propagate US-led Worldhegemony. Is a front to propagate

us hegemony and create New WorlOrder”.

Hata hivyo anasema,wanaendelea kupigapropaganda kwa sababu kubwambili. Moja ni kuwa vyombovyote vikubwa vimeshikiliwa nmabeberu hao na pili, waandishwengine wamekuwa kamamakahaba. Pesa yako tu.

Wasomi, wachambuzi nataasisi za kijamii na kisomi,nazo zimekuwa zikigeuzwakama vipasa sauti au santuriza kupitishia propagandaza mabeberu. Kwambamtu analipwa pesa, akiwamsomi, anatoa uchambuzi wakishabiki kushabikia jambo lakushadidia ugaidi unaobuniwana mabeberu. Hawa nao Prof.Chossudovsky, amewataja kamwatu wengine hatari.

Nimalizie kwa kurejeayale yaliyojadiliwa katikaMkutano wa Kimataifa juuya Utandawazi- InternationalConference on the “New World

Order”-A recipe For War or Peace,uliofanyika tarehe 9 Machi,2015, Malaysia. Katika mkutanohuo, uliohudhuriwa na baadhiya viongozi wa serikali waliomadarakani na wastaafuakiwemo Waziri Mkuu MstaafuMahathir Mohammed, ilielezwawazi bila kutafuna manenokuwa:

“War on terror is a Big Lie &Crime Against Humanity.”

Ni “Big Lie” kwa sababukwanza kinachoitwa ugaidikinafanywa kupandikizwa kammkakati wa kufanikisha “NewWorld Order”. Pili, ni “Big Lie”kwa sababu, wanaoitwa magaidwanafanya kutengenezwana hao hao wanaojifanya

kupambana na magaidi. Nani “Crime Against Humanity”kwa sababu yanatengenezamazingira ya kuuliwa watukwa makusudi, kutesa watu,kuwafunga watu kinyume nasheria na haki za binadamu, kwvisingizio na sababu za uwongoili kufanikisha malengo maovuya ubeberu.

“War on terror is a Big Lie &Crime Against Humanity.”

Tunapojihusisha na vita hii,tunaposhiriki “Big Lie” hii,lazima tujiulize, je, tunashirikikwa lengo lipi? Je, ni katikakujisajili kuwa nasi tupo katikaule mpango wa waandaaji wa“Big Lie” hii kujenga “Solidarity

ya ku- “demonize Muslims”?Kama ndivyo, tujue kuwaushiriki huo, wala lengo lakehaliishii katika kuwatesa nakuwapaka matope Waisamu.Hiyo ni njia tu ya kupita. Lengokuu ni kukia US-led WorldHegemony.

Sasa labda tujiulize, niniitakuwa nafasi yetu katika hiyoNew World Order?

Lakini ambalo ni la uhakikatujue kuwa kabla hata yakuka huko kwenye NWO,tutakuwa tumefanywa “jimbo”la mabeberu, tusio na sauti hatakwa rasilimali zetu, siasa zetuza ndani na nafasi yetu katika

 jumuiya ya kimataifa.

OSAMA Bin Laden.

Page 14: ANNUUR 1225

8/18/2019 ANNUUR 1225

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1225 14/20

14  AN-NUU

RAJAB 1437, IJUMAA APRIL I 15-21, 201MAKALA/MASHAIRI/BARUA 

Mungu hambwi nipa leo, ‘siponipa hu mpajiWaombapo waombao, wao ndio wahitajiNdio wenye shida yao, na Kwake wakatarajiNaye Ndiye Mwamuaji, na Mwenye makadirio

Ni Yake makadirio, Naye Ndiye MpangajiHakosei Apangayo, na wala Hataki jajiUombapo jambo leo, ukaliona halijiNi kwa kuwa Mletaji, Hakutaka liwe leo

Mungu hambwi “leo leo, si la kesho sihitaji”Hwambwa “nipa kwa mudao, Wewe Ndiwe MtoajiKwa muda unifaao, kunipa ninotaraji”Na siku Aamuwayo, ndiyo yenye kheri nawe

Mohammed K. Ghassani11 Aprili 2016Bonn

Mungu hambwi leo leo

Ndugu Mhariri,NAOMBA nafasi katikagazeti letu la An nuuar iliniweze kutoa Dukudukulangu la moyoni.Kumekua na makemeoya viongozi wa serikalijuu ya udini wakikemeakwa nguvu zote bilakuchoka. Hii inatokanana ubaya wa udini. Ilawengi wanaolaani udinihawasemi wazi nani ndiomdini anafanya ninikuendeleza udini wakehuo na ana mbinu gani.

Ukichuguza vizuriwapiga kelele za udiniutakauta ni kama wafukuzamwizi wanao piga kelelewakisema mwizi huyoo,mwizi nae anasema mwizihuyoo, hapa kumjua mwizi

Matatizo ya udiniwa uhakika ni kazi ngumusana.

Haiwezekani nchi mojasote ni Watanzania ila

wapo wanao sikilizwa nakupewa haki, huku wenginewakibaguliwa katika Nyanjambalimbali.

Na hili lishazunguzwasana mpaka kutolewaushahidi. Lakini kwambinu ile ile ya ‘mwizihuyooo’, wanaofanya udinihuu wanakuwa ndio wamwanzo kulani udini.

Hebu tizama ile MoU,hebu rejea habari yaMahakama ya Kadhi naOIC! Hivi haya hayatoshikuonyesha udini uliopona nani mdini? Yapo na

yale ya NECTA ambapoilibidi Wakuu wa Shuleza Kiislamu kuja juu hadimatokeo kubadilishwa na

kutolewa upya. Tizama piayale yaliyosemwa na PadirDr. John Sivalon. Badomdini hapo hajulikani?

Kwa nini serikali yetu,haiyaweki wazi mambohaya inaendelea tu na keleza ‘mwiziii”!!!

Au hii ni katika mbinuza kuendeleza udini kamakibaka anavyojisalimishakwa yeye kuita mwiziii!

HAMZA CHIDREARUSHA

Email: [email protected]

Simu: 0678 638 736

Yaliyotokea kifo cha Abdallah Kassim Hanga

Inatoka Uk. 10wale waliofanikisha mapinduzi, kuuliwa kwaokulikuwa miujiza ya aina yake, uchawi usioelezekanani fundi wake. Ilikuwa vigumu kueleza.Ingeeleweka vyema endapo kisasi cha kuitoa rohoya Hanga kingetimizwa kwa mikono ya maaduizake waliopinduliwa. Haikuwa hivyo.

“Wale wajane na mayatima walililipiziwa kisasina watu waliokuwa maadui wakubwa wa haowaliopinduliwa. Vipi Hanga kiongozi mkuu wamapinduzi aje kuwa adui wa mapinduzi yenyewekiasi cha kuwa hukumu ya kumtosheleza haikuwakifo tu bali kifo cha kishenzi?

“Fikra za Hanga zilikuwaje pale alipokuwa pekeyake ndani ya selo Ukonga Prison…usiku ukimpita bila ya hata lepe la usingizi akiwaza yanayomkabili.Nini kilikuwa kikimpitikia katika ubongo wakewakati wauaji wake walipomtoa katika selo yakena yeye akawakabili ilhali akijua kuwa walikuwawamekuja kuitoa roho yake. Fikra yake ilikwendawapi?

“Ilikwenda kwa Sultan Jamshid bin Abdullahna Masultani wengine waliopita ambao wameiagadunia mikono yao ikiwa haina damu, au kwaAbeid Amani Karume aliyeingia madarakanikwa mapanga ya Wamakonde wakata mkongekutoka Sakura na Kipumbwi? Fikra ya Hangailielekea wapi? Kwa Nyerere aliyemsaliti? Hakikani wazi hakutegemea mapinduzi aliyoyaasisiyangemgeukia na kuwa sababu ya yeye kutolewa

roho kwa kuuliwa kishenzi. Jambo la kusikitisha ni kuwa ha

pale alipokamatwa na kuwekwa jela Ukonga na kukishwa mbeleya mkutano wa hadhara nakuadhiriwa na Julius Nyerere tayaralikuwa keshapoteza kila kituachilia mbali dira ya mapinduzialiyokusudia ingeongoza ZanzibarHanga hakuwa kamwe na uwezowa kumfanya Karume lolote kwanKarume tayari alikuwa chini yambawa za Nyerere, ngome ambayoHanga asingeweza kuitikisa achiliambali kuibomoa.

Muungano baina ya Tanganyikana Zanzibar ilikuwa hirizi toshaya kumkinga Karume. Katikamkasa wa kuuliwa kwa Hangandipo msemaji mmoja akasema,“Maiti toka makaburini mwaowalionyesha ujuzi wa kufanyamiujiza na uchawi wao kwani laitikifo cha Hanga kingesababishwa nwale waliyopinduliwa, kisasi chakekingekuwa cha kutisha.

Ilibidi Hanga kwa miujiza yamaiti zile auliwe na wale walealiowaweka madarakani watuambao hapakuwepo na sababu yawao kumuona adui.

Kalamu nimeishika, kwa kheri si songombingo,Nabtadi kuandika, ukweli si longolongo,Wandishi kuwamulika, wa habari ndilo lengo,NI WAZUSHI NA WARONGO, WANAHABARI 'VISHOKA'.Kuweta nalazimika, 'mapaparazi' wa Bongo,"wanahabari vishoka", kwa wao mtimanyongo,Si wote wazi naweka, "waandikao mafyongo",NI WAZUSHI NA WARONGO, WANAHABARI 'VISHOKA'.

Wandikayo bila shaka, makusudi si kwa nongo,Fuadini yanatoka, kwa ghaidhi na usongo,Maadili wayazika, kwa uzushi na urongo,NI WAZUSHI NA WARONGO, WANAHABARI 'VISHOKA'.Habarizo za kupika, zadhihirisha usungo,Walo wenyewe jivika, kwa nadhari za matongo,Si jarima kuwaweka, wa usadi mrengo,NI WAZUSHI NA WARONGO, WANAHABARI 'VISHOKA'.Wengi wao kwa hakika, lengolo kusaka 'bingo',Hivyo ndivyo kwa hakika, walivyo si masimango,Silikayo kwa hakika, si makengeza ni chongo,NI WAZUSHI NA WARONGO, WANAHABARI 'VISHOKA'.Kwayo chongo wapromoka, kwa la upofu korongo,Uoniwo wapofuka, kwa wao hasi mpango,Natijaye kwathirika, fani kwa wao mchango,NI WAZUSHI NA WARONGO, WANAHABARI 'VISHOKA'.Wafaa kubadilika, kwa kuenzi lao jengo,Tasniayo kwenzika, walizibe hili pengo,Hapo wataheshimika, na kutoitwa warongo,NI WAZUSHI NA WARONGO, WANAHABARI 'VISHOKA'.Kaditama nimeka, nane nafunga mlango,Lengo risala kuka, kwa waandishi wa Bongo,Kalamu chini naweka, kwaherini wana nzengo,WANAHABARI 'VISHOKA', NI WAZUSHI NA WARONGO.

 ABUU NYAMKOMOGI 

ZAMA ZA PROPAGANDA 

 (TUCHUKUE TAHADHARI !)Tuchukue tahadhari, si Bara si Zanzibari,Tuchukue tahadhari, si mamuma si mamiri,Tuchukue tahadhari, si nisai si rijari,Tuchukue tahadhari, si kabiri si saghiri,Tuchukue tahadhari, si laili si nahari,Kwa tulizonazo zama, tahadhari ni muhimu.Tuchukue tahadhari, ni amri ya QAHARI,Tuchukue tahadhari, USHAHIDI nadhukuri,Tuchukue tahadhari, tusome kwa tafakuri,Tuchukue tahadhari, SABINA MOJA nambari,Tuchukue tahadhari, NISAI tutadaburi,Kwa tulizonazo zama, tahadhari ni muhimu.

Tuchukue tahadhari, kwa za ghururi habari,Tuchukue tahadhari, kwa zake hasi athari,Tuchukue tahadhari, kwa kutokuzinashiri,Tuchukue tahadhari, kwalo tusitakabari,Tuchukue tahadhari, vinginevyo ni hatari,Kwa tulizonazo zama, tahadhari ni muhimu.Tuchukue tahadhari, tusiwe kama titiri,Tuchukue tahadhari, tusiwe kama tuyuri,Tuchukue tahadhari, tusiwe kama jodari,Tuchukue tahadhari, tusiwe kama himari,Tuchukue tahadhari, tu viumbe akhiyari,Kwa tulizonazo zama, tahadhari ni muhimu.Tuchukue tahadhari, leo kesho na dahari,Tuchukue tahadhari, kwa mambo yanayojiri,Tuchukue tahadhari, tena kwa kubwa hadhari,Tuchukue tahadhari, kwa tuwezavyo kadiri,Tuchukue tahadhari, kwa shadda ninakariri,TAHADHARI ni MUHIMU, kwa zama tulizonazo.  ABUU NYAMKOMOGI

WANAHABARI 'VISHOKA' !!!

Page 15: ANNUUR 1225

8/18/2019 ANNUUR 1225

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1225 15/20

15  AN-NUU

RAJAB 1437, IJUMAA APRIL I 15-21, 201Makala

SHUKRANI zote zinamstahikiaAllah (sw) na sala na salamuzimfkie Mtume Muhammad (saw),mtukufu wa daraja, Masahabawake na wote wanaofuatamwenendo wake mpaka siku yamalipo.

Somo la sita litahusu sifa za Allah(sw) za kusema kuona na kusikia.Allah (sw) ni mwenye kuona kilakitu kwa wakati mmoja na uonimmoja, na anasikia sauti zote zaviumbe wote kuanzia wanaadamuna majini, wanyama na wadudu nahakuna sauti yoyote inayochikanakwake.

Nukta ya ishirini katika kitabucha aqida cha Imamu Ibnu QudamaAl Maqdisiyy kiitwacho luumatu li’tiqad inasema:

“Katika sifa za Allah (sw) nikuwa alikuwa msemaji tokea zamaza tangu, na waja wake aliowatakawamsikie walimsikia . Musa(as) alimsikia Allah (sw) bila yakiunganishi, Mtume Muhammad(saw) aliongea na Allah (sw) naMalaika Jibryl (as) alimsikia Allah(sw) na pia Malaika, wanamsikiaAllah (sw) akisema.

Ushahidi wa kusema kwa Allah(sw) umejaa katika Qurani. Baadhiya aya ni kama zifuatazo:

“Na alipo kuja Musa kwenyemiadi yetu, na Mola wake Mleziakamsemeza, alisema: Mola wanguMlezi! Nionyeshe nikutazame.Allah (sw) akasema: Hutoniona.Lakini utazame huo mlima. Ukibakipahala pake, basi utaniona. Basialipo jionyesha Mola Mlezi wake

Tawhiid -6kwa mlima, aliufanya uvurugike, naMusa akaanguka chini amezimia.Alipo zindukana alisema:Umetakasika! Natubu kwako, namimi ni wa kwanza wa Waumini

Allah (sw) akasema: Ewe Musa!Mimi nimekuteuwa wende kwawatu na Ujumbe wangu na manenoyangu. Basi chukua niliyo kupana uwe katika wanao shukuru.” (7:43-44).

“Hakika Mimi ndiye Allah (sw).Hapana mungu ila Mimi tu. Basiniabudu Mimi, na ushike Sala kwaajili ya kunikumbuka Mimi.” (20:14)

“Allah (sw) akasema: Ewe Musa!Mimi nimekuteuwa wende kwawatu na Ujumbe wangu na manenoyangu. Basi chukua niliyo kupana uwe katika wanao shukuru.Na haikuwa kwa mwanaadamukwamba Allah (sw) amsemezeila kwa Wahyi (Ufunuo), au kwanyuma ya pazia, au kumtumaMjumbe. Naye humfunulia

ayatakayo kwa idhini yake. HakikaYeye ni Mtukufu, Mwenye hikima.”(42:51).

Kuna uthibitisho wa hadithinyingi sahihi kuhusiana na kusemakwa Allah (sw). Amesimulia IbnMasood (ra) kutoka kwa Mtume(saw) “anaposema Allah (sw) kwawahyi husikia sauti yake viumbewa mbinguni (Malaika) (ameipokeaBukhari).

Amesimulia Abdillahi bn Unaysi(ra) kuwa Mtume (saw) amesema,

“watafufuliwa viumbe siku yakiama bila nguo bila viatu bila yakutahiriwa, atawanadia kwa sautiambayo atasikia wa mbali wakekama anavyosikia wakaribu wake,

mimi ni Mfalme, mimi ni Mlipaji...(Bukhari).Bila ya shaka suala la Allah ( sw)

kusema ni suala lisilo na upinzanikatika aqida lakini kuna hitilafu yamaoni kuhusu kusema kwa Allah(sw). Hata hivyo, yapo malumbanoambayo hata hayana tija yoyotekatika Uislamu nasi tunaonatusiyape uzito katika somo letuhili. Malumbano yenyewe ni juu yakusema kuwa, kusema kwa Mungukuna heru na maneno au hakuna.Wapo wanaosema kuwa manenoya Allah (sw) yana heru na sautikwa mujibu wa Utukufu wake.Lakini yapo makundi yanayopingaitikadi hii, hasa wale wakijulikanakama Muutazila na Jahmit. Waowaliitakidi kuwa maneno si sifayake Allah (sw), lakini manenoaliyaumba Allah (sw) na watuwakayasikia. Na hawa ndio Ndiyomaana wakaamini kuwa Quarani,imeumbwa kwa vile wao waliaminikuwa Allh (sw) anaumba kituambacho baadaye inakuwa sauti nakusikikana na viumbe kwa hivyowaliamini kuwa Qurani ni kiumbe,imeumbwa na Allah (sw) wala simaneno yake.

Qurani ina heru na yeyoteatakaesoma heru moja katikaheru za Quarani kwa mazingatio

Na Mussa Ameatapata thawabu kumi. AmesimuliIbn Masuud (ra) amesema Mtume(saw) “atakayesoma heru mojakatika kitabu cha Alah (sw) atapata jema moja na kila jema hulipwamara kumi ,sisemi Alif lam mymkuwa heru moja lakini alif niheru laam ni heru na mym niheru ( ameipokea Tirmidhy kwatofauti ya matini na ni sahihi).

Ali (ra) anasema mtu asiyeaminiheru moja tu katika Quarani nisawa na kutoiamini yote. AnasemaIbn Qudama katika nukta yathelathini na nane kuwa “hakunahitilafu miongoni mwa Waislamukuwa yeyote anayekanusha heruau aya au sura yeyote katika Qurankuwa huyo ni kari”. Na hilo nisuala linalokubalika bila hitilafuyoyote kuwa kikanusha Qurani ni jambo linalomfanya mkanushajikuritadi ikiwa anajua au hajui kwasababu kutafuta elimu ni lazimakwa kila Muislamu angalau elimuya msingi wa kujua dini yake.

Tumezungumzia zaidi kwa kirefkuhusu maneno ya Allah (sw)na kwamba Allah (sw) anasema,kwa sababu wazushi wa itikadihawakukanusha kusikia kwa Allah(sw) wala kuona, walikanusha

maneno ya Allah (sw). Walionaikiwa tutasema Allh (sw) anasema basi itakuwa tumemfananishana viumbe vyake, kuogopa hayowakafanya kosa kubwa zaidila kumkanushia Allh (sw) sifaaliyojisifu mwenyewe.

Hapa ieleweke kuwa pamoja naAllah (sw) kuwa anasema, yukotofauti na viumbe vyake na Yeyehafanani na chochote. Hasemi kamwasemavyo viumbe wake. Yukopweke katika dhati yake na sifazake.

SHUKURANI zote anastahiki MwenyeziMungu na rehema na amani zimfkieBwana wetu Muhammad (s.a.w).

Ama baada ya utangulizi huu mfupi,hapa tutazunguzia juu ya tabia nzuriza Mtume (S.A.W) na utu wake, kwakuzingatia kuwa yeye ni kiigizo chema,ambaye Mwenyezi Mungu ameridhishwanaye, ambaye amekusanya sifa zote nzurina tabia zote njema kwa viumbe vyote.

Kwa hakika katika historia yakibinadamu katika uso wa dunia,hapajapata kuja hata moja mtukufu katikawatukufu wala kiongozi miongoni mwaviongozi, wala yule mwenye kusuluhishamiongoni mwa wenye kusuluhisha,ambaye ametia aibu sifa yake Mtume(saw) kuanzia dhati yake na akili yake nanafsi yake na umbile lake na dini yake nakwa njia ya kiroho na kijamii na kiuongozina kiaskari, hadi hung’ara upandemiongoni mwa pande na hung’ara kwamng’ano wake, hadi akastahiki kusiwana Mwenyezi Mungu kuwa ni nuru mfano

Mtume Muhammad ni Nabii wa rehema si wa mauaj

Na Sheikh Asayid AwadhAbdul-adhim

wa neno lake Mwenyezi Mungu mtukufu.Baadhi ya watu wamemzungumza na

wengine kumzungumzia mambo ambayohayaendani naye, naye ni Mtume (S.A.W)ambaye mwenye kheri zote na kwakehupatikana sifa za kheri na katika mikonoyake huonekana nuru na kuzagazikauongofu na kupitia yeye, MwenyeziMungu amewaokoa viumbe na kuwatoakatika janga la kuabudia viumbe nakwenda kumuabudu Mola mlezi wa waja,na kuwandoa katika dhiki ya dunia.

Kwa yakini imekuja kwenu tokakwa Mwenyezi Mungu nuru na kitabucha wazi na kuwaondoa kutoka katikaujeuri wa kiongozi mbaya kwenda katikauadilifu wa Uislamu. Na kwa ajili ya hilo,

 basi ilikuwa mwenendo wake ni mwendomzuri, na sifa zake ni sifa nzuri, na tabiazake ni tabia tukufu na maisha yake nimaisha ya kiucha Mungu na ni yule wakutekeleza yote yaliyo ya kheri .

Kwa yakini imekuja kwenu toka kwa

Mwenyezi Mungu nuru na kitabu chawazi na hakuna ajabu juu ya hilo, kwaniMwenyezi Mungu amemleta Mtume(saw) kwa ajili ya watu wote, awe nikiigizo chema kwao na ni rehema kwaulimwengu. Naye amesema mwenyewe(kwa yakini nimetumilizwa kuwa ni wakutimiza tabia nzuri). Kwani Mtume(S.A.W) tangu alipopewa Utume kwawatu kuwa Mtume kwao, yalikuwamaisha yake ni kioo kwa jamii nadini ambayo amekuja nayo toka kwaMwenyezi Mungu.

Mama Aisha (R.A) pale alipoulizwakuhusu Mtume, akasema (Alikuwa tabiazake ni Qur’ani) kwani alikuwa ni Qur’aniiliyo hai ikitembea, akishikamana nasheria zake na kuyafanyia kazi maelekezoyake na kufuata muongozo wake nakukatazika na makatazo yake paleanapokatazwa na kulingania nuru yake

na kuhukumiana kwa sheria zake. Nakwa ajili hiyo, amesema MwenyeziMungu Mtukufu (kwa hakika amekuwakwenu Mtume ni kiigizo chema kwa yuleanayeamini uwepo wa Mwenyezi Munguna siku ya mwisho na akamtaja MwenyeziMungu kwa wingi). Basi yeye ni kiigizochema na ni mfano wa kuigwa katikakheri na ni kioo cha jamii.

Huwezi kupata radhi za MwenyeziMungu kwa kufuata miongoni mwaulinganiaji ambao hauleti faida ikiwawaenezaji wa ulinganiaji huo kama siwatu wa kuigwa kwa mifano mizuri, kwakuyafanyia kazi yale wanayoyalinganiakwa vitendo na kielimu juu ya ulinganiajihuo, kwa tabia zao na mwenendo wao namisimamo yao ya kimaisha.

Kwa hakika alikuwa Mtume (SAW)ni mfano bora juu ya yote hayo, kwanihayo ni mambo aliyomuumbia MwenyeziMungu. Na akampamba kwa adabu nazikawa mzuri tabia zake na akamuandaa

kwa kubeba ujumbe wake na kuukishakwa watu na kutakasa nyoyo juu yakumtumikia Mwenyezi Mungu, Molamlezi wa ulimwengu wote .

Amesema Mwenyezi Mungu Mtukufu(Na kwa hakika upo juu ya tabia nzuri).Na amesema tena (Na kwa hakikayako utaongoa katika njia iliyonyooka).Mwenendo wa Mtume (SAW) ulivyonzuri, umehifadhiwa ukiwa umejaa sifanzuri.

Y al e tunayo yaso ma kwa yal eyanayoenezwa hapa duniani miongonimwa elimu iliyochanganywa ni ya uongo.Nayo ni kule kumtuhumu Mtume (SAW)kuwa yeye ni mtu wa vita na uporaji,kunyang’anya na kwamba yeye alikuwamtu wa roho mbaya na kuwa yeye ndiyealiyeleta dini ya ubabe na ugaidi na mauaji.Wakati huo huo hayo yanayoenezwa hapaduniani huwasifu watu wengine kuwa ni

watu wa alama njema, kwamba wao ndwatu wenye mapenzi, huruma, ihsana amani, na kuwasahaulisha watu juya misongamano ya uongo na utap(udanganyifu) katika haki za kihistorna kidini na kiutamaduni juu ya utu wMtume (S.A.W), ambaye amepata uwemkubwa katika kila jambo, kuanzia tabnzuri za kibinadamu. Ulijengeka utu Mtume (S.A.W) akawa ni mtu ambayalikamilika juu ya tabia zote nzuri nkujitenga na tabia zote mbaya, na kwhivyo ametuambia Mwenyezi Mung(Kwa hakika amekua Mtume kwenu kiigizo chema..).

Na Yule anayezingatia maisha yMtume (SAW) ataelewa kuwa historia yukweli haitompata mtu yeyote. Yeye mfano hai, basi maisha ya Mtume (SAWni uhakika wa kihistoria, inathibitishwna historia sahihi na wala haikataliki, nay

ni maisha yaliyokusanywa na mambyote ya maisha na nyendo zake, nayo maisha yaliyoungana, hayakupungkitu katika vipindi vya maisha, nayo pni maisha yanayokubali utekelezaji kwayale aliyokuwa akiyalingania MtumMuhammad (S.A.W) katika Qur-ani hadithi, yalikuwa yakihakikiwa na maisyake kwanza. Na haya yameshuhudiwna watu wa zama hizo.

Amesema M ama Ai sha (R . Aalipoulizwa juu ya tabia za Mtum(S.A.W), akasema (Tabia zake ni Qur’a) naye ni mfano bora wa wanamumna kipenzi cha Mwenyezi Mungu na rehema kwa ulimwengu na ndio msinwa amani ya dunia (SAW).

Email : eg_islamic_center39@yahocom

Page 16: ANNUUR 1225

8/18/2019 ANNUUR 1225

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1225 16/20

16  AN-NUU

RAJAB 1437, IJUMAA APRIL I 15-21, 201Makala/Habari

MAZUNGUMZO ya swahibu namwandani wangu yalikuwa namaana kubwa leo kwa sababuya misemo miwili ya Kiswahilialiyonitolea na kunifafanulia.Mmoja ni huo uliobeba jina lamakala hii: “Alimaye pantosha,atavuna pankwisha.”

Kwa hakika, Kiswahili kina bahari pana sana ya fasihi nahekima zake. Huka mahalanikawa ninajiuliza hawa tunaowaitawahenga walikuwa na akili kubwakiasi gani hasa hata wakawawaliweza kutoa kauli za miaka elfukadhaa nyuma na hadi leo manenoyao yanasimama kama shujaavitani. Hayaanguki. Hayatikisiki.

Angalia busara iliyofumbatwana msemo huu ambayo inawezakufumbuliwa na kumuongozamtu maisha yake yote kuelekeaustawi na mafanikio. Waswahiliwamesambaa kote upwa wa Afrikaya Mashariki na bara yake, ambako

kilimo ni miongoni mwa njia kuuza uchumi, hivyo takribani kilaMswahili anaijuwa misamiatiinayoambatana na kilimo na ulimaji.

Mimi ambaye nimelelewa nakukulia kwenye nyumba ambayowazazi wote walikuwa wakulima,

 Alimaye ‘pantosha’, atavuna ‘pankwishaninajuwa maana ya kulimapanapotosha, maana hata mimimwenyewe zama za ubarobarowangu nilikuwa naiishi kaulihiyo. Kwa mfano, katika mojaya mashamba yetu ya mpunga, baba yangu alikuwa ananikatiakipande ambacho nilitakiwakukilima ndani ya kipindi maalumkwa kuambatana na msimu ilikuwahi usiaji. Kipande chenyewekingenichukuwa muda wa wikikadhaa kama si mwezi mzima hatakama si kikubwa, kwa sababu kilaasubuhi nilikuwa nakwenda kupigamajembe mawili matatu kishaninajisemea “pashatosha kwa leo”.

Wenzangu wanaopiga majembe100 kwa siku wanamaliza kipandekama changu kwa siku tatu,mimi naselelea nacho, lakini kwakuwa kimewekwa mpaka wapegi na kamba, ndio kinakuwakimeniganda hicho. Matokeoyake ni kuwa zinaweza kunyesha

mvua za usiaji, nami sijamalizakuburuga, na hatimaye nikawamtu wa mwisho kusia na penginekipande changu kikawa chamwisho kuwa na mpunga mzuri.Nikavuna ‘pankwisha’. Yaani amanisingelivuna kitu au ningelivuna

kidogo mno kiasi cha kwambanikidondoa mashuke matano sita,ndio mavuno yote yamekwisha!

Naam, leo mwandani na swahibuyangu amenirejesha kwenyekumbukumbu za utotoni namsemo ambao sikuwa nimewahikuusikia, lakini ambao nimewahikuuishi katika uhalisia wake –shamba, kilimo, ukulima, mazao.Ameurudisha sasa ukiwa na maanapana zaidi kwangu, kwa kuwaumeondoka shambani na kusarimoja kwa moja kuingia maishanimwangu na mwetu, kwa ujumla.

Hapa ndipo unapogunduakiwango cha juu cha hekima zawahenga wa Uswahilini. Kwambakauli zao hazina mipaka yakiwakati wala kijiograa – ni zamuda wote, ni za mwahala mote.Hata huku Ulaya niliko, hata baadaya miaka takribani 20 ya kuachakubeba jembe langu kwendashambani kulima, bado msemo

huu una maana kubwa kabisa.Unaniambia kuwa ikiwa ninafanyamambo yoyote yanayohusu ustawiwa maisha yangu kwa mtindowa kivivuvivu (pantosha), basisitakuwa na mafanikio makubwawala ya kudumu (pankwisha).

Na hii ninaichukuwa kutokakiwango cha chini kabisa cha mtu binafsi (mimi na maisha yangu),kisha ninapandisha ngazi hatuakwa hatua – kifamilia, kikazi,kijamii, kitaifa na hadi kimataifa –na majibu yake yanakuwa ni yaleyale. Wafanyakazi wanapokuwahawazitowi nyoyo zao zote kwakile wanachokifanya na wakawahawawekezi nishati, akili na mudakwa jambo ambalo lina maslahikwenye kazi yao, hawezi kupatamaslahi hayo na hivyo hawatawezkuendelea. Ndivyo ilivyo kwa jamndivyo ilivyo kwa taifa, ndivyoilivyo kwa mataifa.

Najuwa kuna misemo mingineya Kiswahili ambayo inawezakuwa inapingana na msemohuu, kama ule usemao ‘Jitihadahaiondoshi kudura’, lakini busaraya kila msemo ni kuutafasirikwa muktadha wake. Huu waleo ukiutafsiri vyema kwenye

muktadha wake, unakupa moyokwamba kila unapojitahidi kufanymengi zaidi na kujitoa zaidi kwaajili ya jambo lako, basi matokeoyake yatakuwa tafauti na yuleambaye anafanya jambo lake kivivna kiviya.

TAASISI ya kusimamia nakuendeleza usomaji Quran Vijijini (KEF), imeibuachangamoto mbalimbali katikaufundishaji Qur an WilayaniKisarawe katika Mkoa wa Pwani.

Hayo yamebainishwa na Ust. Juma Nchia, aliyekuwa katika ziara

iliyo kuwa mahususi kwa ajili yakukutana na Walimu wa Madrasa,Wanafunzi pamoja na Waislamukwa ujumla, Wilayani humomwishoni mwa wiki iliyopita.

Nchia alisema katika zirahiyo wamebaini mambo mengiambayo yamekuwa kikwazo katikauendelezaji wa kusoma Qur anambapo wameweza kujifunza nakuangalia wapi wanaweza kuanziaili kukabiliana na changamoto hizo.

Ust. Nchia alisema, wamewezakubaini kuwa kuna changamotokwa wazazi katika kushirikikikamilifu katika kuwasimamiawatoto katika kuyaendea masomoya dini hususani wanapokia umrimkubwa.

“Ushiriki wa Wazazi na watoto

katika elimu ya dini umekuwani matatizo hata hivyo katika hilikuna maeneo machache yamepigahatua kubwa na kupelekea watoto,kuna Madrasa zimekuwa na wingiwa watoto na kuonekana kamahazitoshi kutokana na wingi wawatoto”. Amesema Ust. Nchia.

Akasema, pamoja na hali hiyokwa uchache lakini sehemu kubwani kwamba wazazi bado ni tnakubwa juu ya uwepo wa Madrasana kuwasimamia watoto waokutokana na ushiriki wao mbovukwa hali na mali.

Amesema, juhudi ya kuwatiamoyo (walimu) imekuwa na atharipana kwani zaidi ya Walimu 80wa Madrasa Wilayani humo wame

Ufundishaji Dini vijijiniNa Bakari Mwakangwale

fahamiana na kuimarisha uduguwao huku wakibadilishana uzoefukatika kazi hiyo.

Alisema, ili kuweza kukabilianana changamoto mbalimbali,wameweza kuwajengea muundo wa

uongozi wa Wilaya, kuanzia ngaziya Kijiji mpaka Kata na kuwa namategemeo ya kuwa na Walimu 300mwisho wa mwezi wa Ramadhani1437H.

Ust. Alisema, ziara hiyo imesaidia

kufungua fursa ya kujua ni vitugani vinatakiwa kuwa vipaumbelevya kuhimiza na kusisitiza kwa ajiya utekelezaji wa kukabiliana nachangamoto hizo.

Lakini pia kwa pamoja waliwezkuangalia fursa na kuwasaidiawalimu na kuweza kuzitumia,ambapo zilitajwa fursa kama vilekumiliki ardhi kwa ajili ya ufugajina kilimo.

SHULE ya Sekondari yaKiislamu ya Mivumoni, iliyopokatika Msikiti wa Mtambani,Kinondoni Jijini Dar es Salaam,imetajwa kuwa ni Shule bora,miongoni mwa Shule zilizochini ya Misikiti, nchini.

Hayo yameelezwa nawazungumzaji katika Mahafaliya kuwapongeza na kuwapazawadi walimu na wanafunziwaliohitimu kidato cha nne

mwaka jana na kufaulu kati yadaraja la kwanza na tatu.Awali, Sheikh Ponda Issa

Ponda, akiielezea Sekondarihiyo, alisema Msikiti waMtambani umejitahidikuiendesha na kuisimamia Shuleya Sekonadri ya Mivumoni,katika ubora na kuwezakufaulisha vijana wa Kiislamukwa ufaulu wa hali ya juukatika Shule zinazomilikiwa naMisikiti.

Alisema, huo ni mfano wakuigwa na Misikiti mingine,ambayo inaendesha Shuleza Kiislamu ili ziweze kutoamatunda mazuri kama ya

Mivumoni Shule ya Kiislamu mfano wa kuigwaNa Bakari Mwakangwale Mtambani (Mivumoni Islamic)

na kuweza kuingiza vijana waKiislamu kwa wingi katika vyuovikuu ndani na nje ya nchi.

Pamoja na kuupongezaMsikiti huo, lakini pia Ponda,aliwaasa vijana wa Kiislamuwaliohitimu na wale waliobakiaShuleni hapo kuongeza juhudikatika kusoma na kutafuta elimukwa ujumla.

Alisema, jamii yoyote ambayohaitowekeza katika elimu, basiijandae kudumaa kwa kila hali.

Akawanasihi vijanawa Kiislamu kwa ujumlawaliohitimu kidato cha nnehapo Mtambani na katika shulezingine, kutojiingiza katikamambo ya anasa ya kiduniana kuhakikisha wanajiandaakuwa wasomi wenye uwezo wakuandaa rasilimali watu wenyetija kwa umma.

Naye Mkuu wa Shulehiyo Ustadhi Dadi Hemed,akizungumza katika mahafalihayo alisema Shule ya Kiislamuya Mivumoni iliyo chini yaMsikiti wa Mtambani, nichimbuko la wataalamu ambaowataihudumia jamii kwa

uadilifu na umakini mkubwa bila kujali tofauti zao za kidini,kabila au rangi.

Kwa maana hiyo, Mkuu huywa Shule hiyo aliitaka jamiikuunga mkono juhudi za Shulehiyo kwani ipo kwa manufaa yWaislamu na jamii.

Shule za Kiislamu Mivumonisekondari na Msingi, kwapamoja zipo katika Msikiti waMtambani, Kinondoni Jijini Dares Salaam.

Katika matokeo ya mwaka

 jana katika Mitihani yaKimkoa (TAHOSA) Shule hiyoimekuwa ya 5 kati ya Shule292, katika Mtihani wa InterIslamic, unaishirikisha Shule zaKiislamu imekuwa ya pili.

Ama katika Mtihani wa Taifakidato cha nne mwaka jana(2015) imetoa wanafunzi 22 wadaraja la kwanza wanafunzi26, daraja la pili na wanafunziwanne daraja la tatu, ambapohakuna daraja la nne walaziro, katika mtihani huo waTaifa kidato cha nne watoto12, wamepata alama A, katikasomo la Hisabati (Mathematics).

Page 17: ANNUUR 1225

8/18/2019 ANNUUR 1225

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1225 17/20

17  AN-NUU

RAJAB 1437, IJUMAA APRIL I 15-21, 201MAKALA 

Wanyama waliotajwa katika Qur’anInatoka Uk. 12

50,000. Mbu anachukua maishaya watu milioni 2 kwa mwakaakiwa namba ya pili nyuma yamwanadamu ambaye anaongozakwa kufanya mauaji ya watuwasiopungua milioni 7 kwamwaka.

Nzi katajwa ifwatavyo, “Enyi

watu! Unapigwa mfano, basiusikilizeni. Hakika wale mnaowaomba badala ya Mwenyezi

 Mungu, hawatoumba hata nziijapokuwa watajumuika kwahilo. Na nzi akiwapokonyakitu, hawawezi kukipata kwake.

 Amedhooka kweli huyo mwenyekutaka na mwenye kutakiwa. (Hajj22.73).

Nyuki katajwa ifwatavyo “Na Mola wako Mlezi amemfunulianyuki: Jitengenezee majumba yakokatika milima,na katika miti, nakatika wanayo jenga watu.” (Nahl16:68).

Buibui ametajwa katika Qurankama ifwatavyo “Mfano wa

walio wafanya walinzi badala ya Mwenyezi Mungu, ni mfano wabuibui alivyo jitandia nyumba. Nahakika nyumba dhaifu mno kulikozote ni jumba la buibui, laiti kuwawanajua.” (29:41)

Nzige, chawa, na churawametajwa katika sura ya7 kama ifwatavyo “Basitukawapelekea tufani, na nzige, nachawa, na vyura, na damu, kuwa niIshara mbali mbali. Nao wakapandakiburi, na wakawa watu wakosefu. (Al-Araaf 7:133)

Ndege Hudhud ametajwakatika Qur’an ifwatavyo “Naakawakagua ndege, na akasema:Imekuwaje, mbona simwoni Hud-

hud, au amekuwa miongoni mwawalio ghibu?” (Naml 27:20).Hudhud nitakuja kumuelezeakwa kina juu ya kisa chake naMtume Suleiman AS.

Kunguru ametajwa aidhakatika Qur’an “Hapo Mwenyezi

 Mungu akamleta kunguru anaye

 fukua katika ardhi ili amwonyeshevipi kumsitiri nduguye. Akasema:Ole wangu! Nimeshindwa kuwakama kunguru huyu nikamsitirindugu yangu? Basi akawa miongonimwa wenye kujuta.” (Al-Maida5:31).

Kunguru ni ndege mmojakatili ambaye anaangamizavidudu mbalimbali akiwana asili ya kutokea Asia.Kuna nadharia mbalimbalizielezazo vipi kunguru kakakatika maeneo ya kwetu, nayetutamchambua kufahamu mengi

 juu ya kunguru.Tembo ametajwa katika Surat

Al-Fil “Kwani hukuona jinsi Molawako Mlezi alivyo watenda walewenye tembo?” (Al-Fil 105:1).

Mdudu chungu kaelezewakatika Suratul An-Naml “Mpakawalipoka kwenye bonde la waduduchungu, alisema mdudu chungu

mmoja: Enyi wadudu chungu!Ingieni majumbani mwenu,asikupondeni Sulaiman na majeshi

 yake bila ya wao kutambua. (AnNaml 27:18).

Chawa katajwa katika SuratulAl-Araaf “Basi tukawapelekeatufani, na nzige, na chawa, navyura, na damu, kuwa ni Isharambali mbali. Nao wakapanda kiburi,na wakawa watu wakosefu.” (Al-Araaf 7:133).

Kima au nyani ametajwakatika Sura Al Baqara “Na hakikamlikwisha yajua ya wale miongonimwenu walio ivunja Sabato (siku

 ya mapumziko, Jumaa Mosi) natukawaambia: Kuweni manyaniwadhalilifu. “ (Al-Baqara 2:65).

Nyumbu ameelezewa

ifwatavyo “Na farasi, na nyumbu,na punda ili muwapande, na kuwani pambo. Na ataumba msivyovijua.” (Nahl 16:8).

Kondoo ametajwa kamaifwatavyo “Amekuumbieninamna nane za wanyama: Wawilikatika kondoo, na wawili katika

mbuzi. Sema je, ameharimisha yotemadume wawili au majike wawili,au waliomo matumboni mwa majike

 yote mawili? Niambieni kwa ilimu

ikiwa nyinyi mnasema kweli.” (An-A’am 6:143).Ngamia katajwa katika

Surat Al-An-A’am ifwatavyo”Na wawili katika ngamia, nawawili katika ng'ombe. Sema: Je,ameharimisha yote madume wawiliau majike wawili, au waliomomatumboni mwa yote majike?

 Au, nyinyi mlikuwapo Mwenyezi Mungu alipo kuusieni haya? Basini nani dhaalimu mkubwa kuliko

 yule aliye mzulia Mwenyezi Munguuwongo, kwa ajili ya kuwapotezawatu bila ya ilimu? Hakika

 Mwenyezi Mungu hawahidi watumadhaalimu. (An-A’am 6:144).

Mbwa mwitu ni katikawanyama zama hizo akielezewakuwa ni hatari kwa kuhujumu

na hata hivi sasa katika maeneombalimbali ambao wanyama haohuonekana bado huwahujumuwanadamu. Katika Surat YussufMbwa mwitu amelezewa ifwatavyo“Akasem: Kwa hakika inanihuzunishakwamba nyinyi mwende naye, naninaogopa asije mbwa mwitu akamlananyi mmeghalika naye.” (SuratYusuf 12:13).

Ngamia katajwa ifwatavto,“Na walipo fungua mizigo yaowakakuta bidhaa zao wamerudishiwa.Wakasema: Ewe baba yetu! Tutakenini zaidi? Hizi bidhaa zetutumerudishiwa. Wacha tuwaleteewatu wetu chakula, na tutamlindandugu yetu, na tutaongeza shehena

 ya ngamia. Na hicho ni kipimokidogo.” (Surat Yusuf 12:65).

Simba katajwa katika ayaifwatayo “Wanao mkimbia simba!” (Surat Al-Mudathir 74:51).

Nyoka katajwa katika ayaifwatayo “ Akaitupa. Mara ikawanyoka anayewenda mbio.” (SuratTa’ah 20:20).

Punda katajwa katika aya

ifwatayo “Au kama yule aliyepitakaribu na mji uliokwisha kuwamagofu tu, akasema: Ataufufuaje Mwenyezi Mungu mji huu baada yakufa kwake? Basi Mwenyezi Mungualimsha yeye muda wa miaka mia.Kisha akamfufua. Akamuuliza: Je,umekaa muda gani? Akajibu: Labdanimekaa siku moja au sehemu ya siku.

 Akamwambia: Bali umekaa miaka miawewe. Hebu angalia chakula chakona vinywaji vyako, havikuharibika.Na muangalie punda wako. Na ilitukufanye uwe ni Ishara kwa watuiangalie hii mifupa yake jinsi tunavyoinyanyua kisha tunaivisha nyama.Basi yalipo mbainikia alinena: Najuakwamba Mwenyezi Mungu ni Mwenyuweza juu ya kila kitu.”  (Surat Al-Baqara 259).

Nguruwe ambaye nyama yakimeharamishwa kwa Waislamukumla katajwa katika Surat Al-Baqara “Yeye amekuharimishienimzoga tu na damu na nyama yanguruwe na kilicho tajiwa, katikakuchinjwa kwake, jina la asiye kuwa Mwenyezi Mungu. Lakini aliyekiwana dharura bila ya kutamani walakupita kiasi, yeye hana dhambi.Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenyekusamehe, Mwenye kurehemu. (SuratAl-Baqara 2:173).

Mbwa katajwa katika SuratAl Araaf “Na tungelitaka tungelimtukuza kwa hizo Ishara, lakini yeyealiushikilia ulimwengu na akafuata pumbao lake. Basi mfano wake ni mfanwa mbwa. Ukimhujumu hupumuana kutoa ulimi na ukimwacha piahupumua na kutoa ulimi. Huo ni mfanwa kaumu wanao zikanusha Isharazetu. Basi simulia hadithi, huendawakatafakari. (Al-Araaf 7:176).

Samaki aidha katajwa katikaSura Al-Kahf “Akasema (kijana):Waona! Pale tulipo pumzika penye jabali basi mimi nilimsahau yulesamaki. Na hapana aliye nisahaulisha

nisimkumbuke ila Shet'ani tu. Nayeakashika njia yake baharini kwa ajabu.(Al Kahf 18:63).

Fatana na mie kuwaelewawanyama hawa waliotajwakatika Qur’an na ulimwenguwao wanaoishi na harakati zaoza kimaisha.

Miti Duniyani na maisha yetu- MpiraInatoka Uk. 12

miti ya mipira imeenea katikamaeneo ya Kusini na Kusini-mashariki ya bara la Asia. Aidhahuonekana katika nchi za Afrikaya Magharibi hasa hasa katikanchi ya Liberia.

Kiasi cha Dolari bilioni16.5 za Kimerekani ziliingizanatija iliotokana na mpira.Majumuisho hayo ni ya mwakawa 2014 ambayo ilisarishwamipira duniani kote. Idadiya uzalishaji wa mpirainaporomoka mwaka hadimwaka. Takwimu zinaonyeshakatika mwaka wa 2013 na 2014zao la mpira liliporomoka kwaasilimia 36.5.

Bara la Asia linaongoza kwauzalishaji wa mpira. Nchi za

 bara hilo kwa mwaka wa 2014pekee walisarisha mpirawenye thamani ya Dolari

 bilioni 10.9 sawa na asilimia

85.9 ya mauzo ya mpira. Nchiya Thailand ndio kinara wausarishaji wa mpira duniani

ikiwa inasarisha asilimia 36.5ya mpira wote unaosafrishwaduniani ikifwatiwa na nchiya Indonesia asilimia 28.7,Vietnam 8.5, Mlaysia 8.4, IvoryCoast 3.6, Ujerumani asilimia 2,Ubeligiji asilimia 1.8, Guatemalaasilimia 1, Liberaia asilimia 1 naSingapore asilimia 0.9, Marekaniasilimia 0.8.

Nchi zinaongoza kutumiampira kwa wingi namba mojani nchi ya China ikifwatiwana nchi ya India, Marekani,Ujapani, Thailand, Indonesia,Malaysia na Korea ya Kusini.Mpira inatengenezewa vitu

vingi ikiwa mbali ya mipira yagari, mipira ya kufungia vitu,mipira ya kuogelea, mipira

inayofungwa katika meli, mipiraya baskeli. Mpira ni mchezoambao ni mmoja unaopendwasana duniani na ndio unaolipawachezaji kwa mapesa telena ni biashara kubwa, mpirawa kuchezea hutengenezwakutokana na zao la mpira.Leo duniani kuna viwanjavikubwa vikubwa ambavyowatu wanaangalia mchezo wampira gharama ya ujenzi waviwanja hivyo ni kubwa mnoau gharama ya tiketi ya kwendakuangalia mchezo wa mpiralakini gharama ya huo mpirawa kuchezea sio kubwa hata

ukilinganisha na bei ya tiketikwenda kuona mchezo wakandanda kama katika uwanjawa Wembley au Ipurura uliopoUspani, Mambatho uliopoAfrika ya Kusini, Camp Nouwa Uspani, Estadio Aztec na

mengineo. Gharama za kuingiliviwanjani ni kubwa mno, kwahio mpira ni mmoja ya nyenzokuu ya uchumi sio kwa njia yamoja kwa moja.

Viatu ni moja ya nyenzoinayotumika kutokana na mpiraWatu wa nchi zinazoendeleahuvaa zaidi ya viatu vya mpirakuliko viatu vinavyotengenezwkutokana na ngozi. Aidha,toizi (toys) nyingi za watotohutengenezwa kutokana nampira. Kazi nyingi za viwandanhutegemea mpira kutokana naglovu, koa, viatu, n.k.

Page 18: ANNUUR 1225

8/18/2019 ANNUUR 1225

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1225 18/20

18  AN-NUU

RAJAB 1437, IJUMAA APRIL I 15-21, 201Makala

NIANZE sehemu hii ya piliya makala haya kwa kurejeleakwa mara nyingine tena nukuu,

kutoka katika kitabu 'UONGOZIWA KIDINI-MAELEKEZO NAUTEKELEZAJI WA KIJAMII'cha Sheikh Hassan MussaSaar, ambayo niliahidi kutoleaufafanuzi baadhi ya nuktazilizodokezwa ndanimwe.Kwa faida ya wasomaji ambaohawakubahatika kuisoma sehemuya kwanza ya makala haya, nukuuile ilisomeka hivi:

''Kama makhatibu hawa(waliotolewa mfano na Dr. Jalabiy)wanakabiliwa na udhuru wakutokuwa na maarifa kamili nauelewa sahihi kuhusu zama zao, nakutokujua ujumbe wao, basi hakikasehemu nyingine ya makhatibuwanafanya uzembe, wao hawatumii juhudi za kutosha katika kuandaa

hotuba zao ''.Maneno hayo ya Sheikh Saaryanaakisi kwa kiwango kikubwahali halisi inayowakabili hata baadhi ya makhatibu wetu, katikamisikiti ya maeneo mbalimbalinchini, kwa kuwa miongoni mwaokuna wasio na maarifa ya kutoshawala uelewa sahihi wa zamatunazoishi japo wanaweza wakawana stadi maridhawa pamoja naweledi mzuri wa utambuzi waQur-an na Hadith za MtumeMuhammad (S.A.W.). Mathalani,khatibu, kwa kutoelewa zamaau nyakati tulizomo, anawezaakatumia mifano ambayo amayenye tija au athari ndogo au isiyona tija au athari kabisa kwa zamaza sasa. Kwa mfano Allah (S.W.)anasema ''Na utangaze kwa watuhabari za Hijja, watakujia (wengine)kwa miguu na (wengine) juu ya kilamnyama aliyekonda (kwa machovuya njiani) wakija kutoka katika kilanjia ya mbali'' (22:27).

Kwa khatibu asiye na maarifana uelewa wa mambo ya zamatulizomo, kuna uwezekanomkubwa kwa mnasaba wa ayahiyo, kuwahimiza wauminiwanaomsikiliza wenye nia aukusudio la kufanya ibada ya hijjakutumia nyenzo hizo za usarizilizotajwa ndani ya aya hiyo yaani(miguu na wanyama watumikaokama nyenzo za usari) katikazama hizi, bila kujali umbali wawanakotoka na wanakotarajiakwenda. Lakini kwa khatibumwenye maarifa na uelewa wa

zama tulizomo, badala ya kuhimizamatumizi ya miguu na wanyama,yeye atatoa himizo la kutumianyenzo za usari za kisasa yaanizinazotumika katika zama hizikama vile treni, meli, magari nandege na si zile za zama za Mtume(S.A.W.) na maswahaba wake (R.A.)kama vile punda, farasi au ngamia.

Himizo la khatibu wa kwanza,linaweza kuwa na tija ndogo sanaau lisiwe na tija kabisa kulinganana maendeleo ya sayansi nateknojojia ya zama za leo. Nasemalinaweza kuwa na tija ndogo sanakwa kuwa himizo lake linawezakufanyiwa kazi na mahujaji tarajaliwanaotokea maeneo ya ndani yaMakka pekee tena si yote bali yale

Makhatibu wanapaswa kubadilika (2)Na Abuu Nyamkomogi yaliyo karibu zaidi na Nyumba

Tukufu ya Allah (S.W.); na linawezakwa upande mwingine lisiwe natija kabisa kwa mahujaji watarajiwawanaotokea maeneo ya nje ya

Makka, mathalani mahujaji tarajaliwanaotokea hapa nchini na maeneomengine duniani ni nadra kamasi muhali kumkuta hujaji tarajalikutoka Tanzania, Kenya au Ugandakwa kutaja kwa uchache akifungasafari ya kuelekea Makka-SaudiArabia kwa kutumia nyenzo yamiguu au mnyama katika zamahizi.

Kwa muktadha huo, suala lauzingatiaji wa zama linapaswakupewa kipaumbele na makhatibuwetu ili ujumbe wanaoikishia jamii usionekane ama unakinzanaau umepitwa na wakati. Itoshetu kusema kwamba ni dhahiriya kuwa Khatibu mwenyemaarifa ya kutosha na uelewasahihi anayetambua jukumu lake

na mazingira yake pamoja naulimwengu wa sasa unavyokwenda,ni rahisi kwake kutambua nakuzingatia mabadiliko ya zama aunyakati na athari zake kwa hadhirayake katika maandalizi ya khutbayake kuliko yule asiye na weledi wamambo hayo.

Kadhalika suala hili la makhatibuwetu kujitahidi kuzingatiawakati, wanapoandaa khutbazao, liliangaziwa na mharirikatika tahariri yake ndani yatoleo namba 1223 ya gazeti hilikama ilivyotanabahisha sehemumojawapo ya tahariri hiyo kwamba''Hutba inahitaji iandaliwe kiasicha kuwafanya watu wahamasikena kushawishika kujifunza kwayo.Somo la hutba linahitaji utaalamwa muwasilishaji na uwasilishwaji,somo la hutba liendane na maishaya Waislamu kwa wakati husika''.

Kwa msingi huu, niwakumbushetu baadhi ya makhatibu kwambaule wakati wa kutumia khutbaza Ibn Nabat, kama il ivyokuwaimezoeleka huko nyuma na hatainavyoendelea hadi sasa katika baadhi ya misikiti, umepita. Nivyema ifahamike wazi kwamba nivigumu watu kuweza kuhamasikana kuwa na shauku ya kujifunzakutokana na maudhui ya khutbaya Ijumaa kwa khutba isiyozingatiawakati, kwa hiyo ni muhimumakhatibu wetu walizingatie sualahili katika uandaaji wa khutba zao.

Suala lingine la kimazingiraambalo makhatibu wetuwanapaswa kulitupia macho ni

lile la uzingatiaji wa matukioyanayojiri katika ulimwengutunaoishi katika uandaaji wakhutba zao. Japo hazungumzii,moja kwa moja kuhusu makhatibuwa Ijumaa, Sheikh Saar anatoamaelezo ya namna ambavyomatukio yanayotokea ulimwenguniyanavyoweza kuwahusu aukuwagusa Waislamu kwanamna moja au nyingine kamaanavyodokeza katika ukurasa wathelathini na tisa (39) wa kitabuchake kwamba:

''Matukio makubwa yanatokeakatika sehemu mbalimbaliza ulimwengu na Waislamuwanajikuta ni sehemu ya matukiohayo, ima kwa kushiriki kwa

maamuzi binafsi ya baadhi yawatu au kwa mikakati ya maaduikwa kuwaingiza Waislamu nakuwatumbukiza katika mapambaombalimbali ili kutimiza (ule) msemo

wa mapambano ya kimaendeleo aukwa propaganda tu inayojitokeza yakutengeneza uchochezi wa vyombovya habari au kwa sababu yoyotenyingine.''

Kwa mantiki hii,matukio yanayowahusu auyanayowahusisha Waislamu hayafaikukaliwa kimya pasi na kutolewaufafanuzi kupitia mimbari zamisikitini, pamoja na vyombo vyahabari vya Kiislaamu kama vilevituo vya redio na runinga vyaKiislaamu pamoja na magazeti namajarida ya Kiislaamu ili kukabilinana propaganda na upotoshajiwa makusudi uliotopea ambaoumekuwa ukifanywa na maaduiwa Uislamu kila uchao dhidi yaUislamu kwa upande mmoja na ya

Waislamu kwa upande mwingine.Nitakuwa sitendi haki kamasitakiri ukweli kwamba kunamaeneo ambayo makhatibu wetuwamejitahidi sana kuzingatiamatukio wanapoandaa khutba zaohususan yale matukio ya misimumaalumu kama vile misimu yafunga, hijja pamoja na ya iddil-tr na iddil-udh-hiya kwa kutajamichache. Hata hivyo changamotokubwa inayowakabili makhatibuwetu wengi wa leo ni kushindwakuzingatia, katika uandaaji wakhutba zao, matukio yanayoibuka/yanayojitokeza katika maishayetu ya kila siku pasi na kujalimsimu. Katika tahariri ile ya toleonamba 1223 ya gazeti hili suala lauzingatiaji wa matukio liligusiwana mhariri akitolea mfano kuhusu

hilo kupitia kwa Maalim Bassalehkwamba'' Wakati (huo) akiwaMasjid Idrisa, alikuwa akiandaahutba yake kwa kuzingatia matukioyaliyojiri nchini kwa kunasibishana nafasi ya Waislamu, iwe ni kwakuzingatia maslahi au madhara aukutoa tahadhari, kuonya, kukemeaau kuchukua hatua''.

Kwa mnasaba wa ibara yanukuu hiyo khatibu anapaswakufanya jitihada ya kufuatiliamatukio mbalimbali yanayojitokezakatika juma husika ama katani,tarafani, wilayani, mkoani, nchiniau barani mwake na hata mahalipengine ulimwenguni maadamutu yanaweza kuwa na atharikwa Uislamu na Waislamu nakuyawasilisha kwa hadhira yakena kubainisha athari chanya auhasi, kwa au dhidi ya Uislamu naWaislamu, zinazoweza kuwaathirikwa namna moja au nyinginekutokana na tukio au matukio hayoili waweze kuwa hadhiri nayo nakutambua namna ya kukabiliananayo.

Makhatibu wanaweza kutumianjia mbalimbali kufuatilia nakupata taarifa au habari za matukiombalimbali. Baadhi ya njia hizokama ilivyoshauriwa na SheikhSaar ndani ya kitabu chake katikasehemu ya ukurasa wa hamsinina wa hamsini na moja (50-51) nipamoja na njia ya mitandao yaintaneti na vyombo vya habarivya ndani na nje. Aidha, mhaririwa gazeti hili katika tahariri yakeniliyoidokeza huko nyuma nayeamebainisha njia kadhaa za kutumiakatika kupata taarifa na maalumatimbalimbali kama anavyodokeza

kupitia mfano wa Maalim Bassalehkwamba '' Toka zamani, alikuwa nkawaida ya kuandaa mada ya hutbya Ijumaa mapema kabla ya siku yaswala. Akipenda kufuatilia taarifaza vyombo vya habari vya ndanina nje ya nchi, akipenda kusoma

magazeti mbalimbali ili kupatana kujua matukio mbalimbaliyanayokuwa yanajiri katika jamii.Zaidi akipenda kusoma vitabumbalimbali'' Mbali na njia hizozilizodokezwa na Sheikh Saar naMhariri, njia nyingine zinazowezakutumika kupata taarifa za matukini pamoja na khatibu mwenyewekuona au kushuhudia tukio aumatukio husika au kusikia kutokakatika vyanzo vya msingi vyataarifa (primary sources). Pamojana yote hayo, makhatibu wasisahautahadhari iliyotolewa na Allah(S.W), katika sura ya arobainina tisa aya nambari sita (49:6),kuhusu kuzichunguza taarifawanazozipata au zinazowakia,kabla ya kuzifanyia kazi, kutokakatika vyanzo mbalimbali na hasavisivyo na nia njema na Uislamu

na Waislamu hususan katika zamahizi za propaganda na upotoshajiuliokithiri unaofanywa na baadhiya vyombo vya habari dhidi yetu ndini yetu.

Niwashauri makhatibu wetu,katika uchunguzi wao wa taarifa,wajitahidi sana kufuatilia taarifaza matukio na hasa yanayohusuUislamu na Waislamu kupitiavyombo mbalimbali vya habari vyaKiislaamu vya ndani na nje ya nchi

Nihitimishe kwa kuwasihimakhatibu wetu wazingatie ushauwa Sheikh Saar, katika uboreshajiwa khutba zao, kupitia ile nukuuyake niliyoidokeza katika makalaya juma lililopita kwamba ''Nakatika jamii yetu ya leo kuna idadikubwa ya wabobezi na wenyeubobezi ambao unawezekana

kuwaomba ushauri na kunufaika nmaoni yao katika kutatua mamboyanayohusiana na ubobezi wao''.Hivyo basi, ni vyema makhatibuwetu wakawatumia wataalamu wafani mbalimbali katika kujifunza nkujiongezea maalumati na maarifambalimbali kwa yale mambowanayohisi kwamba yana umuhimkufuatana na somo la khutba husikkatika kuleta ufanisi katika khutbazao lakini wakawa ama wana ujuzimdogo au hawana ujuzi kabisakuhusiana na mambo hayo. Na hilisi la suala geni wala la ajabu kwetusisi Waislamu kwani Allah (S.W.)alishatupa maelekezo kuhusu hilikatika sura ya kumi na sita ayanambari arobaini na tatu (16:43)pamoja na katika sura ya ishirini nmoja aya nambari saba (21:7).

SHEIKH Maarufu nchini, SheikhNurdin Kishki, khutba, khutba zakzimekuwa zikigusa hali halisi.`

Page 19: ANNUUR 1225

8/18/2019 ANNUUR 1225

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1225 19/20

19  AN-NUU

RAJAB 1437, IJUMAA APRIL I 15-21, 201Ukurasa wa Watoto

Somo la Kwanza: Tawhiid -7

KATIKA darasa letula wiki iliyopita,tulimalizia kwamaswali.Leo tutatoa majibuya maswali hayo

kisha tutatoa zoezi lakumalizia sehemu hiiya kwanza ya darasaletu. Aliyemuumbakuku wa kwanza niAllah (SW)Aliyemuumbang’ombe wa kwanzani Allah (SW)Aliyemuumba mtuwa kwanza ni Allah(SW).Allah (SW)amewaumba watu.Allah (SW) ameumbawanyama.Allah (SW) ameumbandege na wadudu.Allah (SW) ameumbambingu na ardhi.Allah (SW)ameumba kila kitutunachokiona natusivyo viona.Qur’an inatuambia:

“Yeye (Allah) ndiyealiyekuumbienivyote vilivyomokatika ardhi.Tena akakusudiakuumba mbingu naakazifanya mbingusaba. Naye NdiyeAjuaye kila kitu.(2:29)Watoto wafanye Zoezihili.1. Aliyetengenezamilango namadirisha yanyumba yenuni……..2. Aliyeshonanguo yako ni……..3. Nanialiyetengeneza

 jua…..4. Wanyama namiti, imetoka wapi?5. Nani fundi wanyota?6. Aliyeumbawatoto wa darasa lakwanza ni…

 MLANGO WANYAMA

NGUO

Page 20: ANNUUR 1225

8/18/2019 ANNUUR 1225

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1225 20/20

20  AN-NUU

RAJAB 1437, IJUMAA APRIL I 15-21, 20120 MAKALA 

 AN-NUUR20

Soma gazeti la

 AN-NUUR 

KWA TSH 800/=

kila IjumaaRAJAB 1437, IJUMAA APRILI 15-21, 2016

WAISLAMU wa Maryland nchiniMarekani wamezindua Msikiti nakituo cha Kiislamu jimboni humo.

Rais wa Uturuki, Recep TayyipErdogan, amezindua kituo chautamaduni wa Kiislamu chaLanham, katika jimbo la Marylandkaribu na Washingtong DC katikaziara yake nchini Marekani.

Rais Erdogan alifahamisha katikauzinduzi huo kuwa kituo hichoni kwa niaba ya Waislamu wenyemoyo na imani na wanaoonyeshafalsafa za Kiislamu.

Msikiti huo umezinduliwa wakatiambapo Waislamu kwa ujumla,wamekuwa wakitendewa matendoyasiyoridhisha na watu wasioutambua Uislamu na matendo yake.

Ugaidi, ubaguzi na maovumengine ni matendo ambayoyanapingwa vikali na mafunzo yaUislamu, alibainisha Rais Erdogan.

Mara baada ya kufungua Msikitihuo, Rais Erdogan alisoma Qur’ankwa njia ya Tajweed.

TAKARIBANI askari500 wa Jeshi la Marekaniwalijiua mwaka jana hivyokuendeleza mkondo waidadi kubwa ya wanajeshi

wanaojiua nchini humokatika kipindi cha miakasaba iliyopita.

Wizara ya Ulinzi yaMarekani Pentagon, katikaripoti yake Ijumaa mwamwezi huu, ilisema askari 265wa vikosi vya anga, bahari,nchi kavu na kikosi chamarine walijiua mwaka 2015.

Aidha askari 210 wa ziadakatika jeshi la Marekaniwalijiua mwaka jana.

Mwaka 2001 wanajeshi145 walijiua katika Jeshila Marekani na idadi hiyoimekuwa ikiongezeka kila

mwaka.Msemaji wa Pentagon,Luteni Kanali HermesGabrielle, amesema hatua zakuzuia vitendo vya wanajeshikujiua ni suala linalopewakipaumbele na Jeshi laMarekani.

Kitendo cha Marekani chakuzikalia kwa mabavu Iraqna Afghanistan na harakatizake za kichokozi kwinginekoduniani, si tu zimeletamadhara na hasara kubwa

Kituo cha Kiislamu chazinduliwa Maryland

 Askari 500 wa Marekani

 walijiua mwaka janamakubwa ya kiroho, kinafsina kisaikolojia kwa wanajeshiwengi wa Marekani na kunauwezekano madhara hayoyakadumu kwa muda mrefukwa wanajeshi hao na kwa

 jamii nzima ya Marekani.Kwa upande mwingine,

uchunguzi umebainishakwamba Polisi nchiniMarekani wamekuwawakiwaua watu Weusi kwa

makusudi.Matokeo ya uchunguzimpya uliofanyika nchiniMarekani, yameonesha kuwavitendo vya polisi nchinihumo kuwaua kwa kuwapigarisasi Wamarekani wenyeasili ya Afrika, tena wasio nasilaha, vinaongezeka.

Ripoti iliyochapishwa Aprili7 na gazeti la WashingtonPost, imesema matokeo yauchunguzi wa wahakiki waChuo Kikuu cha Louisville

katika mwaka uliopita2015 Polisi wa Marekaniwaliwalenga kwa risasi kwawingi Wamarekani weusiambao hawakuwa na silaha.

Ripoti hiyo imesema polisiwaliohusika na mauaji ya

Wamarekani hao wenyeasili ya Afrika, walidai kuwawalihisi wanatishiwa na raiahao ambao hawakuwa nasilaha!

Ripoti hiyo inatazamiwakukabidhiwa kwa wanachamwa Jumuiya ya Vituo vyaPolisi katika miji muhimu yaMarekani.

Polisi wa Marekaniwamekuwa wakilaumiwakwa kukithiri vitendovya kuwalenga kwa risasiraia wenye asili ya Afrikakutokana na sababu zakibaguzi. irib.

WAISLAMU wa Maryland nchini Marekani wakizindua Msikiti na kituo cha Kiislamu jimboni humo. Anayepunga mkono ni Rais wa Uturuki, Recep Tayyip Erdogan.