ANNUUR 1164a

Embed Size (px)

Citation preview

  • 8/9/2019 ANNUUR 1164a

    1/20

    ISSN 0856 - 3861 Na. 1164  RABIUL THANI 1436, IJUMAA , FEBRUARI 13-19, 2015 BEI TShs 500/=, Kshs 50/=

    Sauti ya Waislamu

    Uk.1

    Mpenzi msomaji kuanzia Februari 19, 2015 ANNUUR litapatikana kwa Shs 800/= tu

    IPO haja kwa CUFkubadilika harakaiwezakanavyo, lasivyo, wafuasi wakewataikimbia, ingawahawatarejea CCM.

    Zanzibar wanahitajim a b a d i l i k o .

     Al-Shabaab asilimisha wafungwa Segerea Aliingia Collins atoka akiwa Muhammad

    Sheikh Msellem ampa ‘Kalima Shahada’

    Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimpa zawadi mwenyeji wake Sultani wa OmanQaboos bin Said Al Said katika kasri ya AL Alam jijini Muscat Oman, wakatiwa ziara yake nchini humo mwaka jana.

    CCM imefeli VisiwaniCUF yahitaji kubadilika harakaLa sivyo itakuwa haichaguliki

    Wanahitaji na kutarajivyama vyao vya siasawanavyoviamini nakuvikubali kuwavitawakisha pazuri.

    Lakini huendawatakubali wasipigek u r a a u w a u z e

    vipande vya kupigiakura kwa vyamavyengine.

    M a a n a v y a m avyote viwili, CUFna CCM, vyaelekeakufanana kwa kilahali! (Soma Uk.8)

     MUHAMMAD Javan Omundi, Mkenya aliyesilimakiwa gerezani Segerea Jijini Dar es Salaam.

    Ghasani, hili ndio kosa la Wazanzibari….

    Kila uchochoro Mji Mkongweakina ‘William’ wanaona gaid

    Ila kama ni balaa wataleta Wazungu na…Wanaopiga kampeni za chuki kanisaniSio hizi porojo za Waarabu wa Oman

     MMOJA wa wal ioku w Masultan wa Zanzibar. MHE. William Lukuvi

    JINAMIZI LA UDINI TANZANIA:

    Sheikh Suleiman Takadir,

    “Askofu Makarios”

  • 8/9/2019 ANNUUR 1164a

    2/20

    2   AN-NUURABIUL THANI 1436, IJUMAA FEBRUARI 13-19, 20

    AN-NUUR S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786

    Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM.www.annuurpapers.co. E-mail: [email protected]

    Ofsi zetu zipo: Manzese Tip TopUsangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam

    Tahariri/Makala ya Mtangazaji

    Palestine opens frst Western Europe embassy in SwedenPALESTINE has opened itsfirst embassy in WesternEurope in the Swedishcapital city of Stockholmamid Israel’s anger.

    According to of f ic ialSwedish sources, PalestinianPresident Mahmoud Abbasand Swedish Foreign Minister

    Margot Wallstrom aendedthe inauguration ceremonyof the Palestinian embassy inStockholm on Tuesday night.

    Earlier in the day, Swedenannounced its decision toincrease financial aid toPalestinians, but also urgedthe Palestinian authorities tocarry out reforms, epicallywith regard to women’ssituation in the country.

    Sweden reportedly plans toincrease its nancial help to

    Palestine by 1.5 billion crowns($179.74 million) over the nextve years.

      Some 135 governmentshave so far announced theirocial backing for Palestine’ssovereignty. Parliaments in

    major European countrieincluding Spain, FrancBritain, Ireland and Portugas well as the EuropeaParliament have symbolicalendorsed Palestine’s bid to brecognized as a state.

    Abbas Hopes Swedish Recognition to Infuence International CommunitySTOCKHOLM (WAFA) –President Mahmoud AbbasTuesday expressed hope thatthe Swedish recognition ofthe state of Palestine willleverage the internationalcommunity’s support of thePalestinians' just cause.

    A b b a s c o m m e n d e dSweden’s recent recognitionof Palestine as in independentstate, which, according tohim, bolsters the Palestinianpeople’s struggle towardfreedom and independence.H e ca l led u p o n o th er

    European countries to followsuit.

    Abbas confirmed thatSweden’s recognition ofPalestine and the UnitedNations Secretary General’smembership will supportpeace negotiations and willnot replace such eorts.

    D u r i n g h i s v i s i t t oStockholm, Abbas signed withLofven several agreements oncooperation and development.The agreements would beeective starting from 2015until 2019.

    Last October, the parliamenof Sweden recognized the staof Palestine and conclude

    that 'the international lacriteria for the recognition Palestine have been met.'

    The Swedish governmenhas also decided to increasaid and adopt a five-yeaa id s t ra tegy in c lu dinsubstantial ly increasesupport to Palestinian stat building; aid to Palestine wincrease from SEK 500 millioto SEK 1.5 billion ($67million to $203.4 billion) ovethe next ve years.

    UN Calls to Lift Israeli Siege on GazaGAZA (WAFA) - The UnitedNations’ Coordinator of

    Humanitarian Aairs in thePalestinian Territories, JamesRowley Tuesday called forlifting the siege imposedby Israeli on the Gaza Strip,starting the reconstructionp rocess t o rep ai r t h edestruction caused by thelatest Israeli war as well asopening the Rafah bordercrossing.

    Rowley said in a pressconference held in al-Shifahospital in Gaza city thatthe siege has greatly aectedhealth and humanitarianServices and the blockadeshould be lifted to end thesuering of Gaza’s patients.

    He demanded donor

    countries which pledged toreconstruct the war-wearyStrip to fulll its obligations.Rawley said the internationalcommunity that pledgedto fund the reconstructionp ro ces s m u s t m eet i t spromises and turn them intocommitments.

    Israel and the Palestinianfactions inked a ceasefiredeal on August 26, ending the2014 deadly Israeli onslaughton Gaza that claimed thelives of over 2,200 people,overwhelmingly civilians.

    T h e c e a s e f i r e d e a lstipulated that Israel mustease the blockade imposed on

    Evacuating survivors after an Israeli airstrike hits the AGhoul family building in Rafah, August 3, 2014.

    the strip and the restrictionson the unilaterally-imposedshing zone o Gaza’s coast.

    Egyptain authorities are

    also closing the Rafah bordercrossing between Gaza andEgypt almost entirely andare only opening it for thosedeemed as humanitariancases.

    The most pressing key issueis the Gaza reconstruction.Whole neighborhoods acrossthe strip have been aenedand reduced to rubble byIsraeli airstrikes, leavingabout 475,000 Palestiniansrefugees displaced for yetanother time.

    A c c o r d i n g t o U Ninstitutions’ statistics, around15,000 Gaza refugees are stillliving in UN-run schoolsseven months after the end

    of the war, as they have nother choice after losing theresidences.

    Israel has however faile

    to adhere to its agreemenrepeatedly violating thceasere deal through openinre on Palestinian shermewithin the shing zone anhindering the reconstructioprocess.

    Continuing the Cairo br ok er ed ta lk s on ot hekey issues was repeatedlpostponed in the wake of thNovember attacks againEgyptian soldiers in the SinPeninsula.

    Israel has imposed tightened blockade sinc2007 af ter Hamas wothe democratic legislativelections and took over powin the strip.

    KILA ifikapo tarehe 14Februari ya kila mwaka,watu sehemu mbalimbalid u n ia n i w a m e k u w awakisherehekea amak u a d h i m i s h a s i k uiliyobuniwa na kubatizwan a k u i t w a s i k u y awapendanao (ValentineDay).

    Historia inatuelezakuwa asili ya sherehehiyo ya wapendanao nisherehe ya wapagani waKirumi, wakati dini yao yaupagani ilikuwa ndio diniiliyotapakaa kwa Warumi

    karne zaidi ya kumi nasaba zilizopita, na kra zaoilikuwa ni kuelezea hisia ya‘mapenzi ya kiroho’.

    T u n a f a h a m i s h w akwamba siku hii iliwekwana watu fulani kwa ajili yakumkumbuka mtu mmojakwa jina la MtakatifuV a l e n t i n o , a m b a y etunaelezwa kuwa aliuawakwa kukiuka matakwa yawatawala wa wakati wake,kwa sababu alikemea

     ba ad hi ya mi la za o naakawa anafungisha ndoazilizopigwa marufukukatika wakati huo.

    Tuseme tu kwambasiku hizi watu wamekuwah o d a r i w a k u t u n g ana kuidhinisha siku zamaadhimisho na kuzipatafsiri na matumizi tofautikiasi cha kukidhi matakwayao. Watu wengi huzipasiku matumizi kwa jinsiwanavyoona wao. Kwamfano, kuna siku huwazinaitwa za ‘vunja jungu’ambazo zimetungiwakipindi chake. Nacho nikabla ya kuanza mfungowa Mwezi Mtukufu waRamadhani na baada yakumaliza funga.

    Siku hizi zimefanywakuwa siku maalum kwawachafuzi kutenda kiasicha kukinahi maasi. Watuhuzamia kisawasawakatika maasi na kuogeleakatika mambo maovu.Kibaya zaidi, hata vyombovya habari hupamba sikuhizo, utafikiri za maanasana.

    Ukisikiliza stesheniza redio hapa nchini,watangazaji hawawezikuanza na kumal izavipindi bila kuchombezamasuala ya mapenzikuelekea Valentine. Wao

     Valentine, ni ufuska, uovu mtupu!wamekuwa ndio wapigadebe wakubwa wa mambokama haya, ambayo ilikuwasi maarufu miongonimwa Watanzania wengi.Watangazaji wanashinikizadhana hii kwa kuwaambia“wapendanao” hawayanayofanywa wakati wasiku hizi hapa kwetu, nayoni kwa ‘wapenzi’ kwendaufukweni kupunga upepoa u k w e nd a k w e ny emajumba yanayoitwa yastarehe.

    Wa na o ng e a k a t i k ahali ya kuamsha hisiafulani miongonni mwa

    wasikilizaji wao, na nihisia hizo hizo za uzinifu.Wakiongea upuuzi namambo yasiyo na faidakwa jamii.

    Siku hizi jamii imekiahatua ya kuhamishauhalisia wa maadhimishoya siku za kiimani nakuzigeuza kuwa siku zakufanya upuuzi zaidi.Hakuna tofauti ya sikukuuau maadhimisho kwa watuwa imani moja na nyingine,

     japo kuna tofauti ya namnaya kufanya maadhimishon a h a t a m a k u s u d i oy a k u a d h i m i s h a a ukusherehekea.

    K w a k u s h i n d w a

    kukabiliana na mwenendohuu, jamii sasa imebadilikana kupoteza mwelekeo.Mambo ya upuuzi ndiyoyanayoonekana ya msingina muhimu kuliko yale yakiungwana. Upuuzi ndioumekuwa fasheni, kwasababu sehemu kubwa ya

     jamii imebadili mwelekeona kuegemea kat ikamambo ya kipuuzi.

    Tukitizama kwa makini,utagundua kuwa watuwanaisubiri kwa hamuhiyo siku ya Valentine, iliwashawishike kupendanazaidi, lakini si mapenzihalali, bali uzinzi. Vyumbavya mahoteli na nyumbaza kulala wageni vitajaa,

     ba a zi tat ap ik a, ku mb iza dansi zitafura huku‘wapendanao’ wakiwakatika mavazi mekundu!

    Kuna haja kama Taifakuyatizama mambo hayakwa mtizamo mwingine,sio huu wa kuvamia kilakijacho. Hivi sisi utamaduniwetu ni upi. Maadili yetu niyapi. Katika makabila natamaduni zetu, hakunanamna ya kuonyeshanaupendo kati ya mke namume, wazazi na watoto aundugu kwa ndugu na hatamaraki kwa maraki?

  • 8/9/2019 ANNUUR 1164a

    3/20

    3   AN-NUURABIUL THANI 1436, IJUMAA FEBRUARI 13-19, 20Habari

     Al-Shabaab asilimisha wafungwa SegereaMFUNGWA aliyeingiagerezani Segerea akiitwaCollins Javan Omundi,ametoka akibeba jina la

    Muhammad.N e no , Al - S ha ba a b ,ndio limekuwa sababu yamfungwa huyo kusilimu,akiacha imani yake ya awaliya Kikristo.

    Akisimulia kisa chakusilimu kwake, Omundianasema kuwa, alivyokuwaakifahamu ni kuwa Al-Shabaab, ina maana yagaidi hatari na katili.

    Kwa tafsiri na ufahamuhuo, anasema, ilikuwa ni

     jambo la kushtua kwakealipoingia gerezani nakukutana na mtu anaitwa‘Al-Shabaab’.

    Mfungwa huyo raia waKenya, ambaye baada yakusilimu alichagua jina laMuhammad, akiongea namwandishi wa habari hizimuda mchache baada yakutoka gerezani, alisemanchini Kenya, neno Al-Shabab ni kitu hatari sanakutokana na matukioyanayohusishwa na kundihilo.

    Bw. Mohammed alisema,akiwa gerezani humoalisilimishwa na MasheikhMselem na Farid, baada yakukutana na kijana mmojawa Kiislamu, maarufugerezani humo kwa jina

    la Al-Shabab, ambayewaliingia naye katikamjadala wa hoja kuhusuDini ya Uislamu na Ukristo.

    Anasema, ule ukaribuwake na Shabani akitakakujua ni kwa nini alijiita

     jina baya kama hilo, ndiokukazaa urafiki uliokujakuibua mjadala wa mamboya kidini na hatimayekusilimu.

    Bw. Mohammed, ambayealijikuta anahukumiwakwenda jela kwa kosala kupatwa na hatia yakuwepo nchini kinyumecha sheria, alisema baada

    ya kuingia gerezani humokwa mara ya kwanza akiwamahabusu, alistuka kusikiakijana huyo akiitwa Al-Shabab na wenzake nahuku akifurahia jina hilo.

    Anasema, a l is i l imu Januari 7, 2015, baada yakuwa mahabusu na kujikutaanaanza kudadisi mamboya kiimani baada ya kusikiakijana mmoja aliyemkutahumo mahabusu, akiitwaAl-Shabab.

    Bw. Mohammed, alisemahuyo kijana jina lake halisini Shaban, lakini humogerezani anajulikana zaidi

    Na Bakari Mwakangwale kwa jina la Al-Shabab, nakwa kuwa kwao Kenyawatu hao ni hatari, nimagaidi, i l impelekeakustuka na kupatwa nahofu kuwa na mtu wa aina

    hiyo humo gerezani.Al ishangaa ni kwanini uongozi wa gerezauwaweke na mtu ‘gaidi’,al-Shabaab huyo.

    “Nilimuuliza kwa ninianaitwa Al-Shabab, badalaya Shabani, alinielezakuwepo kwake humogerezani ni kutokana nakukamatwa na maafisauhamiaji mpakani mwaKenya na Somalia akielekeaSudani, akitokea Tanzaniana kutuhumiwa kuwa yeyeni Al-Shabab.” AlisemaBw. Mohammed.

    Alisema, baada ya kupatakisa hicho alipata shauku

    ya kujua undani wa nenohilo ambapo aliambiwakuwa al-Shabaab ni nenola Kiarabu/Kiswahi l ilenye maana ya kijana,madhubuti , mwenyenguvu, imara.

    Baada ya kujua kuwaAl-Shabab lina maana ya‘kijana mwenye nguvu’na si gaidi, na kuwa naukaribu huo, akasema, ndiowaliingia katika kupeanaelimu kwa kutumia Bibliana Qur’an.

    Alisema, akiwa katikaUkristo alikuwa anauchukiasana Uislamu kutokana

    na jinsi unavyohusishwana masuala ya kigaidi,lakini akadai, angalau kwakukaa jela na kukutanana akina Sheikh Msellem,amejua kuwa kumbekilichokuwa kikimuathirini propaganda na sioukweli juu ya Uislamuwenyewe.

    “Mimi nimekulia katikaUkr isto na kuusomavizuri, kwa kuwa nilikuwanauchukia Uislamu hukonyuma, nilikuwa na uwezowa kumshawishi mtuaachane na Uislamu naaingie katika Ukristo.”

    “ H a t a A l - S h a b a b(Shabani) kule gerezaniananielewa nimemsumbuasana, i l i aachane naUislamu, ila yeye amekuwana hoja zinazoingia akilininikabaini kumbe Uislamuni mzuri ila kuna watuwanautumia vibaya tu,nikakata shauri kuingiakatika Uislamu.” AlisemaBw. Mohammed.

    Al isema, baada yahapo, alimfuata SheikhMselem kuwaeleza niayake na alisilimishwa nakuanza kufundishwa Quran na masuala mengine

    yanayohusu Uislamu.Alisema, katika muda

    aliokaa na Masheikhwanaotuhumiwa kwaugaidi, walimfundisha niniUislamu na kuzidi kubaini

    kiundani kuwa Uislamuni dini nzuri kinyume nainavyochafuliwa kupitiapropaganda.

    “Nimesilimu nikiwagerezani, sasa nimetokanataka niusome zaidiUisamu ili nipate kuwamuelimishaj i kuhusuUislamu. Nataka ni jenikutane tena na nduguz a n g u n i l i o w a a c h agerezani na mimi nikiwaMuislamu haswa”. AlisemaBw. Mohammed.

    Al isema, baada yakusilimu alifurahi na

    kumueleza rafiki yake(Al-Shabab) kuwa akirudiKenya, atafanya kazi yakuelimisha watu juu yapropaganda inayopigwadhidi ya Uislamu ili watu

    wasijue ukweli wa Dini hii.“Najua nitawashangazawatu huko nyumbani(Kenya), lakini lengo languni kutoa elimu.” Alisema.

    B w . M o h a m m e dOmundi, anasema yeyeni mkazi wa Komorrock,Embakasi Nairobi Kenya,na amezaliwa na kulelewakatika dhehebu la Sabato.

    “ M i m i n i m e z a l i w akatika familia ya Kikristo,

     baba kafa akiwa ni Mkristona alikuwa mwimba kwayamaarufu na walikuwawakishinda Kenya nzima

    kwa ubora wa nyimbzao na mama yangu nMchungaji mpaka sasaAnaeleza bw. Omundi.

    Kwa mujibu wa BwOmundi, amedai kuw

    kwa muda wa mwezmmoja aliokaa gerezanhumo amebaini kuww a po w a f u ng w a nmahabusu wengi ambawamesilimu na kujifunzUislamu wakiwa humgerezani.

    “Wapo wengi ambanimewakuta wamesilimkabla yangu kupitia kwWaislamu wanaotuhumiwkwa ugaidi humo gerezanna wengine wameendelezaidi kielimu wakiwhumo humo gerezani”Amefafanua.

    SHEIKH Ponda Issa Ponda akiongozwa na makachero wa polisi muda mfupi baadya kesi yake kusikilizwa.

    WAUMINI wa dini ya Kiislamu wakiswali katikati ya barabara jirani na Mahakamya mjini Morogoro.

  • 8/9/2019 ANNUUR 1164a

    4/20

    4   AN-NUURABIUL THANI 1436, IJUMAA FEBRUARI 13-19, 20Makala

    MTU yoyote hii leo ikiwa ataingiakatika mitandao ya kijamii nakusoma mjadala unaofanyikakuhusu Mahakama ya Kadhi,ni lazima atapata mshtukomkubwa kutokana na lughakali na wakati mwingine matusikati ya hao wanaojadiliana. Kilaupande ukitupa shutuma namaneno makali dhidi ya upandemwingine. Ukipitia majadiliano

    yote kitu kimoja kinachojitokezawazi na dhahiri kabisa ni kuwakuna mpasuko mkubwa kati yaWaislamu na Wakristo kuhusuMahakama ya Kadhi. Chuki nauadui sasa upo wazi bila kicho.

    Hili linawezekana vipi wakativiongozi wetu wanatuambiakuwa Baba wa Taifa alituachiamisingi imara ya umoja? Wahengawamesema dalili ya mvua nimawingu. Suali la kujiuliza ni hili,wapi sisi kama taifa tumejikwaa?Wengi katika hao wanaojadilihiyo Mahakama ya Kadhiukweli ni kuwa hawaijui vyemahistoria ya Tanzania au ukipendaTanganyika. Wengi katika hawa

    waliojizinga katika malumbanohaya, baadhi ni watu wazimawalio na umri zaidi ya miaka 50na vijana ambao wamezaliwa

     baada ya Tanganyika kupa tauhuru wake mwaka 1961. Mjadalaunafanyika katika mazingira yaujinga wa kutojua historia. Sasahapa linakuja swali, imekuwajekuwa watu hawa ambao kwa sasandiyo wengi katika jamii yetu hiileo hawaijua historia ya nchi yao?

    Vipi tumekuwa na Chuo Kikuukwa karibu ya nusu karne na sasavimeongezeka vingine vingi,lakini hadi sasa ikawa historiayetu ni ya kubabaisha haijakaasawa hadi leo? Mimi sitatoa jibukwa sasa ingawa jibu ninalo.Huko vyuoni ni historia ganiinasomeshwa ambayo inawafanyawatu wasijijue?

    Baadhi ya wachangiaji katikahiyo mitandao ya k i jamiina inaelekea hao ni Wakristo,wanasema iweje Mahakama yaKadhi igharimiwe na serikali ilhaliserikali hii haina dini? Waislamuwanaleta jibu wakisema mbonaserikali inatoa mabilioni kilamwaka kwa makanisa kuhudumiataasisi zao kupitia “Memorandumof Understanding (MoU)?” Kwawale ambao labda hawaujui huumkataba ni kuwa mwaka wa 1992Serikali ya Tanzania ilitiliana

    sahihi mkataba na makanisa,mkataba uliokuja kujulikana kamaMemorandum of Understanding.

    Makubaliano ambayo serikaliiliridhia na kuidhinisha elimu,huduma za j amii na afyaziendeshwe na Christian Councilof Tanzania (CCT) na TanzaniaEpiscopal Conference (TEC) kwakushirikiana na serikali. Mkatabahuu ulitayarishwa na Dr. CostaMahalu, wa Kitivo cha SheriaChuo Kikuu Cha Dar es Salaamna ukatiwa sahihi na Waziriwa Nchi katika Ofisi ya WaziriMkuu, wakati huo MheshimiwaEdward Lowassa. Kikubwakatika mkataba huu kwanza ni

    Tanzania inavuna matunda ya kuikataa historia ya kweli

    Mahakama ya Kadhi:

    Kadhi Sheikh Ali bin Hemed Al-Buhr 

    ule usiri uliogubika mpangomzima na pili ni kuwa ulitiwasahihi bila ya kuwashirikisha aukuwafahamisha Waislamu.

    Ili makubaliano haya yaweze

    kutekelezeka, serikali ilibidiifanye marekebisho kifungu 30cha Education Act No. 25, 1978.Katika mabadiliko haya kuletwaBungeni ndipo Waislamu wakajuakuhusu hii MoU kati ya Serikali naMakanisa.

    Suali lingine la kujiuliza ni,inakuwaje jambo zito kama hilililipitishwa na Bunge letu bilakipingamizi? Suala hili limepitakwa kuwa Waislamu Bungeniwaliamini kuwa uamuzi huo unamaslahi na taifa letu? Au limepitakwa kuwa Waislamu katika Bungeni wachache wameelemewa nandugu zao Wakristo kupelekeakuwa sasa hawana sauti kwauchache wao? Ikiwa huu ndiyoukweli wenyewe, tumekaje hapana nini athari ya jambo hili kwamustakbali wa taifa letu?

    Kwa uchache unaweza mtuukajiuliza kwa nini basi serikalihiyo hiyo haikuja na mpangowowote hata kama si sawa naule wa Makanisa wakatoa fedhakwa taasisi za Kiislamu na waowajiletee maendeleo kama hayoya Makanisa? Mimi sitatoa jibuingawa majibu ninayo. Kwakuhitimisha hebu tuj iulizekwani Mahakama ya Kadhi nikitu kipya katika nchi hii kiasicha kusababisha mtafaruku huuambao hivi sasa tunaushuhudia?

    Ukweli ni kuwa ukoloniumeingia Tanganyika umekutaWaislamu wakijihukumu kwakitabu chao. Mmishionar i

     Johan Krapf kaja Tanganyika na

    alipokelewa na Chifu Kimweriwa Usambaa mwaka 1848. Krapfalipokelewa kwa ukarimu wahali ya juu na alimkuta ChifuKimweri Muislamu, anajuakusoma na kuandika kwa heruza Kiarabu akihukumu katika

     ba rz a yake il iy ok uwa Vu ga .Ni wazi kuwa Chifu Kimwerihakuwa anahukumu kutoka,“Order in Council,” kutoka Indiakwani Waingereza walikuwa badohawajaka.

    Chifu Kimweri a l ikuwaanahukumu kwa sheria kamawalivyohukumiana Waislamukatika ukanda wa pwani ya AfrikaMashariki kwa miaka mingi. Miminimekuwa na kupata fahamukatika Tanganyika ya 1950/60na nina kumbukumbu za hizimahakama za kadhi na baadhiya hawa mahakimu nimewaonakwa macho yangu ama wakiwakatika mahakama wakihukumuna wengine nimewaona mitaanin a w e n g i n e n i m e w a o n awakisuhubiana na wazee wangu.Namkumbuka Sheikh AbdallahSimba kutoka Songea. Nikifumbamacho ni kama vile namuonaSheikh Abdallah Simba. Alikuwakija Dar es Salaam na Land Roveryake mwenyewe na siku zoteakivaa kanzu, koti na tarbush.Sheikh Abdallah Simba alikuwa

    na watoto wawili Bi. Habiba nMwajuma. Bi Habiba alikuwa numri sawa na mama yangu nalikuwa ‘’nurse’’ Princes PrincesMargret Hospital (sasa MuhimbiHospital) lakini Mwajuma yeyalikuwa makamu ya dada yangmkubwa. Mwajuma akisoma S

     Joseph’s Convent School (sasForodhani). Sheikh Abdalla

    Simba alikuwa akihukumkatika mahakama huko Songekwa sheria za Kiislamu nakifahamiana na babu yangSalum Abdallah toka ujana wakatika Dar es Salaam ya 1920.

    Sheikh Abdallah Simba akiishSongea lakini alikuwa na nyumbmbili moja Mtaa wa Kipata (sasMtaa wa Kleist Sykes) nyinginMtaa wa Somali (Sasa Mtaa wOmari Londo). Majina ya mitahii ilibadilishwa kuwaenzi wazehawa Kleist Sykes na OmarLondo walioacha alama katikhistoria ya uhuru wa Tanganyik

    Kulikuwa na Sheikh SaiChaurembo akihukumu katikMahakama ya Kariakoo. Sheik

    Said Chaurembo alikuwa katikKamati Ndogo ya Siasa ya TA(TAA Political Subcommitteemwaka 1950. Kamati hii chinya Mufti Sheikh Hassan biAmir ilifanya makubwa katikkujenga mazingira ya kuundTANU mwaka 1954 na kumwekMwalimu Nyerere katika uongowa kudai uhuru lakini hapa mahali pake kuyaeleza hayoHuyu Sheikh Said Chaurembalikuwa na nduguye akiitwa IddChaurembo huyu ndiye babyake Sheikh Abdallah Chaurembna wakati ule Sheikh AbdallaChaurembo alikuwa mwanafunkatika chuo cha Mufti Sheik

    Hassan bin Amir.Sheikh Said Chaurembo ndiyaliyekuwa na lile ghorofa maarufMtaa wa Msimbazi na Conglinalojulikana hadi leo kamGhorofa la Chaurembo. Kwkumalizia kuhusu hizi mahakamhapa Dar es Salaam napendkueleza kuwa katika miaka y1960 baada ya uhuru, SheikKassim Juma alikuwa akihukumkatika Mahakama ya KadhMkwajuni hadi mahakama hizzilipovunjwa na serikali mwak1963. Sheikh Kassim Juma na yeyana historia kubwa katika siasa zWaislamu, BAKWATA na serika

     baada ya uhuru.

    Sheikh Abdallah Chaurembakiwa msomi wa dini ya Kiislamualihusika sana katika harakaza kudai uhuru wa TanganyikSheikh Abdallah Chaurembalikuwapo katika mkutano wTANU uliofanyika Mtaa wa Pembusiku mmoja mwaka 1955 agendkuu ikiwa vipi TANU itapunguz

     joto kali la Uislamu ndani ya chamili kupunguza ile taswira kuwTANU ni chama cha Waislamu

     Jambo hili lilikuwa muhimu ikumwezesha Mwalimu Nyererkuongoza harakati za kudai uhurkwa utulivu.

    Pamoja na Sheikh AbdallaInaendelea Uk. 1

  • 8/9/2019 ANNUUR 1164a

    5/20

    5   AN-NUURABIUL THANI 1436, IJUMAA FEBRUARI 13-19, 20Makala

    Elizabeth Shoo/KNAH a k i m u m m o j a w aMahakama Maalumu yakusimamia kesi ya mauajiya kimbari ya mwaka 1994nchini Rwanda, ameulaumu

    u o n g o z i w a K a n i s aKatoliki kwa kuwalindawatuhumiwa waliohusikaambao ni viongozi wa dini.

    K a t i k a m a h o j i a n oaliyoyafanya na gazetila ‘Badisches Tagblatt’ laUjerumani, Jaji WolfgangSchomburg, amewanyoosheaviongozi wengi wa Kanisakidole kuhusiana na mauajihayo.

     Jaji Schomburg aliyekuwasehemu ya jopo la Majajilililosimamia kesi ya mauajiya kimbari ya Rwanda yamwaka 1994, amewatakaMapadri wa Kikatolikiwaliohusika katika mauajihayo ya kinyama wakishemahakamani.

     Ja j i hu yo ame ukos oauongozi wa Kanisa Katoliki-Vatikan, kwa kuwalindaM a p a d r i h a o , a m b a owanapaswa kufikishwambele ya sheria.

    Imeelezwa kwamba kunaukweli kwamba, vipo visaambapo uongozi wa KanisaKatoliki uliamua kuwapatiahifadhi viongozi wa kirohoambao walihusika mojakwa moja kwenye mauaji yakikatili.

    Mmoja wao ni PadriWenceslas Munyeshyaka,yeye alielezwa kuwa mwaka1994 alibeba bunduki kamamwanajeshi na kupanganjama na waasi wa Kihutu.W a a s i h a o w a l i w a u amamia ya watu waliokuwawakitafuta hifadhi ndani yaKanisa la Padri Munyeshyaka.Padri huyo baadaye alihamiaUfaransa.

    Mahakama moja ya nchiniRwanda ilimhukumu adhabuya kifungo cha maisha,lakini Kanisa Katoliki nchiniUfaransa l i l imtetea nakusema kuhukumiwa kwaPadri Munyeshyaka kwamauaji ya kimbari, si sababuya kumfanya asiendelee nakazi yake ya upadri.

    Hata hivyo imeelezwakuwa Padri Munyeshyakahakuwa pekee yake. Mapadrina Masista waliofahamika

    kuhusika katika mauaji yaRwanda walipelekwa Ulayana kupatiwa hifadhi huko.Miongoni mwao alikuwaPadri Athanase Seromba,aliyeruhusu Kanisa lakel ibo m o lewe l ik iwa n aWatutsi 2,000 ndani. Walewaliopona katika ubomoajihuo walifyatuliwa risasi nakuuliwa. Kanisa Katolikililimsaidia kukimbilia Italiana hata kuhakikisha kwambaanapewa jina jipya na pasipotimpya.

    Imeelezwa kuwa mbali naviongozi hao wa dini, badowapo wanasiasa na wanajeshiwaliohusika, ambao kamwe

    Jaji aituhumu Vatican kuhusika mauaji ya kimbari Rwandahawakuwahi kufikishwamahakamani au kufunguliwamashtaka.

     J a j i S c h o m b u r gamekumbusha kuwa bilakuwepo kwa mahakama

    maalumu ya Umoja waM a t a i f a , w a t u w e n g iwaliosababisha maafa yaWanyarwanda wapatao8 0 0 , 0 0 0 w a n g e w e z akuukwepa mkono wa sheria.

    Pamoja na hayo, Jaji huyowa zamani amekosoa pianamna ambavyo Jumuiya yaKimataifa ilichelewa kuingiliakati mgogoro wa Rwandahadi pale ambapo mamiakwa maelfu ya raia, wengiwao Watutsi, walipokuwatayari wameuliwa.

    "Hata mahakama ya Umojawa Mataifa inayoshughulikiamauaji ya kimbari ya Rwandailianzishwa kwa kuchelewa.Mahakama hiyo ilipaswaiundwe mwishoni mwamwaka 1993 au mwanzonimwa 1994", alikosoa JajiSchomburg.

     Jaji huyo, ambaye alifanyakazi kwenye mahakamahiyo kuanzia mwaka 2001hadi 2008, hakuishia hapo.

    Alielezea kushangazwakwake na ukweli kwambahakuna Mfaransa hata mmojaaliyefunguliwa mashtaka,licha ya kwamba baadhi yaWafaransa walituhumiwa

    kuuza silaha nchini Rwandakatika miaka ya 1990s nakwamba, wakati mwinginehata walizigawa silaha hizokwa Wahutu.

    Alisema wakati fulaniserikali ya Rwanda ilijaribukuwafungulia mashtakawah u s ika , lak in i b i lamafanikio. Jaji Schomburganasema Ufaransa hainan ia ya kwel i ku f an yauchunguzi wa kipindi hichokilichogubikwa na giza.

    Hata hivyo Jaji Schomburgameisifu mahakama ya Umojawa Mataifa ya kushughulikiam au a j i ya k im bar i yaRwanda, kwa kupiga hatuaza haraka kuwawajibishawahusika na kuwapatiahaki wale walioonewa nahii imekwenda harakahata kuliko vile ambavyoUjerumani ilivyoendeshakesi za waliohusika katikamauaji ya Wayahudi chini yautawala wa Wanazi. (DW).

    PAPA Francis.

    MATAMSHI ya Rais wMarekani, Barack Obamya kuwataka Wakristkutambua kwamba Uislamsi dini pekee inayohusishwna vurugu na mauaji, nkwamba Vita vya Msalabna vitendo vya ugaidvinavyofanywa na vikunvyenye misimamo mikali.

    Rais Obama alitoa kauhiyo wiki iliyopita, katiksiku ya taifa ya maombalipofananisha Vita vyMsalaba na vitendo vyugaidi vinavyofanywa nvikundi vyenye misimammikali.

    Rais Obama aliongezkuwa, wakati wa vitvitakatifu, watu walifanyvitendo vya kutisha kwa jinla Kristo. Alisisitiza kuwnchini Marekani, utumwna sheria za kibaguzi, zopia zilihalalishwa kwa jinla Kristo.

    K a u l i h i y o i m e z umtafaruku duniani na baadwameanza kuhoji kamkiongozi huyo wa kwanzmweusi wa Marekani nMkristo.

    Kwenye hotuba yake hiyRais Obama alilitaja kundi Daesh kuwa limeasi Uislamkwa kutenda jinai na vitendvya kikatili katika eneo Mashariki ya Kati.

    Makundi kama ya Daesyamekuwa yakitekeleza jinna mauaji dhidi ya watu wasna hatia kwa kupata misaadya kifedha na kisilaha kutoknchi za Magharibi na baadya nchi za Kiarabu za Ghubya Uajemi. (irib).

    Rais Obama azua mtafaruku kusema hata Ukristo kuna ugaid Asema vita vya msalaba sawa na Ugaidi

    RAIS Barack Obama (kulia) akiwa na Rais wa Iran Hassan Roham.

    KAMANDA wa Jeshi laWanamaji la Jamhuri yaKiislamu ya Iran, AdmeliH a b i b u l l a h S a y y a r i ,amesema kuwa karibunihivi jeshi la wanamaji la Iranlitazindua meli ya kisasaaina ya ‘Damavand’ ambayoimeundwa na wataalamu wandani nchini humo.

    Akiashiria uwezo wa je sh i la Ira n na juh ud izake za kujilionda dhidiya chokochoko zozote zaadui katika sherehe zakuadhimisha kumbukumbu

    Iran kuzindua meli mpya ya kivitaya Mapinduzi ya Kiislamuya nchini Iran, KamandaHabibullah Sayyari, alisemakuwa, hivi sasa taifa la Iranlinajivunia juhudi za wasomina vijana wake, ambaowameweza kuzalisha ainambalimbali za silaha na zanaza kisasa kabisa kwa kiwangocha kimataifa.

    A l iya ta ja m af an ik ioh ayo ku wa n i m wibakwenye macho ya maaduiwasiolitakia mema taifa nawatu wa Iran ya Kiislamu.

    Aidha ameelezea matatizo

    yaliyokuwa yakilikabili jeshi la Iran katika kipindicha utawala wa Shah,k u t o k a n a n a k u f u a t akibubusa siasa za Marekanina kuongeza kuwa, wakatiule maamuzi na mipangoyote yaliyokuwa yakihusuzana, silaha, mazoezi yakijeshi na mambo mengineyalikuwa yakichukuliwana Washington bila yakuwahusisha wataalamu waIran, suala ambalo liliifanyaIran kubakia tegemezi wakatiwote.

  • 8/9/2019 ANNUUR 1164a

    6/20

    6   AN-NUURABIUL THANI 1436, IJUMAA FEBRUARI 13-19, 20Makala

    Inaendelea Uk.

    S A H A B A m m o j a

    a l iw a h i k u m w o m b aMtume (s.a.w.) awapetaarifa kumhusu yeyem w e n y e w e . N a y eakawaambia hivi:

    "Mimi ndiye mtu ambayeIbrahim (a.s.) aliomba nije,na ambaye Yesu (NabiiIsa ibn Maryam) (a.s.)alitangaza hahari njemaza ujio wangu.”

    Usemi huu unadokezaaya zifuatazo za Qur an:

    “ E w e M o l a m l e z iwetu! Waletee Mtumeanayetokana na wao,awasomee aya zako,na awafundishe Kitabu( c h a k o ) n a h i k i m a(nyingine) na awatakase(na kila mabaya). Hakikawewe ndiwe mwenyenguvu, mwenye hekima”(Surat Al-Baqarah, 2:129).

    Na Isa bin Mariamualiposema: Enyi Wanawa Israili! Hakika mimini Mtume wa MwenyeziM u n g u k w e n u ,ninayethibitisha yaliyokuwa kabla yangu katikaTaurat i , na mwenyekubashiria habari njema zakuja Mtume atakayekuja

     baada yangu; ambaye jinalake litakuwa ni Ahmad

    Nabii aliyekuwa akingojewaZisemavyo Taurati na Zaburi za Mayahudi na Wakristo(Muhammad)! Lakinialipowaletea hoja zilizowazi, walisema: Huu niuchawi ulio dhaahiri!"(Surat As-Sa, 61:6).

    Mtume (s.a.w.) waAllah (s.w.t.) alikuwaakitazamiwa au akingojewakuwa atakuja. Manabiiwote waliomtanguliawalimwongelea Mtume(s.a.w.) na walitabiri ujiowake.

    Aya ya Qur'an 3:81inataja waziwazi kuwaMola (s.w.t.) AlifanyaK i a g a ( c o v e n a n t )maalum na Manabi ikwamba watamwaminina watamsaidia Mjumbehuyo atakayekuja baadayao na atakayethibitishaujumbe waliouleta wao.

    Na pale MwenyeziMungu Alipochukuaahadi (kiaga) kwa Manabii:N i k i s h a k u k u p e n iKitabu na hikima, kishaakakujieni Mtume mwenyekusadikisha mliyonayo, ni

     juu yenu mumuamini namumsaidie. Akasema: Je,mmekiri na mmekubalikushika agizo langu juuya hayo? Wakasema:Tumekubali. Akasema:Basi shuhudieni, na Mimini pamoja nanyi katikakushuhudia. (Surat Aali'Imran, 3:81).

    Makala ya sasa (yaBiblia za Wakristo) yaTaurati, Injili, na Zaburi,mpaka hivi sasa (baada yakukarabatiwa), zinazo ayazinazozungumzia NabiiMuhammad (s.a.w.) na hataMaswahaba . MarehemuHusayn Jisri alizitambua

     jumla ya aya 114 za ainahii na akazinukuu katikakitabu chake Risalat Al-Hamidiya. Hapa chinitunanukuu baadhi yaaya hizo (kama Bibliazao Wakristo wenyewezinavyoandika).

    “Kumb. La Taurat33:2 (Musa) Akasema:‘Bwana alitoka Sinai,

    akamwondokea kutokaSeiri, aliangaza kutokakilima cha Paran, akajaMeribath-kadeshi. Upandewa mkono wake wa kuumepalikuwa na sheria motomoto kwao.”

    [NB. Tafsiri hii ni yaBiblia ya Kiswahili ya"Bible Societies of Kenya andTanzania, Union Version,1952".

    Tafsiri hii inakanganyamakusudi hapo inapotaja'Merebath Kadesh nakutowataja masahaba auwatakatifu 10,000 kamaziandikavyo tafsiri nyingiza Kiingereza (na za lughazingine za kigeni) kamaBiblia hii "AuthorizedKing James Version, 1979",ambayo imeandika hivi:

    "Deuteronomy 33:2 ‘Andhe (Moses) said, The Lordcame from Sinai and roseup from Se'ir unto them;he shined forth from mountParan, and he came with tenthousand saints: from his

    right hand sent a ery la

     for them.”Ambayo tafsiri yakhalisi ya Kiswahili ni kamifuatavyo:

    " K u m b u k u m b u lTorati 33:2 naye (Musaalikuja kutoka Sinaakawaondokea kutokSeiri kuja kwao; Aliangazkutoka kilima cha Paranna alikuja na watakatifelfu kumi. Kutoka katikmkono wake wa kuumilikuja sheria motomotkwa ajili yao”.

    Aya hi i ya Torainaongelea kwa pamo

     juu ya Nabii Musa, NabIsa (Yesu, na Muhamma

    (a.s.). Kwa mfano ikitaSinai kule ndiko NabMusa (a.s.) alikoongena Mwenyezi Mung(s.w.t.) akapewa Kitabcha Taurati (Torati).

    Inapoitaja Seiri, palni mahali huko Palestina m ba k o Y e su ( a . salipokea Wahyi (Ufunuwa Kiungu). Na ikitajwParan, ndiko ambakM w e n y e z i M u n g(s.w.t) AlikojidhihirishYeye Mwenyewe kwwalimwengu kwa mara y

    Inaendelea Uk.

    QUR’AN tukufu ni kitabucha Mwenyezi Mungukilichoteremshwa juuya moyo wa MtumeMuhammad (S.A.W.) iliaiongoze kwayo jinsi yawanadamu na ili utulizanejuu yake ulimwengu. Kwahiyo Qur’an juu yakekutasimama kiyama chaulimwengu. Na kwa hiyoQur’an anapozwa mwenyekupozwa na anafanikiwamwenye kufanikiwa.

    Qur’an inatunyanyua juuya ulimwengu. Isipokuwan i k w a m b a h a i t a k ikwetu kujitoa katika huoulimwengu. Inapanda nasisi juu ya ulimwengu,wakati ambapo inatakakwetu tuzinduke kwayal iyo madogo sanakatika mafungu yake, kwakawaida na mazoea, nainazama na sisi kutupelekakwenye vina vilivyo zamasana kwa binadamu ilitusikilize pamoja kwenye

    maungulio ya raho yakea m ba y o y a m e j i f i c hasana na maumivu yaliyomanyonge sana ya moyowake.

    Qur’an inatuchukuana kutupeleka kwenyemaeneo mapya ambayohayajagunduliwa katikamaeneo ya roho, nainakwenda na sisi kwenyevipeo vyenye kutisha navilele vya juu sana kishainatutahadharisha nakugeuka nyuma. Na kamasi hivyo, tutapatwa na

    Mwangaza wa Qur’an

     Mwanamke wa Kiislamu (kulia) akitoa Da'awah kwa asiye Muislamu.

    kizunguzungu na huendatukaporomoka kutokasehemu ya juu ambayotumeka mpaka chini yasehemu tuliyokuwa katikamajangwa.

    Qur’an inapanda juuna sisi kwa hisia zetu,

     juu ya aki li , isipokuwainabaki ikitukumbushakwamba hiyo akili ndiyongazi yetu pamoja na hisiakatika kwenda huko juu

    na inakata pamoja nasivipeo vya zama na mahalimpaka tunakaribia kuhisimawimbi ya milele yakiwayanapiga katika fukwe zaroho zetu na yanateremkakwenda ndani yetu ,na katika kizuizi katiya kuwa tuwe watutuliyokamilika au tusiwe.Inatusimamisha Qur’an ilituyatazame maono yetu,na tuliheshimu jambo letu.

    Kutapanyika kwa rohona kugawanyika kwanafsi na kutawanyika kwafikra na kupotoka kwamtazamo, tunapata katikaQur’an kinachokusanyam t a p a n y i k o n ak i n a c h o f a n y amagawanyiko. Inayarushiamacho umoja wa mtazamo,uliozidi ukali wa kuonana nguvu ili kuwezakuyaona yasiyoonekana

    kwetu na yasiyoonekankatika ulimwengu. Nayinatufundisha kwambyule ambaye hakuwmmoja katika dhati yakhakuungana katika kryake hakukusanyikkatika hisia yake hatakuwna fungu lolote katikmaonekano ya nuru zumoja na upweke kwsababu imani ya kweli nile ambayo inachimbukkutoka katika uwepo w

     bi na da mu kwa ujumlwake. Na Qur’an baadya hapo, ni chemchem ynguvu yenye kumiminikk u to k a na na ng u vzisizoonekana ili wapatnguvu kwa hiyo Qur’awanyonge na wapatuhai kwayo wafu, na hiyQur’an ndiyo akili ambayimepelekwa kwa ajili ywazimu wa nyakati zote nni mionzi ya roho ya tang

     juu ya viza vya nyoyna nafsi kwani matamk

    yake yamebebeshwmawingu ya uhai na ayzake zinatona umandwa uzuri na utukufuNa kwa kiasi ambachmwanadamu anakoskuijuwa Qur’an, kunakuwkutoijuwa kwake nafyake na ulimwengu ulipambizoni mwake.

    K w a h a k i k a h i yQur’an, ndiyo uamsho wutashi wa upwekeshan a m a u m b i l e y a kkutoka katika macho y

  • 8/9/2019 ANNUUR 1164a

    7/20

    7   AN-NUURABIUL THANI 1436, IJUMAA FEBRUARI 13-19, 20Makala

    Mwangaza wa Qur’anInatoka Uk. 6mwanadamu. Na hiyoQur’an, ndiyo dhati yaulimwengu na moyo wake.Ni akili ngapi imepanda

     juu nazo? Hakika kanuniza maumbile na taratibu zaulimwengu, zinaunganakatika mbingu ya matamkoyake na aya zake nakatikati yake inalala akili

    yote na kutokana nayoinanusa pumzi za maishana ndani yake zinaungananguvu za maumbilen a u b o r a n a v y o t ehivyo vinazama katikammiminiko la mapenzi yaMwenyezi Mungu nayoinazitia nguvu, nguvu zavitambuzi na inafunguamadirisha ya fikra nainawasha mageuzi yahamu katika shina la nyoyona roho. Ama wabora wakra, wao wanakuta humoubora wote na ushujaawote, na ukubwa wote. Nikra ngapi imezitini? Na

    muonjaji sana imemathiri?Na ufasaha umepiga naumeinama kwa sababu yaufasaha wake?

    Kwa hakika Qur’animechanachana sandaza ukimya kuhusianana utume uliopita, naimewasimamisha Mitumewaliyotangulia kutokakatika malazi yao naimewatamkisha ili wasemetamko la ukweli kuhusuMuhammad (s.a.w.) na ilialiwazike kwa pumzi zaona aufuate mwenendo waona kwa yale waliyoyapatamiongoni mwa ushupavuwa watu wao na yale

    waliyoyamiminiwa juuyao miongoni mwa uovuna adhabu.

    Kwa hakika ametikisaMuhammad (s.a.w.) kwaulingano wake moyo wa

    mbingu zikakung’utikampaka zikawa ni ziakala mishale ya motoinayochomoka iliyozipatanyoyo za mashetanina wafuasi wao katikam u shi r i k i na po po tew a t a k a p o k u t w a n avyovyote watakavyokuwa.

    Ka t i y a m o y o w aMuhammad (s.a.w.) namoyo wa Al-Kaaba, panahamu yenye kubadilishwaya ndani na yenye kinasana. Imezama katikauzamani, hiyo Al-Kaabani pacha wake katikakupatikana. Nayo ni nusu

    ya dhati yake na ni baadhiya mafungu ya johariya hakika yake katikavioo vya ulimwengu wamfano. Na siku ambayoMakkah iliweka amanayake iliyo ghali mbele yaulimwengu, yaliifinikaAl-Kaaba maungu yahuzuni kwa sababu yayale yatakayoletwa namasiku yajayo hukombele miongoni mwakufariqiana na kutenganakulikopangwa, ambakohapana makimbilio yoyotena kutuka kwake kabla yamakadirio kutoa nafasi na

     baaada ya miaka mingiya mapambano yenyekuendelea kwa kuunganaupya.

    Hizi – ee ndugu yangumsomaji ni baadhi ya

    fikra na hisia na maanambalimbali yaliyokujakatika kurasa za kitabuhiki na ninataka kufanyau z i n d u s h i k w e n y ekwamba, mtungaji wakitabu MwanachuoniM k u b w a s a n a A l -Ustadh Fethullah Gullenhakudai kwamba yeyeyuko katika uwanja watafsiri kutokana na zileambazo amezishughulikiamiongoni mwa aya zaQ u r ’ a n p a m o j a n akuyamiliki kwake mashartiyote ya maarifa ya kutafsirina zana zake na yote

    ambayo ameyafanya. Nikwamba yeye amesajilikatika kitabu hicho yalealiyoyapokea miongonimwa miwako na ming’aona ishara mbalimbalikutokana na baadhi yayale yanayomeremetakatika mbingu ya hisiayake yenye nguvu kutokakatika nyota za Qur’an.Na pamoja na hayo, kwahakika yeye hakughalikakabisa na maoni ya wafasiriwengine kat ika ayaambazo amezizungumzia,i s i p o k u w a y e y eamejipanua kidogo katikaaya hizo na zimeweka

    katika mawazo yakefikra na maana mapyayaliyoongezwa ambayoa y a z i n a y a c h u k u akutokana na muundo wakewa kilugha na wakifasihi

    na hazivuki mpaka kabisakatika kuwa mbali namisingi ya tafsiri na nguzozake zenye kujulikana.Hapana shaka kwambamawazo haya yalitolewana mazingira ya wakati wawakati huu na yaliyafunuahayo maarifa ya wakatihuu na elimu zake namaelekezo yake ya kikrana ya kiroho na MwenyeziMungu amrehemu An-Nours ambaye alisema:

    “Hakika zama ni mfasirimkubwa sana wa Qur’an”.Na mimi nina matumaini

    makubwa sana kwambamawazo haya kuhusianana baadhi ya aya za Qur’antukufu yatapata mwangwimpana sana katika fikraya msomaji wa Kiarabuna hisia yake, kwanikuyafasiri haya matendoya wito na ya kifikra yaAl-Ustadh Fathul lahkwenda kwenye lughaya Kiarabu ni kitendo chakuzichangamsha kra nakazi hizi ni kubadilishakatika uwanja wa maarifaambako ni kuzuri sanakali ya akili za wenye

    kushughulika na mambya imani na masuala yUislamu hapa Uturuki nhuko katika ulimwengwa Kiarabu.

    N i n a m u o m bMwenyezi Mungu amlipkutokana nasi Al-Ustadaliye mbora FethullaGullen malipo na rehm

    ya Mwenyezi Mungmwenye uwezo mkubwsana, ayaweke maliphayo katika madaftari ymatendo yake katika sikambayo hayatafaa mawala watoto isipokuwkwa atakayemwendeMwenyezi Mungu nmoyo uliyosalimika.

    Yaelewe hayo, nsifa njema anazistahikM w e n y e z i M u n gmwanzo na mwishoArehemu MwenyezMungu na aokoe nabarikiwe juu ya mwish

    wa Manabii na Bwanwa Mitume Muhamma(s.a.w.) aliye mwaminifna juu ya jamaa zake nmaswahaba zake wote.

    (Huu ni utangulizkama ulivyoandikwa n Adib Ibrahim A-Dabbaqwa Kitabu “Miyangazya Qur’an katika mbingya hisia” kilichotungwna Muhammad FethullaGullen. Kimefasiriwkutoka Lugha ya Kiarabkuja katika Kiswahili nSheikh Suleiman AmraKilemile.)

    Nabii aliyekuwa akingojewaInatoka Uk. 6mwisho kwa Wahyi WakeAliyompelekea NabiiMuhammad (s.a. w).

    Paran ni safu ya milimakule Makka. Imetajwakatika Taurat na Torati yaBiblia katika aya nyingipamoja na aya hii ifuatayo:

    Mwanzo 21:19,21, kuwamahali pale ni jangwaniambako Hajiri (Hagar)alikoachwa na mumewake, lbrahimu (a.s.) iliaishi na mwanawe, Ismail( au Ishmael) aliyekuwamwana wa kwanza waNabii Ibrahim na mkeweHajiri, na kwa kuwa wotewawili, hususani mwanaeIsmail, walikuwa na kiusana, Mwenyezi Mungu(s. w.t) akamtengenezeakisima (cha maj i yaZamzam).

    K u m b u k a k u w aMuhammad (s.a.w) nikizazi cha Nabii Ismail(Ishmael), wakati Yesu nikizazi cha Is-haq (Isakaau Isac) na wote wawili,Muhammad na Yesu na

     babu zao wakuu (wahengawao), yaani Ismail na Is-

    haq (Isaka) ni ndugu,kwa kuwa wote ni vizazivya babu yao mkuu nabiiIbrahim (a.s).

    Y a a n i W a a r a b uwalitokana na Nabii Ismail(Ishmael), na Wayahudiwalitokana na nabii Is-haq (Isaac). Kwa hiyoWaarabu ni mabinamuwa Wayahudi. IsikilizeBiblia inavyotuarifu juuya ndugu hawa-Waarabuna Wayahudi:

    “Yale maji, ambayoIbrahimu alimuachiaHajiri (Hagar) na mwanawao Ishmaeli yakaishakatika kiriba, akamlazakijana (Ishmaeli) chiniya k i j i t i k imoja . 16 :(Hajiri) Akaenda akakaaakimkabili (Ishmael) mbalinaye kadiri ya mtupo wamshale, maana (Hajiri)alisema, Nisimwone kijana(lshmaeli) akifa (kwa kiu),naye akakaa akimkabili,akapaza sauti yake, akalia.

    17: Mungu akasikia sauti yakijana (Ishmaeli). Malaikawa Mungu akamwitaHajiri kutoka mbinguni,akamwambia una niniHajiri? Usiogope, maanaMungu amesikia sauti yakijana (Ishmaeli) hukoaliko 18: (Ewe Hajiri, hebu)ondoka ukamwinue kijana(Ishmaeli), ukamshikemikononi mwako, Kwakuwa nitamfanya kuwataifa kubwa (la Waarabu).19: Mungu akamfumbuamacho, naye akaonakisima cha maji (Zamzam)akaenda akakijaza kiribamaji, akamnywesha kijana.20: Mungu akawapa nahuyo kijana (Ishmaeli),naye akakua, akakua,akakaa katika jangwa,akawa mpiga upinde. 21: (Ishmael) Akakaa katika

     jangwa Ia Parani, mamayake (Hajiri = Hajara =Hagar) akamtwalia mkekatika nchi ya Misri.”

    (Mwa 21:15)Na kama tujuavyo,

    kisima cha Zamzam piakiko katika eneo lile Parani(yaani kule Makka), kamailivyosema Qur'an:

    “Mola wetu Mlezi!Hakika mimi nimewaweka

     baadhi ya dhuriya zangu(Hajara na Ismaili) katika

     bonde (hili la Makka) lisilokuwa na mimea, kwenye

    Nyumba yako takatifu(ya Al- Kaaba), ewe Molawetu Mlezi, ili washikeswala, Basi zijaalie nyoyoza watu zielekee kwao,na waruzuku matunda,ili wapate kushukuru.”(Surar Ibrahim, 14:37).

    Ni kwa sababu ya tabiriza dhahiri kama hizindani hata ya Taurati (yawatu wa Kitabu, yaaniMayahudi na Wakristo),ndiyo Mayahudi walimjuana kumtazamia kuja Nabiiwa Mwisho, na wakajuakwamba atatokezea kuleParani, yaani Makka.

    H i y o a y a yKumbukumbu la Tora(Deuteronomy), kwmujibu wa Makala yKiarabu iliyopigwa chap

     j i ji ni Lon don mna mmwak wa 1944, imeandikkama hivi:

    “Deuteronomy 33:2 Hcame with myriads of holones, in his right hand waan axe of re with two edges

    A m b a y o m a a n a ykwa Kiswahili ni kami f u a ta v y o : “ Al i k u jna watakatifu weng(maswahaba) na katikmkono wake wa kuumakiwa na shoka (jambial e n y e n c h a m b i l i .(Kumbukumbu la Tora33:2)

    Aya hii inaongelea juya Nabii aliyetabiriwa m b a y e a t a k u j a nmaswahaba wengi ambani watakatifu sana, nataruhusiwa na ataamriwkupigana na maadui zakwakimchokoza.

    (Uchambuzi wa Maishya Nabii Muhammadkama ilivyoandikwa n M. Fetullah Gulen.)

  • 8/9/2019 ANNUUR 1164a

    8/20

    8   AN-NUURABIUL THANI 1436, IJUMAA FEBRUARI 13-19, 20Makala

    KUNA msemo maarufuwa Kiswahili usemao;‘Viwili vyachagulika!’ .Naam! S wad ak t a k wa

    kiasi fulani. Lakini kwaupande mwengine, usemihuu una mapungufu aulabda tuite mipaka yake.Kwamba licha ya usemi huukuwa na ukweli kwa kiasikikubwa, ikumbukwe kuwasio kila siku, kila wakati nakila mahali kuwa msemohuu utasadifu na kusibumuktadha unaoaminiwa nakukubaliwa na walio wengi– tukiwemo mimi na wewe!

    Mfano ulio hai kuthibitishamapungufu ya usemi huuni ule wa vyama vikuuviwili vya siasa Tanzania,hasa hasa kwa upande waZanzibar, yaani vyama vyaCCM na CUF. Tukiipigia

    kijicho cha historia, siasa yavyama vingi nchini iliingiarasmi mwaka 1992. Kwanininianzie mwaka huo? Naam!Nataka nipime uhai na umriwa neema hiyo ya vyamavingi ambayo pamoja nakuwa lengo lake kuu nikukuza demokrasia, kijuu juu ifahamike kuwa lengo piailikuwa ni kuwapa wananchifursa ya kujichagulia kilewaonacho chafaa!

    Ikumbukwe hapo awali,enzi ya chama kimojakushika hatamu, kwenyekaratasi ya kura tulikuwatukiwekewa ukuta na mtukama mgombea. Hapailikuwa huna hiari – ama

    upige ngumi ukuta uumizemkono wako, au umchaguwekiongozi aliyepitishwa nawenye nguvu. Chaguo nilako – kusuka au kunyoa.Kimantiki, huu haukuwauchaguzi wa kidemokrasiakwani haukumpa mwananchisauti na fursa ya kuchaguakile akipendacho. Sasa hivi nimiaka ishirini na mbili tangukuja kwa demokrasia yavyama vingi nchini. Ni mudamuafaka am bao unatupasatuyahakiki na tuyatathminimafanikio tuliyoyapata kwakuwa na mfumo huo nchini.

    U k i u a n g a l i a u m r iwa kile kiitwacho vyamavingi nchini, na ukiangalia

    mabadiliko ya kimaendeleona matarajio ya mwananchi,utakuta hayaridhishi ingawahatua japo ndogo imepigwa.M a m b o h a y a r i d h i s h ikinamna gani? Kuna sababunzima hapa! Sababu yenyeweni kwamba baada ya CCMkukosa umashuhuri nakupoteza nguvu ya ummah as a v is iwan i , v yam avilivyojitokeza kuipingaCCM, licha ya kupata nguvukubwa ya kuungwa mkonona wananchi, vilirejea makosayale yale yaliyoiangushaCCM visiwani.

    Nakumbuka hadi kukiamiaka 25 tu, CCM ilishakuwa

    CCM na CUF Zanzibar: Viwili visivyochagulikaNa: Mwandishi Maalum

    RAIS wa Zanzibar, Dkt. Ali Mohamed Shein akihutubia katika viwanja w

    Kibandamaiti, Zanzibar.

    mzigo usiobebeka tena kwawananchi wa Zanzibar.U t a w a l a w a m a b a v u ,siasa mbaya za muunganounaolenga kuibana nakuifuta Zanzibar katika

    ramani ya dunia ni sehemuya makununu yaliyoibwagachali CCM visiwani. Pamojana hayo na zaidi ya habari,sera ambazo zilipelekeaudumavu mkubwa wamaendeleo ya kiuchumi nakijamii Zanzibar na ubaguziwa wazi wazi wa kuibebaTanganyika na Watanganyikakwenye kila nafasi yauongozi na kuwadharauWazanzibar ni chache tuya sababu zilizoiuwa CCMvisiwani mpaka kukia haliya kusimamiwa na nguvuza dola ili kubakia kwenyehatamu hadi hivi leo.

    Wakati CCM ikikosa nguvuvisiwani, CUF iliibuka kwakishindo na kuungwa mkononchi nzima. Uchaguzi wamwaka 1995 ukawa shahidiwa haya. Kilichotokea,kimezaa utamaduni uliowezakuipa CCM thubutu nanguvu ya kuj inyakuliamadaraka kiubwete nakubaki madarakani bilakupingwa hadi leo. Kunahabari, toba sikio, kuwakatika uchaguzi wa 1995,dunia nzima ilishakuwa nataarifa za kuaminika kuwaCUF kupitia mgombea wakeMaalim Seif Sharif Hamad,ilishinda uchaguzi huo waurais.

    Taarifa za habari za sikumoja kabla ya matokeorasmi ya uchaguzi wa urais

    Z an zibar ku tan gazwa,zilishatangaa habari zikitoa bi sh ar a ya us hi nd i hu o.Maalim Seif, akijua waziameshinda, al i j i fungianyumbani kwake MtoniKidatu akisubiri kisakinacha CCM kikamchukuwekimpeleke Ikulu akawe Rais.Ajizi nyumba ya njaa! Wazeewa CCM wakakutana usikukabla ya matokeo na mmojakati ya viongozi mashuhurizaidi wa Tanzania wakatihuo alisema; ‘Hajawa tayarikuwa Rais. Msimtangaze!’.Na ilikuwa kweli tupu. Sikuiliyofuata jioni Komandooakatangzwa! Kilichotokea baada ya hapo ndicho

    tunachokiona hadi hivi leo.Sina haja ya kukumbushakilio matangani.

    Ukweli usio chenga chengani kwamba Maalim hakuwatayari. Na kwa vile hakuwatayari hakutangazwa kuwamshindi wa Urais mwakaule, na uchaguzi uliofata wa2000 akaambulia ngangarifeki, na uchaguzi mwengine,na uliofata. Uchaguzi ujao,hatujui hali itakuwa vipi!

    Huo ndio ukweli ambaowan an ch i , h as a h as a ,wafuasi wa chama cha CUFwanaoamini siasa za chamachao kibubusa wanakuwawagumu kuuamini hadi hii

    leo.C C M Z an zibar wao

    wanajua ka kuwa hawananafasi kwa wananchi hatawakifanya sarakasi za ainagani na usanii wa kiwango chamiujiza, wanajua hawashindi.Lakini watafanyeje wakatihuyo ambaye wananchiwanamtaka hajawa tayarikuchukuwa nchi?

    Tumeambiwa na maandikokuwa historia inajirudia.Na kama hayo ni kweli,ni yumkini kusema kuwaCUF kama ilivyokuwa ASP,haikuwa na nia ya kuiongozanchi kiudhati. Kwani haingii

    akilini hata kidogo kuwachama ambacho kinaungwamkono na asilimia sabiini yawapiga kura au zaidi, kiwehakishiki hatamu daima.Tena kwa visingizio tu vyakuwa keli ‘tumeibiwa’, kelije‘hatukupewa’ au hanrerehanrere za ‘wenzetu wananguvu ya dola watatuuwasote tubebe jukumu ahera!’

    Siasa si mchezo wa bao,kuwa usari na utakase kishaulale kwenye kishimo bilaya kutoa gharama na hatakuondoka wala kutoka jasho.Siasa yataka ujasiri wakatifulani.

    Ila ni kweli pia kuwasiasa yahitaji busara. Watu

    wapatane bila kumwagadamu. Lakini iwapo tuwatu wote wa pande mbiliwataku wa n a m is in giya kutendeana haki nakuheshimiana. Kinyume nahapo, inakuwa ngumu.

    Chakushangaza siku hiziCUF hufanya manyangayake kwenye uchaguzi kishakikishapoteza, badala yakehushikilia dharura za kujitoakimaso maso na kuwapakawananchi mafuta kwa nyumaya chupa kwa kuwaambiauongo huu na ule. Mathalan,walipokosa kushika hatamukatika uchaguzi wa kwanza,CUF walisema walishinda

    l a k i n i h a w a k u p e w aushindi – yaani waliibiwana kuporwa ushindi wao.Tangu hapo hadi leo, huondio umekuwa wimbo waowa kuwadanganya wananchiambao hadi sasa hawajaamkakuwa CUF ni chama chawatu tu wenye kuwachezeamchezo fulani wa kisanii ilikupata maslahi yao binafsi nahata sio ya kichama angalau.

    CCM, ilikuwa na iko kamahivyo tangu zamani. Na kwa bahati mbaya, CUF imefuatanyayo hizo hizo. CCM ya leoimejaa viongozi wabinafsi.Ubinafsi huzaa ufisadi.

    CCM imejaa watu wasiona uchungu na nchi yao nahata hawawaonelei hurumawananchi wanaowaongoza.Nayo CUF imefuata nyayohizo hizo tena. Kwa mfano,mchakato wa kuwapatawabunge na wawakilishiwa CUF umejaa ukiritimba.Na hata hao viongoziwenyewe wa maj imbowakishapatikana, huoniwanachokifanya majimbonizaidi ya ujasiriamali wao binafsi.

    Ndani ya CUF kuna watuambao ndio “nguzo yakipembe ya CUF”. Lakinikisichojulikana ni kuwanguzo hiyo haimaniki wala

    haitegemeki kwa sababu nimbovu na ndio chanzo chachama cha CUF kubwagwahata kikishinda uchaguzikwa asilimia mia ngapi!

    Tusiwasahau na walewaliojivisha mbawa ili wakalekaramu ya ndege angani.Shiba ilipowazidia mbawazikapapatuka wakaangukachini. Ukweli ukafichuka.Tukawajuwa kuwa walikuwawanaki ndani ya chama. Namifamo haiishii hapa tu. Kunamakobe wengi ndani ya CUFwaliojivalisha mbawa ili kuilakaramu ya ndege angani.Wakishashiba tu, warudichini makwao waje waongeze

    kula majani na kufujmpunga wa wanyonge. Nni kwa utamaduni huu hundio ulioibwaga CCM ambaleo hii CUF imeona ni njnzuri kwao kuifuata. Njiliyomtia kipofu shimonakiipita tena mwenye machyake akatumbukia humpia, huyo huitwa ujinga a juha kalulu. Maafa yakimkhuwa ni maafa ya kujitakna haambiwi pole asilani. Nhapo ndipo CUF inapojikwaikaingia mkumbo mmoja nshimo moja na CCM!

    Kwa kufunga mjadalallabda niseme kuwa pamo

    na yote hayo, hoja inabakkuwa wananchi wa Zanzibwanahitaji mabadiliko. Nmabadiliko hayo yanatokanna vyama na sio UAMSHkamwe. Wanahita j i nkutaraji vyama vyao vys ias a wan av yo v iam inn a k u v i k u b a l i k u wvitawakisha pazuri.

    Hofu yangu, baada ymiaka ishirini ya danganytoto ya CUF kwa wanancwaliokwisha ikacha CCMiliyokwishafeli kabla ykuzaliwa CUF, naona ipo hakwa CUF kubadilika harakiwezakanavyo ili kurudish

    matumaini ya wananchambao nayo muda si mrefyatapotea. Pemba itaachkuiamini tena CUF ingawhaitaiunga mkono tena CCMItakubali isipige kura aiuze vipande vya kupigkura kwa vyama vyenginkwa kuonyesha kukata kwatamaa kulikotokana na vyamvyao walivyovipenda kuishkuwasaliti – yaani CCM nCUF. Na ikikia hatua hiywananchi watashindwkuamua wachaguwe kipmaana vyama vyote viwiCUF na CCM vimefanankwa kila hali! Havichagulik

  • 8/9/2019 ANNUUR 1164a

    9/20

  • 8/9/2019 ANNUUR 1164a

    10/20

    10   AN-NUURABIUL THANI 1436, IJUMAA FEBRUARI 13-19, 20Makala

    Inaendelea Uk. 1

    HIVI karibuni mwandishiMohammed Ghasania l i a n d i k a m a k a l andani yake akahoji,kosa la Wazanzibarinini hata ‘Tanganyika’iwang’ang’anie hivyona kutowapa fursa yakupumua na kuamua ainaya muungano wanaotaka.

     J i bu l a swa l i h i l oanalieleza vizuri WaziriMheshimiwa WilliamLukuvi wakati akiongeana waumini wenzakeW a k r i s t o k a n i s a n i .Anaeleza MheshimiwaLukuvi akianza kwak u w a h o j i W a k r i s t owenzake:

    “ E t i t u w a a c h eW a z a n z i b a r iwaj itawale wenyewen a W a t a n g a n y i k a …Wazanzibari kule waliko,asilimia 95 ni Waislamu.Tunataka wajitangazie

    serikali ya Kiislamu kule!”“ H a p a n a . ” S a u t iinasik ika baadhi yawaumini wakijibu. Kishaa na e nd e l e a k u u l i z aLukuvi:

    “ M na j u a m a d ha r ayake?” Inasikika sautiya waumini wakijibu:“Makubwa sana.”

    W a z i r i L u k u v ianaeeleza: “Wale Waarabuwatarudi. Watazalishasiasa kali kule watakujakutusumbua.”

    “Mimi najua, kabisa.Kwa hiyo ndugu zanguni,mnaposikia mjadala kule,

    kuna watu unaweza kuonakama wana nia njemawanataka kuwasemeaw a l e w a n a o i t w aTanganyika, lakini wanasiri yao moyoni. Kwambalabda ikipatikana hiiserikali na sisi tutashindatutatawala.”

    “Zanzibar ni nchi ndogosana. Ina watu milionimoja na laki tatu. Sisi tunamilioni arobaini. Unawezaukauliza, kwa nini sisitunaing’ang’ania sana ile?Lakini sisi tunaangaliam b e l e . M a d h a r a n imakubwa kuicha Zanzibarkama ilivyo….bora tuwenao.”

    Bwana Ghasani, hilond i o j i bu . Z a nz i ba ri k i a c h w a , W a a r a b uwatarudi, watazalisha“Waislamu siasa kali”,wataisumbua Tanganyika.

    Labda sasa swali ni je,kwa nini Zanzibar naowasiwe na wasiwasi kuwawakiwa chini ya makuchay a ‘Wa ta ng a ny i k a ’ ,Wakristo watawapa tabuWaislamu wa Zanzibar?

    Mheshimiwa WilliamLukuvi na wale aliokuwaakiwahubiria kanisani,

    Ghasani, hili ndio kosa la Wazanzibari….

    Kila uchochoro Mji Mkongwe

    akina ‘William’ wanaona gaidiIla kama ni balaa wataleta Wazungu na…

    Wanaopiga kampeni za chuki kanisani

    Sio hizi porojo za Waarabu wa Oman

    Na Omar Msangi hawana wasiwasi hukwa sababu Wazanzibawenyewe wanaimbwimbo huo huo, wagawu w a t a w a l e - H a w a nagenda ya Uzanzibawala ya Uislamu. Lao nPemba Vs Unguja na hofya kurudi Muarabu!Inalillahi waina ilaihrajiuun!

    Maadhali hiyo ndiyhali ya Wazanzibari, sinhaja ya kuwazungumzihapa. Agenda yangitakuwa pana zaidi. Hila ‘Waislamu siasa kala m ba o M he sh i m i wLukuvi anadai kuwwatazalishwa Zanzibakukiwa na serikali yKiislamu.

     Japo suala la ZanzibaTanganyika na mfumw a M u u n g a n o l i nhistoria ndefu toka wakawa Mwalimu, lak inanachozungumza hapMheshimiwa Lukuv

    ni propaganda ile ililiyobuniwa na mabeberkatika kutekeleza malengyao. Naye sasa anaitumkufanikisha siasa zTanzania katika sualla muungano, lakini pikatika kuendeleza ilCrusade aliyotangazBush.

    Kama walivyosemwataalamu mbalimbak u w a h a k u n a m tmwenye akili yake timamanayeweza kuamini kuwkuna gaidi anayewezkutoka Afghanistan aUarabuni na kufany

    gharika kama ile ySeptemba 11, Marekanhakuna pia mtu mwenya k i l i y a k e t i m a manayeweza kuamni kuwWaarabu wa Oman aWafursi wa Iran, wanmpango wa kuja kuikalZ a nz i ba r . L a k i n i nuwongo tu unaozuliwikapigwa propaganda nwakapatikana wajinga wkuamini propaganda hiyili yatimie yanayotakiwkatika siasa.

    Kama ni kuvamia nchna kama ni kuvurugwnchi zetu, zitavurugwa nWazungu wanaoivurugUkraine hivi sasa kwsababu ya kupiganimafuta na gesi na kusimikhegemonia (hegemonyyao katika eneo hilo.

    Inayoitwa vita dhidi yugaidi, vita dhidi ya ‘siaskali’ hivi sasa ina miak14. Ilianza rasmi mwak2001 baada ya Sepetmba 1ikafuatiwa na uvamizi IraKwa muda huo wa miak14 wa kuunda majinamina mazimwi kwa jina lTaliban, Osama bin LadenSaddam Hussein, Gadda

    SULTANI wa Oman,Qaboos bin Said Al Said akimtunuku Rais Dkt.Jakaya MrishoKikwete nishani ya juu ya heshima, Taifa la Oman wakati wa dhifa ya kitaifailiyoandaliwa kwa heshima ya Rais Kikwete na ujumbe wake jana jioni katika kasriya AL Alam jijini Muscat Oman.

     MHE. William Lukuvi akiwa Loliondo enzi za 'kikombe cha babu'.

  • 8/9/2019 ANNUUR 1164a

    11/20

    11   AN-NUURABIUL THANI 1436, IJUMAA FEBRUARI 13-19, 2011 AN-NUUMakala

    Inaendelea Uk. 1

    Kila uchochoro Mji Mkongweakina ‘William’ wanaona gaidi

    Inatoka Uk. 10Assad, Al-Shabaab, ISIS,IS, Boko Haram n.k, nchizaidi ya saba zimevamiwa,kupigwa mabomu nak u s h a m b u l i w a k w amakombora ya drones.Hawa akina Karl Peterswanaofanya haya, ndiowa kuhowa kuwa wana

    m pa ng o w a k u r u d ikutukalia au kutuleteamachafuko tuuwanewenyewe kwa wenyewekisha wajifanye wasamariawema wa kutusaidiakijeshi na kikachero.Na wakifanikiwa hilo,machafuko hayaishi. Ndiohali ya Nigeria, Yemen nakwingineko.

    Mamilioni ya Waislamuwameuliwa kwa sababu yauwongo na propagandazao, mamilioni wakatiwavilema na mamilioni hivitunavyoandika, wamebakik u w a w a k i m b i z i .Kwa wenye chuki na

    Waislamu, mara nyingihuwa hawaangalii athariya machafuko, vita nak u a n g a m i z w a k w anchi wala ile agenda yaujumla ya mabeberu.Wanachotizama ni kuwaWaislamu wameuliwa,wanabamizwa. Wanamezapropaganda ya ugaidina kuhalalisha kuuliwaWaislamu.

    U k i r u d i n y u m akul ikuwa kuna k i tukinaitwa Operation Gladio( I ta l ian: OperazioneGladio) au "stay-behind".Walikufa sana Wazungu

    wa Ulaya. Na hawawalikuwa ni Wakristo.Mabeberu katika “Stay-

     b e h i n d o p e r a t i o n s ”zao ndani ya nchi zaNATO, hawakujali kuwawanaokufa ni Wazunguwenzao na Wakristowenzao pia.

    Hivi sasa Ukrainekuna zogo kubwa. Watuwanauliwa. Kisa! Wenyeuchu wa mafuta wanatakakuitia katika makuchayao nchi hiyo bila kujaliwatakufa watu wangapiau nchi kuharibikiwa kiasigani kama ilivyoharibikiwa

    Iraq na Syria.Hatukuwahi kuwa naugomvi na wananchi waSomalia wala kuwa naadui anaitwa ‘magaidi waKiislamu’ kutoka Somalia(Al-Shabaab). Lakinimabeberu kwa masilahiyao wameivuruga nchi ilewamezalisha Al-Shabaab,wamewatangaza kuwa nimagaidi wa Kanda hii yaAfrika na sisi kama vipazasauti vinavyotumia betri

     badala ya akili, tumekuwatukiimba wimbo huo huo.

    Akizungumzia vitadhidi ya ugaidi, aliyewahi

    kote. ((SFRC Testimon-- Zbigniew BrzezinskFebruary 1, 2007.)

    Katika makala “Puinthe Terror Threa t IPerspective”   iliyowekwk a t i k a m ta nd a o wW a s h i n g t o n s B l o ginaelezwa kuwa matukimengi ya ugaidi na kitishcha ugaidi kwa ujumlkinafanya kupandikizwili kutimiza malengya kisiasa na kiuchumIkafafanuliwa kuwa nchza kibeberu zimekuwzikitumia kitisho chu g a i d i k a t i k a n c hzinazolengwa kupandikizmachafuko, uvamizi nkisha kufanikisha uporawa rasilimali.

    Z a i d i y a k u tu m i‘usanii’ wa kitisho chugaidi kuvamia na kupornchi tajiri kwa rasilimakama mafuta, kitisho hichhutumika pia kuwasaidw a t a w a l a k u d u m

    madarakani. AliyekuwM k u u w a U s a l a mwa Ndani (Secretary Homeland Security) , TomRidge wakati wa GeorgW Bush, akatoa mfanambapo alilazimishwkupandisha kiwangcha kitisho cha ugaidi ikumsaidia Bush kushinduchaguzi awamu ya pili.

    Kw a m ba a w a t i shwananchi kuwa magaidwa A-Qaidah karibunt u w a t a i a n g a m i zM a r e k a n i h u kwakipewa kumbukumbya Septemba 11, halaf

    ionyeshwe kuwa Busndiye mwenye mipangsahihi ya kukabiliana nkitisho hicho hivyo apewmuda.

    Ndio haya anayosemMheshimiwa WazirBwana William LukuvKwamba, maadhali kunagenda ya kuidhibiZanzibar na maadhahivi sasa bado kitisho ch‘Waislamu siasa kali nugaidi’ ni “dili”, kinafanykazi; basi kinatumikkuwaunganisha Wakristkupinga mabadiliko ymfumo wa muunganoKwa upande mwinginkinatumika kuwagawWazanzibari , wabakwakiogopa kitisho chkurudi ‘Muarabu’, badaya kusimama kat ikagenda moja ya Uislamna Uzanzibari. Lakini kwhapo hawezi kulaumiwLukuvi. Kama Wazanzibawenyewe hawajitambuMheshimiwa WilliamLukuvi yeye afanye nini

    Mwezi Mei mwak2008 Chuo cha Kijesh(United States Army WaCollege)  kule Carlisle

    kuwa Mshauri wa Mamboya Usalama wa Marekani( N a t i o n a l S e c u r i t yAd v i se r ) , Z b i g n i e wBrzezinski , anasemakuwa msamiati ugaidina magaidi, umekuwani simulizi ya kutungaya tangu zama ambayohutumiwa na wanasiasakisanii.

    Brzezinski akieleza jins i sababu za uwongokuisingizia Iraq ugaidina silaha za maangamizizilivyoangamiza maelfu

    ya roho za watu wasio nahatia (collateral damage),anasema hiyo ni dhambikubwa kwa Marekaniambayo inaiondoleaheshma iliyo nayo dunianikama taifa kubwa. Katikamaelezo yake marefukwa Kamati ya Seneti,B r z e z i nsk i a na se m akuwa, awali Marekanii l i tumia uwongo waSilaha za Maangamzi(WMD) kuivamia Iraq.Baada ya hapo inakujatena na uwongo mwingine

    kuwa kuna magaidi waAl-Qaida na ‘MuslimFundamentalists’ ambaoni maadui hatari kwausalama wa Marekani.Akasisitiza kuwa uwongohuo wa kusingizia kitishocha ugaidi wa A-Qaidahkatika nchi za Kiarabuili kusimika alichokiita“U.S. regional hegemony”,utaleta madhara makubwaik iwa ni pamoja namachafuko, mauwajina kuifanya Marekanik u c hu k i w a d u ni a n i

    WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard Membe(kushoto) akikabidhiana mkataba na Afsa mmoja wa Oman.

  • 8/9/2019 ANNUUR 1164a

    12/20

    12   AN-NUURABIUL THANI 1436, IJUMAA FEBRUARI 13-19, 2012 MAKALA/SHAIRI

    Tanzania inavuna matunda ya kuikataa historia ya kweli

    Inatoka Uk. 4C h a u r e m b o k a t i k amkutano ule, alikuwapoSheikh Nurdin Husseinna Rajab Diwani lakinimzungumzaji mkuu naaliyesukuma agenda hiiikakubaliwa na TANUna kutoa azimio alikuwaMufti Sheikh Hassan binAmir. Azimio lenyewelilikuwa yeyote atakaeletaudini kat ika TANU“atatoswa.” Ningependasana kueleza historia hiilakini nachelea itakuwa

    nje ya maudhui. Lakinimtu unaweza ukajiuliza,vipi katika historia yauhuru wa Tanganyikamajina haya hayasikikikutajwa?

    Haiyumkiniki hatakidogo kuwa wazalendohawa walipigania uhuruwa Tanganyika ili waiwekekwenye madaraka serikaliambayo itakuja kuvunjamisingi ya dini yao.

    Tanga kulikuwa naMahakama ya Kadhi namahakama hii ilikuwakatika jengo la TAA

    Barabara ya 7 ambakoK a d h i , S h e i k h A l i

     bi n He me d Al -B uh ryal ihukumu jamii yaWaislamu kwa kutumiaSharia. Huyu Sheikh Ali

     bi n He me d Al Bu hr yndiye baba yake SheikhMohamed Ali Al-Buhryna yeye ndiye alikuwahakimu wa mwishokwenye mahakama hiyo.Sheikh Mohamed AliAl-Buhry alikuja baadaekatika miaka ya 1968kuhusika sana katikaBAKWATA na kuna kisa

    cha kusisimua sana katiyake na serikali katikasiasa za Waislamu naBAKWATA, lakini hapasi mahali pake kuelezamkasa huu.

    Hapo Tanga kulikuwana Liwal i Abdal lahRished na mtaa aliokuwaakikaa ulipewa jina laLiwali Street kwa heshimayake. Baada ya uhuruukaitwa Makoko Streetkwa heshima ya mpiganiauhuru na mwanachamashu pa v u w a T AN U

    Rashid Makoko.Kulikuwa na Sheikh

    Seif Nassor Alhinawyambae alikuwa Akidapale Tanga na akihukumukwa sheria. (Akida Seifndiye baba ya wachezajimpira mashuhuri katikamiaka ya 1960 hadi 1970,Hemed Seif, Marshed Seifna Rashid Seif, ambaoukimtoa Marshed wotendugu zake walivaa jeziya taifa). Kwa kuthaminitaasisi hizi za Kiislamu,kuna mtaa Waingerezawaliupa jina Akida Road(sasa Mkwakwani Road)kwa heshima ya AkidaSeif Nassor.

    Katika Tanganyika, mjiwa Tanga ndiyo moja yamiji iliyokuwa na historianzuri sana ya Mahakamaya Kadhi. Mwanzo wamiaka ya 1900 kulikuwana Kadhi Omar Stambulikisha akaja Kadhi Ali binHemed Al-Buhry, LiwaliAbdulrahman bin AliDiwani, Liwali RishedAbdallah, Omar Stambuli,

     Juma Mwindadi , Said

     bin Ali Al-Buhry (OBE),Mohamed bin Ali Al-Buhry.

    Masheikh hawa baadhiyao walifanya kazi yaukadhi Tanga na wenginewalikuwa Moshi, Arusha,Mwanza na kwenginekoTanganyika.

    Tabora Sheikh BilaliM s h o r w a a l i k u w aakihukumu kwa sheriam a ha k a m a ni . H u y uSheikh Bilali Mshorwaakifahamiana vizur isana na babu yangu,Salum Abdallah pale

    Tabora kwani wao ndiyowalikuwa wanamji nawazee wa mjini wakatiwao. Moshi kwa Wachaggaalikuwapo Liwali MussaMwinjanga akihukumuBomani. Liwali Mussaalikuwa akifahamianana baba yangu na mtaaaliokuwa akiishi LiwaliMussa Mwinjanga tokaenzi hizo za ukoloniulikuwa ukijulikana kamaLiwali Street na jina hililimebaki hivyo hadi hiileo.

    Hal i i l ikuwa hivTanganyika nzima nMahakama ya Kadhhaikupata kuwa katikagenda ya kufutwa uhurutakapopatikana. Ninkilifanya serikali mwak1963 ivunje mahakamhizi? Jibu ninalo lakinsitalitoa kwa sasa.

    Kuna watu wanasemati kuwa na Mahakama yKadhi itavunja umoja wtaifa letu. Hapa linakuswali, kwani Tanzania huumoja unaozungumziwtunao hivi sasa? Mbonkumekuwa na malalamikmengi tu kutoka kwWaislamu kuwa serikaina udini na inawabaguWaislamu?

    H i i i l i a n z a k a mm a n u n g ’ u n i k o ychinichini kwa miakmingi na mwisho ikaibukkwa sauti kubwa kuwnchi yetu inatawaliwa n“Mfumokristo” yaani nchinaendeshwa kwa maslahya Kanisa. Mwaka w2012 Waislamu walifanymikutano nchi nzim

    wakitahadharisha kuhushili. Video za mikutano hzimezagaa nchi nzima nkwenye mtandao. Bahambaya hadi leo serikaimekuwa kimya.

    Labda mtu unawezkujiuliza kwa nini serikaimekuwa kimya kwshutuma nzito na za hatakama hizi? Imekaa kimykwa kuwa yanayosemwna Waislam hayanukweli na ithibati yoyoau iko kimya kwa kuwinaogopa kulifungu

    Sanduku la Pandora? Jibla swali hili vilevile ninalN a d ha ni m so m a j

    wangu angalau kwa mbaumeweza kusoma angalakwa muhtasari historia ynchi yetu ilivyokuwa. Viptumejikuta katika huuhasama tunaoushuhudhivi sasa, hii ni mada ykujitegemea na In ShAllah tutaizungumza.

      M akal a h i i kwhisani ya MohameSaid kupitia blog:wwwmohammedsaid.com

     Kalamu nimeishika, kuwauliza VIJANA, Majibu yenu nataka, msijefanya khiyana,Uhuni sitautaka, nijibuni kiungwana, SIKU hii VALENTINA, ASILIYE hasa NINI ?

    Amama mlojiweka, WAPAMBE wa VALENTINA,Nipeni basi hakika, nini hasa VALENTINA,Yu dada anotajika, au SIKU ya FITINA,

    SIKU hii VALENTINA, MUASISIWE yu NANI ?

    ARUBASHARA 'kika, FEBRUARI kwa sana,Siku hii hunadika, eti ya wanopendana!Kwayo SHAKA ninaweka, na ninahoji bayana,SIKU hii VALENTINA, TAREHE hii KWANINI ?

    LIBASI zinovalika, ni NYEKUNDU tena sana,DUKUDUKU lanishika, kunako yake MAANA,Kwa wale mnojivika, tafakarini kwa kina,SIKU hii VALENTINA, WEKUNDU huu wa NINI ?

    Na NDEREMO huibuka, za MABIBI na MABWANA,Zinaa hukurubika, si usiku si mchana,Kwa jozi kuchanganyika, hizo na kutomasana,SIKU hii VALENTINA, MSETO huu KWANINI ?

    MAHABA yanosika, katu si ya kiungwana,NDUNIYE yatambulika, ni UZINIFU kufana,Mwisho ni kuathirika, kwa GONJWA lile VIJANA,SIKU hii VALENTINA, HATIMA yake ni NINI ?

    VIJANA mnopendeka, WAPENZI wa VALENTINA, Nyote ninawaalika, mlo na hoja mwanana, Wazi mpate niweka, kwa marefu na mapana, SIKU hii VALENTINA, WALENGWA hasa ni NANI ?

    Kichwani natatizika, nahitaji mbayana,Mwenye HOJA za hakika, ZA mambo ya VALENTINA,Mezani hoja naweka, niaunini VIJANA,SIKU hii VALENTINA, wa KUNIFUNDA yu NANI ?

    Upambe sitautaka, uso na hoja za ma'na, Japo utoke kwa kaka, au kwa dada Amina, Sitaupa mlahaka, nakujuzeni bayana, SIKU hii ni NAGONA, kama sio MZINGILE.

    ABUU NYAMKOMOGIMWANZA.

    UPOGO WA 'VALENTINE DAY' ! (SIKU YA WAPENDANAO AU YA WADANGANYANAO?)

    Hodi hodi mhariri, si wa gazeti la giza, Bali ni wa AN-NUUR, lenye angavu mwangaza, Kuna jambo nakiri, naomba kulidokeza,

     Uvivu wa kukiri, utajatuangamiza.Uvivu niwape siri, tunaouendekeza,Wa kushindwa kukiri, hali ya kuwa twaweza,Nd'o unotuathiri, pamwe na kutudumaza,Uvivu wa kukiri, utajatuangamiza.

    Wengi likizo nadhari, zetu tumeziwekeza,Wachache wanatughuri, kadiri wanavyoweza,Badala wanakiri, yetu nasi twafatiza,Uvivu wa kukiri, utajatuangamiza.

    Kheri wakiita shari, nasi nyuma twafatiza,Shari wakiwamba kheri, kadhalika twachagiza,Kwa mgando tafakuri, vyovyote watugeuza,Uvivu wa kukiri, utajatuangamiza.

    Waizushapo habari, papo hapo twaimeza,Mia kwa mia twakiri, pasi hata kuchunguza,Kadhalika kukiri, twameza na kueneza,Uvivu wa kukiri, utajatuangamiza.

    Twajiona maayari, kwa puya kuhanikiza,Sote yatatuathiri, madharaye nawajuza,Kwazo ikifuka nari, sote yatuteketeza,

    Uvivu wa kukiri, utajatuangamiza.Tuchukue tahadhari, kwa kutokuhanikiza,Tumezeshwazo habari, pasi kwanza kuchunguza,Kwanini zetu kari, likizo twaziwekeza,Uvivu wa kukiri, utajatuangamiza.

    Kwa uvivu kukhitari, wa kutokujizoeza,Kila mtu kukiri, kadiri anavyoweza,Taifa la tafakuri, muhali kutengeneza,Uvivu wa kukiri, utajatuangamiza.

    Ni yako sasa hiari, kujali au kubeza, Dhamira kukushauri, na si kukung'ang'aniza, Ila ni kubwa hatari, falau utapuuza, Uvivu wa kukiri, utajatuangamiza.

    Kaditamati akhiri, nimeka kueleza,Akali ya kukiri, leo yanatosheleza,Kalamu ya tafakuri, haina la nyoongeza,Utaja tuangamiza, uvivu wa kukiri.

    ABUU NYAMKOMOGIMWANZA.

    UVIVU WA KUFIKIRI !

  • 8/9/2019 ANNUUR 1164a

    13/20

    13   AN-NUURABIUL THANI 1436, IJUMAA FEBRUARI 13-19, 20Makala

    Imekuwa hamkani sio shwari tenana khamsini au nazaidi.

    Kituo cha Darajanikil ikuwa kinachukuaa b i r i a w a B u b u b u ,Saateni, Mwanakwerekwe,K i e m b e S a m a k i ,Chukwani, Mombasa,Amani, Daraja bovu n.k.Kwa mtafiti atapotakakukiondosha kituo kamahicho cha Dara jani ,k w a n z a a t a t a f a k a r ik u j u a a n a h a m i s h akukipeleka wapi? Atatakakujua kwa wastani wamagari mangapi kwasiku yanaingia hapokituoni, ataangalia katikasaa magar i mangapiyanaingia na ni wakatigani kunakuwa na abiriawengi wanaovutanakutaka usari.

    Baada ya kujiuliza hayo

    anakuchukua takwimuna k u z i c ha m bu a na j awa bu atakayoipataatachokifanya ni kujaribukukihamisha gar i lae n e o m o j a t u s e m eM w a n a k w e r e k w eatakihamishia kwa mudasehemu moja kisha atapimaadha na urahisi wa abiriana atapata sura halisi badaya majaribio hayo kusemakupunguza msongamanowa Darajani itakuwavyema kuhamisha magariyaendao Kiembesamaki,Mwanakwerekwe naChukwani kuwahamishia

    sehemu ya iliopata kuwaBaraza la Wawakilishiau tuite jina lilozoelekaPeoples Club.

    Mtafiti huyo hatositahapo, bali atatoa na Dodosoau Hojaji (Questionnaire) k u w a u l i z a a b i r i awanaokusanyika haponini mapendekezo yao

     juu ya kuhamishwa kituo.Zaidi ya hapo wahusikaambao ni wa Baraza laMji watatakiwa wakae nawatu wa Mipango Mijina Vijiji kuangalia njiailiokuwa mbadala. Isitoshewatatakiwa wafanyevipindi vya Radio na TVkuwaelimisha wananchikuweza kufahamu sababuya kuhamishwa kwa kituohicho na wao watasemanini kuhusu uamuzi huo?

    Watati hao hapo tenandipo watapokuja nasuluhisho ambalo litakuwala kisayansi kabisa nalitalokuwa sio la kuletaadha.

    W a s w a h i l i w a n amsemo wao ambao mienitausema kwa njia yatarwia nayo ni unarukakukimbia kukanyaga hajandogo huku unakanyanga

    kinyesi. Ikiwa ilikuwakupunguza kelele na adhakwa skuli za Darajani naVikokotoni, basi kituohicho kimehamishiwak w e n y e s k u l i y a

    Kiswandui ambayo hapondipo panapotakiwakuwepo utulivu wa haliya juu kwani wale watototaahira (Mongoose) ndipow a n a p o s o m a a i d h aMakao Makuu ya Chamacha CCM ndipo yalipo.Sasa la kujiuliza ndio kipikilichofanyika?

     J e n g i n e a m b a l olinawapa watu mashakanikuona kituo kilekile sasakinaegeshwa magari yawatu binafsi na kutozwashilling alfu moja kwa saa,aah, hii ni Hamkani SioShwari Tena.

    Abiria wa daladalawapo tafshanini hawajuila kufanya hawajui lakutenda, wamegubikwa namaudhi ambayo hawajui

     jawabu yake litatokana nanini?

    Narudia tena utati ni jambo la muhimu, ikiwaw a tu w a ta o ng e z e k akila kitu cha mahitaji

     juu ya watu hao nachokitaongezeka. Sasa watuwameongezeka na magariyameongezeka, afana alekunaingia mjini hujui wapiuegeshe gari lako utapataupenyu uliweke utakujakukuta umeshatil iwachuma na hao hao watuwa Baraza la Mji ulipe alfukumi ndio ufunguliwegari yako upate kuondokana wiki iliopita magariyakibebwa juu kwa

     ju u si ju i ya ki pe le kw awapi? Unajiuliza hawawahusika wamefanyata f i t i ? Wa m e te m be anchi za visiwa kamaMauritius na Seychelleswakaona taratibu zawenzetu wazifanyazo?N i m e shu hu d i a k u l eMauritius hata hizo sehemuza pembeni ambazohuku kwetu ni dhambi

    kuegesha gari huko waohuegesha na zimeekewamichoro wa ukomo wagari za kuegeshwa. Waowalikuja na kra hio kujuawao ni watu wa visiwana vipi ardhi ilivyokuwainapungua, kwa hio vipiwataweza kuondoa adhana kuwa na matumizi boraya sehemu ndogo ya ardhiwalionayo.

    Hapa Unguja imekuwamashaka na adha baina yawenye vipando na watuwa Baraza la Mji. Jengineambalo halijafanyiwa

    utafiti ni kuona kuwa baada ya kuchwa jua badowatu hao wa Baraza la Mjikatika eneo la Forodhaniwanaendelea kukusanyafedha za maegesho pamoja

    na siku za mapumziko jambo hilo halipo popotepa l e d u ni a n i . N d i onikasema Hamkani SioShwari Tena mambo yapomchafu koge.

    Tatizo la kuegeshamagari katika maeneo yamjini na Darajani ni adhatupu. Bado nawanasihiwakuu wa Baraza la Mjikufanya utafiti wa juuya suala hili. WatafitiAlhamdulillahi wamejaa

    kama pishi ya mchele iweSUZA, Chuo cha FedhaChukwani , ZanzibarU n i v e r s i t y w a t a f i t immoja mmoja, jambo hililinahitajia kuangaliwa.

    Wakazi wa Kiswanduihawana raha kuanziaasubuhi ya saa mojahadi nne ya usiku kwamakelele na moshi wamagar i . Wanaj iu l izahayo yataendelea mpakalini? Watoto wao wamokuj i fundisha matusiyanayoporomoshwa namadereva na utingo.W a n a p a m b a n a n auchafuzi wa mazingiraya moshi na maeneo hayo

    kwa kuwa havina vyvya haja ndogo wathujikojolea ovyo. Wakawa Kiswandui hujiuliz“tumekosa nini?” Minitawambia hamjakos

    kitu wala hamtiwi adhabu bali tati zimeonekana silolote wala sio chochotkile. Amua, amua twendmbele.

    Tabu ya watu wetu naynikuwa wanashindwkuhoji kila kitu. Utasikk i m e a n d i k w a s i j ukimeandikwa na nani nhio kamwe sio TawhidAaah Hamkani Sio ShwaTena.

    Kila uchochoro Mji Mkongweakina ‘William’ wanaona gaidiInatoka Uk. 11

    Pennsylvania, kiliandaakitu kilichojulikana kama“Unified Quest 2008”(war games test). Katika‘gemu’ hiyo ya siku tano,iliyohudhuriwa pia namakamanda wa kijeshikutoka nchi za NATO naIsrael, walisema kuwawalikuwa wakijiandaa nikwa jinsi gani watalinda

    masilahi ya Marekanindani ya nchi ya Nigeriaikapo mwaka 2015.

    W a l i s e m a k u w ainatarajiwa mwaka huonchi hiyo itasambaratikakutokana na machafuko(vitendo vya kigaidi) nakwamba hata uchaguziwa mwaka huo itabidiuahirishwe. Na kwambakuna uwezekano mkubwaNigeria kugawanywakutoka katika hali yake yasasa ya kuwa nchi kubwaAfrika yenye idadi kubwaya watu na utajiri mkubwawa mafuta. Pengine iwe

    Kaskazini na Kusini kwaWakristo.Akizungumzia suala hilo

    Februari 4, 2012, Balozi waMarekani nchini NigeriaBwana Terence McCulley,alitetea serikali yakeakisema kuwa, waliofanyautabiri huo kuwa Nigeriaitasambaratika ifikapomwaka 2015 haikuwaserikali ya Marekani balitaasisi binafsi ikijulikanak w a j i n a l a R a n dCorporation and Booz-Allen.

    Hata hivyo, taasisi hizondio wakala wa serikali na

     Jeshi la Marekani (PrivateMilitary Contractors)anayefanya kazi kwamaelekezo na kwa kulipwana serikali.

    K i l i c h o k u w akikitizamwa katika ‘bao’hilo, ni namna ya kulindamasilahi ya kibeberu yaMarekani, ikiwa ni pamojana kupeleka jeshi na namnaAFRICOM itakavyofanyakazi ikifika mwaka 2015

    ambapo ilitabiriwa kuwanchi hiyo itasambaratikakutokana na machafuko.(Tazama: United StatesArmy Allegedly PreparingFor A Possible Break-UpOf Nigeria, Nigeria: U.S.Speaks On Nigeria’s Break-up. Na Cia And Mossad ToDivide Nigeria Soon)

    M a pe m a w i k i h i i ,i m e t a n g a z w a k u w auchaguzi mkuu wa Nigeriaumeahirishwa. Uchaguzihu o a m ba o i l i k u w aufanyike Februari 14,umeahirishwa hadi Machi

    28. Sababu zilizotolewni za kiusalama, kwambvyombo vya usalamvinahitaji muda zaidi wkujiandaa kukabiliana nkitisho cha Boko HaramHaijulikani iwapo ahadhiyo itatekelezwa au ndihatari ya kitisho itakuwkubwa zaidi.

    Zipo taarifa nyingi juya Boko Haram kwambna wenyewe ni katika zi“Intelligence Assets” zmabeberu.

    Kwa hakika kama yapmambo ya kustahikk u w a s h u g h u l i s hwanasiasa wetu, ni haya yhawa wanaotuwangia n“war games test” pamoja n“Intelligence Assets” zawakitutabiria machafukhuku wakiweka mikakaw a t a k a v y o t u k a l ikikachero na kijeshi. Sihizi porojo za kurudMuarabu wa Oman.

     Mhe. William Lukuvi.

    S U L T A N I wOman,Qaboos bin Sai Al Said.

  • 8/9/2019 ANNUUR 1164a

    14/20

    14   AN-NUURABIUL THANI 1436, IJUMAA FEBRUARI 13-19, 20Makala

    JINA la Sheikh SuleimanTakadir, halijapatwakutajwa popote katikahistoria ya kupiganiauhuru wa Tanganyikawala katika historiaya TANU. Hatajwi nahakupata kutajwa baadaya uhuru kupatikanamwaka 1961 na sidhanih a t a k a m a a t a k u j akutajwa au kukumbukwana hawa viongozi waliokatika madaraka hivisasa.

    Lakini naamini viongozihawa walio madarakanihivi sasa ambao wakati

    wa kudai uhuru walikuwawatoto wadogo lazimawatakuwa wamesikia jinahili likitajwa na wazeewao. Sheikh SuleimanTakadir hutajwa kilalinapotokea jambo ambaloWaislamu huonekanaw a na d hu l u m i w a naserikali kwani ilikuwaSheikh Suleiman Takadirndiye aliyeweka agendaya hali ya baadae yaWaislamu na Uislamukatika Tanganyika hurumwaka 1958.

     Jambo hil i ali pol iletalilitishia kuigawa TANU

    katika misingi ya dinikatika wakati ambapoumoja wa Waafr ikaulikuwa unahitajika sana.Mwaka wa 1958 TANUilikuwa imeenea nchinzima na tayari iko katika

     bar ab ar a ya ku el ek eakuchukua madaraka yandani na kisha Tanganyikakupata uhuru wake kamili.

    S h e i k h S u l e i m a nTakadir alikuwa nani nanini ulikuwa umaarufuwake? Sheikh SuleimanTakadir kwanza alikuwa‘ ’al im,” mwanazuonikisha alikuwa Mwenyekitimuasisi wa Baraza laWazee wa TANU kuanziaTANU ilipoundwa mwaka1954 hadi “alipotoswa”mwaka 1958 kwa kosala “kuchanganya dini nasiasa.’’ Sheikh Takadirialishiriki vilivyo ndani yaBaraza la Wazee wa TANUkatika kutayarisha safariya Nyerere kwenda UNOmwaka 1955.

    W a p e n z i w a k ek a t i k a h a r a k a t i z ak u p i g a n i a u h u r uwalimpachika jina la utaniwakimwita “Makarios,”wakimlinganisha na

    JINAMIZI LA UDINI TANZANIA:

    Sheikh Suleiman Takadir, “Askofu Makarios”Utabiri wake ‘ipo siku mtanikumbuka’ watimia

    Na Mohamed Said

    Askofu Makarios wa siasa

    za ukombozi za Cyprusna Ugiriki aliyekuwaanapambana na ukoloni waWaingereza wakati yeyealipokuwa anapambanana Waingereza katikaardhi ya Tanganyika.Sasa kwa kuwa SuleimanTakadir alikuwa Sheikhna mpambanaji ndipowalimpa j ina hilo la“ M a k a r i o s” na k w ahakika jina hili lilimkaa,likamwenea vyema nayeye akalipenda.

    Mikutano ya mwanzo yaTANU ilikuwa ikifanyika

    Mnazi Mmoja mbele

    ya baadae ilipojengwaTaasisi ya Elimu ya WatuWazima. Wakati ulepale palikuwa hakuna

     jengo lolote, palikuwa nakiwanja kitupu na ardhiile ilikuwa mali ya Mzee

     John Rupia, Makamu waRais wa TANU. Kiwanjahiki baaadae Mzee Rupiaaliwapa TANU na TANUwakaanzisha Chuo Kikuupale mara baada ya uhuru.

    Mikutano ya kwanzaya TANU ikifanyikap a l e M n a z i M m o j an a k a b l a N y e r e r e

    hajapanda juu kwenye

     jukwa a kuz ungumzana wananchi alikuwakwanza anatangul iaSheikh Suleiman Takadir,kusawazisha uwanja nakuwaweka wananchit a y a r i k u m s i k i l i z akiongozi wao. Kamaalivyokuwa Nyerere,Sheikh Suleiman Takadirialikuwa na kipaji chakuongea. Leo hii huenda

     ba a dhi ya wa soma j iwangu wasiamini lakiniukweli ni kuwa SheikhSuleiman Takadir alikuwakabla ha jazungumza

    lolote alikuwa akipig“ f a t ’ h a , ” w a n a n c hwakaitika na kwa umowao wakasoma, “SuraFat’ha,”sura ya ufungukatika Qur’an Tukufukisha Sheikh Takadiakaomba dua na wananchwakawa wanaitika kwpamoja, “Amin,” AminAmin.” Baada ya hapndipo atapanda Nyererna kuanza kuhutubia.

    Picha za mwanzo zmikutano hii zipo nzilipigwa na Mzee Shebambae katika miaka ilya 1950 alikuwa na studyake Mtaa wa Livingstonna Kipata. Picha hiz

     baadhi nimepata kuzionMzee Shebe ndiye alinipigpicha yangu ya kwaznikiwa na umri wa mwakmmoja au miwili hivi npicha hii ninayo hadi hleo. Inaaminika MzeShebe ndiye mpiga pichwa kwanza wa TANU nNyerere.

    Huyu ndiye SheikSuleiman Takadir nhuyu ndiye Nyerere kamalivyokuja kutambulishwkwa watu wa Dar es Salaamna Sheikh Sule imaTakadir kwa mara ykwanza mwaka wa 195

    Kabla ya hapo Nyereralikuwa akijulikana nwatu wachache katikTAA. Sheikh Takadialimpenda sana Nyererkiasi kuwa mwaka 195katika hotuba aliyotokatika tafrija moja ytaarab Mtaa wa Mvitaalimwita Nyerere, “Mtumwa Afrika,” aliyetumwna Mungu kuwaokoWaafrika.

    M a n e n o y a l e ySheikh Suleiman Takadalikuwa kama anamtabirNyerere makubwa katikmustabali wa Afrikakwani miaka mingi baadaNyerere alikuja kusimammstari wa mbele katikkuikomboa Afrika kutokmakucha ya wakolonNyerere akawa hapungunyumbani kwa SheikTakadir Mtaa wa SwahiNyumba hii iko jirani nkilabu ya mpira ya PaAfrica. Kutembelewa nNyerere pale nyumbankwake ikapelekea babmwenye nyumba, Jumb

     bin Ju ma a wa Digoamuhamishe nyumbSheikh Takadir asi j

    Inaendelea Uk. 1

    Nyumba ilipoasisiwa TANU imevunjwa.Nyumba hii ilijengwa kwa kujitolea na wanachama wakati wa uongozi wa Kleist

    Sykes akiwa katibu muasisi na ilifunguliwa 1933 na Gavana Donald Cameroon. Pichakwa hisani ya www.mohammedsaid.com.

    Baraza la Wazee wa TANU. Sheikh Suleiman Takadir wa pili chini kulia, wa piliwaliosimama Dossa Aziz, wa sita Julius Nyerere, wa saba John Rupia, wa tisa SaidChamwenyewe, anayefuatia Jumbe Tambaza, Mshume Kiyate.

  • 8/9/2019 ANNUUR 1164a

    15/20

    15   AN-NUURABIUL THANI 1436, IJUMAA FEBRUARI 13-19, 20Makala

    TUNAAMBIWA kuwaUisalamu ni mfumowa maisha. Kwahakikamaisha yote ya Muislamuyameratibiwa katikaprogram maalumu, iweya siku, wiki, mwezia u m w a k a . M a is h aya Muislamu tangua n a p o z a l i w a h a d i

    anapokufa, kuna taratibum b a l i m b a l i k a t i k aUislamu, taratibu ambazoh u ta k iw a m u u m in ikuzifwata. Hakuna diniambayo ina programukamili ya matendo kamadini ya Kiislamu. Angaliamifano hii michache, mtuanapokuwa MuislamuBaligh mwenye akilikila siku a ta takiwaasali vipindi vitanokuanzia asubuhi hadiIsha na anaposhikamanana salaa basi anakuwayupo kwenye programmaalumu kwani sala

    haisaliwi anapotakamtu kusali, lakini salainasaliwa kwa wakatimaalumu uliowekwa.Hayo ni kwa kila siku nakatika wiki unatakiwakujipanga kusali kwasala ya Ijumaa. Kishakatika mwaka kunafunga ya Ramadhani,kuna kwenda kutimizanguzo ya Hijja kwamwenye uwezo. Hio yoteni program Muislamuameekewa katika maishayake.

    Maudhui ya makalahii nikuangalia namnat u l i v y o f u n d i s h w ak u m p o k e a m t o t oa n a p o z a l i w a n i n ianachohitajia kufanyiwa.Ukweli kinachotakikanasio tu kumpokea, lakinihuanza tangu mume namke wanapofanya kitendocha ndoa. Leo wanaSaikolojia hutueleza kuwapale tunapotaka kwendakufanya unyumba, basitwende kwa utartibu walatusikurupuke tu paletunapomaliza tendo aungono. Kwa kweli BwanaM tu m e M u ha m m a dS.A.W ameyaeleza hayo na

    Na Ben Rijal

     Adabu ya kumkaribisha mtotoanayezaliwa katika Uislamukututaka tunapowaendea

    wake zetu, tuwaendeekwa maneno mazuri nakutofanya vishindo natusikupurukike kamapunda pale tunapomalizaunyumba. Aidha tumeSuniwa pale tutapokuwatunakaribiya kutoa majiya uzazi tusiseme manenoya ajabu ajabu nakupigamakelele, lakini tusememaneno yafwatayo:

    “Kwa jina la Mwenyeenzi Mungu, Ewe Molatulinde na Shetani nautuhifadhi na chochoteutachoturuzuku na huyoshetani.” Taratibu hii

    haipatikani kwenye diniyoyote ile wala kwenyefalsafa yoyote ile ila katikaUislamu.

      Tunatakiwa tufanyenini mara tu mtotoanapozaliwa?. Tendo lakwanza ni kuadhiniwakwa mtoto. Mara tu mtotoatapozaliwa, ni vyemaachukuliwe na baba yakeamuelekeze kibla kishaamuadhinie kwenye shikiola kulia la mtoto. MtumeM u h a m m a d S . A . Walimuadhinia mjuukuuwake Sayidna Husseinr.a kama anavyoelezaAboo Raafi, «NilimuonaBwana Mtume S.A.Wakimuadhinia Hussein binAli baada ya kujifunguakwa Bibi Fatmah ».

    Kuna wengine husemakuwa baada ya adhanaifuwatie Ikama (Iqama)kwa shikio la kushoto,kauli hii haina nguvu.

    Nini Falsafa na hikmaya kuadhiniwa mtoto?Tumboni, mtoto huwahasikii chochote kile, namara tu anapozaliwahuanza kusikia sauti, nivyema asikie manenomazuri, ikiwa moja la hiloni adhana.

    Falsafa ya kuadhiniwamtoto ni kusikia manenoy a a d h a n a m a n e n oambayo yanamtaja Molana Mtume wake, lakini leoanazaliwa mtoto na hukuanasikia majimbo ya ajabuajabu. Nimezungumza

     ba ba am chukue mtot oamuadhinie kwa hospitaliza kwetu ni ngumumwanamume kuingiawodi ya wanawake,kwa Ulaya hilo ni jambol a k a w a i d a m u m eanaruhusika na anabakiakwenye chumba cha

    kuzalishia kumuangalia

    mke wake anavojifungua,kwa hio kama mzazia t a k u w a n a n g u v uza kufanya hivyo, basiamuadhinie mwenyewe auazungumze na wakunga.

    T e n d o l a p i l i /Tahneek : ‘Tahneek’ nikumrambisha Tende maratu mtoto anapozaliwa.Kurambishwa tendewatoto Bwana Mtumeamelifanya mara nyingitu. Ni vyema ‘tahneek’akaifanya baba au mamaau mtu wa familia ya mtoto.Nini Falsafa na hikma yaTahneek ? Anapozaliwa

    mtoto huwa hana nguvu,na sukari mwilini mwake‘blood sugar’ huwa ipoc h i n i hy po g l a c y m i akuna hatari ya kuwezakufa mtoto sukari ikawachini. ‘Tahneek’ husaidiamisuli za mdomo. Tendeni chakula chenye faidakubwa sana mwilini. Sunatuliotakiwa kuitekelezani tende na siku hizi hiyotende hupatikana kilamahali, verejee ‘glucose’na chokleti ? TusiiwacheSunna hii kwa watoto wetuwanapokuja duniani.

     Tendo la tatu ni kutoa jina: Tunavielewa vitu vinavyotuzunguka kutokana nakuvipa majina. Majinayanatusaidia kuelewa vitu.Miti, wanyama na wadudumbalimbali wanaadamuwameyaita majina ilikuweza kuwatambua.Kuna somo zima la elimuya viumbe ‘taxonomy’ambalo kazi yake ni kutoamajina ya viumbe kwanjia za kisayansi. Kuwana majina kuna hikmakubwa.

     Wakati gani wa kutoamajina? Kuna kauli mbilina zote zinakubalika,nazo ima tuwape majina

    watoto wanapozaliwa kwasiku ya kwanza au sikuya saba. Bwana Samurahanaeleza, “Bwana MtumeMuhammmad S .A.Wa m e tu ta k a tu c h i n j e ,tunyoe na kutoa majinasiku ya saba.’ Ahmad (/7,17), Abou Dawood E.T.2/797/No 2831).

      N a y e Ana s ( R A)anaeleza: ‘Kuna mtotoalizaliwa na siku hiyohiyo hiyo akapelekwak w a B w a na M tu m eMuhammad S.A.W, naBwan Mtume akampa jina

    hapo, jina la Ebrahim na

    kusema kuwa hilo ni jinala babu wa babu wangu.’Muslim [E.T. 4/1243/No.733].

    Kwa hivyo ni sunakuwapa majina watotokwa siku ya kwanza auya saba. Bwana Mtumeametueleza: ‘Siku yakufufuliwa tutaitwa kwamajina yetu na ya babazetu, basi toweni majinamazuri”. (Ahmad /94.)

    Vyema tutowe majinayenye kuanza na Abd,mfano wa Abdullah,Abdur-Rahmaan, Abdul-Lateef n.k. Bwana Mtume

    amependekeza tuwaitewatoto majina ya Mitume,mfano wa Ebrahim, Musa,Issa, Ismael, Yakoub,Younus, Saleh, Yousuf,Suleyman, Daud, Nouh,Lout n.k. Ahmad (4/34),aidha vizuri tukawaitawatoto wetu majina yamasahaba kama Abubakar,Umar , Othman, Al i ,Khalid, Hamzah, AbouHorera n.k (Radhiyallahuanhum).

    Baadhi ya Majina mazurikuwaita watoto wetu wakike: Aminah, Asmah/Asmaah, Asiah, Atiyah,Ais