ANNUUR 1043

Embed Size (px)

Citation preview

  • 7/31/2019 ANNUUR 1043

    1/12

    ISSN 0856 - 3861 Na. 1043 Dhuul-Hijja 1434, IJUMAA NOVEMBA 1-7, 2012 BEI TShs 500/=, Kshs 50/=

    Sauti ya Waislamu

    Uk. 10

    Watanzania sisitutaponea wapi?

    Mulugo kasoma Madrasa au Sunday School?

    Maaskofu KKKT waombe uchunguzi NECTA

    Kabla ya kuleta madai ya mateso ya Kanisa

    Mmemchukua yuhaimnamrejesha maiti?

    Asema Baba wa kijana aliyeuliwa

    Polisi wakanusha kuhusika

    Polisi wadaiwa kumtesambeba mizigo Zanzibar

    Wamkata ngozi ya kichwa kwa kisu na kumnyoa

    Mwingine apigwa na Vespa yake kuvunjwa vunjwa

    Nusura mja mzito apate kipigo, kisa maandishi ukutani

    Katibu Mkuu Baraza KuuSheikh Sanze akamatwa

    DPP azuiya Sheikh Ponda kupewa dhamana

    Wengine dhamana wazi, kutoka Novemba 5

    Wadhamini watakiwa kuwasiliana na Wakili

    MH. Philip Mulugo DKT. Joyce Ndalichako

    KATIBU Mkuu wa Baraza Kuu la Jumuiya na Taasisi za Kiislamu (Baraza Kuu), SheikhRamadhani Sanze.

    Uvamizi na dhulumaza Israel katika mjimtakatifu wa Qudsi

    Uk. 12

  • 7/31/2019 ANNUUR 1043

    2/12

    2 AN-NUURDhuul-Hijja 1433, IJUMAA NOVEMBA 1-7 20

    AN-NUURS.L.P. 55105, Simu: +022 2400786

    Cel: 0784 370 208, 0755 260 087 0713 110148, DSM.www.ipctz.org E-mail: [email protected]

    Ofisi zetu zipo: Manzese Tip TopUsangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam

    MAONI YETU

    Tahariri/Habari

    SASA hivi kunazoezi linaendeshwana vyombo vya dolala kuwakamatan a k u w a s w e k andani Masheikh

    na v iongozi waWaislamu jijini Dares Salaam.

    Zoezi hili limekuwalikifanywa bila shakakwa ajili ya kudhibitiharakati za Waislamukatika kupiganiahaki zao, ambazopamoja na kuzielezana kuz ida i kwawahusika kwa mudamrefu, lakini hakunaaliyejali wala kutaka

    kuwasikliliza.Maandamano na

    makongamano ni njiaza kidemokarasiaa m b a z o j a m i iy a W a i s l a m uimeamua kuifuatakatika kushinikizawahusika kusikiakilio chao ambachok i m e k o s a w akukisikil iza kwamuda mrefu.

    Njia hizi ndizoambazo zimeletahofu na propagandachafu dhidi yao kiasicha sasa kuwindwana vyombo vya dolaili kudhibitiwa.

    H a t a h i v y oha tudhan i kuwasuluhu ya kilio chaWaislamu hawa nikuwadhibiti kwa

    Kukamata Masheikh sio

    dawa kuwadhibiti Waislamunguvu za dola.

    Kukamatwa Ponda,Sanze au kiongozimwingine yeyote waKiislamu, hakuwezikuwa su luhu yamatatizo.

    Bado Umma waKiis lamu ambaondio unaoathirikana kupuuzwa auk u d h a r a u l i w a ,utaendelea kupiganiahaki muda wa kuwawanaamini kuwahawatendewi haki.Ni vyema serikali

    i k a t a f a k a r i k w ak i n a k a b l a y a

    k u t u m i a n g u v ukuzima matakwa yaWaislamu.

    Kuna haja ya serikalikutambua kwambatatizo sio viongoziwa Waislamu, bali nidhulma.

    Sisi tunaona kuwajambo la msingikufanyika ili kufikiasuluhu ya kudumuni serikali kuacha

    d h a r a u k a t i k akusikiliza na kutatuashida za Waislamupale zinapodhihirikakuwepo, hasa zilezinazoshabihiana nadhulma na ubaguzi.Tuache kuwakamatav i o n g o z i w a o .Tuwasikilize badalaya kuwapuuzwa nakuwatisha.

    Tusicheze ngoma yaoTOKA atekwe SheikhFarid na toka akamatweS h e i k h P o n d a I s s aPonda, ukisikiliza kauliza viongozi wa kisiasa,makamanda wa Polisi,viongozi wa makanisa nataarifa katika vyombo vyahabari, utaona kuwa wotehao wameungana katika

    jamb o moj a: Kupigapropaganda kuwa nchihii inakabiliwa na kitishocha uharamia na ugaidiwa Kiislamu.

    Tumesikia jinsi ambavyomatukio ya kuharibiwamakanisa yanavyopigiwaz u m a r i h u k u l i l e l akunajisiwa Quran mara

    mbili likionekana kanakwamba hakijatokea kituau kama kilitokea, basi siajabu wala hakuna kosa.

    T u k i s h a j u a k u w ahilo ndio lengo, busarainaelekeza kuwa tusifanyej ambo lolot e ambalolitawasaidia wanaopanganjama hizi. Kwa agendayao hii , wanachotakawao ni kuona makanisayakiendelea kuchomwa,Waislamu kutoka mitaanikwa maandamano maanahiyo ndiyo itatoa fursahata kutuma vijana waowa kupanga wakachomemakan i sa i l i wapa tekuwasingizia Waislamu.

    Ukiwasikia wanatoakauli za onyo, ni kama njiamoja wapo ya kuwachocheaW a i s l a m u w a s e m ehatukubali. Wanawatumiapia Mashe ikh ambaowanajua fika kuwa hawanauso wa kusimama mbele yaWaislamu na kusema jambowakasikilizwa. Mahesabuyao ni kuwa iwapo Masheikh

    hao wasiotambulika naumma wa Waislamu,watakataza jambo, kwahoja yoyote ile, hata yenyemantiki, basi Waislamu naWanaharakati watafanyakinyume chake.

    Kwa hiyo katika nafsizao watakuwa wanafurahisana wakisikia Waislamuw a k i h a m a s i s h a n akuandamana kwa sababuwatapata fursa ya kuwapigamabomu, kuwadhalilishawanawake wa Kiislamu,

    kuongeza idadi ya Waislamurumande na kubwa zaidikuhakikisha kuwa ghasiazinasambaa mitaani hukuwakitumia vyombo vyahabari kusambaza uwongona propaganda kuwaWaislamu ni magaidi hatariwa Boko Haram.

    Ni jambo la kushukuruMungu kwamba MasheikhZanzibar, Waislamu naWazanzibari kwa ujumla,wameigundua njama hii.Wametulizana Misikitinina majumbani mwao. HataMahakamani wanapangaidadi ya watu kwenda ilikuondoa wingi wa kuwapasababu FFU.

    Kwa hakika busara hiiambayo inathibitisha ilekauli ya Quran kuwawaumini ndio Ulil Albaab,yaani ndio wenye akili,ndiyo imeifanya Zanzibarmpaka sasa ipo katikasalama. Na huenda ndiyoitakayoisalimisha ile hali yamaelewano baada ya kupitiakatika kipindi kirefu chafitna, farka na uhasama.

    K a t i k a j u m l a y ahabari ambazo zilipewakipaumbele na nafasikubwa katika vyombo vyahabari Tanzania, Afrikana dunia wiki hii, ni lilela kushambuliwa Kanisakule Kaduna, Nigeria nakuuliwa watu saba.

    Kwa mujibu wa tarifaza vyombo vya habariambavyo kama kawaidayao, walizipamba sana,ilidaiwa kuwa Muislamummoja alifanya shambuliola kujitoa muhanga akalipuaKanisa Katoliki hukuwaumini wa Kanisa hilowakiwa ndani wakifanya

    ibada.Baadhi ya vyombo

    vya habari vilidai kuwamtu huyo alindesha garialilolijaza mabomu na kujakuliegesha karibu na Kanisahilo Katoliki na kulilipua.

    H a t a h i v y o k w awanaofuatilia habari zaNig eria wata kumb ukakwamba shambulio kamahilo lilidaiwa kufanyikaFebruari 21, 2012 nje yaKanisa la Christ EmbassyChurch (CEC), Barabara

    ya Morocco, Suleja, Jimbla Niger. Katika shambulih i l o i l i d a i w a k u wWaislamu Boko Haramwalitega mabomu katik

    gari halafu wakaliegeshjirani na Kanisa hilo.

    Hata hivyo, haukupitmuda uchunguz i wkipolisi ukagundua kuwgari hilo lilikuwa la mmojwa waumini wa Kanisa hina ndiye aliyelipaki likiwna milipuko akaondokakiliacha likilipuka huknyuma.

    Propaganda inayopigwh i v i s a s a n i k u wWaislamu wanapangkulipua makanisa. Aidh

    washaanza kuambiwa kuwwana tawi la Boko HaramYakiwemo mazingira yfujo na zogo litakalotokeFFU wakikabiliana nWaislamu wanaoandamaninaweza kuwa fursa nzukwa wenye mipango hmiovu kulipua Makanisa nkuwasingizia Waislamu.

    Lakini katika hali yutulivu, inaweza kuwr a h i s i k u w a o n a nkuwaumbua wanaopangkulipua makanisa yakama walivyoumbuliw

    wale waliolipua Kanisa (CEC), Nigeria.

    Utulivu wa Waislam

    Zanzibar umesababish

    sasa laana wanayowarush

    Masheikh wa Uamsh

    kuwarudia wao wenyew

    Ni v i k o s i v y a SM

    sasa vinavyoonekan

    kubughudhi watu mitaan

    Na uzuri wa mambo n

    kuwa Wazanzibari wotwenye mapenzi na nchyao wametambua kuw

    vipigo vinavyotembezw

    na vikosi hivyo, ni namn

    nyingine ya kuwachoche

    n a k u w a c h o k o n o

    wakasirike waamue kulip

    kisasi. Wanazidi kuusianna kumeza hasira na kuwna subra.

    Itakuwa vyema kamWaislamu wa TanzanBara na hasa Dar es Salaamwatakuwa na ujasiri huwa kumeza hasira nkusubiri katika kipindi hikkigumu.

  • 7/31/2019 ANNUUR 1043

    3/12

    3 AN-NUURDhuul-Hijja 1433, IJUMAA NOVEMBA 1-7 201Habari

    Katibu Mkuu Baraza Kuu Sheikh Sanze akamatwaK A T I K A h a r a k a t iz i n a z o e n d e l e a z akuwakamata viongozi waWaislamu nchini, Polisi

    wamemkamata Katibu waBaraza Kuu la Jumuiya naTaasisi za Kiislamu (BarazaKuu), Sheikh RamadhaniSanze.

    Sheikh Sanze alikamatwajuzi huko Mbande Mbagalaakiwa na wenzake kwenyekikao cha kujadili kadhiazinazowaandamana viongoziwa Waislamu nchini.

    Wengine waliokamatwapamoja na Sanze ni UstadhSadik Gogo, Ustadh Abdillahna Ustadh Mkadam Swaleh.

    Gogo n i MkurugenziMtendaji wa taasis i yawanataalum wa Kiislamu,

    yaani Tanzania MuslimProfessional Organisation(TAMPRO)

    Hadi sasa hazijapatikanataarifa viongozi hao waWaislamu wamepelekwa wapina nini kimewasibu.

    Hata hivyo kuna taarifakwamba hivi sasa Jeshi laPolisi lipo katika msako mkaliwa kukamata Masheikh naMaimamu wa Misikiti ambaowanaonekana kupingana nautendaji wa BAKWATA nakuhamasisha Waislamu kuwakitu kimoja katika kutetea,kulinda na kudai haki zao.

    Taarifa za kuaminikazimefahamisha kwambabaadh i ya Mash eikh naviongozi wanaosakwa niwale wa taasisi za Shura yaMaimamu nchini, TAMPRO,Baraza Kuu na baadhi yaviongozi wa Misikiti jijini Dares Salaam.

    Wakati huo huo, Waislamuwanaoshikiliwa katika gerezala Keko jijini pamoja naSheikh Ponda Issa Ponda,ja na wa li fi ki sh wa ka ti kaMahakama ya Hakimu MkaziKisutu ambapo Mahakamailiweka wazi dhamana zaw a t u h u m i w a w e n g i n eisipokuwa Sheikh Ponda.

    Taarifa kutoka kwa wakili

    anayewatetea watuhumiwainasema kuwa washitakiwawote wa kesi ya kiwanjacha Markaz, wote waliletwaM a h a k a m a n i j a n a n aMahakama ilikubali dhamanakwa washitakiwa 49 isipokuwaSheikh Ponda.

    A l i y a t a j a m a s h a r i t iya dhamana kuwa ni kilamshitakiwa kuwa na mdhaminimmoja.

    Kila mdhamini kuwa nabarua ya utambulisho kamakutoka ofisi inayoeleweka auserikali ya mtaa.

    Kila mdhamini kusaini

    Na Mwandishi wetu dhamana (bond) ya sh.1,000,0000/= na kwambawashitakiwa wote watakaopatadhamana ni marufuku kufikakatika eneo la kiwanja chenyemgogoro.

    Kuhusu Sheikh PondaWaki l i amesema kuwadhamana yake imezuiliwa kwaCERTIFICATE YA DPP.

    Wakili huyo amesemakuwa washitakiwa wotewamerudishwa rumande haditarehe 15.11.2012 kwa sababukutokana na hali ya ulinzipamoja na muda wa kesi kuwaasubuhi sana isivyo kawaida,wadhamini wengi walishindwakufika mahakamani kwawakati hivyo kushindwakuwadhamini washitakiwa.

    Niliomba mahakamai k u b a l i w a s h i t a k i w a

    wa d h a m i n i we m a p e m akabla ya tarehe ya kesi,MAHAKAMA IMEKUBALIOMBI HILO na imesemai ta toa removal o rderw a s h i t a k i w a w a l e t w ei l i wadhamin iwe ik iwawadhamini watapatikana,amesema Waki l i JumaNassoro.

    Kwa hiyo naandaa baruaya kuomba washitakiwawafikishwe mahakamanitarehe 5 au 6 Novemba.Hi v y o b a s i n d u g u a uj a ma a z a wa s h i t a k iw awawasilishe barua zao za

    utambulisho kwangu niwezekuziambatanisha kwenyeb a r u a n i n a y o k u s u d i aku ipe leka mahakamaniKESHO INSHAALLAH!

    Ama kuhusu dhamanana Sheikh Ponda, WakiliNasso r ame sema kuwabad o anatafakari hatua zakuchukua ili kuhakikishakuwa naye anapata haki yakeya dhamana.

    Jana asubuhi helkopta yaPolisi ilikuwa ikirandarandakatika anga la jiji la Dar esSalaam ambapo imetafsiriwakwamba helkopta hiyo ilikuwaangani muda huo kufuatiataarifa zisizothibitishwak w a m b a k u n g e k u w ana maandamano wakatiSheikh Ponda anafikishwamahakamani.

    Kesi hiyo imeahirishwakufuatia polisi kudai kuwaupelelezi wa kesi h iyohaujakamilika na itatajwa tenaNovemba 15 mwaka huu.

    H a d i t u n a k w e n d amitamboni jana hatukuwat u m e p a t a h a b a r i wa p ianakoshikiliwa Katibu waBaraza Kuu na wenzake nakwamba wanashikiliwa kwatuhuma gani.

    Polisi wadaiwa kumtesa mbeba mizigo Zanzibar

    MTU moja mkazi waMkele juzi alinusurikakuuawa katika msakowa kuwakamata watuw a n a o t u h u m i w a

    kusababisha vuruguzilizotokea wiki mojailiyopita mjini Zanzibar.

    Vurugu hizo ziliibukaOktoba 17 mwaka huu baadaya kiongozi wa Jumuiya yaUamsho na Mihadharaya Kiislamu (JUMUIKI)Sheikh Farid Ahmed Hadikutoweka katika mazingiraya kutatanisha Oktoba 16,mwaka huu.

    A k i z u n g u m z a n awaandishi wa bahar imjini hapa jana, kijanaaliyenusurika kuuawa,Salum Bakari Muya alidaialiteswa kwa kukatwangozi kwa kisu kichwanina kisha kunyonyolewanywele polisi ambao piawalikuwa na silaha.

    Al i sema, kab la yakukutwa na tukio hiloalikuwa amekaa na wenzakewakiwa wanasubiri tendaya mizigo ya kusafirishakwa kutumia magari yapunda.

    Nilikuwa nabangaya y a a n i k u b a ng a i z awakatokea polisi si ta ,wal ipof ika ni l ipokaa

    Na Mwandishi Wetu wakanifunua kofia nakunikata kipande cha ngozina nywele kichwani kwakisu, alisema Salum.

    A l i d a i p o l i s iwaliomfanyia ukatili huoni wa kikosi cha FFU nakwamba baada ya kitendohicho waliamua kumpelekaKituo cha Afya cha JKUkilichopoa Saateni kwamatibabu ya awali.

    Salum al idai kuwabaada ya kupata matibabukatika kituo hicho chaJKU iliamriwa kwambaapelekwe Hospitali Kuuya Mnazimoja kwa vilealikuwa anavuja damunyingi.

    Hata hivyo alisemaalishangaa kabla ya kufikaMnazimoja polisi haowaliamua kumtekelezakatika eneo la kwa AbbasHussein, kilometa chachekutoka walipomtoa hospitaliya JKU.

    Hawakuni f ik i shaManazimoja, wakaniacha nakuondoka huku wakisemaUbaya Ubaya mtakomawaambie na wenzio,alisimulia Salum akiwana bandeji aliyofungwawakati anapata huduma yakwanza.

    A l i s e m a b a a d a y akutelekezwa na Polisi

    aliamua kwenda Welehuko Kikwajuni kwlengo la kuzungumza nwaandishi wa habari juu ymkasa uliompata.

    Baada ya kusimulimkasa huo, Salum ambayalifuatana na kaka zakwalioomba wasiandikwmajina baadae alipelekwhospitalini kwa matibabzaidi.

    Alipoulizwa juu ya tukhilo, Kamishana wa PoliZanzibar, Mussa Ali Mussalisema bado hajapewtaarifa na kwamba iwapmwathirika atalalamikkituoni Polisi watachukuhatua ya kuchunguza.

    T u m e z o ekulalamikiwa, kama mtamefanyiwa ukatili kw

    nini asiripoti kituo chpo li si , ha po ujue kunjambo anaficha, alisemKamishna Mussa.

    Lakini baada ya kuelezwna mwandishi wa habahizi kwamba kijana huyamepelekwa hospitali nkaka zake, Mussa alisemaliahidi kufuatilia tukihilo.

    Ki tendo cha Salumkufanyiwa ukat i l i nwatu wanaodaiwa kuwpolisi kimetanguliwa n

    Inaendelea Uk

    BAADHI wa waumini wa dini ya Kiislamu waliofika katika mahakama ya Kisutukufuatilia kesi ya Sheikh Ponda na wenzie jana jijini Dar es Salaam.

  • 7/31/2019 ANNUUR 1043

    4/12

    4 AN-NUURDhuul-Hijja 1433, IJUMAA NOVEMBA 1-7 20Tamko/Tangazo

    KIRINJIKO ISLAMIC ENGLISH MEDIUM PRIMARY SCHOOLP. O. Box 62 SAME Tel: 0784 833982/ 0784 435336 E-mail [email protected]

    NAFASI ZA DARASA LA KWANZA 2013Waislamu kote Nchini mnatangaziwa nafasi za darasa la kwanza katika shule ya kiislamu kirinjiko. Shule hii

    ni ya bweni kwa wavulana na wasichana1. Shule hii ni ya kiislamu yenye lengo la kuwapa watoto elimu bora na kuwalea kwa malezi ya kiislami.

    Mwisho wa kuchukua fomu ni tarehe 31/11/20122. Masomo yanayofundishwa ni haya yafuatayo:-

    Elimu ya dini ya kiislamu, Usomaji wa Quran na mafunzo yake, Lugha ya kiarabu, English,Kiswahili, Mathematics, Science, History, Geography, Civics, Computer (ICT), Michezo(PDS)

    3. Muombaji awe amemaliza elimu ya awaliFomu za maombi zinapatikana katika vituo vilivyoorodheshwa hapa chini.Fomu hii italipiwa Tsh.10,000/=

    Vifuatavyo ni vituo vya kuchukulia fomuArusha: _ Msikiti wa Ngarenaro 0784 406 610Kilimanjaro: _ Moshi: Msikiti wa riadha: 0755 278885

    _ Same: Kirinjiko Islamic English Medium primary school 0784 833982Tanga _ Uongofu bookshop: 0784 982525 - Mawah S.S. 0784790530

    - Mandia Shop Lushoto: 0782257533Mwanza - Nyasaka Islamic Secondary School: 0717417685/078441768- Ofisi ya IPC Mwanza Mtaa wa Rufiji mkabala na Msikiti wa Sheikh Al Amini: 0714 587193/0714587193Musoma - Ofisi ya IPC Musoma Mjini Mtaa wa Karume: 0714 587193Kagera - Bukoba: Katoro Islamic S.S: 0754 523322Shinyanga - Kahama: Ofisi ya AN-NUUR Karibu na msikiti wa Ibadhi: 0753 993930Dar es Salaam - Ubungo Islamic High School: 0754 260241/0655 260241

    Morogoro - Ofisi ya EKP, Msikiti wa Ijumaa 0712 689258Dodoma - Al-Hijra Nursery School: 0716 544757/0712 325086Singida - Ofisi ya Islamic Ed.panel karibu na Nuru snack Hotel-0714285465Manyara - Babati: Shule ya Msingi Hangoni: 0784 667575Kigoma - Msikiti wa mwanga Kigoma: 0753 355224 - Kibondo Islamic Nursery School: 0784 442860Lindi - Wapemba Store: 0784 974041/0786 959663Mtwara - Amana Islamic S.S: 0784 596707/0714 201146Songea - Msamala Islamic S.S: 0717 043981Mbeya - Rexona Video karibu na RETICO: 0713 200209Rukwa - Sumbawanga: Twahiid Islamic S.S:Tabora - Kituo cha Kiislamu Isevya: 0784 944566Iringa - Madrastun Najah: 0755 740762Pemba - Wete: Wete Islamic Education Center: 0777 432331Unguja - Madrastul Fallah: 0777 431580 - Shura ya Maendeleo ya Uislamu Zanzibar, Makao MakuuMpendaye njia ya kaburi Kikombe: 0777 246717/0777 425412

    USIKOSE NAFASI HII ADHIMU - Wahi kuchukua fomu sasa

    MWALIMU MKUU

    WABILLLAH TAWFIIQ

    SIFA zote njema anastahikiAllah (S.W) Muumba wambingu na ardhi na vyotevilivyomo. Sala na salamuzimfikie kipenzi cha UmmaMtume Muhammad (S.A.W)jamaa zake, Maswahaba zakena wale wote wanaowafuatakwa wema hadi siku yamalipo.

    Kwa mara nyengine tena

    nchi yetu imetumbukia katikavitendo vya vurugu, fujo,uharamia na vitendo vyauvunjifu wa amani kuanziatarehe 17 hadi 19 Octoba2012 kufuatia kutoweka kwaSheikh Farid Hadi katikamazingira ya kutatanisha.

    Vikundi vya Maharamiakwa kutumia kichaka chakutekwa Sheikh Farid Hadiwalitekeleza hujuma kubwasana ambayo imepelekeamaafa kadhaa ikiwemokumwaga damu za watu,kuharibiwa mali za watu,kutia khofu kubwa wananchi,kuashiria kusambaratika kwa

    Umoja, kuvunja heshima zawatu, na kuharibiwa kwamiundo mbinu.

    J U M A Z A k a m ai l ivyo tangu l ia kusemakufuatia vurugu na fujo katikauchaguzi mdogo wa Bububu,kuwa kipo kikundi cha watuwanaotekeleza mipangoyao ya kuihujumu Zanzibarkwa kupinga Serikali yaUmoja wa Kitaifa ( SUK )ili kuwarejesha Wazanzibari

    TAMKO LA JUMUIYA YA MAIMAM ZANZIBAR . TAREHE 01/11/2012

    KUHUSU VURUGU, FUJO, VITENDO VYA UVUNJIFU WA AMANI,

    KUNYANYASWA KUDHALILISHWA NA KUPIGWA WANANCHI

    WASIO NA HATIA.

    katika maisha ya hasama nauadui baina yao pamoja nakupinga harakati za kupiganiahadhi ya Zanzibar ndani nanje, Kimataifa. Kutokanana tatizo hili linaloendeleakukua na katika kuiangamizaZanzibar, JUMAZA inatoatamko lifuatalo:-

    1. J U M A Z Ainawatanabahisha wananchiwote kuwa Taas i s i zaKiislamu Zanzibar kamwehazihusiani na vurugu hizokwani zenyewe zinapiganiaamani, utulivu mshikamano,umoja na udugu kamainavyoelekezwa katika Diniyetu tukufu ya Kiislamu.

    2. JUMAZA inalaanivikali wale wote waliofanyafujo na hujuma zilizopelekeamaafa katika nchi yetukwa kutumia kichaka cha Kutekwa Sheikh FaridHadi.

    3. JUMAZA inalaanivikali vitendo vya kiharamiavilivyofanywa na makundiya kiharamia vikiwemo vya

    ubaya ubaya na vinginevyo.Hivyo Serikali ipambanena makundi haya yaliyomokatika jamii na kuyafutakabisa.

    4. JUMAZA inaiombaSerikali kuunda Tume Huruya kuchunguza kadhia yakutekwa Sheikh Farid Hadina ripoti yake iwasilishwekwa uwazi kabisa kwaWazanzibari na Jumuiya yaKimataifa.

    5. JUMAZA inaviombav y o m b o v y a k i s h e r i akuwatendea haki watuhumiwaw o t e w a g h a s i a h i z owakiwemo viongozi wakuuwa Jumuiya ya Uamsho kwamujibu wa sheria za nchizinavyoelekeza.

    6. JUMAZA inaviombavikosi vya usalama viachekuwatesa na kuwadhalilishana kuwapiga wananchiwasio na hatia bali iongezejuhudi za kuyasaka makundiya kiharamia kwa kufuatataratibu za kiusalama naulinzi wa nchi.

    7. J U M A Z Ainawaomba Wazanzibariwote kuwa watulivu na subraya hali ya juu katika kipindihiki kigumu ili kuepushaZanzibar yetu tunayoipendakutumbukia katika mapiganoya wenyewe kwa wenyewe nahivyo kuiangamiza kabisa.

    8. J U M A Z Ainawanasihi viongozi wetuwakuu wa Serikali ya Umojawa Kitaifa kutumia busarazaidi katika kutatua matatizoyaliyopo katika jamii yetu nakurudisha amani badala yakuweka mbele matumizi yanguvu.

    9. J U M A Z Ainawaomba Wazanzibar

    wote wasikubali kurejeshwwalikotoka pia wasiondokkatika ajenda yao ya kudhadhi ya Zanzibar ndani nKimataifa kwa njia ya amana ustarabu na wajitokeze kwwingi katika kutoa maoni biya woga wala khofu hivi sakatika Mikoa ya KaskazinUnguja na Pemba na baada

    Mkoa wa Mjini Magharibi10. JUMAZA inawatakMaimamu wa Misikiti kuledua kwa wingi kwa wiki mona kisomo maalum (kunutsiku ya Ijumaa kuiombekheri, amani, mshikamanna utulivu wa nchi yetu.

    M O L A W E TM T U K U F UT U N A K U O M BUINUSURU ZANZIBANA WATU WAKE DHIDYA MAADUI WA NDANNA NJE WASIOTUTAKIMEMA- AMIN

    ALI ABDALLASHAMTE

    NAIBU AMIR-JUMAZA

    Polisi wadaiwa kumtesambeba mizigo Zanzibar

    Inatoka Uk. 3

    matukio ya vijana wenginewawili kuuawa wakati wautekelezaji wa zoezi lamsako huo mjini Zanzibarmwezi Oktoba mwaka

    huu.Imedaiwa kuwa Hamad

    Ali Kaimu aliuawa Ijumaailiyopita wakati akiwamikononi kuwa polisikatika eneo la Magomenina Salum Hassan Mahanjualikufa baada ya kupigwarisasi katika maeneo yaAmani Fresh na watuwaliotajwa kuwa maofisaulinzi na usalama.

    Mbali na vijana hao,askari mmoja Koplo SaidAbdulrahman aliuawa na

    watu wasiojulikana hukoBububu baada ya tukio lakutoweka Sheikh Farid.

    Wakati huo huo, kijanamtu mmoja alipigwa naVespa yake kupondwapondwa baada ya kukimbiakuepuka kipigo.

    Mtu huyo ambaje jinalake halikufahamika,alikutwa na mkasa huoa k i p i t a M i c h e n z a n iambapo al ikutana naaskari wakamsimamishana kuanza kumpiga.

    A l i p o p a t a u p e n yalikimbia na kuacha chombchake ambapo askari hawalikipondaponda.

    Katika eneo hilo hilomama mmoja mjamzitalinusurika kupata kipig

    baada ya kuchomolewndani na polisi.

    Askari walivamia enehilo na kuanza kupiga watambao kuta za nyumbzao zilikuwa na maandishya kukataa muunganau msemo wa tunatakkupumua.

    Inaelezwa kuwa baadhya askari walipomwonkatika hali ya uchovu wujauzito, ubinadamu kidoguliwajia wakamwachia.

    Katika tukio jingin

    kijana mmoja alikamatwwakati anatiwa shakishakakapita kijana mwinginakaamrishwa amnyoalipomaliza akaulizwtumfanyeje.

    Wa p a s h a h a b a rwanasema kuwa kijanyule alisema sijui.

    Hujui eeh wanadaiwk u j i b u a s k a r i w a l ewakamkamata na kuondoknaye wakamwachia yualiyekuwa amekamatwmwanzo na kunyolewa.

  • 7/31/2019 ANNUUR 1043

    5/12

    5 AN-NUURDhuul-Hijja 1433, IJUMAA NOVEMBA 1-7 201Habari za Kimataifa

    NAIROBIKUNDI la Kutetea Hakiza Binadamu la Waislamunchini Kenya (MUHURI),limelaani vikali vitendo

    vinavyofanywa na jeshila polisi la nchini humovya kuwaua watu wawiliw a l i o s h i k i l i w a k w akutuhusishwa na ugaidi,ambapo limesema kwambamauaji hayo ya kinyamahayakubaliki.

    Mkurugenzi Mtendajiwa kundi hilo Bw. HusseinKhalid, amesema ni jambolililo wazi kwamba hivi sasajeshi la polisi chini ya Wizaraya Usalama wa Ndani nchinihumo limeamua kufanyaukandamizaji ambao niuvunjaji mkubwa wa haki zakikatiba.

    Mkurugenzi huyo alisema

    jambo la kwanza ambalowanataka serikali kufanyakufuatia mauaji hayo yawatuhumiwa, ni jeshi la polisikuchukua hatua dhidi ya ofisawake yeyote aliyehusika kwanamna moja au nyinginekatika vitendo vya kutumianguvu kupita kiasi.

    Kauli ya kundi la kuteteahaki za binadamu la Waislamunch in i Kenya imeku jakufuatia maafisa usalama waKenya kuwafyatulia risasina kuwaua watu wawiliwanaotuhumiwa kwa ugaidikatika mji wa Mombasa.

    Mauaji hayo yalifanyika

    Jumapili asubuhi baada yapolisi kuvamia nyumba mojakatika eneo la Majengo, mjiniMombasa.

    Hivi karibuni Mbungewa viti maalumu nchiniKenya, Sheikh MohammadDor, alitiwa mbaroni mjiniNairobi.

    Sheikh Mohammad Dor,alikamatwa akidaiwa kusemakuwa kama angalikuwana uwezo angefadhil iwanaharakat i wa kundila Mombasa RepublicanCouncil MRC.

    Sheikh Dor, ametiwambaroni siku chache baada

    ya polisi kuanzisha msakowa watu wanaounga mkonokundi la MRC katika eneola Pwani ya Kenya. Kundila MRC linataka eneo lapwani linalotaka kujitengena Kenya.

    K a t i b u w a k u d u m ukatika Wizara ya Usalamanchini Kenya, Mutea Iringoalisema kwamba, msakohuo utaendelea hadi hali yakawaida itakaporejea katikaeneo hilo.

    Po l i s i nch in i Kenyaimesema kuwa, wanasiasan a w a f a n y a b i a s h a r awanaofadh i l i kund i l a

    Waislamu Kenya walaani polisi kuua watuhumiwa

    NEW YORKKimbunga kikali kinachoitwSandy kimesababisha hasana uharibifu mkubwa katik

    pwani ya mashariki mwMarekani ambapo mpaksasa kimeripotiwa kuua wawasiopungua 38.

    Vifo hivyo vimetokea mapemwiki hii katika majimbo Marekani ya New York, NorCarolina, West Virginia, NeJersey, Pennsylvania, Ottawa Maryland.

    Meya wa jiji la New YorMichael Bloomberg, amesemkwamba kimbunga h ichkinaweza kuwa kikubwa zaikuwahi kuiathiri Marekani.

    Taarifa zinaeleza kuwa mbna kusababisha vifo, kimbunSandy kimesababisha kuharibimiundo mbinu hasa kukatika kwhuduma ya umeme.

    Watu wapatao milioni wameathirika ambapo kati

    jimbo la New Jersey, maafiwamewatahadhar i sha rakwamba kuishi bila ya umemkwa zaidi ya wiki moja.

    MRC watatiwa mbaroni nakufunguliwa mashtaka.

    Kab la ya kadh ia yakukamatwa Sheikh Dor,hali ya wasiwasi ilitanda

    mjini Mombasa baada yakuuliwa kwa kupigwa risasiakiwa ndani ya gari lakeSheikh Aboud Rogo, sikuya Jumatatu mwezi uliopitawakati akimpeleka mkewehospitali.

    Kuu l iwa kwa she ikhR o g o , a m b a y e n a y eal ikuwa akishukiwa nakuhusishwa na ugaidi na piaalishukiwa kufadhili kundi lawanamgambo la Al Shabaabnchini Somalia, kulisababisha

    vurugu kubwa nchini Kenya,Waislamu wakipinga kiongoziwao kuhusishwa na ugaidi ilikuhalalisha kuuliwa kwake.

    Polisi wawili walikufa

    ku tokana na majerahaw a l i y o p a t a b a a d a y ashambulio la guruneti katikagari lao mjini Mombasa.

    Hadi kufikia sasa polisiwatatu wamefariki tangukuanza kwa ghasia zilizotokeabaada ya kifo Sheikh AboudRogo siku ya Jumatatu.

    Kwa siku mbili, vijanawa ki is i lamu walikuwawakipambana na polis ikatika barabara za Mombasa.

    Watu wengine kumi na tatuwalijeruhiwa vibaya katikashambulio hilo.

    Mhubiri Aboud RogoM o h a m m e d , a l i k u w aakituhumiwa na kuhusishwana ugaidi na pia alishukiwak u f a d h i l i k u n d i l awanamgambo la Al Shabaabnchini Somalia.

    S a b a b u k u b w a y akushukiwa huko ni Marekanikumta ja kuwa n i mtuanayewasajili baadhi yavijana wa Kenya kwendakujiunga na wapiganaji waAl Shabaab.

    Watu 12 walikamatwa napolisi kufuatia makabiliano

    kati ya polisi na vijanwa l i o k u wa wa k i p i n gkuuliwa kiongozi wao wkidini Sheikh Aboud Rogo

    Katika siku ya pili y

    vurugu hizo, wengi ya vijanhao wamekamatwa nje yMasjid Musa iliyo eneo Majengo Mombasa.

    Meli za kivita za Iran zatia nanga SudanKHARTOUMM ELI m bi l i z a k i v i t azimetia nanga nchini SudanJumatatu, ikiwa ni chini yawiki moja tangu Khartoumi l i p o i s h u t u m u I s r a e l

    kushambulia kiwanda chasilaha jijini humo, vimeripotivyombo vya Iran.

    Mpaka sasa Israel imekataakukanusha au kukubali kuhusikana shambulio hilo.

    Katika shambulio hilo landege za Israel Jumanne hukoSudan katika kiwanda chasilaha cha Yarmouk kusini mwa

    jiji la Khartoum watu wawiliwaliuliwa.

    Waziri wa Habari wa Sudan,Ahmed Belal Osman, alisemakuwa ndege nne za kijeshizilishambulia kiwanda hichona kwamba Israel ndio mhusikamkuu.

    Alipohojiwa na televisheni

    ya Israel ya Channel Two Newsjuu ya shutuma za Sudan, Waziriwa Ulinzi wa Israel Bw. EhudBarak alisema, hakuna loloteanaloweza kueleza juu ya hilo.

    Shirika la habari la Iran,

    IRNA lilisema meli iliyobebahelicopter inayoitwa Khark naile ya kushambulia inayoitwaShahid Naqdi zilibeba ujumbewa amani na urafiki kwa nchi za

    jirani na zinahakikisha usalamakatika njia za meli dhidi yamaharamia na magaidi.

    Fars news agency ilielezakuwa meli hizo zimetia nangakatika bandari ya Sudan iliyopokwenye Bahari ya Sham namakamanda katika meli hizowamepanga kukutana namakamanda wa kijeshi waSudan.

    Mwezi Mei mwaka janaserikali ya Sudan ilieleza kuwamtu mmoja aliuawa baada ya

    gari kulipuliwa katika mjiuliopo mashariki Port Sudan.Ilielezwa kuwa mlipuko huoulisababishwa na shambulizo lakombora la Israel.

    Israel haikueleza chochote

    juu ya shambulio hilo wala lilela mwaka 2009.

    Iran ilieleza Juni mwaka huukuwa ina mpango wa kuundameli zaidi za kivita na kuongezauwepo wake katika bahari zakimataifa, hasa kwa ajili yakulinda meli zake za mizigoduniani kote.

    Maharamia katika ghuba yaAden mwezi Januari walitkameli moja ya Iran iliyokuwai m e b e b a t a n i 3 0 , 0 0 0 z akemikali za mafuta zilizokuwazikiepelekwa Kaskazini mwaAfrika.

    Katika hatua nyingine, Shirikala Kijasusi la Marekani (CIA)

    limesema kuwa halikuhusikkatika shambulio hilo la Israkatika kiwanda cha silaha mjiKhartoum Sudan.

    Gazeti la al Intiba la Sudalimeandika kuwa, mkuu wa CIA

    David Petraeus aliwasiliana kwsimu na Saleh at Tayeb, naibmkuu wa shirika la kijasusi Sudan muda mchache tu baadya Israel kufanya shambulhilo na kusema kuwa Marekahaikushiriki kwa namna yeyokatika shambulizi hilo.

    Mamia ya wananchi wa Sudawalifanya maandamano mjiKhartoum kulaani mashambulhayo huku wakitoa kaulimbdhidi ya Israel na MarekaMauti kwa Israel na OndoIsrael katika ramani ya dunia.

    Hata hivyo shambulizi hila kijeshi limezusha mjadamkubwa kimataifa.

    KimbungaSandy chaua38 Marekani

    BAADHI ya majeruhi wa milipuko iliyotokea nchini Kenya siku za hivi karibuni

  • 7/31/2019 ANNUUR 1043

    6/12

    6 AN-NUURDhuul-Hijja 1433, IJUMAA NOVEMBA 1-7 20Makala

    BOKO Haram ilianza mwaka2002 kama kundi lililojitenga laamani la Kiislamu ambalo lilizuafikra chakaramu ya kupingaelimu ya ki-Magharibi. Kundihilo halikujiita Boko Haramlakini likapewa jina hilo na watuwa kawaida na kupewa nafasikubwa katika vyombo vya habarivya Nigeria wakati kiongozi wakundi hilo Muhammad Yusufalipotangaza na kueneza kuwaBoko (vitabu, elimu ya ki-magharibi) ni haram. Baadhi yasababu alizotoa ni kuwa (elimuhiyo) inatoa nadharia ambazo nikinyume cha kanuni za Uislamu.Mfano ni nadharia ya kubadilikamaumbile (kama chanzo cha

    binadamu-kwamba binadamukatokana na nyani). Katikavitabu vya sayansi vya Magharibiambavyo vinaondoa mikonoya Mungu katika kuumbwa

    binadamu na ulimwengu wote.Alisema nadharia hii inapinganana msingi muhimu wa Uislamuambao unamwona Mungukuwa ni muumba wa dunia naulimwengu wote.

    Pia alitoa sababu ya kuharibikakwa maadili ya vijana ambaowanasoma shule za ki-Magharibikwa mfano kuvaa nusu uchi,kufanya mapenzi ovyo, ulevi nautumiaji wa madawa ya kulevya.Pia aliikosoa elimu ya Magharibikuwa haisaidii katika kuondoatatizo la kukosa kazi miongoni

    mwa vijana wa Nigeria, nahivyo inawanyima muda waowa kujifunza kuingia katika kaziza mikono.

    Fikra yake ilipingwa nawanazuoni wengi wa Kiislamu

    pa mo ja na wa al im u wa kewa zamani ambao waliionaelimu ya Magharibi kama mtiwenye miiba ambao una uzurina ubaya wake, na kuainishakuwa Uislamu unaruhusu nakuhimiza kutafuta elimu katikamapana yake yote. Licha yakuwa juhudi za wanazuonihawa kumrudisha katika mstariulionyooka zilimwelekea kiziwi,aliendelea kujitwalia wafuasi,hasa miongoni mwa vijana,ambao wamekubwa katikawimbi la umasikini na kukosakazi. Wengi wanasemekanawalikuwa wameacha shule nakuanza kufanya vibarua naumachinga. Wengi walichanavyeti vyao vya kumaliza shulelicha ya kuwa katika mahojianona BBC, Idhaa ya Kihausa,Yusuf alikanusha kuwaambiawafuasi wake wachane vyetivya shule.

    Kundi hilo liliendelea kuenezafikra yao na pia kutaka kuundwedola ya Kiislamu Kaskaziniya Niger ia ( i t akayowekamfumo sahihi wa elimu usiona nadharia za kudai kuwa

    binadamu kato kana na nyanina itakayompa mtoto maadili

    Vianzio halisi vya harakati ya Boko Haram(Imewekwa katika mtandao

    Januari 23, 2012) Angalizo: Mada hii haina nia ya kutetea harakati ya Boko Haram

    ambayo mimi na Waislamu wengi wengine tunaafiki ni uhalifu wamipaka iliyowekwa na Uislamu. Mada hii ni jaribio la kuelewa chanzocha vitendo vikubwa vya uhalifu vinavyofanywa na kundi hilo ambalolinasitisha maisha ya watu wasio na hatia kila siku, kuzuia maishaya pamoja kwa amani na kuhatarisha usalama wote wa taifa nchiniNigeria na umoja wake.

    mema). Waliendelea kufanyashughuli zao kama kundi laamani na kusaidiana hadi polisiwalipoua wanachama wao kama14 hivi katika msafara wa mazishi(walikuwa wakienda mazikoni

    polisi wakawashambulia).Polisi walitumia kisingizio

    kisicho na mashiko cha kutovaakofia ya kukinga ajali.

    Kiongozi wa kundi hiloaliandika barua kadhaa kwaGavana wa Jimbo la Borno naKamishna wa Polisi wa Jimbohilo. Alitoa madai ya kulipwafidia kwa familia za waliouawanje ya sheria na Polisi wakati wamsafara wa mazishi. Alifuatilia

    bar ua yake kwa kuwaendeaWakuu wa Polisi lakini mwitowake uliangukia viziwi. Halafuakafanya mikutano kadhaa naInspekta Jenerali wa Polisiwakati wa utawala wa YarAduaaingilie kati, lakini hadi sasahakuna kilichofanyika kwawatuhumiwa wa mauaji hayo.

    Alianza kupeleka vitisho kwaserikali na polisi. Aliipinga kwanguvu serikali ya YarAdua nakumwita YarAdua kuwa nimkandamizaji na kuitangazaserikali yake kuwa haitendi haki.Kwa viongozi na wanazuoniwa Kiislamu ambao walipingavitisho vyake dhidi ya serikali,aliwaita ni wanafiki na hata

    kuwaita baadhi yao si waumini.Yeye na wanachama wakewakaanza kujitwalia silaha hukuwakiungwa mkono na wengiwaliokuwa wana kinyongo dhidiya unyangau wa usimamiajihaki miongoni mwa polisi wa

    Nigeria.Anasemekana kuwa alikuwa

    anaungwa mkono hata na wasioWaislamu ambao walimwekeadhamana mara kadhaa akiwaameswekwa ndani na polisikwa maelezo kuwa anahatarishaamani kutokana na vitisho vyakekwa serikali ya YarAdua.

    Kwa mujibu wa Dk. AliyuTilde, Kuwa na silaha ni jinai,kosa kubwa sana, kwani ikiwakwa sababu yoyote ile Wanigeriawote milioni 165 wataamuakutwaa silaha, kutakuwa naumwagaji damu usioisha ambaohautamfurahisha Mungu kwahali yoyote ile.

    Serikali ina wajibu kwawananchi wengine kulidhibitikundi hilo. Katika kudhibiti palewanapovuka mpaka, serikali hatahivyo ilitakiwa izingatie sheriana kuheshimu haki za msingiza raia. Inaweza kuwakamatana kuwafungulia mashitakaviongozi wa BH na wanachamawake kwa uhaini, kuwa nasilaha, n.k. Lakini utawala waYarAdua haukufanya yote hayo,na badala yake ukaamua kuwaua

    wanachama wa kundi hilo. Kamaserikali ingefuata mustakabaliwa sheria na kuufuatilia kwasubira muda wote ilipokuwainazozana na kundi hilo, mamboyasingefika yalipofikia. Lakiniilitanguliza kukosea, na kosalake lilililazimisha kundi hilokuingia katika hatua ya mkakatiwa hatari wa kufanya shughulizake kwa kificho.

    Dk. Aliyu alisema pia kuwaTusisahau amri ya kuwamalizaambayo Rais YarAdua alitoakwa majeshi ya usalama asubuhiile akiondoka kwenda Brazil.Alifikia kuweka muda kuwa hadisaa kumi jioni siku hiyo, kazi

    hiyo iwe imemalizika (yaanivijana wa Boko Haram wotewawe wameshauliwa). MjiniMaiduguri, serikali iliazimiakuteketeza kundi hilo bilakutumia mfumo wa kisheria.Dunia ilishuhudia jinsi makao yao(makuu) yalivyosambaratishwana wanajeshi; MuhammadYusuf, kiongozi wao aliuawa(nakala ya mahojiano yakena polisi inapatikana katikamtandao); Muhammad Foi,mwajir iwa wa zamani waMkuu wa Polisi wa eneo hilo,alipigwa risasi barabarani baadaya kukamatwa.

    Muhammad Fugu, babamkwewa Muhammad Yusuf ambaye

    hakuwahi kushiriki katikkundi hilo alitangazwa kuwanatafutwa na polisi. Alifik

    mwenyewe katika kituo chpol isi na kuuawa hap o hapbi la ku ho jiwa , il a tu ku wmwanafamil ia na mke wMuhammad Yusuf. Polisi n

    jeshi waliendelea kuua yeyoambaye alikuwa anafanana nwanachama wa BH kiasi kuwwatu wakaanza kunyoa ndevwote kwa pamoja, n.k. (kwsababu ilikuwa ukionekanuna ndevu za ki-Answaaunauliwa).

    Of i sa mwandamiz i wpol is i ak ari po ti wa ka ti kmagazeti akisema kuwa hawekuhakikisha maisha ya myeyote anayeonekana ana shara(ndevu mashavuni). Wenwalikamatwa pamoja na wak

    zao. Wamebakia jela hadi sabila kufiki shwa mahakamanKuua wafuasi wa kundi hindiyo mkakati halisi wa serikakatika kukabiliana na kundi hilMkanda wa video wa mauaya Bw. Yusuf nje ya sherulisambazwa kila mahali, lakihakuna mtu aliyekamatwa nkuadhibiwa kwa jinai hiyo.

    W a k a t i k u n d i h i llikiandamana katika kituo ch

    po li si ch a Ba uc hi ha ik uwsababu ya kuzua ulazima wkuingia vitani moja kwa monao. Mjini Bauchi inakisiwkuwa zaidi ya wanachama 7wa kikundi hicho waliteketezwkatika maskani yao nyuma yuwanja wa ndege. Inaelek

    walikuwa hata hawana habari yugomvi uliozuka katika kituo ch

    polisi cha Dutsen Tanshi ambulikuwa umeanza asubuhi. Hakufikia jioni, kamishna wa kamaalum jimboni aliongozkundi la mawakala wa serikawaliosambaratisha kituo hichna matingatinga. Wasafikatika kituo cha Yankari Pamjini Bauchi walishuhud

    jinsi wanachama wanane wasna silaha walivyokamatwa nkuuawa hapo hapo na wanajeswakati wakipanda basi kwendMaiduguri. Gavana wa jimbo, IYuguda, akataka kujitwalia si

    baadaye kwa jinsi serikali yakilivyopambana kikamilifu nkundi hilo katika jimbo lake.

    Dunia i l i l aani v i t endhivyo vya kikatili vya utawawalivyoonyesha. Serikaikaomba radhi kwa Umoja wMataifa baada ya kulaaniwkwa kukiuka haki za binadamikiahidi kuwa waliofanya hivywatafikishwa mbele ya sheriUkweli ni kuwa hawakufanylolo te . Hakuna ha tua zkinidhamu zilizochukuliwdhidi ya yeyote (Polisi nwanajeshi waliouwa) hadi BokHaram walipopiga bomu MakaMakuu ya Polisi mjini Abumwaka 2010. Maofisa wawwa polisi wakatangazwa kuw

    Inaendelea Uk.

    WANAODAIWA kuwa kundi la 'Boko Haram' la Nigeria wakiwa chini ya ulinzi.

  • 7/31/2019 ANNUUR 1043

    7/12

    7 AN-NUURDhuul-Hijja 1433, IJUMAA NOVEMBA 1-7 201Makala/Tangazo

    Watanzania sisitutaponea wapi?

    INGEKUWA MheshimiwaMulugo ni Alhaj, vyombov y a h a b a r i v i n g e k u w avimepata karamu. Sasa hiviWaislamu wangekuwa taabankwa kejeli na Mkurugenzi waKurugenzi ya Habari Ikuluangekuwa katika wakatimgumu akijaribu kumteteaM he s h i m i wa Ra i s kwa

    mashambulizi na madongoambayo angekuwa anatupiwaakituhumiwa kuwapa Uwaziriwatu waliosoma Madrasa.

    Lakini maadhali MheshimiwaNaibu Waziri Philipo AugustinoMulugo, si Muislamu, kimyaa!Utadhani hakuna kilichotokeaukiacha zile taarifa za awaliambazo hata hivyo zilitolewa namagazeti machache tu.

    Mnamo Oktoba 18, 2012Maaskofu wa Kanisa la KKKTwalitoa tamko kali kufuatiakile kilichoitwa uchomaji wamakanisa Mbagala ambaounahusishwa na baadhi yaWaislamu. Mengi yamesemwakatika tamko hilo lililosainiwana Maaskofu 20 wakiongozwa

    na Askofu Dr. Alex G Malasusa,lakini makubwa matatu ndiyoy a n a y o j i t o k e z a . Kwa n z akutumia tukio hilo kujengahoja kuwa nchini hapa Wakristowanateswa, wanatendewa vibayana dini yao inapigwa vita. Hililimejitokeza pale tamko hilolinaposema kuwa:

    Kil ichotokea Mbagalani mateso ya Kimbari, yaanimateso ya Kanisa (Persecution).(na kwamba) Mateso haya nimatokeo ya mbegu ya maguguiliyopandwa katika bustaninjema na sasa magugu hayoyanazaa matunda machungu.

    Maaskofu hao wakionyeshamagugu n i yepi na naniwanaopanda magugu hayo

    na sasa wanawatesa Wakristowakiwa njiani kufanya mauwajikama yale ya Kimbari, Rwanda,wanasema kuwa:

    Dalili za mateso ya Kimbarikama ilivyo kwa mateso yaKanisa, zi l ianza ki tambona hazikushughulikiwa nawaliomrithi Baba wa Taifa. Dalilihizo ni kama hizi: (kwanza)Uchochezi wa wazi kuwa taifahili linaendeshwa na unaoitwaMfumokristo, na kuwa Babawa Taifa alaaniwe kwa yotealiyotendea taifa hili.

    Wanachosema Maaskofuhawa ni kuwa Wais lamuwanaodai kuwa nchi h i iinatawaliwa na Mfumokristondio wanaopanda magugukatika bustani na ndio wanaotesa

    Wakristo.P e n g i n e h a p a n i s e m e

    jambo moja, majadala huu waMfumokristo na dhana nzimakuwa serikali haina dini nakwamba mambo hayaendeshwikwa kuzingatia dini, umekuwamjadala wa viziwi. AmeandikaPadiri John Sivalon, ameandikaMohamed Said na wameandikawaandishi mbalimbali jinsiMwalimu Nyerere alivyotumiwana Kanisa Katoliki kusimikaMfumokristo ambo ndioWaislamu wanaulalamikia hivileo kwamba unakandamiza hakiza Waislamu na kuwapendeleaWakristo. Ni kweli kamawanavyosema Maaskofu hawa

    Na Omar Msangi

    kuwa Waislamu wamekuwawakileta madai kuwa nchiinaongozwa na mfumokristo.Ila Waislamu wanaposemahivyo, hawakusudii kuletauchochezi. Wanachofanya nikusema ukweli ambao umekuwaukifukiwa miaka yote i l ikuendeleza dhulma dhidi yaWaislamu. Wanachofanya nikuwatanabahisha Watanzaniakuwa ipo hatari huko mbelekama mfumo huu wa kibaguzina uonevu hautaondolewa, Hakiikasimama.

    S a s a m a a d h a l i k a m aninavyosema huu umekuwa ni

    majadala wa viziwi, kila mmojaanajifanya hamsikii mwenzake.Kwa hiyo kila mmoja akiibukaanasema lake. Katika hali hii,njia bora ni kuwa na mjadalawa pamoja. Wakae Waislamuna Wakristo kwa uwakilishi nakwa utaratibu utakaokubalikakwa pande zote mbili. Madahii ijadiliwe. Waislamu waletehoja zao kuonyesha kuwakuna mfumokristo na kwambani Nyerere aliyeusimika nakwa maana hiyo cheo hasaanachostahiki ni Baba wa Kanisa(Katoliki) lililo katika mchakatowa kumpa utakatifu. Kwa upandemwingine kama Wakristo naowanazo hoja za kuonyeshakuwa Mwalimu Nyerere hakuwa

    mdini na hakuna mfumokristo,watazileta.

    Labda hilo niliwachie haponizungumzie nukta ambayondiyo hasa lengo la makala hii.Sehemu moja katika tamko hilo laMaaskofu wa KKKT wamesemakuwa (Waislamu) wamekuwawakileta mashinikizo ya kidiniyanayoingil ia mifumo wakitaaluma na kisheria (na piakuleta)Mashinikizo ya kidini

    juu ya mfum o wa uteu zi wawatendaji wa serikali na katikaofisi za umma.

    Hivi karibuni na mpaka sasaWaislamu wanahoji utendajiwa Baraza la Mitihani Tanzania(NECTA). Wanasema, kwanza

    halionyeshi sura ya kitaifakwa sababu toka limeundwalimekuwa kama parokia yaKa n i s a h a s a u k i a n g a l i awanaozikalia zile sehemu nyetiambazo ndio roho ya NECTAna iliyoshikilia majaaliwa yawatahiniwa wote nchini.

    Pili, Waislamu wanatuhumukuwa kuna upendeleo kwaupande wa Wakristo na kwaupande mwingine Waislamuwanahujumiwa.

    Pamoja na mambo menginemengi wanatoa ushahid iwakisema kuwa NECTA imeajiriMchungaji wa kuangalia maslahiya watoto wa Kikristo lakinimpaka sasa imegoma kuajiri

    mtaalamu wa kushughulikiaSomo la Maarifa ya Uislamuna Lugha ya Kiarabu. KatibuMtendaji wa Baraza hilo Dr.Joyce Ndalichako al iwahikudai kuwa hajapewa idhini yakuajiri watumishi wapya. Taarifazilizopo ni kuwa hivi karibuniBaraza limeajiri watumishiwapya kadhaa. Je, ruhusa hiyoya kuajiri watumishi wapyaimempa maelekezo kuwa badoni marufuku kuajiri mtaalamuwa Somo la Maarifa ya Uislamuna Lugha ya Kiarabu? LabdaMaaskofu watusaidie kuuliza.

    Tujaaliye kuwa Dr. JoyceNdalichako amepewa maelekezokutoka ngazi za juu kuwamarufuku kuajiri Muislamu au

    anafanya tu mwenyewe kwaukereketwa wake wa Kikristona chuki zake binafsi dhidi yaWaislamu, je, hili Waislamuwasiliseme? Wasilalamike?

    Ingekuwa haya yanayofanywana Dr. Ndalichako wanafanyiwaWakristo, kwa maana jaaliya

    N d a l i c h a k o a n g e k u w aMchecheni, kaajiri Sheikh wakuangalia maslaha ya vijana waKiislamu, lakini kagoma kuajirimtaalamu wa somo la Divinity,Maaskofu hawa wanaosema nakuwalaumu Waislamu kuwawanaleta mashinikizo ya kidini

    juu ya uteuzi wa watendaj iNECTA, wangekaa kimya?

    Yapo pia madai kuwa kunamatat izo makubwa kat ika

    kuweka Grade Rangesambapo wahusika ni kamatinyeti isiyofahamika kanuni nataratibu za utendaji wake wasiri. Katika jumla ya tuhumani kuwa mtahiniwa Muislamuakipata kwa mfano makisi 50katika Somo la Dini ya Kiislamuanapewa D, wakati kwa makisihizo hizo 50, mtahiniwa Mkristokatika Divinity, anapewa C!!!.Kwa utaratibu huo, Muislamuakipata kwa mfano alama 65anapewa C, lakini kwa alama 65hizo, Mkristo anapata B!

    Yapo na mengi juu ya zileshule zinazotakiwa kutesa kilamwaka na jinsi yanavyofanyikamaarifa bila kujali kuwa kufanya

    hivyo kunawafanya mamiaya maelfu ya wanafunzi waKitanzania, kuteseka.

    Sasa hizi ni tuhuma na namnapekee ya kuziondoa ni kufanyauchunguzi huru na makini nakuweka matokeo yake hadharani.Kinyume cha hivyo, kutokatuhuma itachukuliwa ni kwelindio maana NECTA/Serikalihaitaki kufanyike uchunguzi nakuweka mambo wazi.

    Lakini hebu tuyaache hayokwanza, hivi karibuni tulisomakatika vyombo vya habari kuwa

    Naibu Waziri wetu wa Elimu naMafunzo ya Ufundi, MheshimiwaPhilipo Mulugo alitoa ya mwakailiyotufedhehesha Watanzania

    wote.Waziri aiaibisha serikali-

    Asema Tanzania ni Muunganowa Zimbabwe, Pemba naTanganyika. Limeripoti gazetila Tanzania Daima.

    Naibu Waziri wa Elimu naMafunzo ya Ufundi, PhilipoMulugo, amemwaibisha RaisJakaya Kikwete na taifa kwaujumla mbele ya jamii yakimataifa, baada ya kuitangaziadunia kuwa Tanzania imetokanana muungano wa v i s iwavya Zimbabwe na Pembavilivyoungana na Tanganyika.

    Imesema taarifa hiyo yagazeti na kuongeza kuwa, mbalina hilo, aliwaambia mamiaya wajumbe kutoka mataifa

    mbalimbali katika Bara la Afrikakuwa, Tanzania ilizaliwa mwaka11964.

    Ili kuonyesha kuwa linasemajambo la uhakika gazeti likakaririkauli ya Naibu Waziri Mulugoakisema:

    Wasilisho langu litakuwana sehemu sabaUtangulizi,Tanzania iliundwa mwaka 11964kwa kuunganisha visiwa vyaBahari ya Hindi vya Zimbabwena Pemba vilivyoungana nanchi ya Bara iliyokuwa ikiitwaTanganyika.

    Nuk uu hiy o ni taf isi ri yaKiswahili kutokana na kauliya Naibu Waziri Mulugo kwaKiingereza pale aliposema kwakujiamni na bila kuonyesha

    dalili yoyote kuwa alikuwaamekosea, akisema:Tanzania was formed in one

    nineteen sixty four (11964) byunifying the Indian ocean islandsof Zimbabwe and Pemba andthe mainland territory formerlyknown as Tanganyika. (- Hon.Mulugo Philipo AugustinoDeputy Minister of Educationand Vocational Training.)

    Naibu Waziri huyo alikuwaakiwasi l isha mada kat ikamkutano wa Viongozi naWataalamu wa Elimu katikaBara la Afrika, ambao ulifanyikaAfrika Kusini kuanzia Oktoba5-7, mwaka huu.

    Baada ya kusoma habari

    hizi, watu wengi walipata hamya kujua huyu Philipo Mulugni nani na historia ya kusomkwake ikoje.

    Labda ingekuwa vyemMaaskofu hawa wa KKKwanaowashutumu Waislamwanaolalamikia uteuzi wwatendaji serikalini kuwa ni wkibaguzi, wangefuatilia kusekondari ya Mbeya alikosomO Level (1990 mpaka 199

    na kule Songea Boys HigSchool alipokuwa kidato chtano na sita (1994 mpaka 1996watuambie, kile Kiingerezalichosema Mulugo na kukusema kuwa, Tanzania wformed in one nineteen sixty fo(11964) by unifying the Indiaocean islands of Zimbabwand Pemba and the mainlanterritory formerly known Tanganyika; hakuwakilisuwezo wake alipokuwa shulenUwezo ambao unajidhihirishleo na kutuletea aibu?

    Je , ka t ika Watanzanwenye elimu, katika vijana wKitanzania waliosoma, hakunwenye uwezo zaidi ambawangeimudu nafasi hiyo n

    wasingetuaibisha?Je, Waislamu wakilalamikMawaziri na watendaji kamhawa na kulalamika kuwhuenda wameteuliwa kutokanna Ukatoliki wao kutokanna mfumokristo ul iopwatakuwa wanaleta maneno yuchochezi?

    Askofu Malasusa na Maaskowenzake 19 wanasema kuwWaislamu wanaleta mashinikizya kidini yanayoingilia mifumwa kitaaluma na kisheria (na pkuleta)Mashinikizo ya kidi

    juu ya mfumo wa uteuzi wwatendaji wa serikali na katikofisi za umma.

    K u n a u t a a l a m u g a nuliotumika katika kuanda

    hotuba hii ya Mheshimiwa Naibwa Waziri Philipo Mulugo ?Kutokuhoji mambo hay

    mimi naamini ndio kulikoifanynchi hi i , kwamba pamojna rasilimali zote ilizonaztumebaki masikini miaka 5

    baada ya Uhuru na wala hakudalili ya kuonekana mwangmbele japo tunaimba kila sikhabari ya Maisha Bora kwKila Mtanzania.

    Inawezekana kama Waislamwatasoma Risala mbele yMheshimiwa Rais wakilalamikkuwa kwa nini wao ni wachachkatika Baraza la Mawaziri, katikJopo la Makatibu, MakamishnWakurugenzi, Wakuu wa Mikona Wakuu wa Wilaya, huendMheshimiwa Rais atawajibk w a m b a h a w a k u o m bWamechelewa wakati wenzaWakatoliki na Wakristo wenginwaliomba!

    T u n a c h o w a h a k i k i s h iMaaskofu hawa wa KKKT nwengine ni kuwa hata kamitabidi Waislamu waendkupiga magoti Ikulu ili nawapate haki katika nchi hilakini hawatanyanyua mikonkuwaombea nafasi za Uwazwatu ambao ni D au Cmaterial.

    Wanao vijana na wazee wkutosha wa viwango vya Ana B.

    ASKOFU Alex Malasusa

  • 7/31/2019 ANNUUR 1043

    8/12

    8 AN-NUURDhuul-Hijja 1433, IJUMAA NOVEMBA 1-7 20Habari/Tangazo

    EWE Allah ifanye historiaya maisha kuwa somo kwaviumbe.

    Ewe Allah utie nguvuUislamu kwa mmoja kati ya watuwawili; Amar bin Hisham (Abu

    Jahl) au Umar bin Khattab.Mtume (s.a.w.) al iomba.(Bakhari na Huslim).

    Mwanaume mwenye umri wamiaka ishirini na saba, akiwana upanga mkononi mwake,mwenye mwili mkubwa wenyenguvu na harara ya ghadhabu,alitoka nje ya nyumba yakekuungamiza Uislamu kwakummaliza muasisi wa Uislamu,Mtume Mtukufu (s.a.w.).

    Hata hivyo, haikudhamiriwakuwa hivyo. Mtume Mtukufu(s.a.w.) aliomba mwongozokwa mtu huyo huyo. Mtu huyoalikuwa Umar (r.a.) ambayemajaal iwa yake yal ikuwamuhimu na uongozi katikakusimamisha Uislamu.

    Alipokuwa njiani, na upangausio na ala mikononi mwakeakitembea kwa hatua ndefuzenye nguvu, alisimamishwa naMuislamu, Noim bin Abdallah(r .a.) al iye msai l i juu yaghadhabu (hasira) yake. Baadaya kuelezwa dhamira yake, Noim(r.a.) alimshauri Umar (r.a.)

    badal a ya kuwa na matar ajiomakubwa, aisafishe nyumbayake kwanza, kwani dada nashemejiye walishasilimu.

    Baada ya kusikia hayo, Umar(r.a.) alielekea nyumbani kwadada yake, alipofika alisikiaQurani ikisomwa ndani. Umaralimvaa shemeji yake na akaanzakumshambulia. Dada yakealiingilia kati na alisukumwa

    pe mb en i kw a ng uv u ki as icha kujeruhiwa kichwani, nakuvuja damu nyingi. Aliinuka nakumwambia Umar bila wasiwasi,Ewe Umar fanya unyama wako.Hatuto acha Uislamu.

    Aliposikia hivyo, alilazimishaayah ile ya Qurani asomewe.Aliposikia Ayah ile; Qurani,TAHA: 14, Hakika mimi ndiyeMwenyezi Mungu. HapanaMungu i la mimi tu. Basiniabuduni Mimi, na ushikesala kwa ajili ya kunikumbukaMimi.

    Akili zake zilimrejea. Aliombakumwona Mtume (s.a.w.).Aliongozana na Khabbab (r.a.)kwenda kumwona Mtume(s.a.w.) ambapo alieleza azmayake ya kusilimu.

    Sauti za Allahu Akbarzilishangilia maneno yale. Hilililijiri mwaka wa sita wa Utume.Mpaka leo, Uislamu unakabiliwan a u h a s a m a k u t o k a k waMaquraish, ulikuwa na wafuasihamsini na mmoja tu. Walikuwa

    bado wakichukua tahadhari kiasicha kusali kwa kificho. Kusilimukwa Umar kulibadili kabisa haliiliyo kuwepo. Kwa wasifu waujasiri wake na ushajaa wake,alitangaza hadharani kusilimukwake, aliswali ndani ya Kaabana alipambana na upinzani waMaquraish. Kwa kutangazahadharani imani yake, alipewacheo cha FAROOQ na Mtume

    AMIRUL MUMINIIN SAYYIDINA UMAR AL-FAROOQ (R.A.)(s.a.w.).

    Maisha yake ya Mwanzo:Katika maisha yake ya mwanzo,Umar (r.a.) alikuwa akichungangamia, alipo baleghe, alitumiamuda wake wa mapumziko

    kujifunza mchezo wa mieleka,kupanda farasi, ufundi wakushindana kwa vitara, (fencing)ufasaha wa kusema na elimuya nasaba. Alikuwa maarufukwa uhodari wake wa mieleka.Aidha alikuwa mpandaji hodarina farasi na aliweza kumpandafarasi bila ya kikuku (chakupandia farasi) na bila shogi.Alikuwa mmoja wa Maquraishkumi na saba waliojua kusomana kuandika. Katika ujana wake,Umar (r.a.) alisafiri sana nchiniSyria na Iran kwa ajili ya biasharazake. Kwa sababu hiyo alikuwamtu maarufu na Maquraishwalimteua kuwa Balozi waokila kulipotokea sintofahamu namakabila mengine.

    Nimesilimu na ninatakakuweka wazi kuwa kuanzia leona kuendelea nguvu zangu zotezitatumika kwa ajili ya ufanifuna ushindi. (Umar(r.a.).

    Kusilimu mpaka Ukhalifa:Jina la Al-Farooq (anaye letamabadiliko) linaashiria kuwa,kusilimu kwa Umar (r.a.) kuliletamabadiliko makubwa kwenyefikra za Waislamu. Hata hivyo,walikuwapo watu 51 tu waliorejeana wengi wao hawakudhihirishaUislamu wao. Kitendo chakwanza cha Umar (r.a.) baadaya kusilimu kilikuwa kwendana kuswali ndani ya Kaaba

    bila kificho, akikataa katakatakuzuiwa na yeyote. Hapanaaliyethubutu. Alitangaza waziimani yake, aliwaita Machifuwote wa Makkah na kuwaelezamabadiliko yaliyo mpitia.Hapana aliyethubutu kusemaneno, hata hivyo walikuwana uchungu wa kumpotezamtu hodari. Kilichofuatia nikuwaongoza Waislamu kuingiandani ya Kaaba na kusali jamaa.Hii ilikuwa swala ya kipekeendani ya Kaaba: AlimshauriMtume (s.a.w.) kuanza njia yakuwaita waumini kwenye swalaya jamaa kwa kuadhini kwasauti kubwa. Mtume (s.a.w.)aliridhia.

    Wakati wa Hijra, hakuondokakwa kificho kama watu wengine.Alifanya Tawaaf ya Kaaba nakisha akiwambia mapagani juu yania yake ya kuhamia Madina, na

    aliwakaribisha kupambana nayekama walitaka watoto wao kuwamayatima na wake zao kuwawajane. Katika kutetea njia yaUislamu, hapakuwa na mhangauliokuwa mkubwa. Katika uhaiwa Mtume (s.a.w.) alishirikikwa ari kwenye vita vyakeambavyo Uislamu ulikabiliwana alionyesha ushujaa wake.Zaidi ya ushiriki wake wa halikatika vita, pia alitoa mchangomkubwa wa mali yake katikavita.

    Masoud (r.a.) anasema,Kusilimu kwa Umar ulikuwaushindi kwa Uislamu; kuhajirikwake kulieneza ufanisi wakena ukhalifa wake ulikuwa

    ukarimu.(Al-Hadithi).Ukhalifa: Mnamo mwaka 13

    A.H., Abubakar (r.a.) aliugua, nailipofahamika kuwa maisha yakeyalikaribia ukingoni, alikabiliwana jukumu zito la kumchaguamrithi wake. Alimteua Umar(r.a.) kama kiongozi badala yakealisema:

    Ndugu zangu katika Imani,sijamteua yeyote miongoni mwandugu zangu (wa damu) au jamaazangu kuwa Khalifa. Nimemteuamtu ambaye anafaa miongonimwenu. Je. Mnamthibtisha?Bila shaka, ndiyo.

    Walipiga kelele hadharailiyokuwepo pale. Huu ulikuwauchaguzi wa Umar kuwaKahalifa.

    Kuenea kwa Uislamu chini yaUmar Al-Farooq (r.a.): Wakatiwa Mtume (s.a.w.) Uislamuulienea sehemu za mbali yaArabia. Kabla ya ustawi wake,Mtume (s.a.w.) alifariki dunia.

    Abubakar (r.a.) Khalifa wakwanza aliimarisha dola Arabialakini kabla ya kueneza dola iliyomadhubuti Mashariki ya Kati,Ghuba ya Uajemi na sehemu yaUlaya, naye aliondoka kukutanana Muumba wake. Hata hivyonia ya upanuzi wa baadayeilikuwa wazi Umar aliachiwakumalizia utekaji wa shehemuzilizo salia.

    Syria ilikuwa ya kwanzakushuhudia mapambano yak i j e s h i . Ya k i f a n y wa n aByzantines. Hawa kufikiriak u wa m p a k a s a s a j e s h i

    lisilojulikana lingeweza kuwatoanje ya himaya yao. Chini yauongozi wa Khalid bin Walid(r.a.), Damascus ilizingirwana ilibidi isalimu amri baadaya kuzingirwa kwa lengo lakutawaliwa kwa miezi sita.Madhila dhidi ya Waislamuyalikuwa makubwa lakiniwalifanikiwa kuangusha utawalawa Damascus, baada ya hapomiji ilianza kuanguka na kishaSyria yote, Palestine na Jordanzilifuata na kuwa chini yaWaislamu.

    Baada ya mfulul izo wam a p a m b a n o , W a i s l a m uwakiongozwa na Khalid binWalid, Mothanna, Abu Abeidna mwisho Saad bin Abi Waqaas(r.a.) jeshi kubwa la Uajemililipigwa hapo Cadesiya, mwaka21 (A.H.) na ardhi yote yenyerutuba ya Iraq Magharibi mwaTigris ilikuwa chini ya Dola yaKiislamu. Mfalme wa Uajemina vikosi vyake walikimbia

    Jiji lao kuu bila mapigano naWaislamu waliingia kwa ushindimiji mikubwa ya kifalme baraniAsia. Kasri nyeupe ilitwaliwa naWaislamu na utajiri wake usiofahamika ulichukuliwa. Hilililikuwa limekwisha bashiriwana Mtume (s.a.w.) miaka mingiiliyopita.

    Kikundi cha Waislamukitateka Kasri Nyeupe yaMfalme wa Iran.

    Kuelekea Kusini, kampenimahiri ya jeshi la Waislamuchini ya Amr bin Aas (r.a.)waliiteka Misri yote. Walipoiteka

    Alexandria aliendelea kwenPwani ya Kaskazini ya Afrimpaka ardhi ya Barbe

    Tripoli.Mafanikio haya ya Waislam

    na kutwaa kwa haraka ard(nchi) za kistratejia kutoka ktawala imara, yaliupa utambuUlimwengu kuwa ilikuwenguvu inayojitokeza ya Uislamkuwa zingeweza kwa wakmmoja na kwa ufanifu, ngumbili kubwa za dunia kwenmipaka miwili liliushangaUlimwengu. Mfanikio makuumajeshi ya Kiislamu yalitokana ghera yao ya kidini, imaisiyo na mipaka katika njyao, morali wa juu ya askWaislamu, ni ujasiri mkubwwa Makomando, usio na kifaJuu ya yote kiongozi alikummoja wa Washindi, aliyepankampeni (mashambulizi)_ mipango thabiti. Huyu ndiUmar Al-Farooq (r.a.) Ami

    Muminin.Ki la paha l i Wais lam

    walipopateka, walianzismtandao kamili wa UongoMahakama na Misikiti. Hapayeyote aliyelazimishwa kuMuislamu. Hata hivyo, njia maisha ya viongozi wa Kiislamkwa mujibu na mafundisho Mtume (s.a.w.), yaliwavutia rambao sio Waislamu, ambwalisilimu kwa makundi.

    Sayyidina Umar ( r .aaliwateua magavana wenu w e z o k u t a w a l a n calizozitwaa.

    TANZANIA MUSLIM PROFESSIONALS ASSOCIATIO

    Sotele Islamic Secondary School is a registered (boys & girls) boarding & day seminary with registratioNo.701. The school is located at Sotele Mkuranga district, Coast region.

    The school is inviting applications from qualified, dynamic, energetic, dedicated, experienced and performancdriven candidates from across East Africa to fill the vacancy below:

    1. Headmaster(1 Vacancy)Qualifications & Experience- Muslim male, holding a Bachelor or Masters Degrees, preferably with Education, with proven experien

    of not less than 5 years in school/college leadership position.- Strong communication and writing skills- Ability to work independently- Ability to work effectively to deadlines, in a team and sometimes under pressure

    - Successful candidate will be result oriented, able to take lead and work without supervision.- Basic working knowledge of computers will be an added advantage.Duties and Responsibilities- The selected candidate will be responsible to perform all duties of a Head of the school- To effectively oversee the academic and general administration of the school- To ensure and take care of all matters pertaining to welfare of the school- To represent the school to all outside education and legal issuesApplications must include each of the following to be considered:- Hand written and duly signed letter of application- Current resume or curriculum vitae- Photocopies of certificates and academic transcripts- Letters from two referees- Applicant current mailing address, contact telephone number(s), and e-mail addressInterested candidates should submit their applications by hand (Head office), registered mail/ courier servi

    or e-mails to:Secretary GeneralTanzania Muslim Professional Association (TAMPRO)P.O. Box 72045.Dar-es-SalaamE-mail: [email protected] or [email protected] as to reach him by 30th November 2012. Only successful applicants will be contacted for interview.

    P.O. BOX 72045, Dar es Salaam, TANZANIA.TEL+255 0655 654900, +255 713 731300

    Email: [email protected]: www.tampro.org

    SOTELE SECONDARY SCHOOLJOB VACANCY

  • 7/31/2019 ANNUUR 1043

    9/12

    9 AN-NUURDhuul-Hijja 1433, IJUMAA NOVEMBA 1-7 201Makala

    SHUKRANI zote anastahikiM we n y e z i M u n g u n arehema na amani zimfikiemjumbe wa MwenyeziMungu.

    Ama baada ya utangulizihuu ( tunasema kuwa) ,Uislamu umetofautisha katiya Imani na kutendeanamambo kwa maana yakuhudumiana. Na kwa hivyokwa wale wasio Waislamuhapana budi kutofautishakati ya mambo mawili hayaambayo ni muhimu. Jambola kwanza ambalo ni Imani,yeye atakuwa na imani yakena dini yake, na mimi ninaimani yangu na dini yangu.

    Jambo la pili ni hudumaKuhudumiana na kwa upandehuu umeniruhusu mimiMuislamu kushirikiana nayule ambaye si Muislamu,bali umeniamrisha nisaidianepamoja nae katika upeo wawema na upole na msamahana haya ndiyo yaliyokujakatika Qur ani tukufu nahadithi za Mtume zilizosahihi.

    Amesema Mwenyezi

    Mungu mtukufu, Hakika

    Uwazi wa mambo juu ya mawasiliano

    kati ya Uislamu na wengineDr. Samir Mahmoud

    juu ya wale wasiokupigenivita katika dini na walahawakutoeni katika miji yenu,kuwafanyia wema kwao nakuwafanyia usawa wao kwahakika Mwenyezi Munguanawapenda wafanyaousawa (uadilifu) ama katikahadithi tunakutana na mambomengi:-

    1. Mtume aliishi na

    Mayahudi mji wa Madina

    u b a v u k w a u b a v u n aakawekeana na mikatabambali mbali na akahimizawafuasi wa dini hii kuheshimuahad i h izo na kuachakuzivunja mayahudi.

    2. Kusaidiana na asiyeMuislamu na pia ni mwenyekuupiga vita Uislamu; hiiilionyesha wazi katika msafarawake Mtume (S.A.W) kutoka

    Makka kwenda Madina,

    kwani al imchagua mtuambaye si muislamu ili awemsindikizaji wao njiani.

    3 . K u w a t e m b e l e a ;U i s l a m u u m e r u h u s ukumtembelea asiye Muislamuna kumuona na pia kuwa namawasiliano nae. AnasemaAsmaa Bint Abubakar Swidiki(alikuja kwangu mama yangunaye akiwa si muislamu.

    Nikasema sitampokea hadi

    nipate ruhusa kwa Mtum(S.A.W) nikasema, Ewmjumbe wa MwenyezMungu, amekuja kwangumama yangu naye si muislamujee nimuunge mama yanguKwa maana ni mpokeeAkasema ndiyo muungmama yako ewe AsmaaAmesema Mwenyezi MunguNa watakapokulazimishkatika kunishirikisha mimna kitu ambacho hukijuusiwatii na ishi nao duniankwa wema.

    4. Umeruhusiwa kuomwanamke wa waliopewki tabu na h ik i nd ichkipimo kikubwa juu ymahusiano na kuhurumianni pale anapomuoa muislamum wa n a m k e a m b a y e smuislamu na akabarikkatika dini yake na bila y

    kulazimisha kuacha dini yakbali ataendelea na dini yakhiyo.

    5. Kuuza, kununuakuweka rehani na hudumunying ine . P ia u i s lamumeruhusu huduma nyinginkwa asiye muislamu kamvile kununua, kuuza nkuweka rahani na hudum

    nyingine kwa hakika amekuf

    Mtume (S.A.W) na kanzyake ya chuma ipo rehankwa myahudi mmoja.

    H u u n d i o U i s l a munaolingania juu ya mahusianmema na kuhurumiana nujirani mwema kwa muislam

    na kwa asiye muislamu.

    Vianzio halisi vya harakati ya Boko HaramInatoka Uk. 6

    wamefukuzwa kasi kwa mauajiya kiongozi wa Boko Haram.

    Kwa vile serikali iliamuakufanya mazungumzo kwarisasi na mabomu, Boko Haramikaingia mafichoni. Ilichukuamuda kuganga majeraha yake,wakajumuika na kupangamikakati kabla ya kuanza kulipakisasi ya kile Imam Shekauanasema ni Utovu wa Hakidhidi yake. Ikitafuta kulipizia,

    Boko Haram ililenga polisi, jeshina wanasiasa jimboni.

    I l ipotokeza 2010, BokoH a r a m i l i a n z a k w a n z akuwafyeka watu waliosaidiaw a t a w a l a k u w a t a m b u a .Waliouawa mapema walikuwawatawala wa jadi mitaani, woteWaislamu, wanaoitwa Lawanikatika jimbo la Borno. Kati yawanaofahamika zaidi katikawimbi hilo la mauaji ni mdogowa Shehu wa Borno, mwenyekitiwa jimbo wa chama tawala namgombea wake wa usenetakatika uchaguzi mkuu uliopita.Baada ya kuua wachache wakwanza, Boko Haram ikatoaonyo kuwa itawatafuta wote

    wa l i o wa s a i d i a wa t a wa l akuwapiga vita. Hii ni pamojana ulamaa kadhaa, watawalawa jadi, na gavana wa majimbomatatu ya Borno, Gombe naBauchi. Ikataka kuombwa radhina magavana wa majimbo hayona ikaombwa radhi na wale waGombe la Bauchi.

    Mara baada ya kundi hilokuanza mauaji ya kuchagua,Ulamaa (Viabaraka wa serikali)wakahofia usalama wao na

    hakuna hata mmoja aliyejaributena kuwalaani hadharani aukuwataja kifedheha. Wakatimmoja Boko Haram wakatoaonyo kwa yeyote ambaye atalaanihadharani vitendo vyake, ikiwani pamoja na waandishi wahabari wasiofuata maadilikuwaandika.

    Siku hiyo walipoanza mauajiyao mwaka 2009, serikali ya

    jimbo la Bauchi ilitaka na kupatafatwa kutoka kwa Ulamaa mjinihapo ambayo ilitumika kamaleseni ya kuuwa wanachamawa Boko Haram bila kufuatamkondo wa sheria. Ni Sheikhmmoja tu mwenye umri mkubwazaidi mjini hapo aliyepinga

    fatwa hiyo, akisema kuwakatika Uislamu hakuna rohoinayotolewa bila hukumu yaMahakama, Jaji. Ndiyo maana

    baadhi ya Ulamaa walitorokanchini wakati Boko Haramwaliporudi mwaka uliofuata.Gavana pia ameondoka katikanyumba ya serikali na kimsingiamehamishia shughuli zakeAbuja tangu alipopewa taarifaza kutishiwa kifo.

    S e r i k a l i i m e s h i n d w a

    kuwalinda walioipatia habariza wanachama wa kundi hilona wananchi wengine dhidi yamashambulizi hayo. Hii kwaupande mmoja inaeleza kwa niniWaislamu wako kimya kuhusuBoko Haram.

    Kwa hali yoyote ile, hakunachochote kinachoweza kuteteamauaji ya watu wasio na hatiayanayofanywa na Boko Haram.Kundi hilo limetoka katikamstari na kuingia katika hali yakuona kupingwa maoni yake nikushambuliwa. Kwa kufanyahivyo, wanaingiza hofu katikahisia za jamii na kupotezakuungwa mkono. Kutoa rai kwawanachama wake kuweka silaha

    chini na kuzungumza na serikaliwatajibu kuwa Tutawezajekuamini mazungumzo na watuambao wanakusanya silahakutushambulia.

    Jean Herkovits, Profesa wahistoria katika Chuo Kikuucha Jimbo la New York nchiniMarekani anasema Badalayake, asilimia 25 ya bajeti ya

    Nigeria kwa 2012 inaelekezwakatika usalama, licha ya kuwa

    jeshi na pol isi kwa kawaid a

    wanajibu mashambulio kwautumiaji nguvu bila mpangiliona kuua. Bila shaka, kamawanavyosema Wanigeria wengini l iozungumza nao kat ikaeneo la Kaskazini Mashariki,

    jeshi linaogopeka zaidi kulikoBoko Haram. Wanigeria wenyeushawishi mkubwa mj in iMaiduguri, ambako ni kitovu chaBoko Haram, waliitafadhalishaserikali ya Bw. Jonathan mweziJuni na Julai wasiijibu BokoHaram kwa matumizi ya nguvu

    pake yake.Hakuna chochote, aliwahi

    kusema Katibu Mkuu wa Umoja

    wa Mataifa baada ya kupigwbomu Ofisi Kuu za Umoja wMataifa mjini Abuja mwaka janambacho hakiwezi kutatuliwkwa mazungumzo. Serikani lazima ikubali kuwajibikkikamilifu na kuanza mchakawa kumaliza mzozo na kuingtena miongoni mwa jam(kwa wanachama wa BokHaram). Jamii ya Kiislamu kw

    jumla lazima iendelee kulaamauaji haya yasiyo na msinna kuchunguza shughulii zwana siasa kali zaidi vijanambao hawana busara ykuona vitu katika vivuli tofauWanahitaji kuongozwa ipasavyna viongozi wa vikundi vyavya dini na mamlaka husikVinginevyo wataenndelekutoka katika mstari unaofakijamii na kuingia taratibu ha

    pale wanapokuwa wanaota dunnzima ikiwa katika bahari ydamu ya binadamu. Bila shakhii haitamfurahisha Mungambaye amejitambulisha kamWa Huruma Nyingi.

    ( I m e f a s i r i w a k a t i kKiswahili na Anil Kija)

  • 7/31/2019 ANNUUR 1043

    10/12

    10 AN-NUURDhuul-Hijja 1433, IJUMAA NOVEMBA 1-7 20Makala

    Hivyo basi, huo ukawa ndiomwanzo wa wavamizi haokubadili alama za mji huo nakuweka za kwao kikamilifukwa kujenga mamia yamakazi, huku wakifanya uovu

    wa kuchukua maeneo ya watuna nyumba zao zilizo karibunao, hasa upande wa MilangoMikuu ya Mji Mkongwe.

    Ni wa zi ka bi sa kw et ukinachotokea leo mjini Qudsina katika Msikiti Mtukufu waAqswa, kutokana na miundombinu ya uharibifu kutokakwa wavamizi, kwani Msikitihuo unashambuliwa kila sikuna kufanyiwa njama ambazohazijawahi kutokea.

    Mpango unaohus ishautawala wa Kizayuni nav i k u n d i v y a K i y a h u d ivyenye msimamo mkali, palewanapopanga mashambulizidhidi ya Msikiti huo hadharani,ukiachilia mbali aina kadhaaza uharibifu wa ardhi, ikiwemokufungua Makan isa yaKiyahudi, kuwaingiza watalii

    bila ruhusa na kuzuia ukarabatiwa Msikiti huo.

    Hakika uharibifu wa ardhiufanywao na utawala waKizayuni karibu na Msikitiwa Aqswa, haulengi lingineisipokuwa ni kupotosha historiasahihi ya Mji Mtukufu nakuingiza Uyahudi wao. Jambolinalopelekea kila Mzayuniaonapo athari ya Kiislamukatika uchimbaji wake waardhi, hudai kuwa ipo katikaeneo la hekalu la Kiyahudi.

    Lengo lao hasa la kufanyahivyo, ni kujaribu kuukinaishaulimwengu kwamba athari zoteza Kiislamu mjini Qudsi zipokatika eneo la Kiyahudi, jamboambalo halipo wala halitokuwana ukweli wowote. Vilevilewavamizi hawa wa Kizayuni,wanaendeleza mpango waombovu wa kugeuza alama zamitaa na maeneo mengine ilizitajwe zao hapo baadae katikahistoria kiudanganyifu.

    Pamoja na ripoti ya hivikaribuni ya wataalamu wamambo ya kale kutoka Israelkusema kuwa, hawakugunduaathari yoyote ya Kiyahudi

    mjini Qudsi inayothibitishaasili au uhalali wao katikaardhi hiyo ya Palestina. Hilolinatokana na uchimbaji waokatika maeneo kadhaa ya mjihuo, lakini pamoja na ripotiyao hiyo, bado mtiririko wauadui wa Kizayuni unaendeleahadi muda huu.

    Hakika vitendo viovuvinavyoendelea kama vilewizi na kadhalika, vinauwekaulimwengu wa Kiarabu naKiislamu katika mazingatiomakubwa. Huku mazingirahatarishi dhidi ya Msikiti waAqswa yakizidi kila siku, haliinayotilia mkazo kuwepo kwa

    Uvamizi na dhuluma za Israel katika mji mtakatifu wa QudsWAVAMIZI wa Kizayuni siku zote wanajitahidikuitumia fursa ya kitaifa na kimataifa katika kupitishanjama na amri zao mpya kwa kupotosha ukweli,kupitia uwekaji wao wa historia mpya ya mji waQudsi, suala la Palestina na mtazamo wa kidini wa

    wananchi, huku wakifumbia macho miaka elfu tatu yahistoria ya Palestina. Wanafanya hivyo ili wakubalikekimataifa na hatimae kuungwa mkono katika mpangowao wa kutanua makazi ya Kiyahudi mjini Qudsi.

    mpango maalumu wa Kizayuniwa kueneza Uyahudi katikamji mtukufu pia kuubomoaMsikiti huo.

    K w a n i M s i k i t i h u o ,umeshuhudia na unashuhudiauvunjifu mkubwa wa atharizake za kale ufanywao naWazayuni, jambo lililoifanyaWizara husika ya Palestinakutaja baadhi ya uvunjifumkubwa uliofanywa tokeamwanzoni mwa mwaka huukama ifuatavyo:

    1. Ripoti ya Meya wa Qudsikiuvamizi, kuhusu kubadiliviwanja vya Msikiti Aqswa

    kuwa vya wazi, ili kuruhusuwakazi wa Kiyahudi na wataliikuingia muda wowote. Hatuahiyo imefikiwa mnamo tarehe01 Agosti 2012.

    2. Tangazo la YahudaFainshtain ambae ni Mshauriwa serikali ya Kizayuni yaIsrael nyanja ya sheria, kwambaeneo la Qudsi ni sehemu yanchi yake inayojumuishwakatika mpango wa ujenzi wamakazi pia kanuni ya mamboya kale. Hatua hiyo imefikiwamnamo tarehe 16/07/2012.

    3. Utawala wa Kizayuniumebomoa majengo kadhaa

    ya kihistoria katika eneola Saahatil Buraaq lililopo

    jirani mwa Msikiti wa Aqswa,yaliyojengwa tokea zamaza Umawiya, Abbasiya naOthmaniya, kwa lengo lakuweka kituo cha Kiyahudikikubwa chenye ghorofatano, kitachoitwa Jengo laAsili ya Mubkaa. Hatua hiyoimefikiwa mnamo tarehe 30Juni 2012.

    4. Utawala wa Kizayuniwa Israel ulianza kutekelezaujenzi mpya katika eneo lambali Kusini Magharibi yaeneo la Sahatul Buraaq, kwa

    kumwagilia ardhi ya Baatwun,huku wakipanga kujenga vyoona bafu 20 kwa watakaozurueneo hilo. Hatua hiyo imefikiwamnamo tarehe 12 Julai 2012

    5. Muendelezo wa uvamiziwa jeshi la Israel waliovaliarasmi kijeshi, katika viwanjavya Msikiti wa Aqswa, ambapouvamizi wa mwisho ukifanyikatarehe 29 Julai 2012 hukuwakizuia Wapalestina kuswali,hasa katika mwezi mtukufu waRamadhani.

    6. Kutungika vipeperushivya Kizayuni katika MilangoMikuu ya Mji Mkongwe wa

    Qudsi, vipeperushi vinavyoitwaMazuza, nao ni msamiatiwa kidini unaomaanishaunyenyekevu kwa anayeingia,ambapo atavigusa kwa mkonokisha kuubusu huku akitamkamaneno maalum.

    7. Ubomoaji wa mamboya kale uliofanywa na jeshila Kizayuni ndani ya mweziuliopita, eneo lililo chiniya Geti la Magharibi mjiniBuraaq umesababisha mwanyamkubwa katika ukuta waMagharibi. Si hivyo tu, bali

    jeshi hilo pia liliharibu njia yaGeti la Magharibi ambayo nisehemu ya Msikiti Mtukufumwa Aqswa. Hatua hiyoilifikiwa mnamo tarehe 9 Julai2012.

    8. Mpango wa ujenzi wamji wa kitalii jirani na Msikiti

    Mtukufu wa Aqswa utaoelezeariwaya ya Kiyahudi kuhusuhekalu linalodaiwa, unalengakutosheleza watalii milioni sitaifikapo mwaka 2020. Hatuaitakayokwenda sambamba naujenzi wa makumbusho yaTaurat kati kati ya mtaa Sal-waan Kusini mwa Mji wa Kale.Hatua hiyo imefikiwa mnamotarehe 1/6/2012.

    9. Ubomoaji wa nyumbanyingi za kale mjini Qudsina maeneo yake hasa katikamaeneo ya Sal-waan Kusinimwa Msikiti Mtukufu, ambapoinakadiriwa majengo hayokuwa na umri wa miaka 100,

    ubomoaji huo umefanyikakwa madai yamejengwa bilaya kibali.

    10. Kufuatia mpango wakubomoa na kuhamisha watuunaotekelezwa na utawala waKizayuni katika maeneo yamji wa kale na Qudsi, utawalahuo unatupilia mbali ujio wawachunguzi wa kimataifa ilikuchunguza hali hiyo nchiniPalestina.

    11. Jitihada endelevu zauvamizi dhidi ya wakaziwa Qudsi kwa kudanganyakununua maeneo matukufu yakihistoria, kwa jina la mali za

    Kiarabu ili kubadilisha umiliuwe wa Kiyahudi.

    12. Pamoja na kuzidi kwzoezi la ubomoaji wa Kizayunyumba za Wapalestina, pkuna juhudi kubwa ya ujenwa makazi ya Kizayuni kwlengo la kutanua ukoloni wadhidi ya Wapalestina. Hatuhiyo ilishuhudiwa zaidi hikaribuni mnamo kati ya tareh13/7/2012- 20/7/2012.

    13. Kuzidisha kwa utawawa Kizayuni uwekaji wmakaburi yao katika viwanvya Msikiti wa Aqswa nMji wa Kale, huku wakiyatomakaburi ya kihistoria yaliyopeneo la Maamani llah, hukwakiyapunguza makabuya Kiislamu yaliyopo Qudkwa kuyabomoa 200 mjiMaamani llah, kwa mad

    kwamba yapo chini ya utawawa Kizayuni, kwa mujibu wkanuni ya miliki ya waliopitHatua hiyo imefikiwa tareh11/6/2012

    14. Kugundulika kwmpango wa Kizayuni unaolengkutoa dola milioni 20 ili kujengKanisa la Kiyahudi jirani nMsikiti Mtukufu wa Aqswhuku ukiwa mji wa Qudndio wenye kipaumbele kwWaisrael. Jambo lililowafanywatenge bajeti kubwa katikkuuboresha. Huku mpango huukienda sambamba na ujenwa makumbusho ya Kiyahuitayogharimu mamilioni y

    fedha, mji huo utaokuwkatika bustani ya Israel mjiDaawud.

    15. Kuzidi kwa madai yKizayuni na taasisi za Kiyahukuhusu kubomoa MsikiMtukufu wa Aqswa ili kujengHekalu, huku mdai wa mwishwa hilo akiwa ni mjumbe wKanisa Arbih ldaad, paaliposisitiza kuwa ni lazimmpango huo utekelezwe bikujali majibu ya kisiasa au ykiulimwengu.

    Hakika uvunjifu huu whaki za binaadamu ufanyw

    Inaendelea Uk. 1

    MJI wa Qudsi,

    RAIS Mahmoud Abbas wa Palestina

  • 7/31/2019 ANNUUR 1043

    11/12

    11 AN-NUURDhuul-Hijja 1433, IJUMAA NOVEMBA 1-7 201Makala

    (Imewekwa kwenye mtandao:Januari 5, 2012)

    SERIKALI na magazeti koteduniani walielezea upigajimabomu siku ya Krismasi(2011) wa makanisa nchiniNigeria kwa Boko Haram,kundi kivuli ambalo kila siku

    linasemekana ni la Waislamuwa siasa kali waliojichimbiakatika ncha ya KaskaziniMashariki ya Nigeria. Nakweli , tangu aapishwemwezi Mei Rais GoodluckJonathan, Mkristo kutoka

    jimbo la Niger Delta Kusiniya nchi hiyo, Boko Haramimelaumiwa kila kulipotokeamapigano na umwagaji damunchini Nigeria.

    Lakini vyombo vya habarina wasimamizi wa serawa Marekani wanafukuziatishio ambalo halikamatikina halifahamiki kiyakinifu;hakuna uthibitisho kuwa kundilenye mfumo halisi, lenye

    mtazamo unaoeleweka kiitikadilinaloitwa Boko Haram kuwalipo. Ushahidi unaoanyeshakuwa pamoja na kuwa wafuasiwa awali wa kundi hilo badowapo katika harakati, makundiya kiharamia yamechukua

    jina Boko Haram kutangazakuhusika na mashambulizi

    pale inapowafaa.M a r e k a n i h a i t a k i w i

    kujiingiza katika vita dhidiya ugaidi vya Nigeria - uweni ugaidi kweli au udakuzi- ambao utaifanya Marekaniionekane inampendelea RaisMkristo. Kujiingiza katikaugomvi wa kijamii unaopanukaambao unahatarisha umojanchini humo, kunawezakuwageuza Waislamu nchini

    Nigeria dhidi ya Marekanibila kuanza kufanyika kazihata moja kati ya matatizomakubwa yanayochocheakuvurugika utengamano na

    Nigeria: Tatizo siyo Boko HaramNa Jean Herskovits

    Rais Goodluck Jonathan

    kukua kwa mifarakano yakidini nchini Nigeria.

    Mwezi Agosti, pale JeneraliCarter F. Ham, kamanda waVikosi vya Marekani kwaAfr ika, al ipoonya kuwaBoko Haram ina uhusiano namakundi yanayoshabihianana Al Qaeda, taswira ya tishioimeongezeka. Mara baada yaonyo la Jenerali Ham, MakaoMakuu ya Umoja wa Mataifamjini Abuja yalilipuliwa, namaelezo rahisi ya kulaumuBoko Haram kwa mkasaunaozidi kuongezeka wauslama nchini Nigeria ikawa

    jambo la kawaida. Mtu anayedaikuwa ni msemaji wa BokoHaram - mwenye jina ambalohakuna anayelijua na ambayehakuna aliyewahi kumfahamuau kukutana naye - ametoa

    matishio na taarifa zinazodaikuhusika na mashambulizi. Chakushangaza ni kuwa serikali ya

    Nigeria na mashirika ya habariya kimataifa vinaonekanakukubali tu anachosema.

    Mwisho wa mwezi waNo ve mb a, ka ma ti nd og oya Kamati ya Baraza laWawakilishi ya Usalama wa

    Ndani ilitoa taarifa ya kustushana kuchokoza yenye kichwacha habari: Boko Haram:Hatari inayoinuka kwa usalamawa ndani Marekani. Taarifahiyo haionyeshi kinagaubaga

    vipi hali hiyo imefikiwa, lakinihata hivyo inatoa rai ya kuwakundi hilo liongezwe katikaorodha ya makundi ya kigaidiya nchi za nje. Idara ya Afrikaya Wizara ya Mambo ya Njeya Marekani inapinga rai hiyo,

    lakini shinikizo la Bunge namamlaka kadhaa za serikalilinaongezeka.

    B o k o H a r a m i l i a n z amwaka 2002 kama kundi laamani lililojitenga. Halafu

    wanasiasa wakaanza kulitumiakwa maslahi yao ya uchaguzi.Lakini ni pale tu mwaka2009 ambako Boko Haramiligeukia utumiaji nguvu,hasa baada ya kiongozi wakekijana mhubiri wa Kiislamuaitwaye Mohammed Yusuf,alipouawa akiwa ameswekwarumande. Nakala ya mahojianokati yake na polisi inawekwakatika mtandao, lakini hakunaaliyeshtakiwa na kuadhibiwakwa jinai hiyo. Wakitakak u l i p i z a , B o k o H a r a miliwalenga polisi, jeshi nawanasiasa wa jimboni - woteWaislamu.

    I l ikuwa waz i mwaka2009, kama ilivyo sasa, kuwa

    chanzo cha machafuko nahasira iwe ni Kaskazini auKusini ya Nigeria, ni umaskiniwa kutupwa na kukosamatumaini. Raia wa Nigeriawenye ushawishi mkubwakutoka Maiduguri, ambakoBoko Haram ina maskani yake,waliiomba serikali ya Bw.Jonathan mwezi Juni na Julaiisifuatilie suala la Boko Haramkwa mabavu peke yake. Pia,

    balozi wa Marekani Terence P.McCulley amesisitiza, kipekeena matamshi ya wazi, kuwaserikali lazima itazame ufukarakijamii na kiuchumi ulio mkalizaidi maeneo ya Kaskazini.H a k u n a a n a y e o n e k a n a

    kusikiliza.Wakati huo huo, Boko Haram

    imegeuka kuwa kampunimwavuli yenye makundi yakiharamia yanayojipachika

    jina lake. Ikionyesha hali hiyo,Idara ya Usalama wa Taifa ya

    Nigeria ilitoa taarifa Novemba30 ikiorodhesha wanachamawa makundi manne ya kihalifuambayo yanapeleka vitishokwa njia ya simu kwa kutumia

    jina la Boko Haram. Wanigeriawa Kusini - siyo Waislamuwa Kaskazini - walikuwawanaendesha vikundi vitatukati ya hivyo vinne, ikiwa ni

    pamoja na kile kilichosababishaubalozi wa Marekani na balozinyingine za nje kutoa maonyo

    yaliyosomba wageni wotekutoka mahoteli ya hali ya juuAbuja. Na hivi karibuni vikosivya usalama vilimkamataMkristo kutoka Kusini ya

    Nige r ia aki wa ameva liaKiislamu akiwa anawashamoto kuchoma kanisa katikaeneo la Delta, miingilio ya mto

    Niger, Nchini Nigeria, ugaidiwa kidini una sura tatanishi.

    Haya yote hayaondoilawama kwa vitendo vya BokoHaram vya kuua watu wasio nahatia. Lakini inaleta maswalikuhusu uharaka wa kutoamaamuzi ambayo yanafichaugumu na mkanganyiko wahali halisi nchini Nigeria.

    Wanigeria wengi tayawanaamini kuwa Marekainaunga mkono serikali ya BwJonathan bila mashariti, lichya maeneo yake ya upotofWanaamini hivi kwa sababWashington ilisifu uchagumkuu wa Apr i l ambawaangalizi wa kimataiwaliona kuwa unaaminiklakini Wanigeria wengi, hasa wKaskazini, hawakuona hivy

    Pia, misaada ya Marekankwa majeshi ya usalama yNi ge ri a, li ch a ya vi te ndambavyo vimenakiliwa vyuvunjaji wa hali za binadam

    pia inakasir isha Wais lamKaskazini.

    Vitendo vya Bw. Jonathavya hivi karibuni havijasaidlolote. Aliwaambia wanancwa Nigeria majuzi kuwSuala la kulipua ni mojya mizigo ambayo itabituikubali. Katika mkesha wmwaka mpya, alitangaza haya hatari katika maeneo ymajimbo manne ya Kaskaziniliyosababisha kuongezeka kwshughuli za kijeshi katika enehilo. Na siku ya mwaka mpy

    aliondoa ruzuku ya bidhaa zmafuta, hivyo kuongeza bya mafuta mara mbili. Katiknchi ambayo asilimia 90 ywananchi wanaishi na kipachini ya dola mbili za Marekakwa siku, hasira inapandnchini kote wakati gharama zusafiri na chakula zinapandkwa kasi ya kustaajabisha.

    Tangu kurudi kwa Nigerkatika utawala wa kiramwaka 1999, wanasiasa wenwametumia mifarakano ykikabila na kanda, na mbayzaidi, dini, kwa mahitayao binafsi. Waislamu wKaskazini - na hata Wanigerwote kwa jumla - wanatakkwa hisia kali serikali ambay

    itatimiza mahitaji yao ymsingi: usalama binafsi nmatumaini ya kuinuliwa haya maisha. Wanachukizwa nsera za serikali na matumizi yfedha ambayo yanakwamishmahitaji yote mawili.

    Marekan i i s i j i r uhuskuingizwa katika mchangkuzama wa kuilenga BokHaram peke yake. WatawaMarekani tayari wanaonekanna wengi wa WaislamKaskazini -wakiwemo waambao kwa miaka mingw a n a h i s i a c h a n g a m fkuhusu Marekani - kuwwanamuunga mkono rawa Kikristo kutoka KusinMarekani ni lazima ijitahi

    kuondoa taswira ya unabunaojitimiza utakaoifanyMarekani kuwa adui yaKuiweka Boko Haram katikorodha ya makundi ya kigaikutagandisha hisia kama hizna kuwafanya Wanigeria wenzaidi kuiogopa na kutokuiamiMarekani.

    (Jean Herskovits, Profeswa historia katika ChuKikuu cha New YorkPurchase, ameandika kuhussiasa za Nigeria kuanzmwaka 1970. Makala hilichapishwa kwanza ngazeti la New York TimeImefasiriwa na Anil Kija)

    Uvamizi na dhuluma za Israel katika mji mtakatifu wa QudsiInatoka Uk. 10

    na utawala wa Kizayuni waIsrael, ni sehemu ndogo sanaya yale uyafanyayo dhidiya mji wa Qudsi na MsikitiMtukufu wa Aqswa. Kibayazaidi ni ule uchimbaji wa

    maeneo ya Msikiti huo na yaleya jirani.Msikiti Mtukufu wa Aqswa

    leo upo katika hatari kubwa yakutoweka, endapo Waislamuna Waarabu hawatosimamakidete kuuhami, watafanikiwaWazayuni lengo lao la kuwekamakazi yao. Hivyo basi,kufuatia mkakati huo Wizaraya Utalii na Mambo ya Kaleya Palestina inatilia mkazomambo yafuatayo:

    1.Yafanywayo na utawalawa Kizayuni wa Israel ,yanalenga kuingiza Uyahudina kuudhibiti mji wa Qudsi nahata ule uchimbaji wa maeneo

    jirani yake haulengi sekta ya

    kielimu bali ni ya kisiasa,ili kumdhoofisha mkazi waKiarabu.

    2 . Harakati zo te h izizifanywazo na utawala waKizayuni mjini Qudsi, ikiwemokubadili alama za Kiarabukwa kutumia gharama kubwa,hazitofaulu kufuta asili ya

    Kiarabu na Kiislamu mjinihumo, bali vyote vitabaki kamavilivyo vikielezea asili hiyo nakuzidi kupambana na uvamiziwa Kizayuni.

    3. Hakika matendo hayaya Kizayuni ni kipimo toshacha majibu ya Kiarabu naWaislamu, vilevile ukimyauliopo kutoka kwa Waislamukwa kutoinusuru Aqswa yao,ndio unaohamasisha utawalawa Kizayuni kuendelezauovu wake dhidi ya Qudsi navilivyomo.

    4. Hivyo basi, Wizara yaUtalii na Mambo ya Kale yaPalestina, inaziomba taasisizote za kitaifa na kimataifa

    kusaidia kuulinda urithi huu namji mzima wa Qudsi, kutokanana uadui pia uvunjifu wa hakiza binaadamu unaofanywa naWazayuni dhidi ya maeneohayo na vilivyomo.

    5. Wizara pia inashangazwana ukimya wa UNESCO wakati

    vitendo hivi vya uadui nauvunjifu wa haki za binaadamuvikiendelea waziwazi, hivyotunaiomba ichukue nafasi yakekatika kuyahami mambo yakale mjini Qudsi na kusitishamatendo yote ya kivamizimjini humo.

    6. Vilevile Wizara inauombaumma wa Kiarabu na Kiislamu

    popote walipo, kabla mudahaujakwisha, kuharakishakuuhami Msikiti Mtukufu waAqswa, kutokana na tamaa zakivamizi.

    (Habari hii imetolewa naKituo Cha Habari cha Palestina-Tanzania)

  • 7/31/2019 ANNUUR 1043

    12/12

    AN-NUUR12 Dhuul-Hijja 1433, IJUMAA NOVEMBA 1-7, 2012

    Usikose nakala yako ya

    AN-NUUR kila Ijumaa na

    Jumanne

    Polisi walipiga simunikachukue maiti nikagomakwa sababu wamemchukuamwanangu akiwa hai kwahivyo nilitaka arejeshehai na sio maiti, alisemaMzee Ali Kaimu.

    Kijana mmoja makaziwa Magomeni Ungujaamefariki dunia akiwamikononi mwa askari wadoria wanaosaka wahalifu,imeelezwa.

    A k i z u n g u m z a n a

    waandishi wa habari hiziba ba mz az i wa ki ja nahuyo Mzee Ali Kaimua m e s e m a m w a n a w eal iondoka nyumbanikwenda kufungua ngombeambapo alikutana na askarihao wakiwa kazini nakumchukua.

    Mzee Kaimu amedaik u w a a l i p o m f u a t amwanawe naye alipatakipigo kutoka kwa polisihao wakiwa na wenziwaowa Vikosi vya SMZ.

    Manangu aliniombashilingi 30,000 kwa ajili yakununulia godoro na yeyemwenyewe alikuwa ni20,000 kwa hivyo alikuwaana jumla ya shiligi 50,00ili akanunue gorogo lakinialipokamatwa nikajua waleaskari watazichukua waozile pesa na hawatazifikishakituoni kwa hivyo miminikazi fuata i l i anipekwa kuwa aliniita babanjoo uchukue huu mzigona n i l ipof ika po l i s iwakanipiga kweli kweli,

    alisimuliza baba huyo wakijana ambaye hivi sasa nimarehemu.

    Kijana huyo HamadiAli Kaimu mwenye umriwa miaka 20 mkaazi waMagomeni alikamatwa napolisi Oktoba 26 mwakahuu majira ya saa 11 jionina kufariki majira ya saamoja usiku .

    Mjomba wa marehemuanayejulikana kwa jinala Salim Mussa Omar

    Mmemchukua yuhaimnamrejesha maiti?

    Asema Baba wa kijana aliyeuliwaPolisi wakanusha kuhusika

    Mzee Ali Kaimu baba wa Hamad (20) ambaye anadaiwa kupigwa na vyombo vya dolana kupoteza maisha mikononi mwa polisi.

    aliyekuwa akitafutwana Polisi kwa kuhusikana kundi la kihalifulinaloendesha vuruguna uporaji la UbayaUbaya.

    Amesema, k ip igokilichosababisha kifochake, alipigwa na vijanawenzake waliomtuhumukuwa kawaibia simuna walichofanya Polisini kumuokoa asipigwezaidi.

    Hata hivyo, baada yakupokea tarifa kutokakwa daktari aliyemfanyiauchunguzi, jamaa wamarehemu Mohamed AliIdi ambaye alishiriki katikaukaguzi wa maiti hiyoalisema anasikitishwa naripoti iliyotolea akisemakuwa japo inadaiwa kuwani ya kitalamu lakini si ya

    kibinadamu.

    Huyu kijana wettumemkuta ametobolewkatika sehemu ya kichwkwa kutumia kitu chenyncha kali, ametobolews e h e m u y a b e g aametobolewa sehemya ubavuni, ana uvimbambao una rangi nyeusana uvimbe sehemya mgongoni, mguununaonyesha amepigwkipigo kilichosababishuvimbe ule.

    M a j e r a h a h a yyanaweza kuwa sababya kifo chake, Polisw a m e t u u l i a h a l a fw a n a s e m a h a k u fkwa kipigo, majeraha l i y o k u w a n a yyanatosha kuwa sababya kifo chake, alisemmwanafamilia huyo.

    A k i f a f a n u a z a i dalisema kuwa viongozwanazungumza kuwwatachukuliwa hatukwa yeyote atakayevunja m a n i , k i t e n dwalichokifanya Polis

    ni cha kusikitisha nserikali imesema yeyota t a k a e v u n j a s h e r iatachukuliwa hatua zkisheria.

    K w a k u z i n g a t ikauli hiyo ya serikaakasema: TunaiombSerikali kuwachukulihatua wale askari ambawamefanya kitendo chmauwaji wakamatawkwani serikali imesema t a k a e v u n j a a m a nakamatwe, basi na haww a l i o u w a t u n a t a k

    wachukuliwe hatua zkisheria.Kitendo walichofany

    askari ni kitendo chuvunjifu wa haki zbinadamu hivyo hatunimani na jeshi la polisi.

    Alisema kwa masikitikmwanafami l i a huyambaye ameiomba serikakuwa makini na sualla uvunjifu wa haki zbinadamu kwani je shla polisi linahatarishamani.

    Na Mwandishi Wetu

    amesema Hamad alikufaakiwa ndani ya vyombovya sheria na kwambaalimuona wakati akiwahospitalini akiwa namajeraha kichwani namichubuko sehemu mbalimbali za mwili wake.

    Hata hivyo, daktarimwenye dhamana mahospitali kuu ya Mnazi

    m o j a D a k t a M s a f i iMarijani ambae alimfanyiauchunguzi marehemuamesema katika uchuguziwao hawakuweza kupatasababu ya kifo chake kuwani kipigo.

    Pamoja na kuwaana michubuko mingimwilini lakini si ambayoimesababisha kifo chake,kwa ufupi ripoti ya awalichanzo cha kifo hakijulikanimaana hakuna jeraha

    kubwa lililosababisha kifokwani mara nyingi chanzocha kifo ni kutokwa nadamu nyingi . . . lakinihuwezi kuwaridhishawana familia maana wanafamilia wanasema mambomengi lakini wataalamu waafya ndio wenye kujua,alisema Daktari huyo.

    Uchunguzi wa mwishowa daktari ni kuwa amepatamichubuko katika sehemumbali mbali za mwili wakelakini michubuko hiyosiyo iliyosababisha kifo.

    Kwa upande wa Jeshila Polisi, Kamishna waPolisi Zanzibar, MussaAli Mussa, amesema kuwawao hawahusiki na kifocha kijana huyo.

    Kamishna Mussa amedaikuwa Ki jana Hamadni kibaka na muhalfu