21
Imani ya Waanabatisti Translated from What is an Anabaptist Christian? Palmer Becker, author Mennonite Mission Network, USA, ©2008 (revised 2010) Swahili translation (by permission) ©Joseph Bontrager, 2015

Imani ya Waanabatisti - assets.mennonites.org · ki-maadili, na ki-mahusiano, na ki-uchumi. Ubatizo wa watu wazima ulieleweka kuwa ni Ubatizo wa watu wazima ulieleweka kuwa ni ishara

  • Upload
    others

  • View
    56

  • Download
    0

Embed Size (px)

Citation preview

Imani ya Waanabatisti

Translated from

What is an Anabaptist Christian?

Palmer Becker, author

Mennonite Mission Network, USA, ©2008 (revised 2010) Swahili translation (by permission) ©Joseph Bontrager, 2015

Imani ya Wakristo wa KiAnabatisti 1

UtanguliziImaniyaki-AnabatistinajinsiWaanabatistiwanavyoamininakuishiimekuwepotangumwanzowaUkristo.Hataleo,katikamadhehebumenginahuendakatikakilatawi,wapowaaminiwenyeimaniinayofanananaimaniyaWaanabatistiwakwanza.AnabatistininamnayakuishiUkristo.KamawalipoWakristowaAnglican,Batisti,naLutheri,hivyowapoWakristowaki-Anabatisti.“Anabatisti”nijinalililoundwamaanayake“wanaobatizatena.”JinahilolilipewaWakristowakarneya16walioonakwambaubatizowawatotowachangahaunafaidambeleyaMungu.Kwahiyohaowakwanzawakabatizanakamawatuwazimajuuyaungamowaimaniyao.HaoWakristowaki-AnabatistiwalikuwawatanguliziwaWakristoWamennonitewaleonawenginewengiwadesturiyaKanisaHuru.WakristoWamennonitewaki-AnabatistiwanashikaimanisawanaWakristowengikatikamadhehebumengine.WanaaminiMunguwaUtatu,aliyemtakatifunamwenyeneema,nawanaminiwokovukwaneemakwanjiayatobanaimani.WanaaminikwambaYesualikuwanibinadamupiaalikuwaniMungu,nakwambamaandikomatakatifuyalipumuliwanaRohoMtakatifukwahiyonimsingiwaimaniyetu.WanaaminiuwezowaRohoMtakatifunakwambaKanisanimwiliwaKristo.Lakiniwakatimwinginewanashikaimanihizotofautinawengine.Waanabatistiwanawezakuitwa“tawilakushotolamatengenezoyaki-Protestant.”Walitokeawakatiwamabadilikomakubwakijamiinakiuchumi,nawalitakakuendelezamatengenezoyaliyoanzishwanaMartinLuther,UlrichZwingli,naJohnCalvin.Tangumwanzo,Wakristowaki-AnabatistiwanakazaumuhimuwakumfuataYesukatikamaishayakilasiku,nakushirikiananawenzaoKristoakiwakatikati,nakushindamigogorokwaamani.Je,unawezakujihesabukamaMkristowaki-Anabatisti?Watengenezajiwenginewalifundishakwambawokovuhupatikanakwanjiayaimaninakupitianeemapekee,lakiniwaliendeleakushikanianafikirazaKonstantinonaAgostinowalioishikarnezannenatano.WakatimwingineWamennonitewamekazamafundishoyaMennoSimonsnaWaanabatistiwakarneya16tu.KilaufufuowakanisahuonyeshamaanayakuwaMkristokwawakatiulenakatikahaliile.LakinimwishoinatubiditurudikwaYesu,ambayenimwanzonamwandishiwaimaniyetu,ilikugunduamisingiyaimaniyakwelikwawakatiwetu.ShidakubwayaUkristosikwambamadhehebunimengi,balinikwambamadhehebuyanasitakujifunzakutokakwamadhehebumengine.WakristoWaanabatistiwanapaswakujifunzakutokakwaWakristowengine,kwamfanokuhusuutawalananeemayaMungu,najinsiyakushirikikatikaduniayetu.NaWakristowenginewanawezakujifunzakutokakwaWaanabatisti,kwamfanokuhusukumfuataYesukatikamaishayakilasiku,na

Imani ya Wakristo wa KiAnabatisti 2

kufafanuamaandikokwakuwekaKristokati,nakukubaliKristokuwaBwanawamaishayote.MwiliwaKristonimmojailaviungovyakenivingi.Kamakiungokimojakinakosakushirikishakaramazakanamaoniyake,kinakuwakamachumvikilichopotezaladhayake.Katikakitabuchake,DifferentiateorDie(TofautishaauKufa),mwandishiJackTroutameandika,“Kundilisilowezakuletakaramatofautinawengine,litakufa.”Je,nikaramaganiambayoWakristoWaanabatistiwanawezakuleta,napiakunaniniwanawezakupokeakutokakwawengine?Miradiyetunamalengoyetuhubadilika,lakiniipomisingiyapekeeyaki-Anabatistitangumwanzowake,ambayohaiwezikubadilika.Je,misingihiyoyapekeeyaWakristoWaanabatistiniipi?Kitabuhikikitaelezakanunitatukuu.Nayoni:1. Yesunikiinichaimaniyetu.2. Jamiinikiinichamaishayetu.3. Upatanishonikiinichakaziyetu.

Kwamtazamowaki-Anabatisti,kuwaMkristohuunganishahayomatatu,yaanikumwaminiYesu,nakushirikikatikajamii,pamojanakuishikwaupatanisho.HayonamengineyaliyokuwamuhimukwaWaanabatistikatikamaishayaonahatakwakifochao,sasayanakubaliwanaWakristowengi.Iladesturinamafundishomenginebadoyanawakwazaaukuwatatanisha.LakiniwenginewanazidikuonamawazoyaWaanabatistikuwamsaadakatikakumfuataYesukwauaminifukatikaduniayasasa.KanunihizotatutunazoelezakatikakitabuhikizilitokananamafundishoyaHaroldSBenderkatikahotubayake,TheAnabaptistVision(MaonoyaKi-Anabatisti),iliyotolewamwaka1943kwashirikalaAmericanSocietyofChurchHistory.BenderalielezajinsianavyofafanuamisingiyaWaanabatistikatikamaandikoyao.1. UkristonikuwamwanafunziwaYesu.NikumfuataYesukatikamaishayakilasiku.2. Kanisanikuwandugukatikajamaa.WashirikikatikakanisawanajitoakwaKristo,napiawanajitoanakilammojanakwahiariyake.

3. WafuasiwaYesuwanashikamaadiliyaupendonakutolipizakisasi.Sisijinsitulivyobadilishwatunatafutakuwawapatanishinatunakataakujihusishakatikaukatilinavita.

LakinimaelezohayomatatuyalifundishwanawenginekablayaWaanabatistikuyashika.Katikakitabuhikitutaelezajinsimafundishohayoyalivyotokeanakuendelezwa,natutapendekezajinsiyanavyowezakufaakatikaduniayasasa.Halafututayafananishanamafundishomenginenatutaongezamaswaliyakujadiliana.KwelinimekazamamboyaWaanabatistiyanayotujengatunasikutajamengineyasiyofaa.Kusudilangunikutoanafasikwawanaotakakuulizanakujibuswali,“Je,Mkristowaki-Anabatistiwakweliyukoje?”

Imani ya Wakristo wa KiAnabatisti 3

Watuwengiwamenitiamoyokwakazihiyo.Lakinimanenoyakitabuhikiniyangu,najuayakuwaWakristowengiwatajikutakwanamnambalimbalikatiyamaoninamawazoninayoelezahapa.

Kanuniya1.YesunikiinichaimaniyetuYesualianzahudumayakemnamomwaka30akikusanyakundilawanafunzi.Kwakipindichamiakamitatuwanafunzihaowaliishi,nakula,nakufanyakazinaYesu.Waliangaliajinsialivyowahurumiamaskini,naalivyoponyawaliouguaugonjwa,naalivyofanyavipofukuonatena,alivyowasamehewenyedhambi,naalivyowafundishawatuwote.Wakatiwahudumahizonatenabaadayakufukakwake,Yesuakawakatikatiyaimaninamaishayao.Wakapatakumwaminikamamwalimu,namwokozi,nabwanawao,lakinitofautinawalimu,nawokozi,namabwanawenginewawakatiule.Kwawanafunzihao,kumfuataYesukulikuwazaidikulikokumwaminiaukumwabuduYesutu.MaanayakeilikuwakujazwaRohoMtakatifunakumtiiYesukatikamaishayakawaidayakilasiku.WalikuwawamejitoakwaYesunaRohoMtakatifualikuwepokatikamaishayao.KwahiyowatuwakatambuakwambawalibadilishwailikufanananaYesukatikamitazamoyaonajinsiwalivyoishi.IkiwawanafunziwaYesuwangeulizwa,naaminiwangalisema,“YesuKristondiyekiinichaimaniyetu.”Kwamiaka250baadayaKristo,WakristowaliendeleakuwananguvuyaRohowaYesukatikamaishanahudumayao.Lakinikatikakarnezilizofuata,mabadilikomengiyalitokeakatikaimaniyaKikristohatailianzakuonekanakamanidininyingine.Watuwawilihasawametokeakuwawamesababishamabadilikohayo.Mmojanimwanasiasa,mwinginenimtheologia.KonstantinonikaisariwaDolayaRumi.Baadayakuonamaonoyamsalabamawinguni,akaachakuwatesaWakristonaakatangazaUkristokamanidinirasmiyaDolayaRumi.Lakini,kuanziautawalawakenakuendelea,Wakristowalianzakupimwakufuatananaimaniyaowaliyoshikakulikomaishayaowalivyoishi.Agostino,mtheologia,alitokeabaadayaKonstantino.AliongokakwanamnayaajabunawenginewamemwitamtheologiamkuuwaKanisalaMagharibi.Lakinikidogomaononamabadilikoyalitokeatofautinawanafunziwakwanza.BadalayakukazamaishanahudumayaYesu,KanisalilianzakutiamkazozaidikatikakifochakeYesu.ImaniyaMitume,iliyoandikwawakatihuo,haitajimafundishonakaziyaYesu.Badalayakusema“Yesunimsingiwaimani,”wafuasiwaAgostiniwalipendakusema,“KifochaYesunimsingiwaimaniyetu.”Mabadilikomakubwayalitokea.Wakristowakwanzawaliteswanakujikusanyakuabudukisiri,sasawalikutanakatikamakanisamakubwa.Walioaminiwakatiwakanisalakwanzawalifundishwahalafukubatizwakamawatuwazimajuuyaimaniyao,nakujiungana

Imani ya Wakristo wa KiAnabatisti 4

ushirikawawaaminio.Sasawaliwabatizawatotowachanga,nawalihesaburaiawoteisipokuwaWayahudikuwaniwashirikikatikakanisalililojijunganaserikaliwanchi.WakatikanisalakwanzalilielekezawashirikikumfuataYesu,sasalilikazamafundishonamatendoyaibada,nakujilindanamaaduiyao.Wakristowakwanzawalishuhudiaimaniyaokwamajirani,sasauinjilistinikupanuamipakaya“DolayaKikristo.”NakatiyaWakristowakwanzawengiwalikataakuingiajeshini,wakatiwakifochaAgostinowalikuwaniWakristotuwaliruhusiwakuingiakatikajeshilaKirumi.Katiyamiaka1200na1500baadayaKristo,kulikuwanawatunavikundimbalimbaliwalianzakutambuakwambakanisalilikuwalimeachananamafundishojuuyawokovunakanisajinsiyalivyofundishwanakanisalakwanza.Katiyahaowatengenezaji,alikuwamtawawakijerumani,aliitwaMartinLuther,aliyekuwaamesomeshwatheologianamaoniyaAgostino.WenginewalikuwaUlrichZwingli,mchungajiwaKiswisi,naJohnCalvin.Haowanateolojiawalitokezamabadilikomakubwa.Lutherhasaalikwazwanadesturinamatendoyamakuhaninamapapakwajinsiwalivyotoamsamahanaukombozikutokapurgatorikufuatananamatendoyawatu,nawaliuzavyetivyamsamaha.Tarehe31Oktoba,1517,Lutheraliwekamaoniyakekatikamaneno95aliyopigakwamsumalimlangonimwakanisakuuhapoWittenberg,Ujerumani.Tendohilolilianzishamatengenezoyaki-Protestant.LuthernaZwingliwalikubalikuwamaandikopekeeyanamamlakakuhusuimaninamaisha,nawakasisitizakwambawokovunikwaneemakupitiaimanitu.Lakini,wokovuhuoulielewekakuwanakusudilakuletauzimawamilele.Wenginewanauitawokovuwarohobadalayawokovukamili.WalifundishakwambaWakristowanapaswakumtumikiaMungunamajirani,lakinihawakukazaumuhimuwakumfuataYesukatikamaishayakilasikunaushirikianonaWakristowenzao.WanafunziwachachewaUlrichZwingli,wakiwemoConradGrebel,FelizManz,naGeorgeBlaurock,waliishimjiwaZurich,Uswisi,nawalikutanakilawakatikwakuisomaBiblia.Wakatihuohuo,wenginekatikanchizaUjerumaniwaKusininaMoravia,kamaHansHut,HansDenk,PilgramMarpeck,naJakobHutterwalikuwawanatafutamafundishoyaBibliakuhusumaswaliyawokovu.BaadayeakatokeaMennoSimons,aliyekuwaametokakatikaukuhaniwaKirumi,nayeakafundishanakukusanyavikundivyawaaminiwaliotokeanchiyaUholanzi.HaowanafunziwaBibliawaliendeleakusomajuuyaYesunawanafunziwake.NenokuukwawengililikuwaWaebrania12:2,“TumtazameYesualiyeanzishanaanayekamilishaimaniyetu.”NenokuukwaMennoSimonslilikuwa1Wakorintho3:11,“Kwamaanahakunamtuanayewezakuwekamsingimwingineisipokuwauleuliokwishajengwa,ambaoniYesuKristo.”Pamojanamanenohayo,walionakwambamwenendowakikristojinsiunavyoelezwakatikaHotubayaYesuMlimani(Matayo5-7)nimaishayakawaidakwaMkristo,anayeishikwauwezowaRohoMtakatifu.

Imani ya Wakristo wa KiAnabatisti 5

WakristowakwanzawaKi-AnabatistiwalikubaliImaniyaMitumenamengikatikamahubiriyaLuthernaZwingli,lakiniwalidaikwambamafundishoyaoyanapunguaimaniyakibiblia.Kwafundishola“kuhesabiwahakikwaimani”(Warumi5:1)waliongeza“kuzaliwamarayapili”(Yohana3:3).WalikubalikwambawokovunikwaneemayaMungu,lakiniwalikazaumuhimuwautiikwaupandewawaamini.WalisisitizakwambawokovukupitiaYesunakwanguvuyaRohoMtakatifu,lazimautabadilishamaishayamtu,ki-maadili,naki-mahusiano,naki-uchumi.Ubatizowawatuwazimaulielewekakuwaniisharayawokovuhuunakuonyeshakwambamaishayamtuyamebadilishwa.KamaungaliulizahaoWakristoWaanabatistiwakwanza,wangalijiunganawanafunzawakwanzawaYesukwakusema,“Yesundiyekiinichaimaniyetu!”Je,nenohililatuhususisileokwavipi?Wakristowaki-AnabatistiwanaelewaYesunikiinichaimaniyaokwanjiahizitatu:

1.TunamfuataYesukatikamaishayetuyakilasikuUkristoninini?NikujisikiakuwanikaribunaMungu,aukukubalimafundishofulani,aukuhesabiwahakimbeleyaMungu?Hayoyotenisawa,lakinizaidiyahayo,maanayakuwaMkristonikumfuataYesukatikamaishayakilasiku.WakristowaKi-Anabatistiwanasemakuwa,“UkristoniUanafunzi!”NenolakijerumaniniNachfolgeChristiau“kumfuataKristo.”KatiyaWaanabatistiwakwanzaalikuwaniHansDenk,aliyesema,“MtuhawezikumjuaKristokweliisipokuwaanamfuatakatikamaishayakeyakilasiku;namtuhawezikumfuataKristokatikamaishayakeyakilasikuisipokuwaanamjuakweli.”MaanayawokovukwadesturiyaWaanabatistinikubadilishwakutokamaishayazamanihatakwamaishayanayoonyeshanianamatendoyaYesu.WokovusibadilikotukatikajinsiMunguanavyotuona.PianibadilikokatikanianamatendoyetumbeleyaMungu,nakwawatu,nambeleyadunia.BadilikohilolinawezeshwanaRohoMtakatifuanayekaandaniyetu,naanayewezeshawanafunzikumfuataYesuskatikamaishayaoyakilasiku.Wakristowengihatabaadayakupokeawokovuwanaendeleakudhanikwambawapaswakufanyadhambinawanashindwakuishikatikaushindinamaishamapya.Wenginewanasema,“Maishayangusitofauti,nimesamehewatu.”LakiniWakristowaki-Anabatistihawakubali.WanaaminiyakwambamafundishonaRohowaYesuanawawezeshakubadilishwanakushindanguvuzamaovu.WametiwamoyokumfuataYesukatikamamboyoteyamaishayaoyakilasiku.

2.TunafafanuaBibliakwakuwekaKristokwanzaWakristowengiwanasomaBibliawakionamamlakayasehemuzotenisawa.YaanikwamfanomanenoyaMungukwaMusakatikaAganolaKaleyanabebamamlakakwetusawanamanenoyaYesukatikaAganoJipya.Kamamtuanatafutaukwelikuhusumamboyakisiasaaukijamiikamavitaauadhabuyakifo,anayeaminiusawawaBibliaatasomaAganolaKalenakufuatamafundishoyake,hatakamaYesusalifundishamengine.

Imani ya Wakristo wa KiAnabatisti 6

WakristowenginewanafafanuaBibliawakiaminikwambaMungualijifunuakwanjiatofautikatikavipindimbalimbali.IliwawezekuelewamapenziyaMungu,inawabidikwanzakujuanikatikakipindiganinenohilolilitamka.Hivyo,wanaaminikuwamafundishoyaYesualivyofundishakatikaHotubaMlimani(Matayo5-7)nikwakipindichabaadayekatikaUfalmewaKristoatakaporudiduniani.Nakwawakatihuu,wanaaminikuwaYesuhupokeasifanaibadayetu,lakinisiutiiwetu.Wakristowaki-AnabatistiwanafafanuaBibliayotekwakuwekaKristokwanza.YesuniufunuokamiliwaMunguyamapenziyakeMungu,kwahiyowakatimwinginemafundishoyaYesuyanazidimafundishomengineyaliyotangulia.Yesumwenyewealisema,“Mmesikiawatuwakalewalivyoambiwa,…balimiminawaambieni…”(Mathayo5:21,27,31,38,43).Vivyohivyo,mwandishiwaWarakakwaWaebraniaaliandika,“Mungu,ambayeamesemazamaninababazetukatikamanabiikwasehemunyinginakwanjianyingi,mwishowasikuhiziamesemanasisikatikaMwana,….Yeyekwakuwanimng’aowautukufuwakenachapayanafsiyake….”(Waebrania1:1-3).MmishenariPeterKehleralisema,“KamaBibliainanionyeshaYesuKristotu,imenitosha!”Wakristowaki-AnabatistiwanakubaliyakwambaMaandikoyoteyanatokakwaMungu,lakinihawafuatimanenoyotekamanimaagizotu.Biblianinenolamaandishi,napiakunaRohowaYesu,natunahesabuyotekuwanamamlaka.TunafafanuaBibliakupitiaRohowaYesu.WanafunziwaYesuwanakoseaikiwawanainuanenolamaandishijuuyaRoho,auwakiinuaRohojuuyanenolamaandishi.NenonaRoholazimakushikamana.Kwahiyo,Wakristowaniayaki-AnabatistiwanaelewaMaandikokwambayanatoamaarifakuhusuMungu,lakiniwanamwelewaYesukamamamlakayamwishokuhusuimaninamaisha.YesuniBwanawaMaandikonakielelezochamaadiliyamtubinafsinayakijamii.MaandishiyotemenginehayanamamlakaisipokuwayanalingananamafundishoyaYesunaRohowaYesu.Kwahiyo,kamaMkristowaniayaki-Anabatistiatakabiliwanaswalikuhusumamboyamwenendobora,watatafutamwongozokwanzakatikamafundishoyaYesu,ndipowatasomamaandikomengineilikuelewazaidi.NaikiwasehemumbilizaBibliazinaonekanakufundishatofauti,watawekanenolaYesumbele.

3.TunamkubaliYesukuwaMwokozipamojanaBwanawetuWakristowengiwanamkubaliYesukuwaniMwokoziwaobinafsikutokadhambi,lakinihawaoniumuhimuwakumfuatakatikamaishayaoyakilasiku.WanamtazamiaYesukuwaokoakutokakatikamazoeayaomabaya,lakiniwakatiwanapokabiliwanamatatizoyakijamiiaukisiasa,wanatiimwajiriwao,aubalozi,aumkuuwajeshi,aurais.KwahiyoWakristowengileowanatiiamrizaviongoziwakiduniakulikoamrializotoaYesu.Wakristowaniayaki-AnabatistiwanaaminikwambatunapaswakutiiserikalikiasiinavyolingananamafundishoyaYesu.Kusudilaserikalinikutunzauhainataratibukatikadunia.Lakinisikamatunatiisheriazotezaserikali.Utiiwetuwakwanzanikwa

Imani ya Wakristo wa KiAnabatisti 7

YesunakwaufalmewaMungu,kwahiyoinawezekanatutapaswakutotiisheriaikiwanikinyumechamafundishonaniayaYesu.IkiwamagonganokatiyanjiayaYesunanjiazaKaisari,tunaungajibulawanafunziwakwanza,“ImetupasakumtiiMungukulikowanadamu”(Matendo5:29).Kwahiyo,Wakristowenyeniayaki-Anabatistiniwatuwaimaniwanaotafuta:1. KumfuataYesukatikamaishayaoyakilasiku.2. KufafanuaBibliakatikaRohowaYesu.3. KumtiiYesuKristojuuyamamlakanyinginezote.

YesuKristondiyekiinichaimaniyao.Je,weweniMkristowaki-Anabatisti?

Kanuniya2.JamiinikiinichamaishayetuMwanzowakaziyakeYesualiundajamiiyawanafunzi.AlimkaribishaPetronaAndreahalafuYakobonaYohanakujiunganaye.Baadayasimudamrefuwalikuwawengiwaliomfuatanakatiyahaoaliwachaguawanafunzi12(Marko3:13-19).Wakajifunza,walikula,walisafari,nakuhudumiapamojahadihaposikuyaPentekostewalikuwakiinichajamiimpyaiitwayokanisa.KatikaMatendo2waaminiwakwanzawalikutanasikukwasiku,sikatikahekalutu,balipia“wakimegamkatenyumbakwanyumba,nakushirikichakulachaokwafurahanakwamoyomweupe,wakimsifuMungu,nakuwapendezawatuwote”(Matendo2:46).KanisakatikaAganoJipyalilionyeshamaishayaliyokuwatofautinadesturizakidininakisiasazasikuhizo.Maishahayotofautiwaliyafundishanakuyafurahiakatikaeneolahekalu,piakatikavikundivyaonyumbani.Yesualielezahaliyakanisakwakutumiamfanowajamaa.HivyoilikuwawazikwambaYesualitakawanafunziwasimwaminitu,balikushirikianakatikahaliyaundugukamakatikajamaamoja.WatuwalipotazamajinsiMungualivyowafanyiakatikamakundihayonakupitiamakundihayo,wakashangaa.Wanafunziwalikuwanakarama,nania,naujasirikuendelezakaziyaYesualivyofanyaalipokuwanaokimwili.KamaungaliwaulizahaowanafunziwakwanzawaYesu,wangalikujibu,Jamiiyakikristonikiinichamaishayetu!LakinimfalmeKonstantinobadalayakukazahaliyakanisainayofanananajamaayandugunadadawaliokutananakusomaBiblia,alikazakwambakanisanikundilinalokutanakatikamakanisamakubwa.Watajiriambaowalikuwawamepingamaishayawokovu,sasawalikuwatayarikujiunganakanisalililohusikanamfalme.WatuwengiwalibatizwahatawasiokuwawanamfuataYesukweli.Kufuatananahalihiyo,badalayakanisaduniani,ile“dunia”iliingiandaniyakanisa.Kwamsaadawamamayakenakutiwamoyonaye,KonstantinoalianzakujengamakanisamakubwahukoRuminapiamahalialipozaliwanaalipokufaYesu.Haikuchukuamuda

Imani ya Wakristo wa KiAnabatisti 8

mrefumakanisayalijengwakatikakaribukilamji.Badalayakusema,“jamiiyakikristonikiinichamaishayetu,”Wakristowalianzakusema,“jengolakanisanikiinichamjiwetu.”MtheologiaAgostinoalijitahidikuwamtiifukatikamaishayakeyabinafsi,katiyawatuwaliohesabukwambawatuwoteniWakristo.YeyenawanafunziwakewalionakwambahaiwezekanikutofautishawalewaliojiunganamwiliwaKristonawenginewasiojiunga.Alisema,“lazimanganonamagugukukomaapamoja.”BadalayakutambuaKristokatikajamiiyawaaminio,AgostinoalikazakuwatunatambuaMungukatikamatendoyaibada.Imaniiliyotokeanikwambamsamahawadhambiyaasilihupatikanakatikaubatizo.Namsamahawadhambizakilasikuhupatikanakatikamisa(MezayaBwana).Karnezilizofuatailitokeaimanikatikapurgatory,nakwambamtuatawezakutokakatikapurgatorymapemakwanjiayakuombeawatakatifu,nakutoasadakakwamaskini,nakununuamsamahakutokakwapapa.Kufuatananahayo,imaniyakwambaWakristowameunganishwanaKristonapiakwaWakristowenzao,ilianzakupotea.WaliotakakumfuatanakumtiiYesunakujiunganajamiiyakikristowaliamuakuwawatawanawalikaakatikanyumbawakitengwanawatuwakawaida.IlianzakuonekanakwambahaiwezekanimtuwakawaidakumfuataYesukatikamaishayakilasikunakuishikatikajamiiyakikristo.MartinLuthernawatengenezajiwenginewalitakamwanzonikutengenezakanisakwakufuatamafundishoyaBiblia.WakajitenganakanisalaRuminakatikamahubiriyaowalikazaukuhaniyawaaminiowote.IlawengiwaliowafuataLuthernaZwingliwalikuwawakulimawaliotakakujiwekahurunautawalawamabwananawatawalawaliowatesawawakatiule.Wakulimawenginewalianzakushikasilahailikuwashindawakubwahao,naLuthernaZwingliwalitakakulindausalamanawakateteawakubwawaserikali.Nakwanjiahiyo,bilakutaka,walianzishamapatanomapyakatiyakanisanaserikali.Kwanjiiahiyo,walikwazawakulimawengiwasiwaamini.IlitokeaVitayaWakulimanahivyoLuthernaZwinglihawakufaulukutekelezamatengenezomakuujinsiwalivyotaka.WakaendeleakufuatataratibuzaKonstantinonatheologiayaAgostino,wakakubalikanisaliwekanisalaserikali.Ubatizowawatotowachangaulikuwamlangowakuingiakatikaushirikawakanisa,upangawaserikaliulitumiwakamachombochakutunzataratibu,nawalionakwambasehemuzotezaBiblia,yaaniAganolaKalenaAganoJipya,zinafafanuamapenziyaMungukwausawa.Waanabatistiwakwanza,naMennoSimonsnaye,walisikitikiajinsiMatengenezohayakutimilika.HawakutakakulirudishakanisakwataratibuziletuzilizoanzishwanaKonstantinonaAgostino.WalitakakulirudishakanisakwahaliyakelilivyokuwakatikaAganoJipya.Waliaminikwambainapasakanisakuwatofautinakutengwanataratibuzadunia.Kwasababuyamateso,ilibidiWaanabatistiwakwanzakukutanakwasiriilikusomaBiblia,kushirikiana,nakwamaombinaibada.Katikanyumbazaonakatikamahalipa

Imani ya Wakristo wa KiAnabatisti 9

kujifichamaranyingiwalimpokeaKristokatiyao.WalioanzakumwaminiYesuKristonawakaahidikumfuatakatikamaishayakilasiku,wakabatizwanakupokelewakatikakundilawaaminikamamshirikipamojanao.Vikundihivyowalitoaushuhudawanguvukatikamikoayao.MsomikutokanchiyaJapan,MchungajiTakashiYamada,alisomamaandikoyawasomiwengine62waliochunguzamwanzowaWaanabatisti.Akatambuakwamba“katikakanisalaasilipiakatiyaWaanabatistiwakwanza,jambolakipekeenikwambawalikutanakatikavikundiwalipozeakuonyananakutiananguvunahivyokuwawezeshakushuhudiambeleyadunia.”Wakristowaki-Anabatistiwalizoeakutajanguvuyakuishimaishayaliyotofautinataratibuzadunia.Walidai“maishamatakatifu”kutokakwawashirikiwotewenzao,nahasakutokakwaviongozi.WalielezakwambaMkristomwaminifuniyuleanayeishikwauongozinataratibuzaRohoMtakatifu,walasiyuleambayeamesamehewadhambizaketu.NawalioachakumfuataYesukatikamaishayaoyakilasikuaukuendeleakwanamnaisiyofuatanamnayaki-KristowakatengwanamwiliwaKristo.WaanabatistiwaliaminikuwakanisaniwaaminiwaliobadilishwanawaliokuwawamejitoakwaYesunawameahidikutembeapamojakatikaushirikano.Lakinimakanisamengine,yaki-Protestantipamojanaki-Katoliki,wakaonahayokuwanitishiokwamakanisayao.KwahiyowakawafunganakuwatesaWaanabatistiwengi.Waliokufakwakuzamishwamajini,aukukatwakichwa,aukuchomwamotonikwaajiliyaimaniyao,walizidi4,000.KatiyaWaanabatistiwakwanzazilikuweponatofautinyingi.Wenginewalikazazaidimamboyamwishowadunia.Wenginewalianzakuvuruganakutumianguvuzakidunia.Kwamfano,katikamjiwaMunster,Ujerumani,kundimojalilichaguawazee12nakuwawekabadalahalmashauriyamjinawakajitangazakuwaIsraeliMpya.Naowalianzakuongezawakenakushikasilahazaserikalikujilinda.MatendoyakundihililapembeniyaliharibusifazaWakristowaki-Anabatistinaki-Menno,nakunawenginewanaoaminisifahizombayahataleo.KwaimaniyaoyakwambaniwatuwaYesu,najinsiwalivyosaidiana,Waanabatistiwakwanzawalipatauwezowakuwawaaminifukatikaduniailiyowapinga.Kamaungaliwauliza,naaminiwangalikujibupamojanawanafunziwakwanzawaYesu,“KiinichamaishayetunijamiiambayoimewekaKristokwanza.”Katikaduniayaleo,sisiWakristowaki-Anabatistiwanaelewakwambajamiinikiinichamaishayetukwanjiahizitatu:

1.MsamahanilazimakatikajamiiYesualikujailituwenauzimanatuwenaotele.Akaombakwanguvukwamba,jinsiyeyenimmojanaBabayake,vivyonasisituwenaumojakatiyetu.Kwahiyo,ikiwasisimwili

Imani ya Wakristo wa KiAnabatisti 10

waKristotunakubalikuombeanamsamaha,tunajengaumojawakaribupamojanafaidazake.TobanamsamahazinaondoavizuizivinavyozuiaushirikianowetunaMungunakatimwetu.Wakristowaki-Anabatistiwanaaminikwambamsamahanilazimailikujenganakutunzaushirikiano.Tatizolakimsingikatiyawanadamusikukosapesa,kukosaelimu,walakukosauwezo.Tatizolakimsinginikwambatunakoseana.Tangumwanzosisibinadamu,tukiwabinafsiaukatikavikundi,tumemkoseaMungunawenzetukatikamawazonamatendoyetu.MatokeonikuvunjamahusianonaMungu,nawenzetu,hatanarohoyetundaniyetu,naulimwengumzima.Upatanishohuwezekanaiwapoupandemmojahutubukwelinakuombamsamaha.Lakinikwabahatimbayakatikaduniapasiponiayakikristomwanadamuhujaribukusahaubilamsamaha.Maranyingitunakataamatendoyetunakujiteteabadalayakutubukwelinakusamehe.

2.BibliahufafanuliwakatikajamiiWakristowengiwanaposomanakuchunguzaBibliabaadayewanatangazayalewaliyoelewawenyewekamaniukwelikamili.Nahuwakamamtuanategemeatuufafanuziwakebinafsiananzakuelewanakuelezamamboyamakosanayakubabaisha.Wakristowenginewanaaminikwambaniwachungaji,namakuhani,nawalimutuwanaowezakuelewanakuelezaMaandikokwaukweli.KwahiyowenginewanaachakusomaBiblianakutafutamaanayake.Wakristowaniayaki-AnabatistihuaminikwambailikufafanuaBibliavizuri,inambidikilamtubinafsikusomaMaandikohalafukushaurianakatikakundilawaamini.NahayoyotekwauongoziwaRohoMtakatifu.Nikawaidatukijikusanyakatikavikundi,madarasa,namikutanonatukiongozwanaRohowaKristo,tunawezakujuamaanayaMaandikonakutatuamaswaliyanayotukabili.

3.JamiinikukutanausokwausoKanisalinafanananandegeyenyemabawamawili.Bawamojanijamiikubwalikiabudu,tunakazauhusianowetunaMunguMtakatifuanayezidiakilizetu.Bawalapilinivikundividogotunapokazauhusianowetuwakaribunausokwauso.Ndegekurukahuhitajimabawayotemawili.Mahusianoyamaanahuwanikatikavikundividogovyawatuwasiozidi12.Tumeonahayowakatitukikutanakwakushauriana,aukutambuavipawavyetuvyahuduma,autukijikusanyakwakushirikianatu.Makanisayenyeuzimahuwekataratibuzakuwezeshaushirikiano.Maranyinginiushirikawavikundi.Wenginewanasisitizakwambavikundiniasiliyakanisa.

Imani ya Wakristo wa KiAnabatisti 11

Kujumlisha,Wakristowaniayaki-Anabatistiwanazoeajamiiyakikristokamakiinichamaishayao.Wanaonakwamba:1. Msamahanilazimakwaushirikiano.2. MaongezinakushauriananilazimakatikakufafanuaMaandiko.3. Vikundividogovikikutanausokwausonijambolakimsingikatikauzimawakanisa.

KumwaminiYesu,kushirikikatikakanisa,nakutendamatendomapyahujengajamiiyakikristo.Je,weweniMkristowaniayaki-Anabatisti?

Kanuniya3.UpatanishonikiinichakaziyetuMungualitumamwanaye,Yesu,iliafumbuetatizoladhambi.YesualikujakutupatanishanaMungunapiakutupatanishanawenzetu.Yesualionahaliyakuvunjikanaudhalimuzaainazote.Naaliandaanakufundishawanafunziwawemashahidiwakenakuletaupatanisho.YesualielezahatuazakupatanakatikaushirikawaimanikatikaMatayo18:15-20.Mtunawatuwaliokwazwawakutanekwanzamojamojakwakutafutaupatanishokatikatatizolinalowakwaza.Ikiwahatuahiiinashindikanahatuanyinginenikuhusishawashirikiwenginekatikakutafutaamani.KatikaHotubaMlimani,YesualifundishawanafunziwakekwambaamaninahakikatiyawatuhutokananakutafutakwanzaufalmewaMungu,nakutubumakosa,nakuwafanyiawenginekamasisiwenyewetunatakakufanyiwa.Yesualisema,“Msiwapendetuwanaowapenda.Hatawatuwamataifawanafanyahivyo.Wapendeniaduizenu,waombeeniwanaowaudhi”(Matayo5:43-48).Yesuhakusemabure,alisemakwaajiliyetu.KumfuataYesunikutendamatendomapya.Mwishowamaishayakeduniani,Yesualisema,“KamaBabaalivyonitumamimi,miminaminawapelekaninyi”(Yohana20:21).“Basi,enendeni,mkawafanyemataifayotekuwawanafunzi,mkiwabatizakwajinalaBaba,naMwana,naRohoMtakatifu;nakuwafundishakuyashikayoteniliyowaamuruninyi”(Matayo28:18-20).Baadayewanafunziwakwanzawalitokanakueneakatikaduniayoteiliyojulikanakwawakatiule.Walihubirinakufundisha,nakuishikwanjiampyailiwatuwotewapatekupatanishwanaMungunawatuwenzao.ChangamotokubwailiyowakabiliWakristowakwanzailikuwamigogoroyakikabila,nakidini,nakimilakatiyaWayahudinaMataifa.NamitumewalipoonajinsiwatuwadesturimbalimbaliwaljazwaRohoMtakatifunakupatanishwakatikajamaayaMungu,walikubaliyakwambanikupitiaimanikatikaKristotu,walasisherianataratibuzadini,watuwadesturimbalimbaliwanawezakuwamwilimmojanakuishikwaamani.

Imani ya Wakristo wa KiAnabatisti 12

KarnezakwanzabaadayaYesu,waliomfuataYesuwalikataakushikasilahazakijeshinakuiingiakatikavita.Walielewakwambawalikuwawamepewaamriyakuwapendaaduizao,walasikuwaua.“LakinivyotepiavyatokananaMungu,aliyetupatanishasisinanafsiyakekwaKristo,nayealitupahudumayaupatanisho,”alisemaPaulokatika2Wakorintho5:18.UngaliwaulizaWakristowakwanza,naaminiwangalijibu,“KupatanishawatukwaMungunakwabinadamuwenzaonikiinichakaziyetu!”Konstantinoalipoanzakuunganishakanisanaserikali,mabadilikomakuuyalitokeakatikakanisa.Yesualisema,“Ufalmewangusiowaulimwenguhuu”(Yohana18:36),lakiniKonstantinoalikuwanimfalme.Baadayamudakupita,ufalmewahiarialipotawalaYesu,yaanikanisa,ulianzakufanananaufalmealipotawalakaisari.ImaniyaWakristowakwanzawaliokuwawameshikakwanguvuilidhoofika.Katikakanisawalikuwapowatajirinawenginewalizidikuwamaskini.Wakristowalianzakutesawenzao.Waliokuwawatukuteteaamanisasawaliingiavitani.Badalayakutumianguvuzaokwauinjilisti,upatanisho,nakuwahudumiawengine,walitumiakiasikikubwachamaliyaokwakujengamakanisamakuukatikakilamkoawaUlaya.Kujengamakanisamakuuulikuwakiinichakaziyao.Agostinoalijitahidisanakuhusudhambizakibinafsikamaulevi,tamaa,michezowakamari,nauasherati.Lakinimafundishonamatendoyakekuhusuamaninahakiyalikuwadhaifukwasababukanisaliliunganishwanaserikaliyadola.Badalayakutafutakupatanishwanaadui,Agostinoalipatakuaminikwambaimaniyakikristoyahitajikujilindanaadui.Alifundishakwambakuna“vitayahaki”inayowaruhusuWakristokuingiakatikavitanakutumianguvu,ilikulindahaki.MawazohayokuhusuvitayanashikwanaWakristowengihataleo.Luther,Zwingli,naCalvinwalifanyamengimazuri.Lutheraliundampangowa“mfukowajamii,”naCalvinalijaribukuwekataratibuzakikristokatikamaisha.Lakini,kamaAgostino,walikazamsamahawakibinafsi,nakutiikwaAmri10zaMungu,lakinimafundishonamwenendoyalikuwadhaifu,juuyaneemainayobadilishamaisha,nauinjilisti,naupatanisho.Wakristowakwanzawaki-AnabatistichiniyauongoziwaMennoSimonsnawenginewalijitahidikuelewanakufundishanamnayakuishikamamwiliwaKristoduniani.WaliaminikwambawafuasiwaYesuwanawezakufanananaYesunakutendakamaYesualivyotenda,kwakaziyaRohoMtakatifu,nakwakuahidianakujiungapamoja.Waanabatistiwakwanzawalikutanakatikanyumbazaonakatikavikundi.HapowalitambuauwepowaRohoMtakatifu.WalichunguzaMaandikokamamsingiwamaishayaonakushaurianajinsiyakuishikikristo.WaanabatistiwalionaMaandikokuwani“silaha”yaopekee.Katikamafundishoyaowalikazaushirikianokiuchumi,wawenaamaninaMungu,naamanikatiyao,naamaninamaaduiyao.

Imani ya Wakristo wa KiAnabatisti 13

KutokeakwaWaanabatistikunawezakuelewekakuwaniuamshowakirohowawakatiwaMatengenezo.ViongoziwaowalifundishakuhusunguvuzaRohoMtakatifukulikowatengenezajiwengine.WaliaminikwambaniRohoMtakatifuanayewawezeshakwamaishayakumfuataYesu,nakufanyauinjilisti,nakwahudumayaupatanisho,nakuishimaishayakiroho.Waanabatistipiawalikuwawainjilistihodariwakarnela16.ViongoziwaowalidumukatikakutembeleasehemuzotezaUlayawakijaribukupatanishawatukwaMungunakwawenzao.MaelfuyawatuwaliingiakatikauhusianonaYesunawakajiunganashirikazaki-Anabatisti.ShirikahizozilitokeanakueneakatikasehemunyingizaUlaya.Pamojanahayo,Waanabatistiwalisaidiakuendelezahakikatikajamii.Vikundivingivyaki-Anabatistivilijulikanakwaajiliyajinsiwalivyoshirikianakiuchuminapiakwajinsiwalivyotafutakuletahakikwawatuwote.Wakulimawengiwalikuwawanaupingautawalamkaliwamabwanawao,naviongozinawaaminiwaki-Anabatistiwalijaribukuletamatatizohayombeleyawatawala.Katikavikundivyaowaliundajamiiiliyokuwabadalayajamiiyadolaauyamabwana.WalionahaiwezekanimtuanayemfuataYesukwelinaaliyebadilishwanaRohowaMungunakubatizwakatikamwilimmojawaKristo,kunyimamalinavifaayakekwanduguanayeishikatikashida.JinsiwalivyoelewaMaandikonajinsiwalivyoahidianakumfuataYesukatikamaishayakilasiku,Wakristowaki-Anabatistiwaliaminikwambakushirikikatikavitanikosa.Sawanawanafunziwakwanza,walikataakujiunganajeshihatakamaWaturukiwaki-IslamuwalikuwawanavamiaUlaya.Badalayakupiganajuuyamaadui,WaanabatistiwalikubalikuufuatamfanowaYesu,ambaye“alipotukanywa,hakurudishamatukano;alipoteswa,hakuogofya”(1Petro2:23).Ungaliwauliza,naaminiMennoSimonsnaviongoziwenginewaWakristowaki-Anabatistiwangalijiunganawanafunziwakwanzakwakusema,“KupatanishawatukwaMungunakwawenzaonikiinichakaziyetu!”Wakristowenyeniayaki-Anabatistiwanaaminikwambaupatanishonikiinichakaziyetukwanjiahizitatu:

1.TusaidiewatukupatananaMunguSawanaMungualivyochukuahatuakutupatanishanayekatikaYesuKristo,napiakwabinadamuwenzetu,ndivyoanavyotupelekasisikuchukuahatuakuletaupatanishohuokatikaYerusalemu,naYudea,naSamaria,nahatamwishowanchi.Munguametuwekeahudumayaupatanisho.Wakristowaleowenyeniayaki-Anabatistihutumwakuwafanyawatukuwawanafunzi,nakuwabatiza,nakuwafundishamamboyoteYesukwajinsialivyoishinakufundisha.WanatakawenginepiawamwaminiYesu,nakujiunganajamiiyakikristo,nakutendamatendomapya.

Imani ya Wakristo wa KiAnabatisti 14

Kuzaliwatenani“mtukujitoamaishayakekwakiasianavyoweza,kwaYesuKristokwakiasianavyomwelewa.”Hapoatapewamaishamapya.AtapewaniampyanaRohoMtakatifuatamwezeshakuishikufuatanananiahiyompya.KamamtuakipatanishwanaMungunamaishayakepiahubadilika.AnayemkubaliYesu,anabadilishwamawazoyake,pamojanaurafikiwakenamatendoyake.Atabadilikanakuwamtumpyakiakili,nakimoyo,nakimwili,nakijamii,nakisiasa.Nahivyowamekuwatofautisananadunia.

2.TusaidiewatukupatananawenzaoKiinichakaziyetunikuwapatanishawatukwaMungu,lakinipiakwabinadamuwenzao.Nahuendatutahitajikutafutachanzochamigogoronakuwasaidiawanaohusikakupatana.Upatanishounahitajikusikilizana,kutubukweli,kusamehebilaubinafsi,nakurudishakilichoondolewakwakiasikinachowezekana.MsamahahuondoakutazavikwazozinazotutenganaMungu,napiazinazotutenganawaaminiwenzetu.TunawezakushirikianaMezayaBwanakwasababuyamsamahatuliopokeakutokakwaMungunakutokakwawenzetu.SisiWakristoinatubidituwebarakakwawatuwotebilakujaliwalipotoka,kamaniwanaumeauwanawake,auimaniyao.Tunapokutananamigogorokatiyawatuauvikundi,inatubidituwena“niayaupatanisho”badalayahukumu.Lakinihatuwezikuongozawenginekamasisiwenyewehatutangulii.Tukiwashauriwenginekupatanishwanakubadilishwa,inatubidisisipiakubadilishwa.

3.TuwewajumbewaupatanishokatikaduniayetuUpatanishohuunganishauinjilistinausuluhisho.Wakristowenginewanasemakwambauinjilistinikiinichakaziyetu,nawenginewanasemaniusuluhisho,lakinitunaaminikwamba“upatanishonikiinichakaziyetu!”MakusudiyaMunguni“kuvipatanishavituvyotenanafsiyake”(Wakolosai1:20).Wakristowaki-Anabatistileowanakataakuingiavitanikwasababuwanaelewawokovuhuletamabadilikoyamaisha.Katikavitavyasikuhizi,wanajeshihujifunzauongo,nachuki,nauuaji.Watuwaliobadilikahawawezikujiunganahayo.Kuletaamanisikutulizamgogorotu.SisikamawanafunziwaYesutuliobadilika,tunapaswa“kupigavita”kwanguvuzotejuuyauovunaudhalimukulikowengine,ila“vita”vyetunitofauti.TunajiunganaMtumePauloalivyosema,“ingawatunaenendakatikamwili,hatufanyivitakwajinsiyamwili.Maanasilahazavitavyetusizamwili”(2Wakorintho10:3-4).Historianahaliyabinadamuhutuonyeshakwambaukatilihuzidishaukatili.Njiayapunguzaukatilinakufuatataratibuzaamaninakurekebishamamboyaudhalimuyaliyousababishaukatilihuo.Katikanyakatizotenakatikahalizotetunapaswakuiga

Imani ya Wakristo wa KiAnabatisti 15

mfanonaniayaYesu.Yesualitumiamanenoyaupendonaamani,badalayabundukinamabomu,nahivyoaliwezakuwasuluhishanakuwavutakuingiakatikajamaayaMungu.Niayetuiwe“iyohiyo…ambayoilikuwamopiandaniyaKristoYesu”(Wafilipi2:5).Suluhishonikazingumu.InatubidikutoamaishayetuiliwatuwaduniayetuwapatanishwenaMungu,nawaokwawao,hatanamaadui.LakinihakunafurahakubwakulikokuishimaishayaamaninakuongozawenginekatikamahusianoyaamanikwaMungunakwawenzao.Kujumlisha,Wakristowaniayaki-Anabatistihuaminikwambawameitwakwa:1. KupatanishawatunaMungu.2. Kupatanishawatukwabinadamuwenzao.3. Kuwawajumbewaupatanishokatikaduniayetu.

Upatanishonikiinichakaziyao.Je,weweniMkristowaki-Anabatisti?

NenolamwishoJe,tunaonajejinsiWanabatistiwanavyelewaimaniyakikristo?Mfanowaounatufundishanini?Zaidiyamiakamiamojailiyopita,ProfessorRufusJonesalisisitizakwamba“kanunikuuzanchizetu,kamauhuruwaimani,nakutengakanisanaserikali,nahiariyadini,ambayonimisingiyademokrasi,zatokakatikaimaniyaWaanabatistikatikakipindiyaMatengenezo.Haoviongoziwalielezakanunihizokwaujasirinawaliitamakanisakuwafuatakwamatendoyao.”Maelezoyafuatayo,je,yanaelezajinsiunavyoelewaimaniyakikristo?Kamandivyo,weweniMkristowaniayaki-Anabatisti!

Yesunikiinichaimaniyangu._ NamtazamaYesu,mwenyekuanzishanamwenyekutimizaimaniyangu._ NafafanuaMaandikokwakuwekaKristokwanza._ NakubaliukristowakwelinikumfuataYesukatikamaishayakilasiku.

Jamiinikiinichamaishayangu._ Naaminikuwamsamahanimsingiwaushirikiano._ NinasomaMaandikopamojanawengineilikuelewajinsiyanavyotuhusuleo._ Nakubalikwambavikunditunapokutanausokwausonilazimakatikakanisahai.

Upatanishonikiinichakaziyangu._ NimeitwakupatanishawatukwaMungukwanjiayakumwaminiYesu._ Naaminikwambaupatanishoniuinjilistipamojanausuluhisho.

Imani ya Wakristo wa KiAnabatisti 16

_ Nakataanamnazotezaudhalimunaukatili,natafutanjiazaamanibadalayavitanamashindanomengine.

Imani ya Wakristo wa KiAnabatisti 17

MaelezonaMaswalikwaMajadilianoKanuniya1.Yesunikiinichaimaniyetu

TumtazameYesu,mwenyekuanzishanamwenyekutimizaimaniyetu.(Waebrania12:2)

Wakristowengiwanakaza: WaAnabatistiwaongeza:1.KifochaYesuWakristowengiwanatianguvuhasajuuyautakatifuwaMungunahajayetuyawokovuwakibinafsi.Wanakazakwamba“Yesualikujailiafe”nahawakazisanamaisha,namfundisho,nanguvuzaRohowaYesu.Wanaonaukristohalisinimsamaha.

1.MaishayaYesuWakristowaki-AnabatistiwanakubaliutakatifunaneemayamsamahayaMungu,lakiniwanakazapia“Yesualikujailiaishi.”Kifochakeilisababishwakwasehemunajinsialivyoishi.YesuBwanaaliyefufukaanatuwezeshakumfuatakatikamaisha.UkristohalisinikumfuataYesu.

Je,unakubalikwamba“UkristohalisinikumfuataYesu”?

2.KufafanuaBibliasehemuzotesawaWakristowengiwanaangaliaMaandiko,badalayaYesu,kuwanimamlakayaoyamwisho.WanatafutamwongozokatikaMaandikokuhusuhalizamaishayao.MaamuziyaosilazimayalinganenamafundishonaRohowaYesu.

2.KufafanuaBibliakwakuwekaKristombeleWaanabatistiwanakubaliMaandikoyoteyalipumuliwayaMungu,lakiniYesundiyeufunuokamiliyaMungunamamlakayamwisho.YesualitimizaAganolaKale,nandiyekanunikwamaishanakwamaamuzi.

Elezatofautikatika“Bibliasehemuzotesawa”na“BibliayaKristombele.”

3.SerikalinimamlakayamwishoWakristowengihuaminiyakwambaviongoziwaserikaliwatokakwaMungu,kwahiyoinatupasakuwatiihatakamawanatoaamrikinyumechamafundishoyaYesuauinayopingaimani.

3.YesunimamlakayamwishoWaanabatistiwanatambuakwambaserikalihutokakwaMunguilikutunzamaishanataratibukatikaduniahii.LakiniamrizaserikalihaziwezikuzidinenolaYesuambayeniBwana.

Niuzitoganikatikamaneno,“YesundiyeBwana”?

Imani ya Wakristo wa KiAnabatisti 18

Kanuniya2.Jamiinikiinichamaishayetu

Nasikuzote…wakimegamkatenyumbakwanyumbanakushirikichakulachaokwafurahanakwamoyomweupewakimsifuMungu,nakuwapendezawatuwote.(Matendo2:46-47)

Wakristowengiwanakaza: WaAnabatistiwaongeza:1.MsamahakutokakwaMunguWakristowengiwanawekamkazozaidijuuyamsamahautokaokwaMungukulikomsamahakatiyabinadamu.Wanaaminimsamahahuletawokovuwamtubinafsinamaishayamilele.

1.MsamahakatiyaBinadamuWakristohuhitajikusamehewanaMungupamojanakusameheana.Msamahahujengaushirikianonaninjiakwamahusianoyaamani.

Je,msamahaunaletafaidaganikatikaushirikiano?

2.KufafanuaMaandikobinafsiWakristowengiwanajaribukuelewaMaandikokwaakiliyaowenyewenajinsiinavyohusumaishayao.AuwenginewanategemeazaidiwalimuauwachungajiwenyeelimuhiyokufafanuaMaandiko.

2.KufafanuaMaandikokatikaushirikaWaanabatistiwanaaminikwambauchunguziwaMaandikowamtubinafsiutakamilishwakatikauchunguziwapamojakatikavikundi.KatikakikunditunawezakushaurianakatikaRohowaYesu.

Je,kwanjiaganimnasomaBibliakwapamojakatikakanisalenu?

3.KukutanakatikamajengoyakanisaWakristowengihufikirikwambaushirikawaWakristokatikaibadanikanisahalisi.Maranyingiwanapendakuonakanisanijengo,autaratibu,auibadayaJumapili.

3.KukutanakatikavikundiWakristowaki-Anabatistiwanazoeakuonakanisakamanijamaii.Makanisayaliyohaimaranyingiyanahusianakamavikundivyaushirikiano,nawakisomaBiblia,nakushauriana,nakusalipamoja.

Ikiwavikundividogoniasiliyakanisalililohai,je,kwanjiaganivinawezakupewanafasizaidikatikakanisalako?

Imani ya Wakristo wa KiAnabatisti 19

Kanuniya3Upatanishonikiinichakaziyetu

LakinivyotepiavyatokananaMungu,aliyetupatanishasisinanafsiyakekwaKristonayealitupahudumayaupatanisho.(2Wakorintho5:18)

Wakristowengiwanakaza: WaAnabatistiwaongeza:1.KuhesabiwahakikwaimaniWakristowengiwanakazahasatabiayaMunguyautakatifunahajayetukuhesabiwahakikwaimaninakwakaziyaKristoalivyojitoadhabihu.Wanaonakwambawokovunikusamehewanakuwanauhakikakwambatutaendambinguni.

1.KubadilishwakwamaishaWakristowaki-AnabatistihukazatabiayaMunguyaupendonautunzaji.WanatamanikubadilishwanaRohoilikufanananaKristokatikamawazonamatendo.WokovunikupatanishwanaMungunakuwezeshwakuishikamaYesualivyoishikatikamaishayakilasiku.

TabiazotezaMungunimuhimu(utakatifu,upendo).Je,nitabiaganinimuhimukwako?

2.WokovuwakibinafsiWakristowengihuelewaupatanishokatiyamtubinafsinaMungu.Kufanyaamaninakujengajamiininyongezawalasiinjilihalisi.

2.MaishayaupatanishoWaanabatistiwanaonakwambaupatanishounahusumtubinafsipamojanajamiiyawatu.Uinjilistinaamanihuunganakatikaupatanishowakweli.

Je,hatuazakusuluhishakatikaMathayo18nizipi?

3.HudumayakijeshiWakristowengiwanatiimamlakayanchihatakamainaamurukinyumechamafundishoyaYesunadhamirayamtu.Wenginewanaaminikwambakuna“ukatiliunaookoa”na“vitayahaki.”Wakatiserikaliinapowaombahudumayakijeshi,wanakubalikufanya.

3.HudumayabadalaWaanabatistiwanatiimamlakayaduniahapoutiikwaKristounapowaruhusu.Watakataakushirikianaukatili.Nimuhumukurekebishaudhalimunakupatanishwanamaadui.Wanatafutasuluhubadalayanguvuzakijeshi.

Je,kunamatendoganiyanayojengaamanibadalayakutumianguvuzakijeshi?

Imani ya Wakristo wa KiAnabatisti 20

Juuyamwandishi,PalmerBecker

PalmerBeckeralisomeshwakatikavyuovyaGoshenCollege,naMennoniteBiblicalSeminary(sasaniAnabaptistMennoniteBiblicalSeminary),RegentCollege,naFullerTheologicalSeminary.Maishayakeyoteamehudumiakanisakamamchungaji,namwinjilisti,mishenari,mwandishinamwalimu.BeckerameongozaseminanyingijuuyavikundikatikakanisanaalikuwamkurugenziwaidarayamasomakwawachungajiyaHesstonCollege.Karibuniamesafirikatikanchinyingidunianiakifundishasemina.YeyenamkewakeArdyswanawatotowanewakubwa.BeckeranakaaKitchener,Ontario,Canada.

TranslatedfromWhatisanAnabaptistChristian?PalmerBecker,MennoniteMissionNetwork,RevisedEdition,2010.Itisbook#18intheMissioDeiseries,JamesR.Kraybill,editor.TranslatedbypermissionbyJosephBontrager,2015.