Upload
imaan-newspaper
View
1.640
Download
3
Embed Size (px)
Citation preview
7/23/2019 Imaan Newspaper issue 1
1/19
SSN 01 - 00005618 BEI: SH800/- KSH80/- USH1,200/- JUMATATU, APRIL 13, 2015 www.islamicftz.o
huwatoawatugizani
Hemed bin Jumaa:alinufaisha wengi kwa
elimu yake - Uk 5
Waislamu wadai usawa sera mpya ya elimu
Tumeahidi, tumetimiza
ni shahidi
Kauli ya Mwenyekiti TIF Uk. 2
ALLAHHead office, Lumumba StreetOpp: Viwanja vya Mnazi Mm oja, P. O Box 779 Dar es Salaam,
Tanzania, Tell: 255 22 2182482/ 255 222184419Fax: 255 22 2181424, E-mail: [email protected]
7/23/2019 Imaan Newspaper issue 1
2/19
www.islamicftz.o
24 Jumada Thani 1436, JUMATATUAprili 13 , 20
2
Shukrani zote anastahiki
Allah Subhaanahuu waTaala na rehma na amaniziwe juu ya mjumbe wake
Muhammad na maswahaba wakena wale wote wenye kufuata uon-
gofu alokuja nao hadi siku ya mal-ipo. Ndugu msomaji, leo ni sikunyingine muhimu sana kwetu
kama Waislam, Watanzania natasnia ya habari kwa ujumla kamailivyo muhimu kwa taasisi yetu yaThe Islamic Foundation (TIF).
Hii ni kutokana na ujio wagazeti hili Imaan ambalo unaliso-ma hivi sasa. Hakuna asiyeelewaumuhimu wa vyombo vya habarikatika ulimwengu tunaoishi. Watu
wasio na vyombo vya habari nisawa na mabubu kwa sababu ni
vig umu wengi ne kuju a bubuanafikiria nini.
Taasisi ya The Islamic Founda-tion, pamoja na huduma nyingineza kielimu, kiimani, kiafya na ki-
jamii, il iahidi kuuhudumia um-mah katika nyanja ya habari, na
tukaanza na redio mwaka 2003 namwaka 2013 kwa michango yenu
ya hali na mali tukaanzisha tele-visheni Imaan.
Gazeti Imaan ni mwendelezowa hatua ambazo The Islam icFoundation imezichukua katikahali ngumu ili kutimiza azma yetu
ya kuanzisha na kuendesha vyo-mbo vya habari ambavyo, kwa uw-ezo wa Allah, tunataraji vitakidhi
kiasi fulani mahitaji ya ummah ki-habari kwa kutoa habari za kwelina kwa uadilifu kwa kuzingatia
imani sheria za nchi yetu na misin-gi ya Uislam.
Tunawaomba kama tulivyow-aomba wakati wa kuzindua tele-
visheni Imaan na kama tunavyow-aomba kila siku kuzidi kuliwezeshagazeti Imaan kwa kulinunua, kuli-soma na kuwezesha wengine wali-pate ili sote kwa pamoja tuwezekufikia malengo ya kuanzishwakwake ambayo ni kuwatoa watukatika giza na kuwapeleka katikanuru kwa uwezo wa Allah.
Tunafahamu kuwa katikautekelezaji wa azma hii, kiubinad-amu upungufu na kasoro mbalimbali bila shaka zitakuwepo, lakini
tutafanya kila tuwezalo kufikiamategemeo yetu.
Nasaha zetu kwenu wasomajiwetu ni kuwaomba myatazamemazuri tutakayoyafanya kwa uwe-zo wa Allah na mzidi kutuombeadua na kutupa udhuru katika up-ungufu na kasoro mtakazozionahapa na pale, kwani hakika mka-milifu ni Allah subhaanahuu wa
taala peke yake.Gazeti Imaan toleo la kwanza
alhamdulilaa hilo hapo mikononimwenu hivi sasa. Tuliahidi, Tu-metimiza na Allah ni Shahidi.
Shukran,Aref Nahd - MwenyekitiThe Islamic Foundation
Kauli ya Mwenyekiti TIF
NA YUSUFU AHMADI, DAR ES
SALAAM
Waislam nchini Tanzania wamesemamambo pekee yatakayositisha harakati zaoza kudai mahakama ya kadhi ni kupatikanakwa mahakama hiyo au kukoma kwa uhai
wao na vizazi vyao.Aidha, Waislam wameukataa mpango
wa Serikali wa kurasmisha na kuipa uhala-lali mahakama feki ya BAKWATA ambayowatendaji wanateuliwa na Mufti wa taasisihiyo.
Katika tamko la taasisi za kitaifa 11 za Ki-islam lililosomwa na Sheikh Muhammad
Issa, Waislam wamesema wamechoshwana hadaa za Serikali ambayo imekuwa iki-
wapiga danadana tangu mwaka 2005 ili-poahidi kupitia ilani ya uchaguzi ya CCMkushughulikia suala hilo.
Serikali iliendelea na hadaa zake katikaBunge Maalum la Katiba baada ya WaziriMkuu, Mizengo Pinda, kuahidi kuwa Seri-kali ingewasilisha suala la Mahakama yaKadhi kwenye kikao cha Bunge la Jamhuri
ya Muungano cha Januari 2015 ili chombohicho kitambuliwe kisheria.
Serikali ilifanya hivi ili kupoza wajumbe
kutokana na baadhi yao kuhamasishanakuipigia kura ya kukataa Rasimu ya Katiba
iwapo mahakama ya kadhi isingeingizwa.Pinda aliahidi kufanyia marekebisho
Sheria ya Mahakimu, sura ya 11 na Sheria yaKiislam sura ya 375 ili kutambua Mahaka-ma ya kadhi kwa lengo la kuhakikisha umo-
ja na mshikamano vinadumu kwa Watan-zania.
Serikali ilishindwa kutekeleza ahadiyake Januari. Imeshindwa kutekeleza tenakatika kikao cha Machi mwaka huu.
Tamko la Waislam limeelezea kusikit-ishwa kwao na udhaifu wa Serikali ili-
yoonyesha kuwa haiwezi kufanya jambo
mpaka kanisa litoe maelekezo, na kanisalikipinga, serikali nayo itapinga.
Sehemu ya tamko hilo inasema: Wlam hatukubali kabisa mwenendo huu
matamko ya maaskofu yenye kuingmambo ya Waislam kuachwa uendelee.Iwapo Serikali itakaa kimya na kur
misha mwenendo huu wa kupokea makezo kutoka kwa maaskofu na kuyafankazi utapelekea makundi haya mawili kuna uhasama na hatimaye kuvunjika kamani iliyopo.
Mwenyekiti wa Jumuiya na TaasisKiislam nchini, Sheikh Musa Kundeamesema kila unapojadiliwa muswadaKadhi, maaskofu hualikwa na kuulizwkwamba maaskofu huwa wa kwanza kataa, na hapo Serikali hupata uchoch
wa kupita.Kundecha alisema:Serikali ha
dhamira ya kweli ya jambo hili na inahaWaislam. Lakini pia inataka kuwavunatika katiba na uchaguzi, alisema She
Kundecha.Sheikh Kundecha na wasomi weng
wa Kiislam wanaowakilisha taasisi hizwameyaita madai ya maaskofu kuwa mhakama ya kadhi inakiuka katiba ya mw1977 kuwa yanatokana na husda na haymsingi wowote.
Aidha, Waislam wamehoji kuwa, kamahakama ya kadhi inakiuka katiba knini Waislam walipopendekeza iwekndani ya katiba inayopendekezwaisikiuke katiba, maaskofu bado walipin
Waislam wamesema mahakama ya kahaiwadhuru Wakristo na ndio maana hnchi za kisekula za Kenya na Uganda wazo.
Hata hivyo, katika harakati za kumahakama ya kadhi, Waislam wameta
baisha kuwa hawataikubali mahakam
kadhi feki ya BAKWATA na kuitaka Skali irejeshe mchakati wa mazungumz
Waislam kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu haka iwezekanavyo.
Waislam wamesema si sahihi kwa Skali kuwalazimisha Waislam wote wchini ya BAKWATA ambayo ni moja tu
ya taasisi nyingi za Waislam Tanzania. Tko la Waislam limetaja uamuzi huo wa Skali kuwa unaenda kinyume na KatIbara ya 19 (1) ya katiba ya Tanzania.
Kifungu hicho cha Katiba kinaseKila mtu anastahili kuwa na uhuru wa m
wazo, imani na uchaguzi katika mambdini, pamoja na uhuru wa mtu kubadildini au imani yake.
Akijibu madai ya kuwa Waislam meikataa mahakama ya kadhi, Mwenye
wa Jumuiya na Taasisi za Kiislam nch
Sheikh Kundecha alisema hakuna madhebu, hususan wahabi au ansari
Mahakama ya Kadhi:Waislam wachoshwa na hadaa za Serikali
Sheikh AliBaswaleh akitoanasaha zakekatika Kongamanoa jumuiya nataasisi za kiislam
kuhusumahakama yakadhi na katibanayopendekezwaililiofanyika hivikaribuni katikamsikiti waKichanganiMagomeni jijiniDaresalaam. (PICHANA SELEMANI MAGALI)
U
HABARI
7/23/2019 Imaan Newspaper issue 1
3/19
www.islamicftz.org
24 Jumada Thani 1436, JUMATATUAprili 13 , 2015
Waislamu wadai usawa sera mpya ya elimu
NA WAANDISHI WETU
Taasisi mbalimbali za kiislamzimeitaka serikali kutendahaki kwa kutumia vigezosawa katika usajili na ukagu-
zi wa shule za Serikali na zile zisizo zakiserikali.
Aidha, taasis i za kii slam piazimepinga Shirikisho la Wamiliki naMameneja wa Shule na Vyuo visivyovya serikali Tanzania (TAMONGSCO)kuitaja BAKWATA kuwa mwakilishiwa shule zinazomilikiwa na taasisi zakiislam katika uandaaji wa mchakatowa muswada wa elimu wa mwaka2015.
Waislam walitoa kauli hizo katikakikao kilichowakutanisha wawakilishiwa shule zote zisizo za kiserikali nawakuu wa wizara kujadili sera mpya yaelimu 2014 na muswada wa sheria yaelimu 2015.
Mkutano huo wa wadau ulihud-huriwa na Katibu Mkuu wa Wizara yaElimu na Mafunzo ya Ufundi, Prof. Si-funi Mchome, Kamishna wa elimuProf. Eustella P.Bhalalusesa na maafisawengine waandamizi wa wizara hiyo
wanaoshughulikia sera na sheria.Akiongea katika mkutano huo,
Sheikh Muhammad Issa, aliyewakili-
sha Baraza la Taasisi za Answar Sun-nah Tanzania (BASUTA) alisema,Serikali imekuwa ikizingatia kwa uka-milifu vigezo vyote kabla haijasajilishule zisizo za kiserikali lakini ime-kuwa ikilegeza vigezo kwa shule zaserikali. Sheikh Muhammad ametoamfano wa shule za kata ambazo ny-ingine zimesajiliwa bila kutimizamasharti ya vigezo vilivyowekwa.
Kwa mujibu wa muswada huo waelimu kifungu cha 72 (1) kinacho-husika na usajili wa shule za msingi nasekondari, baadhi ya vigezo vinavyoz-ingatiwa ni pamoja na idadi ya kutosha
ya walimu wenye sifa, vifaa vya ku-fundishia na kujifunzia, majengo ya
kutosheleza idadi, jinsia na umri, maz-ingira na miundo mbinu minginemuhimu.
Hali hii inafanya uwekezaji katikakuanzisha shule zisizo za kiserikalikuhitaji fedha nyingi, na hivyo kupele-kea kiwango cha juu cha ada kitaka-chofidia gharama za uwekezaji. Maranyingi kiwango hicho ni kikubwa kwamzazi, Sheikh Muhammad alisema.
Sheikh Muhammad alisema ki-wango cha juu cha ada katika shule zi-sizo za serikali kimesababishamrundikano mkubwa wa wanafunzikatika shule za umma wakati mashule
yasiyo ya serikali yana upungufumkubwa wa wanafunzi.
Sheikh Muhammad alisema halihiyo pia inajitokeza katika ukaguzi washule ambapo Serikali mara nyingi in-
achukua hatua haraka za kuadhibushule zisizo za kiserikali zisipokidhi vi-
wango hata kwa kiasi kidogo, wakati ni
nadra kwa Serikali kuadhibu shulezake ambazo nazo nyingi hazitimizi vi-wango. Kuhusiana na pendekezo laTAMONGSCO kwa Wizara ya Elimu
linaloitaja BAKWATA kuwa ni mse-maji au mwakilishi wa shule za kiislam,Sheikh Muhammad amesema Bak-
wata imesajiliwa chini ya RITA kamaambavyo taasisi nyingine za Kiislampia zimesajiliwa RITA. Kwa hiyo mbe-
le ya sheria taasisi hizi zote ziko sawa.Sheikh Muhammad pia amesema
kwa mujibu wa katiba yake, BAKWA-TA ni ya Waislam wa madhehebu yaShafi wakati Waislam wa Tanzania nimadhehebu mbali mbali kama vileIbadhi, Answari, Hanafi, Hambali,
Maliki, Shia n.k.Pia Sheikh Muhammad amese
katika medani ya elimu, Bakwata
shule chache nchi nzima, wakati taazingine zina shule zaidi ya 100.Wakati kwa Waislam Serikali
fanya Bakwata kuwa msemajiWaislam, kwa Wakristo ni CSSC inojumuisha madhehebu ya Wakato
Walutheri na Anglikana. Kwa nini Waislam liteuliwe dhehebu mkuwakilisha mengine na isiwe hikwa wakristo? Alihoji Sheikh Muhamad Katika mkutano huo, wa wa
wa TAMONGSCO na wizara ya elimakundi mengine ya shule zisizo zserikali yaliyowakilishwa ni pamojshule za majeshi, vyama vya siasa, vma visivyo vya kiserikali (NGOmashirika ya misaada na makamp
Kiwango cha juucha ada katikashule zisizo za ser-ikali kimesababishamrundikano mkub-wa wa wanafunzikatika shule zaumma wakatimashule yasiyo yaserikali yana upun-
gufu mkubwa wawanafunzi.
Wadau wa elwakijadili jamkuhusiana nasera ya Elimumwaka 2014
Mswada waSheria ya Elim2015 jijiniDaresalaam,kutoka kushoni SheikhSuleimanKilemile, SheKhalfaniAthumani,SheikhMuhammadiIssa, Katibumkuu waTAMONGSCOBenjaminNkonya naSheikh NasorMajidi. (PICHA SELEMANI MAGA
Waislamu wachoshwa na hadaasunni, inayopin-
ga mahakama ya kadhi kama ili-vyowahi kuripotiwa huko nyumana baadhi ya vyombo vya habari.
Alisema kinachopingwa ni ki-tendo cha Serikali kupeleka bun-geni marekebisho ya tamko lasheria ya Kiislam badala yamuswada wa mahakama ya ka-dhi. Kadhalika Waislam wanap-inga Serikali kumpa Mufti mam-laka ya uteuzi wa makadhi naWaziri wa Sheria na Katiba ku-tunga kanuni za kuendesha ma-
hakama hiyo.Tumekutana hapa kuondoa
utata huo, tulichokuwa tunakip-inga kule (bungeni) ule haukuwamuswada wa Kadhi, bali ni ma-
badiliko ya tamko la sheria ya kiis-lam, ndani yake kulikuwa namambo makubwa mawili;kumpa mufti mamlaka ya kuteuamakadhi na kumpa waziri waKatiba na Sheria kutunga kanuniza uendeshaji wa mahakama yakadhi, alisema Sheikh Kun-decha.
Awali, akizungumza katikakongamano hilo, Sheikh Rajabu
Katimba aliwataka Waislamkuwa kitu kimoja katika kushu-
ghulikia masuala yao na kuachaunafiki uliotamalaki miongonimwao na kuonya kuwa hawako
tayari kumvumilia mtu wa nam-na hiyo.
Umma wa kiislam kwa baha-ti mbaya unawanafiki ndani, wa-nafiki hawa ni wabaya, kwa mus-
takabali wa sasa tunaokwendanao, hatuko tayari kumtanguliza
tunae muona na sijida kubwambele anauhujumu Uislam, ni
bora hata mara mia kumtanguli-za kafiri anekubali kutekeleza tu-
nayoyataka kuliko kumtangulizamnafiki, alionya Katimba.
NATOKA UK 2
NA IS-HAKA KIHEMBA
Serikali ya Saudi Arabia kupitia ubalozi
wake nchini Tanzania umekabidhi msaada
wa tani mia moja za tende zenye jumla
ya Tsh. Milioni 100 na 96 elfu kwa serikali
ya Tanzania ikiwa ni ishara ya mahusiano
mema baina ya nchi hizo mbili. Makabi-
dhiano hayo yamefanyika hivi karibuni
katika ubalozi wa nchi hiyo jijini Dar es
salaam kwa kuwakutanisha watumishi
mbali mbali wa ubalozi huo na maafisa
waandamizi wa serikali. Akizungumza
mbele ya waandishi wa habari wakati wa
kukabidhi msaada huo, mtumishi kutoka
wizara ya mambo ya fedha nchini Saudia
Arabia, Mohamed Alhajabani alisema
kuwa tende hizo ni zawadi ya Mfalme Sal-
man bin Abdulaziz kwa Watanzania.
Kwa upande wake, afisa mwandam-
izi wa serikali, Leonce Bilauri ambaye
alimwakilisha mkurugenzi wa idara ya
mashariki ya kati, balozi Hassan Simba
Yaya, alisema: `Serikali ya Tanzania
inatambua mchango mkubwa wa Saudi
Arabia katika kuchangia maendeleo
nchini, lakini pia niwahakikishie kuwa
kiasi hiki cha tani mia moja za tende zita-
wafikia walengwa, kwani zitakabidhiwa
kwa taasisi zinazohusika ili zisambazwe
kwa wananchi.
Katika hatua nyingine, Mwenyekiti wa
taasisi ya The Islamic Foundation, Aref
Nahdi ambaye alialikwa kushuhudia mak-
abidhiano hayo, ameliambia gazeti hili
kuwa Watanzania wanatakiwa kushukuru
kwa kupatiwa hidaya hiyo, ambapo pia
alizitaka taasisi zitakazogaiwa amana
hiyo kufanya uadilifu kwa kuwafikishia
walengwa.
Saudia yaipa Serikali ya Tanzania tani 100 za tende
HABARI
7/23/2019 Imaan Newspaper issue 1
4/19
www.islamicftz.o
24 Jumada Thani 1436, JUMATATUAprili 13 , 20
4
MHESHIMIWA SPIKA,NAOMBA NIKUSHUKU-RU SANA.
Mheshimiwa Spika,naomba na mimi nimpongezeMheshimiwa Rais kwa hotuba
yake aliyoitoa tarehe 4 Novem-ba, 1998 hapa Bungeni. Hotubahii Mheshimiwa Spika ina uk-
weli, ina usahihi na pia inauungwana. (Makofi).
Mheshimiwa Spika,baa-da ya kusema hayo, ningependasasa niende kwenye vile vifungunilivyosema kuwa nitavinukuu.Katika hotuba hii ya Mheshimi-
wa Rais, mwisho inasema hivi,Mheshimiwa Spika, baada yamiaka mitatu ya Urais, nath-ubutu kubadili maneno ya msa-nii mashuhuri wa visiwani, Siti
bint Said na kusema Tanzania ninjema atakaye na aje. Nchi yetuMwenyezi Mungu ameibarikisana. Ni nchi ya umoja, amani,upendo, bashasha, ukarimu uli-opindukia. Ni nchi ya wapendausawa na haki. Umoja wetu wakitaifa unatokana na imani yetu
ya dhati juu ya usawa wa binad-amu mbele ya Mwenyezi Mun-gu na mbele ya sheria. Umojaunaoimarishwa na sera sahihiza kujenga jamii na kuandaamazingira ya maendeleo ya haki,amani na utulivu kwa wote.(Makofi)
Mheshimiwa Spika,baa-da ya hapo, Mheshimiwa Raisanaendelea. Anasema hivi,Umoja unaotahadhari sera,kauli, tabia na vitendo vinavy-oweza kupanda mbegu za mfar-akano, chuki na kutoaminianamiongoni mwa Watanzania.Ningependa niyarudie manenohaya. Umoja unaotahadhari
sera, kauli, tabia na vitendo vina-vyoweza kupanda mbegu zamfarakano, chuki na kutoamin-iana miongoni mwa Watanza-nia. Umoja unaolindwa kwa vita
vya kudumu dhidi ya ukabila,udini, ubaguzi wa rangi, jinsiaau majimbo.
Mheshimiwa Spika,mia-ka mingi iliyopita, kwenye 1658
A.D. Mtu mmoja Galileo alise-ma, Dunia ni mviringo. Maku-hani wakamwambia huyu ana-kufuru, akashitakiwa akahuku-miwa kuuawa na akachomwamoto. Leo Galileo amekuwa
Vindicated. Kwa bahati mbayaGalileo mwenyewe hayupo ku-
jua kwamba amepata Vindica-
tion. (Makofi)Mheshimiwa Spika, ninach-
otaka kusema ni hiki cha umojaunaotadhari sera, kauli, tabia na
vitendo vinavyoweza kupandambegu za mfarakano. Nimese-ma mara nyingi hapa kwako.Mheshimiwa Rais, hivi karibunialiwahutubia Waislam kwenyeBaraza la Idd, akawaambiakwamba manunguniko yao namalalamiko yao yote atayataza-ma na atayashughulikia aki-shirikiana na Baraza lake la Ma-
waziri.Sasa nina mambo mawili au
matatu ambayo nataka kuyase-ma ambayo yanaweza kuletamfarakano. Yanapandwa na
serikali. Moja, karibuni hivi ka-tika mwezi wa Ramadh an,mwezi wa Ramadhan kwa
Waislam ni mwezi Mtukufu, nimwezi wa toba.
Wale jamaa zangu wasiojuatoba ni mwezi wa kurudi kwaMungu. Wakati wa ukoloni namimi nilisoma wakati wa Ukol-
oni mwezi wa Ramadhan shu-ghuli zote zinafungwa, baadayekwenye serikali yetu wenyeweshule hazifungwi. Lakini baada
ya muda wanaachiwa watotokurudi majumbani kwao aukwenda kwenye mabweni. La-kini mwaka jana na mwaka huuserikali ikaamua kuwa mitihani
ya watoto wa kidato cha nneifanywe mwezi wa Ramadhanna iendelee mpaka siku za Idd.Hiyo ni moja ya cheche za mifar-akano.
Kwa Rehma ya Mungu Al-hamdulil lah, baada yakunungunika Waislam, Waziri
wa Elimu na Utamaduni alitoamaelezo. Maelezo yale yaka-
waridhisha Waislam na Mhesh-imiwa Rais akakubali kwa sikuza Idd, watoto wasifanye miti-hani na haikufanywa mitihani.(Makofi)
Lakini mimi ninalouliza ilesababu ya kuamua mwezi wa
Ramadhan ifanywe mitihannini? Ni Insensitivity, ni jeurkiburi, kwa sababu kuna wgine ambao ni wazito tuliwkia wakisema, wakitaka kufamtihani na wafanye, hawa
basi. Mimi nasema watu kahao ndiyo watu wasioitakheri nchi hii. Siyo sisi tunao
ja kusema hapa hadharani. Hwanaosema wakitaka kufana wafanye na hawataki kuf
ya basi. Hao ndio wasioitakheri nchi hii. (Makofi)
La pili, linaloweza kumfarakano ni tabia ya serikakuchelewesha makusudi ku
dikisha taasisi za Kiislam. Tayoyote ya Kiislam ikitaka kudikishwa serikalini itachumiaka miwili au mitatu. Sabhazitolewi, hata kama kuchunguzi, watu waen
wakatafute habari kwa nini chukua miaka miwili, mimitatu?
Mheshimiwa Spika,npata kusema hapa kwammimi ni mlezi wa BarazMaimamu Tanzania. Tumeo
ba Baraza la Maimamu kudikishwa, sasa ni miaka mitsababu haijulikani. Wengkila wakiomba wanasema lma kipatikane kibali toka BA
WATA. Leo ningependa n
ipo sheria inayosema hivyo?ni matakwa tu ya
KUTOKA MISIKITINI TUJIKUMBUSHE
Hotuba Ya Mheshimiwa
Alhajj Kitwana KondoMbunge wa Kigamboni Mwaka 1999 Bungeni Dodoma
Mzee Kitwana Kondo akiongea na Mwanahistoria, Sheikh Mohammed Said.
NA KHALID OMARY
Vijana wa Kiislam nchini wamekum-
bushwa kuutumia umri wa ujana vizuri kwakuwa chachu ya maendeleo katika dini yao
na jamii kwa ujumla.
Ukumbusho huo umetolewa na
Ustaadh Rajab Salim katika khutba yake
ya swala ya Ijumaa, msikiti wa Ijumaa
Mwenge jijini Dar es salaam.
Tukumbuke tutaulizwa na Allah
namna tulivyoutumia ujana wetu,
hivyo ni lazima tuwe na msimamo
katika maisha yetu ya kila siku kwa
kuhakikisha tunaishi kwa kuzinga-
tia muongozo wa Allah, ameeleza
Ustaadh Rajab.
Salim alisema, vijana wengi waliopita,
hususan wakati wa Mtume Muhammad
(Rehma na amani ziwe juu yake) wa-
likuwa na msimamo.
Katika kusherehesha maelezo yake,
alitoa mfano wa swahaba Said bin Amir
ambaye alisilimu kutokana na msimamowa swahaba mwingine, Ubeid bin Aadiy
ambaye pamoja na kupigwa na kuteswa
na washirikina, bado alisimamia kauli ya
Mwenyezi Mungu mmoja mpaka alipokata roho.
Ustaadh Salim aliongeza kuwa, moja kati ya
watu saba watakaofunikwa na kivuli siku ya
kiyama ni vijana waliotumia ujana wao vema.
Hivyo basi, aliwataka vijana kujitahidi kuende-
sha maisha yao katika misingi ya dini.
NA KHALID OMARY
Waislam wake kwa waume wametakiwa kuacha tabia
ya kudharauliana miongoni mwao, kwani kufanya hivyoni kinyume na mafundisho ya dini ya Kiislam.
Wito huo umetolewa na khatibu wa Msikiti wa Mo-
rogoro, Ilala, Dar es Salaam, Sheikh Abdallah Mnape, al-
ipokuwa akitoa khotuba Msikitini hapo, Ijumaa iliyopita.
Inawezekana mwanamke anamdharau mwenzie
kwa sababu yeye amependeza zaidi au yeye ana uwezo
zaidi, au amezungukwa na familia yenye uwezo, hayo
ni makosa makubwa, alieleza Sheikh Mnape huku
akinukuu aya katika Quran kukazia maneno yake.
Pia Sheikh Mnape aliwakumbusha Waislam kufanya
mambo mema mbalimbali yatakayowawezesha kuzun-
gumzwa kwa wema (vizuri) wakiwa hai na hata wataka-
poondoka duniani.
NA MASHIRIKA YA HABARI
Wito wa viongozi wa Kiislam kutaka kuongezwa kwa
idadi ya misikiti nchini Ufaransa umesababisha upinzani
toka kwa raia wa imani nyingine za kidini.
Gazeti la Telegraph lilimkariri msimamizi wa msikiti
mkuu wa jijini Paris, Dalil Boubakeur, wakati akiwahutu-
bia Waislam wenye hamasa na dini yao kuwa: Tuna
misikiti 2,200 na tunahitaji mara mbili ya hiyo ndani ya
miaka miwili ijayo.
Kufuatia kauli hiyo, Wafaransa wamepinga suala hilo.
Kadhalika wamepinga Waislam wanaofanya ibada ya
swala barabarani kwa madai kuwa wanaongeza mson-
gamano mkubwa wa watu njiani.
Gazeti hilo limesema, Waislam wengi wanaamini
mamlaka ya miji nchini Ufaransa wanazuia maombi ya
kujenga misikiti hali inayopelekea msongamano huo
wa watu na maandamano kupinga swala zinazofanyika
mitaani.
Tumieni vizuri umri waujana-Ustaadh Rajab
Sheikh Abdallah Mnapeakemea tabia ya dharau
Wafaransa wakataa ujenziwa Misikiti mipya
NILIPATA KUSEMA HAPA
KWAMBA MIMI NI MLEZI
WA BARAZA LA MAIMAMU
TANZANIA. TUMEOMBA
BARAZA LA MAIMAMU
KUANDIKISHWA, SASA NI
MIAKA MITATU U
7/23/2019 Imaan Newspaper issue 1
5/19
www.islamicftz.org
24 Jumada Thani 1436, JUMATATUAprili 13 , 2015
HAZINA ZETU
NA KHALID OMARY
Mwak a 1977 kup iti ataasisi ya BAKWATA(Baraza Kuu la Wais-
lam Tanzania) alipa-tikana Mufti wa kwanza, SheikhHemed bin Jumaa bin Hemed bin
Abdallah bin Said ambaye ana-kumbukwa kama mwanazuoni
mkubwa aliyenufaisha wengi kwaelimu yake.
Kwa sababu hii, miaka 14 tangukifo chake, pamoja na tofauti zamitazamo kati ya Waislam wengina taasisi ya BAKWATA aliyokuwaakiiongoza, heshima ya SheikhHemed, kama mwanazuoni, ime-
baki juu.Makala hii inamuangazia mwa-
nazuoni huyu mkubwa kwa kuan-galia historia, kazi na mchango
wake katika kuendeleza Uislam.Sheikh Hemed bin Jumaa, aliz-
aliwa mwaka 1928 katika kijiji chaDarugube mkoani Tanga, akiwamtoto wa pili kwenye familia yamzee Jumaa bin Hemed. Alipofikaumri wa miaka miwili, baba yake
alifariki na kulelewa na baba yakemkubwa Sheikh Ally bin Hemed
bin Abdallah.Sheikh Ally alikuwa ni mmoja
wa wanachuoni wakubwa wa Afri-ka Mashariki na hivyo basi, SheikhHemed mwenyewe alisoma kwaSheikh Ally na kutokea kuwamiongoni mwa wanafunzi wake
wakubwa.Sheikh Hemed alijaaliwa kuso-
ma fani mbalimbali za elimu yadini kwa baba yake huyo zikiwemoHadith, Sira na Fiqhi. SheikhHemed pia alisoma fani nyinginehuko Lamu nchini Kenya kwaSheikh Alhabib Said bin Ahmad AlBaddawiy Jammal Llayl, muasisi
wa Msikiti wa Rawdha uliopo Kis-
utu jijini Dar es salaam ambayenaye ni mmoja kati ya wanazuoni
wakubwa.Kutokana na kuwa na uelewa
mkubwa na uwezo wa kufafanuamambo mbali mbali angali mdogo,
wakati akisoma shule huko Tanga,wazungu walitaka kumchukua, la-kini Sheikh Ally bin Hemedalikataa kwa hofu ya kuwa SheikhHemed asingeendelea tena naelimu ya dini.
Kipaji cha Sheikh Hemedi kil-ianza kudhihiri alipofikisha umri
wa miaka 19 ambapo alichaguliwakuwa Sheikh Mkuu wa Wilaya yaPangani, kabla ya kuwa mwalimu
wa dini ya kiislam katika shule yaTanga Muslim School.
Vilevile Sheikh Hemed aliwahikuwa Imam wa Masjid Riyadh,maarufu kama msikiti wa Ijumaa,uliopo barabara ya tisa mkoaniTanga, msikiti ambao hata baba
yake mkubwa, Sheikh Ally aliwahikuwa Imam.
Mbali na shughuli hizo, SheikhHemed bin Jumaa alikuwa akien-delea na kazi zake za siku zote zakufundisha elimu ya dini, kutoamawaidha misikitini na kwenyemikutano mbalimbali. Miongonimwa fani zake kubwa ilikuwa ni
tafsiri ya Quran.Sheikh Hemed aliendelea na
kazi za daawah wakati wake wotewa uhai wake kabla na baada yakuwa Mufti.
Mnamo mwaka 1977 baada yakuundwa kwa Baraza Kuu la Wais-
lam Tanzania (Bakwata), SheikhHemed alichaguliwa kuwa Muftiakiwa kijana wa miaka 49 na kutu-mikia nafasi hiyo kwa moyo wake
wote mpaka alipofariki.Sheikh Hemed alifanya mambo
mengi hususan katika upande wakufundisha na daawah. Sheikh ali-
wahi kukemea kauli ya aliyewahikuwa Mwenyekiti wa Jumuiya ya
Wanawake wa Tanzania (UWT)marehemu Sofia Kawawa aliyewa-hi kusema kuna haja ya wanawake
wa Kiislam kuolewa na wanaumezaidi ya mmoja kama wanaume
wanavyofanya.Sheikh Hemed anakumbukwa
kwa vipindi vyake vya redionihaswa vilivyokuwa vikirushwa siku
ya Ijumaa kupitia Radio TanzaniaDar es salaam (RTD) ambayo sasainaitwa TBC. Mawaidha yake yakuelimisha yalisikilizwa hata na
wasiokuwa Waislam.Wakat i wa Hij ja ya mwak a
2002, Sheikh Hemed alishindwakuhutubia, hadi alipoombwa naSheikh Abubakar Zuber aongee
walau kidogo. Sheikh Hemed al-isema haoni kama ataweza kurudikwa mara nyingine katika miji yaMakka na Madina. Alisema ana-hisi hiyo ilikuwa Hijja yake ya
mwisho.Kutokana na hilo, SheikhHemed alimkabidhi Sheikh Abu-
bakar Zuber aliyekuwa mjumbewa Baraza la Maulamaa darasazake za mahujaji ndani ya miji yaMakka na Madina na maeneomengine matukufu.
Katika khutba yake ya mwishokwenye viwanja vya Arafa, SheikhHemed aliwaasa Waislam juu yakusoma, kupendana, kuimarishaundugu wa Waislam na kufanyaibada.
Sheikh Hemed alikuwa anas-umbuliwa na magonjwa ya kisu-kari pamoja na presha hali iliyope-
lekea kulazwa katika Hospitali yaTaifa ya Muhimbili kwa wiki moja,
ikiwa ni wiki mbili tu tangu ali-porejea kutoka Hijja yake yamwisho.
Usiku wa kuamkia April 8,2002, Sheikh Hemed bin Jumaaalifariki baada ya moyo kushindwakufanya kazi.
Sheikh Hemed alizikwasiku hiyo hiyo aliyofa-riki baada ya sala yaalas ir kat ikamakaburi yaMsambwe-ni, Tanga,mazishia m -
bayo yalihudhuriwa na maelfu yawatu. Watu wengi hawakupatahata bahati ya kugusa jeneza.
Miongoni mwa watu waliohud-huria ni Rais wa wakati huo Ben-
jamin Mkapa na viongozi wenginewa serikali. Masheikh wengi kuto-ka ndani na nje ya nchi pia wali-hudhuria. Na huo ndio ukawamwisho wa maisha ya SheikhHemed bin jumaa bin Hemed bin
Abdallah.Baraza la Ulamaa la BAKWATA
lil ish ika kwa muda nafa si yaUmufti, kabla ya kum-chagua Sheikh IssaShaaban bin Simbakukaimu na baa-d a e m w a k a2003 alithibi-
tishwa kuwamufti kamili.
Marehe-mu SheikhH e m e dalikuwa na
wake wawili,marehemuRukia Rajaba m b a y ea l i k u w am k emkubwana Abeda
Abd ulra-him, mkem d o g o .
Pia Sheikhalijaaliwawa tot o 16 ,wa na um e 9n a w a -
nawake 7. Wawili kati yao sasa naoni marehemu.
Masheikh wanavyomzun-gumzia
Sheikh Rajab Katimbamsemaji wa Taasisi naJumuiya za Kiislamuhapa nchini anasema al-
imfahamu Sheikh Hemed kamamwanazuoni mwenye elimu
kubwa za fani nyin-gi in-
gawa alikuwa akifanya kazi kwenyetaasisi ambayo imeshindwa kuwa-saidia Waislam kwa muda mrefu.
Sheikh Katimba anasema:Sheikh Hemed alikuwa na elimukubwa za fani mbalimbali, ingawaalikuwa katika taasisi iliyodhalili-sha Waislam kwa kipindi kirefu.
Sheikh Katimba alimfananishaSheikh Hemed na viongozi wa kiis-
lam waliopo serikalini ambao wanania ya kufanya mambo mazuri la-kini kutokana na mfumo uliopo
wanashindwa.Kinyume na sasa hivi, tulikuwa
tukimsikia Mufti siku za Ijumaaakihutubia, akidarasisha na aki-omba dua kupitia redio. Viongozi
wa sasa ni nadra kusikia wakitoahotuba, Sheikh Katimba alimsifia.
Naye kiongozi wa wahadhiri wakiislam hapa nchini, Sheikh Ju-manne Amir alisema SheikhHemed alikuwa ni msomi mkubwa
Afrika Mashariki na mfanyabi-ashara. Hata hivyo alikuwa na ma-pungufu kama binadamu wen-gine.
Kabla ya kuwa mufti alikuwana duka la kuuza vyakula Tanga.Sheikh Hemed alitoa fatwambalimbali hasa za maswala yakisheria, ingawa mara kadhaa al-ishindwa kutoa kauli kwenye mas-uala ambayo yalikuwa na maslahi
ya kiserikali.Naye Sheikh Shaban Mussa,Katibu Mkuu wa Baraza la Sun-nah Tanzania (BASUTA), alim-sifu Sheikh Hemed kuwaalikuwa mwanazuoni mkubwaaliyezungumza kiarabu fasaha
jambo lililopelekea kualikwakwenye mikutano mbalimbalikatika nchi za kiarabu.
Tunamuomba MwenyeziMungu amrehemu SheikhHemed bin Jumaa bin Hemed,
amsamehe dhambi zake na ailazeroho yake mahali pema peponi,
Aaamiin.Maelezo ya makala haya ni kwa
mujibu wa mtoto wa MarehemuSheikh Hemed bin Jumaa, Sheikh
Ally Hemed na Sheikh AbubakaryZuber.
Sheikh Hemed bin Jumaa:
alinufaisha wengi kwa elimu yakeKUTOKANA NA KUWA NAUELEWA MKUBWA NA UWEZO
WA KUFAFANUA MAMBOMBALI MBALI ANGALI MDOGO,
WAKATI AKISOMA SHULE HUKOTANGA, WAZUNGU WALITAKAKUMCHUKUA, LAKINI SHEIKH
ALLY BIN HEMED ALIKATAA KWAHOFU YA KUWA SHEIKH HEMED
ASINGEENDELEA TENA NAELIMU YA DINI.
7/23/2019 Imaan Newspaper issue 1
6/19
www.islamicftz.o
24 Jumada Thani 1436, JUMATATUAprili 13 , 2
6
MHARIRI MTENDAJI: 0715 559 944
MHARIRI: 0752 559 944
AFISA MASOKO: 0785 500 502
HUTOLEWA NA KUCHAPISHWAThe Islamic Foundation
P.O. Box 6011 Morogoro, Tanzania
E-mail: [email protected]
TAHARIRI / UCHAMBUZI
Sifa zote njema ni zake
A l l a h p e k e e(Subhaanahu Wataala)na rehma na amani
ziwe juu ya yule ambaye hakunanabii baada yake, Muhammadibn Abdillah na familia yake namaswahaba wake, na kilamwenye kushikamana na dini
yake na akaongoka kwa mwon-gozo wake.
Tunashuhudia kwamba haku-na mola wa kuabudiwa kwa hakiila Allah pekee asiye na mshirika,na tunashuhudia kwamba Mu-hammad ni Mtume wake.
Tuliahidi, tumetimiza na Allahni shahidi. Hatimaye, baada ya
jit ihad a kubwa ya mipa ngo,maandalizi na kazi ya uandishi,uhariri na usanifu - kwa nguvu nauwezo wa Allah, gazeti la Imaan
leo lipo mtaani.Haikuwa kazi rahisi kufaniki-
sha kuanza kutoa gazeti hili, lakinikwa uwezo wa Allah tumefaniki-
wa baada ya kujiridhisha kuwagazeti likianza kutoka na kukufi-kia wewe msomaji halitasinzia
tena, litakufikia katika hali iliyobora kadiri Allah alivyotuweze-sha.
Kadhalika, uwekezaji mkubwawa hali na mali ilibidi ufanyike ilikununua vifaa na kuajiri watend-aji. Hata hivyo, tunamshukuru
Allah kuwa pamoja na changa-moto zote zilizotukabili tumewe-za kuanza kwa uwezo wa Allah.Kwa hili tunasema alhamdulillahiambaye kwa neema zake hutimia
yote yaliyo mema.Gazeti hili limeanzishwa na
taasisi ya The Islamic Foundation
(TIF) yenye makao yake makuumjini Morogoro na ambayo piainamiliki Redio na Televisheni yaImaan kwa lengo la kuuhabari-sha, kuuelimisha na kuupaumma fursa ya kujua mazuri yaUislam chini ya kauli mbiu yetukuwatoa watu katika giza na ku-
waleta katika nuru kwa idhini yaAllah kwa misingi ya haki, ukwelina uadilifu.
Katika kutekeleza jukumulake hilo la msingi, gazeti hili,kama ilivyo kwa televisheni na re-dio, tutachapisha makala za ku-habarisha na kuelimisha. Tuna-muomba Allah atuwafikishe kwahil i . Tunamuomba AllahSubhaanahu Wataala, asafishenia za watendaji, watende kwaajili ya Uislam, na awape nguvu
ya kutekeleza majukumu haya
kwa ufanisi-Amiyn.Moja kati ya maadili ya msingi
yatakayoongoza gazeti hili ni ku-pigania umoja wa Waislam.Kamwe, gazeti hili halitotumikakuwagawa Waislam wala kufanya
yaliyo nje ya malengo ya kuan-zishwa kwake .
Hata hivyo, mradi huu wagazeti la Imaan utakuwa vigumukufanikiwa kama Watanzania,
Waislam na Wasio Waislam - ha-watatuunga mkono. Maudhui yagazeti hili yanawalenga nyinyi
wasomaji na hivyo basi tunatege-mea mnunue gazeti na mli-changie kwa hali na mali ili tuen-deleze kazi hii muhimu.
Gazeti la Imaan, Televisheni yaImaan na Redio Imaan sio vyo-mbo pekee vya habari vya kiislam.
Gazeti la Imaan litashirikianvyombo vingine vya habari vyislam katika kutekeleza jukuhili muhimu. Wahenga walintunajenga nyumba mo
twanyanganyana fito za nini?Tunawaomba wasomaji w
na jamii kwa ujumla kututenuadilifu kwa kutupongeza tapofanya vizuri na kutukosoa knia ya kujenga na si kubomoa p
wanapoona tunakwenda njmalengo yetu. Hakuna asiyesea, mkamilifu ni All(Subhaanahuu wa Taala) pekni maneno ya Mwenyekiti wa
Aref Nahdi anayoyarudia mnyingi.
Tusaidieni kwa misingi ya Ulam ili tufikie lengo la kuumbkwetu. Tunawatakia usommwema wa gazeti Imaan.
Tuliahidi, tumetimiza na Allah ni shahidi
Siku za hivi karibuni, niki-
wa katika shughuli zanguza kimaisha katika eneo
la Mkenge , wil aya yaMkuranga mkoani Pwani niliwezakujifunza mambo kadhaa toka kwa
mwanamke mmoja, mkazi wahuko.
Mkazi huyo ambaye yukokwenye ndoa kwa miaka mitatu,akiwa amejaliwa mtoto mmoja,anasema takribani siku zote zandoa yake, hulazimika kuamka saakumi na moja asubuhi kufanyashughuli za nyumbani, ikiwemokumshughulikia mwanae.
Mama huyo anasema ana-pochelewa kuamka, mume huwamwepesi kumuamsha huku yeye(mumewe) akiendelea na usingizimpaka pale atakapojisikia kuam-ka.
Mbali na hilo, mama huyo ana-wajibika kulisha famili a, kum-nunulia mwanae nguo kwa pesa
ndogo aipatayo kwa kufanyakibarua. Hata pakitokea upungufu
wa vitu kama mafuta ya taa, chumvin.k, mzigo huo nao hana budi ku-ubeba.
Ni kutokana na kibarua cha ku-tunza bustani kwa jirani yangu na-pata hela ya chumvi, sukari kwa ajili
ya chai ya mwanangu, anasemamama huyo.
Kwa mujibu wa mama huyo,mume wake anaamini kuwa ni ju-kumu la mwanamke kutafuta ma-hitaji muhimu ya familia kwa saba-
bu yeye (m ume ), ame mpa tiamkewe sehemu ya kuishi. Kadhali-ka, mume anaamini mke ni tunukutoka kwa Allah Subhaanahu
Wataala, hivyo basi anapoolewa ni
wakati wa mume kupumzika.Kwanza, nilitafakari jambo hilo
katika mtazamo wa utamaduni waKiafrika, lakini baadae nikagunduakuwa baadhi ya watu hata huaminikuwa hayo ni mafundisho ya dini
wakitumia Quran, 4:34, inayose-ma, Mwanaume ni msimamizi wamwanamke kama kigezo.
Aya hiyo, hutum iwa na wa-naume wengi kuwaonelea wa-nawake. Utasikia wanaume waki-
jagamba kuwa wamepewa mamla-ka na Allah Subhaanahu Wataala
na hivyo wanaweza kumtendeamwanamke wapendavyo. Hapapana tatizo la kutokueleweka ayahii na kutafsiriwa kinyume na muk-
tadha wake.Katika tafsiri yake, Ibn Kathir
anasema, Mwanaume ni mlinziwa mwa na mke, kwa sa ba buMwenyezi Mungu amewafadhili-sha baadhi yao kuliko wengine, nakwa sababu ya mali zao wanazozi-
toa.Kama tujuavyo kazi za mlinzi ni
kuhakikisha usalama wa yule
anayemlinda pamoja na mali zakevinakuwa salama. Haingii akilinikwa mlinzi kugeuka kuwa kero kwaboss wake. Hiyo ni kinyume kabi-sa na jukumu alilopewa.
Mwanaume anapaswa kuhak-ikisha anamjali mwanamke kwahali na mali na sio kumuachia ma-
jukumu yote mazito ya kifamilia,kama ilivyokuwa kwa mama yule.Jambo hilo ni kinyume kabisa namafundisho ya Uislam, kitabu cha
Allah Subhaanahu Wataala naSunnah za Mtume (Rehma na am-
ani ziwe juu yake).Katika kisa kimoja enzi za uhai
wa Nabii Muhammad (Rehma naamani ziwe juu yake), MuawiyaIbn Haydal Alqushayri alipata ku-muuliza Mtume (Rehma na amani
ziwe juu yake): Ni zipi haki zamke? Nabii Muhammad (Rehmana amani ziwe juu yake) alimjibukuwa miongoni mwa majukumu
ya mume ni kumlisha mke, kum-nunulia mavazi na kutompiga uso-ni wala kumlaani. Hivyo basi, wa-naume hawana budi kutambuakuwa mwanamke nae amepewahaki zake na Mwenyezi Mungu nakwamba si jambo jema kumbebe-sha mambo mazito ya familia.Huko ni kumkosea Mola wetu nakutia doa Uislamu.
Waislam hatuna budi kuyata-fakari mafundisho ya MwenyeziMungu Subhaanahu Wataala naMtume Muhammad (Rehma na
Amani ziwe juu yake) kwa mapana
zaidi na muktadha wake.Vinginevyo, watu wataendelea kua-mini ubabe wa wanaume ni sehe-mu ya dini, kumbe ni upotofu.
Mke au mwanamke anatajwana Mwenyezi Mungu Subhaanahu
Wataala kuwa ni faraja, utulivu ka-tika maisha ya ndoa. Allah ametut-aka kuwaenzi.
Mola anasema, Na katikaishara zake ni kuwa amekuumbieni
wake zenu kutokana na nafsi zenuili mpate utulivu kwao. Naye ame-
jaalia mapenzi na huruma bainayenu. Hakika katika haya bila yashaka zipo ishara kwa watu wanaofikiri. (30:21).
[email protected]+255 688 938 671
Uislamu umewaenzi wanawake
HIVYO BASI, WANAUME HAWANA BUDI KUTAMBUA
KUWA MWANAMKE NAE AMEPEWA HAKI ZAKE NA
MWENYEZI MUNGU NA KWAMBA SI JAMBO JEMA
KUMBEBESHA MAMBO MAZITO YA FAMILIA
ABDULHAKIM NSOBYA
NASAHA ZA WIKI
7/23/2019 Imaan Newspaper issue 1
7/19
www.islamicftz.org
24 Jumada Thani 1436, JUMATATUAprili 13 , 2015
Ni muhimu kiasi gani kwamakhatwibu wa ijumaakuona kwamba khutba
wanazotoa zinanufaishawaislamu na kuleta mabadiliko chan-ya katika jamii ya waislamu na wasiowaislamu?
Katika nyenzo muhimu aliyoiwekaAllah (Subhaanahuu wataala) kwaummah wetu ni khutba ya sala ya iju-maa. Ni sehemu gani yenye hadhi ku-liko mimbari ya khatwibu, mahaliambapo khaatwibu huwafikishia watumaneno ya Mola wao na Mtume waona wema waliotangulia.
UMUHIMU WA KHUTBA YA
IJUMAA:
Kwanza:Khutba ya ijumaa nimuhimu mno kiasi kwamba watuwameamriwa kuiendea mara tu wasi-kiapo adhana ya siku ya ijumaa. Ase-ma Allah Enyi mlioamini, pindi pan-apoitwa (watu) kwa ajili ya swala iju-maa nendeni haraka kunako utajo waAllah na acheni biashara (Al Ju-maa: 9)
Ndiyo twakuta Mtume (Rehma naAmani ziwe juu yake) akihimiza Wais-lamu kuharakisha kuiendea swala ya
ijumaa akisema kupitia hadithi yaAbuu Hurayrah: Mfano wa mwenyekuwahi wa kwanza ni sawa na aliyetoasadaka ngamia, na atakayefuatia ni
kama katoa ngombe, na atakayefuatiani kama aliyetoa mbuzi, kisha ni kamaaliyetoa kuku na wa mwisho kama ali-
yetoa sadaka ya yai (Bukhari na Mus-lim).
Pili,mwenye kuiendea swala ya iju-maa anaamrishwa kuoga, kupigamswaki, kuvaa nguo nzuri na kujitiamanukato. Asema Mtume (Rehma naamani ziwe juu yake): Atakayehud-huria ijumaa miongoni mwenu basina aoge (Bukhari 977, Muslim 844).
Tatu,Kulazimika kunyamazakimya na kusikiliza khutba kwamwenye kuhudhuria swala ya ijumaana asiwe mwenye kumsemeza mtu.Katika Hadithi ya Abu HurayrahMtume anasema: Utakaposemakumwambia jamaa yako nyamaza
basi umefanya laghwu (Bukhari naMuslim).
Nne,khutba ya swala ya ijumaa inahadhi kubwa mbele ya Allah, kwani nidhikru-llwah (utajo/ukumbusho wa
Allah) kama alivyoiita (9:9) na ni ala-
ma miongoni mwa alama kubwa zadini ya kiislamu.
Khutba ya ijumaa hushuhudiwana Malaika kama alivyosema Mtume(Rehma na amani ziwe juu yake) kwahadithi ya Abu Hurayrah (radhi za Al-
lah ziwe juu yake): Inapokuwa siku yaijumaa inakuwa katika kila mlangomiongoni mwa milango ya msikitimalaika wanaandika waliokuja kwakadiri ya nafasi zao, basi mtu atatan-guliza ngamia, mwingine ngombe,mwingine mbuzi, mwingine kuku,mwingine mbayuwayu na mwingine
yai. Anapoadhini muadhini na imamuakakaa juu ya mimbari (malaika) hu-funga daftari na huingia msikitini
wakisikiliza khutba (Bukhar i naMuslim).
Hadithi hii inaonesha utukufu nahadhi ya khutba ya ijumaa na ina-
paswa kumfanya khaatwibu aoneumuhimu wa maneno atakayoyasemaakiwa juu ya mimbari kwamba nimaneno yaliyo katika kilele cha utuku-
fu kwani malaika huyasikiliza.Basi ole wao makhatwibu wenye
kuandaa khutba zao kwa ajili ya kupa-ta maslahi ya kidunia au hawaielewihadithi hii?
Tano, pamoja na malaika, piahushuhudia na kuhudhuria khutba yaijumaa waislamu wa hadhi tofauti ka-
tika jamii na viwango tofauti vyaelimu. Miongoni mwao wasomi na
wasio wasomi, wanafunzi na walimu/masheikh, wakubwa kwa umri na wa-dogo, wanaume na wanawake, masi-kini na matajiri, watawala na wa-nanchi wa kawaida.
Na kikubwa zaidi ni kwamba khut-ba na swala ya ijumaa huhudhuriwana wale ambao kwa kawaida hawa-hudhurii swala za kawaida msikitini.
Kwa hiyo inampasa khatwibu aoneuzito wa khutba yake na atoe khutba
itakayowafidisha watu wa aina zhizi na alenge kwa wale wengi amhawahudhurii swala za kawamsikitini wala hawana fursa ya kup
mawaidha na kuhudhuria mihadhna darsa zinazotolewa msikitini.
Kifupi ni kwamba, hapo ndipo hali pekee watu hao wanapokutan
walinganiaji na hivyo yampasa khuya khatwibu kusheheni mambo yawafaidisha wote hawa.
Sita,khutba ya ijumaa na swyake hurejelewa kila wiki na hivyotika mwaka mmoja mwenye kuswijumaa husikiliza khutba hamsinmbili (52). Kwa hiyo khatwibu akikhutba zake uzito unaostahiki na azipangilia maudhui zake mada kakila khutba, khutba hizo huwasemina iliyosheheni hazina kubwilmu na mawaidha yenye kuendele
Hii ndiyo nafasi ya khutba kimambele za watu na ndiyo khutba ze
athari.(Itaendelea toleo lija
Mpaka tutakapofaidika na Khutba za Ijumaa
NA TAWAKKAL JUMA
KUTOKA KATIKA QURAN NA SUNNAH
UTANGULIZI
Kutoka katika Quran naSunnahni mfululizo wa makalamtambuka zitakazokuwa zikiakisi
mambo mbalimbali tunayowezakujifunza kutoka katika aya zaQuran na Hadith za Mtume (Re-hma na amani ziwe juu yake).
Katika makala yetu hii yamwanzo nitazungumzia Quranna Sunnah kwa mukhtasari.Quran ni maneno ya Allah. Haik-uumbwa. Ni asili kutoka Kwake(Allah) na kwake yeye ndiko itaru-di. Kateremka nayo malaikamtukufu Jibrili.
Quran imebainisha kila jambo.Ni kitabu ambacho haiingii batilikutoka ndani wala nje. Ni muuji-za utakaobaki milele hadi vitu
vyote vitakapoondoka abaki Allahpeke yake. Ni kamba ya Allah
yenye nguvu, ni njia iliyonyooka,
na ni mwangaza wenye kuangaziahaki na njia iliyonyooka. Ndaniyake kuna habar i za yaliyopita,yaliyopo na yatakayokuja, kunahukumu mbalimbali na upam-
banuzi wa kila jambo.Atakayeacha Quran kwa ujeu-
ri, Allah atamdhalilisha, naatakayetafuta uongofu kutoka nje
ya kitabu hiki, Allah atampoteza.Atakayesema kwa kupitia kitabuhiki atakuwa amesema kweli,atakayehukumu kwa kupitia kita-
bu hiki atafanya uadi li fu naatakayelingania kwenye kitabuhiki atakuwa amelingania katikanjia ya sawa.
Kitabu hiki cha Quran ni kita-mbulisho cha Utume wa mwisho,
ni lugha ya dini tukufu ya Kiislam,ni chimbuko la Shariah, na ni ka-
musi ya lugha ya kiarabu.Kadhalika, Quran ni muongo-
zo wa maisha ya mwanadamuduniani na akhera. Ni kupitiakitabu hiki watu ndipo wataon-goka. Kitabu hiki kinaondoshamagomvi, kinawataka watu wasi-mame katika maamrisho, maka-
tazo na kulazimiana na mipakayake.
Kwa ujumla, kufaulu kwa wan-adamu kuko katika kufuata njia
ya kitabu hiki na kufeli kwao kati-ka kuacha muongozo wake na ku-
jiweka mbali na mafunzo yake.Quran ni kiunganishi kati ya
mbingu na ardhi, na ni agano katiya Allah na waja wake na ndio njiaya Allah ya milele na ndiyo ahaditukufu kutoka mbinguni kwa kilazama na kila pahala. Quran ndiokitabu bora zaidi ya vitabu vyote
vya mbinguni na ndio uteremshoau ufunuo bora zaidi ya funuo zoteza mbinguni.
Mtume Muhammad (Rehmana amani ziwe juu yake) anasema:Naapa kwa yule ambaye roho yaMuhammad iko katika mkono
wake, hakuna yeyote atakayesikiahabari zangu awe ni muyahudi aumnasara kisha asinifuate na akafakatika hali hiyo ila siku ya kiyamaatakuwa ni miongoni mwa watu
wa motoni.Kitabu hichi kinaanza kimpan-
gilio wa sura kwa Suratul-Faatiha
na kufungwa kwa Suratu- Annaa-si. Kimeanza kuteremka siku ileMuhammad (Rehma na amaniziwe juu yake) alipoteremkiwa namalaika mtukufu, Jibril, akiwakatika pango, Jabal Hiraa, kuleMakkah mwaka 610 na kikafikiahatamu yake mwaka 630 paleMtume Muhammad (Rehma naamani ziwe juu yake) alipofariki.
Jibrili aliyekuwa mteremshajiwa funuo mbalimbali kwa mitumewote wa Allah alihitimisha kaziyake hii mwaka 630. Baada yahapo hakuna aliyeteremshiwa
wala atakayeteremshiwa ufunuoau wahyi mpaka siku ya Qiyama.Mtume Muhammad (Rehma naamani ziwe juu yake) kakamilishaJengo la Utume. Hivyo hakunaatakayedai utume baada ya hapoila atakuwa ni muongo.
Wanaojiita au wanaoitwa mi-tume kama Mirza Ahmad wa In-dia, mtume Kobe wa Tanzania na
wengineo tunaowasikia hivi sasasehemu mbalimbali duniani, nimitume wa uongo. Pamoja naJibrili kumaliza kazi ya kuletaufunuo au wahyi tangu mwaka630 maandiko yanaonyeshakuwa huwa akija dunianipamoja na malaika wenginekatika usiku wa cheona makadirio waLailatul Qadrkatika mwezi
wa Ramadhan. Mara nyingi aukawaida katika uchambuzi wa vi-
tabu baada ya kutaja jina la kita-bu huwa anatajwa mtunzi wake.Kwa upande wa Quran lugha
ya mtunz i hai ingii maanaQuran ni maneno ya Allahambayo hayakuumbwa. Wa-
tunzi ni viumbe na Quran nimaneno ya Muumba, hivyo sikiumbe.
K u s e m a k u w aQuran ni kiumbeni sawa nakusema Al-
lah ka -
jiumba Mwenyewe. Hivyo itikadiya kuw a Qur an ni kiu mbe nimiongoni mwa itikadi potofu am-
bazo watu wanatakikakana wajie-pushe nazo.
Itaendelea toleo lijalo
KITABU HIKI CHA QURAN NI KITAMBULISHO CHA
UTUME WA MWISHO, NI LUGHA YA DINI TUKUFU
YA KIISLAM, NI CHIMBUKO LA SHARIAH, NA NI
KAMUSI YA LUGHA YA KIARABU.
Na Sheikh Muhammad Duwaysh
MLINGANIAJI
7/23/2019 Imaan Newspaper issue 1
8/19
www.islamicftz.org
24 Jumada Thani 1436, JUMATATU Aprili13 , 2015
www.islamicftz.org
24 Jumada Thani 1436, JUMATATU Aprili13 , 2015
NA ABUU MAYSARA
Jeshi la anga la Marekani liliomba shiri-ka la uchunguzi wa kistratejia liitwaloRAND (Research and Development)Corporation, kuchunguza mwenendo
ambao utaathiri maslahi ya Marekani na usala-ma katika nchi za Kiislam ulimwenguni.
Wanastratejia hao walibuni muundowa ku chambua na kungamua
mielekeo ya kiitikadi ndani yaummah wa Waislam, kuchun-guza mipasuko miongoni mwamakundi mbali mbali na ku-fuatilia sababu za mudam r ef u n a m f upi za
kuongezeka kwa misima-mo mikali.
Muundo huu wa
uchambuzi ungesaidiawa tu ng a se ra wa
Marekani kuelewa stratejiaza kidiplomasia (kisiasa) na
kijeshi zinazoweza kutumika ka-tika eneo hili muhimu la ulimwen-
gu.Stratejia ya kuangamiza na kufar-
akanisha Waislam:Kwa mujibu wa andiko lao, RAND
waliona kwamba ili kuwafarakanishana hivyo kuangamiza Uislam, ina-
wapasa kutambua misima-mo minne muhimu ya
Waislam duniani.Kwa mujibu
wa RAND,m i s i -
mamo
hiyo minne ni Siasa Kali (Fundamentalists),Wahafidhina (Conservatives/Traditionalists),Wanamageuzi (Modernists) na Wasekula (Sec-ularists).
Siasa Kali, Imani Kali. Hawa wanakataa mi-fumo ya kidemokrasia na mila na utamaduni wawamagharibi. Wanataka mamlaka ya Munguisiyopingika na dola ya Kiislam ambamondani yake watatekeleza misimamoyao mikali ya sheria na maadili yakiislam. Tofauti na wahafidhi-na, hawa wanakubali kutu-mia uvumbuzi na te-knolojia ya kisasa kufi-kia malengo yao.
Wahafidh ina Kwa mujibu waRAND, kundi la pilila Waislam duniani
kiitikaadi ni lile lenyemsimamo wa kutakakuhifadhi Uislamkama ulivyokuwa zam-ani. Hawa wana masha-ka na uvumbuzi wa kisasana mabadiliko ya teknolo-jia.
Wanamageuzi wa kisasa Hawa wanataka ulimwengu wakiislam uwe sehemu ya maendeleo yakisasa ulimwenguni. WanatakaUislam wa kisasa kwa kuu-fanyia mageuzi
makubwa Uislam uende sambamba na zama zasasa.
Wasekula - Hawa wanataka ulimwengu wakiislam ukubali mgawanyo wa dola na dini kwamfumo wa demokrasia na maendeleo ya viwan-da ya nchi za magharibi ambapo dini itaachwa
itawale masuala binafsi ya mtu nahaina nafasi katika jamii au dola.
Wanastrate jia hawa waRAND wanasema makun-
di haya yana tofauti namisuguano kuhusu
masuala muhimua m b a y o n i
chanzo chamizozo ka-tika ulim-wengu waki i s l am ,
ikiwa nipamoja
na sia-s a ,uhuru
wa mtubi na fs i,
elimu, hadhiya mwanamkekatika jamii, kesiza jinai na uhalaliwa mabad iliko
au mageuziya ki-
siasa na kitamaduni kwa mujibu wa umaghar-ibi.
Wenye msimamo mkali ni maadui wa nchiza magharibi na haswa haswa Marekani na kwakiwango fulani wanadhamiria kuharibu nakuangamiza demokrasia ya kisasa.
Kwa m ujibu wa RAND, sera yaMarekani basi iwe ipi? Supportingthem is not an option, except fortransitory tactical considerations
yaani Kuwaunga mkono si chaguo stahiliisipokuwa kama ni fikra ya mpito ya kiufunditu.
Maana yake ni kwamba, wamagharibi wa-naweza kuwaunga mkono wanaowaita siasa kaliau imani kali kama mbinu ya muda tu ya kuuan-gamiza Uislam kama wafanyavyo sasa hukoSyria ambako wanaviunga mkono vikundi vyawaasi kwa silaha, fedha na mafunzo. Makundi
kama Al Qaeda, ISIS na hata Boko Haram ya-meibuka kwa mpango huu kisha hao hao wana-kuja kutangaza vita na makundi hayo na kuzidikuuvuruga Uislam.
Wahafidhina, kwa mujibu wa RAND, hawawana msimamo wa wastani lakini pia kuna to-fauti kadhaa miongoni mwa makundi ya kihafi-dhina.
Baadhi ya wahafidhina wako karibu na siasakali. Hakuna wahafidhina wanaokubalidemokrasia, mila na desturi za kisasa ingawajewanaweza kuzistahamili huku wakizuia chukizao.
Wanamageuzi ya Kisasa na wasekula wakokaribu zaidi na nchi za magharibi na maadili na
sera zao. Lakini kwa ujumla wako katikanafasi dhaifu kuliko makundi men-
gine, hawana wafadhili wenyenguvu, vyanzo vya fedha, miun-dombinu imara na jukwaa la ki-
siasa. Wasekula wana matatizo makubwa wana-pozungumza na Waislam wahafidhina zaidi kia-si kwamba wakati mwingine hawakubaliwi naWaislam wengine, kutokana na kutofautiana
kukubwa kiitikadi.Waislam washika mwendo wa zama za jadi
ya kiislam (traditional orthodox Islam) wanachembechembe ya demokrasia zinazoweza ku-
Stratejia ya wamagharibi kuwagawa WaislamuWAMAGHARIBI
WANAWEZAKUWAUNGA
MKONOWANAOWAITA
SIASA KALIAU IMANI KALI
KAMA MBINUYA MUDA TU YAKUUANGAMIZA
UISLAM KAMAWAFANYAVYOSASA HUKO
SYRIA AMBAKOWANAVIUNGA
MKONO VIKUNDIVYA WAASI KWASILAHA, FEDHA
NA MAFUNZO.
MAANA YAKE NI KWAMBA,WAMAGHARIBI WANAWEZA
KUWAUNGA MKONO WANAOWAITASIASA KALI AU IMANI KALI
KAMA MBINU YA MUDA TU YAKUUANGAMIZA UISLAM KAMA
WAFANYAVYO SASA HUKO SYRIAAMBAKO WANAVIUNGA MKONO
VIKUNDI VYA WAASI KWA SILAHA
wakubwa? Hilo la pili. (MMheshimiwa Spika,la tatu, Sura y
na ya 31 ya Quran inamtaka mwanamwa miaka 9 avae hijab. Hijab maana yamikono mirefu, avae shungi, avae gwansuruali inayoficha mapaja na mpakanajua ya kwamba serikali imetoa agizo shule kwamba wafanyiwe hivyo wale wnaotaka, sheria zote zinavunjwa.
Dini ya Kiislam inakataza pombe, Wkunywa pombe. Sasa hilo anafanya mw
Lakini ninajua pia ya kwamba kunhuku, kuna viongozi wa idara ya elimkataa kutekeleza sheria hii au agizo hiliekaa kimya, nataka nijue ni kwa sababukwa nini. Hii ni amri ya Mwenyezi MuRais anasema tusifanye chochote kinamifarakano.
Mheshimiwa Spika, lingine ni kwamka wa 30 wa uhuru. Siku ya Ijumaa nkwa Waislam kama ilivyo kwa siku ysiku muhimu kwa Wasabato kama ilivJumapili ni siku muhimu kwa Wakristkini siku ya Ijumaa ingawa kuna agkwamba Waislam waachiwe waende wviongozi siku ile ndiyo siku ya kufanya
ili kumzuia Mkurugenzi ambaye ni Manapenda kazi yake aogope. Shule zinJumapili vitoto vidogo vidogo vya Kikrda kusali. Jumamosi vitoto vidogo vidovinakwenda kusali. Siku hizi vitoto vidKiislam vinataka kwenda na wazazi utaratibu ufanywe wa dhamiri kabismaa saa 6 kazi basi kwa Waislam. WaBoard Meeting waache wafanye saa 8na shule zote za Primary na Secondaryili kuwapa nafasi watoto wa Kiislam wwali. Mheshimiwa Spika, nina mengimbia mwisho. La mwisho, Rais aliwaawote pale Dar es Salaam kwamba ataliala la elimu. Lakini akawashauri kwamdhili ambao hivi sasa wanatujengea Mpia shule. Hilo jambo zuri, na Waislamninajua ya kwamba Waislam wanatakkumwendea Rais kwenda kumshukurubo moja, natoa mfano wa Dar es Salaamnafikia asilimia 70 au zaidi. Kwenye mlam wengi kuliko Wakristo au watu wwengi, hawana kazi, jela watakuwa we
Lakini tuende kielimu. Ninayo riphuu. Waliofanya mtihani wa darasa ldarasa la tisa, asilimia 71 Waislam. Awengine. Walioshinda katika wale asiimia 21. Katika wale 29 walioshinmwenyewe. Katika asilimia 29 waliokni asilimia 79. Katika asilimia 71 waliola tisa ni asilimia 21.
Sasa kuna moja, ama Waislam wayao haifanyi k azi, ama mtu ukiwa Mhuna kitu, ama kuna k itu. Sasa namanayehusika, anaposema aseme ya kwilivyo Waislam wameumbwa wajinga. vyo kuna sababu kadha, kadha. Mwalisema zamani ifanywe bidii ya kuw
iokuwa chini. Sasa bidii hii siyo ya kuwiokuwa chini. Bidii hii ni ya kuwakaiokuwa chini.
Mheshimiwa Spika, Rais MkapWaislam. Tuli mwendea, mimi mmmambo mengi ambayo ameyashughulika ya kwamba mambo haya tuliyoyoambiwa na viongozi wa Kiislam kulyashughulikia. Lakini ninaamini kabhataweza peke yake bila ya msaada wa vhao walioko hapa. Wakisema hawa kwawaida yao hiyo. Atapata tabu Rais wanwa Spika, kengele ya pili imelia. Nashukini nataka niseme kwamba haya niliyma kwa sababu najua mimi kwambmfarakano ni suala kubwa. Penye mfamaendeleo. Penye mfarakano hakunKwenye mfarakano kuna ghasia. Kwa eomba tufanye kila jambo mfarakanoserikali imsaidie Rais katika kutekelezkwa makundi yote ili pawepo na usawa
Hotuba Ya KitwanaINATOKA UK 4
MAKALA MAALUM
7/23/2019 Imaan Newspaper issue 1
9/19
www.islamicftz.o
24 Jumada Thani 1436, JUMATATUAprili 13 , 20
10
NA HAFSWA MADIWA
U
islam umem-ruhusu nakumhimizaMuislam aji-
pambe na kupendeza iliapate kustarehe na yalealiyoumbiwa na Allah
(Subhaanahu Wataala)katika mapambo, libasi na
vyombo.A ll ah (S ub ha an ah u
Wataala) anasema kat ikaQuran: Enyi wanadamu!Hakika tumekuteremshieni
juu yenu vazi litakalo sitir itupu zenu na vazi la kujipam-ba na vazi la uchaji hilo ndilobora kwenu(7:26).
Vazi la mwanamke wa Ki-islam lina masharti yake.Makala hii fupi itaangaziamasharti haya ya hijab.
Kwanza, Uislam umem-haramisha mwanamke ku-vaa nguo zenye kudhihirishaviungo vya mwili wake navilevile umeharamisha nguo
zenye kubana, hasa sehe-mu ambazo zinawa-
vutia watu kamam a z i w a
(mati-t i ) ,kiuno,maka-
lio na
kadhalika.Kwenye jamii zetu wanawake wame-
kuwa wakivaa hijab za kubana zenye ku-dhihirisha maungo yao. Ustaadhat Ai-sha Kirangi wa Kimara anasema: Mtuanaweza kununua baibui pana yenyekumstiri vizuri, lakini ataenda kuipun-guza (maarufu kuishepu) iendane namwili.
Kadhalika, hijab yatakikana ieneemwili mzima. Allah Subhaanahu
Wataala alimwambia Mtume Muham-mad (Rehma na amani ziwe juu yake):Ewe Nabii! Waambie wake zako, na
binti zako, na wake za Waumini wajiter-emshie nguo zao. Hivyo ni karibu zaidikuweza kutambulikana wasiudhiwe. NaMwenyezi Mungu ni Mwenye kusame-he, Mwenye kurehemu (33:59).
Tujiulize ndugu zangu Waislam jamiizetu zinafata mafundisho haya yaMtume? Kwa kiasi kikubwa, jawabu ni
hapana. Na kadri siku zinavyo kwendadhana ya hijab inapotea kabisa. Wa-nawake wanavaa kama fasheni tu na sikujisitiri.
Wanawake wameamrishwa wasidhi-hirishe mapambo yao ila kwa waumezao na wengine miongoni mwa ndugu
walioruhusiwa na sharia. Kwa hadith hii,mwanamke anakatazwa kujipamba nakupita barabarani kama ilivyozoelekasasa ambapo wanawake hawajali.
Ustaadhat Aisha anasema, wanawakewengi wa kiislam wakiwa majumbanimwao na waume zao hawajipambi lakiniakitoka anajipamba mpaka hata mumehamtambui mkewe.
Aisha amekemea wanawake wal-iobadilisha dhana ya hijab na kuifanya nimtandio tu na vazi lingine lolote. Anase-ma: Wapo mabinti wanavaa fulana, su-ruali ya jinzi na ushungi mfupi usiofuni-ka vifua vyao wakisahau kauli ya Mtume(Rehma na amani ziwe juu yake) inayo-
wataka wanawake washushe shungi zaohadi chini ya vifua vyao.
Pili, hijabu ya mwanamke yatakiwaisiwe na manukato. Hadith ya Mtume(Rehma na amani ziwe juu yake) inase-ma: Mwanamke yeyote atakayejitiamanukato kisha akawapitia watu ili wa-pate kusikia harufu yake nzuri basi huwani mwenye kuzini na kila jicho litaka-
lomtizama huwa ni zinifu.Tatu, hijab inatakiwa isiwe yenye
kuonyesha (transparent) bali iwe nzito.Kundi kubwa la wanawake wa sasa wa-navaa nguo za kulalia watembeapo mi-
taani. Nguo hizo humuonyesha hadi
nguo ya ndani. Haya sio kati ya mavazituliyoruhusiwa kuvaa wanawake wa ki-islam.
Nne, hijab haipaswi kuwekwamapambo. Uislam umekataza kukiukamipaka katika mapambo hususan ku-
badilisha maumbile ya aliyoumba AllahSubhaanahu Wataala, kwani kufanyahaya, kwa mujibu wa Quran ni kutekele-za kazi ya shetani.
Kwa mujibu wa Quran 4:119, Sheta-ni ameahidi: Na hakika nitawapotezana nitawatia matamanio, na nitawaam-risha, basi watakata masikio ya wanya-ma, na nitawaamrisha, basi watabadilialiyoumba Mwenyezi Mungu. Na
mwenye kumfanya shetani kuwamlinzi wake badala ya Mwenyezi Mgu, basi huyo amekhasiri khasaradhaahiri.
Kubadilisha maumbile ni kama mibabu ya kujitengeneza (plastic surgekuunganisha nyele, kujichubua ngozkunyoa nyusi. Hawa wote wamelaa
wa.Ama katika hadith, Mtume ame
laani mwenye kuchanja, kutia chalmwenye kuchanjwa, mwenye kuchomeno na mwenye kuchongwa. Mtu(Rehma na amani ziwe juu yake) amewalaani wenye kutoa nyusimwenye kutolewa. Mtume amewalamwenye kuunga nywele na mwenyeungwa.
Kadhalika, hijab haipaswi kuwakifahari au ya kujivuna. Mtume anaseMwenye kuburuta nguo kwa majivu
Allah Subhaanahu Wataala, hatom
zama mtu huyu siku ya kiyama.Siku hizi kuna mavazi mbalimbathamani ambayo wanawake wananukwa lengo la kujitofautisha na wanaw
wenzake, aonekane yeye bora.Wanawake wa sasa wa kiislam
navaa nguo za kiume, jambo lililohmishwa. Allah Subhaanahu Watameharamisha kwa muislam mwamume na mwanamke kuvaa vazi la sia nyingine. Mtume (Rehma na amziwe juu yake) anasema: AlSubhaanahu Wataala wanaume a
walaani wenye kuj ifananisha na wnawake, na wanawake wenye kujifanisha na Wanaume(Bukhari).
Mwanamke wa kiislam ajipambeje?
Nguo ya mwanamke inay-oburuza inapopata najisi
Swali la kwanza: AliulizwaSheikh Muhammad Ibrahim AluSheikh (Allah amrehemu), kuhusuhukumu ya nguo ya mwanamke ili-
yoingia najisi kwa sababu ya kubu-ruza.
Jawabu: Haina tofauti na viatuvilivyokanyaga najisi na kisha ku-kanyaga kitu kikavu kilicho safi, nakitu kikavu bila shaka husafisha, nahii ndio kauli yenye nguvu. [RejeaFatwa wa Rasaailu Sheikh Muham-mad Ibrahim Aalu Sheikh 2/92]
Mtoto aliyekojolea nguo yamwanamke katika Swala
Swali la pili:Liliulizwa jopo lakudumu la fat-wa la Saudi Arabia:Mimi nilitawadha kwa ajili ya swala,na mtoto niliyembeba akaichafuanguo yangu kwa mkojo, nikaioshakwa maji sehemu iliyoingia mkojo,na kisha nikaswali bila ya kutawad-ha tena, je swala yangu ni sahihi ?
Jawabu:Swala yako ni sahihi,kwani mkojo wa mtoto ulio-kumwagikia hautengui udhu, una-chotakiwa ni kuuosha tu mkojo ul-iokumwagikia. [Rejea Fataawa la-
jnatud Daimah 5/286]
Twahara inayotokana namkojo wa mtoto
Swali la tatu:Liliulizwa jopo lakudumu la fatwa la Saudi Arabia:Mwanamke anapojifungua mtoto
wake wa kike au wa kiume, huwahawi mbali naye katika kipindi chaulezi wake, mara nyingi humpakatamapajani mwake, na mara nyinginenguo za mama humwagikiwa namikojo. Je katika mazingira kamahayo sharia humtaka mama huyuafanyeje? Na je kuna hukumu maa-
lum inayomhusu mtoto wa kiumeiliyo tofauti na ya mtoto wa kikekuanzia kipindi cha uzazi mpakaanapofikisha umri wa miaka miwili?
Swali letu hapa linahusu zaidi katikaupande wa twahara, swala na usum-
bufu wa kubadilisha nguo kila waka-ti.
Jawabu:Kwa mkojo wa mtotowa kiume litanyunyiziwa maji eneoililoingia mkojo, ikiwa kama mtotohajaanza kula chakula. Ikiwaameanza kula chakula, hapo pata-oshwa. Ama ikiwa ni mkojo wa mto-
to wa kike, kiujumla ule mkojo wakehuoshwa, sawa ikiwa ameanza kulachakula au hajaanza. Na msingi wamaelezo haya ni riwaya iliyopekewana Imam Bukhari na Muslim, AbuDaud na wengineo. AnasimuliaUmmi Qubays bint Mihswan:Kwamba yeye alikuja na mwanawemdogo wa kiume, ambae hakuwaameanza kula chakula mpaka kwa
Mtume rehema na amani ya Allahiwe juu yake, Mtume alimpakatamapajani mwake, (mtoto) akakojoakwenye nguo ya Mtume, Mtume re-hma na amani ya Allah iwe juu yake,aliagiza maji na kuinyunyizia ile se-hemu na wala hakupaosha. Ime-
tolewa na Abu daud, I bn Majahkutoka kwa Ummi Qubays bintMihswan: Ataosha kwa mkojo wamtoto wa kike na atanyunyiza kwamkojo wa mtoto wa kiume. Na kati-ka riwaya nyingine ya Abi DaudAtaosha kwa mkojo wa mtoto wakike na atanyunyiza kwa mkojo wa
mtoto wa kiume kama hajaanzakula. [Rejea Fatwa lajnatud Daim-ah 5/368]
Kuchafuka nguo ya Daktarina Muuguzi kwa maji ya uzazi
Swali la nne:Liliulizwa jopo lakudumu la fat-wa la Saudi Arabia:Inapochafuka nguo ya daktari aumuuguzi kwa damu au maji ya uzazi,
je inafaa kuswali na nguo hizo? Nahasa ukizingatia ugumu wa kazi namazingira sumbufu ya kubadilishanguo katika kila swala?
Jawabu:Daktari au muuguzianatakiwa aandae mavazi safi kan-doni mwake atakayoyatumia kwaswala badala ya zile zilizochafuka, nahilo halina usumbufu. [Rejea Fa-
taawa lajnatud Daimah 5/384]
Maji ya josho yaliyobakishwana mwanamke
Swali la tano:Aliulizwa SheikhAbdur Rahmani Assaadiy (Allahamrehemu),
Ni ipi kauli sahihi kuhusu mwa-naume kujitwaharisha kwa maji yali-
yobakishwa na mwanamke?Jawabu:Tofauti iliyopo kwenye
madhehebu ya wanazuoni katika su-ala hili inajulikana. Moja kati ya ri-
waya mbili za Imam Ahmad inaelezakuwa: Mwanaume hakatazwi nasharia kujitwaharisha kwa mabaki yamaji yaliyosazwa na mwanamke ka-
tika josho au matumizi mengine,yaani- hakuna tofauti kati ya kutu-miwa katika josho la kujitwaharishaau kuondoshea uchafu. Na hii ndiokauli sahihi, kwani Mtume (Rehmana Amani ya Allah iwe juu yake) ali-
wahi kuoga kwa maji ya josho yali-yobakishwa na Bi. Maimuna. Nayoni hadithi sahihi zaidi kuliko hadithiinayomkataza mwanamume kujit-
waharisha kwa maji yaliyobakishwana mwanamke.
Lipo kundi la wanazuoni wasioaf-iki usahihi wa hadithi hii, lakini ni ha-dithi isiyo na mshindani. Na mtaza-mo huu unaungwa mkono na amri
ya jumla ya kujitwaharisha kwa ku-tumia maji bila ya kiziwizi, yaani-maji ambayo hayajachafuliwa na na-
jisi yanaingia katika ujumla. Allah
anasema: (.....Na msipopata majbasi tayamamuni vumbi lilio safi) AlMaidah aya ya 6.
Sharia haikuruhusu kutayamamila baada ya kukosekana kwa maji, n
bila shaka haya tunayoyazungumzhapa yanaitwa maji. Sharia siku zothaikatazi kitu isipokuwa kwa sababuna haya nayo ni maji kama ilivyoelekezwa na Mtume (Rehema na Amani ya Allah iwe juu yake): Hakikmaji hayaingiwi na janaba. Hili n
jambo la kisharia, na lau mwanaumingekuwa anakatazwa kujitwaharisha kwa mabaki ya maji yaliyoachw
na mwanamke, bila ya shaka lingekuja andiko sahihi kulibainisha suala hilo. Na hapa ndipo ilipotudhihirikia kuwa kauli tuliyoitoa ndio sahihi.
Ama kuhusu riwaya ya pili yImam Ahmad na ambayo ndimashuhuri kwa watu wengi wa zamhizi iliyomkataza mwanamume ku
jitwaharisha kwa mabaki ya maji yaiyosazwa na mwanamke katika joshokwa bahati mbaya hadithi iliyotumika kuitolea ushahidi rai hii haikidhhaja, kutokana na udhaifu na kukinzana kwake na dalili nyingine. Amkukomea katika josho la janaba pekee hakuna dalili. [Rejea Almajmuul Kaamilah limuallafaatSheikhi Ibn Saadiy 7/88]
FATWA KWA MWANAMKE WA KIISLAMNA SHABANI MUSA
UWANJA WA WANAWAKE
7/23/2019 Imaan Newspaper issue 1
10/19
www.islamicftz.org
24 Jumada Thani 1436, JUMATATUAprili 13 , 2015
1
Ndugu mpenzi msomaji,kwanza kabisa nashikakalamu kudhihirishafurah a y angu na
shukran zangu za dhati kwa AllahSubhanahu Wataala kwa ku-
tuneemesha kuwa na chombo hikimuhimu katika kupashana habari,kuelimishana na kuitana katika njia
ya sawasawa ili tutoke katika kiza nakuingia katika nuru kwa idhini ya
Allah Subhanahu Wataala.Ninatumaini tutakitumia vizuri
chombo hiki, tutakienzi na kukilin-da ili kihudumie na kuinufaisha
jamii kwa ujumla.Aidha nachukua fursa hii kuku-
karibisha katika mfululizo wamakala mbalimbali juu ya maswalaya biashara na uchumi kwa mtaza-mo wa Kiislam. Kwa hakika Uislamni dini ambayo imekamilika kwakutoa muongozo katika kila nyanja
ya maisha ya mwanadamu ikiwemonyanja ya uchumi na biashara.
Bila shaka watu wengi wame-kuwa na shauku kutaka kujua mfu-mo wa kibiashara na uchumi waKiislam, uwepo wa taasisi na ma-shirika yanayotoa huduma za kifed-ha za Kiislam hapa nchini na nje pia
kumeibua maswali na chachu yaku-taka kujua vipi huduma hizi zinawe-za kutolewa bila riba na vipi benkiza kibiashara zinaweza kujiendesha
bila riba.Shabaha ya mfululizo wa makala
hizi ni kudurusu mada mbali am-bazo zitatoa mwangaza na uelewa
kwa wasomaji juu ya mfumo wakifedha na uchumi wa Kiislam,hivyo ndugu msomaji shime usiko-se makala hizi.
Leo katika makala yetu hii yaawali napenda kueleza juu yaumuhimu wa kufahamu utaratibu
wa kibiashara na uchumi wa Kiis-lam. Inafahamika kuwa lengo lamaisha ya mwanadamu ni ku-muabudu Allah Subhanahu
Wataala kwa kutafuta radhi zake nakumridhisha yeye tu katika kilakipengele cha maisha yetu.
Kujua utaratibu wa kibiasharawa Kiislam kutasaidia katika kufi-kia lengo hili, kwani tutaelewa
namna ya kufanya miamala ya kibi-ashara katika utaratibu ambao una-zingatia halali na kujiepusha naharamu.
Ikumbukwe kuwa moja ya mas-wa li am bay o mw an ad amu
ataulizwa ni vipi alichuma na kutu-mia. Hii inaashiria kuwa nyanja hiini muhimu sana na tunahitaji radhiza Allah Subhanahu Wataala piakatika eneo hili kwa kuchuma nakutumia katika njia za halali.
Wapo wanaoweza kuuliza na
kustajabu vipi dini izungumzie bi-ashara, huku si kuchanganya dinina biashara! Hawa hawatakuwambali na watu wa Shuaibu (Rehmana amani ziwe juu) pale waliposemaEwe Shuaibu! Ni swala zako ndizozinazokuamrisha tuyaache wal-iokuwa wakiyaabudu baba zetu, au
tuache kufanya tupendavyo katikamali zetu? ... (11: 87).
Watu wa Shuaibu walikuwa nadhana ya kutenga dini na biasharahata walipoonywa juu ya kupunja
vipimo na mizani katika biasharazao wakahoji uhusiano wa swala zaShuaibu na biashara zao.
Kwa hakika dini yetu hii tukufuhaiishii tu kwenye swala katika kutanne za misikiti yetu bali huangaza
nyanja zote za maisha mpakakwenye miamala yetu ya kibiashara.Swali la kujiuliza ni je kweli swalazetu zina uhusiano na miamala yetu
ya kibiashara? Zinatusarifu kwelikuendea biashara zetu kwa kujisal-imisha kwa Allah?
Wakati wa uongozi wake, Umarbin al-Khattab (Radhi za Munguziwe juu yake) alikua akipita sokonina bakora kuwaadhibu wafanyabi-ashara ambao hawajui kanuni zaKiislam juu ya kuuza na kununua.
Ali kua akionya kwa kaul imbalimbali maarufu kama vile:Asifanye biashara yoyote katikasoko letu asiyejua riba ni nini naAsiuze yoyote katika soko letuisipokuwa yule ambaye anaelewa
kanuni za Uislam, vinginevyoatakula riba kwa kupenda au kuto-penda.
Hapa tunajifunza namna ganiswala la kujifunza na kuwa na ufa-hamu juu ya taratibu na kanuni zaKiislam za kufanya biashara lilivy-opewa kipaumbele na umuhimumkubwa katika zama za maswa-haba na kuwa ndio kigezo kikuu chakupata leseni ya kufanya biashara.
Ni wangapi katika zama zetuhizi wanaweka jambo hili katikampango wao wa biashara na wana-
jifunza elimu hii kama wanavyo-tafuta mtaji kabla ya kuanza bi-ashara? Nikina nani wanaojali kulariba kwa kupenda au kutopendakatika biashara zao leo? Wangapi
wanajua riba ni nini na inatofau-tiana vipi na faida? Insha Allah tut-ajitahidi kufahamishana katikamfululizo wa makala hizi.
[email protected]+255713996031
Biashara na uchumi katika Uislam
SHABAHA YA MFULULIZO WAMAKALA HIZI NI KUDURUSU
MADA MBALI AMBAZOZITATOA MWANGAZA NA
UELEWA KWA WASOMAJI JUU
YA MFUMO WA KIFEDHA NAUCHUMI WA KIISLAM, HIVYONDUGU MSOMAJI SHIMEUSIKOSE MAKALA HIZI.
UCHUMI NA BIASHARANA JAMAL ISSA
NA AHMED BAWAZIR
Am es em a Mt um e Muha m-mad (Rehma na amani ziwe juu yake).
Ingelikuwa kuna Utume baadayangu basi angelikuwa Umar Ibn
Khattab.[Sahih Bukhari Juzuu ya 5, kitabu
57, no. 38].Nukuu zake:
Amesema Umar Ibn Khattab (Ra-dhi za Allah ziwe juu yake ): Mmoja
wenu angelijua ujira wa kumwambia
ndugu yake Jazak Allahu khairan, (Al-lah akulipe kheri) basi mngezidisha
kuambiana hivyo baina yenu. - [ibnAbi Shaybah, 5/322]
Amesema Umar Ibn Khattab (Ra-dhi za Allah ziwe juu yake ): Hakunakheri kwa watu ikiwa hawashauriani
na hakuna kheri kwa watu ikiwa ha-wataki kushauriwa - [Risaalat Al-
Mustarshideen, 71]Anas (Radhi za Allah ziwe juu yake
) amesema: Nilimsikia Umar akiwapeke yake nyuma ya ukuta akisema:Naapa kwa Allah!, Utamuogopa Al-
lah kiuhakika, ewe mtoto wa Khattab,au Allah atakuadhibu - [Mukhtasar
Minhaj Al-Qasidin of Ibn QudamAl-Maqdisi (p. 426)].
Amesema Umar Ibn Khattab (dhi za Allah ziwe juu yake ): Jiepusni na maadui wa Allah katika sher
zao - [Ahkaam Ahl al-Dhimm1/723-724].
HUYU NDIO UMAR IBN KHATTAB
7/23/2019 Imaan Newspaper issue 1
11/19
www.islamicftz.o
24 Jumada Thani 1436, JUMATATUAprili 13 , 20
12
Utangulizi:
Mtume Muhammad (Re-hema na amani ziwe juu
yake) alisema katikamoja ya hadith zake
kuwa: Hajapatapo mwanadamukujaza chombo kilicho na shari kuliko
tumbo lake, vyamtosha mwanadamuvijitonge vitavyousimamisha uti wakewa mgongo. Kama hakufanya hivyo(ikiwa hapana budi kula) basi the-
luthi moja iwe ni ya chakula na the-luthi (ya pili) iwe ni ya maji na theluthi(ya mwisho) iwe ni ya pumzi (Ah-
mad, Ibn Majah na Hakim). Hadithtulioinukuu hapo juu tunaifaidi zaidizama hizi za maendeleo makubwa yasayansi na teknolojia.
Shirika la Afya Duniani (WHO)linasema kuwa, ulaji wa chakula kisi-chokuwa salama (unsafe food) una-sababisha magonjwa zaidi ya miam-
bili (200) kuanzia kuharisha mpakasaratani.
Ni dhahiri kuwa dini ya Kiislam nimfumo kamili wa maisha ya mwan-adamu ambao unamfundisha mtumambo yote ya maisha yake kama
vile siasa, afya, chakula, lishe, uchumi,
jamii, elimu, vita na maisha baada yakufa.
Tatizo lililopo ni kuwa waislamwengi hawazingatii mafundisho yaQuran na Sunnah yanayosisitizamaswala ya chakula na lishe. Hali hiiinatokana na sababu kuu mbili.
Kwanza ni kutoufahamu Uislam.Mfano, baadhi ya Waislam hudhanimaswala ya chakula bora ni ya kizun-gu na sio ya kiislam. Mtazamo huu siosahihi na ni kosa kubwa kama tut-akavyoona katika mfululizo wamakala hizi insha Allah.
Sababu ya pili ni elimu ndogo ya
chakula na lishe. Hapa maana yake nikuwa kuna baadhi ya aya za Quranna Hadith za Mtume (Rehma na am-ani zimshukie) hazitekelezeki kwa ki-
wango cha kuridhisha bila ya elimuya mazingira. Mfano wake tutauonahapo chini. Mfululizo wa makalahaya unalenga kuwaelimisha waso-maji kuhusu chakula na lishe kwamtazamo wa kiislam.
Tukizungumza kama Watanza-nia, madhumuni makubwa ya Dira
ya Taifa ya Maendeleo (2025) nikuielekeza Tanzania ili ifikapo mwaka2025 Watanzania wawe wamejikom-
boa kutoka katika kundi la nchi masi-kini na kuingia katika kundi la nchizenye kipato cha kati na hali bora yamaisha. Ili kufikia ndoto hiyo, Tanza-nia lazima iwe na nguvu kazi yenyeafya na elimu bora.
Kwa upande wa afya bora, Tanza-nia imeandaa sera ya lishe ambayomadhumuni yake makubwa ni kuwa
na Taifa la watu wenye afya na lishenzuri, wenye uwezo mkubwa kiakilina kimwili utakaochangia katikakuinua maendeleo ya jamii kiuchumina hivyo kuwapa maisha bora.
Hata hivyo, licha ya juhudi za Seri-kali na wadau wengine katika kubore-sha lishe ya wananchi, takwimu zaShirika la Chakula Duniani (FAO) za
mwaka 2010 zinaonesha kuwa Tanzania ni miongoni mwa nchi kumzenye kiwango cha juu cha utapiamlokati ya nchi thelathini na sita zenye
tatizo hilo duniani.Afrika pekee ina nchi ishirini n
moja (21) zinazokabiliwa na utapiamlo mkali. Tatizo la utapiamlo has
tatizo la lishe duni linaendelea kuwkubwa nchini Tanzania kwa upand
wa upungufu wa utomwili na nishatiupungufu wa damu, upungufu wmadini joto na upungufu wa vitamin
A. Unene na uzito kupita kiasi ni katika matatizo mapya yanayoongezekkwa kasi na yanasababishwa na ulajmbaya. Makundi yalioathirika sankutokana na utapiamlo au lishe dunnchini Tanzania ni watoto wenyeumri chini ya miaka mitano, wanawake wajawazito na wanawak
wanaonyonyesha. Takwimu zinaonesha kuwa zaidi ya watoto 47,500 hufkila mwaka kutokana na utapiamlona asilimia 60 ya watoto wenye umrchini ya miaka 5 wanautapiamlo wupungufu wa wekundu wa damu(anaemia).
Tatizo hili la utapiamlo kwa Tanzania sio tu lina athiri afya na uchum
wa mwananchi mmojammoja, bapia Taifa zima kwa ujumla. HapaTanzania, tatizo la utapiamlo linasababishwa na mambo makubwa mawi
li, umasikini wa kipato na elimu ndogo ya lishe inayopelekea ulaji usiofahasa kwa wakazi wa mijini, Waislamna wasiokuwa Waislam.
Itaendelea toleo lijal
UMUHIMU WA
ELIMU YA LISHE
Salamu ni miongoni mwa
tabia za mwanaadamu zi-lizodumu kwa karne nakarne. Jamii zilizopita zili-
tumia lugha ya matamshi na isharakusalimiana ikiwemo wadogo kupi-gia magoti wakubwa au kuwashikamiguu. Hapa Tanzania, shikamooinayoitikiwa kwa marahaba ni sala-mu maarufu zaidi.
Dini ya Uislamu, ambayo ni mfu-mo kamili wa maisha umezun-gumzia salamu kwa namna namsisitizo wa kipekee. Katika Uislam,mtu anapofika katika makazi ya
watu au hata nyumbani kwakeameamriwa na Allah Subhaanahu
Wataala kusalimia.Allah Subhaanahu Wataala ana-
waamrisha viumbe wake katikakitabu chake kitakatifu, Quran ku-
toa salamu: Enyi mlioamini! Msi-ingie nyumba zisizo nyumba zenumpaka muombe ruhusa, na mwa-
tolee salamu wenyewe. Hayo ni borakwenu mpate kukumbuka (24:27).
Imam Bukhari na Imam Mus-lim, Radhi za Mwenyezi Munguziwe juu yao, wamehadithia kwamba
mtu mmoja alimuuliza Mtume Mu-hammad (Rehma na amani ziwe juu
yake) kuhusu ubora wa dini ya Kiis-lam. Mtume Muhammad (Rehmana amani ziwe juu yake) akamjibu,ni kusalimia yule unayemfahamu nausiyemfahamu, bila ubaguzi.
Kipindi Mtume Muhamad (Re-hma na amani ziwe juu yake) alip-owasili katika mji wa Madina, baada
ya kuhama Makka, aliwausia masa-haba juu ya jinsi ya kuleta umoja na
wenyeji wa madina. Alisema katikahadithi iliyopokewa na Tirmidhi:Enyi watu salimianeni, walisheni
watu, imarisheni udugu na mswalinyakati za usiku (Tahajjud), kufanyahivyo kutawasaidia kuingia katikapepo ya Allah (Subhaanahu Wataa-
la) kwa amani.Katika hadith nyingine iliy-
opokewa na Abu Dawud. Mtume
Muhammad (Rehma na amani ziwejuu yake) amesema: Waislam wawiliwanapokutana (wakasalimiana) nakupeana mikono wanasamehewadhambi zao kabla hawajaachana.
Maneno hayo yalileta amani naupendo baina ya maswahaba walio-hamia kutoka Makka na wenyeji wamji wa madina. Allah (Subhaanahu
Wataala) ni shahidi wa haya alipose-
ma katika Suuratil Hashri (59: 9):Na walio na maskani zao na Imani
yao kabla yao, wanawapenda walio-hamia kwao, wala hawaoni choyokatika vifua vyao kwa walivyo pewa(Wahajiri), bali wanawapendeleakuliko nafsi zao, ingawa wao
wenyewe ni wahitaji. Na mwenyekuepushwa uchoyo wa nafsi yake,
basi hao ndio wenye kufanikiwa.Salamu husaidia kujenga jamii
yenye maelewano, amani na upen-
do. Ukipita ugomvi baina ya wawili,dawa ni kusalimiana. Mtumeamesema: Hakika, hamtaingiapeponi mpaka muamini, nahamtaamini mpaka mpendane. Ki-sha akawaambia masahaba, Ni-
waambie kitu mkifanya mtap-endana? Akasema, Salimianeni.
Salamu huashiria mwanzo wamapatano. wakati wa msiba wa Rais
wa Kwanza wa Afrika kusini huruNelson Mandela mwaka 2013 ulim-
wengu ulitafsiri kitendo cha Rais waMarekani, Barack Obama kusalimi-ana na hasimu wake Rais wa Cuba,Raul Castro kama mwanzo wamwisho wa uhasama. Maelezo hayo,
yanaonesha Uislam ulivyosisitizasalamu. Kwa bahati mbaya sasa uta-maduni wa kusalimiana katika jamiizetu, mitaa, maofisini katika mijimikubwa kama ya Dar es salaam
umeanza kufifia huenda kwa sababuya utandawazi.
Hata hivyo, mwanazuoni, SheikhMuhamad Al-Mukhtar anasemaHatujachelewa kurejesha ma-fundisho ya Mtume Muhammad(Rehma na amani ziwe juu yake)
yaliy opotea katika jamii yetu.Anaongeza: Ni wajibu wa wazazi,walimu, wazee na waumini wa-nawake kwa wanaume kujenga uta-maduni wa kusalimiana.
Sheikh Al-Mukhtar anahitimi-sha kwa kusema: Wakati amani(Salaam), rehema za Allah na Bara-ka zinapoteremka kwa kiumbe cho-chote au jamii, amani na utulivuhutamalaki.
Salamu ya Kiislam:Mtume Muhammad (Rehma na
amani ziwe juu yake) amewafundis-ha Waislam kusalimiana kwa kuse-ma Assalaamu alaykum (Amaniiwe juu yenu), ambayo hujibiwa kwa
Waalaykum salaam. Ama kwa uka-milifu wake, na fadhila zaidi Muis-
lam aseme: Assalaamu alaykum warahmatullahi wa barakatahu.
Kuanza kusalimia inatajwa kuwani sunnah, lakini kujibu salamu ni
wajibu. Mtu aliye kwenye kipandoaanze kumsalimia anayetembea,anayetembea amsalimie aliyekaa nakundi dogo lisalimie kubwa.
Salamu: Ufunguo wa jamii ya maelewano
UKIPITA UGOMVI BAINA YA WAWILI, DAWA NI
KUSALIMIANA. MTUME AMESEMA: HAKIKA,
HAMTAINGIA PEPONI MPAKA MUAMINI, NA
HAMTAAMINI MPAKA MPENDANE
ABDULHAKIMU NSOBIAMILA NA DESTURI
Dk. Pazi Mwinyimvua
AFYA
7/23/2019 Imaan Newspaper issue 1
12/19
www.islamicftz.org
24 Jumada Thani 1436, JUMATATUAprili 13 , 2015
1
MASOUD MSELLEM
MAPITIO YA VITABU
MIMBARI YA TAREEKH
Katika mwezi kama huu wa Kiislam
tunaoendelea nao wa Jumada Ath-Thaniy, Mtume (Rehma na amaniziwe juu yake) alituma kikosi maa-
lumu (sariya) kwa ajili ya kupambana na baa-dhi ya makabila ya mabedui wa kiarabu husu-san Bani Qudaa katika maeneo ya mipaka yaSham.
Kimsingi hatua hiyo ya Mtume (Rehma naamani ziwe juu yake) ililenga kukabiliana nakuuvunja nguvu utawala wa Kirumi (Byzan-
tine). Utawala huo wakati ule ulikuwa ukilita-wala kisiasa eneo lote la Sham likijumuisha ar-dhi yote ya leo ya Syria, Lebanon, Jordan, Pal-estina n.k.
Baadhi ya makabila ya mabedui yaliy-okuwa yakiishi mipakani na Sham yalikuwa
washirika wakubwa na yana ukuruba mkubwana dola ya Warumi (Byzantine) katika kuten-da uadui dhidi ya Waislam na dola yao.
Kikosi kilichotumwa na Mtume (Rehmana amani ziwe juu yake) kinajulikana kwa jina
la Dhat As- Salasil kilitumwa ndani ya mwaka
8 Hijiri chini ya uongozi wa sahaba Amr binAl-As (Radhi za Mungu ziwe juu yake).Mtume (Rehma na amani ziwe juu yake)
akiwa amiri jeshi mkuu wa dola ya Kiislam al-imkabidhi kamanda wa kikosi hicho Amr ib
Ass bendera maalumu ya Kiislam katika msa-fara wake na kumpatia mujahidina karibu 350
wakiwemo wapiganaji werevu.Aidha, Mtume (Rehma na amani ziwe juu
yake) alimtaka kamanda wake lau hali ya kivitaitakuwa mbaya basi ayatake makabila ya mae-neo hayo, yaliyosilimu na ambayo yana mahu-siano mazuri na Waislam yasaidie katika ma-pigano hayo.
Miongoni mwa makabila yaliokuwa kandokando na medani ya vita ni Bali, Udhra, naBalqa. Kama kawaida Mtume (Rehma naamani ziwe juu yake) alidhihirisha uerevumkubwa wa kisiasa kwa kumteua Amr Ibn Al-
Ass kuwa kamanda wa kikosi hicho, kwa kuwa
pia nasaba ya ubabani kwake ilikuwa karibuna kabila la Bali.
Ikumbukwe kwamba jihadi katika shariaya Kiislam hubeba ufahamu mmoja tu. Katikamuktadha wa kuwa chini ya utawala wa Kiis-
lam, ni mapigano ya kivita chini ya dola ya Ki-islam pale diplomasia inaposhidwa kufanyakazi. Uislam unaitumia jihadi kuwa ni ala auchombo cha kubebea siasa ya nje ya dola ya Ki-islam.
Jambo hilo lilitendwa zama za Mtume (Re-hma na amani ziwe juu yake) na zama za ma-khalifa wote baada yake. Dhamira ya jihadi siokama vita vya msalaba (Crusade) kumwagadamu na kulazimisha watu kuingia katikadini.
Wala jihad sio vita kama vinavyopiganwaleo na madola ya kibepari kama Marekani nawenzake wakilenga kuuwa wasio katika uwan-ja wa vita, kuzowa rasilmali za nchi changakuzipeleka nchini mwao na kuzitenza nguvunchi hizo kwa matakwa yao ya kisiasa, kiuchu-mi, kijeshi nk .
Lengo la jihadi ni kuondowa kila aina ya ki-zuizi kilichoko mbele ya dola katika kuwafik-ishia wanadamu nuru, ukweli, uadilifu na us-alama wa Uislam kwa kuutekeleza Uislam juu
yao katika nyanja zote. Ama watu hao kuingiandani ya Uislam au kubakia katika dini zao,
hilo huwa ni khiyari yao baada ya kuona kwa
uwazi bila ya upotoshaji mfumo wa Uislam.Hii ndio maana mpaka leo katika miji
mikubwa ya Kiislam bado yapo majumba yakale ya ibada na wafuasi wa dini nyingine. Piadola ya Kiislam ilikuwa ikihamisha makaomakuu yake kutoka mahala pamoja kwendamji mwengine. Kwa kuwa haikulenga kuchotarasilimali za sehemu moja kuzipeleka sehemunyengine ikiwemo maeneo wanayotoka.
Katika hali kama hiyo ndio maana katika
uhai wa dola ya Mtume (Rehma na amaniziwe juu yake) na baada yake, ajenda nyeti yakukabiliana na dola ya Kirumi ilibebwa kwauzito mkubwa. Kwa sababu dola hiyo ilidhi-hirisha wazi wazi kuwa ni kizuizi kikubwa ka-
tika ulinganizi wa Kiislam.Ndio maana tunaona kwamba harakati za
kijeshi za kikosi hiki cha Dhat As- Salasil dhidiya Warumi na washirika wake hazikuwa zamwanzo wala za mwisho. Bali kampeni dhidi
ya dola ya Kirumi ilikuwa ni kampeni endele-vu. Mfano hai, mwezi mmoja tu kabla ya ku-tumwa kikosi hiki, Waislam walipigana naWarumi katika Vita vya Mutah.
Vita vikali dhidi ya dola ya Kirumi vilion-gozwa na majemadari wakubwa wanne waKiislam. Wote wanne walikufa mashahidkishujaa na kwa ujasiri wa kupigiwa mfano.Na ukiangalia sababu ya msingi ya kutokea
vita vya Mutah, ni baada ya Sharahabiil bin
Amr Al-Ghassan, gavana wa Warumi katikaeneo la Al-Balqa na mshirika wa karibu waCaesar mtawala wa Kirumi, kumuuwa kwadhulma Al-Harith Umair Al-Azdi, balozi wa
dola ya Kiislam aliyetumwa na Mtume (Reh-ma na amani ziwe juu yake) kufikisha barua yaulinganizi wa Uislam.
Kikosi cha Dhat As- Salasil kilikabiliana najeshi kubwa kiasi cha Mtume (Rehma na ama-ni ziwe juu yake) kuongeza nguvu kutokaMadina makao makuu ya dola. Kikosi cha ku-
tia nguvu kilikuwa chini ya sahaba Abu Ubai-dah bin Al-Jarrah (Ra). Na vikosi vingine vi-dogo vidogo vilitumwa zaidi ambavyo ndani
yake walikuwemo masahaba wakubwa kamaUmar na Abubakar (Ra).
Licha ya uchache wa idadi yao na zana,Waislam walifanikiwa kupenya ndani yangome ya kabila la Qudaa, wakapigana kishu-
jaa na kwa ujasiri mpaka wakapata ushindi.Huo haukuwa mwisho wa Waislam kuka-
biliana na Warumi. Kwa kuwa jihadi ni ibadainayoendelea kama ibada nyingine. Mwaka
uliofuata Mtume (Rehma na amani ziwe juuyake) aliandaa jeshi, na yeye binafsi kushirikikatika vita vikali sana vya Tabuk dhidi ya haohao Warumi mipakani mwa Syria.
Kadhalika, siku chache kabla ya kufarikikwake Mtume (Rehma na amani ziwe juu
yake), alituma kikosi cha kupambana na hawahawa Warumi chini ya uongozi wa kamandakijana, Usamah bin Zaid. Mapambano hayo
yaliendelea hata baada ya Mtume (Rehma naamani ziwe juu yake) katika zama za Abubakarhadi vita vya Yarmouk. Hatimae, ndani yamwaka 1453 chini ya Khalifah Muhammad
Al-Fatih, makao makuu ya dola ya Kirumi ka-tika mji wa Constantinople/Istanbul, Uturukiya leo ukafunguliwa rasmi (fathi) na kuwa chi-ni ya himaya ya Waislam na dola yao. Tukiohilo kubwa na tukufu ni kama alivyobashiri,mbora wa viumbe na mkweli wa kauli, Mtume
wetu (Rehma na amani ziwe juu yake).
Kutumwa kikosi cha dhat
as-salasil (Jumada Ath-
thaniy 8 AH )
Kitabu:Al Fusuul Fii Mustwalahi Had-ithi r-RasuuliMwandishi:Haafidh Thanaau-ll-waahi ZaahidyMfasiri:Shaykh Muhammad Issa
Neno la Mwandishi:Sifa zote ni zake Allah pekee, Reh-
ma na amani ziwe juu ya yule ambayehakuna nabii baada yake, Muhammadibn Abdillaahi, na (ziwe) juu ya familia
yake na maswahaba wake, na juu yakila mwenye kushikamana na diniyake na akaongoka kwa mwongozowake.
Ama baada (ya hayo): hiki hapa nikitabu Fusuulun Fiy Ilmi Mustwalahil-Hadithi n-Nabawiyy s-Shariyf, kwamujibu wa mtaala unaotumika kwaajili ya wanafunzi wa mwaka wa pilikatika Chuo Kikuu cha Kiislam katikamji wa Swaadiq Abaad Pakistani.
Nimekusanya kutoka katika vitabuvya Maimam wa Hadith ili kutoshelezayale anayoyahitaji mwanafunzi katikahatua ya Ibtidaai iliyotajwa miongonimwa misamiati muhimu ya ilmu hiitukufu, kwa utaratibu mwepesi na ul-iowazi kufahamika, na ibara zilizo-fupishwa zenye kutosheleza katika ris-
alah niliyoiita Al Fusuulu Fiy Must-walahi Hadiythi r-Rasuuli.
Na namuomba Allah Subhaanah-uu wa Taala anufaishe kwacho wa-nafunzi, na anikubalie (amali hii) nayendiye mwenye kuwafikisha na kutianguvu, na ni muweza juu ya kila kitu,na mwenye wasaa mpana kuitikiamaombi, na kila sifa njema anastahiki
Allah Mola Mlezi wa walimwenguwote.
Mlango wa Kwanza:
Adabu za Mwanafunzi (wa Il-mul Hadith)1. Jambo la kwanza lililowajibu kwa
mwanafunzi wa Hadith za Mtume(Rehma na amani ziwe juu yake) niaitakase nia yake katika kusomakwake, kwamba kusudio lake kwa ku-fanya hivyo liwe kutafuta radhi za AllahSubhaanahuu Wataallah, na wala asii-fanye ilmu hii nyenzo ya kumpatia kitukatika machumo ya kidunia.
Kwani amepokea Abu Hurayrah(hadith) Marfuu: Mwenye kujifunzailmu miongoni mwa zenye kutafutwakwazo radhi ya Allah akawa hajifunziila ili apate sehemu ya chumo la kidun-ia hatonusa harufu ya pepo siku ya Qi-
yamah Hadith sahihi, ameisimuliaAbu Dawuud kwa nambari 3664, na
Ibn Majah kwa nambari 252).Na ikapokewa (hadith) kutoka kwa
Jabir ibn Abdillahi (Radhi za Allahziwe juu yake) Marfuan: Msijifunzeilmu kwa lengo la kulumbana kwayona Maulamaa, au kujiringishia kwayo
wasiojua, au mpate kuchagua kwayovikao vya kuzungumzia. Mwenye ku-fanya hayo basi moto (wa Jahannam)!Moto (wa Jahannam)! (Hadith sahihiameisimulia Ibn Majah kwa nambari254 na Ibn Hibbani katika swahihi
yake kwa nambari 674).
2. Na inamuwajibikia mtafutaji wailmu hii ajitahidi katika kujipambakwa khulqa njema na adabu zenye ku-ridhiwa kipindi chote cha kutafutailmu na baada yake.
Kwa hakika amesimulia AbuDardaa (Rahdi za Allah ziwe juu yake)Marfuan: Hakuna kitu kilicho kizitozaidi kitakachowekwa katika mizani(ya kupima mema na mabaya siku yaQiyama) kuliko tabia njema (Sahihi,
Ameisimulia at-Tirmidhiy kwa nam-bari 2003).
Na kutoka kwa Abdillahi ibn Umar(Radhi za Allah ziwe juu yake)Marfuan, amesema Mtume (Rehmana amani ziwe juu yake): Wabora
wenu ni wale wenye tabia njema. (Sa-hihi, ameisimulia at-Tirmidhiy kwa
nambari 1975).Na akasema Abu Aswim an-Babiyl
(Rehma za Allah ziwe juu yake)Mwenye kutafuta (ilmu) hii ya Hadithkwa hakika ametafuta jambo lililo juukabisa, basi anapaswa awe mbora wa
watu.3. Na inatakika mtafutaji wa ilmu
ayafanyie kazi yale anayoyasikia mion-goni mwa Hadith. Kutokana na Ha-dith aliyoisimulia Abuu Barzah al-
Aslamiyyu (Radhi za Allah ziwe juuyake) Marfuan, kasema Mtume (Reh-
ma na amani ya Allah iwe juu yake):Hautaondoka unyayo wa mja siku yaQiyamah mpaka aulizwe kuhusu umri
wake aliumalizaje, na kuhusu ilmuyake aliitumiaje,na mali yake aliichu-maje na aliitumiaje, na kunako kiwili-
wili chake alikichakaza katika yepi?(Sahihi, ameisimulia at-Tirmidhiy kwanambari 2417).
4- Na inamuwajibikia mtafutaji wailmu kuwaadhimisha masheikh zakekwa taadhima kubwa, na kuwapaheshima kubwa na kuwakirimu takri-ma kubwa. Kutokana na Hadith ya
Anas ibn Maalik (Radhi za Allah ziwejuu yake) Marfuan, Mtume wa Allah(Rehma na amani ziwe juu yake) alise-ma: Si miongoni mwetu asiyewara-hamu wadogo zetu na asiyewahesh-
imu wakubwa zetu (Sahihi, amei-simulia at-Tirmidhiy kwa nambari
1919 na Ahmad katika Musnad ykwa nambari 2325).
5- Na inamuwajibikia mtafutajilmu hii asiwe bakhili kwa anayoykia, na awafahamishe ndugu zmiongoni mwa wanafunzi ambao uhamu na werevu wao ni chini yaKutofanya hivyo ni katika makosa