Upload
imaan-newspaper
View
2.087
Download
7
Embed Size (px)
DESCRIPTION
Imaan Newspaper Issue 38 Rajab 1436, Jumatatu, Mei 4 - 10, 2015
Citation preview
7/17/2019 Imaan Newspaper Issue 3
http://slidepdf.com/reader/full/imaan-newspaper-issue-3 1/15
Head off ice, Lumumba Street, Opp: Viwanja vya Mnazi Mmoja, P. O Box 779 Dar es Salaam, TanzaniaTell: 255 22 2182482/ 255 222184419, Fax: 255 22 2181424, E-mail: [email protected]
Tumekwisha!
ISSN 5618 - N0. 003 BEI: SH800/- KSH80/- USH1,200/- 8 RAJAB 1436, JUMATATU, APRIL 27 - MEI 3, 2015 www.islamicftz.o
huwatoa watu gizani
Saudia yaboresha taratibu za Hijja - Uk 3
Sheikh Juma Poli: Ni muasisi wa JASUTA - Uk 5
Maafa Pemba: The Islamic Foundation yachangia zaidi ya milioni 10 Zaidi ya familia 100 zaathirika - Uk. 2
Vituo vya kuleayatima vyafungiwa
Idadi kupunguzwaMachokoraa
kuongezeka
Tumekwisha!
7/17/2019 Imaan Newspaper Issue 3
http://slidepdf.com/reader/full/imaan-newspaper-issue-3 2/15
www.islamicftz.
8 Rajab 1436, JUMATATU Aprili 27 - Mei 3 ,
2
Saudia yaipa Serikali ya Tanzania tani 100 za tende
Taasisi ya The Islamic Foundation imechangisha kutoka kwa wadau wake zaidi ya Ts
Milioni 10 kupitia radio na Tv Imaan kwa ajili ya kusaidia wananchi walioathirika naupepo mkali uliovuma katika kisiwa Panza Wilaya ya Mkoani, Pemba usiku wa kuamAprili 22 mwaka huu. Pichani juu ni baadhi ya nyumba zilizoathirika. Habari zaidikuhusu tukio hili zitatoka toleo lijalo Insha-Allah.
Mtumishi wa Wizara ya Mambo ya Fedha ya Saudi Arabia, Mohamed Alhajabani(wa kwanza kushoto) akimkabidhi tende Afisa Mwandamizi wa Serikali kutokaWizara ya Mambo ya Nje ya Tanzania, Leonce Bilauri (wa kwanza kulia).Anayeshuhudia (katikati) ni Kaimu balozi wa Saudi Arabia nchini Sa’ad Al-asiri.Tende zilizotolewa ni tani 100 zenye thamani ya Tsh. Milioni 196.
HABARI
NA MWANDISHI WETU
S
erikali ya Saudi Ara- bia kupi tia ubal ozi
wake hap a nchiniumekabidhi msaada wa tan i mia moja za ten dezenye jumla ya Tsh. Milioni 196(Tsh.196,000,000/=) kwaSerikali ya Tanzania ikiwa niishara ya mahusiano mema
baina ya nchi hizo mbili.Makabidhiano hayo yame-
fanyika hivi karibuni katikaubalozi wa nchi hiyo jijini Dares Salaam kwa kuwakutanisha
watumi shi mba li mba li wa
ubalozi huo na maafisa waan-damizi wa Serikali.
Akizun gumz a mb ele ya waandishi wa habari wakati wa
kukabidhi msaada huo, mtu-mishi kutoka Wizara ya Mam-
bo ya Fedha ya Saudia Arabia,Mohamed Alhajabani alisemakuwa, tende hizo ni zawadi yaMfalme Salman bin Abdulazizkwa Watanzania.
``Kiasi hiki cha tende ni za- wadi ya Mfalme Salman bin Abdulaziz i wa Saudi Arabiakwa Watanzania wote; vilevileni muendelezo katika mlolon-go wa misaada mingi iliyowahi
kutolewa na Serikali ya nchihiyo kwa taifa hili”, alisema
Alahajaban.Kwa upande wake, Afisa
Mwandamizi wa Serikali, Le-once Bilauri ambaye alimwak-ilisha Mkurugenzi wa Idara yaMashariki ya Kati, Balozi Has-san Simba alisema: “Serikali yaTanzania inatambua mchangomkubwa wa Saudi Arabia kati-ka kuchangia maendeleo nchi-ni, lakini pia niwahakikishiekuwa kiasi hiki cha tende zita-
wafikia walengwa, kwani zitak-abidhiwa kwa taasisi zinazo-husika ili zisambazwe kwa wa-
“Afya”is naturalsource of sweetdrinking waterfrom under-
ground streamwhich is blended
with essential
minerals to sup-port and aid per-fect metabolism.
WATERCOM LIMITED
P.o. Box 20409, Plot N.4005, Kisarawe11 area
Temeke,Daresalaam, Tanzaniawww.watercomtz.com, E-mail:[email protected]
MAAFA PEMBA
nanchi”.Katika hatua nyingine
Mwenyekiti wa Taasisi yaThe Islamic Foundation,
Aref Nahdi ambaye alia-
likwa kushuhudia mak-abidhiano hayo, ameli-ambia gazeti hili kuwa
watanzania wanatakiwa
kushukuru kwa kupatiwa
hidaya hiyo, ambapo piaalizitaka taasisi zitaka-zogaiwa amana hiyo ku-fanya uadilifu kwa ku-
wafikishia walengwa.
7/17/2019 Imaan Newspaper Issue 3
http://slidepdf.com/reader/full/imaan-newspaper-issue-3 3/15
YUSUFU AHMADI NA
YUSUFU AMINI, DAR
Serikali imeshauriwa kusi-mamisha mkakati wake wakuvifungia vituo vya kulea
watoto yatima badala yakeiviongoze, ivilee, ivisaidie na kuvi-wezesha kutoa huduma bora zaidikwa watoto kwa sababu ni bora mtotoalelewe katika mazingira duni kulikokujilea mtaani.
Akizungumza kwa niaba ya wami-liki wenzake ambao vituo vyao vime-fungiwa katika mikoa mbalimbali yaTanzania, Bi Aminajati Kilemia,amezitaka mamlaka husika kufikiriamara mbili kabla ya kuchukua hatua,kwani vituo hivyo vinasaidia kupun-guza watoto wa mitaani na matukioya uhalifu.
Bi Aminajati ni mmiliki wa Kituocha Kulea Watoto cha Hiari kilichopokatika Manispaa ya Temeke, jijini Dares Salaam ambacho pamoja na vituovingine kadhaa vilivyopo katika man-ispaa hiyo vilifungiwa hivi karibuni.
“Si sahihi kwa Serikali kuvifungiavituo hivi vinavyosaidia kutunza wa-toto walio katika mazingira magumuna kupunguza watoto wa mtaani am-bao huishia kuwa wahalifu”, alisemaBi Kilemia.
Bi Kilemia aliongeza kuwa, kuleawatoto yatima ni kazi ya kujitolea
inayotokana na huruma. Ni vigumukujikamilisha kwa kila kitu kamaSerikali inavyotaka, badala yake ni
vema Serikali isaidie wamiliki wana-pokwama. “Mimi kituo changukimefungiwa kwa madai kuwa eneoni dogo na mazingira yake si mazuri,sasa mimi hela ya kununua kiwanjacha mamilioni nazitoa wapi, nadhani
katika hili Serikali haina budi kusaid-ia,” alisema Bi. Kilemia.
Naye Husna Abdul, ambaye nimsimamizi wa kituo kimoja cha wa-
toto yatima kilichopo Tanga amese-ma, Serikali yenyewe haijaweza ku-
wapatia makazi, chakula na malazi watoto waishio k atika mazingira
magumu mitaani, ingawa huo ni wa- jibu wake. Kisha Husna alihoji: “Seri-kali inapata wapi utashi wa kuvifunga
vituo vilivyowapa watoto makazi,chakula, malazi na uhakika wa mai-sha ambayo hawayapati mitaani”.
Husna amesifia na kupongeza uk-aguzi wa vituo vya kulelea watoto, vi-kiwemo vya mayatima na madrassah
nchi nzima, lakini ameonya kuwaSerikali inapokuta upungufu iangaliehatua inazozichukua zisiwe na ma-
tokeo hasi.
SABABU ZA VITUO
KUFUNGWA:
Katika mkakati huo wa Serikali,
baadhi ya vituo vya kulelea watoto ya- tima na vingine vya malezi ya kiroho(madrasa) vimefungiwa katika mikoakadhaa, ikiwemo Kilimanjaro, Dar esSalaam na Dodoma.
Sababu za kufunga vituo hivyo in-adaiwa ni kutokuwa na usajili, maz-ingira hatarishi, baadhi ya vituo ku-fundisha karate, watoto kukoseshwaelimu na wahusika kujinufaisha bin-afsi.
Katika suala la usajili kuna mas- wali kadhaa ya kujiuliza katika sakatahili la kuvifungia vituo hivi. Je, kweli
vyote ni vituo vya watoto/mayatima?Kama jibu ni ndiyo, wahusika wa-
likuwa wapi miaka yote hii vituo vi-kiendeshwa pasina usajili?
Kadhalika, je hatua zilizochukuli- wa zi lizingatia madhara ya mudamrefu kwa watoto na walezi wao wal-iowapeleka katika vituo hivyo? Wa-zazi na walezi hao walipewa nafasi yakusikilizwa kuelewa matatizo ilimambo yasije kujirudia tena?
Wachamb uz i wa nase ma in-
gewezekana kwa Serikali kuvmwongozo jinsi ya kusajili, kuviensha na kisha kuwapa muda wahu
wa vituo hivi kufanya marekebish Wachambuzi wanasema, ku
fungia si ufumbuzi kwani tunawkujikuta tukiongeza idadi ya wat
wa mitaani. Mmoja wa wadau wa tuo hivi, Jamal Kassim alihoji: “Kakuishi katika kituo kisicho na usni mazingira hatarishi, tuseme kuhusu maelfu ya watoto waishio
taani? Yepi ni mazingira hatarishiSerikali inajua ukubwa wa ta
la watoto yatima ambao kwa t wimu zake yenyewe wanakadirkufikia milioni 2.4. Kutokana na wgi huo, wananchi wengi wanaamSerikali ingepaswa kutoa msaadamiongozo, usajili na jinsi ya kuensha vituo vya kulea watoto yatima
vile vya malezi vinavyoanzishwa watu binafsi au taasisi pasina kufu taratibu badala ya kuvifunga.
Hoja nyingine iliyoshangaza wgi ni kituo kufungwa kwa sababukufundisha watoto karate. Abduldir Omar, mtaalamu wa sanaa za mpigano na mwalimu wa watotomchezo huo, amehoji kuna kosa g
watoto wakijua karate? Abdulkadir anasema: “Michez
moja ya mambo yanayohimizwaSerikali katika mashule, kuna ubgani iwapo watoto wa kituo cha yma wakifundishwa mchezo huo a
bao siyo tu mchezo, bali ni ulinzi bafsi (self defence)?”.
Katika wilaya ya Temeke Mra wa Ulinzi na Usalama wa mtkutoka ofisi ya Ustawi wa JamiiSubisya Kabuje, ambako vituo vilofungiwa katika wilaya ya Temekekikiuka miongozo na sheria ya mnamba 21 ya mwaka 2009.
Ametaja sheria na kanuni ziliziukwa kuwa ni vituo kutosajiliwakutotoa taarifa kwa mamlaka huspale wanapowachukua watoto
Kabuje alisema kuwa, waliwaand wamiliki wa vituo hivyo kuwatkufuata sheria na miongozo ya j
ya kuendesha vituo vyao pamojakurekebisha mazingira ya vituo vy
Hata hivyo, madai hayo yote yaingwa na wamiliki na watendaji
vituo vya kulelea yatima na vilemalezi. Katibu wa kituo cha ma
ya wajane na watoto yatima cha Sna kilichopo katika Manispaa yameke, Jijini Dar Es Salaam ambanacho kilifungiwa, Said Athumamesema wao wamekuwa wakifusheria katika baadhi ya vipengikiwemo kufika kwa serikali za vna kufanya makubaliano kabla ha
jawach uku a hao wat oto .
Kuvifungia vituovya malezi nikuongeza idadiya watoto wamitaani kamahawa..
HABARIwww.islamicftz.org
8 Rajab 1436, JUMATATU Aprili 27 - Me i 3 , 2015
HABARI
WACHAMBUZI WANASEMA INGEWEZEKANAKWA SERIKALI KUVIPA MWONGOZO JINSI YAKUSAJILI, KUVIENDESHA NA KISHA KUWAPAMUDA WAHUSIKA WA VITUO HIVI KUFANYA
MAREKEBISHO
Tumekwisha!
U
NA RAMADHANI ALI
–MAELEZO ZANZIBAR
Waislamu wa Zanzibar
w a n a o t e g e m e akutekeleza Ibada yaHijja mwaka huu
wameshauriwa kukamilisha mipan-go ya safari hiyo mapema ili kuzi-wezesha taasisi zinazosafirisha ma-hujaji kuweza kukamilisha taratibumpya zilizowekwa na Serikali yaSaudi Arabia.
Afisa katika Kamisheni ya Wakfuna Mali ya Amana, Ustaadh KhalidMrisho,ameliambia kongamano lamahujaji kuwa Serikali ya SaudiArabia imebadilis ha tara tibu zamaandalizi ya Hijjah kuanzia mwa-ka huu kufuatia malalamiko ya ma-
hujaji kutokana na vitendo vyaudanganyifu vya baadhi ya taasisizinazosafirisha mahujaji kutokamataifa mbali mbali duniani.
“Baadhi ya viongozi wa taasisi zi-nazosafirisha mahujaji walikuwa
wakiwatoza fedha mahujaji wao kwaajili ya kulipia viwanja vya ndege vyaMakka na Madina lakini walikuwahawalipi na kupelekea mahujaji ku-zuiliwa kwa saa kadhaa,”alisema Us-
taadh Khalid.
Alisema taasisinyingine zilikuwazinawaahidi mahujaji kuwakodia
nyumba nzuri za karibu katika mijimitakatifu ya Makka na Madina la-kini wanapofika huko huwekwakwenye nyumba mbovu, mbali na
wengine hukosa huduma ya chaku- la. Alisema kat ika kukabiliana namatatizo hayo Serikali ya Saudia
Arabia kuanzia sasa imeziagiza taa-sisi zinazosafirisha mahujaji kufan-
ya taratibu zote za maandalizi ya sa-fari, makazi na matembezi kwa njia
ya mtandao na kulipa gharama zote
wakiwa nchini mwao. Alisema iwapo taratibu hizo haz-
ikukamilika hujaji atakosa visa yakuingia Saudi Arabia na atakosakutekeleza ibada ya Hijjah kwamwaka huo.
Aliongeza Juni 27 ndio siku yamwisho kukamilisha taratibu zamahujaji na baada ya tarehe hiyomtandao huo utafungwa.
“Lengo la uwamuzi huo wa Saudi Arabia ni kuwaondoshea mahujajiusumbufu usiowalazima wakati wakutekeleza ibada hiyo”, alisisitiza
Ustaadh Khalid. Aliwakumbusha mahujaj i wa-
tarajiwa kuwa waangalifu na mi yao wakati wa safari na wapokuwa nchini humo na wataporejea kuchukua kiwango mizigo kinachokubalika kwendege.
Akifungua kongamano hilo liloandaliwa na Umoja wa TaasisHijja Zanzibar (UTAHIZMwenyekiti wa Bodi na kufanykatika ukumbi wa Beit al YamMalindi, Sheikh Khamis Abdulmid amewasisitiza Waislamu weuweze kutekeleza ibada ya Hijjkukamilisha Uislamu wao.
Mwaka huu Tanzania imepnafasi 3,000 za mahujaji wataka
wenda kutekeleza ibada hiyo ina
fanyika kila mwaka mwezi wa mfguo tatu.
Saudia yaboresha taratibu za Hijja
7/17/2019 Imaan Newspaper Issue 3
http://slidepdf.com/reader/full/imaan-newspaper-issue-3 4/15
www.islamicftz.
8 Rajab 1436, JUMATATU Aprili 27 - Mei 3 ,
4
Huu ni muendelezowa hotuba ya alieku-wa Rais wa Uganda,
Jenerali Idd Aminaliyoitoa wakati akiz-indua Baraza Kuu laWaislamu la Uganda(UMSC) katika Kituocha Mikutano ya Ki-mataifa nchini humo,
June 1, 1972, saa kumi
jioni………
Yumkini moja ya vipengelenyeti vinavyosababishamigongano katika jumuiya zaKiislamu hapa Uganda ni ku-
wepo kwa uelewa tofauti juu yamafundisho ya Mtume Mu-hammad (Rehema na amaniziwe juu yake) jambo ambalohutumiwa na wanaosaka ma-daraka ili kuwagawa Waisla-mu.
Hali hii pia inatokana na walimu wasiofaa kabisa au wenye elimu ndogo kukabi-dhiwa jukumu la kuifundishaQur’an na kwa sababu hii na-karibisha maoni yaliyotolewakatika hadhara ya dini mwaka
jana kwamba ipo sababu yakuanzishwa kwa taasisi mojainayohusika na mafundisho yaKiislamu.
Taasisi hiyo itahusika nakusahihisha baadhi ya mambo
yaliyomo katika Uislamu yasi- yo sahihi. Hivyo, ninatarajiakwamba taasisi hiyo itafanyauchunguzi katika taasisi ny-ingine ambazo zinajishughuli-sha na mafundisho ya Kiisla-mu ili kuziboresha.
Ninatambua kwamba baa-dhi ya watu hawajaridhika na
jinsi Baraza kuu la sasa lilivy-oanzishwa. Wapo ambao ha-
wajar idhis hwa na muundo wake. Napenda kukumbushakwamba moja ya mapendeke-zo yaliyotolewa na kamatiinayojishughulisha na masuala
ya Waislamu katika konga-mano la viongozi wa dini hapomwaka jana lilikuwa kwambaBaraza Kuu linapaswa ku-undwa na watu watatu kutokakila wilaya, akiwemo Kadhi wa
wilaya hiyo. Wakati nilipokuwa nafunga
kongamano la viongozi wadini, niliomba msaada wa Seri-kali katika kuanzishwa kwaBaraza hilo.
Mipango ilifanywa ili ku- wezesha kufanyika kwa ucha-
guzi nchi nzima kwa mujibu wa mapendekezo niliyoyatajahapo juu; kwa bahati mbaya,
baadhi ya viongozi wa Kiisla-mu walianza kufanya kampeniili watu wao wachaguliwe kati-ka Baraza hilo.
Watu hao sio tu walikuwa wakirejesha siasa hapa Ugan-da, vile vile walikuwa wakijari-
bu kutoiwezesha jamii kubwa ya Waislamu wa Uganda kuwana mwakilishi ndani ya Barazahilo.
Hali hiyo ilinifanya nikosenjia mbadala, na hivyo kua-
mua kusitisha uchaguzi huo,na nilitangaza juu ya sualahilo.
Pia nilitambua kwamba,mwanzoni kabisa mwa uhai
wa Baraza hili haitowezekana watu watatu pekee kutoka ka- tika wilaya ndio wawe wawak-ilishi. Ifahamike kuwa Waisla-mu wapo kila kona ya nchi hii,katika wilaya zote. Haitoletamaana kutegemea watu
watatu kutosha kufahamu mi- tazamo na mahitaji ya Waisla-mu wote katika wilaya aliyopo.Ninaona kuna umuhimu wakuhakikisha kila jimbo
linakuwa na mwakilishi am- bae atayawasilisha matatizo ya
watu wake katika Baraza Kuu.Hivyo basi, ninapanga kila wilaya kuwa na wawakilishikumi na moja, ikizingatiwakwamba kwa mujibu wa map-endekezo ya kongamano ladini, Baraza Kuu lenyewe
linaweza kubadili idadi ya wa-n a c h a m a , k w a k a d r i
litakavyoona inafaa.Muda mfupi kabla hamja-
wasili katika mkutano huu,niliwaomba muwasilishe ma-
jina ya Waislamu kumi waliona maarifa ya kutosha kutokakatika wilaya mbali mbali. Nil-iwaomba muwasilishe majinahayo ili kuwezesha Baraza hili
liwe na Waislamu wenye elimu
pana zaidi. Nina furaha wito
wangu huo umepokelewa kwamoyo mkunjufu.
Nyinyi wenyewe mme- waondoa wale waliokuwa wa-mechaguliwa hapo awali na
badala yake kuwachagua vija-na wadogo wenye elimukubwa. Ni jambo la faraja kuo-na baadhi ya wazee wamea-mua kwa hiari yao kuwaachianafasi za kufundisha vijanaambao bado wana damuchanga.
Wanachama wa Barazasasa ni mchanganyiko waMasheikh wakubwa wenyeuzoefu mzuri katika mambo ya
Waislamu na vijana waliosoma wenye mtazamo wa kisasa.
Lakini pia natambua, kunaidadi ya watu ambao hawa-
jachaguliwa katika Baraza hiloambao wanahisi walikuwa nahaki zaidi ya kuwawakilisha
Waislamu katika wilaya zao. Watu hao watam bue kuwaSerikali haitomvumilia mtu
yeyote yule atakaejaribu kuk- wamisha kazi za Baraza Kuu.
Ikiwa Serikali itagunduashughuli za kulihujumu Bara-za Kuu italazimika kuchukua
hatua kali ili kuhakikishaBaraza hilo linafanya kazi yake bila bughudha.
Katika moja ya vikao vyan-gu na ndugu Nkambo-Mugerwa aliyeongoza kikaochenu cha mwaka jana na chamwezi uliopita alizungumziakutoridhishwa kwa baadhi ya
vikundi katika uchaguzi wa baadhi ya viongozi wenu.
Kumekuwa na shutumakwamba kikundi kimoja chaKiislamu kimefurahia ushindi
wake dhidi ya vikundi vingine vya Kiislamu. Kama kuna kun-di lolote la Kiislamu linaonaushindi ni wake peke yake, basinapata hofu kuwa hatujafani-
kiwa kuleta umoja kamili wa
kitaifa miongoni mwa Wamu hapa nchini.
Unapotazama muundoBaraza Kuu, unathibitikuwa jumuiya na maku
yote ya Kiislamu ndanBaraza hilo yamewakilish
vema.Suala hilo linatoa ish
njema kwa mustakabaliUislamu hapa Uganda. Ksasa ni wajibu wa Baraza zi
viongozi wake na mwanac
ma mmoja mmoja a yechaguliwa kwa njia hakuhakikisha kuwa viku
vyote vya upinzani vinashishiwa kuungana na Barkwa faida ya Uislamu, amndio sababu hasa ya kuanz
wa hili Baraza na kamati zaMr. Nkambo-Mugwera
zungumzia pia matatizomaombi yaliowasilish
wakati wa mikutano yeSerikali itayazingatia matana maombi yenu hayo pale akapokuwa na faida kwa nnzima, ikiwemo nyi
wenyewe.Ni katika muktadha h
Serikali itaendela kulitilia m
nani jambo lolote lile lita lowasilishwa na Baraza kama viongozi wake.
Kuna uwezekano baadhmaombi yatafanyiwa kazi bda ya Serikali kuyapitia man a k u o n a k a m a y aumuhimu.
Hata kama baadhimaombi yenu hayatafanyinaomba mtuelewe kwa sabmaamuzi yoyote ambayo Skali itachukua yatakuwakwa manufaa ya taifa na npia.
Nimepata fursa ya kuisokatiba mliyoiunda ili kudhna kuelekeza masuala ya K
lamu hapa nchini. Nim
dhishwa kwa kiwango kikubna muundo wa kamati zilmo ndani ya katiba hiyokatiba nzuri inayotokanakazi kubwa, moyo wa kujitokwenye masuala yahusu
Waislamu wa hapa Ugandania njema itokayo kwa w
wote waliomo katika Barhili na walioshiriki katika kgamano la dini la mwaka jhuko Kabale na Kampala.
Kwa sababu hiyo napekutoa shukrani zangu za dkwa Waziri wangu wa Shna Mwanasheria Mkuu, Bna Nkambo-Mugerwa kkujitolea kwake kiasi kikubambapo ameweza kuwaon
za Waislamu katika vimbalimbali tangu hapo mw
wa tano mwaka jana.
KUTOKA MISIKITINI TUJIKUMBUSHE
Hotuba ya Rais wa Uganda - 2Jenerali Idi Amin Dada wakati akizindua Baraza Kuu la
Waislamu la Uganda (UMSC) katika kituo cha mikutano ya kimataifa nchini humo, June 1, 1972.
Yusufu Ahmadi, Zanzibar
Wazazi na jamii kwa ujumla
wameaswa kutowaita watoto wa-dogo kwa majina mabaya kwani ku-
fanya hivyo ni kuwajengea tabia
mbaya kinyume cha mafundisho
ya dini ya kiislamu.
Akikhutubu kabla ya sala ya
Ijumaa katika Msikiti wa Afraa
Bint Issa(Shurbaa) ulioko eneo
la Kidongo Chekundu katika
mkoa wa mjini Magharibi
Zanzibar, Mwalimu Moham-
ad Soud amesema imejenge-
ka tabia miongoni mwa jamii
kuwaita watoto wadogo majina
yasiyopendeza, jambo ambalo
halifai.
Mwalimu Soud ametoa mfano
wa majina mabaya kama ‘mjinga’,
‘mpumbavu’ na majina kadhalikamajina ya utani yenye maana
mbaya.
Wakati huohuo, Mwalimu Soud
ameutolea wito umma wa kiislam
na jamii kwa ujumla kufanya mambo
mema na kujiepusha na vitendo vina-
vyozuia maombi (du’wa) kupokelewa
na Mwenyezi Mungu Sub’hanahu
Wataala.
Na Yusuph Amin
Waislamu wametakiwa kuitendea haki miezi mitakati-fu kwa kufanya yaliyo mema ili kupata radhi za Allah.
Akihutubia mamia ya Waislamu kwenye ibada ya
swala ya ijumaa msikiti wa Kichangani jijini Da-es-
salaam, Sheikh Omar Alhadi amesema ni wajibu wa kila
Muislamu kutumia fursa katika mwezi huu wa Rajabu
kuzidisha mambo mema na kufanya toba ili kupata
msamaha wa Allah sub’hanahu wataala.
Miongoni mwa mambo mema ambayo Sheikh Omary
aliyowasihi Waislamu kuyafanya kuwasaidiaWaislamu
walio magerezani na kusaidia wagonjwa walio hospitali
kwani kufanya hivyo kunakumbusha faida ya kuwa na
uzima. Katika ibada hiyo ambayo pia ilihudhuriwa na
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,
Dokta Ghalib Bilal, Sheikh Omar amesema Waislamu
wanaumizwa na madhila ya ndugu zao walio magere-
zani na kutaka mamlaka husika kutenda haki katika
kushughulikia kesi za masheikh.
Na Khalid Omary
Wislamu wamekumbushwa kuwafanyia wema wazazi
wao ili kuweza kupata radhi za Mwenyezi Mungu ikiwa
ni miongoni mwa sababu za kukubaliwa ibada zao na
kupata baraka na mafanikio katika siku ya kiama zake.
Ukumbusho huo ulitolewa na Sheikh Harif Suleiman
wakati akitoa khutba ya siku ya Ijumaa, katika msikiti wa
Masjid Hudaa uliopo Ilala Bungoni jijini Dar es salaam.
“Tunatakiwa tuwafanyie mema, tuwajali na tuzun-
gumze nao kwa kauli nzuri, maneno laini na yenye
hekima. Vilevile tujione bado hatujawafanyia jambo
lolote kubwa hata kama unamlisha au umemjengea
jumba. Kadhalika, tunatakiwa tuwaombee sana dua”,
Sheikh Harif alisema.
Sheikh Harif alisema baadhi ya watu wanawatukana
kuwadharau wazazi wao kwa sababu hawajui thamani
na ukubwa wa wazazi wawili.
Jamii yatakiwa kuitawatoto majina mazuri
Waislamu waitendeehaki miezi mitakatifu
Tuwafanyie wemawazazi wawili KUMEKUWA NA SHUTUMA
KWAMBA KIKUNDI KIMOJACHA KIISLAMU KIMEFURAHIA
USHINDI WAKE DHIDI YA VIKUNDI VINGINE VYAKIISLAMU. KAMA KUNA
KUNDI LOLOTE LA KIISLAMULINAONA USHINDI NI
WAKE PEKE YAKE, BASINAPATA HOFU KUWA
HATUJAFANIKIWA KULETAUMOJA KAMILI WA KITAIFA
MIONGONI MWA WAISLAMUHAPA NCHINI.
7/17/2019 Imaan Newspaper Issue 3
http://slidepdf.com/reader/full/imaan-newspaper-issue-3 5/15
www.islamicftz.org
8 Rajab 1436, JUMATATU Aprili 27 - Me i 3 , 2015
HAZINA ZETU
NA KHALID OMARY
Ukiorodhesha Masheikh
wa kupigiwa mfano kati-ka harakati za kuteteaSunnah za Mtume Mu-
hammad (Rehma na amani ziwe juu yake) na kuuhuisha Uislamu hapanchini, huwezi ukakosa kumtajaSheikh Juma Poli.
Sheikh Poli alizaliwa mwaka 1950katika jiji la Dar es Salaam na kukulia
katika jiji hilo. Wazazi wake ni wenyeji wa mkoa wa Pwani na ana-fahamika zaidi kama mmoja wa
waasisi wa Jumuiya ya Ansaar Sun-nah hapa nchini.
KUSOMA KWAKE:
Sheikh Poli alianza kutafuta elimuakiwa na umri wa miaka mitano ka-
tika madrasa ya Kadiriya Al Aamudi- ya iliyopo mtaa wa Dodoma, Ilala ji- jini Dar es salaam. Hii ndio madrasapekee aliyosoma ndani ya Tanzania.
Mwaka 1963, Sheikh Poli aliendaPwani ya Afrika Mashariki katikamiji ya Mombasa, Lamu, Malindi nakatika visiwa vya Rasini Kizilitiniambako alisoma kwa Masheikhmbalimbali.
Kiu ya elimu ya Sheikh Poli haiku-kaukia katika miji hiyo; akaendeleana safari yake ya kutafuta elimu se-hemu nyingine ndani na nje ya AfrikaMashariki.
Katika jitihada zake za kutafutaelimu hakuwa peke yake. Sheikh Polialiambatana na Masheikh kadhaa
wengine ambao baadhi yao kwa sasani Masheikh wakuu wa mikoa.“Miaka ya 1968-70 nilielekea Mach-akos, mji uliopo pembeni kidogo yaNairobi nikiwa na Masheikh wen-gine kama Sheikh Nurdin AbdallahMangochi wa Mtwara, Sheikh AllySariko wa Arusha na Sheikh HassanJuma aliyekuwa mwenyeji wa Kon-doa na ambaye kwa sasa alishafariki”,Sheikh Poli aliliambia gazeti la Im-
aan.Baadae Sheikh Poli alibahatika
kupata nafasi ya kwenda kusoma ka- tika Chuo Kikuu cha Madinah kwamiaka kumi na kupata Shahada yaUlinganiaji.
HARAKATI ZA KUENEZA
SUNNA:
Sheikh Poli ni miongoni mwa watu ambao wamefundisha Waisla-mu wengi na kushiriki katik kuenezadini ya Uislamu. Moja kati ya mae-neo ambayo athari ya kazi yake ikod-hahiri ni katika Chuo cha Alhara-main, jijini Dar es salaam.
Sheikh Poli alijiunga na chuo hi-cho na kufanya kazi ya ualimu mara
baada ya kurejea kutoka Madinah wakati huo kikiwa maeneo ya MnaziMmoja, jijini Dar es salaam. Chuo hi-cho kwa sasa kipo mtaa wa Lindi naShaurimoyo, katika jiji hilo hilo laDar es salaam.
“Kazi yangu kubwa ya msingi ili-kuwa ni kufudisha na kulea vijanakatika mfumo sahihi wa mafundisho
ya Uislamu. Mwaka 1995 tukaonge-za wigo kwa kujenga chuo kingineeneo la Buguruni tulichokipa jina la
Al- Furqan”, Sheikh Poli anaeleza.Sheikh Poli ambaye ni daktari wa
kiroho anasema, pamoja na kufundi-sha, pia amekuwa akifanya kazi yaulinganiaji (da’aawah) kwa kukemea
bida’a au uzushi katika dini, aki-maanisha mambo mapya yaliyoing-
izwa katika dini ilihali hakuna usha-hidi kuwa Mtume wala maswahaba
waliyafanya.“Watu wengi wanapenda dini, la-
kini hawaijui, utakuta mtu anafanyamatendo akiamini kwamba anajiku-rubisha kwa Mwenyezi Mungu, laki-ni kiukweli matendo hayo yapo mbalina Allah, kuna tatizo kubwa lakutekeleza ibada kinyume na maele-kezo ya Qur’an na Hadith”, alielezaSheikh Poli akisisitiza umuhimu wakazi ya kuwalingania Waislamu kati-ka mafundisho sahihi.
Hali hiyo ndio iliyomsukuma
Sheikh Poli kuunganisha nguvu za wadau mbalimbali kuanzisha chom- bo kitakachokuwa nembo ya kutan-gaza Sunna za Mtume (Rehma naamani ziwe juu yake).
Chombo hicho kilitambulika kwa jina la Jumuiya ya Answar SunnaTanzania (Jamaat Answar Sunnah)huku Sheikh Poli akiwa Amir wake.
Kwa mujibu wa Sheikh Poli, har-akati za kuanzisha chombo hicho zil-ianza mwanzoni mwa miaka ya 1980maeneo ya Kinondoni, Da es salaamna kilitambulika rasmi na kupewausajili mwaka 1985.
Sheikh Poli anawakumbukaMasheikh wawili ambao walichangiakwa kiasi kikubwa katika kuunda
chombo hicho; Sheikh MuhidinKingaluna na Sheikh Ahmad Ham-za.Wote kwa sasa wamerejea kwaMola wao. Baadae Jumuiya ya AnsarSunna ilifungua matawi Kigoma,Mwanza, Singida na Morogoro.
Akizungumzia kupotea kwa mi-hadhara baina ya Waislamu na Wais-
lamu kwa ajili ya kufahamishana lipisahihi na lipi si sahihi iliyokuwepozamani ikihusisha masuala ya mwe-zi, maulid, khitma, uharamu wa ku-piga ramli iliyochukua nafasi katikamaeneo mbalimbali ya nchi kamaKigoma,Unguja, Pemba, Dar es sa-
laam, Sheikh Poli amesema hiyo siosera ya Jumuiya ya Ansar Sunna.
Katika jambo lolote hapakosichangamoto, lakini kwa Sheikh Poli
magumu yaliyowakuta katika har-akati zao ni kama ‘juisi’ kwani kwa al-iyeusoma Uislamu atakuwa anajuakuwa mazito zaidi yaliwakuta Wais-
lamu waliopita. Kwa mujibuwaSheikh baadhi ya watu waliwaita‘kundi la vijana’, baadae walibadili nakuwaita ‘watoto wanaofanya mageu-zi dhidi ya masheikh’.
Lakini Sheikh Poli anasema, kadrimuda ulivyosogea waliungwa mko-no na baadhi ya wazee wa Tanga,Kigoma na Kondoa na likawa si tenakundi la vijana au watoto, bali watu
wenye taaluma iliyo sahihi.Sheikh Poli anasema katika baa-
dhi ya maeneo ikiwemo Kigoma baadhi yao walinyang’anywa wake
zao, walipigwa na hata kuondolewamisikitini.
Changamoto hizo zilisukuma Ju-muiya ya Ansaar kujenga misikiti yaoambayo kwa sasa imeenea nchi nzi-ma. Kwa mujibu wa Sheikh, harakatiza kueneza Sunna yaMtume Mu-hammad (Rehmana amani ziwe juu
yake) zimefanikiwa na hivi sasa watu wengi wanafuata yale yaliyo sahihikuliko hapo awali, ambapo watu wa-
likuwa ‘wakiburuzwa’.Sheikh Poli akihitimisha maho-
jiano, alitoa rai kwa waandishi wahabari, ambapo aliwataka watumie
kalamu na ndimi zao kwa umaki-ni mkubwa, kwani kalamu zao ni si-
laha hatari inayoathiri na yenye ngu- vu kubwa.
SHEIKH JUMA POLI
Kutana na daktari wa kiroho
Ni muasisi wa JASUTA
“KAZI YANGU
KUBWA
YA MSINGI
ILIKUWA NI
KUFUDISHA
NA KULEA
VIJANA
KATIKA
MFUMO
SAHIHI WA
MAFUNDISHO
YA UISLAMU”.
7/17/2019 Imaan Newspaper Issue 3
http://slidepdf.com/reader/full/imaan-newspaper-issue-3 6/15
HUTOLEWA NA KUCHAPISHWA
The Islamic Foundation, P.O. Box 6011 Morogoro, Tanzania, E-mail: [email protected]
MHARIRI MTENDAJI: 0715 559 944, MHARIRI: 0786 779 669, AFISA MASOKO: 0785 500 502
TOVUTI: www.islamicftz.org
8 Rajab 1436, JUMATATU Aprili 27 - Mei 3 , 2015
TAHARIRI / UCHAMBUZI6
M
oja kati ya habarizilizochapishwa
katika toleo hili lagazeti la Imaan niile inayozungumzia maandalizi
ya Hijj a, amba po Waisla muhuko Zanzibar wametakiwa ku-
jiandaa mapema kwa safari hiyo ya kutekeleza moja kati ya ngu-zo tano za Uislamu.
Kwa kukumbushana tu, Uis- lamu umejengwa juu ya nguzo tano. Nazo ni Kushuhudia kuwa
hapana Mola apasaye kuabudi- wa kwa hak i ila Mweny ezi
Mungu mmoja, Allah, kusi-mamisha swala tano za fardhi,kutoa zaka, kufunga mweziMtukufu wa Ramadhani na Hi-
jja kwa mwenye kuwezeshwa na Allah.
Imeelezwa kuwa Serikali yaSaudi Arabia imebadilisha tara-
tibu za safari hiyo kufuatia ma-hujaji mara kwa mara kulalami-kia vitendo vya udanganyifu
wanavyofanyiwa na baadhi ya taasisi zinazosafirisha mahujaji
kutoka mataifa mbali mbaliduniani. Kwa sasa, imeelezwa, taasisi zinazosafirisha mahujajizinatakiwa kufanya taratibuzote za maandalizi ya safari,makazi na matembezi kwa njia
ya mtandao na kulipa gharamazote wakiwa nchini mwao.
Kufahamishwa haya kwamahujaji wa Zanzibar, ndio piakujulishwa kwa Waislamu wa
nchi nzima. Kwa hiyo yafaa Waislamu wote, hususan wale
ambao miongoni mwetu tume- tia nia ya kutekeleza ibada hii yakipekee tujiandae mapema.
Hatua hii ya Saudi Arabia in-alenga kutusaidia sisi mahujaji
wataraj iwa. Lakini ili tuwezekufaidika kwa hatua hii nimuhimu nasi tujisaidie kwakutekeleza wajibu wetu ambaoni kujiandaa mapema.
Kwa mujibu wa serikali ya
Saudia mwisho wa kukamilisha tarati bu za mahujaji (kwa
msimu wa hijja, mwaka huu1436 hijriyyah) ni tarehe 27mwezi Juni na baada ya tarehhiyo mtandao huo utafungwa.
Shime Waislamu ambao tumewezeshwa na Allah tuji
toke ze kuchukua nafa si hiz3,000 tulizotengewa na Serikal
ya Saudi Arabia ili t ukaiti kie wito wa Muumba wetu, AllahSub’haanahu Wataala.
Waislamu tujipange mapema msimu wa hijja 1436
M wenyenzi Mungu al-ipomuumba Adam(Amani iwejuuyake)alimfundisha majina
ya vitu vyote, ambayo ni lugha. Hiiilimpa Adam nafasi maalum kiasikwamba Malaika wote walimsuju-dia.
Katika sehemu nyingine ndani ya Qur’an Tukufu, imesemwa kati-ka Ayatul Qursiy (2:225) kwambahuwezi kufanikisha kupata elimu
bila ruhusa (kibali) cha Allah. Allah ana sem a: “Mweny ezi
Mungu – hapana Mungu ila Yeye Aliyehai, Msimamia mambo yotemilele. Hashikwi na usingizi walakulala. Ni vyake pekee vyote vilivy-
omo mbinguni na duniani. Ni nanihuyo awezaye kuombea mbele yake bila ya idhini yake? Anayajua yaliyo mbele yao na yaliyo nyuma yao; wala wao hawajui chochotekatika viliopo katika ujuzi wake, ilakwa atakalo mwenyewe. Enzi yakeimetanda mbinguni na duniani, na
wala haemewi na kuvilinda hivyo.Na Yeye ndiye aliye juu, na ndiye
Mkuu”. (2:225). Elimu husambaakupitia lugha. Nabii Musa alipo-
tumwa kwa Firauni aliomba apeweufasaha ili watu wapate kufahamu
maneno yake:“Na ulifungue fundo lililo katika
ulimi wangu, Wapate kufahamumaneno yangu” (20: 27 – 28). Kwamara nyingine tena, umuhimu wa
lugha unasisitizwa.
Katika hadith ya Mtume (Reh-ma na amani ziwe juu yake); nifik-
ishie walau aya moja (Sahih AlBukhar). Unaweza kufikisha vipikama hujui lugha?
Mpenzi msomaji, ukweli nikwamba katika miongo ijayo, yuleambaye anatawala lugha ndieatatawala dunia. Hata sasa mataifa
yanayotawala yamechukua hatuakubwa katika kueneza lugha ya Ki-ingereza, ambayo ndio njia yakuenezea fikra na nguvu zao.
Kwa mujibu wa makadirio,kuna zaidi ya taasisi 70,000 zina-zojihusisha na kufasiri katika ul-imwengu wa nchi za Magharibi,
wakati katika umma wa Kiislamu taasisi hizo zinahesabika.
Tunawezaje kufidia huu upun-
gufu? Hatua gani zichukuliwe? Nakwa hatua hizo tutakazochukua
faida zake ni nini?Jawabu ni kwamba, kama am-
bavyo tumetumia nguvu zetu ny-ingi kujifunza kiingereza na sayan-si na teknolojia, sasa yapaswa tu-
weke mkazo wa sera za elimu kati-ka ufasiri wa Qur’an tukufu katika
lugha zote kuu za dunia.Hatua hii si tu kwamba itatoa
faida ya kisiasa na kiuchumi, lakiniitatuwezesha kufikisha ujumbe waQur’an na Sunnah. Ni kupitia
lugha pekee tunaweza kuwasil-iana, hivyo basi kuna haja kubwa
ya kutengeneza walimu na kuwana wanafunzi wakutosha katikangazi zote, kuanzia msingi nakuendelea.
Mwisho, napenda kutoa rai kwa vi on go zi wa le te ma ba di li komakubwa katika sera zetu zaelimu, ziweke msisitizo katika ku-
jifunza lugha mbalimbali, kwaninawahakikishia kwa mara ny-ingine, tukijifunza na kutawala
lugha basi umma wa Kiis lamuutatawala dunia, Insha Allah. Al-
lah anajua zaidi.
Umma waKiislamu ujifunzelugha mbalimbali
ELIMU HUSAMBAA KUPITIA LUGHA.
NABII MUSA ALIPOTUMWA KWA FIRAUNI
ALIOMBA APEWE UFASAHA ILI WATU
WAPATE KUFAHAMU MANENO YAKE:
MOHAMMAD KHAN
NASAHA ZA WIKI
7/17/2019 Imaan Newspaper Issue 3
http://slidepdf.com/reader/full/imaan-newspaper-issue-3 7/15
www.islamicftz.org
8 Rajab 1436, JUMATATU Aprili 27 - Me i 3 , 2015
Mambo ya msingi kwaKhatwibu wa Ijumaa
K wanza, yampasa khatwi- bu wa khutba ya Ijumaaachague mada mapemamwanzo wa wiki, kwani
kuchelewa kuchagua mada humfan- ya akose muda wa kutosha wa ku- jiandaa na hivyo aamue kukhutubumada yoyote ile atakayoiona rahisi
kwake kuifikisha na hata kurudiamada aliyokwishaitoa huko nyuma.
Kufanya hivyo hupelekea mada yake isisheheni yapasayo kuambiwa waumini siku ya Ijumaa au wakatimwingine kushindwa kuzungumzia
tukio ambalo khutba lilipaswa kuli-zungumzia na kulitolea muongozokwa wiki hiyo.
Iwapo khatwibu atachagua madamapema atapata muda wa kufanyarejea katika vitabu mbali mbali nakukusanya hakika za matukio katika
jamii ambayo yanaingia katika mada yake ili aihudhurishe kwa wasikilizajiikiwa inakwenda na wakati walion-ao.
Pili, mada iwe huru na isiwe kwashinikizo la mtu au kikundi fulani na
wala isitokane na mihemko katika
mitaa au tukio fulani. Matukio yawesehemu tu ya ufafanuzi na mifanondani ya khutba, lakini khutba
yenyewe ijikite kufikisha aya au ha-dith fulani kwa lengo la kuongoza
watu.Tatu, mada zibadilike zikigusa
nyanja mbali mbali za maisha ya watu na zisijikite katika sekta moja ya maisha. Uislamu ni mfumo kamili wa maisha na kwa hiyo inatakikanakhutba za ijumaa ziguse matatizo nachangamoto zinazoikabili jamii ya
Waislamu eneo husika au nchi husi-ka na jinsi ya kutatua matatizo hayoau kukabiliana na changamoto hizo.
Khutba zielezee hali ya ummahkiimani, kimaadili, kiuchumi, kisia-sa, kielimu - makosa ya kitawhiid,matendo maovu tuyatendayo, njamaza maadui wa Uislamu, kubainisha
wanayoyahitaji watu kuhusu huku-mu za kishariah na ibada mbalimbali, kuwaandaa watu kwa siku yamwisho na kadhalika.
Khutba inaweza kuwa karipio,nasaha, mawaidha, mwongozo, ufa-
fanuzi, fatwa, maelekezo, kuhimiza juu ya jambo fulani, ukumbusho, taalimu juu ya jambo fulani na men-gineyo.
Kuna wakati unakuta khatwibuameelekeza khutba zake zote upandemmoja tu - mawaidha na ukum-
busho. Kifupi ni kwamba khutbazisheheni kila analolihitaji Muislamukatika maisha yake ya dunia naakhera.
Ni makosa kwa khatwibu kuege-mea upande mmoja wa maisha yaMuislamu. Kwa mfano khutba juu
ya masuala ya siasa pekee. Hii ni kwasababu kuna watu hawana fursa yakwenda madrasa kusoma na khutbaza ijumaa kwao ndiyo fursa ya kuso-ma.
Nne, kuhudhurisha mada vizuriikiwa ni pamoja na kusoma aya zaQur’an na hadith za Mtume (Rehmana amani ziwe juu yake) vizuri kwakiarabu kisha kuzitafsiri kwa kiswa-hili ili watu wafahamu. Si vizuri kwamakhatibu kusoma aya na hadithkwa kiarabu pasina kuzifasiri.
Yampasa khatwibu afanye bah’thi(uchunguzi) kuangalia vitabu vi-nasemaje, na pia atafute maarifa yasasa ya kidunia yanasema nini. Khat-
wibu apangilie khutba yake kwakuandika katika karatasi ili aitoe kwamtiririko mzuri.
Mimbari ni amana na waswaliji wanasubiri wasikie mapya kutokakwa khatwibu kila wiki. Hata awe nimsomi wa daraja gani, khatwibuhawezi kuepuka kufanya mura’aa(kupitia vitabu) na kujiandaa kwakhutba kwa kuandika na kupangilia
vizuri.Katika dhulma ya khatwibu ku-
wadhulumu waswaliji na kuvunjaamana ya mimbari, ni kutokujiandaakwake na khutba ipasavyo na kuan-daa mada akiwa amechelewa na kujamsikitini mbio mbio pasina maan-dalizi.
Tano, mada ya khutba iwe kuhusu yanayotokea sasa. Ulimwengu waKiislamu unapita katika matukio nachangamoto nyingi. Akili ya Muisla-mu inahitaji kupatiwa maelezo na
ufumbuzi wa matatizo mbali mbali Waislamu wanahitaji kupatiw
maelezo juu ya yale wanayoyaona nkuyasikia katika vyombo vya habakuhusu dini yao nchini na duniakote ili kuwajengea ufahamu mmo
ja.
Makhatwibu waelewe kwamb waswaliji wanasubiri kusikia ukwekutoka katika khutba na ufafanu
wa matukio kutoka kwa khatwibambaye wanamuamini kwa ayasmayo kwa jina la Allah na anajukwamba mimbari ni amana nanatekeleza wajibu wake kwumma.
Khatwibu aelewe kwamba kunkundi la Waislamu hawajihusishi nmatukio mbali mbali yanayouhusumma na wala hawajali. Kundi h
linahitaji kuzinduliwa ili wajue nikinaendelea katika kadhia za Wai
lamu. Mtu wa karibu nao zaidi am baye watu hawa wanaweza kumtegmea ni khatwibu wa ijumaa.
Itaendelea toleo lijalo
Mpaka tutakapofaidika na Khutba za Ijumaa - 3
NA SHEIKH TAWAKKAL JUMA
KUTOKA KATIKA QUR’AN’ NA SUNNAH
Qur’an ni kitabu pekeeam bach o kinapo-somwa huingiza hisiakatika moyo wa mso-
maji na wasikilizaji. Katika mojakati ya mashindano ya kimataifa
ya kuhifadhi Qur’an yaliyofanyikaDubai kijana mdogo wa Kisomalikutoka Kenya alisababisha uku-m b i m z i m aurindime kwa
vilio kutoka-na na uso-maji wake.
Ni mtotoa m b a y eh a k u w aa n a j u ah a t amaana
ya nenomoja la
lugha ya
kiarabu, l a k i n i
alikuwa anapofikia katika aya zi-nazozungumzia adhabu akijikutaakilia pasina kujiliza au kudan-ganya kujiliza, jambo lilowafanya
watu wengi wahisi ukub wa nautukufu wa Qur’an.
Waislamu wanaamini kitabuhiki, hususan lugha yake, ni muu-
jiza. Kwa upande mwingine hebu tua nga lie wal au kidogo kau li
kuhusu Qur’an za wasiokuwa Waislamu na ambao walis-
ilimu baada y akuiso-
ma Qur’an.Saifuddin Dirk Walter Mosig wa Marekani anasema: “Nimeso-ma vitabu vitukufu vya kila dini,hakuna pahala nilipokuta mfano
wa kile nilichokikuta katika Uisla-mu yaani Ukamilifu. Nikilingani-sha Qur’an na vitabu vinginenilivyosoma ni kama mwanga wa
jua ulinganishe na mwanga wanjiti ya kibiriti. Naamini pasinashaka kila asomaye neno la Allah,(Qur’an) kwa moyo ambao hau-
jafungwa kukubali haki, ni lazimaatakuwa Mwislamu”.
Saifuddin ni msomi daktari wafalsafa, mwanasaikolojia, mwana-historia na mchambuzi wa vitabu
aliyezaliwa Ujerumani na kui-
shi miaka kadhaa Ajentinakabla hajahamia Marekani.
Nakubaliana na msomihuyu na hii ndiyo sababu
baadhi ya dini huwakataza wafuasi wao kuisoma Qur’ankwani wanajua fika kuwaatakayeisoma mwishowe laz-
ima atasilimu.Msomi mwingine, Ali SelmanBenoist, daktari Mfaransa anase-ma: “Kitu kikubwa kabisa namuhimu sana kilichonifanya nisil-imu ni Qur’an. Nilianza kuisomakabla ya kusilimu nikiwa na moyohalisi wa kisomi wa Kimagharibi
wa kutafiti na kuchunguza mam- bo. Kuna baadhi ya aya za kitabuhiki (Qur’an) zikiwa zimeterem-shwa zaidi ya karne kumi na nnezilizopita miaka (1400) ambazozinafundisha kile kile kinacho-fundishwa katika utafiti wa kisasakabisa wa kisayansi. Hili lilinifan-
ya nisilimu”.Naye Gohann Wolfgang von
Goethe, mwandishi na mwanadi-
plomasia wa Kijerumani anasema:“Kila mara nyingi tunapoigeukia(Qur’an) mwanzo huwa ikituudhikila tunapoianza, mara mapema
tu huanza kutuvutia, kutushanga-za na mwishowe hutupelekea kui-heshimu…Mtindo wake ni wakipekee ukiendana na yaliyomo
ndani yake na lengo lake ambalo nikali, la kale, la kutisha, lakini hara-ka mno huamsha hisia za ndani.Kwa hiyo ni dhahiri kuwa kitabuhichi kina athari kubwa katika kilazama na kila nyakati”.
Kwa upande wake, msomimwingine mkubwa G. Margo-
liouth anasema:“Qur’an kwa haki-ka inachukua nafasi muhimumiongoni mwa vitabu vikubwa vyadini za ulimwenguni. Pamoja nakuwa ndio cha mwisho kushukakatika daraja la vitabu vya aina hii,hakifikiwi na (kitabu) chochotekingine kwa upande wa athari yaajabu kwa makundi ya watu”.
Anaendelea: “Qur’an imeten-geneza awamu mpya na kamili yafikra na tabia za mwanadamu.Kwanza imebadili makabilambalimbali ya watu nchi za ma-
jangwa katika ghuba ya Arabuni
wakawa taifa la mashujaa na kishaikaendelea kuunda taasisi kubwa ya kidini na siasa ya ulimwenguambayo ni nguvu moja kubwainayopaswa kutambuliwa naUlaya na nchi za Mashariki”.
Itaendelea….
Waliosilimu baada ya kuisoma Qur’an
WAISLAMU WANAAMINI KITABU HIKI,HUSUSAN LUGHA YAKE, NI MUUJIZA. KWA
UPANDE MWINGINE HEBU TUANGALIEWALAU KIDOGO KAULI KUHUSU QUR’AN
KWA WASIOKUWA WAISLAMU BAADA YAKUISOMA QUR’AN.
Na Sheikh Muhammad Duwaysh
MLINGANIAJI
7/17/2019 Imaan Newspaper Issue 3
http://slidepdf.com/reader/full/imaan-newspaper-issue-3 8/15
www.islamicftz.org
8 Rajab1436, JUMATATU Aprili27- Mei3, 2015
www.islamicftz.org
8 Rajab1436, JUMATATU Aprili27- Mei3, 2015
NA MWANDISHI WETU
A lhamdulillahi,tukondaniyamwezi wa Rajab, moja kati-
ka miezi mitakatifu aliyotu- julishaAllah(Subhaanahuu
wa Taala) katika Surat At-Tawbah: 36“Hakika idadi ya miezi katika Ilmu ya
Allah ni miezi kumi na miwili tangusikualoumba mbingunaardhi; katika
hiyo minne ni mitakatifu, hiyo ndiyodini ya sawa kwa hiyo msizidhulumunafsizenundaniyake(miezihiyo)”.
Kunatofautikatiyamwezimtakati- fu na mwezi mtukufu. Ramadhani nimwezi“Mtukufu”lakinisi“Mtakatifu”.Utakatifu ni wa Allah pekee na ana-
pokiitakitukitakatifubasiamekituku-zasanakituhicho.Nikwaninimiezihiiminnenimitakatifuhatukujulishwasi
katikaQur’anwalaSunnah. Miezihiinikwamujibuwamianda-
moyaKiislamuiliyoegemezwakwenyemwenendo wa mwezi na si jua kamazilivyo kalenda za kikafiri. KatikaQur’an hatukutajiwa majina ya miezi
hii.MajinahayoyametajwakatikaSun-
nah.Imesimuliwa naAbu Bakrah(Al- lah amridhie) kwamba Mtume (Reh-ma na amani ziwe juu yake) alitoa
khutbayakeyakuagaakasema;“Zama zimekamilisha mzunguko
wake na imekuwa kama ilivyokuwasiku Allah alipoumba mbingu na ar-dhi. Mwaka una miezi kumi na miwilinakatikahiyominnenimitakatifu,mi-
tatuimefuatana-DhulQaadhah,DhulHijja na Muharram- na Rajab Mud-
harr ulio kati ya Jumaada (aakhir) naShaaban”(BukharinaMuslim).
Mwezi wa Rajab ndio huu tulionao hivi sasa na umeitwa Rajab Mudharr yasemekana kwa sababu watu wa ka- bilalaMudharrkatikaMaqureyshwa- likuwa wakiutukuza sana tofauti namakabila mengine. Zama za jaahili-
yyah,mweziwaRajabukiitwapiaMu-nassilal-Asinnahyaaniwenyekusaba-
bishanchazasilahakuondolewa. Abu Rajaa’ al-‘Ataaridi (Allah awe
radhi nae) amenukuliwa akisema “… ulipofika mwezi wa Rajab, tulikuwa tukisema Munassil al-Asinnah na tu- likuwa hatuachi mkuki au mshale wowoteuliokuwanakipandechachu-ma ila tuliondoa kichwa chake chachuma na kukitupa wakati wa mwezi
waRajab”(Bukhari). Naam, mwezi wa Rajab ni mwezi
mtakatifu na kama ilivyo miezi mi- takatifu, waumini tunakatazwa kuiv- unjia heshima iliyopewa na Allah. Al- lah(SubhaanahuuwaTaala)anasema
“Enyimlioamini,msivunjeutukufuwaalamazaAllahwalamiezimitakatifu…”(Maidah-2).
Kwa hiyo tujihimu kuitukuza miezi hii mitakatifu kwa sababu Allah (Sub- haanahuuw a Taala) ameiteua kwa kuipahadhimaalumnakatuusiakuto- kuzidhulumu nafsi zetu kwa kutendamaasi ndani yake ambalo ni kosa
kubwasanambeleyaAllahingawaku-
ABUU MAYSARA
Katika sehemu ya kwanza, tuliona jinsi Warenonchini Msumbiji walivy-ojenga khofu dhidi ya
amu na hata kuchukua hatua zanga misikiti na madrasa zao na
dae waligundua hili lisingeuzuiaamu kushamiri nchini humo.
Wakaamua kuwadhibiti Waisla-wa kuanzisha ukaribu nao hata
nzisha programu maalum za ku-a kukarabati misikiti na madra-o vilivyoachwa kama magofu.ko Maalum wa Ureno kwa ajili
Waislamu (Portugues Muslimd) ulianzishwa kufadhili miradili mbali ya Waislamu.
atimaye kikaja kipindi cha wa-nia uhuru wa Msumbiji kuanzi-mapambano ya silaha dhidi ya
wala wa Wareno. Katika kipindimikakati ya Wareno dhidi yalamu ikabadilika.arakati za mapambano dhidi
Wareno zilishaanza kama tu-ona. Inaaminika kwamba wan-ambo wa kimakua waliundahoitwa ‘Brotherhood of Muslimkuas’. Pia kaskazini mwambiji, Waislamu waliunda ju-ya zao katika wilaya zote nne.
Makundi yote haya yalisambara-wa kinyama na Wareno mwaka-55, ingawa wenyewe Wareno
anusha habari hizi. Unyama waeno dhidi ya Waislamu hauku-harakati za wapigania uhurudelea na kuimarika.wa akili ya kawaida, hukuikabiliwa na harakati za wapiga-huru zilizojumuisha makundili mbali ya kijamii ya wanam-biji, Wareno waliamua ku-hilibu Waislamu wawe upandekupambana na nguvu ya Freli-Na hiki ndicho kiini cha mada.e, ilikuwaje viongozi wa Waisla-wa Msumbiji kukubali kutumi-a Wareno dhidi ya wapiganiau wa Frelimo wakati ukoloni
uwa ni madhila kwao kama ili-kuwa kwa wananchi wengine wambiji ? Je, Waislamu wali-kaje au walipata hasara zipi
kana na ushirika huu baina yaoWareno?wa upande mwingine, wakatiambano ya kudai uhuru
aanza nchini Msumbiji, tayarieno walikuwa wanapambanaarakati za wapigania uhuru ka-makoloni yake mengine barania.
Mfano mzuri ni Guinea Bissau,ako Wareno kwa kutumia ka-i ya ‘wakati wa mapambanoguza maadui’, waliwaorodheshalamu wahafidhina katika kabilala dhidi ya harakati za wapiga-
uhuru. Huu ukawa mfano kwahirika yake ya kijasusi juu ya niniufanywa katika makoloni men-yenye Waislamu kama Msumb-
wa hiyo, kuanzia katikati ya mi-
Rajab, Mwezi Mtakatifu
MAKALA MAALUM
aka 1950, Uislamu ukaanza kuta-zamwa na Wareno kwa jicho jin-gine kabisa huku Adriano Moreira,ambaye alikuwa Mkuu wa ChuoKikuu cha Sayansi Jamii na Siasa zaKimataifa (Instituto superior deciências sociais e política) akisisitizaumuhimu wa kudhibiti kueneakwa kasi kwa Uislamu kaskazinimwa Msumbiji.
Akihutubia kat ika chuo chakijeshi kiitwacho Instituto de AltosEstudos Militares, Moreira, ali-himiza shughuli za wamishionari Wakatoliki katika eneo la Wama-
konde ambao wengi wao walikuwa wameukwepa Uislamu na kubakia wapagani.
Wareno walitekeleza sera yao yasiasa ya utangamano (politics of in- tegration) kinyume na ile ya Wa-faransa iliyojulikana kama siasa ya
kumeza (politics of assimilation).Sera ya Ufaransa iliyotekelezwa Tu-nisia, Morocco, Mali na Ivory Coastililenga kuhakikisha mila na desturiza Kiislamu hazitofautiani na zile zaKifaransa.
Mwishoni mwa mhadhara wakesiku hiyo, Bwana Moreira alishaurikwamba paundwe alichokiita‘kikosi cha utafiti cha ushawishi wa Waislamu – Waarabu katika ma-koloni ya Ureno’ ili kufuatilia kwakaribu kuenea kwa Uislamu,kung’amua kiwango cha mwamko wao kisiasa na kushauri mikakati
inayostahiki kulinda maslahi yakoloni la Wareno dhidi ya Uislamu.
Kutekeleza ushauri wa Moreira, Wareno mna mo mwaka 1960 wakaunda kikosi kazi kushughuli-kia Uislamu na Waislamu katikamakoloni yake walichokiita Jumui-
ya ya Jiografia ya Lisbon (Sociedadede Geografia de Lisboa).
Ukiliangalia jina la kikosi kazihiki huwezi kujua nini undani wakazi au malengo yake. Hizi ndiyombinu za maadui wa Uislamuzilivyo. Hutoa majina yasiyoashiriamalengo yao kuuzuga umma. Kufi-kia mwaka 1965, wigo mpana wasera za wakoloni dhidi ya Uislamuulikuwa umeshabadilika mno.
Mwaka huo 1965, tawi la Shirika la Ujasusi la Wareno (Serviços deCentralização e Coordenação de In-formações) kwa Msumbiji lilisam- baza maandiko yaitwayo ‘Kuzishin-da nyoyo za waumini katika jamii’.
Andiko hili liliainisha mikakati ya kuzitawala nyoyo na akili zamakundi mbali mbali ya jamii nch-ini Msumbiji likiwemo kundi jamii la Waislamu ili makundi haya yasi-unge mkono harakati za ukombozi wa Msumbiji zilizoongozwa na Fre- limo.
Mfano, mwandishi alishaurikwamba Waafrika wanapendasana ushawishi wa manabii kwasababu akili zao zimetawaliwa naimani za mambo ya kufikirika. Ilikuikabili hali hii, ilishauriwakwamba Serikali iwavute karibu vi-ongozi wa dini. Sehemu ya andikohilo ilisomeka hivi:
“Mtazamo mpana kwa upande wa Serikali unawezekana kwa ajili ya kupata ushirikiano wao (viongo-zi wa dini) kama silaha muhimu yamapambano dhidi ya vitendo vyakiuasi vinavyofanywa na baadhi ya wanadini ambao wanakuwa na mi- tazamo isiyo mizuri kwa maslahi ya taifa. Na pale vikundi kama hivyo(vya viongozi vibaraka) vinapoko-sekana, si vigumu kuvitengeneza nakuviingiza katika mioyo ya watu”.
Hatua iliyofuata kwa Wareno nikukusanya taarifa za kutosha kuhu-su Waislamu nchini Msumbiji ilikuwezesha SCCIM na intelijensia ya jeshi kuchukua hatua muafakadhidi yao.
Kwa hiyo mwaka 1965, SCCIMikaanda dodoso kuhusu Uislamu.Ilielekezwa kuwa maswali dodoso yajibiwe na viongozi wa Kiislamu wenye hadhi au ufahamu fulanikuhusu jamii yao. Wasimamizi wal-ionywa wasifanye vitendo vyovyote vile vitakavyowashtua Waislamukuhusu lengo la dodoso hilo.
Dodoso hilo liligawika sehemunne zenye jumla ya maswali 28,mengi yakiambatana na namna ya
ufuatiliaji wa watendaji kwa maja- wabu yatakayotolewa. Karatasimaalum iliandaliwa kwa ajili hiyo.
Muundo wa maneno ya dodosoulionesha kwamba waandaji wali- jua tofauti mbali mbali za kiaqida,kifiqh na kijamii zilizoko katika jamii ya Waislamu na waliuliza tukupata undani kutoka kwa kilamlengwa.
Muundo mzima wa zoezi hili ul-ilenga kuzielewa jamii za Waislamunchini Msumbiji kwa kina kuanzianini wanachokifanya misikitini,madrasa na katika mijumuiko yao, lugha itumikayo na uongozi waounavyotambulika.
Fuatana na mwandishi toleolijalo kupata sehemu yamwisho ya makala haya.
KWA AKILI YA KAWAIDA, HUKUWAKIKABILIWA NA HARAKATI ZA
WAPIGANIA UHURU ZILIZOJUMUISHAMAKUNDI MBALI MBALI YA KIJAMII
YA WANAMSUMBIJI, WARENOWALIAMUA KUWAGHILIBU
WAISLAMU WAWE UPANDE WAOKUPAMBANA NA NGUVU YA FRELIMO.
Waislamu walivyotumika - 2
tenda maasi muda wote nidhambi lakini maasi katikamiezi mitakatifu ni dhambi
kubwa zaidi kutokana na utakatifuwake.
Katika yaliyokatazwa ku- tendwakatikamiezimitakati- fu ni kupigana. Allah (Sub- haanahuuwaTaala)anasema“Na wanakuuliza kupigana
vita katka miezi mitakatifu, waambie (ee Muhammad) kupi gana ndani yake ni(dhambi)kubwa…”(Al Baqa-rah:217).
Baadhi ya wanawazuoni wanasemakatazolakupigana vitandaniyamiezimitakatifuni mansuukh (lilifutwa) kwaaya ya 194 Suurat Al Baqarah
Allah aliposema “Miezi mi- takatifu kwa miezi mitakatifunavilivyovitukufuQisasi,basiatakayechupa mipaka juu
lenu nanyi chupeni mipakadhidi yake, na mcheni Allahna jueni Allah yu pamoja na
wachaMungu”. Wengine wanasema, hau-ruhusiwikuanzishavitandani
ya miezi mitakatifu, lakini in-aruhusiwa kuendelea na vita
iwapo vita ilianza nje ya miezimitakatifu. Kwa hiyo iwapo
Waislamu watashambuliwanaaduikatikamiezimitakati-
fu, wataruhusiwa kupigana kujilinda. Hawawezi kuacha kupiganaetikwakuwanimie-zimitakatifu.
Dua ya Kuomba Mwanzo wa Rajab: Na katika ya liy-okithirikuhusumweziwaRa-
jab ni watu kuomba kwa dua hii “Allwaahumma baari k lanaafiyRajabwashaa- baa n, wab al- lighnaa Ram-adhwaan”.Hii ni dua
ili-
yopokewa na Imam Ahmad.LakiniSheikhAlAlbaaniyka-
tika maelezo juu ya hadith hiianasema ni dhaifu. (Tazama
Ta’liyq ya Al Ba niy ya a l- Mishkaat, Mujalada wa 1, uk.306,hadithiya16).
Funga katika mwezi waRajab:hakuna upokezi sahihi
kutoka kwa Mtume wa Allahau kutoka kwa swahaba yeyo-
te kuashiria kwamba kuna funga maalum ya mwezi huu waRajab.Fungakatikamwezi wa Rajab ni funga za sunnahza kawaida kama vile ju-matatu na alhamisi, sunnah
ya nabii Dawuud (alayhi sa- laam)namasikumeupekama ilivyo katika miezi mingine yote.
AmesimuliahadithiImam Ahmad (Allah amrahamu) kutoka kwa Abi i Ba krah kwamba “Umar (Allahamridhie)alikuwaakipiga miko-n o
yawaliofungaswaumumwezi wa Rajab mpaka wachukuechakula na akisema, ‘huu nimwezi ulioabudiwa zama zaUjaahili”. (Tazama Al Mugh-niy ya Ibn Qudamah Mjalada3, uk. 167 na Sharh al-Kabiyr
Mjaladawa2uk.52). Na ametaja Shaykhul Is-
laam Ibn Taymiyyah (Allahamrahamu) “Kuadhimisha
mwezi wa Rajab ni katikamamboyauzushiambayoyat-akikana kujiepusha nayo”(Tazama Iqtidhwaau as-swiraatwalmustaqiym,mjala-dawa2uk.624-625).
Nae Imam Ibnul Qayyimal-Jawziyyah amesema,“Mtume (rehma na amaniziwe juu yake) hakupata ku-
funga swaumu miezi mitatumfululizo-Rajab, Shaaban na
Ramadhan-kama wafan- yavyobaadhiyawatu,na
hakufunga mwezi wa Rajab kabi-
s a
na wala hakuwahimiza watu kufunga mwezi huu (Rajab) kamaalivyopokeaIbnMajah”(Tazama Zaad al-Ma’ad,
Mjaladawa2,uk.64).Kwa kusema haya hatum-
katazi mtu kufunga swaumuzakezasunnahlakiniasiseme
kwambakufanyahivikaamri-shaMjumbewaAllah(rehmanaamaniziwejuuyake)auku-
fanya hivyo kuna fadhila ma- khsusi kwa mwenye kufungamweziwaRajab.
Umrah mwezi wa Rajab:Hadith nyingi zinabainisha
kwamba Mtume (Rehma naamani ziwe juu yake) haku-
fanya Umrah ndani ya mwezi wa Raj ab kam a ili vy-opokelewa na Ummul
Mu’miniyna ‘Aisha (Radhi za Allah ziwe juu yake) “…Allahamrahamu Abu ‘Abd al-Rah-maan, Mtume kamwe haku-
fanyaUmrahkatikamweziwaRajab”(BukharinaMuslim).
Lakini kama mtu ataendaUmrah ndani ya mwezi waRajab pasina kuamini
kwa mba kuf any a hivyokunafadhi-
la fulani ma- khs usi na
kwamba imetokezea nalioona ni fursa kwake
hivyo,hapohakunauba yahivyo.
Baadhi ya Bid’a kati wa Rajab: miongoni mzinazofanywa na WaislniyamweziwaRajabniSal-Raghaa’ib. Swala hsana mnamo karne ya n
yyah. Swala hii huswal wa ijumaa ya kwanza Rajab. Shaykhul Isla
Taymiyyah (Allah amanasema, “Swalaat al-ni bid’a kwa mujibu wa
wanawazuoni wa dini k Maalik, Shaafi’i, Abu At-Thawriy, Al-AwzaLaythiynawengine.Hadosemwa kuhusu swa
uzushi kwa mujibu wazuoni wa ilmu ya hadithma Majmu’u Fataawa
wa23,uk.132). Matukioyanayonasi
MweziwaRajab:Pame tukio kadhaa kuhusu M Allah (Rehma na aman yake) kuwa yalitokea Rajab lakini hakuna
kuhusu matukio hayondaniyaRajab.
Miongoni mwa matuni tukio la Israa na Misimuliwa na Al-Qaasim
hamamd kwamba safar ilikuwausikuwamweziUsimulizi huu ukapingrahimal-Harbinaweng
Na kati ya yaliyozushsomochaMi’raajmweziaukuuhuishausikuhu
tendo ya kiibadah na mchanawakenakufany
juu lake. Huu ni uzush kuzingatiakuwahakun kwamba Israa na Mi’r keamwezi27Rajab.
Na h ata kama ing kuthibiti huko kwambmwezi 27 Rajab kusindalili ya kufanyika ymaadam Mtume wa Amaswahaba wake wa
wema katika karne nj hawakuyafanyahaya.
Swala ya Ummu DHuu nao ni uzushi mwiswala iitwayo swalaaDaawuud ambayo hunusuyamweziwaRajab
vyouzushikwaduazinamakhsusindaniyamw
jab na pia kutembelea siku maalum ndani ya
bid’ahyafaatujiepushen TwamuombaAllah(S
huu wa Taala) atufany vitu alivyovifanya vitaatuwezeshe kushikamSunnahyaMtumewakna amani ziwe juu yake
fuata mwendo wa wem tangulia, kwani Imam pata kusema “Kamwe fauluwamwishowaum ilakwayalewaliyofaulumwanzo wake” (Minhnah,mjaladawa2,uk.44
Na mwisho wa dua
NAAM, MWEZI WA RAJAB NI MWEZIMTAKATIFU NA KAMA ILIVYO MIEZI
MITAKATIFU, WAUMINI TUNAKATAZWAKUIVUNJIA HESHIMA ILIYOPEWA NA
ALLAH. ALLAH (SUBHAANA HUU WATAALA) ANASEMA “ENYI MLIOAMINI,MSIVUNJE UTUKUFU WA ALAMA ZA ALLAH WALA MIEZI MITAKATIFU…
”(MAIDAH - 2).
Muuminiwa dini yaKiislamu
akiwamsikitini
mjiniMaputo,Msumbiji
STORIA YA MSUMBIJI
7/17/2019 Imaan Newspaper Issue 3
http://slidepdf.com/reader/full/imaan-newspaper-issue-3 9/15
www.islamicftz.
8 Rajab 1436, JUMATATU Aprili 27 - Mei 3 ,
10
Mlango wa udhu - 2
Kutawadha (Kuchukuaudhu)
Namna ya mwanamke kupaka
maji kichwani:Swali: Aliulizwa Sheikh Mu-
hammad bin Swaleh Al-uthaimin(Allah amrehemu): Je ni Sunnahmwanamke anapopaka maji kichwachake wakati anatawadha kuanziakwenye maoteo ya nywele mpaka ki-chogoni kama anavyofanya mwa-naume?
Jawabu: Naam, kwani asili kati-ka hukumu za kisharia ni kuwa kilekilichothibiti kwa mwanaume kime-
thibiti pia kwa mwanamke na kiny-ume chake, isipokuwa kwa dalili.Nami siijui dalili inayomtofautishamwanamke kwenye hili. Na kwamsingi huu mwanamke atapaka majikuanzia kwenye maoteo ya nywelehadi kichogoni. Hata zikiwa nyweleza singa haitoathiri, kwani aimaani-shi kuziminya nywele kwa nguvumpaka zitote au aziinuwe hadiutosini. Kinachotakiwa ni kupakamaji polepole.
Hukumu ya kupaka majikwenye nywele zilizo-sukwa:
Swali: Aliulizwa Sheikh Muha-mad bin Swaleh Al-uthaimin (Allahamrehemu): Ni ipi hukumu ya mwa-namke kupaka maji juu ya kilembacha kichwa?
Jawabu: Inaruhusiwa kwamwanamke kupaka maji kwenyekichwa chake, sawa nywele zikiwafupi au ndefu. Isipokuwa hatakiwi
kuzirundika utosini (kufanyamnara), kwani naogopa asije kuingiakwenye neno la Mtume (Rehma naamani ya Allah iwe juu yake): “Na
wanawake wenye kuvaa wenda uchi, vichwa vyao kama nundu ya ngamiainayoyumba, hawatoingia peponi
wala hawatoipata harufu yake, waka-
ti harufu ya pepo hupatikana umbalikadhaa na kadhaa”.
Kupaka maji juu ya khofuzinazotokana na dhahabu
au fedha:Swali: Aliulizwa Sheikh Muha-
mad bin Ibrahim Alu Sheikh (Allahamrehemu): kuhusu khofu zi-napokuwa za dhahabu au fedha
Jawabu: Haisihi kwa mwanam-ke au mwanamume kupaka majikwenye khofu za dhahabu au fedhaau vilivyochovywa na viwili hivyo,isipokuwa khofu zilizo na kiasi kido-go cha dhahabu na fedha, kama tut-akavyoeleza kwenye mlango wa vyo-mbo. Wanawake hawakuruhusiwakutumia dhahabu na fedhaisipokuwa kiwango kilichozoelekakuvaliwa kidesturi, kwa lengo la ku-enziwa na waume zao. Ama zaidi yahivyo hakuna lazima, na zaidi ya tu-
livyoeleza kiasili hukumu yake ni ka-
tazo. Kwa maana hiyo wanawake ku- vaa dhahabu na fedha ni ruhusa, amazaidi ya tulivyoeleza hukumu yake nikutoruhusiwa kuvaa na hata kupakamaji juu yake.(Fat-wa na Rasaailu za
Sheikh Mohamad bin Ibrahim2/67).
Hukumu ya kupaka maji juu ya ushungi/ukaya:
Swali: Aliulizwa Sheikh Muha-mad bin Swaleh Uthaimin (Allahamrehemu): Je inajuzu kwa mwan-amke kupaka maji juu ya ukaya
wake? Jawabu: Kilicho mashuhuri
kwenye madhehebu ya Imam Ah-mad, mwanamke anaweza kupakamaji kwenye ukaya wake kama ukayaumezungushwa mpaka kwenye koo,kwani kitendo kama hicho kime-
thibiti kwa baadhi ya wanawake waKiswahaba (Allah awaridhie). Vyo-
vyote iwavyo atapoona usumbufu,
ima kwa sababu ya hali ya hewa ya baridi au usumbufu wa kuvua na ku-funga tena, si vibaya kupaka maji juu
ya ukaya, ama bora nikutopaka. (Fat- wa na Rasaai lu za Shei kh Ibn
Uthaimin 4/171).
Kupaka maji kwenye ma-pambo yaliyo kichwani:
Swali: Aliulizwa Sheikh Moham-ed bin Ibrahim Alu Sheikh (Allahamrehemu): Kuhusu kupaka majimapambo yaliyo kichwani.
Jawabu: Hatakiwi kupaka majimapambo yaliyo kichwani, kwanihayana maana inayolingana na kho-fu.
Kupaka maji kichwakilichosingwa mafutamchanganyiko:
Swali: Aliulizwa Sheikh Mo-hamed bin Ibrahim Alu Sheikh (Al-
lah amrehemu) kuhusu kupaka majkichwa kilichopakwa mchanganyik
wa mafuta mazito. Jawabu: Kichwa cha aina hiy
hakitopakwa maji juu yake, kwan
hakilingani na khofu si kimaana walkihisia. Mchanganyiko wa mafutmazito hupakwa kwa ajili ya anasana wala hayapakwi kwa haja audharura fulani.
Kupaka maji kwenye ny-wele zilizo na rojo la hina
Swali: Aliulizwa Sheikh Mohamed bin Swaleh Uthaimin (Allahamrehemu): Mwanamke anapozipaka hina nywele zake, je atapakmaji kwenye hina?
Jawabu: Mwanamke atakapokipaka hina kichwa chake, atapakmaji kwenye hina, wala halazimikkufumuwa nywele na kukwangukilicho kichwani. Imethibiti kuwMtume (Rehma na amani ya Allah
iwe juu yake) alipohirimia alikuwamepaka hina kichwani. Hii inmaana kilichoganda kichwani ni sehemu ya kichwa. Hii inaonyeshkuna unafuu wa aina fulani katiksuala la kupaka maji kichwa”. (Fat-wna Rasaailu za Sheikh Muhamad binIbrahim 4/147).
Kupaka maji nywele zilizona mafuta:
Swali: Aliulizwa Sheikh Muhamad bin Swaleh Uthaimin (Allahamrehemu):
Mwanamke anapokipaka mafutkichwa chake na kupaka maji juu
yake, je udhu wake ni sahihi au la? Jawabu: kabla ya kulijibu swal
hili, napenda niweke wazi kuwa, Al lah aliyetukuka amesema kwenykitabu chake: “Enyi mlioaminmnapoinuka ili kutaka kuswali, basosheni nyuso zenu na mikono yenumpaka kwenye visukusuku, na pakeni maji kwenye vichwa vyenu na muoshe miguu yenu mpaka vifundoni(5:6).
FAT-WA KWA MWANAMKE WA KIISLAMNA SHEIKH SHABANI MUSSA
Dini ya Kiislamu ni mfumokamili wa maisha, ambayohaikuacha kutoa misingi
ya mambo yote muhimu
kwa maisha ya binadamu. Kuhusumanufaa ya chakula tunaona misingi yake katika Qur’an na Sunnah yaMtume Muhammad (Rehma naamani ziwe juu yake).
Kwa leo turejee aya zifuatazo:“Hebu mwanadamu na atazamechakula chake. Hakika Sisi tumem-imina maji kwa nguvu. Tena tukai-pasuapasua ardhi. Kisha tukaoteshahumo chembechembe. Na mizabibuna mboga. Na mizaituni na mitende.Na mabustani, yenye miti iliyosonga-na. Na matunda na malisho, kwa ajili
ya kukustarehesheni nyinyi na wan- yama wenu”. (80: 24-32).
“Enyi mlioamini kuleni vizuri tu- livyokuruzukuni, na mumshukuruMwenyezi Mungu, ikiwa mna
muabudu yeye peke yake”. (2:172).
Mwenyezi Mungu asingetuhimi-
za kula vyakula tena vilivyo bora kamahakuna manufaa. Zaidi ya hayo,Mwenyezi Mungu anataka tufanyeutafiti kuhusu vyakula ili tupate yaki-ni ya kuwepo kwake na nguvu zake.
Chakula kinaweza kutazamwa aukufanyiwa utafiti kwa njia mbalim-
bali kama vile kinavyozalishwa kwakupitia ardhi na maji, aina ya vyakula
vinavyozalishwa na ardhi – nafaka,matunda, mbogamboga, wanyama,samaki, n.k. Namna chakula kinavy-ojenga au kuharibu afya ya mlaji, ninjia nyingine ya kukiangalia chakula.
Makala haya yanajikita kujadilimanufaa ya chakula katika ujenzi waafya ya mlaji.
Manufaa ya kwanza ni kuwachakula kinakidhi mahitaji ya nishati
ya kila siku ya mwili. Ili mtu aweze
kuswali, kulima, kufikiri vizuri,
kutembea, kusoma, kutazama,kusikiliza, ili dawa aliyokunywa ifan-
ye kazi mwilini, ni lazima mwili wakeupate nishati ya kutosha kutoka kati-ka vyakula anavyokula.
Pia, nishati zaidi inahitajika ilikumwezesha mtoto tumboni na yulealiyezaliwa kukua vizuri.
Vyakula vyenye wanga mwingikama vile wali, ugali, ndizi, viazi, mi-hogo, mikate, chapati na maandazi ni
vyanzo vizuri vya nishati mwilini. Vyakula hivyo vitumike zaidi ku-
liko vyakula vya mafuta na sukari, in-gawa navyo vinaupa mwili nishati.Tunahitaji vyakula vya mafuta lakini
viwe kwa kiasi kidogo.Manufaa ya pili ya chakula ni kuu-
wezesha mwili kukua, kujikarabati
na kuponya majeraha. Kati ya umri
wa mwaka mmoja na umri wa ku-
balehe au kuvunjaungo (adoles-cence), motto anakua kwa wasta-ni wa nchi 2.5 kwa mwaka. Ilikukua kwa kiwango hicho mi-fupa na misuli inahitaji chakulachenye protini, wanga, vitaminina madini.
Kula kila siku vyakula vyaprotini, madini ya chuma na vi-
tamini B ni muhimu sana ilimwili uweze kuwa na damu yakutosha na kuwe-za kusafirisha
vi ru tu bi sh om u h i m ukutoka se-hemu mojakwenda se-hemu ny-
ingine.
CHAKULA KINAVYONUFAISHA AFYA ZETU
PAZI MWINYIMVUA
AFYA YAKO
7/17/2019 Imaan Newspaper Issue 3
http://slidepdf.com/reader/full/imaan-newspaper-issue-3 10/15
Shukran njemaanastahiki AllahS u b ’ h a n a h u
Wataala na Re-hema na amani zimfikie
Mtume wetu Muhammad(Rehma na amani ziwe juu yake), maswahaba zake na wale watakaofuata muon-gozo mpaka siku yamwisho.
Ndugu mpenzi mso-maji, katika makala yetu ya
leo tutaangaaza juu ya ka-nuni za msingi zinazoon-goza biashara na uchumi
wa Kiislamu.Biashara na uchumi wa
Kiislamu umejengwa kati-ka msingi mama wa kuk-
wepa riba. Miamala yote ya kibiashara inatakiwa isi- jihusishe na riba kwa nam-na yoyote ile. Katika Uisla-
mu, biashara imehalalish- wa na riba imeharamish- wa.
Allah anasema: “Wale walao riba hawasimami ilakama anavyosimama ali-
yezugwa na shet’ani kwakumgusa. Hayo ni kwakuwa wamesema: Bi-ashara ni kama riba. LakiniMwenyezi Mungu amei-halalisha biashara naameiharimisha riba. Basialiyefikiwa na mawaidhakutoka kwa Mola wakeMlezi, kisha akajizuia, basi
yake ni yaliyo kwisha pita,na mambo yake yako kwaMwenyezi Mungu. Na
wenye kurudia basi haondio watu wa motoni,h u m o w a t a d u m u ”(2:275).
Kanuni ya msingi ya pili
ni Al Gharar. Katika utara- tibu wa kibiashara un-aokubalika katika Uislamuni kuhakikisha pande zi-nazoshiriki katika biasharakujiepusha na ‘gharar’ am-
bayo inajumuisha hiyana,hadaa, hatari, udanganyifuna ile hali ya kutokuwa nauhakika juu ya ya jambofulani linalohusu muama-
la ambalo huweza kusaba- bisha hasara na dhulmakwa upande mmoja wa
washiriki katika biashara.Kutokana na kanuni
hii, uwazi na utoaji wa taarifa sahihi na kamili juu ya bi dh aa , hu du ma ,
masharti na vigezo baina ya muuzaji na mnunuzi vinape wa nafasi ya juusana ili kuhakikisha mua-mala unafanywa katikahali isiyogubikwa na ujin-ga, ambapo pande zote zi-nakuwa na ufahamu nauhakika juu ya muamala
wao.Swala la udanganyifu
limekemewa na kunyimwanafasi kabisa katika mua-mala, ambapo kila upandeunatakiwa kutoa taarifasahihi na kudumisha uk-
weli, uadilifu na uaminifukatika biashara. Aidha,hadaa na upunjaji wa vipi-
UCHUMI NA BIASHARA JAMAL ISSA
WATU MAARUFU WASIOKUWA WAISLAMU WASEMAVYO KUHUSU UISLAMU
www.islamicftz.org
8 Rajab 1436, JUMATATU Aprili 27 - Me i 3 , 2015
mo umekatazwa katika biashara.
Allah anasema katika Qur’an tukufu: “…Na timizeni vipimo namizani kwa uadilifu….” (6:152),“Ole wao hao wapunjao!Ambao
wanapojipimia kwa watu hudai watimiziwe.Na wao wanapowapi-mia watu kwa kipimo au mizanihupunguza”(83: 1-3).
Katika aya nyingine Allahanasema: “Na kwa watu wa Mady-ana tuliwatumia ndugu yaoShua’ib. Akasema: Enyi watu wan-gu! Muabuduni Mwenyezi Mungu.Nyinyi hamna Mungu ila Yeye,
wala msipunguze vipimo na miza-ni. Mimi nakuoneni mmo katikahali njema, nami nakukhofieni ad-habu ya Siku kubwa hiyo itakayokuzungukeni. Na enyi watu wangu!
Timizeni vipimo na mizani kwauadilifu wala msiwakhini watu vitu
vyao; wala msieneze uovu katikanchi mkafanya uharibifu. (11: 85-86).
Kanuni muhimu ya tatu ni juu ya Al-Qimar na Al-Maisir. Uchumikatika Uislamu umejengwa juu ya
msingi usiohusisha kamari (mche-
zo wa bahati nasibu) kama sehemu ya biashara. Muamala wowote un-aohusisha kamari ambapo upandemmoja unaoshinda utanufaikakwa gharama/hasara ya upandemwingine unaoshindwa haukuba-
liki katika Uislamu. Mbali na dhul-ma iliyopo katika kamari, piakamari husababisha uvivu nauzembe wa kutojishuhulisha katikashuhuli za uzalishaji mali ambazohujenga uchumi madhubuti na ha-
timaye kuwa na wimbi la umaskinina watu tegemezi. Kamari husaba-
bisha mtu kupata kipato bila ku-fanya kazi/kutolea jasho, kipatoambacho si halali (Al-Maisir).
Allah ametuonya katika Qur’an:“Enyi mlio amini! Bila ya shaka ul-
evi, na kamari, na kuabudu masan-amu, na kupiga ramli, ni uchafukatika kazi ya Shetani. Basi jiepush-eni navyo, ili mpate kufanikiwa.Hakika Shetani anataka kutia kati
yenu uadui na chuki kwa ulevi nakamari, na akuzuieni kumkumbu-ka Mwenyezi Mungu na kusali.
Basi je, mmeacha? “(5:90-91).Kanuni ya nne muhimu ni kuji-
husisha na sekta halisi ya kiuchumi.Mfumo wa kifedha katika Uislamuunatakiwa kuwa na uhusiano aukuambatana na rasilimali. Kwamaana mfumo wa kifedha unatak-
iwa kuambatana na shughuli zauzalishaji mali na biashara na siokuingiza fedha katika mzunguko
bila kuzingatia uzalishaji mali na biashara au kuifanya fedha yenyewekama bidhaa ambapo hubadilish-
wa fedha kwa fedha ya aina mojakwa ziada kwa njia mbalimbalihaswa mikopo ya riba.
Mfumo wa kifedha usiojali nakuzingatia wapi fedha zinawekezwapale zinapotolewa na taasisi zakifedha kwa wateja wake haukuba-
liki katika Uislamu. Hivyo utarati- bu wa kifedha wa Kiislamu huzin-gatia fedha kuwekezwa katika sektahalisi ya uchumi na sio katika sektaza anasa, starehe na pumbao am-
bazo hazijengi uchumi madhubuti
wenye bidhaa na huduma halali.Miamala ya kifedha katika Uisla-mu huambatana na rasilimali am-
bazo zitazalisha pato na mali halali.Kanuni ya msingi ya tano ni
ushirika. Uislamu umesisitiza mfu-mo wa kibiashara wa kushirikianakatika mtaji, kuendesha na kusi-mamia biashara, na kugawana fa-ida na hasara.
Utaratibu wa baadhi ya watu au taasisi za kifedha kuwapa watu mi- taji kama mikopo kwa riba hauku- baliki kwani hauleti tija zaidi ya un- yonyaji. Utaratibu huu pia hauzin-gatii matokeo ya biashara ambayofedha hizo zimewekezwa, kwani al-iyekopeshwa kwa namna yoyote ile,hata kama amepata hasara, atalaz-
imika kurejesha mkopo na riba.Hivyo mkopeshaji anakuwa ameji-hakikishia manufaa na kukwepahatari ya kupata hasara.
Katika utaratibu wa Kiislamu washirika hunufaika kutokana namatokeo ya biashara kwa kugawa-na faida au hasara. Na hii inaendanana dhana nzima ya kusaidiana kwa
wema bila kunyonyana jambo am- balo tumeusiwa katika Qur’an;”Nasaidianeni katika wema na ucha-mngu. Wala msisaidiane katikadhambi na uadui”(5:2).
Ndugu mpenzi msomaji usiko-se makala ijayo In Sha Allahtutadurusu riba kwa undani.
[email protected],+255713996031
Misingi ya
Kiislamu yauchumi nabiashara
Mfanyabiasharaakiuza bidhaasokoni.
UTARATIBU WA BAADHI
YA WATU AU TAASISI ZA
KIFEDHA KUWAPA WATU
MITAJI KAMA MIKOPO KWA
RIBA HAUKUBALIKI KWANI
HAULETI TIJA ZAIDI YA
UNYONYAJI.
NAPOLEON BONAPARTE:
Alizaliwa August 15, 1769 naku-wa Generali wa jeshi na Mfalmewa kwanza wa Ufaransa. Vitavyake maarufu kama vita vyaNapoleon (Napoleonic wars) vili-
ubadili ulimwengu. Anasema:
I hope the time is not far off when I shall be able to unite allthe wise and educated men of all the countries and estab-lish a uniform regime based on the principles of Quran which
alone are true and which alone can lead men to happiness
Tafsiri: Natumaini wakati hauko mbali pindi nitakapoweza kuunganisha watu wote wenye hekimana elimu wa nchi zote na kuanzisha utawala mmoja unaotokana na kanuni za Qur’an, kanuni am-bazo peke yake ndiyo za kweli na ambazo peke yake ndizo zinazoweza kuwaongoza watu kwenyefuraha (ya kweli).Imenukuliwa kutoka: Christian Cherfils, ‘Bonaparte et Islam,’ Pedone Ed, Paris, France, 1914, pp. 105, 125
(Original References: “Correspondance de Napoléon Ier Tome V pièce n° 4287 du 17/07/1799...)
7/17/2019 Imaan Newspaper Issue 3
http://slidepdf.com/reader/full/imaan-newspaper-issue-3 11/15
www.islamicftz.
8 Rajab 1436, JUMATATU Aprili 27 - Mei 3 ,
12
TAASISI YA KHIDMAT ISLAMIYA YENYE UZOEFUWA MIAKA 14 KATIKA SHUGHULI ZA HIJA NAUMRA, INAWATANGAZIA WAISLAM WOTE KUWAGHARAMA YA HIJA KWA MWAKA 2014/ 1435H NIDOLA 4750 TU AMBAZO ZINAWEZA KULIPWA KWAAWAMU (KIDOGO KIDOGO).AIDHA, GHARAMA YA KUFANYIWA IBADA YA HIJA(KUHIJIWA) NI DOLA 1450 TU.
MALIPO YA HIJA YANAJUMUISHA GHARAMAZIFUATAZO: NAULI YA NDEGE KWENDA NA KURUDI MALAZI MAKKA, HOTELI YA NYOTA 3*,
MWENDO WA KUTEMBEA DAKIKA 7 TUMPAKA MASJID HARAM.
MALAZI MADINA, HOTELI YA NYOTA 3*MWENDO WA KUTEMBEA DAKIKA 3 TUMPAKA MASJID NABAWY
(NI UKWELI USIOFICHIKA KUWA KHIDMATISLAMIYA IMEKUWA IKIANDAA NYUMBA ZAMAHUJAJI KARIBU KABISA NA MASJID HARAM NAMASJID NABAWY).
USAFIRI WA BASI JEDDAH – MAKKA,MAKKA – MADINA
HUDUMA MAALUM (SPECIAL SERVICE)SIKU 5 ZA HIJJA
MAHEMA YENYE VIYOYOZI (AIR CONDITION), MAGODORO, MITO NA BLANKETI
CHAKULA MILO MITATU, KUJIHUDUMIAMWENYEWE (BUFFET) CHAI, KAHAWA,JUISI, SODA, MAJI NA VITAFUNWA(SNACKS) VITAPATIKANA MASAA 24, SIKU 5ZA HIJJA
USAFIRI WA BASI KATI YA MAKKA – MINA,MINA – ARAFAT, ARAFAT – MUZDALIFA,MINA – MAKKA
NGUO (IHRAM) KWA WANAUME NAHIJAB KWA WANAWAKE, GALONIMOJA YA MAJI YA ZAM ZAM (LITA 10)BEGI LA KUSAFIRIA, PAMOJA NA KILO 3 ZATENDE KWA KILA HUJAJI
ZIARA YA MAKKA KUTEMBELEA NYUMBAALIKOZALIWA MTUME WETUMUHAMMAD (S.A.W), JABAL HIRA,JABAL THAWR, JABAL RAHMA,MASJID JINNI, MASJID KHEIF,MASJID NIMRAH, VIWANJA VYA ARAFAT,MINA, MUZDALIFA NA JAMARAT
TAASISI YA YENYE UZOEFU
MALIPO YA HIJA YANAJUMUISHA GHARAMAZIFUATAZO:
(NI UKWELI USIOFICHIKA KUWA KHIDMATISLAMIYA IMEKUWA IKIANDAA NYUMBA ZAMAHUJAJI KARIBU KABISA NA MASJID HARAM NAMASJID NABAWY).
TAASISI YA YENYE UZOEFU
MALIPO YA HIJA YANAJUMUISHA GHARAMAZIFUATAZO:
(NI UKWELI USIOFICHIKA KUWA KHIDMATISLAMIYA IMEKUWA IKIANDAA NYUMBA ZAMAHUJAJI KARIBU KABISA NA MASJID HARAM NAMASJID NABAWY).
TAASISI YA YENYE UZOEFU
MALIPO YA HIJA YANAJUMUISHA GHARAMAZIFUATAZO:
(NI UKWELI USIOFICHIKA KUWA KHIDMATISLAMIYA IMEKUWA IKIANDAA NYUMBA ZAMAHUJAJI KARIBU KABISA NA MASJID HARAM NAMASJID NABAWY).
ZIARA YA MADINA KUTEMBELEA MSIKITI
VILE VILE GHARAMA YA HIJJA INAJUMUISHA ZIARA YA MADINA KUTEMBELEAMASJID QUBA, MASJID QIBLATAIN, MASJID
JUMAA, SABA MASAAJID (MAHALI KULIPOFANYIKA VITA VYA KHANDAQ), NAJABAL UHUD.
GHARAMA YA UCHINJAJI WA MNYAMAWA UDH’HIYA
CHAKULA MILO MITATU KUJIHUDUMIAMWENYEWE (BUFFET) SIKU ZOTE ZASAFARI.
SHEIKH HASHIM AHMED RUSAGANYA, SHEIKHJUMA RAJAB IKUSI NA SHEIKH HARUNA JUMANNEKAPAMA WATAKUWEPO NA KUTOA MWONGOZOKWA MAHUJAJI WAKATI WOTE. AL-HAJJ AHMED SALEH NAHDY (HAMAD) AL-HAJJZULFIKAR OSMAN (ZULLY) AL HAJJ ALTAF ABDU-LATIF NA AL HAJJ SIDIK VIONGOZI WENYE UZOEFUWA MUDA MREFU PIA WATAKUWEPO KUWAHU-DUMIA MAHUJAJILENGO NI KUHAKIKISHA KILA HUJAJI ANATEKELEZAIBADA YAKE INAVYOTAKIWA. MADAKTARI DR. HAJIHAMDU NA DR. HAMISA THEREYA ( DAKTARI WA
AKINA MAMA) WATAKUWEPO KATIKA MSAFARANA MADAWA YOTE MUHIMU YATAPATIKANAWAKATI WOTE WA SAFARI.WAWEZA KUWAULIZA MAHUJAJI WALIOWAHIKUHUDUMIWA NA TAASIS HII, NA WATAKUHAKIK-ISHIA UWEPO WA HUDUMA ZA KURIDHISHA.ALHAMDULILAH DAIMA KHIDMAT ISLAMIYATUMEWEZA KUTEKELEZA KILA TUNACHOKIAHIDI.
TAHADHARI: NDUGU HUJAJI MTARAJIWA FANYAUCHUNGUZI WA KINA KABLA YA KUJISAJILI KWANIIBADA HII NI MOJAWAPO YA NGUZO TANO ZAUISLAM KWA HIYO HAKIKISHA UNAITEKELEZA INA-VYOTAKIKANA KWA NAFASI ULIYOJAALIWA,KWANI HUJUI KAMA UTAIPATA TENA NAFASI HIYOMAISHANI MWAKO. NDUGU MUISLAM KAMAUNAO UWEZO USISUBIRIE MWAKANI HUJUI KAMAUWEZO ULIONAO LEO WA AFYA NA MASURUFUUTAENDELEA KUWEPO NA PIA UJUE GHARAMANAZO ZINAONGEZEKA KILA MWAKA.
-
-
-
TAHADHARI: NDUGU HUJAJI MTARAJIWA FANYAUCHUNGUZI WA KINA KABLA YA KUJISAJILI KWANIIBADA HII NI MOJAWAPO YA NGUZO TANO ZAUISLAM KWA HIYO HAKIKISHA UNAITEKELEZA INA-VYOTAKIKANA KWA NAFASI ULIYOJAALIWA,KWANI HUJUI KAMA UTAIPATA TENA NAFASI HIYOMAISHANI MWAKO. NDUGU MUISLAM KAMAUNAO UWEZO USISUBIRIE MWAKANI HUJUI KAMAUWEZO ULIONAO LEO WA AFYA NA MASURUFUUTAENDELEA KUWEPO NA PIA UJUE GHARAMANAZO ZINAONGEZEKA KILA MWAKA.
-
-
-
TAHADHARI: NDUGU HUJAJI MTARAJIWA FANYAUCHUNGUZI WA KINA KABLA YA KUJISAJILI KWANIIBADA HII NI MOJAWAPO YA NGUZO TANO ZAUISLAM KWA HIYO HAKIKISHA UNAITEKELEZA INA-VYOTAKIKANA KWA NAFASI ULIYOJAALIWA,KWANI HUJUI KAMA UTAIPATA TENA NAFASI HIYOMAISHANI MWAKO. NDUGU MUISLAM KAMAUNAO UWEZO USISUBIRIE MWAKANI HUJUI KAMAUWEZO ULIONAO LEO WA AFYA NA MASURUFUUTAENDELEA KUWEPO NA PIA UJUE GHARAMANAZO ZINAONGEZEKA KILA MWAKA.
WA MTUME (SAW), MAKABURI YA BAQII(WALIPOZIKWA MASWAHABA, BAADHI YAWAKEZE NA WATOTO WA MTUME (S.A.W.)NA MAKABURI YA WALIOKUFA SHAHIDIKATIKA VITA VYA UHUD
-
-
-
TAHADHARI: NDUGU HUJAJI MTARAJIWA FANYAUCHUNGUZI WA KINA KABLA YA KUJISAJILI KWANIIBADA HII NI MOJAWAPO YA NGUZO TANO ZAUISLAM KWA HIYO HAKIKISHA UNAITEKELEZA INA-VYOTAKIKANA KWA NAFASI ULIYOJAALIWA,KWANI HUJUI KAMA UTAIPATA TENA NAFASI HIYOMAISHANI MWAKO. NDUGU MUISLAM KAMAUNAO UWEZO USISUBIRIE MWAKANI HUJUI KAMAUWEZO ULIONAO LEO WA AFYA NA MASURUFUUTAENDELEA KUWEPO NA PIA UJUE GHARAMANAZO ZINAONGEZEKA KILA MWAKA.
KWA MAELEZO ZAIDI NA UANDIKISHAJIWASILIANA NA: SHEIKH HASHIM AHMAD RUSAGANYA
NAMBA YA SIMU 0715 915 008,0784 915 008
SHEIKH ABDALLAH MOHAMED JUMA –IMAM MSIKITI WA MTORO 0713 445 545
AL-HAJJ ZULFIKAR OSMAN 0777 411 020,0713 530 036, 0786 411 020
AL-HAJJ HAFIDH SALIM – 0655 616 623,0682 535 319 SHEIKH HARUNA JUMANNE KAPAMA
0715 985 413 AL-HAJJ ALTAF ABDULLATIF AHMED
0789 373 222 AL-HAJJ OMAR AWADH KHAMIS - MSIKITI
WA QIBLATAIN - 0715 210 666 ARUSHA: SHEIKH JUMA RAJAB IKUSI –
TAYSEER STORE DUKA NO.12 MKABALANA NMB TAWI LA SOKO KUU NAMBAYA SIMU 0786 125 512, 0767 125 513,0655 125 513
MOROGORO: AL-HAJJ AHMED SALEHNAHDY(AHMADO)- 0715 372 776,0773 372 776
DODOMA & SINGIDA: AL-HAJJ YUNUSURUGEIYAMU – 0754 334 400,0786 293 901
DODOMA & KONDOA: SHEIKH ESMAIL H.ALLIY – 0713 677 683
MULEBA, BUKOBA & DAR AL-HAJJMAULID ATHUMAN KYEJU 0655 883 573
KUFUATANA NA SHERIA MPYA NCHINI SAUDIA,TAREHE YA MWISHO YA KUJISAJILI NA KUTUMA
MAJINA YA MAHUJAJI KWA NJIA YA MTANDAO KWAMWAKA HUU NI TAREHE 8 JUNI2015 SAWA NA
TAREHE 20 SHAABAN 1437
MAHUJAJI WOTE MNAOMBWA KUJISAJILI MAPEMAILI KUWA NA UHAKIKA WA SAFARI YA HIJJA
0773 372 776
RUGEIYAMU – 0754 334 400,
DODOMA & KONDOA: SHEIKH ESMAIL H.ALLIY – 0713 677 683
MAULID ATHUMAN KYEJU 0655 883 573
KATIBU MTENDAJIMUHSIN MOHAMED HUSSEIN0784 /0715 /0773 - 786 680,
TAARIFA MUHIMU
KUFUATANA NA SHERIA MPYA NCHINI SAUDIA,TAREHE YA MWISHO YA KUJISAJILI NA KUTUMA
MAJINA YA MAHUJAJI KWA NJIA YA MTANDAO KWAMWAKA HUU NI TAREHE 8 JUNI2015 SAWA NA
TAREHE 20 SHAABAN 1437
MAHUJAJI WOTE MNAOMBWA KUJISAJILI MAPEMAILI KUWA NA UHAKIKA WA SAFARI YA HIJJA
U
shawishi wa marafiki wa ba ya na uh urumkubwa vimetajwakuwa sababu ya baadhi
ya vijana wa kiislamu wanaojiungana vyuo vikuu hapa nchini kutum-
bukia katika maasi kama ulevi, ku- vaa mavazi yasiyo na stara na zinaa.
Hayo yamebainishwa na baadhi ya walimu na wanafunzi wa kiislamu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam waliohojiwa na gazeti la Imaan hivikaribuni. Wengi kati ya waliohojiwa
wamekiri kwamba kuna wimbi la vi- jana wa kiislamu, hususan wa kikekubadilika pindi tu wanapozoeamazingira ya chuo na kugundua
wapo tofauti kitabia na vijana wengi.Hali hiyo ya ‘upweke’ katika jamii
ya wanafunzi ambao wengi wame-potoka hulazimisha vijana wa kiisla-
mu kuiga ili ‘kwenda na wakati’,mwalimu Zuhura Selemani wa chuokikuu cha Dar es Salaam, Shule Kuu
ya Uandishi wa Habari na Mawasil-iano ya Umma alisema.
Zuhura anasema anazungumza
kutokana na uzoefu ambapo yeyemwenyewe alikuwa mwanafunzikutoka mwaka 2006 hadi 2009, nakisha kuajiriwa chuoni hapo mwaka2010.
Zuhura alisema, vijana wengi wa-nafwata mkumbo wa marafiki zao.
Akitoa mfano, Zuhura alisema binti wa kiislamu aliyetoka kijijini na ku-ingia mjini anakuwa na ushamba wamambo mengi, na anapokutana na
watoto wa mjini atataka afanane naokimavazi na tabia ili naye aonekaneameelimika na kustaarabika.
Hoja ya Zuhura inaungwa mko-no na mmoja wa wanafunzi wamwaka wa pili Rahma Muhajir, ali-
yetaja msukumo wa marafiki kuwamoja ya sababu za mporomoko wamaadili, hususan kwa wanafunzi wakike.
Rahma alisema binti wa kiislamumara nyingi hupangiwa chumba na vijana wasiokuwa Waislamu nahivyo huanza kuiga tabia za kusikili-za miziki, kuangalia picha za ngono,kwenda disko, ulevi na kadhalika.
Rahma alisema:“Vijana wengi wa kiis lamu wanapofika Chuohuacha kabisa kujishughulisha namaswala ya dini kama vile kuswalikuhudhuria madarasa, semina zadini na badala yake kujihusisha namambo ya kipuuzi kama vile pati,kutoka usiku na mahusiano ya ki-mapenzi”.
Upo Msikiti wa Chuo pale Msau-di, unafundisha madarasa na kuali-ka masheikh mbalimali kutoa daawa
lakini wanafunzi wa kiislamu wan-aohudhuria ni wachache mno ukil-inganisha na idadi ya Waislamuchuoni hapo”, Rahma aliongeza.
Sababu nyingine iliyotajwa ya vi- jana kujiingiza katika maasi ni uhu-ru wa kupitiliza ukilinganisha namaisha yao kabla ya kujiunga nachuo.
Akielezea hilo, Mwalimu Zuhuraalisema baadhi ya mabinti wa kiisla-mu wanakuwa nje ya udhibiti wa
wazazi kwa mara ya kwanza na baa-dhi yao huutumia uhuru huo vibayakwa kujaribu anasa mbalimbali.
Zuhura alisema kijana ambayehakujengeka vizuri kimaadili na am-
baye alikuwa anaishi kwa kumu-uogopa mzazi, katika hali mpya yauhuru kamili nidhamu ya uogahuondoka na kuanza kufanya mam-
bo apendavyo.Hata hivyo, Zuhura anasema sio
wanafunzi wote wanabadilika nakuingia katika uovu. Wapo wa-nafunzi ambao wamedumu katikamaadili mazuri kipindi chote chamasomo yao.
Naye, Shekha Ally ambaye pia nimwalimu katika Chuo Kikuu chaDar es Salaam ametaja vishawishikuwa ni moja ya sababu zinazoshu-sha maadili ya vijana wa kiislamupindi wanapofika chuo.
Shekha alisema wapo wanafunzi walioingia chuoni hapo wakiwa na
maadili mema na misimamo mizuri ya kidini, wakivaa mavazi mazuri yastara na kuswali lakini baada yamuda kwa sababu hakuna tena usi-mamizi wa wazazi hushawishika nakujiingiza katika vitendo visivyo-
mpendeza Allah. Akikumbuka enzi zake za uwa-
nafunzi, Shekha alisema yeye binafsialikuwa akishauriwa na marafikizake avue baibui ili avae gauni, sketina bilauzi kwa kuwa angependezazaidi, lakini hakuyumba.
Kadhalika, Shekha alisema yeyehakuyumba kwa sababu alikuwaanajiamini na anaamini anachofan-
ya ni sahihi, jambo ambalo baadhi yamabinti wa kiislam wamekosa nahivyo kufwata mkumbo na kuigaigakirahisi. Kuhusu kutojiamini, mwa-nafunzi wa mwaka wa tatu, RaiyeMkubwa, alisema mazingira ya uogana udhaifu wa kiimani hupelekeakuporomoka maadili kwa vijana wa
vyuo. Alifafanua kuwa baadhi ya vitivo
vina wanafunzi wachache wa kiisla-
mu wanaovaa hijab na wakatimwingine msichana anawezakuogopa vitisho vya kufelishwa na
walimu kwa madai ya ‘ujahidina’ haliambayo huweza kupelekea mwa-nafunzi kupunguza stara yake.
Uhuru, marafiki, chanzo mporomoko wa maadili vyuo vikuu
HAFSWA MADIWA
MILA NA DESTURI
MILA NA DESTURI / TANGAZO
7/17/2019 Imaan Newspaper Issue 3
http://slidepdf.com/reader/full/imaan-newspaper-issue-3 12/15
www.islamicftz.org
8 Rajab 1436, JUMATATU Aprili 27 - Me i 3 , 2015
Katika makala
ya ke kwen yegazet i RaiaMwema toleo
namba 401 la tarehe 15
Aprili, 2015, mwandishiJoseph Mihangwa chini yakichwa cha habari: ‘Dini zaKigeni Tishio kwa Umoja
Afrika’ aliuliza: “Ni nchingapi za Afrika ya Kiarabuziliwahi kushiriki katikaukombozi wa nchi za Afrika
bila uswahiba wa kidini?”Pengine ni kwa kutokujua
au kwa kujifanya hajui,mwandishi ameupotoshaumma uamini kwamba haku-na nchi za Afrika za Kiarabuzilizosaidia ukombozi wa Afri-ka dhidi ya minyororo ya ukol-oni isipokuwa ni kwa uswa-hiba wa kidini.
Kabla hatujaonesha kwa
ushahidi jinsi nchi za kiarabuzikiwemo Algeria na Libyazilivyoshiriki kwa hali na malikatika ukombozi wa Afrika,kwanza tumkumbushe kuwaukombozi wa nchi za Afrika us-ingekuweko kama si kwa nchiza kizungu za kikristo kuivamiana kuikalia Afrika.
Wazungu walikutana mjiniBerlin, Ujerumani mwaka1884-85 kugawana bara la Afri-ka lililokuwa linakaliwa na Waa-frika weusi, Wabantu weusi,
Waarabu weusi na Waarabu we-upe.
Mwandishi angepaswa kwanzakuwalaani wazungu kwa kuwad-halilisha waafrika lakini kama wal-ivyo waandishi mfano wake, hilohawezi kulifanya kwa kuwa chuki
yake ni kwa waarabu tu.Ndivyo walivyofundishwa katika shule zaoza misheni-Mwarabu mbaya,mzungu mzuri.
Tukirudi katika swali la mwandi-shi wa makala hayo, kama kunanchi zilizosimama kidete na wapi-gania uhuru zikitoa fedha, silaha namafunzo mbali na kuwaunga mko-no katika majukwaa ya kimataifa ninchi za kiafrika za kiarabu.
Algeria: Nelson Mandela alipatamafunzo yake ya kwanza ya kijeshinchini Algeria. Mwaka 1961 Man-dela alitembelea vikosi vya ukom-
bozi vya Algeria katika mji wa Oujdanchini Morocco.
Katika kitabu cha maisha yake“The Long Walk to Feedom” NelsonMandela alikiri kuhamasishwa namapinduzi ya Algeria.
“Algeria ilitoa silaha, pasi zakusafiria na misaada mingine iliyo-fanikisha kung’olewa kwa ubaguzi
wa rang i”.A lise ma Lamtan eLamamra, Waziri wa Mambo yaNje wa Algeria katika maombolezo
ya kifo cha Mandela.Bwana Mihangwa, Mandela
mwenyewe alisema: “Nilijuakwamba wapiganaji wetu wa-nafanana na wapiganaji wa Algeria,na nilikuwa nataraji kwamba wata-pigana kishujaa kama wao (Walge-ria)”.
Tangumwaka 1961 Algeria ili-
popata uhuru, wapiganaji wengi wa ANC na vyama vingine vya ukom- bozi Afrika ya Kusini walipatiwamafunzo yao ya kijeshi nchini Alge-ria.
Baada ya Mandela kufariki, Rais wa Algeria, Abdulaziz Boutefliqaaliamuru bendera za nchi hiyo ku-pepea nusu mlingoti kwa heshima
ya Mandela. Boutelfiqa alimuitaMandela: “The loyal friend of Alge-ria”- Rafiki mtiifu wa Algeria.
Labda tumuulize mwandishihuyo, Mandela ni Mwarabu auMuislamu? Watu wa Algeria ni dinigani maana makala yake inadai:“Dini za kigeni tishio kwa umoja wa
Afrika”. Kwanza hii dhana ya dini zakigeni anaipata wapi?
Mgawanyo huu wa dini za kigenina dini za kienyeji ni mabaki ya fikraza kikoloni? Wao ndio walitugawa
tukawa ”natives” – wenye jina “for-eigners” wageni. Dini ni dini tu nahazipaswi kuitwa za kigeni wala
kienyeji. Kwa ni dini ikiwa yakienyeji ndiyo inakuwa dini ya kwelina si tishio?
Kinachosababisha mauaji ya al- bino na vikongwe huko Shinyangaanakoishi mwandishi wa makalahayo ni dini gani, Uislamu au Ukris-
to? Ni dini gani tishio kwa Afrika, za“kigeni” au “kienyeji”?
Tukirudi kwenye swali lake, kwa taarifa yako msomaji Algeria ndiyonchi ya kwanza aliyoitembeleaMandela mwaka 1990 mara tu
baada ya kuachiwa huru na utawala wa kibaguzi kuonesha shukranikwa kuungwa mkono na Algeria
wakati wa mapambano.Libya: Hii ni nchi nyingine ya
Kiafrika, ya Kiarabu, ya Kiislamuambayo pasi na kigezo cha dini ili-saidia ukombozi wa Afrika yaKusini. Mandela alipotangazakutembelea Libya mwaka 1994
wakati Libya ikiwa imewekewa vikwazo na mataifa ya magharibi,
alikumbana na upinzani waMarekani.
Mandela akawajibu akisema,“Those who feel irritated by ourfriendship with President Gaddafican go jump in the pool (Wale wa-naokerwa na urafiki wetu kwaGaddafi, waende wakajitupekwenye bwawa).
Mandela akaongeza kusema:“Those that yesterday were friendsof our enemies have the gall today to
tell me not to visit my brother Gadd-afi, they are advising us to be un-grateful and forget our friends of thepast.” Yaani: “Wale ambao jana wa-
likuwa marafiki wa maadui zetu leo wan ath ubu tu kunia mbi a ni-simtembelee kaka Gaddafi, wana-
tushauri tusiwe na shukrani na ku- wasahau marafiki zetu wa zamani”.
Si hivyo tu Afrika ya Kusini chini ya Mandela ilitoa nishani iitwayo“Order of Good Hope” kwa Gaddafikama heshima kutambua mchango
wa Libya na Gaddafi kwa AfrikaKusini. Yote hayo ni kwanini?
Libya iliisaidia ANC kwa hali namali ikitoa si tu mafunzo ya kijeshi
bali silaha, pesa na kuiunga mkono
kidiplomasia wakati wote wa vita vya ukombozi wa nchi hiyo.
Labda tumuulize Mihangwa,Gaddafi ni dini gani na Libya ni nchigani kama si ya kiarabu? Mandelanaye alikuwa Muislamu mpakaLibya imsaidie yeye na wananchi
wake? Bila shaka hiyo ni chuki tudhidi ya Waarabu na Waislamu.
Marekani na washirika wake waliendelea kumuona Mandela nigaidi hata baada ya ukombozi wa
Afrika ya Kusini. Ni mwaka 2008ndiyo Bunge la Congress liliondoa
jina la Mandela katika orodha yamagaidi duniani na walifanya hivyosi kwakuwa waligundua upumbavu
wao, bali walitoa kama zawadi yasiku ya Mandela kutimiza miaka
90.Bwana Mihangwa, Waarabu
walikukosea nini hata ukweli kamahuu unajifanya huujui? Bahatimbaya ni kwamba si wewe tu, bali
wapo Watanzania kadhaa hivi sasa wanawachukia Waarabu.
Hata ule mshikamano ulioku- wepo baina yaWatanzania na Wa-palestina umetoweka. Sasa kuna
Watanzania wengi wanaopendeleaIsrael. Ni kana kwamba dhulma na
jinai zinazofanywa na Israel kwa Wapalestina hawazioni. Ni chukikwa sababu Wapalestina ni Waara-
bu.Mwalimu Nyerere kwa hili
alikuwa mkweli. Kwake Waisrael walikuwa madhalimu na Wapales- tina wadhulumiwa.Kuko wapikumuenzi kwenu Nyerere? Chukidhidi ya Waarabu imejengekakuanzia Zanzibar hadi bara, kanakwamba kuwa Mwarabu ni kosa.
Watawala wengi waliotawalanchi zetu wawe Wareno, Waarabu,
Wajerumani, Waingereza, Wa-faransa na kadhalika waliwatendea
Waafrika vibaya. Lakini sisi wa ki-zazi cha leo, hatupaswi kuishi nachuki mioyoni mwetu hadi kuuka-na ukweli. Mazuri ya watu yat-haminiwe ipasavyo na mabaya yao
yaelezwe pasi na upendeleo.Historia imepotoshwa pakubwa
kiasi kwamba Waarabu hufanywamashetani (demonized) na Wazun-gu malaika.
Chuki dhidi ya Waarabu inayo- jengwa na watu kama akina Mi-hangwa italiangamiza taifa na Afri-ka kwa ujumla. Nchi za kiafrika zakiarabu ziliunga mkono vilivyoukombozi wa Afrika ya weusi kulikohata nchi za Waafrika weusizenyewe.
Tishio kwa Afrika si dini ya Uis- lamu wala Ukristo alizoziita dini zakigeni bwana Mihangwa. Tishiokwa Afrika ni dhulma za watawaladhidi ya nchi zao, ukandamizaji wa
watawala dhidi ya jamii fulani kwarangi na dini, ubadhirifu wa rasili-mali na ubaguzi kwa misingi ya dini,
tofauti ya vipato, rangi na kabila un-aofanywa na kundi moja dhidi ya
wengine.
KATIKA KITABU CHA MAISHA YAKE “THE LONG
WALK TO FEEDOM” NELSON MANDELA ALIKIRI
KUHAMASISHWA NA MAPINDUZI YA ALGERIA.
NCHA YA KALAMUSHEIKH MUHAMMAD ISSA
Chuki dhidi ya Waarabuni matokeo ya mitaala
7/17/2019 Imaan Newspaper Issue 3
http://slidepdf.com/reader/full/imaan-newspaper-issue-3 13/15
SHAIRI BARUA ZA WASOMAJIGazeti letu Imaan
Naingia uwanjani, kuwajuza waumini.
Furaha iso kifani, imenijaa moyoni.
Kwa kutujia mgeni, kipenzi cha waumini.
Gazeti letu Imaan, sasa lipo mitaani.
Mgeni mwenye thamani, jina lake ni Imaan.Hutoa watu gizani kuwapeleka mwangani.
Wengi tulimtamani sasa tumpokeeni
Gazeti letu Imaan, sasa lipo mitaani.
Gazeti letu makini, waandishi wenye fani.
Habari zetu za ndani,hata za nchi jirani.
Twazipata kwa undani, kwa kusoma kurasani,
Gazeti letu Imaan, sasa lipo mitaani.
Uvivu tuuacheni, maandiko tusomeni.
Jumatatu amkeni, gazeti litafuteni.
Mkiliona mezani, haraka linunueni.
Gazeti letu Imaan, sasa lipo mitaani.
Tusibakie pembeni, kusema ya mitaani.
Habari tuzijueni, zilizo ulimwenguni.
Tusikae vijiweni, na kuleta ubishani.
Gazeti letu Imaan, sasa lipo mitaani.
www.islamicftz.
8 Rajab 1436, JUMATATU Aprili 27 - Mei 3 ,
14
Usia wangu jamani, gazeti tununueni.
Tusomeni kwa makini, kisha tuliweke ndani.
Tusilitupe jamani, likafungiwa sabuni.
Gazeti letu Imaan, sasa lipo mitaani.
Mwishoni nakujuzeni, pacha tatu zishikeni.Gazeti letu Imaan, Redio yetu Imaan.
Tv yetu Imaan, pia tuitizameni.
Gazeti letu Imaan, sasa lipo mitaani.
Tutasoma gazetini, Redio tusikizeni.
Tv tutizameni, izidi yetu Imaan.
Tumkimbie shetani, asituweke gizani.
Gazeti letu Imaan, sasa lipo mitaani.
Nimefikia mwishoni, kalamu naweka chini.
Mhariri samahani, usiniweke pembeni.
Ujumbe wende hewani, waelewe waumini.
Gazeti letu Imaan, sasa lipo mitaani.
Athumani Shomari
0715 483 123
Bagamoyo, Pwani.
Ndugu Mhariri,Hongereni kwa kazi nzuri,
hakika mnakata kiu yetu was-omaji. Naomba kutoa maoni
yangu kuhusiana na hili swala la unaodaiwa ugaidi hapanchini.
Hivi karibuni kupitia vyo-mbo vya habari iliripotiwakuwa watu takribani 15 wana-osadikiwa kuwa wafuasi wamchungaji Gwajima walitiwamikononi na jeshi la polisi
wakidaiwa kutaka kumtoro-sha mchungaji huyo aliyekuwachini ya mikono ya polisi.
Wafuasi hao waliokamat- wa majira ya saa tisa usiku wa-
likutwa na begi lenye bundukina risasi.
Pamoja na kukutwa na si- laha hizo na nia yao hiyo yakutaka kumtorosha kiongozihuyo, vyombo vya habari ha-
vikuripoti kuwa tukio hilo ni la kigaidi.
Vyombo hivyo pamoja na tuk io hil o kut oke a kat ikakipindi ambacho kuna tarifazinazo husishwa na ugaidi ka-
tika maeneo mbalimbali nchi-ni ambapo kuna uporaji wa si-
laha unaofanya na watu wasio julikana baada ya kuwauwapolisi, bado hawakulihusishana ugaidi.
Nalazimika kujiuliza; h tukio kama lile lingetokea kw Waislamu lingeripotiwa vipBila shaka moja kwa moja ligehusishwa na ugaidi na pagekuwa ‘hapatoshi’. Wahusi
wangesota gerezani bila dhmana wala haki zao kama biadamu zisingezingatiwa. Kwkweli ingekuwa ni shiida!
Kwa mwenendo huu wkuwapachika raia wenzeugaidi tunaipeleka nchi ye
jahannam! na tukishaifikishapo hakuna atakayepona.
Nasoro Abe
Morogo
0718 418 1
‘Ugaidi’ utaliangamiza taifa
Kuh usu sh utum akwamba vituo vyao haviwapelekishule za kawaida watoto hao kusoma,amesema kuwa suala hilo si la kweli,kwani watoto hao wako katika shuleza msingi na wengine zile za upili(secondary). Bwana Athmani ame-waasa maofisa wa ustawi wa jamiikuwa na utaratibu wa kufanya
uchunguzi wa kina kabla ya kufungiavituo hivyo, na kuacha kufuata prop-aganda, pia watoe mafunzo ya malezikwa wamiliki wa vituo.
Miongoni mwa vituo vilivyofun-gwa ni madrasa ambazo zilikuwazikihifadhisha watoto Qur’an na ku-toa mafundisho mengine ya dini yaKiislamu. Kosa la madrasa hizi inad-aiwa ni kukosa usajili wa kituo chawatoto.
Baadhi ya Masheikh walioongeana gazeti la Imaan wamesema wana-hofu na mwenendo unaojikita kwaamii na watendaji wa Ser ikali wa
kuona vituo vya Kiislamu ni mazaliaya ugaidi. Masheikh walisema kuzi-funga madrasa ni sehemu ya mkakatiwa Marekani kupambana na ugaidi
duniani na mkakati huu unatekelezwasehemu mbalimbali duniani.
MKAKATI WA
KUVIPUNGUZA?
Kwa mujibu wa Kaimu KamishnaMsaidizi Haki za Mtoto na Marekebi-sho ya Tabia wa Wizara ya Afya naUstawi wa Jamii, Steven Gumbo, ali-
yenukuliwa katika gazeti moja la kilasiku, uamuzi wa kuvifunga na kuvi-futa vituo mbalimbali nchini kote
umechukuliwa na serikali baada yakufanya utafiti katika mikoa 25 nakubaini vipo zaidi ya 300, huku baa-dhi vikiwa vinaendeshwa bila leseni.
“Katika utafiti wetu wa mwaka2011, tulibaini vituo vingi havina ub-ora na vilifunguliwa bila idhini yaIdara ya Ustawi wa Jamii. Mpango
wa serikali kwa sasa ni kuvipunguzaili vibaki vichache vyenye ubora”.Gumbo alinukuliwa na vyombo vyahabari.
Lakini wadau wamehoji, je Seri-kali inapovipunguza vituo hivyo, ita-
wahamishia watoto wa vituo vilivyo-fungwa katika vituo hivyo vi-
takavyobaki na kubor eshwa? Je, watafanya hivyo kwa hiari ya wazazina walezi wao au kwa nguvu? Na je,
Serikali imeandaa bajeti ya kughara-mia watoto hao?
Serikali pia imedai waendeshaji wa vituo hivi wanajinufaisha kwa ku- tumia watoto yatima kama chanzocha kujipatia kipato. Kwa madaihaya, wachambuzi wanahoji; je ma-drasa nazo zinaangukia katika wigo
wa vituo vya watoto au mayatima?Sheikh Muhammad Issa, Naibu Kat-ibu Mkuu wa Baraza la Sunna Tanza-nia (BASUTA) anasema, madarasazimekuwepo kabla hata ya wakolonikuingia nchini na kuanzisha mfumo
wao wa elimu.Sheikh Muhammad anashauri
Serikali ingeviangalia vituo hivi (ma-
drasa) vinavyolenga kutoa elimu yakiroho na maadili tofauti na vituo vya
watoto au mayatima vinavyopaswakuendeshwa chini ya taratibu za idara
ya ustawi wa jamii.Sheikh anasema: “Nashauri hili
kwa sababu kwa mujibu wa katiba yanchi 19 (1) na (2) serikali haina dinina kazi ya kutangaza dini, kufanyaibada na kueneza dini itakuwa nihuru na jambo la hiari ya mtu ya bin-afsi, na shughuli na uendeshaji wa ju-muiya za dini zitakuwa nje ya shu-ghuli za mamlaka ya nchi”.
Sheikh Muhammad anasema,
kwa miaka mingi madrasa zimezishwa majumbani mwa mashezetu na zimetoa mchango mkub
wa kuwalea watoto wa Kiislamu wkuwa raia wema wa nchi yetu. Lakwa kukosa uwezo wa kifedha nunua viwanja na kujenga majekama ilivyo kwa shule, madrasa zimetapakaa huko mitaani.
Alisema anahofia kuwa zoezi linaloendelea linaweza kupelekuamsha chuki ya Waislamu kSerikali , huku likiwanyima watfursa ya malezi ya kiroho, jambo a
balo ni hatari kwa taifa.
NYAKATI ZA SWALA
Na. MJI FAJR DHUHUR ASR MAGHARIB ISHAA
1 DAR ES SALAAM 5:14 12:23 3:43 6:21 7:27
2 ZANZIBAR 5:14 12:23 3:42 6:23 7:28
3 TANGA 5:14 12:24 3:43 6:23 7:29
4 MOROGORO 5:32 12:38 3:59 6:34 7:40
5 MTWARA 5:13 12:18 3:39 6:12 7:19
6 ARUSHA 5:26 12:37 3:54 6:39 7:447 DODOMA 5:28 12:37 3:57 6:36 7:42
8 MBEYA 5:41 12:49 4:09 6:47 7:53
9 KIGOMA 5:51 1:01 4:15 7:01 8:07
10 MWANZA 5:37 12:48 4:07 6:50 7:56
11 KAGERA 5:14 12:24 3:43 6:23 7:29
Tumekwisha!natoka uk 3
7/17/2019 Imaan Newspaper Issue 3
http://slidepdf.com/reader/full/imaan-newspaper-issue-3 14/15
www.islamicftz.org
8 Rajab 1436, JUMATATU Aprili 27 - Mei 3 , 2015
NA NAHIDA ISMAIL
WATOTO / TANGAZO
Swali: Unajua sura gani kati-ka Qur’an inazungumziakuhusu sisimizi?
Jawabu: Surat An-Naml(Sisimizi)
Siku moja, Suleiman aliku-sanya jeshi lake na kuanza ku-songa mbele. Sisismizi aliliona jeshi hilo linakaribia na akaliakuwaonya wenzake ili wajifiche: “Kimbilieni majumbanimwenu! Vingenevyo, Sulei-man na jeshi lake watawakan- yaga, bila kujua!”.
Suleiman akatabasamu,kwani kamwe asingeweza ku- wadhuru viumbe wa Mwenye-zi Mungu kwa makusudi. Alimshukuru Allah kwa kusal-imisha maisha ya sisimizi naalifurahi kufahamu kuwa sis-imizi alimjua kuwa yeye ni Na- bii.
Suleiman ni nani?(Solomon ni jina lakibiblia)
Alikuwa ni mtoto wakiume wa mwisho wa NabiiDawood (Amani iwe juu yake)
Alikuwa ni mmoja kati yamanabii wakubwa wa Allah,
ambaye Mwenyezi Mungu al-impatia zawadi na neema yaajabu.
Alijaaliwa kuwa na heki-ma na elimu kubwa.
Alielewa lugha za wanya-ma wote.
Alipewa mamlaka juu yaupepo. Aliweza kuuamrishauvume au vinginevyo.
Majini walifanywa wam- tii yeye.
Kuhusu sisimizi:Sisimizi anaishi katika
makundi makubwa, kwa ki-ingereza yanajulikana kama‘colonies.
Ulijua kuwa kuna Malkia wa sisimizi katika kundi lao?Sisimizi wana miguu sita
(6).Sisimizi wanabeba mzigo
wenye uzito mara kumi ya uzito wao.
Allah Mtukufu anasimulia:Na alikusanyiwa Suleimanmajeshi yake ya majini, na watu, na ndege; nayo yaka-pangwa kwa nidhamu.
Mpaka walipofika kwenye bonde la wadudu chungu, al-
isema mdudu chungu mmoja:Enyi wadudu chungu! Ingienim a j u m b a n i m w e n u ,asikupondeni Sulaiman namajeshi yake bila ya waokutambua.
Basi (Sulaiman) akataba-samu, akacheka kwa neno hili,
na akasema: Ee Mola wanguMlezi! Nizindue niishukuruneema yako uliyo nineemeshamimi na wazazi wangu, na ni-pate kutenda mema uyapen-dayo, na uniingize kwa rehema yako katika waja wako wema.(27:17-19 Quran).
Imam Ali (a) anamuelezeas i s i m i z i kw a m an en o yafuatayo:
‘Mwangalie sisimizi. Jinsikamwili kake kalivyo kadogo,na jinsi maumbile yake yalivyo teketeke, ni kiumbe mdogosana ambaye mara nyingi jichohushindwa kun’gamua uwepo wake, na watu wachache wa-naojali kumtambua umuhimu wake miongoni mwa viumbe
walio hai wanaopatikana dun-iani.Mwangalie na umsome
mtindo wake wa maisha, jinsianavyotambaa, anavyokulachakula, anavyobeba punjenzito maradufu ukilinganishana uzito wa mwili wake, anavy-oipeleka mpaka kwenye tundu lake, anavyoitunza na jinsi wakati wa majira ya joto anavy-okusanya vyakula na kuwekaakiba ya siku za baridi namvua.
Masafa ya Imaan FM
Kigoma
Moro
Arusha
Ruvuma
Dsm
Mtwara
Mwanza
Tabora
Mbeya
1 Daresalaam 104.5 Mhz2 Morogoro 96.3 Mhz3 Arusha 90.8 Mhz4 Mwanza 105.6 Mhz5 Kigoma 92.5 Mhz
6 Tabora 101.6 Mhz
7 Mbeya 90.3 Mhz8 Dodoma 102 Mhz9 Ruvuma 94.2 Mhz10 Mtwara 90.9 Mhz11 Zanzibar 104.5 Mhz
12 Pemba 104.5 Mhz
SISIMIZI
KONA YA WATOTO DARASA LA WIKI MATHEMATICS TEST NO.1
1.Add: 988 + 7753 =(a)8741 (b) 8641 (c) 8461 (d) 8441 (e) 8661 [ ]2. Simplify 0.075 ÷ 0.03 =(a) 35 (b) 45 (c) 25 (d) 15 (e) 27 [ ]3. Work out +117 ÷ (-9)(a) +13 (b) +14 (c) -15 (d) -13 (e) +18 [ ]4. Subtract 3.004 – 1.02 =(a) 11.984 (b) 19.84 (c) 1.894 (d) 1.984 [ ]5. Simplify +(a) (b) 91/12 (c) (d) (e) [ ]6.Work out x(a) (b) (c) 15 4/8 (d) (e) [ ]7. Divide 4059 ÷ 33 =(a)132 (b) 213 (c) 312 (d) 302 (e) 123 [ ]8. Subtract(a) (b) (c) (d) (e) [ ]9.Work out 24.41 – 2.2(a) 22.21 (b) 222.1 (c) 2.221 (d) 2221 (e) 322.1 []10.(a)(b) (c ) (d) (e) [ ]11. 6 x(a) (b) (c) (d) e) [ ]12. Change 30/50 into percentage(a) 70% (b) 55% (c) 20% (d) 60% (e) 64% []13. List down all the prime numbers between 20and 40(a) 23, 29, 31, 37 (b) 23, 27, 29, 39(c) 23, 25, 31, 35 (d) 23, 29, 31, 37 (e) 24, 26, 28,30 [ ]14. Write down all even numbers between 60
and 70(a) 61, 62, 63, 64, 67 (b) 62, 64, 66, 68(c) 63, 65, 67, 69 (d) 60, 65, 70 (e) 63, 66, 69 []
15. Find the highest common factor(H.C.F) of 36 and 42(a) 4 (b) 2 (c) 6 (d) 7 (e) 8 [ ]16. Change % as fraction in its lowestterm(a) (b) (c) (d) (e) [ ]17. Write 666 in roman numerals(a) CLDXVI (b) CLXII (c) DCLXVI (d) DCXLVI (e)CDLVI [ ]18. Find the square root of 324(a) 16 (b) 14 (c) 17 (d) 13 (e) 18 [ ]19. Find the square(a) (b) (c) (d) (e) [ ]20. Change 5.75% into decimal(a) 0.0575 (b) 0.575 (c) 00.0575 (d) 05.78 [ ]21. Find the next number in the series 3, 6, 11, 18 ……….
(a)19 (b) 21 (c) 25 (d) 27 (e) 30 [ ]22. the average of four numbers is 90,three number are 138, 40 and 102 find thefourth number.(a) 90 (b) 70 (c) 120 (d) 60 (e) 80 [ ]23.Find the lowest common factor of
18, 21 ad 30(a)630 (b) 126 (c) 670 (d) 250 (e) 640 [ 24. Find the value of (0.6)2(a) 036 (b) 0.36 (c) 360 (d) 30.6 (e) 3.6 [ 25. If m:56 = 7:8 find the value of m(a) 28 (b) 52 (c) 49 (d) 47 (e) 6 [ ]26. Simplify(a)80 (b) 70 (c) 60 (d) 40 (e) 110 [ ]27.Write 1988 into roman numeral(a) MCMLXXXVI II (b) MCLXXXVII I MMCLXXXVIII(d)CMMLXXXVIII (e) MCMXXXVIII [ ]28. Find the value of r in – 5 = 11(a)42 (b) 38 (c) 28 (d) 26 (e) 24 [ ]29. If a= 6, b= 2, c=1 find the value of 3b+c – 2a(a) (b) (c)(d)(e) [ ]30. Aman sold oranges for sh 1100/= he bothem at shs 1200/=, how much loss did he g(a)600/= (b) 400/= (c) 200/= (d) 100/= (e) 5]31. Find the value of 7 + 225(a) 23 (b) 22 (c) 24 (d) 26 (e) 27 [ ]32. Find the sum of ¼ of 1400 and of 9000(a)26700 (b) 21950 (c) 52100 (d) 2510022500 [ ]33. Amuriah got 33 questions out of 50 quesin mathematics work out her percentage sco(a) 66% (b) 67% (c) 76% (d) 60% (e) 5]34. ¾ of eggs in the box are good, the remafraction were broken. Find the fraction of bro
eggs.(a) 8/12 (b) 1/3 (c) ¼ (d) 2/5 (e) 1/15 [ ]45. The age of Rabibu is three times the age oyoung brother; If the sum of their age is 60Find the age of Rabibu.(a)45 yrs (b)35yrs (c)50yrs (d)40yrs (e)40y20yrs46. Find the speed of a school bus which cov64km in 4 hours.(a)16km/h (b)17km/h (c)15km/h (d)20k(e)14km/h47. Find the value of(a)(b) (c) (d) (e)
48.Find the length of a box if the height is and width 5cm of the volume is 240 cm3(a)13 cm (b) 12cm (c)14cm (d) 15 cm (cm
49. The volume of a cylinder is 1540cm2 it’s heis 10cm. Find the radius(a)14cm (b) 16cm (c) 21cm (d) 7cm (e) 8.cm
50. Ashura bought the following items;Find how much did she spend?2pencil @200/= 8 b o o@250/=, 20 exercise books @300 and 15 ru@50/=
7/17/2019 Imaan Newspaper Issue 3
http://slidepdf.com/reader/full/imaan-newspaper-issue-3 15/15
Vita ya Yemenni mkakati waIran kuenezaushia
Uk 10
8 Rajab 1436, JUMATATU Aprili 27 - Mei 3 ,
NA SELEMANI MAGALI
Kutokana na kuongezekakwa taasisi za kifedha zaKiislamu, ni suala lauchaguzi kuliko kulaz-
imika kwa Muislamu kushiriki kati-ka uchumi haramu wa riba. Wiki ili-
yopita nilikitambulisha kwenu Cha-ma cha Ushirika cha Kuweka naKukopa cha TAMPRO. Leo na-
watambulisha kwenu Saccos ny-ingine ya Kiislamu inayoitwa Kutay-
ba.Kutayba ni SACCOS ambayo in-
amilikiwa na Baraza Kuu la Jumuiyana Taasisi za Kiislamu (BARAZA
KUU) ni taasisi inayoendana na halihalisi ya mahitaji ya Waislamu yakujikwamua kiuchumi bila kula aukuchangia riba. Tofauti na Saccosnyingine, Kutayba imeweza kwa ki-asi kikubwa kuwaunganisha watu
binafsi na vikundi mbalimbali.Kwa mujibu wa Meneja Mkuu
wa Saccos hiyo, Sheikh Jamali Nge- langela, Kutayba ilianzishwa miakaminne iliyopita na sasa ina wanach-ama takriban 12,000 waliowekezaamana zao katika matawi 52 na
vikundi zaidi ya 102 Tanzania nzi-ma.
Sheikh Ngelangela anasema,matawi na vikundi ni moja kati yasiri ya mafanikio ya Kutayba kwanimtandao huo unarahisisha uende-shaji shughuli za chama, hususankatika kukusanya malipo yanayo-
tokana na mikopo.
Kwa nini Saccos yaKiislamu?
Sheikh Ngelangela anasema,misingi ya SACCOS ya Kutayba nimakundi ya Waislamu waliojiungapamoja huko misikitini chini yamuongozo wa Baraza Kuu kwa len-go la kuinua uchumi wao.
Ngelangela anasema, jamii yaKiislamu imekuwa na changamoto
ya kulazimika kushiriki katika uchu-mi wa riba iliyoharamishwa katikaQur’an 2:275, kinyume na matakwa
yao kwa sababu ya kukosa
taasisi za kifedha za
kiislamu. Anasema kutokana naumuhimu wa huduma za kifedhailikuwa ni lazima kujibu mahitaji ya
Waislamu kwa kuanzisha chombo
ambacho kitaendesha shughuli zake bila riba na ndio maana Kutayba ili-anzishwa ili kuwajengea wananchiuchumi imara usio na riba.
Kutokana na umuhimu wa hu-duma hiyo, Saccos ya Kutayba imee-nea Tanzania nzima kasoro mikoamipya ya Simiyu na Njombe, hukuZanzibar wakiwa na tawi Unguja.
Huduma za Kutayba:Kuhusu madhumuni ya Saccos
hiyo, Sheikh Ngelangela amesema, wamekusudia kuinua uchumi wa wanachama wao kwa kuzingatiamafundisho ya Uislamu kupitia ku-
toa mikopo bila riba, kupokea hisa,amana na akiba, sambamba nakuwakutanisha Waislamu ili kutan-
ua wigo wa kiuchumi na kufanyashughuli zingine halali kwa manu-faa ya wanachama. Ngelangelaamewataka Waislamu kujiunga naSaccos zinazofuata misingi ya Uisla-mu, kwani kufanya hivyo kuna faidanyingi kiuchumi na mbele ya Allah.
Mikopo inayotolewa na Kutaybani pamoja na mkopo wa biashara(Iqtiswaad) unaolenga kwa ajili yakuanzishia au kuendelezea biasharana mkopo wa uwezeshaji binafsi(Tasihiilul tausii’i) wenye lengo lakumsaidia mwanachama kimaen-deleo kama vile kununua sa-mani na ujenzi
wa ny-
umba. Aina nyingime za mikopo, ni mko-po wa majanga (Tahaabuun) ambao nikwa ajili kutatua majanga, ikiwemo adaza shule na mkopo wa uwezeshaji Jumui-
ya (Tamassakuun), ambapo wanachama walio katika vikundi wananufaika mojakwa moja.
Huduma nyingine ya mikopo inayo- tolewa na Saccos ya Kutayba ni mikopo yakuwezesha umma (Ta’awuun). Hii nimikopo midogo midogo kwa ajili ya watu
binafsi na vikundi ambavyo si wanachma wa Kutayba Saccoss.
Saccos ya Kutayba pia inatoa huduma ya kujiandalia Hijja (Masuruful Hajj) am- bapo mwanachama anapata fursa ya ku- jiwekea akiba kidogo kidogo ili kwendaHijja. Ipo pia huduma ya zawadi kwa wa-
toto (Hidayatul Atwifaal) ambayo inam-pa fursa mwanachama kufungua akauntikumuwekea akiba mtoto wake kwa ma-
tumizi ya baadae kama vile ada. Ukiachahuduma hizo za kujiwekea fedha kwa
malengo maalum na mikopo, Saccos yaKutayba pia inatoa ruzuku kwa mwana-chama wao aliyefariki ama aliyefiwa(Takafuli) ikilenga kuonyesha kujali, ku-pendana na kuhurumiana kama Allah al-ivyoamrisha.
Sifa za Kujiunga: Ak iz un gu mz ia
Sifa za ku-
jiunga na chama chao, Sheikh Nge- langela amesema mwanachama lazi-ma awe ni Muislamu aliyefikisha umri
wa miaka 18. Hata hivyo, Sheikh Nge- langela anasema kuna mpango unas-ukwa ili kuwaruhusu wasio Waislamukufaidika na huduma za Saccos hiyo.
“Hapo awali tuliweka vigezo kuwamwanachama lazima awe Muislamukwa sababu asili ya kuanzishwa kwasacoss hii ni waislamu waliojiunga ka-
tika vikundi huko misikitini, sasa kwasababu ya mahitaji, tunafikiria kupan-ua wigo wa kibiashara ili tuweze ku-
wah udumi a na wal e wanao ami nikuwa haiwezekani kuendesha saccos
bila ya riba” alisema.
Changamoto:Katika mazungumzo yake na gazeti
la Imaan, Sheikh Ngelangela amese-ma, uendeshaji wa Saccos una changa-moto zake pia.
Miongoni mwa changamoto hizoni wanachama kuchelewa kurejeshafedha na tamaa ya baadhi ya wanach-ama ambao hukopa sehemu nyinginena kuweka akiba kwenye chama ili
wawe na sifa ya kuko pesh eka kias ikikubwa. Anasema wanachama wal-iokopa sehemu nyingine wanajikutamatatani kwa kushindwa kulipa wad-eni wao.
Ili kuzipa nguvu zaidi Saccos za ki-islamu, Sheikh Ngelangela ame-
washauri wafanyabiashara wakubwa wa Kiislamu kuangalia uwezekano wakutunza fedha zao katika Saccos hizokwani ni sehemu salama kwaamana zao.
Ijue Kutayba Saccos Ina wanachama zaidi ya 12,000Unaweza kuwekeza kwa ibada ya Hijja
HUDUMA
NYINGINE YA MIKOPO
INAYOTOLEWA
NA SACCOS
YA KUTAYBA
NI MIKOPO YA
KUWEZESHA
UMMA
(TA’AWUUN)