6
Mbona mna-fight? mtoto mdosi amepata bursary fund na kila mtu anajua hafai kupata Ee!! alidanganya na yenyewe sio poa!! Ata bro yangu haku-get… Ebu nikaulize princie nini ili-happen niaje? Asante, lakini zii nimesikia vile mnabonga, na naeza help by the way, naitwa jk 18

04.c - Maria Kim

Embed Size (px)

DESCRIPTION

Chapta 4 - Maria Kim

Citation preview

Page 1: 04.c - Maria Kim

Mbona mna-fight?

mtoto mdosi amepata bursary fund na kila mtu

anajua hafai kupata

Ee!! alidanganya na yenyewe sio

poa!!

Ata bro yangu

haku-get…

Ebu nikaulize princie nini ili-happen

niaje?

Asante, lakini zii

nimesikia vile mnabonga,

na naeza help

by the way, naitwa jk

18

Page 2: 04.c - Maria Kim

Excuse me madam, my

brother applied for a bursary and he

didn’t get itYet some rich kids

were given funds!

actually many parents complained.

something did not go well

But I don’t know why, and

there’s nothing I can do about it.

Pengine uulize chief

Yenyewe mimi hata sijui pesa

ziligawanywa vipi.

Hiyo siwezi jua. Hiyo ni mambo ya

council. Uliza councilor

Unaeza jua huku kulitumwa pesa ngapi?

19

Page 3: 04.c - Maria Kim

yEnyewe pesa za bursary ni

kidogo

hata sijui zilitumwa ngapi au

kupewa nani

Lakini mrembo

kama wewe, ongea vizuri

nikulipie

Badala ya kunisaidia

unajaribu nini mbaba kaa

wewe?

ebu kuja niku-show

kitu

Yaani huna hata aibu!!

Maria Kim!!

Naeza kusaidia - tafadhali trust me kidogo

20

Page 4: 04.c - Maria Kim

Huyo JK anataka kuniibia DAME!!

Kuna jamaa wanajiita

open governance

Hapana, wanachukua

information kuhusu matumizi ya

pesa za umma ya kila constituency

Wanapeana bursary?

Kisha, wanaiweka kwenye internet

Wana-show chapaa ngapi

zimepeanwa na ngapi zimetumika Unaeza

cheki kwa internet au u-SMS

Tucheki eneo letu

ala!! CDF yetu

imepatiwa 800 thao kwa bursary!

Please print that

page!

Waazi JK!!

Sasa ni hugs na kisses zenye sijawahi

pata!!!

mtu honest kwa cdf committee

alinipatia hii karatasi

inashow names za

watu wame-get bursary

21

Page 5: 04.c - Maria Kim

Watsee, chekini hizi print –outs

Ati chapaa za constituency zilipeanwa mob kwa watu wadosi na wasio kwa constituency

yetu

Hii ni noma jamaa, lazima

tu-act!!

Kweli, tumepata info, sasa ni

tu-act!

Tusambaze hizi posters kila

stude kwa kila chuo ajue!

nitahakikisha kila sermon hii sunday ni juu ya bursary fund!!

hata kwa mosque pia!!

ambie chief!

ambie princie!

22

Page 6: 04.c - Maria Kim

Watu wamejua doh za bursary zilitoka na wana-

show wengine zilivyotumiwa!

Ha! Hawanijui!

Godpapa! Kuna noma!!

Nitawanyamazisha!!!

Bursary inatakikana kusaidia wanafunzi wali-otoka kwa poor families kuwapatia chance ya kuendelea na masomo. Wanao-benefit na bursary ni orphans, watoto walio-affect-

iwa na HIV/AIDS, watoto walio na mahitaji ya kipekee kama walemavu au medical conditions, wasichana huwekwa kando, wanao-perform vipoa kimasomo na waliotoka kwa familia za maskini.

Commitee za ku-manage dooh za bursary zimeun-dwa kwa kila constituency. Members ni local MP, Education officer, KNUT representative, 3 religious leaders, 1 chairperson Board of Governance, 2 PTA chairpersons, 1 Councillor, DO, representative wa NGO au CBO ya shule, headteacher wa girl school na members wengine wawili wanaochaguliwa na committee.

Nita-apply vipi ili kupata bursary fund?1. Chukua bursary form kutoka kwa Divisions Educa-

tion Office. Ni bure. Lazima uwe unaishi kwa hiyo constituency

2. Kuwa na barua ya shule na ya assistant chief au

religious leader na upatie Division Education Officer atakayeipatia kwa Constituency Bursary Committee

3. Constituency Bursary Committee’s huchagua stu-dents watakao-benefit kupata bursary.

4. List ya wanaopata bursary hutumwa kwa DEO na cheques hu-sign-iwa in 1 week na kutumwa kwa area officer ili aweke signatures mbili

5. Cheques za stude wale wame-benefit kutoka kwa bursary hutumwa directly kwa headteacher

6. Notice boards za shule na constituency huwekwa list ya mastude wale wame-benefit kupata bursary

Nitapata dooh ngapi kutoka kwa bursary fund?a) Day school-Ksh. 5,000b) Boarding school- Ksh.10,000c) National school- Ksh.15,000d) Primary school-Ksh. 1,020

Constituencies hupata 1 million shillings za bursary halafu amount ingine inapewa kwa constituency kwa kulingana na level ya umaskini ya watoto kwa hiyo constituency. 5% ya constituency budget huwekwa kando for masomo ya wasichana.

Ili kupata more info juu bursary ya constituency yenu, visit, www.opengovernance.info

Secondary school bursary

23