21
Village ID _________ HH ID _____________ 1 EDI-RF ASSESSMENT OF POVERTY AND FOOD SECURITY IN ARUSHA DISTRICT, TANZANIA INTRODUCTION TO HOUSEHOLD QUESTIONNAIRE Habari, jina langu ninaitwa ------------------------------- natoka kwenye timu ya utafiti ya shirika la EDI-RF inayofanya tathmini maisha ya wakulima na wafugaji wadogo wadogo. Ninapenda kukukaribisha ushiriki katika utafiti huu. Madhumuni ya utafiti huu ni kutathmini shughuli za ukulima/ufugaji, vyanzo vya mapato, vifaa vya nyumbani, upatikanaji wa vyakula na lishe ya watoto, ili kujua ni kwa kiasi gani shughuli za ukulima/ufugaji zinaathiri maisha ya mkulima/mfugaji mdogo. tunatumaini kuwa taarifa utakazotupatia zitasaidia kuboresha taarifa za mabwana shamba, viongozi wa vijiji na mashirika mbalimbali yanayofanya kazi za kilimo/mifugo kwa ajili ya wakulima wadogo wadogo. Hata hivyo, madhumuni ya utafiti huu siyo kutoa msaada. Zaidi sana ushiriki wako unaweza kutusaidia kuwa na uelewa unaofanana juu ya namna ambavyo shughuli za ukulima/ufugaji zinavyoathiri maisha ya mkulima/mfugaji mdogo. Mazungumzo/mahojiano haya yatachukua kama dakika 60 hivi, au chini ya hapo. Maswali nitakayokuuliza yatakuhusu wewe au wakati mwingine Mke/Mume wako, familia yako, shule, shughuli za kilimo, vifaa vya nyumbani na vyakula. Nitapenda pia kufahamu kama familia yako inao watoto walio chini ya miaka sita. Majibu yako yote yatakuwa ni ya siri, na watu pekee watakaoweza kufahamu habari hizi ni watafiti tu wanao husika na utafiti huu na wasimamizi peke yao. Hii ina maana kuwa hatutamuonyesha mtu yeyote taarifa zako binafsi, isipokuwa matokeo ya jumla ya utafiti huu. Hakuna mfanya kazi yeyote wa serikali, kampuni, au watu binafsi atakayeweza kuyaona majibu yako. Majina yote yatafutwa kwenye kumbukumbu baada tu ya takwimu zote zilizokusanywa kuingizwa na kupangwa kwa usahihi. Utafiti utaendeshwa katika kaya 2,500 tofauti tofauti zilizopo katika wilaya za Arusha, Meru, na Karatu. Ushiriki wako ni wa kujitolea kabisa. Ukipenda, unaweza kuahirisha mazungumzo/mahojiano wakati wowote unapojisikia kutoridhika kujibu swali au unapoona kuwa hakuna uhakika katika usiri wa majadiliano, kwa mfano; mtu fulani anaweza kuwa anasikiliza, tafadhali tujulishane. Ni muhimu sana kwetu sisi kwamba kila habari unayoitupatia tunaiutunza kwa usiri mkubwa. Kaya yako imechaguliwa kwa sababu tunadhani kwamba habari za maisha yako ni za muhimu sana kwetu tunapojifunza juu ya ukulima/ufugaji mdogo mdogo na changamoto unazokabiliana nazo. Ungependa kushiriki katika utafiti huu? KAMA JIBU NI HAPANA, USIENDELEE NA UTAFITI. Hello. My name is ________________ and I am from the EDI-RF survey team assessing the livelihoods of small scale farmers. I would like to invite you to participate in this research study. The purpose of this study is to assess the farming activities, income sources, household assets, food security and child nutrition in order to find out how different farming activities may affect the livelihoods of small scale farmers. We hope that the information you give will help improve the work of extension officers, local government and NGO’s working with agriculture to the benefit of the small scale farmers. However, the purpose of this survey is not to offer assistance. Rather your participation can help us increase the common pool of knowledge about how agricultural activities affect livelihoods of small scale farmers. The interview will take about 60 minutes, maybe less. I will ask you and maybe also your spouse some questions about your family, school, agricultural activities, household assets and food security. I will also like to measure the children in your household less than seven years of age. All your answers will be kept private and fully confidential, and the only people that will have access to this information are the researchers involved in this study and those responsible for research oversight. That is, we will not show individual information to anyone, only overall survey results. No government officials, organizations, businesses or other people in your community will see your answers. All names will be deleted from the records as soon as all data collected is correctly organized. The survey will be conducted with 2,500 different households in Arusha, Meru and Karatu district. Your participation is entirely voluntary. If you like, you can end the interview at any time. Should you feel at any time that you are not comfortable answering a question or that confidentiality is not ensured, for example because someone else may be listening, please let us know. It is important to us that the information that you give us is handled with highest confidentiality. Your household has been chosen because we think that the information about your livelihood is particularly valuable to us when studying small scale farming and the challenges you face. Would you like to participate in this survey? IF NO, STOP INTERVIEW

Village ID HH ID 1 EDI-RF ASSESSMENT OF …...Tafadhali niambie kuhusu kila sehemu/eneo la ardhi inayomilikiwa na kaya yako, iliyokodishwa au kulimwa kwa pamoja na mtu mwingine kwa

  • Upload
    others

  • View
    1

  • Download
    0

Embed Size (px)

Citation preview

Page 1: Village ID HH ID 1 EDI-RF ASSESSMENT OF …...Tafadhali niambie kuhusu kila sehemu/eneo la ardhi inayomilikiwa na kaya yako, iliyokodishwa au kulimwa kwa pamoja na mtu mwingine kwa

Village ID _________ HH ID _____________ 1

EDI-RF ASSESSMENT OF POVERTY AND FOOD SECURITY IN ARUSHA DISTRICT, TANZANIA INTRODUCTION TO HOUSEHOLD QUESTIONNAIRE

Habari, jina langu ninaitwa ------------------------------- natoka kwenye timu ya utafiti ya shirika la EDI-RF inayofanya tathmini maisha ya wakulima na wafugaji wadogo wadogo. Ninapenda kukukaribisha ushiriki katika utafiti huu. Madhumuni ya utafiti huu ni kutathmini shughuli za ukulima/ufugaji, vyanzo vya mapato, vifaa vya nyumbani, upatikanaji wa vyakula na lishe ya watoto, ili kujua ni kwa kiasi gani shughuli za ukulima/ufugaji zinaathiri maisha ya mkulima/mfugaji mdogo. tunatumaini kuwa taarifa utakazotupatia zitasaidia kuboresha taarifa za mabwana shamba, viongozi wa vijiji na mashirika mbalimbali yanayofanya kazi za kilimo/mifugo kwa ajili ya wakulima wadogo wadogo. Hata hivyo, madhumuni ya utafiti huu siyo kutoa msaada. Zaidi sana ushiriki wako unaweza kutusaidia kuwa na uelewa unaofanana juu ya namna ambavyo shughuli za ukulima/ufugaji zinavyoathiri maisha ya mkulima/mfugaji mdogo. Mazungumzo/mahojiano haya yatachukua kama dakika 60 hivi, au chini ya hapo. Maswali nitakayokuuliza yatakuhusu wewe au wakati mwingine Mke/Mume wako, familia yako, shule, shughuli za kilimo, vifaa vya nyumbani na vyakula. Nitapenda pia kufahamu kama familia yako inao watoto walio chini ya miaka sita. Majibu yako yote yatakuwa ni ya siri, na watu pekee watakaoweza kufahamu habari hizi ni watafiti tu wanao husika na utafiti huu na wasimamizi peke yao. Hii ina maana kuwa hatutamuonyesha mtu yeyote taarifa zako binafsi, isipokuwa matokeo ya jumla ya utafiti huu. Hakuna mfanya kazi yeyote wa serikali, kampuni, au watu binafsi atakayeweza kuyaona majibu yako. Majina yote yatafutwa kwenye kumbukumbu baada tu ya takwimu zote zilizokusanywa kuingizwa na kupangwa kwa usahihi. Utafiti utaendeshwa katika kaya 2,500 tofauti tofauti zilizopo katika wilaya za Arusha, Meru, na Karatu. Ushiriki wako ni wa kujitolea kabisa. Ukipenda, unaweza kuahirisha mazungumzo/mahojiano wakati wowote unapojisikia kutoridhika kujibu swali au unapoona kuwa hakuna uhakika katika usiri wa majadiliano, kwa mfano; mtu fulani anaweza kuwa anasikiliza, tafadhali tujulishane. Ni muhimu sana kwetu sisi kwamba kila habari unayoitupatia tunaiutunza kwa usiri mkubwa. Kaya yako imechaguliwa kwa sababu tunadhani kwamba habari za maisha yako ni za muhimu sana kwetu tunapojifunza juu ya ukulima/ufugaji mdogo mdogo na changamoto unazokabiliana nazo. Ungependa kushiriki katika utafiti huu? KAMA JIBU NI HAPANA, USIENDELEE NA UTAFITI.

Hello. My name is ________________ and I am from the EDI-RF survey team assessing the livelihoods of small scale farmers. I would like to invite you to participate in this research study. The purpose of this study is to assess the farming activities, income sources, household assets, food security and child nutrition in order to find out how different farming activities may affect the livelihoods of small scale farmers. We hope that the information you give will help improve the work of extension officers, local government and NGO’s working with agriculture to the benefit of the small scale farmers. However, the purpose of this survey is not to offer assistance. Rather your participation can help us increase the common pool of knowledge about how agricultural activities affect livelihoods of small scale farmers. The interview will take about 60 minutes, maybe less. I will ask you and maybe also your spouse some questions about your family, school, agricultural activities, household assets and food security. I will also like to measure the children in your household less than seven years of age. All your answers will be kept private and fully confidential, and the only people that will have access to this information are the researchers involved in this study and those responsible for research oversight. That is, we will not show individual information to anyone, only overall survey results. No government officials, organizations, businesses or other people in your community will see your answers. All names will be deleted from the records as soon as all data collected is correctly organized. The survey will be conducted with 2,500 different households in Arusha, Meru and Karatu district. Your participation is entirely voluntary. If you like, you can end the interview at any time. Should you feel at any time that you are not comfortable answering a question or that confidentiality is not ensured, for example because someone else may be listening, please let us know. It is important to us that the information that you give us is handled with highest confidentiality. Your household has been chosen because we think that the information about your livelihood is particularly valuable to us when studying small scale farming and the challenges you face. Would you like to participate in this survey? IF NO, STOP INTERVIEW

Page 2: Village ID HH ID 1 EDI-RF ASSESSMENT OF …...Tafadhali niambie kuhusu kila sehemu/eneo la ardhi inayomilikiwa na kaya yako, iliyokodishwa au kulimwa kwa pamoja na mtu mwingine kwa

Village ID _________ HH ID _____________ 2

EDI-RF ASSESSMENT OF POVERTY & FOOD SECURITY IN ARUSHA, TANZANIA. HOUSEHOLD QUESTIONNAIRE

SECTION A: HOUSEHOLD IDENTIFICATION AND META DATA A1. Village name

A2. Village ID

A3. Village type

1. RIPAT 2. Control

A4. Subvillage name

A5. Subvillage ID

A6. Type of household ACCORDING TO LIST

1. RIPAT 2. Non-RIPAT

A7. Name of head of household/ RIPAT farmer ACCORDING TO LIST

A8. Household ID

A9. GPS point of HH ELEVATION

__ __ __ __ meters

A10. GPS point of HH LATITUDE

S __ __ ° __ __ . __ __ __’

A11. GPS point of HH LONGITUDE

E __ __ __ ° __ __ . __ __ __’

A12. FOR ENUMERATOR: Directions to find household (and telephone number), name of ten cell leader

SIGN WHEN QUESTIONNAIRE HAS BEEN COMPLETED ID

DD MM SIGNATURE

A13. Enumerator

A14. Supervision

A15. Survey Manager

A16. 1st

Data entry

A17. 2nd

Data entry

A18. Dataentry Supervision

RESPONDENT CONTACT ATTEMPTS

Time DD MM ENUMERATOR NAME ID

A19. 1st

contact date

A20. 2nd

contact date

A21. 3rd

contact date

INTERVIEW DATES

DD MM Start time End time ENUMERATOR NAME ID

A22. 1st

visit

A23. 2nd

visit

A24. 3rd

visit

A25. Was interview stopped in section B? IF STOPPED PLEASE REPLACE HH WITH NEXT CORRESPONDING HOUSEHOLD FROM VILLAGE LIST OF SAMPLED HH.

1. Yes 2. No

A26. Was interview conducted with translation?

1. Yes 2. No

A27. Was the HH split between two enumerators? 1. Yes 2. No

Page 3: Village ID HH ID 1 EDI-RF ASSESSMENT OF …...Tafadhali niambie kuhusu kila sehemu/eneo la ardhi inayomilikiwa na kaya yako, iliyokodishwa au kulimwa kwa pamoja na mtu mwingine kwa

Village ID _________ HH ID _____________ 3 SECTION B: INTRODUCTION (PREFERRED RESPONDENT: HEAD OR SPOUSE OF HEAD OR RIPAT FARMER) RESPONDENT(S) ID ________ CONTROL VILLAGE HOUSEHOLDS. IF RIPAT VILLAGE (A3=1) >> B5

B1. Hebu nihakikishe, kaya yako inajihusisha na shughuli za kilimo? Let me just confirm, is your household engaged in farming activities?

1. Yes 2. No >> STOP INTERVIEW

B2. Fikiri kwamba shirika lisilo la kiserikali la hapa nchini limeleta mradi wa teknolojia ya uboreshaji kilimo, ambapo unatakiwa kujiunga katika kikundi na wanakijiji wengine. Katika kikundi hiki utajifunza kuhusu kilimo cha migomba ya kisasa, uboreshaji wa mifugo, kilimo cha mihogo na kilimo hifadhi. Utataka kushiriki katika mradi? Imagine that a local NGO came to your village and presented a project with improved agricultural techniques, where you had to join a group with other village members. In this group you would learn about improved banana cultivation, improved livestock, cassava cultivation, and conservation agriculture. Would you want to participate in the project?

1. Yes 2. No >> STOP INTERVIEW

B3. Fikiri kuhusu mashamba ambayo kaya yako inamiliki, inakodisha au kukodishia, mnalima pamoja na kugawana mavuno au kutumika kama dhamana ya mkopo na ukubwa wake. Ni eka ngapi ambazo kaya yako inamiliki na kulima kwa ujumla? Think about all of the plots that your household owns, rent in or out, sharecrop, use against credit or use for free and the total size. How many acres of land does your household own and cultivate in total?

IF ACRES<1 OR ACRES> 8: STOP INTERVIEW. ACRES

B4. Katika kaya yako, ni nani alifanya maamuzi mengi zaidi kuhusu shughuli za kilimo? In your household, who has taken most decisions for farming activities?

NAME: RESP. ID: Je anapatikana sasa hivi kwa ajili ya mahojiano au ni saa ngapi atarudi? Is he/she available for

interview now or when will he/she be back?

ENUMERATOR NOTES:

>> B13

RIPAT VILLAGE HOUSEHOLDS

B5. Tunajua kwamba kumekuwa na mradi wa kilimo katika kijiji hiki unaoitwa RIPAT. Kuna yeyote katika kaya hii amewahikuwa mwanakikundi wa RIPAT/RECODA au ni mwanakikundi sasa hivi? Kama ndiyo ni nani?

We know that there has been an agricultural project in this village called RIPAT. Is anyone in this household a member or has anyone been a member of a RIPAT/RECODA group and if so, who?

1. Yes, note name 2. No >> B10

Je anapatikana sasa hivi kwa ajili ya mahojiano au ni saa ngapi atarudi? Is he/she available for interview

now or when will he/she be back?

ENUMERATOR NOTES:

NAME: RESP. ID:

B6. Ni kikundi kipi cha RIPAT ambacho wewe ni mwanachama au ulikuwa mwanachama? Which RIPAT/RECODA group are or were you a member of? USE CODE LIST OF ALL GROUPS

B7. a. Je ulijiunga na kikundi mwanzo wa mradi au ulijiunga baadaye? Did you join the group at the beginning of the project or did you

join later?

1. Joined from beginning >> B8 2. Joined later

b. Ulijiunga na kikundi lini? When did you join the group?

MM/YY

B8. a. Bado wewe ni mwanakikundi? Are you still a group member?

1. Yes >> B13

2. No b. Ni lini uliacha kuwa mwanakikundi wa RIPAT/

RECODA? When did you drop out of the RIPAT/RECODA group? MM/YY

B9. Kwa nini wewe siyo mwana kikundi tena? Why are you no longer a group member?

1. Had learned enough and only wanted to practice the new methods on my own field (not in group)

2. Poor leadership in the group 3. Busy with other things 4. The work was too hard/tough 5. The project was not relevant to me

6. Illness or death in HH 7. According to constitution (missed meetings) 8. Rules were too rigid 9. Group field was destroyed 10. Husband/wife refused participation 11. Other >> B13

NB!! TICK BOX NB!!

B13.

TYPE OF HOUSEHOLD TICK

1. CONTROL (B1=1)

2. RIPAT (A3=1)

3. ADOPTING (B10=1)

4. NON-ADOPTING (B10=2)

IF FARMER IS NOT AVAILABLE BUT YOU HAVE SCHEDULED FOR A RE-VISIT, START WITH ADULT FEMALE >> SECTION H-P.

B10. Kuna yeyote katika kaya yako anapanda migomba ya kisasa? Does anyone in your household grow improved bananas?

1. Yes 2. No >> B12

B11. Ni nani katika kaya yako aliamua kupanda migomba ya kisasa? Who in your

household decided to grow improved bananas?

NAME: RESP. ID: Je anapatikana sasa hivi kwa ajili ya mahojiano au atarudi saa ngapi? Is he/she

available for interview or when will he/she be back?

ENUMERATOR NOTES:

>> B13

B12. Katika kaya yako, nani alifanya maamuzi mengi zaidi katika shughuli za kilimo? In your household, who has taken most

decisions for farming activities?

NAME: RESP. ID: Je anapatikana sasa hivi kwa ajili ya mahojiano atarudi saa ngapi? Is he/she

available for interview or when will he/she be back?

ENUMERATOR NOTES:

Page 4: Village ID HH ID 1 EDI-RF ASSESSMENT OF …...Tafadhali niambie kuhusu kila sehemu/eneo la ardhi inayomilikiwa na kaya yako, iliyokodishwa au kulimwa kwa pamoja na mtu mwingine kwa

Village ID _________ HH ID _____________ 4 SECTION C: CROP CULTIVATION (PREFERRED RESPONDENT: FARMER) RESPONDENT(S) ID ________

C1. C2. C3. C4.

P L O T C O D E

Tafadhali niambie kuhusu kila sehemu/eneo la ardhi inayomilikiwa na kaya yako, iliyokodishwa au kulimwa kwa pamoja na mtu mwingine kwa mwaka 2010. Hii ni pamoja na eneo ambalo halikulimwa, eneo la malisho au msitu. Tafadhali elezea au taja jina la kila sehemu/eneo. Please tell me about each plot of land that your household owned, rented-in or share-cropped in 2010. This also includes land for fallow, pasture or forest. Please describe or give me the name of each plot.

COMPLETE THIS QUESTION FOR ALL PLOTS. THEN ASK QUESTIONS C2-C4 FOR EACH PLOT BEFORE GOING TO THE NEXT PLOT.

Eneo (…) lina ukubwa wa ekari ngapi?

How large is the (…) plot in acres?

Kwa mwaka 2010, eneo (..) lilipandwa mazao au halikulimwa, au liliachwa kwa ajili ya malisho au msitu? In 2010, has (…) plot been used to grow crops or left as fallow land or is it pasture land or forest land?

1. Crop land 2. Fallow land>> NEXT PLOT 3. Pasture>> NEXT PLOT 4. Forrest>> NEXT PLOT 5. Housing>> NEXT PLOT

Je kaya yako inamiliki, inakodi, inakodisha au inalima kwa pamoja na mtu mwingine eneo (…) au una litumia kwa ajili ya kinga ya mkopo au unatumia bure? Does your household own, rent in or out or sharecrop the (…) plot or do you use it against credit or for free?

1. Own and cultivate 2. Own and rent out 3. Own and sharecrop 4. Own and used for credit/collateral 5. Rent in 6. Use against sharecrop 7. Use against credit/colateral 8. Use for free

PLOT NAME PLOT SIZE PLOT TYPE OWN PLOT

1

2

3

4

5

6

7

8

9

10

C5. C6.

PLEASE CALCULATE TOTAL AREA OF LAND CULTIVATED OR OWNED IN ACRES. THEN ASK C6

TOTAL ACRES

Hii inamaanisha kwamba mwaka 2010 ulilima au ulimiliki jumla ya ekari [JUMLA]. Je hii ni sahihi? This means that in 2010 you either cultivated or owned a total area of [TOTAL] acres. Is that correct?

1. Yes >> C7 2. No >> NOTE CORRECT

TOTAL

b: CORRECT TOTAL: ACRES

C7. Miaka 4 iliyopita, yaani 2006 vilevile ulilima au kumiliki ekari [JUMLA]? Did you also cultivate or own [TOTAL] acres 4 years ago, in 2006?

1. Yes >> C9 2. No

C8. Kama siyo, katika kipindi hicho yaani 2006 ulilima au kumilki ekari ngapi? If no, how many acres did you then cultivate or own 4 years ago?

IF NECESSARY, HELP RESPONDENT CALCULATE ACRES

Page 5: Village ID HH ID 1 EDI-RF ASSESSMENT OF …...Tafadhali niambie kuhusu kila sehemu/eneo la ardhi inayomilikiwa na kaya yako, iliyokodishwa au kulimwa kwa pamoja na mtu mwingine kwa

Village ID _________ HH ID _____________ 5

CROPS 2010 C9. C10. CROPS 2009 C11.

C R O P C O D E

Sasa ningependa kukuuliza kama ulipanda mazao tofauti katika maeneo yako au hukupanda kwa mwaka 2010. Tafadhali taja hata mazao ambayo hukuvuna. Now I would like to ask you whether you have grown different crops on your plot(s) or not during 2010. Please include failed crops.

FIRST PROMPT ALL CROPS IN C9. THEN ASK C10 FOR CROPS THAT HH GROWS (YES IN C9).

Je ulipanda [zao] katika eneo lako lolote mwaka 2010? Have you grown [CROP] on any of your plots during 2010?

1. Yes 2. No

ONLY ASK IF YES IN C9, DON’T PROMPT Kama ndiyo je [ZAO] lililetwa/ tambulishwa kwako kwa mara ya kwanza na mtu fulani? Kama ndiyo, ni nani? If yes, was this [CROP]

introduced to you by someone? If so, by whom?

C R O P C O D E

Sasa napenda kukuuliza kuhusu mazao uliyopanda mwaka 2009. Tafadhali jumuisha na yale ambayo hukuvuna. Now I would like to ask you about the crops you grew in 2009. Please include failed crops.

PROMPT ALL CROPS

Je ulipanda [mazao]? Did you grow [CROP]?

1. Yes 2. No 1. No/ Bought it

2. Extension officer 3. RIPAT farmer 4. Friend/ relative 5. MBD

6. Governm./local gov. 7. RECODA 8. Farm Africa 9. OtherNGO/institution

a Impr. Bananas Migomba ya kisasa/ iliyoboreshwa a Migomba ya kisasa/ iliyoboreshwa

b Trad. bananas Migomba ya kienyeji X b Migomba ya kienyeji

c Impr. Maize Mahindi ya kisasa/yaliyoboreshwa c Mahindi ya kisasa/yaliyoboreshwa

d Trad. maize Mahindi ya kienyeji X d Mahindi ya kienyeji

e Cassava Mihogo e Mihogo

f Sweet potato Viazi vitamu f Viazi vitamu

g Lablab Ngwara g Ngwara

h Pigeon peas Mbaazi h Mbaazi

i Cow peas Kunde i Kunde

j Soya beans Soya maziwa j Soya maziwa

k Beans Maharagwe X k Maharagwe

l Lentils Dengu X l Dengu

m Ground nuts Karanga X m Karanga

n Vegetables Mbogamboga X n Mbogamboga

o Tobacco Tumbaku X o Tumbaku

p Coffee Kahawa X p Kahawa

q Tea Chai X q Chai

r Flowers Maua X r Maua

s Sunflower Alizeti X s Alizeti

t Sugar canes Miwa X t Miwa

u Rice Mpunga X u Mpunga

v Sorghum Mtama X v Mtama

w Millet Uwele / Ulezi X w Uwele / Ulezi

x Barley Shayiri X x Shayiri

y Wheat Ngano X y Ngano

z Watermelon Matikiti maji X z Matikiti maji

aa Coconut Nazi X aa Nazi

xx Pineapple Mananasi X xx Mananasi

C12. Kati ya mazao unayopanda ni zao lipi muhimu zaidi kwa kukupatia chakula katika kaya yako? Which one of the crops you grow is the most important for generating food in the household?

USE CROP CODE FROM ABOVE WRITE ‘00’ IF HH ONLY GROWS CASH CROPS

Page 6: Village ID HH ID 1 EDI-RF ASSESSMENT OF …...Tafadhali niambie kuhusu kila sehemu/eneo la ardhi inayomilikiwa na kaya yako, iliyokodishwa au kulimwa kwa pamoja na mtu mwingine kwa

Village ID _________ HH ID _____________ 6

C13. Katika mazao unayolima ni zao lipi muhimu zaidi kwa kukuipatia kaya yako kipato?

Which one of the crops you grow is the most important for generating income in the household?

USE CROP CODE FROM ABOVE WRITE ‘00’ IF HH DOES NOT SELL ANY CROPS

ASK IF:

HH DOES NOT GROW TRADITIONAL BANANAS IN NEITHER 2009 NOR 2010(C9:CODE b):

C14. Je umewahi kupanda migomba ya kienyeji?

Have you ever grown traditional bananas? 1. Yes 2. No

ASK IF:

CONTROL VILLAGE &

HH DOES NOT GROW IMPROVED BANANAS IN NEITHER 2009 NOR 2010 (C9:CODEa)

C15. Je umewahi kupanda migomba ya kisasa? Have you ever grown improved bananas?

1. Yes 2. No >> C18

ASK IF:

CONTROL VILLAGE &

HH GROWS IMPROVED BANANAS IN 2010 (C9:CODE a) C16. Lini ulipanda migomba ya kisasa kwa mara ya kwanza?

When did you first plant improved bananas? YEAR

C17. Je una mashimo mangapi yaliyopandwa migomba kwa sasa shambani kwako? How many planted banana holes do you have on your farm now? # STOOLS

C18. C19.

Je una miti yoyote ya matunda katika shamba lako kwa sasa - jumuisha na miti ambayo haijaanza kuzaa matunda? Do you have any fruit trees on your farm now – including trees that have not yet given fruit?

TREE C

OD

E

TREES

PROMPT ALL FRUIT TREES

Je una [MTI] katika shamba lako kwa sasa – hii ni pamoja na miti ambayo bado haijaanza kuzaa matunda? Do you have [TREE] on your farm now – including trees that has not yet given fruit?

1. Yes 2. No

1. Yes 2. No>> C20

1 Mango Mwembe

2 Guava Mpera

3 Avocado Mparachichi

4 Lemon Mlimao

5 Orange Mchungwa

6 Tangarine Mchenza

7 Pawpaw Mpapai

8 Apple ‘mti wa apple’

9 Plum Mzambarau

10 Jackfruit Mfenesi

C20. Je unamwagilia kwa kutumia mfereji?

Do you use an irrigation channel?

1. Yes 2. No

C21. Je uliajiri watu (uliweka vibarua) katika shamba lako katika mwaka 2010, mfano kwa ajili ya kupalilia, kuvuna au kuchimba mashimo?

Have you employed any people on your farm during 2010, e.g. for weeding, harvesting, or digging holes?

INCLUDE BOTH FULL TIME EMPLOYED AND CASUAL LABOUR

1. Yes 2. No

Page 7: Village ID HH ID 1 EDI-RF ASSESSMENT OF …...Tafadhali niambie kuhusu kila sehemu/eneo la ardhi inayomilikiwa na kaya yako, iliyokodishwa au kulimwa kwa pamoja na mtu mwingine kwa

Village ID _________ HH ID _____________ 7

IF FARMER IS CONTROL >> SECTION F, PAGE 10 IF FARMER IS NON-ADOPTING >> E11, PAGE 10

IF FARMER IS RIPAT BUT DOES NOT GROW IMPROVED BANANAS (C9_a=2) >> D26, PAGE 9 SECTION D: RIPAT AND ADOPTING FARMERS - IMPROVED BANANAS (PREFERRED RESPONDENT: FARMER), RESPONDENT(S) ID ________ Sasa ningependa kukuuliza maswali kuhusu migomba ya kisasa. Now I would like to ask you some questions about improved bananas.

YEAR QUARTER 1. Jan-Mar 2. Apr-Jun 3. Jul-Sep 4. Oct-Dec

NUMBER OF SEEDLINGS

D1. Ni mwaka gani ulianza kupanda migomba ya kisasa kwa mara ya kwanza? Ni katika kipindi gani cha mwaka? Na ni miche mingapi ulipanda kipindi hicho? In which year did you first plant improved bananas? At what time of the year? And how many seedlings did you plant at that time?

D2. a. Je, uliendelea kupanda miche zaidi baada ya hiyo ya mwanzo? Did you then plant more seedlings after this?

1. Yes 2. No >> D7

b. Ni lini ulipanda miche zaidi na ni mingapi? When did you plant more seedlings and how many?

D3. a. Je, uliendelea kupanda miche zaidi baada ya hii? Did you then plant more seedlings after this?

1. Yes 2. No >> D7

b. Lini ulipanda miche zaidi na ni mingapi? When did you plant more seedlings and how many?

D4. a. Je, uliendelea kupanda miche zaidi baada ya hii? Did you then plant more seedlings after this?

1. Yes 2. No >> D7

b. Lini ulipanda miche zaidi na ni mingapi? When did you plant more seedlings and how many?

D5. a. Je uliendelea kupanda miche zaidi baada ya hii? Did you then plant more seedlings after this?

1. Yes 2. No >> D7

b. Lini ulipanda miche zaidi na ni mingapi? When did you plant more seedlings and how many?

D6. a. Je, uliendelea kupanda miche zaidi baada ya hii? Did you then plant more seedlings after this?

1. Yes 2. No

b. Lini ulipanda miche zaidi na ni mingapi? When did you plant more seedlings and how many?

D7. CALCULATE THE TOTAL NUMBER OF SEEDLINGS PLANTED: TOTAL

D8. Je unayo mashimo yaliyopandwa miche ya migomba ya kisasa (JUMLA D7) kwenye shamba lako kwa sasa? Do you have [TOTAL D7] planted improved banana holes on your farm now?

1. Yes >> D10 2. No

D9. Kuna mashimo mangapi yaliyopandwa miche ya migomba ya kisasa katika shamba lako kwa sasa? How many planted improved banana holes do you have on your farm now? NUMBER OF STOOLS

D10. a. Je unayo mashimo yaliyoandaliwa lakini bado hayajapandwa miche katika shamba lako kwa sasa? Do you have any dug, but yet unplanted banana holes on your farm now?

1. Yes 2. No >> D11

b. Kama ndiyo, una mashimo mangapi yaliyokwishaandaliwa. If yes, how many dug holes do you have?

IF RIPAT >> D14 IF ADOPTING >> E1

D11. a. Je una mpango wa kupanda miche zaidi (kupanua shamba lako la migomba) katika miezi 12 ijayo? Do you plan to plant more seedlings (expand your banana farm) in the coming 12 months?

1. Yes 2. No >> D12

b. Ni miche mingapi ambayo unakusudia kupanda? How many seedlings do you plan to plant?

IF RIPAT >> D14 IF ADOPTING >>E1

D12. Je una mpango wa kuendelea kupanda migomba ya kisasa? Do you plan to continue growing improved bananas?

1. Yes >> (IF RIPAT>>D14; IF ADOPTING >>E1) 2. No

D13. Je ni kwa nini huna mpango wa kuendelea kupanda migomba ya kisasa? Why do you not plan to continue growing improved bananas?

DON’T PROMPT UP TO THREE ANSWERS POSSIBLE

1. Bananas are not remunerative 2. The work is too hard 3. I prefer growing other crops 4. Water shortage

5. Illness or death in family 6. The bananas have failed 7. Loss/sale of land

1st

2nd

3rd

IF FARMER IS ADOPTING >> SECTION E

Page 8: Village ID HH ID 1 EDI-RF ASSESSMENT OF …...Tafadhali niambie kuhusu kila sehemu/eneo la ardhi inayomilikiwa na kaya yako, iliyokodishwa au kulimwa kwa pamoja na mtu mwingine kwa

Village ID _________ HH ID _____________ 8 RIPAT FARMERS ONLY:

D14. Je umegawa miche ya migomba ya kisasa kwa mtu yeyote? Have you passed on any improved banana seedlings?

1. Yes 2. No>>D18

D15. Ni wakulima wangapi umewagawia miche ya migomba ya kisasa? To how many farmers have you passed on improved banana seedlings? NUMBER OF FARMERS

D16. Ni miche mingapi uligawa jumla? How many seedlings have you passed on in total? IF NECESSARY, HELP RESPONDENT CALCULATE NUMBER OF SEEDLINGS

D17. Kwa nini uligawia wakulima wengine miche ya migomba ya kisasa? Why did you pass on improved banana seedlings to other farmers?

DON’T PROMPT. UP TO THREE ANSWERS POSSIBLE

1. Obligation in project 2. Wanted to share good experience 3. Farmer(s) asked me for seedlings

4. The more people who grow bananas, the better it is for the community

1st

2nd

3rd

>> D19 D18. Ni kwanini hujawagawia wakulima wengine miche ya

migomba ya kisasa? Why did you not pass on improved banana seedlings to other farmers?

DON’T PROMPT

UP TO THREE ANSWERS POSSIBLE

1. Bananas failed 2. Plants have not given seedlings yet 3. Could sell seedlings and earn money 4. No farmer asked me for seedlings 5. Farmers that asked for seedlings were not

willing to follow the recommended technology

6. Planted all seedlings on own farm 7. If too many farmers grow bananas, I

fear that prices on bananas would fall 8. Illness or death in household

1st

2nd

3rd

D19. Mara ukishaanzisha shamba lako la migomba, je kazi zinazohusiana na migomba ya kisasa zinahitaji muda zaidi au muda kidogo ukilinganisha na kazi za mazao mengine unayopanda? Once you have established your improved banana farm, is the work related to

bananas more or less time consuming than the work related to the other crops that you grow?

1. More time consuming 2. It is the same 3. Less time consuming

D20. Je, unatumia kitabu cha mkulima? Do you use a farmer’s book?

1. Yes 2. No >> SECTION F

D21. Ninaweza kuona kitabu chako cha mkulima cha mwaka 2009? Can I see your farmer’s book for 2009?

1. Yes, the book is available and filled in 2. Yes, but the book is not filled in>> SECTION F

3. Cannot find/does not have the book >> SECTION F

COPY ANSWERS TO D22-D25 FROM FARMER’S BOOK 2009 IF IT IS AVAILABLE

D22. D23. D24. D25.

JUMLA YA MIKUNGU KUTOKA MIGOMBA YA KISASA ILIYOVUNWA, UK.5 KATIKA KITABU CHA MKULIMA. TOTAL NUMBER OF IMPROVED BANANA BUNCHES HARVESTED, P. 5 IN FARMER’S BOOK

FAIDA HALISI KUTOKANA NA MIGOMBA YA KISASA, UK.10 KATIKA KITABU CHA MKULIMA. NET PROFIT FROM IMPROVED BANANA, P. 10 IN FARMER’S BOOK

IDADI YA MASHINA YA MIGOMBA KATIKA SHAMBA ILIYOBEBA NDIZI ZINAZOONEKANA MWISHONI MWA MWAKA UK.11. NUMBER OF IMPROVED BANANA STOOLS ON FARM BY THE END OF THE YEAR, P. 11 IN FARMER’S BOOK

IDADI YA MASHINA AMBAYO HAYAJAANZA KUZAA MIKUNGU MWISHONI MWA MWAKA UK.11. NUMBER OF BANANA STOOLS WHICH HAVE NOT PRODUCED BUNCHES AT THE END OF THE YEAR, P. 11 IN FARMER’S BOOK

MIKUNGU ILIYOVUNWA/ BUNCHES

HARVESTED FAIDA HALISI/ NET PROFIT NUMBER OF STOOLS WITH BUNCHES NUMBER OF STOOLS WITHOUT BUNCHES

2009

>> SECTION F

Page 9: Village ID HH ID 1 EDI-RF ASSESSMENT OF …...Tafadhali niambie kuhusu kila sehemu/eneo la ardhi inayomilikiwa na kaya yako, iliyokodishwa au kulimwa kwa pamoja na mtu mwingine kwa

Village ID _________ HH ID _____________ 9 RIPAT FARMERS NOT GROWING BANANAS (C9a=2) RESPONDENT(S) ID ________

D26. Je, ulishawahi kujaribu kupanda migomba ya kisasa? Have you tried to grow improved bananas?

1. Yes >> D28 2. No

D27. Kwa nini huja jaribu kupanda migomba ya kisasa? Why have you not tried to grow improved bananas?

DON’T PROMPT IF MORE THAN 1 ANSWER ASK RANK.

1. I don’t know the production techniques 2. My soil is not suitable for banana

cultivation 3. I have never grown bananas

4. The work is too hard/tough 5. I don’t have any/enough land 6. I think it will not be remunerative 7. I prefer growing traditional bananas

8. Weather is not suitable 9. Water shortage 10. Never got seedlings

1st

2nd

3rd

>> SECTION F D28. Ni kwanini uliacha kupanda migomba ya kisasa?

Why did you stop growing improved bananas? DON’T PROMPT

IF MORE THAN 1 ANSWER ASK RANK.

1. My soil is not suitable for banana cultivation

2. They were not remunerative

3. Water shortage 4. Plants died because of pest/diseases 5. Death or illness in household 6. Banana cultivation was too hard work

7. Lost/sold land 8. Free grazing problem

1st

2nd

3rd

>> SECTION F SECTION E: ADOPTING FARMERS ONLY – IMPROVED BANANAS (PREFERRED RESPONDENT: FARMER) RESPONDENT(S) ID ________

E1. Nani alikupatia au kukuuzia miche yako ya migomba ya kisasa ya kwanza? Who gave or sold you your first improved banana seedlings?

1. RECODA 2. RIPAT farmer >> IDENTIFY NAME FROM LIST OF

RIPAT FARMERS. WRITE NAME AND HH ID.

3. RIPAT Group 4. MBD 5. Farm Africa

6. Non-RIPAT farmer 7. Other NGO 8. Gov. institution

NAME

HH ID

E2. Je ulipewa miche ya migomba ya kisasa au ulikwenda kuomba?

Were the improved banana seedlings given to you or did you go and ask for the seedlings?

1. Given to me

2. I asked for seedlings

E3. Je, hiyo miche uililipia chochote kwa fedha taslim au kwa malipo ya vitu? Did you pay anything in cash or in kind for the seedlings?

1. Yes, in cash

2. Yes, in kind

3. No

E4. Unapokuwa umeshaanzisha shamba lako la migomba ya kisasa, je kazi nyingine zinazohusu migomba zinatumia muda mwingi au mchache kuliko mazao mengine unayopanda? Once you have established your improved banana farm, is the

work related to bananas more or less time consuming than the work related to the other crops that you grow?

1. More time consuming

2. It is the same

3. Less time consuming

E5. Kwa wastani unapata mavuno ya mahindi kiasi gani kwa ekari katika shamba lako kwa mwaka wa kawaida? What is your average yield of maize per acre on your farm in a normal year?

IF NEITHER GROWING MAIZE IN 2010 OR 2009, WRITE ‘999’ AND >> E7 AVERAGE MAIZE YIELD

CIRCLE UNIT THAT RESPONDENT USES

KG TIN (Debe) BAGS (Gunia)

E6. Kwa kukadiria bei ya [KIPIMO] kimoja cha mahindi kijijini ni kiasi gani wakati wa mavuno? What is the approximate price of one [UNIT] of maize locally in the village at harvest time? USE UNIT THAT RESPONDENT USED IN E5 TSH

E7. Ulipopanda migomba ya kisasa kwa mara ya kwanza, kwa kukadiria bei ya mkungu wa ndizi za kisasa wenye ukubwa wa kati ilikuwa kiasi gani kijijini? When you first planted improved bananas, what was the approximate price of a medium size bunch of improved bananas locally in the village? TSH

E8. Fikiria kuhusu ndugu zako na marafiki na watu wengine unaowafahamu. Kabla hujaamua kuanza kupanda migomba ya kisasa ni watu wangapi ulijadili nao kuhusu mambo ya kilimo? Think about your relatives and friends and other people that you know. Before you decided to start

growing improved bananas, how many people did you discuss farming issues with?

NUMBER OF PEOPLE

E9. Kati ya hao, ni wangapi walikuwa wanapanda migomba ya kisasa kabla hujaamua kuanza kupanda migomba ya kisasa? Among these, how many of them were growing improved bananas before you decided to start growing improved bananas?

NUMBER OF PEOPLE

E10. Kama kati ya hawa ni wakulima wa RIPAT, unaweza kunipatia majina yao tafadhali? If any of these are RIPAT farmers, could you please give me their names?

COPY HH ID. IF FARMER CAN READ, SHOW LIST OF RIPAT GROUP MEMBERS TO HELP IDENTIFY

NAME HH ID NAME HH ID NAME HH ID

NAME HH ID NAME HH ID NAME HH ID

>> SECTION F

Page 10: Village ID HH ID 1 EDI-RF ASSESSMENT OF …...Tafadhali niambie kuhusu kila sehemu/eneo la ardhi inayomilikiwa na kaya yako, iliyokodishwa au kulimwa kwa pamoja na mtu mwingine kwa

Village ID _________ HH ID _____________ 10 NON-ADOPTING FARMERS RESPONDENT(S) ID ________

E11. Kwa wastani unapata mavuno ya mahindi kiasi gani kwa ekari katika shamba lako kwa mwaka wa kawaida? What is your average yield of maize per acre on your farm in a normal year?

IF NEITHER GROWING MAIZE IN 2010 OR 2009, WRITE ‘999’ AND >> E13

AVERAGE MAIZE YIELD CIRCLE UNIT THAT RESPONDENT USES

KG TIN (Debe) BAGS (Gunia)

E12. Kwa kukadiria bei ya [KIPIMO] kimoja cha mahindi kijijini ni kiasi gani wakati wa mavuno? What is the approximate price of one [UNIT] of maize locally in the village at harvest time? USE UNIT THAT RESPONDENT USED IN E11 TSH

E13. Kwa kukadiria bei ya mkungu wa ndizi za kisasa wenye ukubwa wa kati ni kiasi gani kijijini? What is the approximate price of a medium size bunch of improved bananas locally in the village? TSH

E14. Fikiria kuhusu ndugu zako na marafiki na watu wengine unaowafahamu. Ni wangapi unajadili nao kuhusu mambo ya kilimo? Think about your relatives and friends and other people that you know. How many people do you discuss farming issues with? NUMBER OF PEOPLE

E15. Kati ya hawa, ni wangapi wanapanda migomba ya kisasa? Among these, how many of them are growing improved bananas? NUMBER OF PEOPLE

E16. Kama kati ya hawa ni wakulima wa RIPAT, unaweza kunipatia majina yao tafadhali? If any of these are RIPAT farmers, could you please give me their names?

WRITE NAMES AND COPY HH ID. IF FARMER CAN READ, SHOW LIST OF RIPAT GROUP MEMBERS TO HELP IDENTIFY

NAME HH ID NAME HH ID NAME HH ID

NAME HH ID NAME HH ID NAME HH ID

E17. Kwanini hujapanda migomba ya kisasa?

Why have you not planted any improved bananas?

DON’T PROMPT UP TO THREE ANSWERS POSSIBLE.

1. I do not know the production techniques 2. My soil is not suitable for banana cultivation 3. I have never grown bananas

4. The work is too hard/tough 5. I don’t have enough land 6. I think it will not be remunerative 7. I prefer growing traditional bananas

8. Weather is not suitable 9. Water shortage 10. Never got seedlings

1st

2nd

3rd

SECTION F: FARMER CHARACTERISTICS (PREFERRED RESPONDENT: FARMER) RESPONDENT(S) ID ________ Sasa ningependa kukuuliza maswali binafsi kama utaniruhusu. Now I would like to ask you some personal questions if I may.

F1.

Wewe ni dini gani?

What is your religion?

1. Lutheran 2. Catholic

3. Muslim 4. Pagan/Traditional

5. Other

F2.

Wewe ni kabila gani? What is your ethnic group?

1. Wachaga 2. Wanyaturu 3. Wameru

4. Waarusha 5. Wamaasai 6. Wairaq

7. Wamangati 8. Wapare 9. Wabarbaig

10. Wanyiramba 11. Wasandawi 12. Wanyisanzu 13. Other

F3. Kwa makadirio ni kwa muda wa miaka mingapi kaya yako imekuwa ikiishi katika kijiji hiki au ni mwaka gani kaya yako imehamia hapa kijijini? For approximately how many years has your household been residing in this village or in which year did your household move to this village?

IF LESS THAN 1 YEAR, WRITE ‘0’. IF ALWAYS WRITE ‘999’. YEARS/YEAR

F4. Umetumia Kompyuta na/au mtandao katika kipindi cha miezi 12 iliyopita? Have you used a computer and/or the internet in the last 12 months?

1. Yes, a computer only 2. Yes, a computer and the internet

3. Yes, only the internet 4. None

5. Don’t know

Sasa ningependa kukuuliza maswali machache ya hesabu. Usiwe na wasiwasi kama huna uhakika na majibu, jitahidi tu kuyajibu. Now I would like to ask you some questions about math problems. Don’t worry if you are not sure of the answer, just do your best to answer them.

F5. Unaweza kuniambia 29 toa 13 ni sawa sawa na ngapi?

Can you tell me what 29 minus 13 equals?

CORRECT ANSWER IS 16 AFTER 15 SECONDS SELECT “GIVES WRONG ANSWER”

1. Gives correct answer quickly 2. Gives correct answer after a while

3. Gives wrong answer 4. Does not even try to answer >> SECTION G

F6. 50 gawanya kwa 10 ni ngapi? What is 50 divided by 10?

CORRECT ANSWER IS 5. AFTER 15 SECONDS SELECT “GIVES WRONG ANSWER” 1. Gives correct answer quickly 2. Gives correct answer after a while

3. Gives wrong answer 4. Does not even try to answer

Page 11: Village ID HH ID 1 EDI-RF ASSESSMENT OF …...Tafadhali niambie kuhusu kila sehemu/eneo la ardhi inayomilikiwa na kaya yako, iliyokodishwa au kulimwa kwa pamoja na mtu mwingine kwa

Village ID _________ HH ID _____________ 11 SECTION G: RISK AVERSION (PREFERRED RESPONDENT: FARMER) RESPONDENT(S) ID ________

Sasa, nataka kukutambulisha kwenye mchezo huu. Now, I would like to introduce you to a game.

TAKE OUT THE BALLS. DO WHAT YOU ARE SAYING WHILE INTRODUCING THE GAME.

Nafumba macho yangu na wewe uweke gololi kwenye mkono wangu. Halafu nitaweka mikono yangu nyuma na kufumbua macho. Na sasa naiweka mikono yangu mbele nawe utajaribu kuutambua mkono wenye gololi ya bluu. Ukichagua mkono wenye gololi ya bluu utakuwa umeshinda. Ukichagua mkono wenye gololi nyeupe utakuwa umeshindwa

I close my eyes and you put the balls in my hand. Then I take my hands behind my back and I open my eyes. Now I take my hands forward and you should try pick the hand with the blue ball. If you pick the hand with the blue ball, you win – if you pick the hand with the white ball, you lose.

LET THE RESPONDENT PICK A HAND. SAY WHETHER HE/SHE WON OR LOST. PLAY THE GAME A COUPLE OF TIMES.

Umeuelewa mchezo? Do you understand the game?

IF RESPONDENT ANSWERS ‘NO’, EXPLAIN AGAIN UNTIL RESPONDENT UNDERSTANDS.

G1. Tukiucheza mchezo huu mara 10, unafikiri utashinda mara ngapi? If we played this game 10 times, how many times do you think you would win?

Nitakuomba uchague kucheza mmoja kati ya michezo tofauti. Hakuna jibu sahihi au lisilo sahihi, wewe niambie tu mchezo unaoupenda. I will ask you to choose between playing different games. There is no right or wrong answers, just tell me the games that you prefer.

G2. Kwanza, fikiri kama una uamuzi wa kucheza michezo miwili tofauti kwa mpira. Mchezo wa kwanza: tunacheza gololi. Ukishinda, unapata SH 3000, ukishindwa unapata SH 2000 Mchezo wa pili: tunacheza gololi. Ukishinda, unapata SH 5000, ukishindwa unapata SH 1000 Utachagua kucheza mchezo upi? First, imagine you have a choice between playing two different games with the balls. Game 1: We play with the balls. If you win, you get 3000 TSH. If you lose, you get 2000 TSH. Game 2: We play with the balls. If you win, you get 5000 TSH. If you lose, you get 1000 TSH. Which game would you choose to play?

USE CARDS TO SHOW GAMES

1. Game 1

2. Game 2>>G4

3. Have no preference>>G5

4. I don’t know>>G5

G3. Sasa fikiri kama una uamuzi wa kucheza michezo miwili tofauti kwa mpira. Mchezo wa kwanza: tunacheza gololi. Ukishinda, unapata SH 2000, ukishindwa unapata SH 1500 Mchezo wa pili: tunacheza gololi. Ukishinda, unapata SH 5000, ukishindwa unapata SH 1000. Utachagua kucheza mchezo upi? Now imagine you have a choice between playing two different games of with the balls. Game 1: We play the balls. If you win, you get 2000 TSH. If you lose, you get 1500 TSH. Game 2: We play with the balls. If you win, you get 5000 TSH. If you lose, you get 1000 TSH. Which game would you choose to play?

1. Game 1

2. Game 2

3. Have no preference

4. I don’t know >>G5

G4. Sasa fikiri kama una uamuzi wa kucheza michezo miwili tofauti kwa mpira. Mchezo wa kwanza: tunacheza gololi. Ukishinda, unapata SH 3000, ukishindwa unapata SH 2000 Mchezo wa pili: tunacheza gololi. Ukishinda, unapata SH 5000, ukishindwa unapata SH 0. Utachagua kucheza mchezo upi? Now imagine you have a choice between playing two different games of with the balls. Game 1: We play with the balls. If you win, you get 3000 TSH. If you lose, you get 2000 TSH. Game 2: We play with the balls. If you win, you get 5000 TSH. If you lose, you get 0 TSH. Which game would you choose to play?

1. Game 1

2. Game 2

3. Have no preference

4. I don’t know

G5. Sasa, hebu fikiri kama ningekuomba kama utataka kucheza mchezo ufuatao. Mchezo: Tunacheza mchezo na gololi. Ukishinda unapata Sh 3000, ukishindwa unanipa Sh.2000. Utataka kuucheza mchezo huu? Now, imagine that I asked you whether you wanted to play the following game: Game: We play with the balls. If you win, you get 3000 TSH. If you lose, you have to give me 2000 TSH. Would you want to play this game?

1. Yes

2. No / Don’t have money

3. Have no preference

4. Don’t know

G6. Fikiri kama una uamuzi wa kucheza michezo miwili tofauti. Mchezo mmoja ni wa gololi, na mchezo mwingine unategemea hali ya hewa katika mji mkuu wa china Beijing. Unaweza kujua mahali ulipo. Mchezo wa kwanza: tunacheza na mpira. Ukishinda, unapata SH 5000, ukishindwa unapata SH 1000 Mchezo wa pili: mvua ikinyesha Beijing China kesho, unapata SH. 10,000. Kama haitanyesha utapata SH. 1000. Je utapenda kucheza mchezo upi? Imagine that you have the choice between two different games. One game is with the balls, the other game depends on the weather in China’s capital Beijing. You might know where it is. Game 1: We play with the balls. If you win, you get 5000 TSH. If you lose, you get 1000 TSH. Game 2: If it rains in Beijing, China tomorrow, you get 10,000 TSH. If it does not rain you get 1000 TSH. Which game would you want to play?

1. Game 1

2. Game 2

3. Have no preference

4. I don’t know

Page 12: Village ID HH ID 1 EDI-RF ASSESSMENT OF …...Tafadhali niambie kuhusu kila sehemu/eneo la ardhi inayomilikiwa na kaya yako, iliyokodishwa au kulimwa kwa pamoja na mtu mwingine kwa

Village ID _________ HH ID _____________ 12

SECTION H: SHOCKS TO THE HOUSEHOLD AND PROJECT PARTICIPATION (PREFERRED RESPONDENT: FARMER OR ADULT FEMALE) RESPONDENT(S) ID ________ Sasa ningependa kuuliza maswali kuhusu matukio yasiyotarajiwa yaliyotokea katika kipindi cha miaka minne iliyopita. Now I would like to ask you some questions about unexpected events within the last four years.

H1. Katika kipindi cha miaka minne iliyopita, kuna tukio lolote ambalo halikutarajiwa lililotokea nje ya uwezo wako na kusababisha ongezeko kubwa la kipato chako au rasilimali?Kwa mfano kwasababu mmoja wa wanakaya alipata kazi, ulipata mkopo, fursa ya biashara mpya, kupata ardhi zaidi, ongezeko la bei ya mazao, ongezeko la rasilimali. Over the past four years, did any unexpected event outside of your control cause a dramatic increase in you income level or

number of assets? E.g. because a member in your household got a job, you got access to credit, a new business opportunity, access to more land, increase in crop prices, increase in assets

1. Yes 2. No>> H3

REASON FOR INCREASE YEAR

H2. Ni sababu gani kubwa ya (1, 2, 3, ….) ilisabisha kuongezeka kwa kiasi kikubwa kwa Kipato chako, au rasilimali? Ni mwaka gani ilitokea? What were the main reasons for the (1st, 2nd, 3rd …) dramatic increase in income or number of assets? In which year did this happen?

1. Got a job 2. Got access to credit 3. A new business opportunity 4. Increase in salary 5. Access to more land 6. Won money in lottery

7. Dramatic increase in crop/livestock prices 8. Got assets for free 9. Got livestock for free 10. Successful investment 11. Inherited money

1st

2nd

3rd

4th

5th

H3. Kwa miaka minne iliyopita, kuna tukio lolote lililotokea nje ya uwezo wako na kusababisha kushuka kwa kipato chako au upotevu mkubwa wa rasilimali? Mfano; kwa sababu ya ukame, mafuriko, kifo cha mmoja wa wanafamilia, wizi, ukosefu wa ajira au tukio lolote lingine. Over the past four years, did any unexpected events outside of your control cause a dramatic reduction in your income level or substantial loss of assets? Eg. because of drought, flood, death of family member, theft, unemployment or some other event.

1. Yes 2. No>> H5

REASON FOR DECREASE YEAR

H4. Ni sababu gani kubwa za (1, 2, 3, ….) zilisababisha kushuka kwa kipato chako, upotevu mkubwa rasilimali? Ni mwaka gani ilitokea? What were the main reasons for the (1st, 2nd, 3rd …) dramatic drop in income or substantial loss of assets? In which year did this happen?

1. Drought 2. Flood 3. Crop disease 4. Fire 5. Illness 6. HH head died 7. Sudden death of HH member 8. Livestock disease or loss

9. Dramatic drop in crop/livestock prices 10. Loss of land 11. Job loss 12. Unsuccessful investment 13. Theft of assets 14. Theft of harvest 15. Household head left

1st

2nd

3rd

4th

5th

H5. Unashiriki katika miradi ya SHIRIKA lolote kwa sasa (mbali na RIPAT/RECODA)? Are you participating in any NGO projects now (other than RIPAT)?

1. Yes 2. No>>H7

H6. Ni mradi wa aina gani huo? What/which kind of project is it?

SEVERAL ANSWERS POSSIBLE

1. Savings and credit 2. Agriculture 3. Food support

4. Education support 5. Livestock 6. Health/ Child care

7. HIV/AIDS 8. Other

1st

2nd

3rd

H7. Umesha wahi kushiriki katika mradi mwingine wowote wa shirika lisilo la kiserikali (NGO) kipindi kilichopita? Have you participated in any (other) NGO projects in the past?

1. Yes 2. No>> SECTION I

H8. Ulikuwa ni mradi wa aina gani huo? What kind of project(s) was/were that?

SEVERAL ANSWERS POSSIBLE

1. Savings and credit 2. Agriculture 3. Food support

4. Education support 5. Livestock 6. Health/ Child care

7. HIV/AIDS 8. Other

1st

2nd

3rd

Page 13: Village ID HH ID 1 EDI-RF ASSESSMENT OF …...Tafadhali niambie kuhusu kila sehemu/eneo la ardhi inayomilikiwa na kaya yako, iliyokodishwa au kulimwa kwa pamoja na mtu mwingine kwa

Village ID _________ HH ID _____________ 13

SECTION I: HOUSEHOLD ASSETS (PREFERRED RESPONDENT: FARMER OR ADULT FEMALE) RESPONDENT(S) ID ________ Sasa ningependa kukuuliza maswali kuhusu rasililmali ulizonazo katika kaya yako. Now I would like to ask you some questions about the assets you have in your household.

How many of the following assets does your household own?

Ni idadi gani ya rasilimali zifuatazo kaya yako inamiliki?

IF NONE WRITE ‘0’ NUMBER

I1. Radio and radio cassette Redio na radio ya kanda

I2. Telephone (landline) Simu ya mezani

I3. Mobile phone Simu ya mkononi

I4. Refridgerator or freezer Jokofu au friza

I5. Sewing machine Mashine ya cherehani

I6. Television TV/Runing

I7. Video Video

I8. Chair Viti

I9. Sofa Makochi

I10. Table Meza

I11. Watch Saa ya mkononi

I12. Bed Kitanda

I13. Lantern Taa ya chemli

I14. Computer Compyuta

I15. Mosquito net Chandarua

I16. Iron (charcoal or electric) Pasi (mkaa/umeme)

I17. Stove (electric/gas) Jiko la umeme/gesi)

I18. Other stove Majiko mengine

I19. Water-heater Kifaa cha umeme cha kuchemshia maji

I20. Complete music system Sisitimu ya muziki

I21. Books (not school books) Vitabu (siyo vitabu vya shule)

I22. Motor vehicles Magari

I23. Moter cycle Pikipiki

I24. Bicycle Baiskeli

I25. Moped Baiskeli yenye injini

I26. Cart Mkokoteni

I27. Wheel barrow Toroli

How many of the following assets does your household own?

Ni idadi gani ya rasilimali zifuatazo kaya yako inamiliki?

IF NONE WRITE ‘0’ NUMBER

I28. House(s) Nyumba

I29. Fan / Air conditioner Feni/kiyoyozi

I30. Dish antenna / decoder Dish/king’amuzi

I31. Hoes Majembe

I32. Spraying machines Bomba la kupulizia dawa

I33. Water pumping set Seti ya kusukuma maji

I34. Reapers Ripa

I35. Tractor Trekta

I36. Trailer for tractor Tela la trekta

I37. Plough Jembe la kukokotwa na ngo’mbe

I38. Harrow Haro

I39. Harvesting and/or threshing machine Mashine ya kuvunia na Kupukuchua

I40. Handmilling machine Mashine ya kusagia ya mkono

I41. Coffee pulping machine Mashine ya kumenya kahawa

I42. Fertilizer distributor Mashine ya kusambaza mbolea

I43. Incubator Mashine ya kuangalia mayai

I44. Tiller Tila

I45. Fishing net and other equipment Wavu wa kuvulia na vifaa vingine

I46. Beehives Mizinga ya nyuki

I47. Well Kisima

I48. Pit saw blades Msumeno mkubwa wa kuchana mbao

Page 14: Village ID HH ID 1 EDI-RF ASSESSMENT OF …...Tafadhali niambie kuhusu kila sehemu/eneo la ardhi inayomilikiwa na kaya yako, iliyokodishwa au kulimwa kwa pamoja na mtu mwingine kwa

Village ID _________ HH ID _____________ 14 SECTION J: LIVESTOCK (PREFERRED RESPONDENT: FARMER OR ADULT FEMALE) RESPONDENT(S) ID ________ Sasa ningependa kukuuliza maswali kuhusu wanyama unaofuga. Now I would like to ask you some questions about the animals you keep.

J1. J2. J3.

FIRST ASK J1, THEN ASK J2-J3 FOR EACH ANIMAL THEY KEEP

Kwa sasa hivi kaya yako inamiliki (…) wangapi? How many (…) does your household currently own?

TYPE “0” IF NONE

Wangapi kati ya hawa ni aina iliyaboreshwa? How many of these are an improved variety?

TYPE “0” IF NONE IN J1

IF ZERO >> NEXT ANIMAL

Nani alileta hii aina bora kwako/kwenu? Who introduced this improved variety to you?

DON’T PROMPT

1. No one/Bought it at market

2. Extension officer 3. (Local) government

4. RECODA 5. Other NGO 6. Friend / relative

7. RIPAT farmer 8. Other 9. Don’t know

a. Kuku (majogoo na mitetea) Chicken (roosters and hens)

b. Mabata Ducks

c. Mbuzi Goats

d. Kondoo Sheep

e. Ng’ombe (ndama na ng’ombe wakubwa) Cattle (calves and cattle)

f. Punda Donkeys

g. Nguruwe Pigs

h. Bata mzinga Turkeys

i. Samaki (kwa makadirio) Fish

(approximately)

J4. Je unafanya ufugaji wa ndani? Do you use zero-grazing? 1. Yes

2. No >> J6

J5. Ufugaji wa ndani ulitambulishwa kwako na mtu fulani? Kama ndiyo, ni nani? Was zero-grazing introduced to you by someone? If so, who? DON’T PROMPT

1. Yes, by extension officer 2. Yes, by RECODA 3. Yes, by other NGO

4. Yes, by friend / relative 5. No

Sasa napenda kuongea na wewe kuhusu vitu ambavyo uliweza au kushindwa kununua kwa kipindi cha miezi 12 iliyopita, inawezekana kuna vitu muhimu kwa maisha mazuri ya watu katika kaya yako, muhimu kwa uzalishaji wa kilimo au vitu ulivyovipenda na kufanya au ulishindwa kununua. Now I would like to talk to you about major things you have been able to or not able to buy over

the last 12 months, there can be things necessary for the well-being of people in your household, necessary for your agricultural production or simply things you would like and did or did not buy.

J6. Katika miezi 12 iliyopita, ni kitu gani mhimu zaidi ulicholipia? During the last 12 months, what was the most important thing that you paid for?

1. Food 2. Clothes 3. Housing 4. Medicin/hospital

5. School fees 6. Livestock 7. Land 8. Agricultural tools

9. Fertilizer /seeds 10. Means of transport 11. Furniture 12. Nothing >> J8

J7. Ulilipia shilingi ngapi? How much did you pay for this? TSH

J8. Katika kipindi cha miezi 12 iliyopita, ni kitu gani muhimu sana ambacho hukuweza kununua japo ulitaka ila hukumudu? During the last 12 months, what was the most important thing that you didn’t buy although you wanted because you couldn’t afford it?

1. Food 2. Clothes 3. Housing 4. Medicin/hospital

5. School fees 6. Livestock 7. Land 8. Agricultural tools

9. Fertilizer /seeds 10. Means of transport 11. Furniture 12. Nothing >> SECTION K

J9. Kama ungenunua hiki kitu, ungekuwa umekilipia shilingi ngapi? If you had bought this item how much would you have paid for it? TSH

Page 15: Village ID HH ID 1 EDI-RF ASSESSMENT OF …...Tafadhali niambie kuhusu kila sehemu/eneo la ardhi inayomilikiwa na kaya yako, iliyokodishwa au kulimwa kwa pamoja na mtu mwingine kwa

Village ID _________ HH ID _____________ 15 SECTION K: HOUSEHOLD ROSTER (PREFERRED RESPONDENT: FARMER OR ADULT FEMALE) RESPONDENT(S) ID ________

Sasa ningependa kukuuliza maswali kuhusu watu ambao huwa wanaishi katika kaya hii. Now I would like to ask you questions about people normally living in this household.

ONLY ASK WHEN AGE > 10

K1. K2. K3. K4. K5. K6. K7. K8. K9. K10. ID C

OD

E

Fikiri kuhusu watu ambao huwa unaishi nao hapa mara zote na mnakula toka chungu kimoja. Naomba tafadhali kuuliza majina yao, kuanzia mkuu wa kaya, mke wa kwanza na watoto wao. Think of all the people who usually live with

you and eat from the same pot. May I please

ask their names, starting with the head of the

household, the first spouse and their children?

WRITE FIRST OR FULL NAMES. START WITH HEAD OF HH, THEN 1

ST

SPOUSE AND HER CHILDREN, THEN 2

ND SPOUSE AND HER CHILDREN ETC.

MAKE A COMPLETE LIST OF ALL HH

MEMBERS BEFORE GOING TO K2. THEN ASK K2-K10

Je (…) ni mwanaume au mwanamke? Is (…) male

or female?

1. Male

2. Female

Je (…..) ana husiano gani na mkuu wa kaya? What is (…)’s relationship

to household head?

1. Head >>K5

2. Spouse >>K5

3.Child >>K5

4. 2nd

, 3rd

… wife

5. Foster child

6. Grandchild

7. Niece/nephew

8. Parent (in law)

9. Sister/Brother (in

law)

10. Son/Daughter in law

11. Grandparent

12. Other relative

13. Other non-relative

(……) ameishi hapa tangu 2006? Has (...)

lived

here

since

2006?

1. Yes 2. No

Je (…..) ana umri gani au alizaliwa mwaka gani? How old is (...) or

which year was

(…) born?

IF < 1 YEAR WRITE “00” CROSS OUT K8-K10 FOR ALL CHILDREN < 11 YEARS

Ni kiwango kipi cha elimu cha juu ambacho (…..) amekamilisha? What is the highest level of school (...) has completed?

WRITE LEVEL AND

STANDARD OR FORM LEVEL: 0. None 1. Nursery / Pre-school 2. Primary 3. Secondary 4. Tertiary IF LEVEL = 0,1,4 SKIP STD/FORM

Kwa sasa (….) anahud-huria shuleni? Is (…)

currently

attending

school?

1. Yes

2. No

Hali ya ndoa ya (…) ikoje? What is the

marital status

of (...)?

1. Married

2. Cohabiting

3.Divorced

4. Separated

5. Widow or

widower

6.Not

married

Je (….) ana uwezo wa kusoma na kuelewa gazeti la Kiswahili? Is (…) able to

read and

understand

a news-

paper in

Kiswahili?

1. Yes

2. No

Fikiri kuhusu hali ya (…….). Je ana uwezo wa kufanya kazi ngumu? Think about (…)’s

physical condition. Is

he/she able to do

hard manual labour?

PLEASE PROMPT

1. Ana uwezo kabisa

(Full extent)

2. Kiasi fulani

(Some extent)

3. Kiasi kidogo

(Lesser extent)

4. Hawezi kabisa

(Not at all)

ID FIRST/FULL NAME SEX RELATION AGE/YEAR a.LEVEL b.STD/ FORM SCHOOL MARIAGE READ HARD LABOUR

H1

H2

H3

H4

H5

H6

H7

H8

H9

H10

H11

H12

H13

H14

Page 16: Village ID HH ID 1 EDI-RF ASSESSMENT OF …...Tafadhali niambie kuhusu kila sehemu/eneo la ardhi inayomilikiwa na kaya yako, iliyokodishwa au kulimwa kwa pamoja na mtu mwingine kwa

Village ID _________ HH ID _____________ 16

ONLY FILL IN IF THERE ARE MORE THAN 14 MEMBERS IN THE HOUSEHOLD. ONLY ASK WHEN AGE > 10

K11. K12. K13. K14. K15. K16. K17. K18. K19. K20. ID C

OD

E

Fikiri kuhusu watu ambao huwa unaishi nao hapa mara zote na mnakula toka chungu kimoja. Naomba tafadhali kuuliza majina yao, kuanzia mkuu wa kaya, mke wa kwanza na watoto wao. Think of all the people who usually live with

you and eat from the same pot. May I please

ask their names, starting with the head of the

household, the first spouse and their children?

WRITE FIRST NAMES. START WITH HEAD OF HH, THEN 1

ST SPOUSE AND

HER CHILDREN, THEN 2ND

SPOUSE AND HER CHILDREN ETC.

MAKE A COMPLETE LIST OF ALL HH MEMBERS BEFORE GOING TO K2.

THEN ASK K2-K10

Je (…) ni mwanaume au mwanamke? Is (…) male

or female?

1. Male

2. Female

Uhusiano wa (…..) na mkuu wa kaya ni? What is (…)’s relationship

to household head?

1. Head >>K5

2. Spouse >>K5

3.Child >>K5

4. 2nd

, 3rd

… wife

5. Foster child

6. Grandchild

7. Niece/nephew

8. Parent (in law)

9. Sister/Brother (in

law)

10. Son/Daughter in law

11. Grandparent

12. Other relative

13. Other non-relative

(……) ameishi hapa tangu 2006? Has (...)

lived

here

since

2006?

1. Yes 2. No

Ni umri gani (…..) au alizaliwa mwaka gani? How old is (...) or

which year was

(…) born?

IF < 1 YEAR WRITE “00” CROSS OUT K8-K10 FOR ALL CHILDREN < 11 YEARS

Ni kiwango kipi cha elimu cha juu ambacho (…..) amefikia? What is the highest level of school (...) has completed?

WRITE LEVEL AND

STANDARD OR FORM LEVEL: 5. None (ONLY LEVEL) 6. Nursery / Pre-

school (ONLY LEVEL) 7. Primary 8. Secondary 9. Tertiary (ONLY LEVEL)

Kwa sasa (….) anahud-huria shuleni? Is (…)

currently

attending

school?

3. Yes

4. No

Nini hali ya ndoa ya (…)? What is the

marital status

of (...)?

1. Married

2. Cohabiting

3.Divorced

4. Separated

5. Widow or

widower

6.Not

married

Je (….) ana uwezo wa kusoma na kuelewa gazeti la Kiswahili? Is (…) able to

read and

understand

a news-

paper in

Kiswahili?

1. Yes

2. No

Fikiri kuhusu hali ya (…….). Je ana uwezo wa kufanya kazi ngumu? Think about (…)’s

physical condition. Is

he/she able to do

hard manual labour?

PLEASE PROMPT

1. Ana uwezo kabisa

(Full extent)

2. Kiasi fulani

(Some extent)

3. Kiasi kidogo

(Lesser extent)

4. Hawezi kabisa

(Not at all)

ID FIRST NAME SEX RELATION AGE/YEAR LEVEL STD/ FORM SCHOOL MARIAGE READ HARD LABOUR

H15

H16

H17

H18

H19

H20

H21

H22

H23

H24

H25

H26

H27

H28

Page 17: Village ID HH ID 1 EDI-RF ASSESSMENT OF …...Tafadhali niambie kuhusu kila sehemu/eneo la ardhi inayomilikiwa na kaya yako, iliyokodishwa au kulimwa kwa pamoja na mtu mwingine kwa

Village ID _________ HH ID _____________ 17 SECTION L: INCOME SOURCES (PREFERRED RESPONDENT: FARMER OR ADULT FEMALE) RESPONDENT(S) ID ________ Sasa ningependa kukuuliza maswali kuhusu vyanzo vya mapato katika kaya yako. Now I would like to ask you some questions about the income sources in your household.

L1. Ni watu wangapi katika kaya yako wanafanya kazi ya kilimo? How many people in this household work in agriculture? NUMBER OF PEOPLE

L2. L3. L4. L5.

ASK L2 FIRST THEN ASK L3 FOR L2=1.

AND THEN ASK L4-L5 ONLY FOR THE INCOME SOURCES THEY HAVE

(L2=1)

Fikiria kuhusu kila mtu anayeishi katika kaya hii. Katika kipindi cha miezi 12 iliyopita, kuna mtu yeyote katika kaya hii alipata kipato kutokana na (……) Think of everyone living in this household. During the last 12 months, did anyone in this household have any income from (...)

1. Yes 2. No

COMPLETE LIST BEFORE GOING TO L3

Tafadhali panga vyanzo vikuu vitatu vya mapato kulingana na umuhimu wake katika miezi 12 iliyopita katika kaya hii, anza na kile ambacho ni muhimu zaidi. Please rank the 3 most important income sources in the last 12 months for this household, starting with the most important.

IF L2=1 WRITE 1 FOR 1

ST

RANK, 2 FOR 2ND

RANK AND 3 FOR 3

RD

Katika kipindi cha miezi 12 iliyopita, ni mwanakaya yupi mtu mzima mwenye umri wa miaka 15 au zaidi alifanya kazi kwenye (……)? During the past 12 months, which adult household members aged 15 years or more worked in/with (…)?

DON’T ASK IF L2=2

COPY CAREFULLY ID FROM HH ROSTER

Katika kipindi cha miezi 12 iliyopita, ni mwanakaya yupi mwenye umri wa miaka 14 au chini alifanya kazi kwenye (……)? During the past 12 months, which household members aged 14 years or less worked in/with (…)?

DON’T ASK IF L2=2

COPY CAREFULLY ID FROM HH ROSTER

RANK 1st

2nd

3rd

4th

1st

2nd

3rd

4th

a. Uzalishaji wa mazao ya chakula Food crop production

b. Uzalishaji wa mazao ya biashara Cash crop production

c. Mifugo Livestock

d. Biashara ndogondogo au usafirishaji Petty trade, small scale business or transport

e. Ajira Wage labour

f. Kibarua Casual labour

g. Vyanzo vingine vya mapato, TAFADHALI TAJA. Other income generating

activity, PLEASE SPECIFY __________________________

h. Mapato mengine kwa mfano riba, mahari, pensheni au msaada kutoka serikalini au ndugu. Other income transfers e.g. interest, bride price, pensions or assistance from government or relatives.

IF MAIN RESPONDENT IS MALE, THANK THE RESPONDENT AND ASK TO TALK TO THE ADULT FEMALE(S) IN THE HOUSEHOLD ABOUT HOUSEHOLD FACILITIES AND COOKING.

IF THE ADULT FEMALE IN THE HH IS NOT AVAILABLE, SCHEDULE FOR RE-VISIT ENUMERATOR NOTES:

Page 18: Village ID HH ID 1 EDI-RF ASSESSMENT OF …...Tafadhali niambie kuhusu kila sehemu/eneo la ardhi inayomilikiwa na kaya yako, iliyokodishwa au kulimwa kwa pamoja na mtu mwingine kwa

Village ID _________ HH ID _____________ 18 SECTION M: HOUSEHOLD FACILITIES (PREFERRED RESPONDENT: MAIN ADULT FEMALE(S) IN HOUSEHOLD) RESPONDENT(S) ID ________ Sasa ningependa kukuuliza maswali kuhusu vifaa au nyenzo katika kaya yako. Now I would like to ask you some questions about your household facilities.

M1. Kuta za nje za nyumba kuu zimejengwa kwa kutumia nini? What material are the outer walls of the main dwelling of this household made of?

1. Grass/Banana leaves/Fibres/bamboo

2. Poles and mud and stones

3. Poles and mud only 4. Poles, cow dung and mud 5. Mud bricks

6. Baked/burnt bricks Concret, cement, stones

M2. Ni aina gani ya paa katika kaya yako imewekwa kwenye nyumba kuu? What type of roof does your household have in the main dwelling?

1. Grass / straw/bamboo 2. Mud and grass

3. Concrete,cement 4. Metal sheets

5. Asbestos sheets

M3. Sakafu ya nyumba kuu imetengenezwa kwa kutumia kitu gani? The floor of the main dwelling is made of what material? 1. Earth 2. Concrete,cement, tiles, timber

M4. Nyumba hii ina vyumba vingapi ukiachilia mbali jiko na choo? How many rooms does this household have apart from kitchen and toilet? NUMBER

M5. Kaya yako inatumia aina gani ya choo? What kind of toilet facilities does your HH use? 1. Flush toilet

2. Ventilated, improved latrine 3. Traditional latrine with roof

4. Traditional latrine without roof 5. No toilet (bush) >> M7

M6. Mnashirikiana choo hiki na kaya nyingine? Do you share these facilities with other households? 1. Yes 2. No

M7. Chanzo chenu kikuu cha kuwapatia mwanga ni nini? What is your main source of lighting fuel?

1. Electricity 2. Solar 3. Gas

4. Paraffin (/Kerosene) 5. Candels 6. Firewood

7. No lighting

M8. Chanzo chenu kikuu cha nishati ya kupikia ni nini? What is your main source of cooking fuel?

1. Electricity 2. Solar 3. Generator/private source 4. Gas (industrial)

5. Gas (Biogas) 6. Paraffin (/Kerosene) 7. Coal 8. Charcoal

9. Firewood 10. Animals residuals 11. Crop remains

M9. Chanzo chenu kikuu cha maji ya kunywa kilikuwa ni nini katika mwezi uliopita? What was your main source of drinking water over the past month?

1. Piped into dwelling >> SECTION M11 2. Piped outside dwelling, personal >> SECTION M11 3. Piped water on neighbour’s housing unit 4. Piped water on Community supply

5. Rain catchment tank 6. Public well (unprotected) 7. Private well (un protected) 8. Public well (protected) 9. Private well (protected)

10. Spring (protected) 11. Spring (un protected) 12. River,dam, lake, etc. 13. Water vendors

HOURS MIN

M10. Wakati wa kiangazi, inakuchukua muda gani kwa ujumla kwenda kuchota maji ya kunywa na kurudi? (jumlisha na muda wa kusubiri) During dry season, how long time does it take you to go get drinking water, and come back in total? (including waiting time)

ON PREMISES, WRITE “0” MINUTES

M11. Inachukua muda gani kutembea kwenda kwenye shule ya msingi iliyo karibu zaidi? How long time does it take to walk to the nearest primary school?

M12. Inachukua muda gani kutembea kwenda sehemu ya karibu ya kutafutia kuni? How long time does it take to walk to the nearest place for collecting firewood?

M13. Inachukua muda gani kutembea kwenda zahanati au kituo cha afya kilicho karibu zaidi? How long time does it take to walk to the nearest dispensary or health center?

M14. Inachukua muda gani kutembea kwenda kwenye kituo kilichopo karibu zaidi kupata usafiri wa umma? How long time does it take to walk to the nearest public transportation?

M15. Inachukua muda gani kutembea kwenda kwenye barabara kuu iliyoko karibu zaidi inayopitika mwaka mzima? How long time does it take to walk to the nearest main all-season passable road?

Sasa ninayo maswali machache kuhusu upatikanaji wa vituo vya huduma za afya. Now I have a few questions about your access to health facilities.

M16. Je wewe au yeyote katika kaya hii amekwenda kutaka ushauri kwa mtoa huduma za afya (binafsi, wa umma, wa kienyeji) katika kipindi cha wiki 4 zilizopita? Did you or anyone in this household consult any health provider (private, public, traditional) the last 4 weeks?

1. Yes 2. No>> M19

M17. Ni aina gani ya huduma ya afya ambayo wewe au mwingine yeyote katika kaya alihudhuria? What kind of

health facility did you or any from this household attend?

1. Private dispensary/hospital 2. Public dispensary/hospital 3. Public health centre

4. Private health centre 5. Private doctor/dentist

6. Traditional healer 7. Other

M18. Je wewe au mwingine yeyote kutoka katika kaya hii alipata matatizo kutoka [AINA YA HUDUMA, M17] wakati alipomtembelea? Did you or anyone else from this household have any

problems with the [HEALTH PROVIDER, M17] at the time of the visit?

1. No problem 2. Facility were not clean 3. Long waiting time

4. No trained professionals/not well-behaved

5. Too expensive 6. No drugs available

7. Treatment unsuccessful

8. Other

>> SECTION N

Page 19: Village ID HH ID 1 EDI-RF ASSESSMENT OF …...Tafadhali niambie kuhusu kila sehemu/eneo la ardhi inayomilikiwa na kaya yako, iliyokodishwa au kulimwa kwa pamoja na mtu mwingine kwa

Village ID _________ HH ID _____________ 19

M19. Kwa nini hamjatumia huduma za kitabibu katika kaya hii kwa kipindi cha wiki 4 zilizopita? Why did you or anyone else not use medical care in the last 4 weeks?

1. No need 2. Too expensive

3. Too far 4. Had some medicines at home

5. Other

SECTION N: FOOD SECURITY (PREFERRED RESPONDENT: MAIN ADULT FEMALE(S) IN HOUSEHOLD) RESPONDENT(S) ID ________

Sasa ningependa tuongee kuhusu chakula na ulaji kwa ujumla kati ya watu wazima na watoto katika kaya yako. Ninaposema kaya ninamaanisha watu unaoishi nao na mnakula kutoka chungu kimoja. Now I would

like to talk about food and the eating habits among adults and children in your household. By household I mean the people who usually live with you and eat from the same pot.

FIRST MONTH OF PERIOD

LAST MONTH OF PERIOD

BEST / WORST MONTH

N1. Katika miezi 12 iliyopita ni kipindi gani kilikuwa kizuri zaidi kuhusu upatikanaji wa chakula cha kutosha kwa kila mmoja katika kaya? During the last 12 months which period was the best period in terms of having

enough food for everyone in your household? WRITE MONTH IN NUMBERS, THAT IS JAN=1, FEB = 2, MARCH = 3 …

IF RESPONDENT ANSWERS 1 MONTH, WRITE SAME MONTH IN ALL THREE BOXES

Katika kipindi hiki, ni mwezi upi ulikuwa mzuri zaidi? In this period, which month was the best month?

IF INSISTS ON A LONGER PERIOD THAN A MONTH THEN PICK THE MIDDLE MONTH IN THIS PERIOD.

N2. Katika miezi 12 iliyopita ni kipindi gani kilikuwa kibaya zaidi kuhusu upatikanaji wa chakula cha kutosha kwa kila mmoja katika kaya? During the last 12 months which period was the worst period in terms of

having enough food for everyone in your household?

Katika kipindi hiki, ni mwezi upi ulikuwa mbaya zaidi? In this period, which month was the worst month?

Kwanza ningependa kuongea na wewe kuhusu idadi ya milo kwa siku katika kaya hii. Kifungua kinywa/chakula cha asubuhi ni mlo, chakula cha mchana ni mlo, chakula cha usiku ni mlo na ukipata kiasi kikubwa cha kitafunwa pia ni mlo. Kinywaji kidogo au kikombe cha chai havihesabiwi kama mlo, lakini kwa mfano uji au supu vinahesabika kama mlo. Yaani mlo sio lazima iwe ugali. First I would like to talk to you about the number of times that you eat a meal during a day in this household. Breakfast is a meal, lunch is a meal, dinner is a meal and a substantial snack is also a meal. A simple drink

or a cup of tea is not counted as a meal, but for instance, porridge or soup are both meals. That is, a meal does not necessarily include ugali.

N3. N4. N5.

ASK QUESTION FOR ADULTS AND

CHILDREN BEFORE >> NEXT QUESTION

Kaya yako katika kipindi cha wiki 4 zilizopita, kwa kawaida ni mara ngapi kwa siku (….) walipata mlo? During the past 4 weeks, usually how many times per day did the (…) in your household eat a meal?

Katika kaya yako katika kipindi cha [N1: MWEZI MZURI ZAIDI], kwa kawaida ni mara ngapi kwa siku (….) walipata mlo? During [N1: BEST MONTH], usually how many times per day did the (…) in your household eat a meal?

Katika kaya yako Katika kipindi cha [N2: MWEZI MBAYA ZAIDI], kwa kawaida ni mara ngapi kwa siku (….) walipata mlo? During [N2: WORST MONTH], usually how many times per day did the

(…) in your household eat a meal?

Adults Watu wazima

Children Watoto

N6. Katika kipindi cha wiki moja iliyopita, ni siku ngapi kaya yako ilikula (….)? During the past week, how many days did your household eat (…)?

a. Meat a. Nyama b. Fish b. Samaki/dagaa c. Eggs c. Mayai d. Milk or dairy products d. Maziwa au bidhaa za maziwa e. Beans or other pulses/legumes e. Maharage au mikunde mingine/

jamii ya mikunde

f. Rice f. Wali g. Something with sugar g. Kitu kilichowekwa Sukari

Page 20: Village ID HH ID 1 EDI-RF ASSESSMENT OF …...Tafadhali niambie kuhusu kila sehemu/eneo la ardhi inayomilikiwa na kaya yako, iliyokodishwa au kulimwa kwa pamoja na mtu mwingine kwa

Village ID _________ HH ID _____________ 20

PERIOD

Sasa fikiria kuhusu kila mmoja anayeishi katika kaya yako. Now think of everyone living in your household.

ASK QUESTIONS N7 FOR ALL THREE PERIODS BEFORE CONTINUING TO NEXT QUESTION

REFER TO BEST AND WORST MONTH AS MENTIONED IN N1 AND N2

PAST 4 WEEKS

WIKI 4 ZILIZOP

ITA

BEST MONTH

MWEZI MZURI ZAIDI

WORST MONTH

MWEZI MBAYA

ZAIDI

N7.

Fikiria kuhusu [KIPINDI], je ilitokea kwamba mmojawapo wa wanakaya ilibidi ale chakula ambacho kwa kweli hakukitaka ila tu kwasababu hapakuwa na chakula kingine au fedha za kununua chakula? Think about the [PERIOD], did anyone have to eat food that they really did not want to eat because there was no other food or money to buy food?

1. No 2. Rarely (1 or 2 times in [PERIOD]) 3. Sometimes (3 to 10 times in [PERIOD]) 4. Often (more than 10 times in [PERIOD])

1. Hapana 2. Kwa nadra (mara 1 au 2 katika [KIPINDI] 3. Mara chache (mara 3 hadi 10 katika [KIPINDI] 4. Mara nyingi (zaidi ya mara 10 katika [KIPINDI]

N8.

Katika [KIPINDI], je ilitokea kwamba mmojawapo wa wanakaya alikwenda kulala usiku bila kushiba kwasababu hapakuwa na chakula cha kutosha au fedha za kununua chakula? In the [PERIOD], did anyone go to sleep at night without being fully satisfied because there was not enough food or money to buy food?

1. No 2. Rarely (1 or 2 times in [PERIOD]) 3. Sometimes (3 to 10 times in [PERIOD]) 4. Often (more than 10 times in [PERIOD])

1. Hapana 2. Kwa nadra (mara 1 au 2 katika [KIPINDI] 3. Mara chache (mara 3 hadi 10 katika [KIPINDI] 4. Mara nyingi (zaidi ya mara 10 katika [KIPINDI]

N9.

Tena fikiria kuhusu [KIPINDI], je ilitokea kwamba hapakuwa na chakula cha aina yoyote katika kaya yako kwasababu hapakuwa na chakula au fedha za kutosha kununua chakula? Again think about the [PERIOD], was there ever no food of any kind to eat in your household because there was not enough food or money to buy food?

1. No 2. Rarely (1 or 2 times in [PERIOD]) 3. Sometimes (3 to 10 times in [PERIOD]) 4. Often (more than 10 times in [PERIOD])

1. Hapana 2. Kwa nadra (mara 1 au 2 katika [KIPINDI] 3. Mara chache (mara 3 hadi 10 katika [KIPINDI] 4. Mara nyingi (zaidi ya mara 10 katika [KIPINDI]

N10.

Tena fikiria kuhusu watu wote wanaoishi na wewe katika kaya hii. Katika [KIPINDI], ilitokea kwamba mmojawapo akashinda mchana kutwa na usiku kucha bila kula kitu chochote kwasababu hapakuwa na chakula cha kutosha au fedha za kununua chakula? Again, think of all the people living with you in this household. In the [PERIOD], did anyone go a whole day and night without eating anything because there was not enough food or money to buy food?

1. No 2. Rarely (1 or 2 times in [PERIOD]) 3. Sometimes (3 to 10 times in [PERIOD]) 4. Often (more than 10 times in [PERIOD])

1. Hapana 2. Kwa nadra (mara 1 au 2 katika [KIPINDI] 3. Mara chache (mara 3 hadi 10 katika [KIPINDI] 4. Mara nyingi (zaidi ya mara 10 katika [KIPINDI]

Page 21: Village ID HH ID 1 EDI-RF ASSESSMENT OF …...Tafadhali niambie kuhusu kila sehemu/eneo la ardhi inayomilikiwa na kaya yako, iliyokodishwa au kulimwa kwa pamoja na mtu mwingine kwa

Village ID _________ HH ID _____________ 21 SECTION O: MEASUREMENT OF CHILDREN (PREFERRED RESPONDENT: MAIN ADULT FEMALE OR MOTHER OF MOST YOUNG CHILDREN) RESPONDENT(S) ID ________ IF THERE ARE NO CHILDREN LESS THAN 6 YARS OF AGE IN HOUSEHOLD >> P1

O1. Kama naweza, ningependa kupima urefu na sehemu ya juu ya mkono kwa watoto walio katika kaya wenye umri chini ya miaka 6. Je unaniruhusu kuwapima watoto wako? If I may, I would now like to measure the height and the upper arm of the children in the household less

than 6 years old. Would you allow me to measure your children?

1. Yes 2. No/No children<6 >>P1 3. Yes, but child(ren)

refuses>>P1

ONLY ASK IF AGE > 12 MONTHS AND < 60 MONTHS

O2. O3. O4. O5. O6. O7.

ID [C

op

y from

HH

Ro

ster]

Jina la mtoto

Name of child

COPY VERY CAREFULLY NAME AND HH ID FROM SECTION K: HH ROSTER

Je naweza kuona kadi ya kliniki ya (…) Can I see the clinic card of (…)?

1. Yes 2. No/Don’t have have/ Cannot find.

(…) alizaliwa lini? When was (…) born?

COPY FROM CLINIC CARD IF AVAILABLE DD/MM/YYYY

Sasa ningependa kupima urefu wa mtoto. Now I would like to measure the length of the child.

HEIGHT/LENGTH IN CM TO ONE DECIMAL PLACE

IS HEIGHT MEASURED LYING OR STANDING? 1. Lying 2. Standing

Mwisho nitachukua kipimo cha mzunguko wa sehemu ya juu ya mkono Finally, I would like to measure the upper arm circumference of the child.

MID-UPPER-ARM CIRCUMFERENCE IN MM

SECTION P: TELEPHONE NUMBER AND COMMENTS RESPONDENT(S) ID ________

P1. Hii inahitimisha mahojiano. Asante sana kwa muda wako. Naomba namba ya simu ambayo kupitia hiyo unaweza kupatikana iwapo kutakuwa na maswali mengine ya ufuatiliaji? Taarifa nyingine zote zitatunzwa na zitabaki kuwa siri. This

completes the interview. Thank you very much for your time. May I ask you for a phone number through which you can be reached in case of any follow up questions? As all other information we will keep it confidential.

0

P2. Je hii ndiyo simu yako? Is this your own phone? 1. Yes>>P4

2. No

P3. Kama siyo una uhusiano gani na mwenye namba hii? If no, what is your relation to the owner? IF HOUSEHOLD MEMBER, WRITE ID CODE FROM HOUSEHOLD ROSTER. OTHERWISE WRITE RELATION IN WORDS.

RELATION

NAME

THANK RESPONDENT AND CHECK THROUGH QUESTIONNAIRE THAT ALL QUESTIONS ARE ANSWERED AND SKIP PATTERNS FOLLOWED. REMEMBER TO FILL IN END TIME AND ANSWER A25-A27

P4. DO YOU THINK THAT THERE WERE ANY SECTIONS IN THE QUESTIONNAIRE WHERE THE RESPONDENT DID NOT ANSWER TRUTHFULLY? IF YES, WRITE SECTION LETTERS (ONE PER BOX)

OTHER ENUMERATOR NOTES: