Upload
raila-odinga
View
261
Download
0
Embed Size (px)
Citation preview
8/14/2019 Coast Newsletter
1/12
Nakalaya Pwani
Kwa Haki Twagawana,Pamoja Twastawi
Bei Ksh.10
Wananchi wapendwa,
Tunawashirikisha katika baadhi ya makusudio yetu ya kutaka kujenga Kenya yenye ustawi,
demokrasia na usawa. Kutokana na maneno haya ya uwajibikaji tunaamua kutauta njia ya
kuondoa siasa za utengamano, usaliti na utumiaji mbaya wa mali asili.
Wakenya wengi wamevumilia mchanganyiko mchungu wa umaskini, ubaguzi na ukoseub
wa usawa. Kuna toauti kubwa za kiuchumi katika eneo mbali mbali nchini.
Mapendekezo yetu ya kuwajibika, kutawanya nguvu za kisiasa, kuanya ugatuzi wa huduma
za nchi na kuunga mkono jamii za sehemu mbali mbali yatasaidia kupunguza toauti za
usawa. Haya mabadiliko yanaangazia maswala ambayo yanadhuru nchi yetu leo.
Serekali ya Kibaki haina suluhisho kwa sababu wao ni sehemu ya tatizo. Hawapaswi kuku-
baliwa kuanya kazi kwa niaba ya watu wachache nchini na hasara ya Wakenya wengine.
Tarehe 27 Desemba, nyote mtapewa naasi ya kutathmini kazi ya Kibaki. Nawakazania nyote
mumpe barua ya kwenda nyumbani. Kazi bure ya Kibaki iishe kabisa; Kazi bora ya ODM
ianze.
Chama cha ODM ndicho chama cha kipekee kitakacholeta ustawi, hakikisha usawa na zaidi
kabisa itawahakikishia uwajibikizaji. Hii ndio nyororo ambayo inatuunganisha sote kama
cham,a na nyinyi. Mkituamini hatuta waangusha katika utumishi wetu kwenu.
Mola awabariki; Mola aibariki Kenya
Mheshimiwa Raila Amolo Odinga
8/14/2019 Coast Newsletter
2/12
Mkoa wa Pwani umekuwa ukisahauliwa na kuachwa nyuma
katika maendeleo tangu siku za Kenyatta, Moi na sasa Kibaki.
Serikali zotye hizo zimeahidi, lakini zimeshindwa kutatua tatizo la
ardhi huku pwani. Watu wengi wa pwani ni masquota. Mkoa huu
unachangia pakubwa katika kujenga uchumi kupitia sekta ya utalii
na huduma za mandari. Lakini kati ya pesa hizo ni kidigo sana
hurudishwa katika mkoa huu kugharamia ukarabati wa mabara-
rabara na vitu vingingine vya msingi ilhali kiwango cha umaskini
kinazidi kuongezeka.
Serikali ya ODM ita:-
UtawalaKupitia ugatuzi, itawawezesha wananchi kuaanya maamuzi
kuhusu mipango ya maendeleo ambayo inaambatana na mahitaji
yao.
Itahakikisha kuwa mkoa huu utapata mgao sao wa pesa zinazoto-
kana na mapato ya nchi na pia usaidizi wa kutosha ili kuiwezesha
kusawazisha ukoseu wa maendeleo uliopo.
UtaliiItaimarishi uendeshaji wa viuo vya Nyali, Vipingo, Kikambala,
Mtwapa, Takaungu na Shanzu ilikuziwezesha kutoa huduma za
kimataia.
Zindua sera itakayowawezesha wamiliki wamahoteli Katika miji
ya Lamu, Malindi na Mombasa kuweza kupata bima na mikopo
kwa nei nauu ili kuendeleza utalii.
ODM itaimarisha Pwani Kaskazini kutoka ghuba la Kili mpaka
kukia kiwango ambacho kutawavutia watalii wa mzunguko wa
yoti.
Muundo msingiUtawala utaipanua na kuiboresha bandari ya Kilindini. Tutaibadil-
isha mji wa Mombasa uwe kama ule wa Dubai. Uwe ni bandari
huru ili ivutie wawekezaji rasilimali na kupata naasi nyingi za
kazi.
Tutapanua na kuiboresha njia za reli ili kuweza kuongeza uanisi
wa biashara na kuimarisha usari wa abiria, mizigo na huduma.
Tutajenga barabara zinazozunguka mji wa Mombasa ili kupunguza
milolongo ya magari. Tutajega barabara ya kando ili kurahisisha
upitaji wa wingi wa magari katika mlango wa bahari wa likoni ili
kuunguliwa wawekezaji wapya kuzuru kusini ya Pwani.
Utawala utainua kiwango cha barabara ya Mombasa-Malindi
kikie kiwango cha kimataia:-
Tutaweka pesa katika upanuzi wa mawasiliano.
Tutapanua mpango wa kueneza miradi ya umeme mashambani.
Tutajenga vibanda vywa waanyikazi wa jua kali katika sehemu za
Ahadi Kwa Watu Wa Pwani
masoko kubwa.
Utawekeza pesa katika mipango mikubwa ya unyunyiziaji wa maji
mashambani.
Mabadiliko ya sera ya ardhiTutaanzisha mageuzi makubwa ya sera za ardhi ili kuhakikisha kuwa
watu wote wa pwani wanaurahia usawa na haki katika mambo
yanayohusu ardhi na makao. Tutaweka sawa sheria na sera mpya ili
kuhakikisha kuwa wasio na ardhi katika mkoa huu wapate makao.
Uchumbaji wa MadiniTutatumia pesa ili kuboresha uchumbaji wa madini ya thamani katika
sehemu ya Taita Taveta.
Ukulima na uvuviTutaendeleza na kukuza viwanda vya mazo ya biashara. Sekta za
korosho na minazi zitauuliwa kupitia uwekezaji wa mali katika
viwanda vya utengenezaji wa idhaa kutokana na mimea hiyo ili kuz-
idisha mapato ya wakulima.
Tutawekeza pesa katika uvuvi wa samaki walio kina cha chini baha-
rini ili kuongeza kiwango cha sasa cha samaki cha tani 6000.
Tutauua viwanda vyote vilivyoa kama vile Kampuni ya sukari ya
Ramisi, Bixa na viwanda vya korosho.
Afya na elimuTutawekeza pesa katika kutauta elimu bora kwa kurekebisha viaa
vilivyochakaa au kuharibia na kutoa viaa vya kuendelezea kazi na
kutoa vitabu.
Tutajenga zahanati mpya katika kila eneo la uchaguzi na kuhakikisha
kuwa zinawaanyikazi wa kutosha na kuna viaa vyote muhimu, pana
chumba cha upasuliaji, maabara na kuna dawa muhimu za kutosha
kwa wagonjwa.
Tutatengeneza shule mbili nzuri za upili katika kila eneo la uchaguzi
moja ya vijana na moja ya wasichana. Shule hizi zitakuwa na
maunzo ya kisasa ya teknolojia na mawasiliano na maktaba zilizo navitabu vya kutosha. Zitakuwa pia na viwanja za michezo mbali mbali.
Tutaboresha na kuinua viwango vya hospitali na zahanati zilizoko.
Tutahakikisha kuwa wakaazi wa zilizo na hospitali hizi wanateuliwa
kuwa katika bodi za wakurugenzi za hospitali hizi.
Heshimaya haki za watu wa PwaniTutaheshimu haki za watu wa pwani wakiwemo waisilamu, wakristo,
wahindu na wauasi wa itikadi na utamaduni wa Miji Kenda . Tutatoa
vitambulisho vya kitaia na pasipoti kwa watu wote wa pwani bila
ubaguzi au upendeleo.
MazingiraTutalinda misitu ya Taita taveta kwa kuiweka chini ya uhiadhi wa
misitu ya serikali.
C h a n g e i s h e r e2
8/14/2019 Coast Newsletter
3/12
Usaliti wa Raisi Kibaki
Desemba 2002, kulikuwa na uraha na tumaini kubwa ya mam-
bo mazuri tuliyoyategemea Raisi Kibaki na serikali ya NARC
walipochukua uongozi. Lakini mategemeo hayo hayakukawia.
Mara moja Kibaki aliitupilia mbali MOU, mkataba ambao
iliingia na wenzake wa NARC. Hii ndio njia ambayo aliamua
kuanza uongozi wake, kwa usaliti wake aliziharibu ndoto za
wakenya wote ambao walichagua serikali ya ujumla. Serikali
ambayo ingeleta mageuzi ya kimsingi.
Serikali ya ODM itarudisha imani mpya katika siasa zetu na
kuonyesha uongozi bora ambao utakuwa wa ujumla na wa
haki. Tutazingatia maswala ya usawa na umoja.
Wakenya wamepigania katiba mpya kwa muda mreu bila ya
kukua moyo. Kibaki aliwahakikishia Wakenya kuwa watapata
katiba mpya siku 100 baada ya uongozi wake kuanza. Alivunja
ahadi hiyo, kitendo chake cha pili cha usaliti.
Katiba iliyo andikwa Bomas iliwakilisha matakwa na maoni
ya Wakenya wengi. Muda mwingi ulitumika, pesa na wataal-
amu wengi walitumika pia. Wakenya walisema wanataka nchi
ilio na damokrasia ya kweli, inayowajibika na serikali ambayo
inasikiliza maoni yao. Serikali ambayo itakuza amani katika
jamhuri kwa usambazaji wa rasilimali na mamlaka. Jambo lilo-
dhihirika ni kuwa Wakenya hawakutaka utawala wa kimabavu.
Serikali ya ODM itahakikisha kuwa Wakenya wamepata
katiba mpya ndani yamiezi sita ya utawala. Katiba hii
itahakikisha kuwa kuna usawa, uwajibikizaji wa serikali na
raisi na ugatuzi wa mamlaka.
Masahibu wa Kibaki wamesikika wakisema kuwa katiba mpya
ilikuwa tu ni njia ya kumuondoa Moi mamlakani, lakini kwa
kuwa sasa ni mmoja wao ambaye yuko mamlakani hakuna
haja ya katiba mpya. Katiba ambayo italeta usambazi wa kweli
wa mamlaka. Badala ya kuwapa Wakenya mswada wa Bomas
walizindua tasiri mpya yaani mswada wa Wako. Huu uli-
kuwa ni usaliti wa Tatu wa Kibaki.
Kibaki alishindwa katika kura ya maoni alipoipendekeza Wako
Drat na baadaye akawauta kazi watu ambao waliotaka sauti
za raia zisikike na ziwatwe. Baada ya hapo alishiriakiana na
watu wale ambao Wakenya waliwatupilia mbali walipompa
kura zao mwaka wa 2002. Hivyo basi hilo lilikuwa tendo lake
la nne la usaliti.
Serikali ya ODM itawaletea mtindo wa utawala wa bungeambayo itagawa mamlaka na sio kuamwachia mtu mmoja
mamlaka yote.
Hakikisho la Katiba Mpya
Kati ya matendo yote mabaya ya Kibaki na serikali yake hakuna
iliyo zidi kile kitendo chake cha kukubali usadi wa zamani na wa
sasa. Aliapa kupigana na usadi hadi mwisho wake alipoingia mam-
lakani lakini sasa anaikubali bila kusita. Wimbo wa Yote yawezeka-
na bila Moi imebadilika kuwa Kama unataka kutawala nchi vibaya
na kuiibia basi shirikiana na Moi.
Kibaki aliivunja ahadi yake kubwa na muhimu. Serikali yake
imeshindwa kuwaleta watu waliohusika na uwizi mkubwa wa Gold-
enberg (ambao ilianywa waklati wa Moi ambapo zaidi ya shillingibilioni 18 za uma ziliibiwa) mahakamani. Ripoti ya Kroll iliyoa-
giziwa na serikali yake ili kutambua na kurudisha mali ambayo
iliyoibiwa na Moi imewekwa tu bila kushughulikiwa. Huku kutochu-
kuliwa hatua kwa watu hawa ni kitendo cha tano cha usaliti kwa
Wakenya na matakwa yao.
Serikali ya ODM itatauta ukweli na kuanzisha Tume ya Urudis-
haji wa Mali ya Uma kama njia ya kumaliza huo usadi wa za-
mani kwa njia ya haki, ukweli, upatanishi na urudishaji wa mali.
Hii itajumlisha urudishaji wa mali iliyotwaliwa na usameheaji wa
hao wasadi waliorudisha mali walioiba. Mambo haya yataany-
wa kwa njia ya haki- kwa kuwalipa walioathirika kwa hali na
mali. Tutasimamia mpango amaboutawasaidia Wakenya kurud-
ishiwa kilicho chao. Mpango huu una mizizi katika mila zetu.
Chini ya uongozi wa Kibaki usadi mwingine mkubwa ulitokea
kasha maaruu ya Ango-Leasing ambapo mambo ya serikali yake
kuhusika katika ulaghai wa kutoa zabuni ulichuliwa. Iligunduliwa
kuwa kama isingechuliwa ingewagharimu Wakenya pesa nyingi.
Kiwango hiki cha kukubali usadi wa hali ya juu katika serikali ya
Kibaki ni kitendo chake cha sita cha usaliti.
Serikali ya ODM itaangalia upya utendaji wa kazi na utoaji wa
huduma za serikali za kupambana na usadi. Hii ni kwa sababu
mabli na wajibu wetu, pesa nyingi zinatumika kupambana na
shida hii bila ya matokeo yoyote.
Mwisho wa yote, wasadi na waonevu wameungana pamoja kisiasa
katika uchaguzi huu. Raisi mstaau Moi amekukuja na mradi wake
Uhuru Kenyatta mukoni akiambatana na kundi la wakora kama
Biwott na Pattni ambao sasa ni vigogo wa PNU. Wauasi wa Nyayo
waliotorokea dirishani kutoka ikulu mwaka wa 2002 walipoukuzwa
na Wakenya wamerudi sasa kupitia mlango wa mbele bila aibuyoyote. Tendo kubwa la Usaliti! Usaliti wa saba kwa Wakenya walio
mpigia kura. Ni Lazima Kibaki atoke!
C h a n g e i s h e r e 3
8/14/2019 Coast Newsletter
4/12C h a n g e i s h e r e
Mafuta ya Taa-305%
Des.2002 Ksh.22
Sept. 2007 Ksh.63
Okt. 2007 Ksh.67
Mkate-176%
Dec.2002 Ksh.17
Sept. 2007 Ksh.22
Okt. 2007 Ksh.30sukari 1kg-407%
Dec.2002 Ksh.27
Sept. 2007 Ksh.65
Okt. 2007 Ksh.110
Unga ya ugali-204%
Dec.2002 Ksh.27
Sept. 2007 Ksh.50
Okt. 2007 Ksh.55
Unga ya ngano-331%
Des.2002 Ksh.35
Sept. 2007 Ksh.65
Okt. 2007 Ksh.116
1/2l Maziwa- 187%
Des.2002 Ksh.15
Sept. 2007 Ksh.20Okt. 2007 Ksh.28
Kuishi na kibaki ni kuumia kwingi
Ni wakati wa kundoka bwana raisi
4
8/14/2019 Coast Newsletter
5/12
The Problem:
President Kibakis growth is for the few not all
Under Kibaki the rich have grown richer and the poor poorer. The
top 10% o Kenyas population continues to control nearly hal our
nations wealth. That means that or every 1 shilling earned by a
poor Kenyan, the rich earned 56 shillings. This inequality has not
altered even though Kibaki trumpets his positive economic record.
The growth is not inclusive and is exclusive only to the rich. The
richest 10% now earn 42% o the national cake as opposed to 36%
ve years ago. This demonstrates that the Kibaki Government is a
government o the rich, by the rich and or the rich. The poor are,
at best, bystanders.
Solid economic growth is crucial or eradicating poverty, but get-
ting economic growth to percolate or trickle down to assist the
poor is a perennial challenge. How many very poor vulnerable
children and adults have to die beore the ruit o economic growth
reaches them?
The Solution:
ODM Governments Usawa Programme
We are determined to ght inequality head on. ODM is a party
that is responsive to peoples most basic needs.
The Blair Commission or Arica recognised cash transers as a
key tool in tackling extreme poverty in Sub-Saharan Arica and
recognises its potential impact on poverty and inequality as well
as its contribution to promoting and distributing growth. The
children rom the households receiving cash transers have an
opportunity to break the inter-generational cycle o poverty.
A ew Kenyans have been generously assisted by our develop-
ment partners in providing assistance to the very poor, such as,
Orphans & Vulnerable Children Cash Transer Programme and
the Hunger Saety Net Programme delivering guaranteed cash
transers to chronically ood-insecure households. We applaud
these programmes and pledge to scale-up the eorts o our
development partners by extending the programme nationally so
that social protection investment contributes to overall economic
growth.
We will introduce a social protection programme or the very
poor households by monthly cash transers. This will reducecurrent poverty and inequality by providing a minimum level
o income or extremely poor amilies. This will be ODM Gov-
Fostering Prosperity and Eradicating Poverty
ernments fagship poverty reduction programme, called, the
Usawa Programme.
The objective o the programme is to contribute to national
eorts to reduce poverty and hunger in ultra poor households,
increase school enrolment and attendance and improve the
health, nutrition, protection and well-being o orphaned and
vulnerable children and the very old.
We will immediately undertake a budget cleansing exercise
covering all Ministries in the Central Government to look or
overall national savings which can go towards launching the
Usawa Programme. This will help us to identiy question-
able debt, especially the commercial ones. It will also help in
elimination o wastage that currently occurs through procure-
ment, duplication in allocations, and questionable allocations.
We have already identied a large amount o savings and are
condent in achieving our pledge.
We will achieve stable economic growth and pursue policies
or equitable distribution o income, wealth and resources.
C h a n g e i s h e r e 5
8/14/2019 Coast Newsletter
6/12
The Challenges:
Kenyas population is pro-
jected to grow to over 60 mil-
lion people by the year 2043.
There will be a big challenge
to provide optimal inrastruc-
ture and services to meet the
demands o this population.
Such challenges are already
evident. A majority o the
Kenyan population have no
access to clean water, ood and
shelter. Inrastructure (transport,water, energy, telecommunica-
tions and inormation technology)
is a central pillar in Kenyas economic
recovery programme. Good inrastructure is
essential in lowering the costs o doing business
and increasing competitiveness o Kenyan products,
both locally, regionally and internationally. Road maintenance
and development has been grossly under-unded by the Kibaki
Government.
There has also been a lack o investment by both the govern-
ment and the private sector on rail inrastructure. As a result,
the existing Kenyan rail network is almost obsolete due to its
outdated technology and aged condition. It is thereore not
surprising that President Museveni recently stated that our
railways should be in a museum as an artiact!
There is a direct link between electric power supply, job cre-
ation and poverty alleviation. Electriying rural areas, towns
and markets increases opportunities or employment in the
centres and improve living standards. Under Kibaki the energy
costs have remained high and this impacts negatively on the
cost o Kenyan goods and services and hence their competi-
tiveness.
The latest inormation and communications technology (ICT)
has enabled countries like India and China to change their
destinies and uture o their people. Kenya needs to learn rom
their experience and signicantly invest in ICT.
Access to water is the key to survival and access to sanita-
tion is a undamental issue o human dignity. Clean water and
sanitation coverage remains very low.
Investing in InfrastructureYour ODM Government will:
Invest at least 10% of our GDP on infrastructure development
over the next 5 years.
Introduce a special sovereign bond for the purpose of raising
nance or rapid inrastructure development.
Build good roads that will reach all Kenyans and cover all parts
o the country, thus achieving our ambition to get Kenyans and
Kenya physically inter-connected.
Address the existing imbalance in the provision of road infra-
structure that is concentrated on the so called high potential
areas to improve accessibility or the development o all eco-nomic sectors and regions in Kenya.
Use labour-intensive methods in roads construction to create
employment cells countrywide. Minimum wages will be set to
stem overexploitation o women and youth.
Create Road Maintenance Training Centres in the devolved
regions to skill-up labourers through apprenticeship schemes.
Construct a modern, electric, international standard 1.6m
gauge, high speed railway system to link key cities and towns
in the country or rapid transit o passengers and bulky goods.
This would protect our roads and lower costs or businesses. The
opening o the new railway line will be ODMs special pledge
or Kenyas 50th Anniversary Independence.
Increase electricity generation capacity to 10,000 megawatts in
the next 10 years to attract foreign direct investment.
Explore and exploit geothermal resources to increase electric
power generation to meet the emerging demands or electricity.
Develop solar power stations and wind farms as renewable
sources o energy.
Expand rural electrication penetration through sufcient al-
location o public resources.
Invest in ICT infrastructure, especially, high-speed internet
backbone networks across the country.
Ensure efcient and equitable delivery of clean water.
Invest in sanitation facilities and irrigation schemes.
C h a n g e i s h e r e6
8/14/2019 Coast Newsletter
7/12
Whats ina name?
C h a n g e i s h e r e
PNUPinga NyayoUone
Porojo NaUpumbavu
Party oNoUnderstanding
Pitia NyeriUjionee
Party oNoUsePiga NyanganyaUa
ODMOne Determined Movement
One Decisive Man
One Decent Movement
One Devoted Man
One Desirable Movement
One Dedicated Man
One Democratic Movement
One
Distinguished
Man
One Devolved Movement
7
8/14/2019 Coast Newsletter
8/12
President Kibakis Statistical Distortions:
There is no link between the high level o economic growth re-
ported by Kibaki Government in various years and the creation
o employment. His Government has reported (via various paper
adverts by the Treasury and his own Kenyatta day speech) that
about 467,000 new jobs have been created since Narc came to
power and that this amounts to about 93% delivery o their
500,000 new pledge o jobs.
This statistic is a misrepresentation and distortion o acts.
There is strong evidence showing that the Kenyan economy has
over time and history been able to create between 400,000 and
450,000 new jobs on average regardless o the party in powerand regardless o whether the economy is booming or stagnant.
Between 1999 and 2002 (when the economy was in doldrums)
there were still 454,000 new jobs created within the context o
only 1.7% average economic growth. It demonstrates that even
when the economy is growing rapidly, the rate o job creation
has neither been proportionate nor commensurate with a boom-
ing economy.
The sectors that are creating jobs are not linked at all with the
people who need employment most, that is, young university
and college graduates, youths in urban and rural areas, and
those who are laid o because o retrenchment and industry
closures.
The ODM Governments initiatives to create real jobs
We will:
Change the anomalies created by past regimes and the cur-
rent Kibaki Government that has ailed to reconcile and link
the realities o Kenyas growth process with its labour and
human resource potential.
Employ local labour in key public works, infrastructural
and development projects.
Implement policies that reduce barriers to work including
education, skills and training to create an adaptive, fex-
ible and productive workorce.
Pursue active labour market policies providing tailored
and appropriate help or those without work, to preventlong term detachment rom the labour market.
Help and target youths and adults without work and with
poor employability skills move into sustained employment.
Provide basic employability training for jobless people withsevere literacy and numeracy problems to remove their barri-
ers to employment and enable them to gain employment.
Promote the role of SMEs in sustainable job creation and
provision o goods and services which are better adapted to
local market needs through progressive reorm to boost pro-
duction and distribution capacities of SMEs.
Implement policies and programmes to create decent jobs
and entrepreneurial opportunities to assist JuaKali workers
and employers to move into the ormal economy.
Create and strengthen an enterprise culture which favours
initiatives, enterprise creation, productivity, environmental
consciousness, quality, good labour and industrial relations,
and adequate social practices which is equitable.
Open Jobseeker ofces in major cities and towns before
going nationwide or assisting those that have completed
secondary school education and graduates. This will be our
new government initiative to deal with unemployment. It will
provide an active service to help people move rom jobless-
ness into work. The oces will be manned by job advisers
who will register jobseekers, provide training and individual
guidance in job searching techniques, including providing
traini ng, interview skills and assistance in the preparation o
curriculum vitae.
Ensure polytechnics become Skills Academies as these in-
stitutions will be a key driver in improving vocational educa-
tion at a national, regional and local level. They will provide
training programmes or young people and adults aimed atmeeting potential employers current and uture skills needs.
Thus, these academies will be employer-led.
Creating Opportunities For Employment
C h a n g e i s h e r e8
8/14/2019 Coast Newsletter
9/12
Cost of corruption The billions o shillings that have been wasted on corruption scandals in this country are more than enough to improve
the lot o our citizens - by providing education, access to sae water, employment and proper roads. See the gures below:
C h a n g e i s h e r e 9
8/14/2019 Coast Newsletter
10/12
President Kibakis failure in providing safety and
security for all
Kenyans have a right to sleep saely in their homes, walk saely
on the streets and drive saely on the roads. The Governments
duty is to maintain that security. However, crime is rising ast
under Kibaki while some members o the police have been
involved in political activities on behal o his government. The
recent exposure o two policemen dumping hate literature
in Rit Valley shows clearly Kibakis priority using the police
or his own political survival, not protecting all Kenyans rom
crime.
Kibakis disregard o his duty to protect all Kenyans was most
evident in the Mamluki aair, whose presence and sor-
did saga was revealed by ODM Presidential Candidate, Raila
Odinga. The notorious Armenian brothers were state guests,
given police IDs o Deputy Commissioner rank. They were bla-
tantly deended then gently escorted out o Kenya without the
Government taking them to court to discover why they were
here! The independent parliamentary committee report on the
Mamlukis identied key members o Kibakis amily, govern-
ment and State House ocials as directly involved with the
Artur brothers. To date there has been no action taken against
anyone! It is obvious that Kibakis justice system protects the
ew but not many.
There is insecurity in many regions o Kenya with shocking
images o death and destruction rom Kuresoi, Molo and Mount
Elgon. Sadly, Kibaki remains silent and does not bother to visitthe aected areas. However, in September 1994 as Leader o
Opposition he did visit the victims o the inamous Enoosupukia
ethnic violence. He shed tears at the Maella Catholic Church
with his inspirational words, guutiri utuku utakiaga (there is
no night that does not see the light o day). This Kikuyu idiom
is usually used to lit sadness and comort victims when no
immediate solutions are available. But Kibaki did nothing in 5
years as President or victims o Enoosupukia. The victims o
ethnic clashes have multiplied in his Presidency but now he has
no time or words o comort let alone action.
The crime wave in and around Nairobi has caused ear within
our society as Kibaki unleashes special police squads to tackle
the Mungiki problem. Rather than investigate, arrest and bring
charges against suspected criminals-as per law, we have seen very
many alleged executions and disappearances. About 500 bodies o
young men have been dumped in various mortuaries by police and
reports suggest that other bodies were thrown in the wild. Almostall bear classic execution signs o a bullet in the head. These extra-
judicial killings are the rst step in creating a police state by Kibaki,
by throwing away the law and using police as killing squads.
Your ODM Government will never take your security for
granted
We will never take or granted the security o Kenyans. It will be
our legal duty to protect citizens rom crime and confict and ensure
that the rule o law is upheld in criminal investigations. We will
strengthen Councils of Elders and other community tribunals to
adjudicate in land disputes and assist internally displaced people.
We will:
Boost numbers o police vehicles, communication equipment and
ocers to enhance crime prevention and investigative capacity.
Increase overall spending on crime prevention and ensure that
the resources are devolved to local police stations.
Map crime hotspots in urban and rural areas and deploy more
police ocers to enhance police visibility and physical presence.
Deploy close circuit television cameras in central business dis-
tricts o Nairobi and major cities as a tool detect and deter crime.
Use the nations deence orces to provide extra support in polic-
ing our national borders to help stop illegal fow o small arms.
Set up a Metropolitan Police Authority in Nairobi based on
South Aricas Scorpion orce. The new crack orce will be bet-
ter educated, trained and equipped to tackle rising gun crime and
murder and be the basis o a genuine accountable police orce.
Review current police remuneration, housing, oce acilitiesand training with a view to signicantly enhancing them.
Fighting Crime & Insecurity
C h a n g e i s h e r e10
8/14/2019 Coast Newsletter
11/12
The Rise Of
Tribalism
Under KibakiTribalism is a national disease knowing no
regional boundaries and not conned to
any one community. It rules our national
politics and divides us unnecessarily.
Kibaki has compounded the ethnicity ac-
tor and deepened it in our public ser-
vice by appointing people rom his own
community. Thus, the reorganization in
his government post-Moi was dictated by
prejudice and not equity.
Under Kibaki kazi iendelee means let the
status quo prevail public jobs or the
chosen ew and not all.
The Fall Of
TribalismUnder ODMAn ODM Government will:
Ensure that we represent all the people,
not just one interest group. We will ac-
tively seek to remove those obstacles which
hinder individual achievement obstacles
emanating rom tribe, gender, or economic
condition.
Guarantee to build a Kenyan society
based on airness and equality o oppor-
tunity or all where merit comes beore
privilege.
Introduce an independent Presidential
Public Appointments Commission whose
task is to ensure that appointments to pub-lic oces are based on merit and refect
the ethnic diversity o Kenya in its overall
representation.
We PledgeBelow are some of the other pledges we have made in our Plan for
Government.
Urban RenewalWe will ensure Nairobi becomes a regional hub or commerce and nance. We willshowcase our capital as a 24-hour city by investing in inrastructure, ICT, security
and planning. We will invest in urban regeneration and renewal.
HealthWe will provide ree health care to all children under the age o 5 years. We will
expand sae motherhood programmes in all districts by ensuring that these centres
are adequately equipped and have improved reerral system, communications systems
and transportation acilities. We will provide ree ante-natal, maternity and post-
natal care or expectant mothers.
These are rst ew steps in our ambition to provide ree universal health care or all.
EducationWe will introduce ree quality secondary education within a system o a comprehen-
sive basic education rom early childhood to Form Four.
GenderWe will intensiy eorts and actions to redress the existing persistent gender dispari-
ties in Kenya which hamper the ull integration o women in our society. There will
be no glass ceilings on the aspirations o women as we strive progressively towards
realising a 50:50 gender ratio in all public bodies.
EnvironmentWe will combat escalating environmental degradation and desertication by ensur-
ing that environmental policy is built into every economic decision in all areas o
government policy.
SportsWe will develop a progressive sports policy, expand opportunities or excellence in
sports; streamline sports administration; develop and maintain sports acilities and
bestow honour on high achievers in the sporting arena.
C h a n g e i s h e r e 11
8/14/2019 Coast Newsletter
12/12
President Kibaki has no constant
guiding principles - no moral,
social or political compass. He
has been integral in all post-
colonial administrations his
uture is his past. He has fip-
fopped, reneged, prevaricated,
or sat on the ence on all
undamental issues that concern
Kenyans during his entire
political career. He has lost all
credibility and ailed to lead
rom the ront. He is unt to
return to work. He must be
denied another chance to work
or the ew at the expense o
working or all Kenyans.
-Raila Amolo Odinga
Vote for
Raila Amolo OdingaFor President
C h a n g e i s h e r e