2
© Boston University LANGUAGE PROGRAM, 232 BAY STATE ROAD, BOSTON, MA 02215 www.bu.edu/Africa/alp [email protected] 617.353.3673 Chovya chovya humaliza buyu la asali: Mazoezi Zoezi la 1: Toa maana ya msamiati huu i) Kuwahi ii) Hongera iii) Kabati iv) Vyombo v) Kuzunguka vi) Kitenge vii) Kuacha viii) Shoga ix) Sogea x) Kifuta jasho Zoezi la 2: Tumia maneno hayo juu katika sentensi kisha utafsiri Zoezi la 3: Jibu maswali haya i) Baba Chaurembo alipata nini kazini? ii) Baba na Mama chaurembo walipanga kutumia vipi fedha zile? iii) Mama Chaurembo alifanya nini badala yake? iv) Unafikiri mama Chaurembo ni mwanamke mwenye tabia gani? v) Je Unafikiri jina la mama chaurembo lina mfaa au vipi? Zoezi la 4: Jibu kweli au Si kweli i) Mama Chaurembo alipenda sana urembo ii) Baba Chaurembo hakumwamini mkewe iii) Mama Chaurembo alikuwa na tamaa iv) Kabati la vyombo lilitengenezwa kwa haraka v) Mama chaurembo alifikiri fundi atachelewa kumaliza kabati

2 Chovya chovya humaliza buyu la asali-finalTitle: Microsoft Word - 2 Chovya chovya humaliza buyu la asali-final.docx Author: Peter D. Quella Created Date: 10/15/2013 2:07:14 PM

  • Upload
    others

  • View
    5

  • Download
    0

Embed Size (px)

Citation preview

  •  

    ©  Boston  University  

    LANGUAGE  PROGRAM,  232  BAY  STATE  ROAD,  BOSTON,  MA  02215  www.bu.edu/Africa/alp  

    [email protected]  617.353.3673  

    Chovya  chovya  humaliza  buyu  la  asali:  Mazoezi  

     Zoezi  la  1:  Toa  maana  ya  msamiati  huu  

    i) Kuwahi  ii) Hongera  

    iii) Kabati    

    iv) Vyombo  v) Kuzunguka  

    vi) Kitenge  

    vii) Kuacha  viii) Shoga  

    ix) Sogea  x) Kifuta  jasho  

     

    Zoezi  la  2:  Tumia  maneno  hayo  juu  katika  sentensi  kisha  utafsiri    

     

     Zoezi  la  3:  Jibu  maswali  haya  

    i) Baba  Chaurembo  alipata  nini  kazini?  ii) Baba  na  Mama  chaurembo  walipanga  kutumia  vipi  fedha  zile?  

    iii) Mama  Chaurembo  alifanya  nini  badala  yake?  

    iv) Unafikiri  mama  Chaurembo  ni  mwanamke  mwenye  tabia  gani?  v) Je    Unafikiri  jina  la  mama  chaurembo  lina  mfaa  au  vipi?  

       

    Zoezi  la  4:  Jibu  kweli  au  Si  kweli  

    i) Mama  Chaurembo  alipenda  sana  urembo  ii) Baba  Chaurembo  hakumwamini  mkewe  

    iii) Mama  Chaurembo  alikuwa  na  tamaa  

    iv) Kabati  la  vyombo  lilitengenezwa  kwa  haraka  v) Mama  chaurembo  alifikiri  fundi  atachelewa  kumaliza  kabati  

  •  

      2  

    vi) Mama  chaurembo  alikuwa  mtu  mwenye  kujipenda  sana  

    vii) Methali  ya  chovya  chovya  huonyesha  watu  wasio  kuwa  na  kiasi    

    Zoezi  la  5:  Kelezea  maana  Elezea  maana  ya  methali  hii  “Chovya  chovya  humaliza  buyu  la  asali”  kama  

    Ilivyotumika  katika  hadithi  hii.  

     Zoezi  la  6:  Muhtasari  

    Andika  Muhtasari  wa  igizo  hili  kama  unamwadithia  mtu  mwingine.  

       

    Zoezi  la  7:  Kulinganisha  na  Kutofautisha  Linganisha  kisha  tofautisha  methali  hizi  mchovya  hachovi  mara  moja  na  chovya  chovya  humaliza  buyu  la  asali    

     Zoezi  la  8:  Jibu  Swali  hili  

    Taja  methali  au  msemo  wa  Kiingereza  unayofanana  na  methali  hii  

    Unaweza  kuelezea  methali  hiyo  hutumikaje?    

    Zoezi  la  9:  Jibu  Swali  hili    Andika  kisa  kifupi  kuelezea  methali  “Chovya  chovya  humaliza  buyu  la  asali  

     

    Zoezi  la  10:  Jibu  Swali  hili  Jaribu  kuigiza  methali  hii    ili  kufanya  mazoezi