2
UPANZII Chimba mashimo ya upanzi kwa nafasi ya futi 3 (em 90) kati ya mistari na futi 2 (em 60) kati ya mlmea. Katika kila shimo:- - Tumia mbolea ya shamba mkono mmoJa - Tia fatalaiza ya DAP kifuniko kimoja eha soda . . . . "- - <':" : - . .. ..... .. ... . .:' " :' .:." ' " , . __. .. :: .- . . . SHIMO TAYARI KWA UPAN ZI TIA MBOLEA YA SHAMBA SHIMONI MB EGU ZA I F DI - . '. . ",; , j If . . .. ' " . . , . TIA FATALAIZA YA DAP MUWA YA SHINA LENYE S HIMONI 1v1 I ZIZI Weka muwa yenye vifundo vitatu ndani ya shimo na uhakikishe vifundo viwili vimefukiwa ndani ya udongo au Fukia shina lenye mizizi ndani ya shlmo. . ·· .. .. . .... ... .. .;. .. . . - . . . - ' . . . - _. -'. :- - . '--.. . WEKA MUWA NDANI YA MUWA UMEFUNIKWA NA SHIMO UDONGO BAADA YA UPANZI Palilia shamba kuondoa makwekwe yote. (_ ..bJti 3 : .... (90 em) '"' I I \; I - .1 _ Napia inavunwa lini na namna gani? Vuna napia ikitimia miezi 2-3 au ikifika urefu wa futi 3-4. Anza kuvuna mSltari ya kando kando ku zunguka shamba lote. Uwape majani haya kwa mifugo wak o. Kisha vuna mistari ya ndani ukiaeha muda kwa mlstari ya kando k ando kumea tena Kwa nini ni vizuri kukuza napia kuzunguka mahindi yako? Utapata mahil1di, chakula, maziwa zaidi, pesa nyingi na utalinda udongo yako Utapata: Imetayarishwa na Mediae Trust PO Box 39486 Nairobi. Tel 442660 Kuza Mahindi na Napia Zaid- Upate Pesa Nyingi Zuia buu la mahindi kwa kupanda napia kuzunguka shamba laka la mahindi. Napia itawanasa wadudu hawa. Wadhamini: Gatsby Charitable Foundation, IClPE, IACR- Rothamsted, KARl na Wizara ya Kilimo, Kenya

; II .1 ~-i~~9!r na Napia - PUSH-PULLpush-pull.net/Grow More Maize and Napier and Make more... · 2018-04-10 · • Chimba mashimo ya upanzi kwa nafasi ya futi 3 (em 90) kati ya

  • Upload
    others

  • View
    3

  • Download
    0

Embed Size (px)

Citation preview

Page 1: ; II .1 ~-i~~9!r na Napia - PUSH-PULLpush-pull.net/Grow More Maize and Napier and Make more... · 2018-04-10 · • Chimba mashimo ya upanzi kwa nafasi ya futi 3 (em 90) kati ya

UPANZII • Chimba mashimo ya upanzi kwa nafasi ya futi

3 (em 90) kati ya mistari na futi 2 (em 60) kati ya mlmea.

• Katika kila shimo:­- Tumia mbolea ya shamba mkono mmoJa

- Tia fatalaiza ya DAP kifuniko kimoja eha soda

~,;~: . '. . . . ~. ' ~ ." " - ­<':" : - ' . ~ ~ >~. '0i. .............. .

. .:' " :' .:." ' " ,.'_J~__. .. ::. ­. . .

SHIMO TAYARI KWA UPANZI TIA MBOLEA YA SHAMBA SHIMONI

MBEGU ZA KUPAf~DA

,~ IF DI ~.

- . '. '.~. :. ",; ,'.) "' j If. . . . '

" -:o-~, ~1\ ~ '-~l . . , . -::-,rf{~~ TIA FATALAIZA YA DAP MUWA YA SHINA LENYE

SHIMONI r~ APIA 1v1 IZIZI

• Weka muwa yenye vifundo vitatu ndani ya shimo na uhakikishe vifundo viwili vimefukiwa ndani ya udongo au

• Fukia shina lenye mizizi ndani ya shlmo.

. ··..{>:····. ~· · l · ~ . .. ..... ..... .;. . ~-.. . . - . ~ ~T. . - ' . . .

- _ . -'. :- - . '--.. .

WEKA MUWA NDANI YA MUWA UMEFUNIKWA NA SHIMO UDONGO BAADA YA

UPANZI

• Palilia shamba kuondoa makwekwe yote.

(_ ..bJti 3

: \\)\~~. ...~ (90 em) '"' I~\)C.\\\' II \; I - .1 _

l~~~~~i~~9!r Napia inavunwa lini na namna gani?

• Vuna napia ikitimia miezi 2-3 au ikifika urefu wa futi 3-4.

• Anza kuvuna mSltari ya kando kando ku zunguka shamba lote. Uwape majani haya kwa mifugo wako.

• Kisha vuna mistari ya ndani ukiaeha muda kwa mlstari ya kando kando kumea tena

Kwa nini ni vizuri kukuza napia kuzunguka mahindi yako? Utapata mahil1di, chakula, maziwa zaidi, pesa nyingi na utalinda udongo yako

Utapata:

Imetayarishwa na Mediae Trust PO Box 39486 Nairobi. Tel 442660

Kuza Mahindi na Napia

Zaid-Upate Pesa

Nyingi

Zuia buu la mahindi kwa kupanda napia kuzunguka shamba laka la mahindi.

Napia itawanasa wadudu hawa.

Wadhamini: Gatsby Charitable Foundation,

IClPE, IACR- Rothamsted, KARl na Wizara ya Kilimo, Kenya

Page 2: ; II .1 ~-i~~9!r na Napia - PUSH-PULLpush-pull.net/Grow More Maize and Napier and Make more... · 2018-04-10 · • Chimba mashimo ya upanzi kwa nafasi ya futi 3 (em 90) kati ya

Je, umewahi kuona uharibifu wa mahindi wako unaosababishwa na mabuu wa mahindi?

Inaonekana hivi . Buu ­

anatoboa shina la mahindi na anakula sehemu za ndani

Iwapo ungevuna magunia 10 ya mahindi, buu atasababisha upotevu wa magunia matatu.

"><J

OOOOlZJ

Buu anaingiaje ndani ya mahindi yetu?

Ni sharti t ujue mzunguko wa maisha ya buu ilari ya mayaiNondo wanataga

mayai juu ya mimea

I '-

Ku toka mayai

mpaka funza vnachukua siku 3-5

.. Nondo anaishi Y.=li liki il nguliwa funza linatokeza kwa siku 2-3

Pupa anabambuka ngozi na kuwa nondo

Funza linakuwa ,

kw a siku 15-22 J Funza linakula mmea na 1 Pupa inabaki kwa linaendelea kukuwa

~iku 7-14

Funza / '3=' linabadilika na ---~--kuw a pupa

Napia inazuia buu namna gani?

- Nondo wanapenda kutaga mayai juu ya napia kuliko kutaga juu ya mahindi.

- Nondo 7 kati ya 10 watataga mayai juu ya napia lakini nondo watatu watataga mayai juu ya mahindi.

- Funza akitoboa shina la napia gundi inayonata inachururika na hii inanasa funza na hatimaye anakufa.

Kwa hivyo, mafunza wachache wanaishi na mahindi yanaokolewa.

Unapandaje napia kwa ajili ya kuzuia mabuu?

Panda napia (aina ya Bana ni bora zaidi) kuzunguka shamba lako la mahindi . Katika mwaka wa kwanza panda napia kabla ya mvua iii napia iwe mrefu kuliko mahindi. Nondo watapendelea napia mrefu kuliko mahindi.

- Panda mistari mitatu ya napia kuzunguka shamba la mahindi.