View
0
Download
0
Category
Preview:
Citation preview
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
OFIS! YA RAISI. TAMISEMI
HALMASHAURI YA WILAYA YA NYASA
SHULE YA SEKONDARI MBAMBA BAY
Shule ya Sekondari MBAMBA BAy
S.L,P 41.,
Mbamba bay.
Tarehe 15/05/2018.Namba za simu:
Mkuu wa shule : 0766726413 /07 867 L1270
Makamu mkuu wa shule: 0782230886/0765865361
Matron/Patron : 0765683848
Mzazi / Mlezi wa Mwanafu nzi....:...........................
s.1.P.....,.......
YAH: MAELEKEZO YA KUJIUNGA NA SHULE YA SEKONDARI MBAMBA BAY, HALMASHAURI YAwttAyA yA NyAsA, MKOA WA RUVUMA, MWAKA 2OL8|2O19
t, Nafurahi kukutaarifu kuwa mwanao amechaguliwa kujiunga na kidato cha Tano katika shulehii mwaka 2018,tahasusi ya ........... Shule ya sekondari MBAMBA BAy, ipo umbali wakilometa 6 kaskazini mwa mji wa Mbamba-bay. Usafiri wa basi kutoka mjini Songea hadiMbamba-bay unapatikana katika kituo cha mabasi Songea, nauli ni shilingi lO,}OOf =, (kutokamjini Mbinga hadi Mbamba-bay nauli ni Tsh. 5,000/=).
Muhula wa masomo unaanza tarehe .......,... Hivyo mwanafunzi anatakiwakuripotiShuleni tarehe Mwisho wa kuripoti ni tarehe
2. Mambo muhimu ya kuzingatia:-2.1 Sare ya shule
a) Sare ya shule hii ni sketi mbili (2) zinapatikana xp.ileni- sketi moja tsh.24,000/=, Shatimbili (2) nyeupe mikono mirefu.
b) Rangi ya hijab (kijuba)- nyeupe
c) Sale ya michezo kwa shule hii ni -traksuti ya blue na raba nyeuped) Viatu vya shule ni ngozi nyeusi vya kufunga na Kamba vyenye visigino vifupie) Soksi jozi mbili nyeupe za shule
f) Sweta -rangi ya chocolate/kahawia- shingo ya V.
g) Nguo za kushindia (shamba dress) gauni mshono wa solo rangi damu ya mzeeh) Tisheti inapatikana shuleni kwa Tshs 10,000/=
i) Taifupi rangi chocolate/kahawia.
2.2 Ada na michango ya shule
a) Ada ya shule kwa mwaka nishilingi 70,QOO/=. Unaweza kulipa kiasicha shilingi35,000/= (y,,6
muhula au kulipa ada yote kwa maramoja. Fedha hizo zilipwe kwenye akaunti ya shuleMbamba bay Sekondari A/C Na. 6t7Ot2OOL23 Benki ya NMB.(tafadhali andika jina la mwanafunzi kwenye pay in slip)
b) Michango inayotakiwa kulipwa na kila mzazini>
i. Shilingi 15,000/= kwa ajiliya ukarabati wa samani
ii. Shilingi 6,000/= kwa ajiliya kitambulisho na picha
iii. Shilingi 20,000/= kwa ajili ya taaluma
iv. Shilingi 30,000/= kwa ajiliya kulipa wapishi, walinzi na vibarua wengine
v. Shilingi 2,000/= nembo ya shule
vi. Shilingi 20,000/= mitihani ya kupima mock
vii. Fedha ya tahadhariTsh 5,000/= (haitarejeshwa)
viii. Mchango kwa ajiliyaziara za kimasomo (studytour)Tsh. 2O,OOO/=
Tanibihi:- jumla ya ada na michango kwa mwaka ni Tsh.188,000/=. pg6hr hizo zilipwekwenye akaunti ya shule Na. 61701200123 katika benki ya NMB ( tafadhali andika jina lamwanafunzi kwenye pay in slip)
ix. Shilingi tO,OO0/= kwa ajili ya huduma ya kwanza iletwe fedha taslimu shuleni. Hata
hivyo wanafunzi wanashauriwa kujiunga na mfuko wa Bima ya Afya ya Taifa (NHIF) iliwaweze kupata matibabu kiurahisi pindi wanapoumwa.
x. Fedha ya matumizi binafsi ya kutosha.
c. Mahitaji muhimu ambayo mwanafunzi anapaswa kuleta shuleni:-l. Rim 1ya karatasi (bunda la karatasi) kwa mwaka
ll. Vitabu vya masomo ya tahasusi husika (orodha imeambatishwa)
lll. Dissecting kiti kwa mwanafunzi wa Biology
lV. Scientific calculator kwa mwanafunzi wa geography na masomo ya Sayansi (35,000/=)V. Godoro futi 2 % x6x4 yanapatikana jirani na shule (godoro banko kwa shilingi 40,OOOf = 2u
godoro Dodoma kwa shilingi 48,00O/=)
Vl. Mashuka 2 rangi ya Bluu bahari, blanketi L,pilo na foronya yake rangi ya bluu bahari,chandarua L ya pembenne rangi nyeupe
Vll. Vyombo vya chakula (trei la bati, kijiko na kikombe cha bati)
Vlll. Ndoo mbili ndogo zenye mifunikolX. Sanduku la chuma (tranka)
X. Taa moja (1 ) inayotumia nguvu ya jua(solata) kwa ajili ya dhalula ya umemeXl. Kwanja 1, jerqbe L,reki 1, mfagio laini 1 na brash ya chooni au fagio mgumu na mopa.Xll. Daftari 15 quire 3 au 4
Xlll. Kanga doti 1", sabuni na dawa ya meno za kutosha, padyza kutosha,taulo, na mahitaji binafsiya kibinadamu.
3. MAKOSA YATAKAYOSABABTSHA MWANAFUNZI KUFUKUZWA SHULE.
i. wizi
ii. Kutohudhuria masomo kwa Zaidi ya siku 90 bila taaarifa /utoroiii. Kugoma na kuhamasisha mgomo.
iv. Kutoa lugha chafu kwa wanafunzi wenzake , walimu/walezi na jamii kwa ujumlav. Kupigana mwanafunzi kwa mwanafunzi, kumpiga mwalimu au mtu yoyote yule
vi. Wanafunzi wote wanatakiwa kuwa na nywele fupi wakati wote wawapo shulenivii. Kufuga ndevu
viii. Ulevi au unywaji pombe na matumizi ya madawa ya kulevya
ix. Uvutaj iwa sigara
x. Uasherati, uhuslano wa jinsia moja, kuoa au kuolewa.
'"' xi. Kupata ujauzito au mimba
xii. Kushiriki matendo ya uharifu, siasa na matendo yoyote yale yanayovunja sharia za
nchi
xiii. Kusababisha mimba au kumpa mimba msichana
xiv. Kutembelea majumba ya starehe na nyumba za kulala wagenixv. Kumiliki, kukutwa au kutumia simu ya mkononi katika mazingira ya shulexvi. Kudharau bendera ya Taifa
xvii. Kufanya jaribio lolote la kujiua kama kunywa sumu n,k
xviii. Uharibifu wa mali ya umma kwa makusudi
4. Viambatanisho na Fomu muhimi
a) Fomu ya uchunguzi wa Afya (Medical Examination Form) ambayo itajazwa na mganga
mkuu wa hospitaliya Serikili.
b) Fomu ya maelezo binafsi kuhusu historia ya mwanafunzi/ mkataba wa kutoshiriki katikamgomo, fujo na makosa ya jinai
" c) Fomu ya mzazi kukiri kukubaliana na sheria , kanuni ,kulipa ada, michango na maelekezo
mengine yatakayotolewa na shule
d) Picha za watu wanne(4)ambao ni:- wazazi na Ndugu wa karibu wa mwanafunziwanaoweza kumtembelea mwanafunzi shuleni pamoja na namba zao za simu
5. Tafadhali soma kwa makini maelezo/ maagizo haya na kuyatekeleza kikamilifu.
KARIBUNI SANA KATIKA SHULE HII
sainiya Mkuu.wa shute... M
Jina la mkuu wa shule Y.[. MWINUKA
f.ldiili \'i..,, :r;,i tl iiM h u ri wa M ku u wa sh u I e...... %8ilJ:1tt:::$'*:i ::iir ii11'rri-'A;i'
OFISIYA RAIS -TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALIZA MITAAHALMASHAURI YA WILAYA YA NYASA
SHULE YA SEKONDARI MBAMBA BAY
Shule ya Sekondari MBAMBA BAY
S.L.P 41,
Mbamba bay.
Tarehe L5/05/20L8.
Namba za simu:
M ku u wa sh u le 07667 264L3 / 07 867 1.L27 0
Makamu mkuu wa shule 0782230886/0765865361
Matron/Patron 0765683848
FOMU NA:l KUKUBAL]AU KUKATAA KUJIUNGA NA SHUTE
1.1 MWANAFUNZI
Majina kamili (matatu)ll.
il1.
tv.
vt.
vil.
Shule ya o-level aliyomaliza
Namba ya mtihani (CSEE)
Tarehe ya kuzaliwa
Nakubali/sikubali nafasi niliyopewa (kata lisilohusika)
Nakiri/naahidi kutomiliki wala kutumia simu shuleni,kutoshiriki migomo, fjo, na makosa ya
tarehe
Jlnal.
Sahihi ya mwanafunzi
L.2 MZAZI I MLEZI WA MWANAFUNZI
a) Nakubali mwanangu apate elimu yake hapo shuleni mbamba-bay sekondari
b) Na kwamba afuate sheria na maelekezo yote,vinginevyo aadhibiwe
c) Na kwamba mwanangu alelewe katika dini ya-d) Na kwamba siafiki yeye kumiliki au kutumia simu ya mkononi katika mazingira ya shule
e) Na kwamba nitampa mahitaji yote yaliyoainishwa
f) Na kwamba sitomhamisha mwanangu bila sababu ya msingi
1.3 AFISA MTENDAJI KATA/KIJlJI/MTAA
Wilaya
.kijiji/kata/mtaa
Mkoa
Nathibitisha Kuwa mwanafunzi ni wa kijiji/mtaa
huu na ni raia wa Tanzania/si raia wa Tanzania.
Sahihi na muhuli
Jina
Y.L.MWINUi(A
MKUU WA SHULE
ffiqff*'fi,r!:tiiiil.t;&&,&l*fr ,&
*s &Y i r f 1&:*& $l!
OFISI YA RAIS -TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAAHALMASHAURI YA WILAYA YA NYASA
SI.IULE YA SEKONDARI MBAMBA BAY
Shule ya Sekondari MBAMBA BAy
S.L.P 41,
Mbamba bay.Namba za simu Tarehe 1,5/O5l2}tgM kuu wa shule 0766726413 /07 867 tlzt O
Makamu Mkuu wa shule 0782230886/0765865361Matron 0765683848
FOMU NA.2: TAARIFA KAMtttZA MWANAFUNZT
1. Jina kamili
2. Tarehe ya kuzaliwa- ------ Dini---- Dhehebu----3. Mahaliulipozaliwa
4. Shule ya msingi uliyosoma ---- Mwaka uliomaliza-_5. Shule ya sekondari uliyosoma Mwaka uliomaliza-__6. Kidato unachokuja kuingia hapa Mbamba bay sekondari --------------7. Jina la Baba/Mlezi:---- uhusiano-----
Kaziya Baba/Mlezi-- Dini --------Namba ya simu --- Email
Anuani
Kij ijlMta a/Kitongoji/Na.ya Nyu mba -----------------
Kata ------------------------Tarafa---------- --Wilaya---- __Mkoa____-___
8. Jina la Mama /Mlezi -------- uhusiano--------_-___Kaziya Mama/Mlezi---------------- Dini----------Namba ya simu --- Email
Anuani
Kijij/Mtaa/Kitongoji/Na.ya Nyu mba
Kata -----------------------Tarafa------:- ---Wilaya---_ ___Mkoa_______
9. Kazi yeyote ya Uongozi uliyowahi kufanya:-
Madaraka/Uongozi Mahali Mwaka
1-0. Ndugu wa karibu wa Mwanafunzi; kama - Baba, Mama, Dada, Kaka, Mjomba, Shangazi, nk.
ilNA LA NDUGU UHUS|ANO KAZ|ANAyoFANyA ELTMU YAKE stMU Na.
Nathibitisha kwamba, habarizilizotolewa hapo juu nisahihi, Naahidi kuwa na tabia njema,mchapa kazi na mwenye bidii ya masomo.
Tarehe------ ----- Sahihi ya Mwanafu nzi ------------
OFISI YA RAIS -TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAAHALMASHAURI YA WILAYA YA NYASA
SHULE YA SEKONDARI MBAMBA BAY
Shule ya Sekondari MBAMBA BAY
S.L.P 41,
Mbamba bay.
Tarehe L5l05l2OL8.Namba za simu:
M ku u wa shu le : 07667264L1/07 867 Lt27 O
Makamu mkuu wa shule: 0782230886/0765865361Matron/Patron : 0765683848
FOMU Na.3: SPECIAL REQUEST FOR MEDICAL EXAMINATTON
(To be filled by the government medical officer)
Name of the Student --- Date-------
lshall be verygrateful if you kindly examine the above named student and give us a reportregarding her fitness to undertake studies well in our school.
A. PRELIMINARY INFORMATIONS: MEDICAL INFORMATTON
S/N DISEASE YES NO S/N DISEASES YES NO1 Tubercu losis 9 Operation2 Asthma 10 Eve disorder3 Pneumonia 11 Dia betes4 Heart trouble 12 Nervous breakdown5 Recurrent indigestion 13 Ear/Nose/Throat
trouble6 Jaundice t4 Skin
d isorde r/d isease7 Kidnev trouble 15 V.D
8 Anemia 16 DisabledB. VITAL STATUS
Height Weight Blood group
Blood pressure _Pulse rate Systolic Diastolic
C. MEDICAL EXAMINATION
Age
REMARKS/TREATMENTEAR RT LT
VISION RTEYE
LTE
THROAT
CHEST EXAMINATION
ABDOMINAL EXAM LIVER SPLEEN
OTHER COMENTS
M. SYSTEM UPPER LIMBS
LOWER LIMBS
SKIN
ANY OTHER FINDINGS
D. LABORATORy EXAMTNATTON/ TNVESTGATTON
STOOL:OV LeucocytesL,
2. URINALYSIS: protein
Glucose
Sediment: OVA Leucocytes
3.
4.
5.
Hb
Bs
VDRL
6. WBC Total
Differential N
7. X-ray chest (if any)
8. ANY OTHER INVESTIGATION
M
B
MEDICAL CERTIFICATION
We request Medical Officer (M.O) to complete the following:-
I have examined the above named student considered that he or she is
physically fit/unfit for most activities taken at the school as my findings indicated
above.
Date station
Doctor's name signature
Thankyou in advance
il{KUU WA SHIjL'PMBA!{Br-AnY !F{nS0AR!
Y.L. MWINUKA
THE HEADMASTER
OFISI YA RAIS -TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAAHALMASHAURl YA WILAYA YA NYASA
SHULE YA SEKONDARI MBAMBA BAY
Shule ya Sekondari MBAMBA BAY
S.L.P 41,
Tarehe 15/05/2018
Namba za simuMkuu wa shule- 07 667 26413 / 07 867 1127 0,
Makamu mkuu wa shule- 0782230886/076586536L,
Matron/Patron 076s683848.
ORODHA YA VITABU VINAVYO HITAJIKA KWA1. HISTORYF ua.lor issue in AfricanF Major Events in African HistoryF The political Economy lmperialism) Africa Since 1800,41h edition) The making of Modern Afica, Vol 1
) How Europe underdeveloped Africa) The 20th centuryF Europe from 18'152, GEOGRAPHY) Certificate of Geograghy (Oxford)a) Marry Mugob) Robert Karuggahc) Paul KibuukaF General Geography in DiagramsF Regional GeographyF Photography lnterpritation and! Elementary Surveying for Secondary Level, New edition) Certificate of human and Economic Geography) Principles in physical Geography) Georaphy - An lntergrate approchF Practical Geography3. ENGLISH LANGUAGEPART ONEa) A complete English course for form sixb) English for Form V and Vlc) Teaching English as Forein languaged) Longman grammarAlexandere) Advanded leaners Dictionary
PAPER TWONOVELSa) The beautful Ones are Not Yet Born
b) The Grain of wheat
c) A man of the peopled) Vanishing shadowe) His Excellence the Head of state
PLAYSa) Betrayal in the cityb) An Enemy of the Peoplec) Lwanda Magered) I will Marry when I wantPOETRYa) Selected poemsb) Growing up with poetryc) summons
A.LEVEL MBAMBA-BAY HIGH SCHOOL.
ICDMwaijageBy Nabudere
By Roland Oliver Atmore
By walter RodneyBy Duff, M. NBy Pea Cock
By the following writters;-
By R. B. BunnetBy Nyangwine/Msabila
By S.E Dura
By Morgans and Leong ChangBy Monk house
By Davd Waugh (2009)By Pritchard
By Michael KadegeBy Michael Kadege
By G. BroughtonBy L.G.
By Oxford Univercity press
By A. K Amah
By Ngugi wa Thiong'o
By Chinua Achebe .By N. Kayombo
By Mabala, et, al.
4. KISWAHILI> TAMTHILIA
a) Morani.b) Kivuli Kinaishic) Ukingo wa Thim.d) Nguzo Mama
> RIWAYAa) Usiku Utakapokwishab) Vuta N'kuvutec) Mfadhilid) Kufikirika
> MASHAIRIa) Fungate ya Uhuru.b) Mapenzi Bora.c) Chungu Tamu.d) Kimbunga
VITABU VINGINE VINAVYOHITAJIKA
A. GEOGRAPHY
1. Durra S.E. -map reading2. D.N Mc master -Map reading for east Africa3. Pritchard .jm- first leasoons in Map reading for east Africa4. Emilian .C.knight ,L.B and hand weker M.(1989)Earth science.
B, HISTORY.1. Chance .m.and writte j,(19590 -Modern world history2. Boahen ,A.(1997 - Toplcs in west African history3. Adam ,G(1970) -World civilization4. Kiruti ,F(2000)-The evolving world5. Nigel Kelly and Grey lacey (2001)-Modern world history6. Assa okoth -A history of Africa.
C. ENGLISH1. English for form v and vi -by Oxford2. Advance English revised edition -by ashel3. The wonderful surgeon and other poem -by Charles mloka4. Advance level literature-by Nyambari Nyangwine
Recommended