View
8
Download
2
Category
Preview:
Citation preview
1
HOLIDAY ASSIGNMENT FORM THREE
MATHEMATICS
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
ENGLISH
16
17
FORM 3 SET BOOK HOLIDAY ASSIGNMENT
Buy the text BETRAYAL IN THE CITY by Francis Imbuga. Read and summarise the play in your set book
exercise book.
KISWAHILI
UFAHAMU:
Soma taarifa ifuatayo kisha ujibu maswali:
Mwangeka Mwachoni alizaliwa mwaka wa 1930 katika tarafa ya Mwanda, Wilaya ya Taita-Taveta.
Angalikuwa hai leo bila shaka angalikuwa mmoja wa watu mashuhuri wenye kuheshimiwa kwa ujasiri wao.
Mwangeka alipata taabu mno utotoni wake kwa sababu ya malezi ya shida ya wazazi wake ambao
walishindwa hata kumpeleka shule. Juu ya hivyo aliweza kuinuka na kuwa kijana mahiri sana tena
mkakamavu na mchanga-mfu. Alikuwa akiwatii wazazi wake na kuwaenzi. Alijitwika jukumu la kuiangalia
ile milki yao ndogo waliyokuwa nayo na kuwatumikia bila kinyongo. Ustadi aliokuwa nao Mwangeka
umeweka kumbukumbu ya vitendo vya ushujaa wake wakati angali ni mdogo. Wakati huo, kila siku alikuwa
akichunga ng'ombe wa baba yake milimani kulikokuwa na hatari za kila namna za wanyama wa mwitu. Siku
moja alipowapeleka ng'ombe wao malishoni aliwaona simba wawili katika mlima Vuma waliotaka
kuwashambulia wale ng'ombe. Mwangeka alipambana nao kwa uta na mshale na akaweza kuwaua. Hapo
ndipo sifa zake za ujasiri ziliposambaa Taita nzima.
Mwangeka alikuwa mtu mwenye hekima na busara nyingi na alikuwa mwenye maarifa ya mambo mengi
ya ajabu. Mojawapo ya mambo aliyoyajua ni vipi kajipinga na kujihami na shari za maadni wasiweze
kumwona au kumjua alipo na hali yeye amewakabili na kuwatazama. Basi alipofika umri wa miaka ishirini
18
na tano alianza kuwa mashuhuri na sifa zake zilizagaa kila mahali. Wakati huo alikuwa amekwisha oa.
Alimwoa mwanamke aitwaye Magema, bibi ambaye mwanzo wa kuolewa alionyesha hubo nyingi kwa
mumewe. Lakini baada ya miaka michache alianza kubadilika hulka na kuwa na umbeya na udadisi mwingi.
Kila mara alikuwa akimsaili mumewe kuhusu ushujaa wake na mengi mengine yasiyostahili kuulizwa, bali
mradi aelezwe tu. Alikuwa akistaajabu kumwona mumewe akiweza kuishi msituni kwa muda wa mwezi
mzima bila chakula, na vile alivyoweza kwenda kwa miguu kutoka Kasigau mpaka Mwanda, mwendo wa
kilomita mia mbili, bila kuchoka. Pia, ilikuwa ikistaajabisha vile alivyoweza kupotea asionekane na maadui
zake (ambao wakati huo walikuwa ni wazungu) akiwacha nyuma kivuli chake ambacho ndicho
kikiwashambulia na kuwaua maadui hao.
Siku moja bibi alimbembeleza sana mumewe amweleze maarifa na miujiza atumiayo, lakini Mwangeka
alikataa kabisa kumdokezea habari hiyo. Mwishowe kero lilizidi na Mwangeka hakuweza tena kumkatalia.
Aliona heri amweleze lakini alimkanya asiweze zabizabina na kumweleza mtu yeyote, kwani hiyo ilikuwa
siri yake. Akitoa siri hiyo kumwambia mtu, maisha yake yatakuwa hatarini, mahasimu zake wakikipiga kivuli
chake.
Mwangeka alifanya kazi kubwa katika kuupigania uhuru wa Kenya. Aliwafukuza wazungu na kuwaua
wengi. Huu ndio wakati ambapo Taita, na Kenya kwa jumla, ilipomtambua Mwangeka kuwa ni kiongozi asiye
na kicho, aliyejitolea maisha yake yote kwa ajili ya nchi yake. Yeye ndiye aliyekianzisha chama cha vijana
wa kitaita kilichopigania usawa wa wataita. Alitembelea sehemu nyingi za Kenya na akakutana na Jemadari
Dedan Kimathi, mmoja wa viongozi wa Mau Mau, wapiganaji wa vita vya uhuru. Viongozi hao wawili
walizungumza na kushauriana namna ya kupambana na taabu zilizo wakabili na wakaahidiana kwamba
watakuwa wakitembeleana mara kwa mara.
Huku nyuma nyumbani kwa Mwangeka mambo hayakuwa mema kama alivyofikiria. Baada ya yeye
kuondoka wazungu wawili walifika na kumbembeleza mkewe awaeleze jinsi Mwangeka alivyokuwa
akifanya. Kwanza mkewe alikataa kuwaeleza lakini baada ya kupewa gunia moja la mchele na shilingi kumi
pamoja na kuahidiwa mambo mema kadha siku za mbele, aliwaeleza siri zake zote!
Ilikuwa usiku, tarehe 23 Machi 1966, Mwangeka alipoonekana amelala juu ya jabali kubwa, maiti,
kiwiliwili chake kiasi cha maili tatu hivi kutoka kivuli chake.
(a) Kisa gani kilimfanya Mwangeka kusifiwa kwa ujasiri katika Taita? (alama 2)
(b) Eleza sifa moja ya ajabu ya Mwangeka ambayo ilikuwa ikiwakanganya maadui zake.
(alama 2)
(c) Eleza mabadiliko ya tabia ya mke wa Mwangeka. (alama 3)
(d) Eleza sifa za Mwangeka zisizopungua tano. (alama 3)
(e) Wale wazungu wawili walifanya nini hata Mwangeka mwishowe akauawa?(alama 2)
(f) Mwangeka alipokufa alikuwa kijana au mzee? Toa sababu. (alama 2)
(g) Eleza maana ya maneno yafuatayo kwa namna yalivyotumika katika taarifa.(alama 6)
(i) Mahiri: _____________________________________________________
(ii) Bila kinyongo: _______________________________________________
(iii)Hulka: ______________________________________________________
(iv) Mahasimu: ___________________________________________________
(v) Akijitwika jukumu: ____________________________________________
(vi) Akimsaili: ____________________________________________________
SEHEMU YA B:
MUHTASARI:
Mzee Kondoo: Wenyeji wa kijiji cha maendeleo; mabibi na mabwana pokeeni salamu zangu na shukrani
kwa kuhudhuria mkutano huu. mimi pamoja na wazee wenzangu tuliamua kwa kauli moja kuwaita nyote hapa
ili kujadili maendeleo ya kijiji chetu. Jambo linalotukera sisi wazee ni kwamba hali ya kijiji chetu inazidi
kuzoroteka. Kijiji chetu kiliitwa maendeleo sisi wazazi wake tulipokuwa na rai ya kuleta maendeleo. Wake
19
kwa waume tulijifunga vibwebwe na kwa kweli juhudi zetu zilitoa matunda mema. Sasa nguvu zimeanza
kutuishia; leo tupo, kesho tutakuwa hatupo. Ninyi ndio mtakaoshika usukani. Kama tunavyoona, mambo
yakiendelea namna hii, watoto wenu wataishi maisha ya dhiki. Tungependa ninyi wenyewe mtueleze kwa nini
kijiji maarufu cha maendeleo kinarudi nyuma badala ya kuendelea mbele. Kila anayetaka kutoa hoja zake
atapewa fursa ya kufanya hivyo. Lakini kwanza mzee mwenzangu ana machache ya kusema.
Rojo: Asante sana mzee Kondoo. Kwa upande wangu naona kwamba tumekuwa pweza kujipalia makaa
na kwa mintaarafu hii, maendeleo ya kijiji chetu yakaanza kuzoroteka. Kwa ufupi, tunazaa watoto tusioweza
kuwalea. Ni hivi majuzi tu tulipomkuta mtoto mmoja amezirai …
Jara: Wee! Kaa chini. Usituletee aibu hapa. Sisi ni watu wa kuheshimiwa. Ufahamu kwamba hukupewa
fursa ili uanze kuchambua nyumba za wengine. Mungu mwenyewe alitoa amri kwamba watu wazae mpaka
waijaze dunia.
Jilo: Mimi namwunga mkono Jara. Anayosema Rojo hayafai kuruhusiwa kuzungumzwa tena.
Mzee Kondoo: Hatukuwaita hapa mje mgombane. Rojo hajataja jina la mtu wala hajamaliza kutoa hoja zake.
Endelea bwana Rojo.
Rojo: Nashukuru Mzee Kondoo. Ndugu, mimi nitatoa ule ukweli. Humu kijijini mwetu mna watoto
ambao hawaendi shule. Kazi yao ni kuzurura kila mahali na kuokotaokota mali za watu. Hata huingia
mashambani mwa watu wakaiba matunda, mihogo, mahindi na mazao mengine wakapeleka mijini kuuza.
Mimi kitendo kama hiki nakilaani kwani ndicho kinachorudisha maendeleo ya kijiji chetu nyuma.
Uledi: Hayo usemayo ni kweli. Juzi walikuja usiku mwenyewe siko wakavunja mlango wakafagia
nyumba yangu fyu! Vitendo vya vijana hawa vinadhihirisha ukosefu wa malezi bora. Mabwana na mabibi,
mimi sipingi uzazi lakini yule azaaye atambue jukumu lake la kuwalea vizuri watoto hao hata kama ni ishirini:
awalishe, awavishe, awatibu wawapo wagonjwa, awafunze tabia njema na kupelekwa shuleni ili wakuapo
waweze kujimudu na kushirikiana nasi katika kuendeleza kijiji chetu.
Heri: Mabibi na mabwana mtaniwia radhi kwa vile ambavyo sina mke wala watoto. Hata hivyo sitasita
kutoa maoni yangu. Wasemayo wenzetu ni ya kuungwa mkono. Watoto wakosao malezi bora ndio hatari
katika kijiji chetu. Wakazi wa kijiji hiki wamekuwa waoga hata hawawezi kujenga maduka wakaendesha
biashara zao humu.
Rojo: Mbali na uhalifu wa vijana wetu sisi watu wazima pia twafaa kulaumiwa. Kwanza tumeshindwa
kutimiza wajibu wetu kwa ajili ya ulevi. Tumeshiriki ulevi hata kwamba hatudiriki makazini wala mwetu
majumbani. Vipi tutadumisha nidhamu katika jamii zetu? Pia tusisahau kwamba ili kuwa na jamii ya kuimudu
siku hizi hali ya maisha imepanda juu na tusipokuwa na busara yatatushinda.
Uledi: Zaidi ya hayo inatupasa tuzingatie miradi mbalimbali itakayotuletea maendeleo …
Maswali:
1. Kwa nini wazee walikereka kuona kijiji chao kikizoroteka? (maneno 15)(alama 3)
NAKALA CHAFU
NAKALA SAFI
20
2. Wanakijiji cha maendeleo wamekuwa pweza kujipalia makaa kwa vipi? (maneno 50)
(alama 8)
NAKALA CHAFU
NAKALA SAFI
3. Uledi ana wazo gani kuhusu mpango wa uzazi? (maneno 15). (alama 2)
NAKALA CHAFU
NAKALA SAFI
4. Eleza mambo yanayozorotesha kijiji cha maendeleo? (maneno 50). (alama 7)
NAKALA CHAFU
NAKALA SAFI
3. SEHEMU YA C:
MATUMIZI YA LUGHA
(a) Andika kwa kinyume:
(i) Nje kulikuwa kweupe. (alama 1)
(ii) Mzizimo (alama 1)
(b) Eleza matumizi ya "po" katika sentensi hizi.
(i) Mjomba aliniuliza "Je, sikukuambia kuwa akomeleapo mwenyeji nawe mgeni koma papo?
(alama 2)
(ii) Eleza matumizi ya "kwa" katika sentensi hii:
Mwanariadha alijikaza kisabuni tulipomshangilia kwa nguvu. (alama 1)
(c) Akifisha sentensi zifuatazo:
(i) lahaula sijui kama kazi hii itamalizika (alama 2)
(ii) siku ya jumapili mwezi wa aprili mwaka huu tutaenda mombasa (alama 1)
(d) Eleza maana ya misemo hii :
(i) Kulia ngoa. (alama 2)
(ii) Kuwa mjango. (alama 3)
(e) Kamilisha methali hii:
(i) Atupaye tope _______________________________________________(alama 4)
(ii) Cha mkufuu mwanafuu ha, na akila hu, _________________________(alama 5)
(f) Tumia kivumishi kwenye vifungo kukamilisha sentensi:
(i) Tuleteeni ng'ombe yeyote __________________________ (-dogo) (alama 1)
(ii) Ngoma _________________________, ndiyo iliyotakikana. (-le) (alama 1)
(g) Andika sentensi zifuatazo upya kulingana na maagizo uliyopewa:
(i) Mti wa zambarau ni rahisi kukatwa ikiwa unatumia msumeno. (Anza: "Ni rahisi … )
(alama 2)
(ii) "Kuna chai?" Mtoto aliuliza. Maliza na …. Chai) (alama 2)
21
(iii)Tabasamu yake ilipotea haraka alipoambiwa kuwa alipatikana na hatia ya kuwa mlevi na kukosa
adabu. (Anza Aliishiwa na ….)
(alama 2)
(h) Geuza sentensi zifuatazo katika hali ya mazoea:
(i) Mtoto unavyomlea ndivyo anavyokuwa. (alama 2)
(ii) Matunda yanayoiva ndiyo yanayotundwa. (alama 2)
(i) (a) Mke wa mwanao utamwitaje? (alama 1)
(b) Yohana na Selemani ni ndugu, pia wataitanaje? (alama 1)
(c) Msichana ambaye hajavunja ungo huitwaje? (alama 1)
(j) Eleza muundo/mpangilio wa sentensi hii:
Amenikasirisha (alama 3)
(k) Tumia maneno haya katika sentensi.
(a) Hapiki hapakui. (alama 2)
(b) Hana kazi hana bazi.
(l) Tumia amba katika sentensi hii.
Mtoto anayelia amepigwa na mwizi vibaya sana. (alama 1)
SEHEMU YA TATU
USHAIRI:
Soma shairi hili, kisha uyajibu maswali yanayofuata:
9. 1. Dunia yanishangaza, kwa mikiki na myujiza,
Yajaa sana kuwaza, ama nitajiumiza,
Kwa maovu kuigiza, nimejigeuza pweza,
Mola naomba ya jaza, nanuia kuwa mwema.
2. Utu uzima wangia, masoma namalizia,
Michezo yanizidia, rafiki wana udhia,
Sipati wala tulia, masomo sijafalia,
Mwenyewe najichukia, vitabu sijavishika.
3. Siku nazo zayoyoma, kesho nitasema nini?
Nitanena sikusoma, nitamdanganya nani?
Wazazi pesa wachoma, kunipeleka shuleni,
Kwa kuwa nimebaini, heri nitie bidii.
4. Mawi yamenizunguka, mungu wangu nibariki,
Kujiasa ninataka, nifanye yote ya haki,
Ningependa kuamka, utepetevu sitaki,
Nyuma sipendi kubaki, ningependa kufaulu.
5. Marafiki naeleza, kuwa nimeshachapuka,
Habari nazieneza, wala msije kumaka,
Ukweli ninawajuza, horomo nimeondoka,
Uvivuni nimetoka, niondoeni kundini.
22
6 Panda nalipulizia, kwa wa hapa na wa kule,
Nadhani nimesikia, mkazo natia shule,
Ukunguni nasusia, nataka kusonga mbele,
Sitaki zenu kelele, nidhamu naifwatile.
7. Leo nisipokazana, kesho nitakula nini?
Nitawakidhije wana? Nitakuwa mtu duni!
Riziki takuwa sina, nitaitwa mkunguni,
Moto najipaliani? Heri nijikuze sasa.
8. Mtegemea cha ndugu, atakufa maskini,
Ama atakuwa pwagu, aishie kifungoni,
Kwa nini niote sugu, na kweli i hadharani,
Sitajitia shimoni, nitayapenda masomo.
9. Baibai masahibu, msipende kunighasi,
Nitavisoma vitabu, mitihani niipasi,
Nigeuke mahabubu, na mtu aso muasi
Hayana ya wasiwasi, yenu nyingi hayawani.
10. Jongoo nimemtupa, na mti wake pamoja,
Sitataka tapatapa, ninaitafuta tija,
Nyingi pigeni malapa, hatavishwa makoja,
Kuna siku itakuja, mtakuja kuhiliki!
Maswali:
(a) Andika kichwa mwafaka kinachofaa kuelezea shairi hili. (alama 2)
(b) Hili ni shairi la aina gani? Toa sababu zako. (alama 2)
(c) Marafiki wa mwandishi wana tabia gani? (alama 4)
(d) Ni nini dhamira ya mtunzi? (alama 2)
(e) Andika ubeti wa sita kwa lugha nathari. (alama 5)
(f) Eleza maana ya maneno haya kama yalivyotumiwa katika shairi
(i) Mikiki (ii) Kuyoyoma (iii) Mkunguni
(iv) Panda (v) Sugu
CHEMISTRY
Form three chemistry holiday assignment
1. Below is a passage describing how Sodium chloride is obtained from Lake Magadi in the Rift
Valley? Study it and answer questions that follow. Lake Magadi consists of massive deposits of
trona (Na2CO3.NaHCO3.2H2O) a crystalline solid. This solid material has formed as a result of the
high rate of evaporation on this water mass with high salt content. Below the trona is a mother liquor
of Sodium chloride and Sodium carbonate with a density of 1.26x103kgm-3. The less soluble salt
crystallises out first. This knowledge is made use of in separation of dissolved solids; a process
known as fractional crystallisation. Sodium chloride and sodium carbonate have the same solubility
at 36.10C but sodium chloride is more soluble below this temperature while sodium carbonate is
more soluble above this temperature. During the process of obtaining sodium chloride mother liquor
is made to flow into channels and then pumped into salt fields where initial evaporation by solar
energy occurs. These are the pre-concentration ponds where the liquor flows from one pond to
another by gravity. Precipitation of trona and sodium carbonate monohydrate occurs. Eventually the
concentration of common salt equals that of sodium carbonate and the two form 16% of the mother
23
liquor. The liquor is pumped into salt making ponds where further evaporation occurs. During hot
months of the year the daily temperatures of this liquor can be as high as 400C but generally below
36.10C. During night temperatures average 200C. Became of the difference in solubility of salt and
carbonate and the high variation of temperatures between day and night, the two deposits at different
times. Impure salt is obtained which is purified by washing with saturated sodium chloride solution.
The purified salt is then iodised to produce coarse salt. Some of the coarse salt will be treated by
adding red oxide (Iron (II) Oxide for cattle.
Coarse salt contains 99.5% NaCl, 0.03% NaF,
0.4% sodium carbonate and 0.0037% iodine.
a) What is the mass of water in 1000kg of mother liquor with density of 1.26x103kgm-3?
b) What does the precipitation of trona and sodium carbonate monohydrate in the pre-concentration
ponds tell you about the relative concentration of sodium carbonate compared to sodium chloride
in the lake?
c) What is the mass of sodium chloride in 1000kg of mother liquor when concentration of salt
equals concentration of sodium carbonate?
d) Which of the two is precipitated during day, sodium chloride or sodium carbonate?
e) Write formula of;
(i) Sodium carbonate monohydrate
(ii) Sodium hydrogen carbonate
(iii) Sodium fluoride
(iv) Iodine
f) To make 1000kg of coarse salt how much
(i) Sodium chloride
Sodium fluoride and sodium carbonate would be weighed?
(ii) Iodine would be weighed?
g) State two other uses of sodium chloride?
2. (a) Explain each of the following in terms of particulate nature of matter.
(i) When a teaspoonful of sugar is stirred in water in a glass, it dissolves and disappears,
(ii) When ice is heated, it melts into a liquid and then eventually boils into a gas
(iii) Lead bromide does not conduct electricity unless it is molten.
(iv) When a crystal of potassium permanganate is put in water in a beaker and left undisturbed for
about 1 hour, the purple colour spreads throughout the liquid.
(v) When heated, mercury oxide produces two substances with very different properties.
(vi) Very small particles of carbon suspended on the surface of water display a Zig-zag motion.
24
3. The volume of a given mass of gas is 300cm3 at 400c and 650 mmHg pressure. What would be the
volume if:
(i) Pressure is increased to 1300 mmHg pressure at the same temperature
(ii) Both pressure and absolute temperature are doubled.
4. 0.2g of metal was dissolved in dilute acid, and 306 cm3 of dry hydrogen were evolved. The volume
of the gas was measured at 200C and 730 mm Hg.
(a) Calculate the volume of the gas at s.t.p.
(b) Why should the temperature be in K or absolute scale: use the formula used in ‘a’ above to
explain.
(c) Calculate the mass of hydrogen if its density at s.t.p. is 0.00009 gcm-3
(d) Calculate the equivalent of the metal
(e) Calculate the atomic mass of metal if its valency is 3.
5. 10.6g of sodium carbonate (Na2CO3) were dissolved to make a litre solution (Na = 23, C = 12, O =
16). Calculate the molarity of sodium ions.
6. 1.35g of aluminium was heated in a stream of chlorine to produce 4.01g of aluminium chloride.
(i) Determine the empirical formula
(ii) The vapour from this compound has a relative molecular mass of 133.5. Determine the
molecular formula.
(iii) What type of bond in found in aluminium chloride? Explain.
7. To a pale green solution Y, Dilute sodium hydroxide solution was added. A dirty green precipitate
formed. On adding concentrated nitric acid the green solution Y turned yellow. On adding sodium
hydroxide solution a brown precipitate now formed. Explain observations using equations
identifying the ion in Y.
8. The table below is a record of observations when of W, X, Y Z and R, not true element symbols
heated in a test tubes in turns.
Nitrate Observations
W
X
Y
On gently heating steamy fumes condensing in cooler parts to produce a
colourless liquid. On stronger heating crackling sound is heard and gas produced
re-lights a glowing splint. Red brown gas produced turns wet blue litmus red and
a silvery white liquid is condensed.
Melts into a colourless liquid. White fumes are produced. Colourless liquid
condenses in cool parts and gas re-kindles glowing splint. No residue is left.
On strong heating a crackling sound heard. Gas produced re-lights a glowing
splint. Wet blue litmus change to red and a red brown gas produced. Residue left
is yellow but it is brown when hot.
25
Z
Q
White crystals melt into a colourless liquid. Gas produced re-lights a glowing
splint and a pale yellow residue if formed when solid is very strongly heated.
A green solid on gently heating steamy fumes and colourless liquid condenses in
cooler parts of test tube. On stronger heating crackling sound is heard and gas
formed re-lights a glowing splint. Red brown gas formed and a black residue is
formed.
a) Suggest the identity of the nitrate X
b) (d) Suggest the identity of W and Z
c) (e) Identify the colourless liquid condensed on heating Q and hence name the nitrate of Q
d) (e) Identify the colourless liquid condensed on heating Q and hence name the nitrate of Q
9. When a gas jar of sulphur dioxide is inverted over a gas jar of hydrogen sulphide yellow solid forms.
(i) Name the white solid and yellow solid or brown fumes.
(ii) Explain how each of the reactions occurs.
(iii) Explain the brown fumes.
Write balanced equations of reactions
10. What is seen when concentrated sulphuric acid is added to;
(i) Cellulose (wooden splint)?
(ii) Copper sulphate crystals?
11. (a) In the contact process for manufacture of sulphuric acid.
(i) Name the starting materials and write equations for the changes they undergo.
(ii) What are the conditions for manufacture of sulphuric acid?
(iii) Explain other reactions that lead to the formation of concentrated sulphuric acid. Use any
relevant equations.
(b) State three chemical properties of sulphuric acid
(c) Sulphuric acid from manufacturers in 98% sulphuric acid and it has a density of 1.84gcm3.
(i) Calculate its molarity
(ii) What volume will be used to dilute 250cm3 of 2M sulphuric acid solution?
(H=1.0, S=32.0, O=16.0)
(d) Write ionic equations for reactions between dilute sulphuric acid and;
(i) Magnesium
(ii) Sodium carbonate
(iii) Sodium hydroxide solution
(iv) Barium nitrate solution
26
(e) Element X can be represented as 32X
16
I. Draw atomic structure of X
II. Write its electronic configuration.
12. The table below gives elements represented by letters; T, U, V, W, X, Y and their Atomic numbers.
Element T U V W X Y
Atomic number 12 13 14 15 16 17
Electron arrangement of
stable ion.
Use the information to answer the questions below.
a) Complete the table above by giving the electron arrangement of the most stable ion of each of
the element. (3mks)
b) In which group do the following element belong? (1mk)
T
W
c) How does the Atomic radium of U and W compare? Explain. (2mks)
d) Give the formulae of the compound that could be formed between U and Y. (1mk)
e) Arrange the species Y, Y- , Y+ in increasing order of size. (1mk)
f) Which of the ions T+2 and T-2 is most stable? Explain. (2mks)
BIOLOGY
1. Describe double fertilization in flowering plants (20mks)
2. Describe how the male and female reproductive systems are adapted to their functions. (20mks)
3. Explain how the insect pollinated flowers are different from the wind pollinated flowers. (20mks)
PHYSICS
1. (a) When two sets of waves arrive at the same point at the same time, under what conditions do the (i)
completely cancel out (ii) produce larger waves?
Show the change in wave amplitude and show also the phase difference in each case with the help of
diagrams.
(b) Show the properties of the waves which result in their interference at a point so that at all times one
exactly cancels the other.
2. Straight (plane) and circular waves are produced in a ripple tank.
(a) State how each type of wave is produced in a ripple tank.
(b) Draw labeled diagrams to show how water waves in a ripple tank are used to illustrate the reflection
of plane waves by a:
(i) A plane barrier at 45o angle
(ii) A concave barrier
27
State if there is any change in the wavelength of the waves.
3. (a) Name two types of progressive wave motion and explain the differences between them.
(b) Describe how a wave of each type can be produced on a slinky spring.
(c) Name one example of each type of motion.
(d) State three differences between sound and light waves.
(e) Give two examples which show that the speed of a wave depends on the medium in which it travels.
(f) Waves carry energy. Give two examples of this property of waves.
(g) A radio station broadcasts on a frequency of 200 KHz and the wavelength of its signal is 1500m.
Calculate:
(i) the speed of radio waves in m.
(ii) the wavelength of the signal of another station that broadcasts on a frequency of 250Hz
4. In the circuit (a) shown, the total resistance between X and Y is 2 ohms. What is the unknown resistance
R? The total current flowing between X and Y is 24. What is the current in the 4 ohm resistor?
5. In the circuit (b) shown above. Find the:
(i) Resistance of the paths ABC and ADC.
(ii) Current through the paths ABC and ADC
(iii) P.d between A and B; A and D; B and D.
(iv) In which of the four resistors is there the greatest rate of conversion of energy into heat? Explain.
6. The e.m.f of the cell is 1.5V. Its internal resistance is ‘r’ ohms. Resistors P and Q are of 3 ohm
resistance each. If 0.3A current flows through P, find the value of ‘r’ in figure (a).
Fig. (a) Fig. (b)
7. Fig. (b) Shows a battery of e.m.f E volts and internal resistance 1 ohm connected in a circuit containing
resistors and ammeters. The ammeters are of negligible resistance and have the readings shown.
Calculate the values of the e.m.f E and the resistant X. What would be the reading of ammeter A, if P
and Q were connected by a short length of thick copper wire?
8. An electric cooker has the following specifications:
Item No. of items Power of item/ w
Ceramic hob, small heating area 2 1250
Ceramic hob, large heating area 2 1500
Grill 1 2000
Oven 1 2500
Calculate how much energy (in kWh) the cooker will use in 30 minutes when all the items are used
simultaneously. How much will it cost to run the cooker during this time if electrical energy costs 60
28
cents for 1 kWh? Calculate the maximum current that will be carried by the cable connecting this
cooker to a 250V mains supply.
9. Describe an experiment to investigate the relationship between the heat produced in a wire and the
electric current flowing through it. Your answer should include:
(i) A circuit diagram
(ii) An account of the observations you would make.
(iii) An account of how you would use these observations to deduce the relationship.
(iv) A statement of the result you would expect to obtain.
10. Explain clearly why a fuse and an earth wire are used in a mains wiring circuit. Draw a labeled diagram
of the structure of one type of fuse. A 3kw heater is fitted with a 35w indicator lamp and a 15w fan.
These three components of the appliance are connected directly to the 250V mains and a switch on and
off together. When the appliance is operating, calculate (i) the total power (ii) the total current (iii) the
energy used in 4 hours.
11. A bolder is sliding down a slope with a uniform acceleration of 3ms-2. If its starting velocity was 2ms-1,
calculate its velocity after it has slid 10m down the slope.
12. A diving bell is lowered into the sea at a speed of 6ms-1 and comes to rest with uniform retardation at a
distance of 20m below the surface. Calculate its retardation and time it takes to come to rest.
13. A motor car of mass 1100kg starts from rest and accelerates steadily until it is travelling at 36kmh-1.
(a) If it takes 11s to attain this speed, what is its acceleration?
(b) Calculate the force exerted between the tyres and the road to produce this acceleration.
(c) How far does the car travel during these 11s?
14. A car, initially at rest, moves with uniform acceleration for 20s until it attains a velocity of 15ms-1. It
then proceeds at this velocity for 60s and finally comes to rest after retarding uniformly for a further 10s.
Draw a velocity-time graph of the motion and calculate (a) the retardation, (b) the total distance moved.
15. In an experiment to determine g, the acceleration of free fall, it is necessary to make careful
measurements both of length and time. Values for these two quantities are then substituted in an
appropriate formula to enable of to be calculated:
(i) Draw a diagram of the arrangement of the apparatus you would use to determine g, indicate on
the diagram the exact length that must be measured for the calculations.
(ii) Describe fully how the time internal needed in the calculation is measured.
(iii) Write a relationship of the form g = 4𝜋2
𝑇2L which would enable the acceleration of free fall to be
calculated using the measurements of length and time you have described in your answers to (i)
and (ii). How could you improve the reliability of your determination of g?
16. The following table gives the scale readings of the pointer for different attached masses:
Mass attached/kg 0 0.2 0.4 0.6 0.8
Scale reading/mm 120 126 132 138 144
(a) Make a table showing corresponding values of the force on the spring in Newton and its resulting
extension in metres.
(b) Plot a graph of force (y-axis) against extension.
29
(c) State Hooke’s law. Are the readings for this spring consistent with it? Explain.
(d) Use your graph to find the force that produces an extension of 15mm and the energy stored in the
spring at this extension.
(e) The spring is loaded with a 0.4kg mass. This is pulled down 3mm below its equilibrium position and
then released. Explain what happens as fully as you can.
HISTORY
1. Definition of Nationalism
2. Factors that promoted African Nationalism.
(a) Internal Factors
(b) External Factors
3. (a) Rise and growth of African Nationalism in Ghana.
(b) Factors that prompted the growth of nationalism in Ghana in 1940s.
(c) Course of nationalism in Ghana.
(d) Role of Nkurumah in the struggle for independence in Ghana.
(e) Contribution of Kwame Nkurumah to the liberation struggle in Africa.
4. (a) Rise and Growth of African Nationalism in Mozambique.
(b) Factors that favoured the Growth of Nationalism in Mozambique.
(c) Course of Nationalist struggle in Mozambique.
(d) Factors which favoured FRELIMO in the struggle against colonialism in Mozambique.
(e) Problems encountered by FRELIMO in nationalist struggle.
(f) Role of Samora Machel in nationalist struggle.
(g) Factors which prompted the Portuguese to grant independence to Mozambique.
(a) Methods used by Mozambican nationalist to struggle for independence.
5. (a) Rise and Growth of African Nationalism in South Africa.
(b) Factors for the Growth of African nationalism in South Africa
(c) The course of South African nationalism.
GEOGRAPHY
Topics: (i) The Lakes
(ii) Oceans and Seas
30
Read and answer the following questions
1. (a) Define the following terms:
(i) Ocean
(ii) Sea
(iii) Lake
(b) Briefly explain the main processes which form the basis for classifying lakes.
(6 mks)
(c) (i) State the sources of lake water. (3 mks)
(ii) Citing examples of lakes in Kenya explain five ways in which lakes have positive influence on
human activities. (10 mks)
(d) Explain how Lake Victoria was formed. (8 mks)
2. (a) Differentiate between oceans and seas. (2 mks)
(b) State four factors that cause ocean currents.
(c) (i) What are the causes of tides? (3 mks)
(ii) Describe how a solar eclipse occurs. (6 mks)
(d) State five ways in which oceans are of significance to human activities. (5 mks)
(e) Identify four types of tides.
CRE
1. Complete Notes on Nehemiah.
2. Answer the following questions.
a. Identify the religious reforms carried out by Nehemiah. (5 points)
b. Explain the occasions when Nehemiah prayed. (10 points)
c. Why is prayer important in a Christian’s life. (10 points)
d. Show with relevant examples good leadership qualities that can be drawn from Nehemiah.
(10 points)
e. What lessons can Christians learn from Nehemiah. (10 points
f. Explain the problems that Nehemiah faced in his work
g. Describe the steps taken by Nehemiah to renew the covenant.
h. Give the promises made by the Israelites during the renewal of the covenant. (6 points)
31
i. Explain the steps taken by the Israelites in the dedication of the wall of Jerusalem.
j. Discuss Nehemiah’s final reforms.
ART AND DESIGN
You are instructed to use a cartridge paper for drawing and white manila paper for painting. Use of
rulers and other mechanical instruments is forbidden.
DRAWING
Using a pencil, pen and ink or mixed media draw an imaginative composition depicting a
farming family busy loading their harvest on a waiting transport. The size of your composition
should measure 45cm by 35cm.
PAINTING
Create a composition in colour based on the following description.
“As the travelers figures diminished there was every sign that night was approaching.”
HOME SCIENCE
HOMESCIENCE FORM 3 - HOLIDAY ASSIGNMENT.
1. What is “weaning a baby”?
2. Why is it important to wean a baby?
3. Explain points to bear in mind when preparing weaning foods.
4. State points to consider when weaning a baby?
5. Discuss problems related to weaning a baby/
6. Explain the effects of weaning a baby too early or too late?
7. Explain how infections may occur when a child starts weaning.
8. Outline the importance of habit training.
9. State practices a child ought to be trained in.
10. State different types of play a child should be encouraged in to take part in and give an example of
each.
11. Discuss the role of playing in a child’s
a. Physical development
b. Social development
c. Mental development.
12. Explain ways of encouraging a child to play.
13. a. State points to consider when choosing or making play items.
b. Give ways of caring for play items.
c. suggest ways of improvising toys.
14. What is gluten?
15. Differentiate between “batters” and “dough’s”.
16. a. What is a ‘raising agent” as used in flour mixtures?
b. Give ways through which raising agents are introduced into flour mixtures.
17. Describe ways through which air is introduced into flour mixtures.
18. Discuss conditions that are suitable for the growth of yeast.
19. Describe the procedure of working an in seam pocket.
20. Outline the qualities of a well made in seam pocket.
32
MUSIC
Basic Skills
1a) Compose a twelve bar melody in D Major scale.
b) Compose a melody to the following words.
Usfafi utakujaza
Raha tele za dunia
Usafi jambo muhimu
Popote unapokuwa
2a) Write all the triads of B Major and A flat Major ni the treble clef.
b) Write the a minor, melodic and harmonic forms in the treble clef.
African Music
3. Identify the following instruments by category and community of origin.
Orutu pukan ntono tung ekibiswi boula puga
Mbeve iritungu adet arupepe abu gandu upatu
Western Music
4. Research and define on the following forms of the Baroque Era
Basso continuo oratorio cantata concerto grosso aria
Opera passion gavotte tutti orchestra
Allemande sarabande sonata ritornello Recitative suite
COMPUTER STUDIES
1) Define the following terms.
a) Computer program
b) Programming
c) Programming language
2) Explain the meaning of the following in computer programming (2mks)
a) Syntax
33
b) Semantic
3 a) What are low-level languages .Give their features. (4mks)
b) Give three advantages of high –level languages as opposed to low-level languages (3mks)
4 a) Examine two features of forth generation programming languages (3mks)
b) List three examples of fourth generation programming languages (3mks)
c) Describe 5 factors to be considered while choosing programming language (5mks)
5 Differentiate between the following in programming
a) Source program and object code(2mks)
b) What does the following abbreviations stand for:
c) Give two advantages of compiling a program rather than interpreting it.(2mks)
d) Name the stages of program development in their logical sequence(3.5 mks)
6. Arrange the following components of information system data hierarchy in ascending order of
completing. (6marks) (field, database, bytes, record, bit and file)
7.In a computer based information system, state two purpose of the following files, and give one example
where such a file may be required in a school.
a)master file
b)sort file
c) reference file
d) report file
Perform the following conversions.
a) 3410 to Binary
b) 7.12510 to Binary
c) 1011012 to a base 10 Numbers
d) 10.112 to decimal
e) 20.216 to decimal
f) 7AB16 decimal
g) 0111011.0102 to octal.
h) Use two’s complement to subtract
101 from 1000
Write notes from page 47 to 69.
Have a nice holiday
Make sure you complete your assignment
34
Obey your parents and follow @ favv_amie
HARDWORK PAYS
FRENCH
DEVOIR POUR LES VACANCES – LE FRANÇAIS 3- 2016
EXPRESSION ECRITE
Ecrivez un paragraphe sur les sujets suivants
(i) Mon ami(e) préféré(e)
(ii) Ce que j’aime /je n’aime pas de mon école
(iii) Mon pays
(iv) Quels sont les moyens de transport au Kenya? Lequel est le plus utilise et pourquoi?
(v) Comment je passé mon temps libre
(vi) Ce que J’ai l’intention de faire après l’école
(vii) L’importance d’étudier le français
(viii) Pourquoi les touristes visitent-ils le Kenya?
(ix) Le sport joue un rôle important dans la santé de l’être humain. Qu’en pensez vous?
B. Pour tous les sujets dans la question A. , préparez un expose (oral) a présenter.
Bonne Courage! Bonne Continuation!
BUSINESS
1. State four economic effects that may result from the depletion of Kenya’s forest cover
2. Name the internal environments whose effects are described by the following statements:
EFFECT INTERNAL
ENVIRONMENT
(a) Allows duties to be allocated to the right people thus resulting
in higher productivity
(b) Helps the business achieve its objectives e.g. higher production
level of goods and services
35
3. Outline four ways in which the government creates enabling environment for business
4. Mr. Mirugi has opened a retail outlet at Lukoye Trading centre. Advise him on four ways of creating
an enabling business environment for the prosperity of his business
5. Mention four benefits of recycling waste production
6. Outline four adverse effects of production activities on environment and community health
7. Outline four social responsibilities of a business to its customers
8. Identify four reasons why hawking is very popular among the Kenyan youth.
9. Outline four reasons why people engage in business activities.
10. List four factors that may enhance
11. Use the balance sheet equation to fill the missing figures in the table below
CAPITAL(Shs.) LIABILITIES(Shs.) ASSETS (Shs.)
(a) 21,920 ? 30,341
(b) ? 2.192 19,840
(c) 3,773 1,591 ?
(d) ? 73,000 100,920
12. For each of the following transactions indicate in the spaced provide the account to be debited,
account to be credited and the ledger in which the account would be maintained
13. Indicate the balance sheet items which would be affected by the following transactions
(a) Purchase of a lawn mower by cheque
(b) Sale of goods on credit to Mwangi
(c) A debtor pays by cash
(d) The owner converted his personal car into a business asset
(c) Makes employees to acquire norms and code of conduct that is
acceptable to all
Transaction A/C to Debit Ledger A/C to credit Ledger
(a) Sold goods on credit to
Kamau Kshs.10,000
(b) Paid rent by cash
Kshs.500
36
14. Given below are transactions relating to Mwala traders. For each of the transactions, indicate
in the column below the account to be debited and the account to be credited
Transaction Account to be
debited
Account to be
credited
(i) Paid salaries in cash
(ii) Withdraw cash from bank for office use
(iii) Paid telephone bill by cheque
(iv) Sold goods for cash
(v) Purchased office equipment on
credit from Mwala limited co.
15. Mention four items that change capital of a business
16. The following balances relates to Onyonka traders as at 1st Jan. 2010
ONYONKA TRADERS
BALANCE SHEET
As at 1st Jan-2010
Debtors 120,000 Capital 140,000
Machinery 40,000 5years loan 290,000
Cash in hand 80,000 Creditors 30,000
Cash at bank 180,000
Stock 40,000
460,000 460,000
The following transactions took place the same month:-
Jan 2nd debtors paid in cash shs.20,000.
Jan. 31st sold stock worth shs.20,000 for Shs.25,000 by cheque
Prepare a balance sheet as 31st Jan. 2010
17. Show how the following transactions may affect the items of balance sheet, stating whether it is an
increase, decrease or no effect
17. Okelo invested Kshs.120,000 into a business. At the end of the year, his capital was Kshs.160000
and his monthly drawing was Kshs.2000. Determine the net profit for the year
AGRICULTURE
Transaction Assets Capital Liabilities
(a) Additional investment in cash
(b) Purchase of stock by credit
(c) Pre-paid loan in cash
(c) Took a loan to pay another loan
37
Answer ALL the questions in this paper.
1. Give four methods of propagation that make weeds have high competitive ability over crops
2. List two materials used in construction of gabions
3. List three factors to consider when siting farm structures
4. Give the breeding system involved in each of the following cases
a. Friesian sire (Father) with Friesian dam (daughter)
b. Friesian sire mated with Ayrshire dam
5. Give two reasons for hoof trimming in goat management
6. Name two types of dips
7. A dairy cow was observed to be on heat at 12:00 midnight on 5th February 2014 at what time should
the cow be served?
8. Give one way through which check dams control soil erosion
9. Name two methods of conserving water on the farm
10. Lis any five negative economic factors of weeks
11. What are the disadvantages of using herbicides to control weeds
12. State two ways in which organic mulch helps to conserve water in soil
13. a. What are farm buildings
b. Give two reasons why farm buildings are important
Recommended